Jinsi Ya Kuagiza Bidhaa Alibaba (China) Hatua Kwa Hatua Kwa Simu (App)

Тәжірибелік нұсқаулар және стиль

Jiunge nasi katika kuchunguza hatua muhimu katika ununuzi wa bidhaa China kiusahihi hadi kukufikia nchini kwako.
Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/...
Karibu Tanzanite Digital ambapo, tujifunze namna tofauti tofauti za jinsi ya kujiingizia kipato mtandaoni kwa biashara mbalimbali. Ikiwa ungependa kujifunza zaidi. Subscribe na usikae mbali na channel yetu!
Follow Platforms Zetu Nyingine:
✅ WhatsApp Channel: whatsapp.com/channel/0029VaFO...
✅ Instagram: / tanzanitedigital
✅ LinkedIn: / tanzanite-agency
Enjoy!
#fursa #mtandaoni #biashara #matangazo #jinsiyakufanikiwa #kazizamtandaoni freelancing #tipsforfreelancing #startfreelancing #howtobecomeafreelancerforbeginnersin2023 #howtobecomeafreelance #howtobecomeafreelancerforbeginners #alibaba #china #entreprenuer #aliexpress #jinsiyakununuachina #jinsiyakununuaalibaba #biasharachina #biasharayanguo #biasharayavyombo #silentocean

Пікірлер: 65

  • @tanzanitedigital
    @tanzanitedigital15 күн бұрын

    Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/china-tanzania-complete-pdf/

  • @musictz1805
    @musictz18057 ай бұрын

    Aiii nimependa kaka maelezo yako Kila sku nilikuwa najiuliza nitawezje ila umenisanuwa chukuwa maua yako kiroh safi 🌹🌹🌹🌹

  • @user-tt3jh1mq5y
    @user-tt3jh1mq5y3 ай бұрын

    Makini sana, hongeren san

  • @salehekisebengo8554
    @salehekisebengo85542 ай бұрын

    Nmeshiba maelezo yako kiongozi,but nikipata shida nitakutafta,samahani naomba mawasiliano ya direct ,i means no za cm

  • @UGE.9i
    @UGE.9i7 ай бұрын

    To be honest nimekuelewa vzr sana Boss, 💯

  • @laurenttibursius2661
    @laurenttibursius26612 ай бұрын

    Boss 💯 nmekuelewa

  • @francelwehela4059
    @francelwehela40595 ай бұрын

    Ubarikiwe kaka

  • @user-pt6qr3ig2i
    @user-pt6qr3ig2i3 ай бұрын

    Big up sana Bro ❤..

  • @Evarestglobal_explore
    @Evarestglobal_explore5 ай бұрын

    Ahsante kwa video zenu kiukweli zinasaidia wengi nikiwa mmoja naomba niulize kama mtu anaweza kutumia wakala kwenye malipo

  • @veronicakawimbe3817
    @veronicakawimbe38175 ай бұрын

    Nimependa mafundisho yako unaeleweka❤

  • @user-gs5ov9qx7t
    @user-gs5ov9qx7t4 ай бұрын

    Mungu akubariki na akuzidishie ulipotoa

  • @tanzanitedigital

    @tanzanitedigital

    4 ай бұрын

    Shukran 🙏🏾

  • @NicksonKihombo
    @NicksonKihombo2 ай бұрын

    naomba namba yk

  • @AdamAyoub-wq7ku
    @AdamAyoub-wq7ku6 ай бұрын

    Kaka uko vizuri sana maelezo yame nyooka Umetuzindua maan watu tuna pigwa bei balaa kumbe kuagiza ni bei chee2 sante sana mung aku bariki kaka❣️💯✔️

  • @tanzanitedigital

    @tanzanitedigital

    6 ай бұрын

    shukrani chief 💯

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo43616 күн бұрын

    Naomba namba

  • @veronicavenance5842
    @veronicavenance58426 ай бұрын

    youre the best

  • @tanzanitedigital

    @tanzanitedigital

    6 ай бұрын

    Asante 💯

  • @andrewmbwana6336
    @andrewmbwana63367 ай бұрын

    Namba yako Kaka

  • @angelmangi6138
    @angelmangi6138Ай бұрын

    Chukua maua yako🤝

  • @CarolinaRobert-mx6nw
    @CarolinaRobert-mx6nw6 ай бұрын

    I really appreciate it ❤❤

  • @tanzanitedigital

    @tanzanitedigital

    6 ай бұрын

    Karibu ♥️

  • @jovingeniuss1711
    @jovingeniuss17115 ай бұрын

    🧠🙏🏼

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo43616 күн бұрын

    Naomba namba mkuu

  • @majidsalum1141
    @majidsalum1141Ай бұрын

    Kaka naomb namba yako ya whsp

  • @NzengoPeter
    @NzengoPeter4 ай бұрын

    Bdo ujafafanua vzr anza step by step

  • @tanzanitedigital

    @tanzanitedigital

    4 ай бұрын

    Hauko serious my friend

  • @christasyliviajosephat2003
    @christasyliviajosephat20035 ай бұрын

    Naomba process za malipo au unatakiwa kuwa na visa au uwe na nn haswa ili kukamilisha malipo

  • @user-sh8nr3gw1c
    @user-sh8nr3gw1cАй бұрын

    Mkuu me nahitaj msaada zaidi jinsi ya kupokea mzigo ukifika dar kwa wale tulioko mikoan

  • @Mgutehekima.
    @Mgutehekima.7 ай бұрын

    Vipi quality ya computer ukiagiza china?

  • @boniphacejeremiah5682
    @boniphacejeremiah56825 ай бұрын

    Asante Bro But nilizani naweza tumia hata simu card kufanya malipo mfano Mpesa and so on. But thanks for time and appreciate👏

  • @gsmtz5808
    @gsmtz58084 ай бұрын

    Kaka habar vipi utaweza kupata agent. address

  • @qamalimisanya39
    @qamalimisanya392 ай бұрын

    Kaka Naomba hiyo address ya kampuni

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo43615 күн бұрын

    Naomba namba bwana mkubwa

  • @tanzanitedigital

    @tanzanitedigital

    15 күн бұрын

    tanzanitedigital.com/hire-us/

  • @user-wo4xi9qr9p
    @user-wo4xi9qr9p6 ай бұрын

    Vipi kuhusu ukitaka kuchagua company ya kitu unacho kitaka sana san mwenye spare

  • @irenejerome111
    @irenejerome1115 ай бұрын

    Hello my frnd.. nafanyaje kuweka card yangu kuweza kupay paypal

  • @user-ld6bq4sb6b
    @user-ld6bq4sb6b6 ай бұрын

    swal lang n ,agent akshafika inchin mzgo anakufkishia mahal unapokua(mf.mkoa nje ya dar)!?au mteja ndo inabd afate kwa ofs zao may be!. maelekezo tafadhar

  • @user-gq5wt1dk8u
    @user-gq5wt1dk8u6 ай бұрын

    Kaka naomba namba yako

  • @user-gn4yb2dh4j
    @user-gn4yb2dh4j4 ай бұрын

    Kwasisi wa mikoani vp mzigo unafika Hadi nilipo au ndo nitafuata katika office zao

  • @irenejerome111
    @irenejerome1115 ай бұрын

    Ahsante Kwa SoMo zuri.. naomba kujua kunawwza kuwa na account fake yaan matapeli Alibaba?... Maana Kuna account za supplier nyingne zimeandikwa verified na zingne hazijaandikwa verified.. naomba maelezo kidogo

  • @tanzanitedigital

    @tanzanitedigital

    5 ай бұрын

    swali zuri, nakuandalia video wiki hii kwa uelewa zaidi boss

  • @MtumwaHassan-tb7wr
    @MtumwaHassan-tb7wrАй бұрын

    Asnt san nimepend ulivyoelekeza but mm nipo n shida moj.all processure nafanikiwa lkn shida inakuj kunako payment malipo hayakamilik afu ela ipo y kutosh kwrny account.hii inakuaje

  • @tanzanitedigital

    @tanzanitedigital

    Ай бұрын

    confirm na bank yako, kama kadi/account yako ina uwezo wa kulipia online.

  • @MtumwaHassan-tb7wr

    @MtumwaHassan-tb7wr

    Ай бұрын

    Naomb usaidiz zaid tafadhali coz mm kil kit kinakua saw ila kitend cha kulip tuuu ndio haifanikiwi.really sielee shiada .naomb unisaidie

  • @MtumwaHassan-tb7wr

    @MtumwaHassan-tb7wr

    Ай бұрын

    Ingekua kun uwez wa kutum pich ningekutumia uwo wap nakwama.if utojal naomb no yak y whatpp nikutumie

  • @tanzanitedigital

    @tanzanitedigital

    Ай бұрын

    Wasiliana na bank yako tafadhari. Eidha wamekublock kununua Alibaba. Watakusaidia. Ni changamoto ya kawaida. Itakaa sawa.

  • @user-bl3un9gt2v
    @user-bl3un9gt2v7 ай бұрын

    Samahan tuelekeze jinsi ya kupata makampuni ya usafirishaj hasa ya ndege apo ndo pagumu sana msaada

  • @yustakipenya6231
    @yustakipenya62317 ай бұрын

    Kwanini nimechelewa kuifaham hii

  • @hunchotv2011
    @hunchotv20114 ай бұрын

    naweza pata namba yako bro

  • @ndamo2653
    @ndamo265312 күн бұрын

    Braza tuachie namba yako ya simu

  • @tanzanitedigital

    @tanzanitedigital

    11 күн бұрын

    Serious enquiries only: 0747 177 677

  • @gasanatv4077
    @gasanatv40773 ай бұрын

    Mimi bado wananitatiza unakuta amount iliyoamdikwa chini ya bidhaa inakuwa tofauti when you start to make ordw inaweza hata kuwa mara mbili ya Ile ya mwanzo harafu wanakupgia total with shipping cost inakuwa kuubwa shida ni nini hapo au nakosea wapi

  • @salimmaulid5111

    @salimmaulid5111

    2 ай бұрын

    Mimi pia nimeshtuka

  • @njalamayala2211
    @njalamayala22116 ай бұрын

    Asante Kwa SoMo zuri

  • @tanzanitedigital

    @tanzanitedigital

    6 ай бұрын

    karibu

  • @motivationinlife345
    @motivationinlife3457 ай бұрын

    🫡🫡🫡

  • @AhmedKhalid-vr2bh
    @AhmedKhalid-vr2bh3 ай бұрын

    brother umeagiza pikipiki kupitia njia ya meli umetumia ajent kuna ushuru labda utatoa mzigo ukifika

  • @jayshakichampionkiller5959

    @jayshakichampionkiller5959

    Ай бұрын

    Kupitia ndege huwez ukaagiza pik pik😂😂

  • @aggiebarton8315
    @aggiebarton83157 ай бұрын

    Katika tutorial zote nilizo angalia. Aloo hii nimeelewa vizuri sana. ✡️✡️✡️✡️✡️ Nimekupa

  • @mazikumathew8873
    @mazikumathew88733 ай бұрын

    Huo mzigo ulishaulipia unauchukulia daressalam au hata mikoano unafikishwa maana Mimi Niko mkoani shinyanga nisaidie

  • @LindaSalumu-yw9hq

    @LindaSalumu-yw9hq

    2 ай бұрын

    Ukiagia unalipia cargo yako uliotumia then utatumiwa mkoani then unalipia kwa gar ulotumia kusafirisha

  • @tanzanitedigital
    @tanzanitedigital7 ай бұрын

    Bei Za Kusafirisha Bidhaa Kutoka China Hadi Tanzania 👉🏼👉🏼kzread.info/dash/bejne/iGFto8R-hbW2iqQ.html Siku Ngapi Mzigo Unakufikia Kutoka Alibaba (China) 👉🏼👉🏼 kzread.info/dash/bejne/dqaNuMqBlNTansY.html

  • @samsonkisanga8587

    @samsonkisanga8587

    7 ай бұрын

    🎉🎉

  • @StephanoShambogo
    @StephanoShambogoАй бұрын

    Vp natak nifany manunuz na sina agent ntapataj agent

Келесі