Bidhaa nilizoagiza China zimefika mapema sana, Tuzifungue tuone.

Tarehe 7 December 2022 niliagiza bidhaa nne kutoka China kupitia kampını ya Aliexpress na ndani ya siku 12 nilipata message kuwa mizigo imefika. Hii ndio mara ya kwanza mango kuwahi kufika Sana kuliki mara zote nilizoagiza, kwenye video hii nimeongelea Imekuaje mizigo ikawahi sana kufika na ni jinsi gani na wewe utaweza kuagiza mizigo yako na ukaipata ndani ya wiki mbili.
Tucheki kwenye mitandao yetu ya kijamii
tech_africa
techafrica1
tekfrika

Пікірлер: 60

  • @BarakahRashidy-mb5kn
    @BarakahRashidy-mb5kn4 ай бұрын

    Naomba namb broo

  • @meboncent9868
    @meboncent9868 Жыл бұрын

    Nice 2023 Unboxing Video Nilishawah Kuagiza Products Kikuu Mambo Kidogo Ya Kaenda Mlama Hahaha!

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Asante Sana

  • @SIDEBOYTV1990
    @SIDEBOYTV1990 Жыл бұрын

    Mi naomba no za group lako nataka unielekeze kununua hiyo bidhaa na jinsi ya kuipata mimi nipo mkoani shinyanga kahama

  • @sondeboy1158
    @sondeboy11585 ай бұрын

    sasa kaka kwa sisi tulio mikowan tunapataje mzigo tukiagiz aliexpess

  • @anoldel-math2322
    @anoldel-math2322 Жыл бұрын

    Thank you for this, very helpful.

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Your welcome bro

  • @geofreysteven1524

    @geofreysteven1524

    Жыл бұрын

    @@TechAfrica nambazako bro

  • @rashidikanyama7227
    @rashidikanyama7227 Жыл бұрын

    Nakufuatilia sana br na kupitia wewe nimepata faida kwenye yale magroup mungu akuweke undelee kutuhabarisha

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Nafurahi kusikia hivyo, Amen

  • @Osak4really

    @Osak4really

    10 ай бұрын

    ​@@TechAfricakaka abali nitaj msaad wako

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    10 ай бұрын

    Niambie kaka@@Osak4really

  • @qurannasunnahtzonlinetv7432
    @qurannasunnahtzonlinetv7432 Жыл бұрын

    Jee kinunua bidhaa Alibaba unaweza kutumia awo Speedo

  • @jacquelinepalangyo412
    @jacquelinepalangyo412 Жыл бұрын

    Ooh Asante Sana Kaka,nilikua nasumbuka Ni namna gani nitaupata mzigo wangu baada ya kuagiza Ali Express,kumbe wanaotuletea mizigo yao Ni wale wale wa kikuu,nawafahamu wa kikuu maana wameniletea Mara nyingi hao mpk getini,nashkuru Sana Kaka Sasa ntaagiza mzigo wangu aliexpress

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Nafurahi kusikia hivyo

  • @DavidMatuku-fo6pj

    @DavidMatuku-fo6pj

    10 ай бұрын

    Kikuu ndo wanaoleta mizigo ya aliexpress niel|kez bro

  • @simonjoseph7156
    @simonjoseph715611 ай бұрын

    Unajua kufundisha nimepnda

  • @donytv2393
    @donytv23939 ай бұрын

    Unaeza nisidia jinsi ya ulipaji nyani nikisha chagua bidhaa aliexpress inanipeleka kutumia card asa nashindwa kuelewa pale maana nimezoea kikou yenyewe inanipeleka kwenye laini niliyo na pesa nikiingiza namba ya siri nakuwa nishamaliza tofauti na huku naomba msaada nieleweshe🙏

  • @rexstudio4303
    @rexstudio4303 Жыл бұрын

    Nice content bro🔥🔥🔥🔥

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Thank you

  • @mapachasize5641
    @mapachasize5641 Жыл бұрын

    Noo yako ya simu

  • @simonjoseph7156
    @simonjoseph715611 ай бұрын

    Fanya video jinsi ya kusafilisha mzigo kwa haraka tofauti na sasaivi kupitia alibaba

  • @user-fw3sz1ie3n
    @user-fw3sz1ie3n6 ай бұрын

    umepotea kaka

  • @kakaziller
    @kakaziller Жыл бұрын

    Kwenye soko la Alibaba unakuta bidhaa ina bei mbili sasa zinakua zinachanganya mfano unakuta Minimum order ni 1 bei 7900 sasa unakuta ni 7900tzs 32000tzs hapa inachanganya tunaomba ufafanuzi

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Ili kujua bei halisi ya bidhaa inabidi ubofye pale pa kununua Kisha utaona bei halisi

  • @Teacher........
    @Teacher........11 ай бұрын

    *OK BASI TAYARI NIMEJOIN*

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    10 ай бұрын

    karibu

  • @kingkelia7097

    @kingkelia7097

    5 ай бұрын

    Kvp

  • @user-ri9uw6vn1v
    @user-ri9uw6vn1v Жыл бұрын

    vp bro

  • @bagegadaniel8461
    @bagegadaniel8461 Жыл бұрын

    Naitji namber yako br

  • @brunomelody1174
    @brunomelody117425 күн бұрын

    Bidhaa ninayotaka ipo na free shipping ko ndo inaeza isifike?

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    25 күн бұрын

    kidogo inasumbuaga lakini kuna kadhaa ambazo zilikua na free shipping na zilifika vizuri tu

  • @user-ri9uw6vn1v
    @user-ri9uw6vn1v Жыл бұрын

    vp

  • @jacquelinepalangyo412
    @jacquelinepalangyo412 Жыл бұрын

    Na vipi nikitaka kuagiza na kucheki bidhaa Ninadowload app ipi?Ni Alibaba au Ali Express,maana mm nilidownload app ya Alibaba na inaniletea Bei za bidhaa kwa Dola ,lkn nimeona kwa hyo app yako mbna umeletewa kwa Tz shilings,Ni app gani hyo?pliiz naomba nijibu.

  • @ChugaonlineShop

    @ChugaonlineShop

    Жыл бұрын

    Unaweza kuchange ikawa kwa Tsh dear

  • @ChugaonlineShop

    @ChugaonlineShop

    Жыл бұрын

    Unaweza kuchange ikawa kwa Tsh dear

  • @DavidMatuku-fo6pj
    @DavidMatuku-fo6pj10 ай бұрын

    Kwa mwanza ofisi za aliexpress ziko wap

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    10 ай бұрын

    Kwakweli kwa mwanza sifahamu zipo wapi

  • @ummulkuthumummu2100
    @ummulkuthumummu21009 ай бұрын

    Jinsi ya kupata promo code

  • @emma-vp7ti
    @emma-vp7ti5 ай бұрын

    Hellow

  • @erickjohn931
    @erickjohn9317 ай бұрын

    Jinsi ya kulipia mzigo aliexpress

  • @RAHY_MOON
    @RAHY_MOON Жыл бұрын

    Kaka vipi kwa wenye tupo mkoani Kama Mimi nitumie Nini au nifanyeje Na Mimi nipo mkowa was rukwa sumbawanga mjini inakuwaje apo kwenye upande wa kupokea naomba mzaada kaka

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    naamini kuwa hata sumbawanga mjini pale kuna ofisi ya Posta, kama ipo nenda tu ufungue account yako halafu utaweza kuagiza vitu

  • @geofreysteven1524
    @geofreysteven1524 Жыл бұрын

    Nawaptaje ssa

  • @alainyamuremye982
    @alainyamuremye982 Жыл бұрын

    Sisi Burundi haina post code. Hapo bidhaa itanifikiaje?

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Kwakweli kwa Burundi sijui bado tunafanyaje boss, labda uende kwenye account settings za AliExpress uangalie inakuuliza uweke nini?

  • @alainyamuremye982

    @alainyamuremye982

    Жыл бұрын

    @@TechAfrica Inakwambia uweke post code inapoenda kwenye mtandao wa get post code ukitafuta wanakuonyesha lacalisation Yako Kwenye Google maps. Sijui kama fasi ya post code inaweza ukaweka mkowa.

  • @Jastus100
    @Jastus100 Жыл бұрын

    Kwa huku mwanza ofisi za hao wanaokuletea kwa siku chache zipo wapi?

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Kiuweli kwa Mwanza sijui ofisi zao zilipo, wewe ukisha agiza, bidhaa zikafika ndio watakujulisha

  • @trendingfootshorts

    @trendingfootshorts

    Жыл бұрын

    Kaka naomba namba za ao jamaa niweze kuwasilian nao please

  • @user-ri9uw6vn1v

    @user-ri9uw6vn1v

    Жыл бұрын

    ​@@TechAfrica bro vp

  • @jameshonore6554
    @jameshonore6554 Жыл бұрын

    Naomba namba yako

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Naomba unicheki kwenye email yangu tekinafrica@gmail.com

  • @meboncent9868
    @meboncent9868 Жыл бұрын

    Kaka umepotea

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Nimerudi kaka

  • @Meremo_T
    @Meremo_T Жыл бұрын

    Naomba utwambie kuhusu hiyo kampun

  • @TechAfrica

    @TechAfrica

    Жыл бұрын

    Kampuni ipi kaka?

  • @Meremo_T

    @Meremo_T

    Жыл бұрын

    @@TechAfrica hiyo ambayo ilikuletea bidhaa za ndan ya siku 14 inaitwaje na mambo kuhihusu

  • @trendingfootshorts

    @trendingfootshorts

    Жыл бұрын

    Na mimi nahitaj kujua iyo campuni au link yao