Bidhaa nilizoagiza China zimefika mapema sana, Tuzifungue tuone.
Tarehe 7 December 2022 niliagiza bidhaa nne kutoka China kupitia kampını ya Aliexpress na ndani ya siku 12 nilipata message kuwa mizigo imefika. Hii ndio mara ya kwanza mango kuwahi kufika Sana kuliki mara zote nilizoagiza, kwenye video hii nimeongelea Imekuaje mizigo ikawahi sana kufika na ni jinsi gani na wewe utaweza kuagiza mizigo yako na ukaipata ndani ya wiki mbili.
Tucheki kwenye mitandao yetu ya kijamii
tech_africa
techafrica1
tekfrika
Пікірлер: 60
Naomba namb broo
Nice 2023 Unboxing Video Nilishawah Kuagiza Products Kikuu Mambo Kidogo Ya Kaenda Mlama Hahaha!
@TechAfrica
Жыл бұрын
Asante Sana
Mi naomba no za group lako nataka unielekeze kununua hiyo bidhaa na jinsi ya kuipata mimi nipo mkoani shinyanga kahama
sasa kaka kwa sisi tulio mikowan tunapataje mzigo tukiagiz aliexpess
Thank you for this, very helpful.
@TechAfrica
Жыл бұрын
Your welcome bro
@geofreysteven1524
Жыл бұрын
@@TechAfrica nambazako bro
Nakufuatilia sana br na kupitia wewe nimepata faida kwenye yale magroup mungu akuweke undelee kutuhabarisha
@TechAfrica
Жыл бұрын
Nafurahi kusikia hivyo, Amen
@Osak4really
10 ай бұрын
@@TechAfricakaka abali nitaj msaad wako
@TechAfrica
10 ай бұрын
Niambie kaka@@Osak4really
Jee kinunua bidhaa Alibaba unaweza kutumia awo Speedo
Ooh Asante Sana Kaka,nilikua nasumbuka Ni namna gani nitaupata mzigo wangu baada ya kuagiza Ali Express,kumbe wanaotuletea mizigo yao Ni wale wale wa kikuu,nawafahamu wa kikuu maana wameniletea Mara nyingi hao mpk getini,nashkuru Sana Kaka Sasa ntaagiza mzigo wangu aliexpress
@TechAfrica
Жыл бұрын
Nafurahi kusikia hivyo
@DavidMatuku-fo6pj
10 ай бұрын
Kikuu ndo wanaoleta mizigo ya aliexpress niel|kez bro
Unajua kufundisha nimepnda
Unaeza nisidia jinsi ya ulipaji nyani nikisha chagua bidhaa aliexpress inanipeleka kutumia card asa nashindwa kuelewa pale maana nimezoea kikou yenyewe inanipeleka kwenye laini niliyo na pesa nikiingiza namba ya siri nakuwa nishamaliza tofauti na huku naomba msaada nieleweshe🙏
Nice content bro🔥🔥🔥🔥
@TechAfrica
Жыл бұрын
Thank you
Noo yako ya simu
Fanya video jinsi ya kusafilisha mzigo kwa haraka tofauti na sasaivi kupitia alibaba
umepotea kaka
Kwenye soko la Alibaba unakuta bidhaa ina bei mbili sasa zinakua zinachanganya mfano unakuta Minimum order ni 1 bei 7900 sasa unakuta ni 7900tzs 32000tzs hapa inachanganya tunaomba ufafanuzi
@TechAfrica
Жыл бұрын
Ili kujua bei halisi ya bidhaa inabidi ubofye pale pa kununua Kisha utaona bei halisi
*OK BASI TAYARI NIMEJOIN*
@TechAfrica
10 ай бұрын
karibu
@kingkelia7097
5 ай бұрын
Kvp
vp bro
Naitji namber yako br
Bidhaa ninayotaka ipo na free shipping ko ndo inaeza isifike?
@TechAfrica
25 күн бұрын
kidogo inasumbuaga lakini kuna kadhaa ambazo zilikua na free shipping na zilifika vizuri tu
vp
Na vipi nikitaka kuagiza na kucheki bidhaa Ninadowload app ipi?Ni Alibaba au Ali Express,maana mm nilidownload app ya Alibaba na inaniletea Bei za bidhaa kwa Dola ,lkn nimeona kwa hyo app yako mbna umeletewa kwa Tz shilings,Ni app gani hyo?pliiz naomba nijibu.
@ChugaonlineShop
Жыл бұрын
Unaweza kuchange ikawa kwa Tsh dear
@ChugaonlineShop
Жыл бұрын
Unaweza kuchange ikawa kwa Tsh dear
Kwa mwanza ofisi za aliexpress ziko wap
@TechAfrica
10 ай бұрын
Kwakweli kwa mwanza sifahamu zipo wapi
Jinsi ya kupata promo code
Hellow
Jinsi ya kulipia mzigo aliexpress
Kaka vipi kwa wenye tupo mkoani Kama Mimi nitumie Nini au nifanyeje Na Mimi nipo mkowa was rukwa sumbawanga mjini inakuwaje apo kwenye upande wa kupokea naomba mzaada kaka
@TechAfrica
Жыл бұрын
naamini kuwa hata sumbawanga mjini pale kuna ofisi ya Posta, kama ipo nenda tu ufungue account yako halafu utaweza kuagiza vitu
Nawaptaje ssa
Sisi Burundi haina post code. Hapo bidhaa itanifikiaje?
@TechAfrica
Жыл бұрын
Kwakweli kwa Burundi sijui bado tunafanyaje boss, labda uende kwenye account settings za AliExpress uangalie inakuuliza uweke nini?
@alainyamuremye982
Жыл бұрын
@@TechAfrica Inakwambia uweke post code inapoenda kwenye mtandao wa get post code ukitafuta wanakuonyesha lacalisation Yako Kwenye Google maps. Sijui kama fasi ya post code inaweza ukaweka mkowa.
Kwa huku mwanza ofisi za hao wanaokuletea kwa siku chache zipo wapi?
@TechAfrica
Жыл бұрын
Kiuweli kwa Mwanza sijui ofisi zao zilipo, wewe ukisha agiza, bidhaa zikafika ndio watakujulisha
@trendingfootshorts
Жыл бұрын
Kaka naomba namba za ao jamaa niweze kuwasilian nao please
@user-ri9uw6vn1v
Жыл бұрын
@@TechAfrica bro vp
Naomba namba yako
@TechAfrica
Жыл бұрын
Naomba unicheki kwenye email yangu tekinafrica@gmail.com
Kaka umepotea
@TechAfrica
Жыл бұрын
Nimerudi kaka
Naomba utwambie kuhusu hiyo kampun
@TechAfrica
Жыл бұрын
Kampuni ipi kaka?
@Meremo_T
Жыл бұрын
@@TechAfrica hiyo ambayo ilikuletea bidhaa za ndan ya siku 14 inaitwaje na mambo kuhihusu
@trendingfootshorts
Жыл бұрын
Na mimi nahitaj kujua iyo campuni au link yao