Jinsi ya kuishinda tabia ya kusahau sana

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 122

  • @princekagay4552
    @princekagay45523 жыл бұрын

    Dah hilo tatzo la kusahau kwa upande wangu kwa kiasi kikubwa sana na nahisi nkutokana na stress ambayo yanafnya hadi nakosa usingiz ule uliokuw quality cuz cwez kulala mpka niwaze jinsi maisha yang nitayafnyaje ili nipate kufankiw

  • @saidmasoud1291

    @saidmasoud1291

    3 жыл бұрын

    Joel na mm tatizo langu ni kukosa usingizi na pia nahisi inachangia sana na stess hii stress kwa kiasi kikubwa kuhusu maisha yangu naomba unisaidie

  • @maryndunge3849
    @maryndunge38492 жыл бұрын

    Stress na kidogo anxiety.... Nasahau Sana. Siwezi kuweka kumbukumbu kabisa

  • @yusufubunu
    @yusufubunu Жыл бұрын

    Samahani Mwalim Je. Jinsi UMRI unavyosogea kuelekea UZEE hauwezi kuathiri uwezo wa kufikiri. na kuogeza kusahau

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma71423 жыл бұрын

    Nishakutana nayo sanaa, na ilikua inasababishwa na stress nyingi pamoja na wasiwasi hasa siku ya kwanza ya wiki ilikua siipendi nikifikiria kesho ndo naanza tena Najikuta wasiwasi mwingi kama ntachelewa kama kazi zitakua nyingi afu Kibaya zaidi ni kazi nisiyoipenda hata kidogo. Nashukuru Mungu nimevikontroo,japo kazi sijabadilisha bado.

  • @5dproductiontv601
    @5dproductiontv60110 ай бұрын

    Shukran akhui vitu vitatu niko navo stress,kulala ., anxiety vinanisumbua sana

  • @daudhabona8897
    @daudhabona88973 жыл бұрын

    💕💕 OVERTHINKING. Hili pia ni tatizo kubwa sana. Jaribu kulizungumzia hili jambo. Lona athiri sana vijana. Wanafikiria sana badala ya KITENDA. Na linasababisha pia tatizo hili. Ila kaka solution haijatosha tunajitoaje kwa tatizo hilo

  • @helenamusa432
    @helenamusa4323 жыл бұрын

    Asante saana Mr Joel mimi huwa nikapata hofu na chochote kuwaza huwa to much inanipeleka kasahau adi hata kumsikiliza mtu siwezi naomba nisaidie nafanyaje kwan ki2 hata kama kidogo kikiwa tofaut navoitaji lazima stres Nataka nipate njia ya kuepuka na wazo likiingia kwa kichwa kutoka ni shughuli nisaidie naomba

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias52923 жыл бұрын

    Asante Joel, mi nadhani n dawa ya operation niliyochomwa ndio inanipa kusahau. Tangu hiyo operation miaka 3 baadae nimekuwa na tatizo la kusahau sana na sijui nalitokaje

  • @mussalulenga9939

    @mussalulenga9939

    2 жыл бұрын

    Nikwel hata mie ndo hivyo japo siyo kwa kiwango kikubwa

  • @josiahlwakatare3701
    @josiahlwakatare3701 Жыл бұрын

    Mhhhh mambo mawili Kukosa usingizi, kunasababishwa na stress, na kingine Woga, hofu, nashaka. Hivi ni vikubwa Sana. Dah ninasaidikaje.

  • @yusufMohammedy-ub2pv
    @yusufMohammedy-ub2pv27 күн бұрын

    Asante dr Naomba soma hio comment je nivyakula gani ambavyo vina athari na vina athiri kitu kama hicho mimi nasahau sana hadi najishangaa mwenye n

  • @linardamuindi6856
    @linardamuindi68563 жыл бұрын

    Thank you so much Joel. It has been my problem for a long time now.

  • @dicksongadson2223
    @dicksongadson22233 жыл бұрын

    wasiwasi ndio .umenifanya hata nifel mambo yangu

  • @anastasiamainaministries2700
    @anastasiamainaministries27003 жыл бұрын

    🇰🇪❤❤ wakati nimechoka sana hua natafuta kitu nikiwa nishika kwa mkono...

  • @mukrimhassan9470
    @mukrimhassan9470 Жыл бұрын

    Tuko pamoja brother joel ubarikiwe ww & familia yk & wazazi,rfk,& watu Wako wote Ahsanten ila km unaswali je...

  • @rehemaaloyce1427
    @rehemaaloyce1427 Жыл бұрын

    Asanteee sana Mungu akubariki kwa mafunzo yako

  • @piliame1249
    @piliame12492 жыл бұрын

    dct.joel kwanza asante kwa kunielimisha mielewa kwa sababu huku kazi watu hadi wamechoka

  • @user-fy5yt1dm4w
    @user-fy5yt1dm4w9 ай бұрын

    Shukran sana kaka Joel unamafundisho mazur sana

  • @josiahjofrey5224
    @josiahjofrey52243 жыл бұрын

    Asante sana mtumishi. Najifunza mengi

  • @codaharxh._
    @codaharxh._3 жыл бұрын

    Uoga na kutokujiamini ni moja kati ya sababu zinzofanya wanafunzi wengi kusahau / student case' Mwanafunzi akisha kuwa kati ka hali ya uoga anasahau haraka, kwa case ya mwanafunzi inabidi ajenge tabia ya kujiamini self-confidence to overcome exams pressure

  • @ezironvyats433
    @ezironvyats4333 жыл бұрын

    Shukuran kwa malifaa 🙏🙏

  • @EdisaLaurian-gh1op
    @EdisaLaurian-gh1op Жыл бұрын

    Asante Kaka kwa ushauri Mungu akubariki

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65243 жыл бұрын

    Asante sana Mr Joel nanauka

  • @fanueldaud2120
    @fanueldaud21202 жыл бұрын

    Asante sana

  • @suzycharles8335
    @suzycharles83354 ай бұрын

    Nasahau sana simpati usingizi

  • @annandomondo500
    @annandomondo5002 жыл бұрын

    Asante sana..

  • @marusumattor7458
    @marusumattor74582 жыл бұрын

    dah kweli kaka mara zote hofu ndio sababu kuu kwangu inayoniumiza nilikua naomba unisaidie nifanye nn ili niondoe hofu kwenye maisha yangu

  • @illuminatajulius6361

    @illuminatajulius6361

    Жыл бұрын

    Be blessed my brother,, anxiety is position,thank you so much

  • @lukunielisha848
    @lukunielisha8482 жыл бұрын

    Asante kwa elimu unayo toa. Lakin mm. Nina tatizo kusahau. Hasa katika masomo yangu pamoja kuwa mzito wa. Kung'amua mambo. Hili inakuaje. Maana nikesha shindwa . Hadi napata usingizi kwa muda mfupi mnooo..!

  • @dorahmanyilika6127

    @dorahmanyilika6127

    Жыл бұрын

    Nasahau sana hata nikiwa naongea na mtu mara nasahau baadae namuuliza anikumbushe nilikuwa naongea kuhusu nini nakosa usingizi nalala karibu na asubuhi au wakati mwingine nakesha naamka nikiwa kama mlevi

  • @barakambogo6932
    @barakambogo6932 Жыл бұрын

    Thanks blood

  • @herimailo5350
    @herimailo5350 Жыл бұрын

    Asante Sana bro

  • @furahajoy3168
    @furahajoy31683 жыл бұрын

    Thank so much

  • @joycekerenge3605
    @joycekerenge36052 ай бұрын

    Kaka Joel nashukuru kwa elimu lkn mimi nakupendekezea uwe unatushauri na tiba tunaponaje ndugu yangu

  • @kelvinandrea4759
    @kelvinandrea47592 жыл бұрын

    Asante kwa somo

  • @annatemu6311
    @annatemu63116 ай бұрын

    Nakupend cz unaendag moj kwa moj kweny point

  • @StridaMheni-vu8ui
    @StridaMheni-vu8ui Жыл бұрын

    Mie pia nasahau sana jaman najitahid lakin bado

  • @mwanaomary3034
    @mwanaomary30349 ай бұрын

    Thanx broo

  • @daudifilipo8500
    @daudifilipo85003 жыл бұрын

    Asante san

  • @samahaomar7372
    @samahaomar73722 жыл бұрын

    Thanks bro true

  • @user-ff6ej3ii3d
    @user-ff6ej3ii3d5 ай бұрын

    Kwaupande wangu ni stress pamoja na hofu , kukosa usingiz pia

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Жыл бұрын

    Shukuran sana Mwalimu

  • @brothersforevergroup4464
    @brothersforevergroup44643 жыл бұрын

    Thank you

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72793 жыл бұрын

    Asante sana najifunza sana 🙏😢

  • @user-de9df7qo3z
    @user-de9df7qo3z4 ай бұрын

    Nautical anje ety kuto fantastic ngono kunachagia kuwa na tattoo la kusahausahau

  • @RUGESHGEOFFREY
    @RUGESHGEOFFREY3 жыл бұрын

    Wow great

  • @sanggroupofcompanylimited.
    @sanggroupofcompanylimited.3 жыл бұрын

    Mpaka sasa mwalim joel niko kakita kusahau kwa hali ya juu sana kiasi kwamba ata nikisoma kitabu baada ya dakika 5 nakuwa nimesha sahau kabisa

  • @pabloescobar2161

    @pabloescobar2161

    3 жыл бұрын

    Pole sana

  • @elymrutu8888
    @elymrutu88882 жыл бұрын

    Saw

  • @waziriali7895
    @waziriali7895 Жыл бұрын

    Daa kweli mm nasahau sana ila nahis hof na mawazo san nifanyeje ili niondkane na hiyo hali

  • @makwesamohamedialli
    @makwesamohamedialli9 ай бұрын

    Me nafikiri uoga,

  • @user-yb4oz4yf9g
    @user-yb4oz4yf9g Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤ipo vizuri

  • @josiahlwakatare3701
    @josiahlwakatare3701 Жыл бұрын

    Neo la Hofu ni kubwa Sana kwangu.

  • @aishahassani3921
    @aishahassani39213 жыл бұрын

    Bro upo vzr Sana najifundisha mambo mengi kupitia ww

  • @ceciliathomas3128
    @ceciliathomas31282 жыл бұрын

    Yaani nimejikuta nguvu ikinirudia Tena baada ya kusikiliza ujumbe huu

  • @bintykhuwailyd7567
    @bintykhuwailyd75673 жыл бұрын

    Mimi ninasahau sana ,na sababu huenda ikawa ni mbili stress ama axiety ,lakini nkijaribu kuzifikiria hizo streess zangu na shindwa kuzijua ila nahisi kabisa kuwa nna stress,kwahapo unanisaidiaje?

  • @samsonsimonndalangavye5501
    @samsonsimonndalangavye55013 жыл бұрын

    Kwa mada nilivyoielewa basi tatizo langu lipo kukosa usingizi kwa sababu ya kazi nyingi nimekuelewa ndugu mtangazaji

  • @tracykinana8673
    @tracykinana86732 жыл бұрын

    Nimekuwa na hiyo shida sana

  • @pendojeremiah9111
    @pendojeremiah91113 жыл бұрын

    Kusahau mwaka Jana kiukweli mwaka mzima nilikuwa nasahau but at least now Ila bado nasahau

  • @letionnews310
    @letionnews3103 жыл бұрын

    Brother Joel, hili tatzo la kusahau limeninyemelea huu ni mwez wa pili sasa najikuta nasahau kitu hata kama nimekifanya muda huo lekin najikuta nimesahau... Lekin kwa somo lako sasa umenifumbua akiri lazima nichukue hatua.. Mungu azidi kukulinda brother Joel

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid29063 жыл бұрын

    Ahsante

  • @tausipaschel155
    @tausipaschel1553 жыл бұрын

    Umenisaidi kwa mafundisho hayo niliyoyasikia

  • @tembomelody5407
    @tembomelody54073 жыл бұрын

    Daah jiniaz

  • @jonasmwarja2957
    @jonasmwarja29573 жыл бұрын

    Namba 5 inanihsu

  • @TimothMbogoEmpire
    @TimothMbogoEmpire Жыл бұрын

    kaka mimi ninatatizo la kusahau toka nikiwa shuleni kwenye masomo unaweza ukajifunza ukaelewa vzr lakn tatzo la kusahau lilikuwa changamoto na nimejtahd kutafuta hata dawa za kutumia ili niweze kuishnda hyo hali lakn ni kwakias kdogo sana nimefanikiwa kutokana na dawa hzo.Naomba ushaur wako kaka joeli nifanye Nini ili niwe na uwezo mzur wa kutunza kumbukumbu.

  • @mariamchonde
    @mariamchonde Жыл бұрын

    Kaka mm tangu nazaliwa natatizo Hilo na sijawah kupata matibabu napia nakuwa na maumivu makal sana kichwani

  • @eustelachiwanga3470
    @eustelachiwanga3470 Жыл бұрын

    Nasahau sana , nahisi kutopumzika vya kutosha na stress. Ili ulale vya kutosha kuepuka UGONJWA wa kusahau unatakiwa ulale masaa mangapi? Na je mambo mengi yanasababisha kusahau

  • @ceciliathomas3128
    @ceciliathomas31282 жыл бұрын

    Kuanzia leo sitakuwa na stress Tena na nitaanza kulala mapema na simu ,movie na mambo mengi ninayaacha

  • @nuryatmussa9966
    @nuryatmussa9966 Жыл бұрын

    Nina mama angu anasaha hadi mazingira yanyumban anauliza hapa nipo wapi yani anakua hajuai hata nyumbani😢hua kinaanza kuuma kichwa sana baada yahapo hakumbuki tena anakua nawasiwasi sana anakosa amani anataman akae mbali nawa2 iyo inatokana nann?

  • @farihiamass8739
    @farihiamass87392 жыл бұрын

    Yaaan nasahau mpk najichukia

  • @MalegesiMakunja
    @MalegesiMakunja3 жыл бұрын

    Mimi Kuanzia nipo mdogo nasahau, Ila ninavyozidi kuwa mkubwa nazidi kusahau Mara kwa Mara.

  • @jumamafita8052
    @jumamafita80522 жыл бұрын

    Kuongea na wateja vizuri

  • @NeemaLeonard-wc2qc
    @NeemaLeonard-wc2qc3 ай бұрын

    Mimi hofu oficini inanifanya nisahau

  • @sadammbarak8281
    @sadammbarak82812 жыл бұрын

    Mi nahitaji msaada wa mwanasaikolojia

  • @elizabethbernard3636
    @elizabethbernard36363 жыл бұрын

    Kwa mm chanzo cha kusahau inatokana na stress pamoja na uwoga

  • @elibarikishukya-lf3sk
    @elibarikishukya-lf3sk Жыл бұрын

    Anxiety😊

  • @alikhamad6431
    @alikhamad6431 Жыл бұрын

    mimi tatizo langu ni msongo wa mawazo nimgonjwa wa kisukar mimi mwenyewe huwa najisahau kama nimm au la msaada plz

  • @khalidabdulla6545
    @khalidabdulla65453 жыл бұрын

    Doh kk Joel Me nlisahau kuowa mwaka jana..

  • @pabloescobar2161

    @pabloescobar2161

    3 жыл бұрын

    😂

  • @breshnyanjwa3102
    @breshnyanjwa31023 жыл бұрын

    I'm addicted to that due to anxiety J help us kno how to deal with it

  • @razakiabdul2354
    @razakiabdul23542 жыл бұрын

    Mmi huwa nsahau nnaposom kit lazm nkirudie sana ND kikae akikin tatz nn

  • @lesusi7872
    @lesusi78723 жыл бұрын

    Mi no 4

  • @ahazisimwakwenda3535
    @ahazisimwakwenda3535 Жыл бұрын

    Nahisi ni kwa sababu ya mastebretion

  • @furahaemanuel4861
    @furahaemanuel48613 жыл бұрын

    Mie kila kitu nikifanyacho hasa kwa watu wengi japo nakuwa najua nafanya vzur lakini nakuwaga na hofu kubwa mno

  • @aishahassani3921
    @aishahassani39213 жыл бұрын

    Mm nime kuwa mtu wakusahau tangia hili tatizo lijitokeze ni mda sasa hata mwez wa tatu mwaka huu nimesafir airport kuna sehem nilikaa bs ktk kuamka nilisahau passport dubai so nitatizo kubwa

  • @leshingaosekei5929
    @leshingaosekei59293 жыл бұрын

    Kaka mimi hapa nilipo ni mhusika mkuu wa somo hili na hali ya kusahau imeshakuwa ni tatizo la kudumu kwangu sijui solution ni nini kwangu.

  • @siahraphael9349
    @siahraphael9349 Жыл бұрын

    Iyo kusahau inaniathiri sana ata sehem ya kazi napata asara sana kaka yangu nanisaidiaje Please.

  • @deboralaiton1929
    @deboralaiton19293 жыл бұрын

    Niliyamiss sana mafunzo haya

  • @gustaphampinga951
    @gustaphampinga9513 жыл бұрын

    Nifanye biashala gani!

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Жыл бұрын

    Stress nafikili

  • @damaridaudi9785
    @damaridaudi97859 ай бұрын

    kiukwel mwalimu joeli tena dakik hii naweza ongea na mtu sahii sahiyo nikigeuk tu nilazima tu nimtafute nimuambie dada samaja kwan mda ule uniliambia nini please nielekezd tena

  • @abduldandy3077
    @abduldandy30773 жыл бұрын

    Tengeneza video how to face fear

  • @SandrineNduwimeNduwim

    @SandrineNduwimeNduwim

    3 жыл бұрын

    lpo

  • @abduldandy3077

    @abduldandy3077

    3 жыл бұрын

    @@SandrineNduwimeNduwim nipe link

  • @furahaemanuel4861
    @furahaemanuel48613 жыл бұрын

    Kaka Joel mie nilishasahau hadi siku ya usahili

  • @kanasolange1063
    @kanasolange10632 жыл бұрын

    Mi nina mwanafunzi wa miaka 7 anasahau sana hata alphabet ukimfundisha baada ya dakika 30 anakua ashasahau na yey tatizo ni nini?mbona bado mtotp

  • @sylviacornely4688
    @sylviacornely46882 жыл бұрын

    Ili mtu awe na hamu ya kusoma afanyeje?

  • @JemsMunis-mu3tv
    @JemsMunis-mu3tv11 ай бұрын

    Brother ayo ulio eleza napitia ivo ivo nisaidie kaka

  • @meshakimukangwa7482
    @meshakimukangwa74822 жыл бұрын

    Nitibagani sasa

  • @violetmatovu6563
    @violetmatovu65633 жыл бұрын

    Mm ninasahau sana lakini mara nyingi huwa na hofu sana unanusaidiaje kiondoa. Hofu hii Ila mama yangu husahau pia pengne nimerith?

  • @maryemanuel1404
    @maryemanuel1404 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭🙌

  • @shabanshabanmkahana7250
    @shabanshabanmkahana72502 жыл бұрын

    Mm ni namba tano

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa81542 жыл бұрын

    Mm nadhani Ni stress za muda mrefuuu

  • @pawnyakyeelwa
    @pawnyakyeelwa3 жыл бұрын

    Pongezi sana kak #Joel_Nanauka maan umetugusa walio wengi. Ila pia kama utakaposoma comment hii nitaarifu kuna kitu nilipenda kukumbusha 🙏🙏🙏

  • @maryndunge3849
    @maryndunge38492 жыл бұрын

    Stress Sana Sana... Kweli siwezi kuweka kumbukumbu kabisa.

  • @hekimanyato5630
    @hekimanyato56303 жыл бұрын

    Ili tatizo limekuja kuakubwa sn katka ufaham wang ila nilikua natumiaga alcohol kwasas nimeacha: ila stress nahofu ndio vinaniandama kwasas: japo kuna mda kumbukumbu hurejea pale stress nahofu upunga: ila haidum kwakua stress nahofu hurejea kilawakat.. pia nashukuru sn bro Joel kwan tangu nianze kukufwatilia nimejifunz mengi sn kaka..

  • @edgerpeter1675
    @edgerpeter16753 жыл бұрын

    Kaka niko n shid n wew nitkuptje