Dah hilo tatzo la kusahau kwa upande wangu kwa kiasi kikubwa sana na nahisi nkutokana na stress ambayo yanafnya hadi nakosa usingiz ule uliokuw quality cuz cwez kulala mpka niwaze jinsi maisha yang nitayafnyaje ili nipate kufankiw
@saidmasoud1291
3 жыл бұрын
Joel na mm tatizo langu ni kukosa usingizi na pia nahisi inachangia sana na stess hii stress kwa kiasi kikubwa kuhusu maisha yangu naomba unisaidie
@maryndunge38492 жыл бұрын
Stress na kidogo anxiety.... Nasahau Sana. Siwezi kuweka kumbukumbu kabisa
@yusufubunu Жыл бұрын
Samahani Mwalim Je. Jinsi UMRI unavyosogea kuelekea UZEE hauwezi kuathiri uwezo wa kufikiri. na kuogeza kusahau
@khadijajuma71423 жыл бұрын
Nishakutana nayo sanaa, na ilikua inasababishwa na stress nyingi pamoja na wasiwasi hasa siku ya kwanza ya wiki ilikua siipendi nikifikiria kesho ndo naanza tena Najikuta wasiwasi mwingi kama ntachelewa kama kazi zitakua nyingi afu Kibaya zaidi ni kazi nisiyoipenda hata kidogo. Nashukuru Mungu nimevikontroo,japo kazi sijabadilisha bado.
@5dproductiontv60110 ай бұрын
Shukran akhui vitu vitatu niko navo stress,kulala ., anxiety vinanisumbua sana
@daudhabona88973 жыл бұрын
💕💕 OVERTHINKING. Hili pia ni tatizo kubwa sana. Jaribu kulizungumzia hili jambo. Lona athiri sana vijana. Wanafikiria sana badala ya KITENDA. Na linasababisha pia tatizo hili. Ila kaka solution haijatosha tunajitoaje kwa tatizo hilo
@helenamusa4323 жыл бұрын
Asante saana Mr Joel mimi huwa nikapata hofu na chochote kuwaza huwa to much inanipeleka kasahau adi hata kumsikiliza mtu siwezi naomba nisaidie nafanyaje kwan ki2 hata kama kidogo kikiwa tofaut navoitaji lazima stres Nataka nipate njia ya kuepuka na wazo likiingia kwa kichwa kutoka ni shughuli nisaidie naomba
@jescadeogratias52923 жыл бұрын
Asante Joel, mi nadhani n dawa ya operation niliyochomwa ndio inanipa kusahau. Tangu hiyo operation miaka 3 baadae nimekuwa na tatizo la kusahau sana na sijui nalitokaje
@mussalulenga9939
2 жыл бұрын
Nikwel hata mie ndo hivyo japo siyo kwa kiwango kikubwa
@josiahlwakatare3701 Жыл бұрын
Mhhhh mambo mawili Kukosa usingizi, kunasababishwa na stress, na kingine Woga, hofu, nashaka. Hivi ni vikubwa Sana. Dah ninasaidikaje.
@yusufMohammedy-ub2pv27 күн бұрын
Asante dr Naomba soma hio comment je nivyakula gani ambavyo vina athari na vina athiri kitu kama hicho mimi nasahau sana hadi najishangaa mwenye n
@linardamuindi68563 жыл бұрын
Thank you so much Joel. It has been my problem for a long time now.
@dicksongadson22233 жыл бұрын
wasiwasi ndio .umenifanya hata nifel mambo yangu
@anastasiamainaministries27003 жыл бұрын
🇰🇪❤❤ wakati nimechoka sana hua natafuta kitu nikiwa nishika kwa mkono...
@mukrimhassan9470 Жыл бұрын
Tuko pamoja brother joel ubarikiwe ww & familia yk & wazazi,rfk,& watu Wako wote Ahsanten ila km unaswali je...
@rehemaaloyce1427 Жыл бұрын
Asanteee sana Mungu akubariki kwa mafunzo yako
@piliame12492 жыл бұрын
dct.joel kwanza asante kwa kunielimisha mielewa kwa sababu huku kazi watu hadi wamechoka
@user-fy5yt1dm4w9 ай бұрын
Shukran sana kaka Joel unamafundisho mazur sana
@josiahjofrey52243 жыл бұрын
Asante sana mtumishi. Najifunza mengi
@codaharxh._3 жыл бұрын
Uoga na kutokujiamini ni moja kati ya sababu zinzofanya wanafunzi wengi kusahau / student case' Mwanafunzi akisha kuwa kati ka hali ya uoga anasahau haraka, kwa case ya mwanafunzi inabidi ajenge tabia ya kujiamini self-confidence to overcome exams pressure
@ezironvyats4333 жыл бұрын
Shukuran kwa malifaa 🙏🙏
@EdisaLaurian-gh1op Жыл бұрын
Asante Kaka kwa ushauri Mungu akubariki
@yusufuheri65243 жыл бұрын
Asante sana Mr Joel nanauka
@fanueldaud21202 жыл бұрын
Asante sana
@suzycharles83354 ай бұрын
Nasahau sana simpati usingizi
@annandomondo5002 жыл бұрын
Asante sana..
@marusumattor74582 жыл бұрын
dah kweli kaka mara zote hofu ndio sababu kuu kwangu inayoniumiza nilikua naomba unisaidie nifanye nn ili niondoe hofu kwenye maisha yangu
@illuminatajulius6361
Жыл бұрын
Be blessed my brother,, anxiety is position,thank you so much
@lukunielisha8482 жыл бұрын
Asante kwa elimu unayo toa. Lakin mm. Nina tatizo kusahau. Hasa katika masomo yangu pamoja kuwa mzito wa. Kung'amua mambo. Hili inakuaje. Maana nikesha shindwa . Hadi napata usingizi kwa muda mfupi mnooo..!
@dorahmanyilika6127
Жыл бұрын
Nasahau sana hata nikiwa naongea na mtu mara nasahau baadae namuuliza anikumbushe nilikuwa naongea kuhusu nini nakosa usingizi nalala karibu na asubuhi au wakati mwingine nakesha naamka nikiwa kama mlevi
@barakambogo6932 Жыл бұрын
Thanks blood
@herimailo5350 Жыл бұрын
Asante Sana bro
@furahajoy31683 жыл бұрын
Thank so much
@joycekerenge36052 ай бұрын
Kaka Joel nashukuru kwa elimu lkn mimi nakupendekezea uwe unatushauri na tiba tunaponaje ndugu yangu
@kelvinandrea47592 жыл бұрын
Asante kwa somo
@annatemu63116 ай бұрын
Nakupend cz unaendag moj kwa moj kweny point
@StridaMheni-vu8ui Жыл бұрын
Mie pia nasahau sana jaman najitahid lakin bado
@mwanaomary30349 ай бұрын
Thanx broo
@daudifilipo85003 жыл бұрын
Asante san
@samahaomar73722 жыл бұрын
Thanks bro true
@user-ff6ej3ii3d5 ай бұрын
Kwaupande wangu ni stress pamoja na hofu , kukosa usingiz pia
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Shukuran sana Mwalimu
@brothersforevergroup44643 жыл бұрын
Thank you
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
Asante sana najifunza sana 🙏😢
@user-de9df7qo3z4 ай бұрын
Nautical anje ety kuto fantastic ngono kunachagia kuwa na tattoo la kusahausahau
@RUGESHGEOFFREY3 жыл бұрын
Wow great
@sanggroupofcompanylimited.3 жыл бұрын
Mpaka sasa mwalim joel niko kakita kusahau kwa hali ya juu sana kiasi kwamba ata nikisoma kitabu baada ya dakika 5 nakuwa nimesha sahau kabisa
@pabloescobar2161
3 жыл бұрын
Pole sana
@elymrutu88882 жыл бұрын
Saw
@waziriali7895 Жыл бұрын
Daa kweli mm nasahau sana ila nahis hof na mawazo san nifanyeje ili niondkane na hiyo hali
@makwesamohamedialli9 ай бұрын
Me nafikiri uoga,
@user-yb4oz4yf9g Жыл бұрын
❤❤❤❤❤ipo vizuri
@josiahlwakatare3701 Жыл бұрын
Neo la Hofu ni kubwa Sana kwangu.
@aishahassani39213 жыл бұрын
Bro upo vzr Sana najifundisha mambo mengi kupitia ww
@ceciliathomas31282 жыл бұрын
Yaani nimejikuta nguvu ikinirudia Tena baada ya kusikiliza ujumbe huu
@bintykhuwailyd75673 жыл бұрын
Mimi ninasahau sana ,na sababu huenda ikawa ni mbili stress ama axiety ,lakini nkijaribu kuzifikiria hizo streess zangu na shindwa kuzijua ila nahisi kabisa kuwa nna stress,kwahapo unanisaidiaje?
@samsonsimonndalangavye55013 жыл бұрын
Kwa mada nilivyoielewa basi tatizo langu lipo kukosa usingizi kwa sababu ya kazi nyingi nimekuelewa ndugu mtangazaji
@tracykinana86732 жыл бұрын
Nimekuwa na hiyo shida sana
@pendojeremiah91113 жыл бұрын
Kusahau mwaka Jana kiukweli mwaka mzima nilikuwa nasahau but at least now Ila bado nasahau
@letionnews3103 жыл бұрын
Brother Joel, hili tatzo la kusahau limeninyemelea huu ni mwez wa pili sasa najikuta nasahau kitu hata kama nimekifanya muda huo lekin najikuta nimesahau... Lekin kwa somo lako sasa umenifumbua akiri lazima nichukue hatua.. Mungu azidi kukulinda brother Joel
@mohammedrashid29063 жыл бұрын
Ahsante
@tausipaschel1553 жыл бұрын
Umenisaidi kwa mafundisho hayo niliyoyasikia
@tembomelody54073 жыл бұрын
Daah jiniaz
@jonasmwarja29573 жыл бұрын
Namba 5 inanihsu
@TimothMbogoEmpire Жыл бұрын
kaka mimi ninatatizo la kusahau toka nikiwa shuleni kwenye masomo unaweza ukajifunza ukaelewa vzr lakn tatzo la kusahau lilikuwa changamoto na nimejtahd kutafuta hata dawa za kutumia ili niweze kuishnda hyo hali lakn ni kwakias kdogo sana nimefanikiwa kutokana na dawa hzo.Naomba ushaur wako kaka joeli nifanye Nini ili niwe na uwezo mzur wa kutunza kumbukumbu.
@mariamchonde Жыл бұрын
Kaka mm tangu nazaliwa natatizo Hilo na sijawah kupata matibabu napia nakuwa na maumivu makal sana kichwani
@eustelachiwanga3470 Жыл бұрын
Nasahau sana , nahisi kutopumzika vya kutosha na stress. Ili ulale vya kutosha kuepuka UGONJWA wa kusahau unatakiwa ulale masaa mangapi? Na je mambo mengi yanasababisha kusahau
@ceciliathomas31282 жыл бұрын
Kuanzia leo sitakuwa na stress Tena na nitaanza kulala mapema na simu ,movie na mambo mengi ninayaacha
@nuryatmussa9966 Жыл бұрын
Nina mama angu anasaha hadi mazingira yanyumban anauliza hapa nipo wapi yani anakua hajuai hata nyumbani😢hua kinaanza kuuma kichwa sana baada yahapo hakumbuki tena anakua nawasiwasi sana anakosa amani anataman akae mbali nawa2 iyo inatokana nann?
@farihiamass87392 жыл бұрын
Yaaan nasahau mpk najichukia
@MalegesiMakunja3 жыл бұрын
Mimi Kuanzia nipo mdogo nasahau, Ila ninavyozidi kuwa mkubwa nazidi kusahau Mara kwa Mara.
@jumamafita80522 жыл бұрын
Kuongea na wateja vizuri
@NeemaLeonard-wc2qc3 ай бұрын
Mimi hofu oficini inanifanya nisahau
@sadammbarak82812 жыл бұрын
Mi nahitaji msaada wa mwanasaikolojia
@elizabethbernard36363 жыл бұрын
Kwa mm chanzo cha kusahau inatokana na stress pamoja na uwoga
@elibarikishukya-lf3sk Жыл бұрын
Anxiety😊
@alikhamad6431 Жыл бұрын
mimi tatizo langu ni msongo wa mawazo nimgonjwa wa kisukar mimi mwenyewe huwa najisahau kama nimm au la msaada plz
@khalidabdulla65453 жыл бұрын
Doh kk Joel Me nlisahau kuowa mwaka jana..
@pabloescobar2161
3 жыл бұрын
😂
@breshnyanjwa31023 жыл бұрын
I'm addicted to that due to anxiety J help us kno how to deal with it
@razakiabdul23542 жыл бұрын
Mmi huwa nsahau nnaposom kit lazm nkirudie sana ND kikae akikin tatz nn
@lesusi78723 жыл бұрын
Mi no 4
@ahazisimwakwenda3535 Жыл бұрын
Nahisi ni kwa sababu ya mastebretion
@furahaemanuel48613 жыл бұрын
Mie kila kitu nikifanyacho hasa kwa watu wengi japo nakuwa najua nafanya vzur lakini nakuwaga na hofu kubwa mno
@aishahassani39213 жыл бұрын
Mm nime kuwa mtu wakusahau tangia hili tatizo lijitokeze ni mda sasa hata mwez wa tatu mwaka huu nimesafir airport kuna sehem nilikaa bs ktk kuamka nilisahau passport dubai so nitatizo kubwa
@leshingaosekei59293 жыл бұрын
Kaka mimi hapa nilipo ni mhusika mkuu wa somo hili na hali ya kusahau imeshakuwa ni tatizo la kudumu kwangu sijui solution ni nini kwangu.
@siahraphael9349 Жыл бұрын
Iyo kusahau inaniathiri sana ata sehem ya kazi napata asara sana kaka yangu nanisaidiaje Please.
@deboralaiton19293 жыл бұрын
Niliyamiss sana mafunzo haya
@gustaphampinga9513 жыл бұрын
Nifanye biashala gani!
@maryeer6392 Жыл бұрын
Stress nafikili
@damaridaudi97859 ай бұрын
kiukwel mwalimu joeli tena dakik hii naweza ongea na mtu sahii sahiyo nikigeuk tu nilazima tu nimtafute nimuambie dada samaja kwan mda ule uniliambia nini please nielekezd tena
@abduldandy30773 жыл бұрын
Tengeneza video how to face fear
@SandrineNduwimeNduwim
3 жыл бұрын
lpo
@abduldandy3077
3 жыл бұрын
@@SandrineNduwimeNduwim nipe link
@furahaemanuel48613 жыл бұрын
Kaka Joel mie nilishasahau hadi siku ya usahili
@kanasolange10632 жыл бұрын
Mi nina mwanafunzi wa miaka 7 anasahau sana hata alphabet ukimfundisha baada ya dakika 30 anakua ashasahau na yey tatizo ni nini?mbona bado mtotp
@sylviacornely46882 жыл бұрын
Ili mtu awe na hamu ya kusoma afanyeje?
@JemsMunis-mu3tv11 ай бұрын
Brother ayo ulio eleza napitia ivo ivo nisaidie kaka
@meshakimukangwa74822 жыл бұрын
Nitibagani sasa
@violetmatovu65633 жыл бұрын
Mm ninasahau sana lakini mara nyingi huwa na hofu sana unanusaidiaje kiondoa. Hofu hii Ila mama yangu husahau pia pengne nimerith?
@maryemanuel1404 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭🙌
@shabanshabanmkahana72502 жыл бұрын
Mm ni namba tano
@lidyanapegwa81542 жыл бұрын
Mm nadhani Ni stress za muda mrefuuu
@pawnyakyeelwa3 жыл бұрын
Pongezi sana kak #Joel_Nanauka maan umetugusa walio wengi. Ila pia kama utakaposoma comment hii nitaarifu kuna kitu nilipenda kukumbusha 🙏🙏🙏
@maryndunge38492 жыл бұрын
Stress Sana Sana... Kweli siwezi kuweka kumbukumbu kabisa.
@hekimanyato56303 жыл бұрын
Ili tatizo limekuja kuakubwa sn katka ufaham wang ila nilikua natumiaga alcohol kwasas nimeacha: ila stress nahofu ndio vinaniandama kwasas: japo kuna mda kumbukumbu hurejea pale stress nahofu upunga: ila haidum kwakua stress nahofu hurejea kilawakat.. pia nashukuru sn bro Joel kwan tangu nianze kukufwatilia nimejifunz mengi sn kaka..
Пікірлер: 122
Dah hilo tatzo la kusahau kwa upande wangu kwa kiasi kikubwa sana na nahisi nkutokana na stress ambayo yanafnya hadi nakosa usingiz ule uliokuw quality cuz cwez kulala mpka niwaze jinsi maisha yang nitayafnyaje ili nipate kufankiw
@saidmasoud1291
3 жыл бұрын
Joel na mm tatizo langu ni kukosa usingizi na pia nahisi inachangia sana na stess hii stress kwa kiasi kikubwa kuhusu maisha yangu naomba unisaidie
Stress na kidogo anxiety.... Nasahau Sana. Siwezi kuweka kumbukumbu kabisa
Samahani Mwalim Je. Jinsi UMRI unavyosogea kuelekea UZEE hauwezi kuathiri uwezo wa kufikiri. na kuogeza kusahau
Nishakutana nayo sanaa, na ilikua inasababishwa na stress nyingi pamoja na wasiwasi hasa siku ya kwanza ya wiki ilikua siipendi nikifikiria kesho ndo naanza tena Najikuta wasiwasi mwingi kama ntachelewa kama kazi zitakua nyingi afu Kibaya zaidi ni kazi nisiyoipenda hata kidogo. Nashukuru Mungu nimevikontroo,japo kazi sijabadilisha bado.
Shukran akhui vitu vitatu niko navo stress,kulala ., anxiety vinanisumbua sana
💕💕 OVERTHINKING. Hili pia ni tatizo kubwa sana. Jaribu kulizungumzia hili jambo. Lona athiri sana vijana. Wanafikiria sana badala ya KITENDA. Na linasababisha pia tatizo hili. Ila kaka solution haijatosha tunajitoaje kwa tatizo hilo
Asante saana Mr Joel mimi huwa nikapata hofu na chochote kuwaza huwa to much inanipeleka kasahau adi hata kumsikiliza mtu siwezi naomba nisaidie nafanyaje kwan ki2 hata kama kidogo kikiwa tofaut navoitaji lazima stres Nataka nipate njia ya kuepuka na wazo likiingia kwa kichwa kutoka ni shughuli nisaidie naomba
Asante Joel, mi nadhani n dawa ya operation niliyochomwa ndio inanipa kusahau. Tangu hiyo operation miaka 3 baadae nimekuwa na tatizo la kusahau sana na sijui nalitokaje
@mussalulenga9939
2 жыл бұрын
Nikwel hata mie ndo hivyo japo siyo kwa kiwango kikubwa
Mhhhh mambo mawili Kukosa usingizi, kunasababishwa na stress, na kingine Woga, hofu, nashaka. Hivi ni vikubwa Sana. Dah ninasaidikaje.
Asante dr Naomba soma hio comment je nivyakula gani ambavyo vina athari na vina athiri kitu kama hicho mimi nasahau sana hadi najishangaa mwenye n
Thank you so much Joel. It has been my problem for a long time now.
wasiwasi ndio .umenifanya hata nifel mambo yangu
🇰🇪❤❤ wakati nimechoka sana hua natafuta kitu nikiwa nishika kwa mkono...
Tuko pamoja brother joel ubarikiwe ww & familia yk & wazazi,rfk,& watu Wako wote Ahsanten ila km unaswali je...
Asanteee sana Mungu akubariki kwa mafunzo yako
dct.joel kwanza asante kwa kunielimisha mielewa kwa sababu huku kazi watu hadi wamechoka
Shukran sana kaka Joel unamafundisho mazur sana
Asante sana mtumishi. Najifunza mengi
Uoga na kutokujiamini ni moja kati ya sababu zinzofanya wanafunzi wengi kusahau / student case' Mwanafunzi akisha kuwa kati ka hali ya uoga anasahau haraka, kwa case ya mwanafunzi inabidi ajenge tabia ya kujiamini self-confidence to overcome exams pressure
Shukuran kwa malifaa 🙏🙏
Asante Kaka kwa ushauri Mungu akubariki
Asante sana Mr Joel nanauka
Asante sana
Nasahau sana simpati usingizi
Asante sana..
dah kweli kaka mara zote hofu ndio sababu kuu kwangu inayoniumiza nilikua naomba unisaidie nifanye nn ili niondoe hofu kwenye maisha yangu
@illuminatajulius6361
Жыл бұрын
Be blessed my brother,, anxiety is position,thank you so much
Asante kwa elimu unayo toa. Lakin mm. Nina tatizo kusahau. Hasa katika masomo yangu pamoja kuwa mzito wa. Kung'amua mambo. Hili inakuaje. Maana nikesha shindwa . Hadi napata usingizi kwa muda mfupi mnooo..!
@dorahmanyilika6127
Жыл бұрын
Nasahau sana hata nikiwa naongea na mtu mara nasahau baadae namuuliza anikumbushe nilikuwa naongea kuhusu nini nakosa usingizi nalala karibu na asubuhi au wakati mwingine nakesha naamka nikiwa kama mlevi
Thanks blood
Asante Sana bro
Thank so much
Kaka Joel nashukuru kwa elimu lkn mimi nakupendekezea uwe unatushauri na tiba tunaponaje ndugu yangu
Asante kwa somo
Nakupend cz unaendag moj kwa moj kweny point
Mie pia nasahau sana jaman najitahid lakin bado
Thanx broo
Asante san
Thanks bro true
Kwaupande wangu ni stress pamoja na hofu , kukosa usingiz pia
Shukuran sana Mwalimu
Thank you
Asante sana najifunza sana 🙏😢
Nautical anje ety kuto fantastic ngono kunachagia kuwa na tattoo la kusahausahau
Wow great
Mpaka sasa mwalim joel niko kakita kusahau kwa hali ya juu sana kiasi kwamba ata nikisoma kitabu baada ya dakika 5 nakuwa nimesha sahau kabisa
@pabloescobar2161
3 жыл бұрын
Pole sana
Saw
Daa kweli mm nasahau sana ila nahis hof na mawazo san nifanyeje ili niondkane na hiyo hali
Me nafikiri uoga,
❤❤❤❤❤ipo vizuri
Neo la Hofu ni kubwa Sana kwangu.
Bro upo vzr Sana najifundisha mambo mengi kupitia ww
Yaani nimejikuta nguvu ikinirudia Tena baada ya kusikiliza ujumbe huu
Mimi ninasahau sana ,na sababu huenda ikawa ni mbili stress ama axiety ,lakini nkijaribu kuzifikiria hizo streess zangu na shindwa kuzijua ila nahisi kabisa kuwa nna stress,kwahapo unanisaidiaje?
Kwa mada nilivyoielewa basi tatizo langu lipo kukosa usingizi kwa sababu ya kazi nyingi nimekuelewa ndugu mtangazaji
Nimekuwa na hiyo shida sana
Kusahau mwaka Jana kiukweli mwaka mzima nilikuwa nasahau but at least now Ila bado nasahau
Brother Joel, hili tatzo la kusahau limeninyemelea huu ni mwez wa pili sasa najikuta nasahau kitu hata kama nimekifanya muda huo lekin najikuta nimesahau... Lekin kwa somo lako sasa umenifumbua akiri lazima nichukue hatua.. Mungu azidi kukulinda brother Joel
Ahsante
Umenisaidi kwa mafundisho hayo niliyoyasikia
Daah jiniaz
Namba 5 inanihsu
kaka mimi ninatatizo la kusahau toka nikiwa shuleni kwenye masomo unaweza ukajifunza ukaelewa vzr lakn tatzo la kusahau lilikuwa changamoto na nimejtahd kutafuta hata dawa za kutumia ili niweze kuishnda hyo hali lakn ni kwakias kdogo sana nimefanikiwa kutokana na dawa hzo.Naomba ushaur wako kaka joeli nifanye Nini ili niwe na uwezo mzur wa kutunza kumbukumbu.
Kaka mm tangu nazaliwa natatizo Hilo na sijawah kupata matibabu napia nakuwa na maumivu makal sana kichwani
Nasahau sana , nahisi kutopumzika vya kutosha na stress. Ili ulale vya kutosha kuepuka UGONJWA wa kusahau unatakiwa ulale masaa mangapi? Na je mambo mengi yanasababisha kusahau
Kuanzia leo sitakuwa na stress Tena na nitaanza kulala mapema na simu ,movie na mambo mengi ninayaacha
Nina mama angu anasaha hadi mazingira yanyumban anauliza hapa nipo wapi yani anakua hajuai hata nyumbani😢hua kinaanza kuuma kichwa sana baada yahapo hakumbuki tena anakua nawasiwasi sana anakosa amani anataman akae mbali nawa2 iyo inatokana nann?
Yaaan nasahau mpk najichukia
Mimi Kuanzia nipo mdogo nasahau, Ila ninavyozidi kuwa mkubwa nazidi kusahau Mara kwa Mara.
Kuongea na wateja vizuri
Mimi hofu oficini inanifanya nisahau
Mi nahitaji msaada wa mwanasaikolojia
Kwa mm chanzo cha kusahau inatokana na stress pamoja na uwoga
Anxiety😊
mimi tatizo langu ni msongo wa mawazo nimgonjwa wa kisukar mimi mwenyewe huwa najisahau kama nimm au la msaada plz
Doh kk Joel Me nlisahau kuowa mwaka jana..
@pabloescobar2161
3 жыл бұрын
😂
I'm addicted to that due to anxiety J help us kno how to deal with it
Mmi huwa nsahau nnaposom kit lazm nkirudie sana ND kikae akikin tatz nn
Mi no 4
Nahisi ni kwa sababu ya mastebretion
Mie kila kitu nikifanyacho hasa kwa watu wengi japo nakuwa najua nafanya vzur lakini nakuwaga na hofu kubwa mno
Mm nime kuwa mtu wakusahau tangia hili tatizo lijitokeze ni mda sasa hata mwez wa tatu mwaka huu nimesafir airport kuna sehem nilikaa bs ktk kuamka nilisahau passport dubai so nitatizo kubwa
Kaka mimi hapa nilipo ni mhusika mkuu wa somo hili na hali ya kusahau imeshakuwa ni tatizo la kudumu kwangu sijui solution ni nini kwangu.
Iyo kusahau inaniathiri sana ata sehem ya kazi napata asara sana kaka yangu nanisaidiaje Please.
Niliyamiss sana mafunzo haya
Nifanye biashala gani!
Stress nafikili
kiukwel mwalimu joeli tena dakik hii naweza ongea na mtu sahii sahiyo nikigeuk tu nilazima tu nimtafute nimuambie dada samaja kwan mda ule uniliambia nini please nielekezd tena
Tengeneza video how to face fear
@SandrineNduwimeNduwim
3 жыл бұрын
lpo
@abduldandy3077
3 жыл бұрын
@@SandrineNduwimeNduwim nipe link
Kaka Joel mie nilishasahau hadi siku ya usahili
Mi nina mwanafunzi wa miaka 7 anasahau sana hata alphabet ukimfundisha baada ya dakika 30 anakua ashasahau na yey tatizo ni nini?mbona bado mtotp
Ili mtu awe na hamu ya kusoma afanyeje?
Brother ayo ulio eleza napitia ivo ivo nisaidie kaka
Nitibagani sasa
Mm ninasahau sana lakini mara nyingi huwa na hofu sana unanusaidiaje kiondoa. Hofu hii Ila mama yangu husahau pia pengne nimerith?
😭😭😭😭😭😭😭🙌
Mm ni namba tano
Mm nadhani Ni stress za muda mrefuuu
Pongezi sana kak #Joel_Nanauka maan umetugusa walio wengi. Ila pia kama utakaposoma comment hii nitaarifu kuna kitu nilipenda kukumbusha 🙏🙏🙏
Stress Sana Sana... Kweli siwezi kuweka kumbukumbu kabisa.
Ili tatizo limekuja kuakubwa sn katka ufaham wang ila nilikua natumiaga alcohol kwasas nimeacha: ila stress nahofu ndio vinaniandama kwasas: japo kuna mda kumbukumbu hurejea pale stress nahofu upunga: ila haidum kwakua stress nahofu hurejea kilawakat.. pia nashukuru sn bro Joel kwan tangu nianze kukufwatilia nimejifunz mengi sn kaka..
Kaka niko n shid n wew nitkuptje