JEURI YA PESA MO DEWJI ATOA BILIONI 20 MEZANI "KELELE ZIISHE SASA"
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba SC MO Dewji leo ameongea na waandishi wa Habari na kueleza mambo mbalimbali kuhusina na uwekezaji wake ndani ya Simba SC.
Жүктеу.....
Пікірлер: 107
@stanleytheprincetv3 жыл бұрын
Millard Ayo you are doing a great job have been following you for long time and now am happy that through your inspiration and hard work it made me to start my KZread channel mob Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@allymapinda88043 жыл бұрын
Watu wengi kusema kweli kwenye hivi vilabu huwa ni njaa kali na maneno gunia. Mo anatoa cheki ya bilioni 20 😳🥂 Nyie wengine sit down and listen 👂🏾
@EzekiaMyilaАй бұрын
Billion 20 ni ndogo kivipi wakti Kuna watu hizo Hela hawana kwenye timu zao acheni kujaji bos washamba
@BoazAmos26 күн бұрын
tajiri mo huna baya sasa.
@jassontv53663 жыл бұрын
Kwahyo Mo anawasema wengne wasiotoa hela au? vip hapo Imekaaje wadau....!!
@jumalungi46023 жыл бұрын
Huyu mhindi mnjanja kweli si ni siasa huwezi Amin subir baada ya mda utaona hii hela anaipokea na man jiulize
@gaudencemihungo43483 жыл бұрын
Unafanya vizuri kutoa kusaidia Simba. Hongera sana. Tunataka utuambie mapato ya Simba ya viingilio uwanjani, na mauzo ya jezi na matangazo kwa mwaka ni sh ngapi? Maana unavyozungumza ni kama Simba hawaingizi chochote kile. Please tell us!
@MTALIMtaliАй бұрын
Kw mtazamo wang naon kam waeka ela jalbu kuftilia nawachezj wak unao let 2mechok kuletew magalas jman
@jacksonmakasi3 жыл бұрын
Broo ukisikiliza wabongo, watasema huna Billion 100 na kwa hasira utatoa kisha watasema huwez tembea uchi kwa hasira utatembea mwishoe aibu kwako
@felixtz_1
3 жыл бұрын
Bilion ishilini nyingi sana acheni zalau za kisenge timu ilikuwa imepoteana saivi imekaa sawa midomo Kama mwijaku ata laki yenye kazi kupata achane utoto kuhudumia timu sio lahisi
@AbdulAbdulissaislamu26 күн бұрын
Gug ongera xana
@allyabastv47443 жыл бұрын
Mudi naomba ntumie vocha ya jero nijiunge🤣
@malopemaliyamungu5243
3 жыл бұрын
Mudi asie na hela, mwenye hela Mo 😅😅
@mohamedaden5881
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hawamabira1499
3 жыл бұрын
@@mohamedaden5881 ww ndo Mo eeh?!🤣🤣
@wazirmlogi75323 жыл бұрын
Hivi nyie wasenge mnaziiba wapi izi hela!!??
@princeking7042
3 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@valleluoga6258
3 жыл бұрын
Daah hata mi siwaelewii
@wazirmlogi7532
3 жыл бұрын
@@valleluoga6258 😅😅
@othmanshahib1115
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@user-up9bw6sj4rАй бұрын
Mooo watu wanaumia mno huku mtaani hebu mjaribu kuipenda Simba maana IKIWA unatoka Hela ya usajibu mbona mnaleta watu wabovu kama kunawatu wanao itafuna Simba wapigwe chini Ili nas tuvimbe kitaaa huku
@adolphmwangoje28873 жыл бұрын
Me cjui unachuma kiasigani kwenye Simba ntka matokeo mazuri tu bro na mwakani tuwatese yanga tena lete usajili wa maana tuwauwe yanga
@yassiralabri82473 жыл бұрын
Pesa
@kabwelasutiviraka47653 жыл бұрын
Kuna umuhimu wa so call the black empowerment kama kuna duka la mtz weusi ngozi nyeusi na la wa rangi ingine awe wahindi. Waarabu au wasomali , nendeni mkanunue bidhaa kwa weusi we nzenu ili ku support na kunyanuana. Wenzenu wanasaidiana na nyie weusi muanze hivyo sasa
@aminamollel57253 жыл бұрын
Mimi nakupongeza sana sababu naipenda simba
@fubanjenjele5213 жыл бұрын
Upande WA pili kinachowaumiza nini, tumebeba ndoo ya fa na ligi kuu,kikubwa ni mafanikio
@PendoMatemba-ql1ngАй бұрын
Mangungu nakuona tu hapo pembeni unanikera kweli tena
@sera.8bomani502
27 күн бұрын
😂😂😂
@AshelyAbel-kg4kxАй бұрын
Mbona GSM anatupiga kwenye jezi naomba nijue imekaaje hii Mbona tumelewa na ubingwa huku tunapigwa tuamke
Lipa wewe mweyewe umetaka timu kuidhamini lakini hizo pesa atarudisha baada ya kuiba ktk kodi mjanja huyo wala asipewe hiyo asilimia iliyobaki ya simba mjanja huyo…
@godsonmgisha55173 жыл бұрын
tajiri bahili kweli huyu
@williammbuzimai5744
3 жыл бұрын
Ndio maana amekuwa tajiri, Usie bairi utaishia majungu.
@mhdbakar8820
3 жыл бұрын
hahahaaaa
@abedinegoraphael4774
3 жыл бұрын
@@williammbuzimai5744 mwambie
@nobleproperty27343 жыл бұрын
Anzisha team yako..achia wawekezaji wawe wengi
@kabwelasutiviraka47653 жыл бұрын
Matajiri Tanzania 🇹🇿 ni wahindi na waarabu ila wabongo weusi mafukara, sijui ni laana gani wakati wao ni wazawa katika nchi yao.
@wazirmlogi7532
3 жыл бұрын
Unajitukana??we mwenyew ni ngozi nyeusi ushajiuliza kwanini we ni fukara?
@kabwelasutiviraka4765
3 жыл бұрын
@@wazirmlogi7532 jomba sio matusi ila jambo la kufikiria, jadili na jombazi wengine walio karibu yako huko
@maryamibrahim4039
3 жыл бұрын
Sio laana ,ni Mungu tu mwenyewe akitaka kukupa zaidi au ufanye juhudi ya kutafuta na kuomba Mungu ,mtazame tajiri Dangote si mtu mweusi yule na ni tajiri wa 1 afrika nzima, so unachosema ukifikiria kwa haraka utasema km tunalaana mana mambo mengi sisi weusi ndio tupo nyuma,ila tusikate tamaa tupambane.km wazazi wko wanamali basi hyo ndio moja ya source ,otherwise tafuta Mali ndugu yangu.
@wazirmlogi7532
3 жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 sasa ww ndiyo ilitakiwa kabla ya kuongea ufikiri kwanza,kwamba sos ni ya sisi ngoz nyeus kutokuwa matajiri ni nini kisha ungetuweka waz kuwa sababu ni nini ma kisha tufanye nini ili na sisi tutoke,ss ww unashangaa na kutaka kujua kupitia wengine wakat we mwenyewe ni ngoz nyeusi
@minskbelarus7255
3 жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 Hivi unategemea kuna atakae kujibu wakati wewe mwenyewe UMEJIITA....... KABWELA SUTI VIRAKA ???Pia tafuta maana ya neno UTAJIRI maana yake wapo kina DANGOTE
@JacobBucheyekiАй бұрын
😂
@geraldlyimo28593 жыл бұрын
Sijakuelewa
@georgemassebu20833 жыл бұрын
Hii timu ni ya mtu
@NkamuJoMundo
3 жыл бұрын
Ya kwako
@ramadhansesala4891
3 жыл бұрын
Kama ilivyo Utopolo Ya GSM
@aidanmbilinyi8184
3 жыл бұрын
Kikubw mm furah hbr timu y mtu i dont care
@mhdbakar8820
3 жыл бұрын
takuwapo et kwan uiyon nguvu yamoo inavyo fanyakazi
@drroble.gurhan3594
3 жыл бұрын
@@NkamuJoMundo kapisa brother
@japheturio55853 жыл бұрын
Ila mo kama unaona upati faida simba kwann unaingangania simba. Ni kama unaifanyia favor meanwhile unafaidika.
@PendoMatemba-ql1ngАй бұрын
Wewe mangungu wewe toka hapo unatukera ujue
@mokhimji3 жыл бұрын
Umeshaongea sana kuhusu kutoa pesa, haya ebu tupe mahesabu za yale ulizoingiza kwa kuuza bidhaa kwa umarufu uliyopata kutoka kwa Simba sc?
@denisidamiani2033
3 жыл бұрын
Naona anajumlixha2 hela alizotoa huyum2 hana hela mkuu
@mohamedaden58813 жыл бұрын
Duh hizo hela simnipe hat A laki mbili ninunue tv Sina tiv
@saladaniel9274
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hassanisadiki8243 жыл бұрын
Mo usitudanganye bhana huwezi kutoa billion 20 bila kupata faida moja katika biashara nzuri hapa Duniani ni mchezo wa soka ndio maan wachezaji wanalipwa vzr, Kila wiki mechi ya simba ikicheza hawakosi kuingiza Milioni 600 au 500 au 400 mukikosa sn milion 200,bado kuna wadhamini km Bakhresa, sport pesa na wengineo hawo pia wanatoa mkwanja mrefu bado Kuna kuuza wachezaji unapta pesa bado katk klabu bingwa ya Africa Kadri munavyo zidi kusogea mbele ktk makundi munalipwa pesa ndefu Kwa usitaje pesa unayo toa tu taja na faida munayo ingiza
@mwahamedychilungu89813 жыл бұрын
Aisee masha biki wa simba akili awana kiukweli wana pumbazwa tuu juu ya kuondolewa manala dah
@lucamatiku1532
3 жыл бұрын
Wew wa Yanga mwenye akili mnanini Cha kujisifia msimu huu?? Calinyo mbona aliondoka na mkanyamaza??
@gibsonartisan1848
3 жыл бұрын
Ya simba yanakuhusu nini
@salumuramadhani2522
3 жыл бұрын
Tatizo utopolo mnasajili magazetini ligi ikianza magazeti yanafungiwa vitumbua mnafeli
@alexsalum78243 жыл бұрын
We endelea kuwakanyaga hao wajinga wajinga!
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
Bilioni 20 ni hela ndogo sana.Huyu mhindi katuteka akili zetu tu.Ingetangazwa tenda na uwekezaji uwe zaidi ya bilioni 100.Wangekuja matajiri kutoka nje na kuwekeza.Huyu mtoto wa kihindi ni msanii tu
@marcominja8850
3 жыл бұрын
Bro huna pesa, utulie tu.
@jassonnelly3445
3 жыл бұрын
Wewe una shilingi ngapi
@eenpaard3915
3 жыл бұрын
Million 10 huna 🤣
@reubenkissinga5802
3 жыл бұрын
Hela huwaga haitoshelezi kamwe ndugu yangu hadi unadead,,,mlikuwa mnalalamika kuhusu hyo Bil.20 haya sasa mpewa,,,sasa mnataka bil.100 na zaidi kama timu ya familia yenu vile,,embu jiheshimu broo,,Timu yako ya Simba ikishakupa burudani uwanjani,,,ushindi makombe inatosha hayo mengine waachie wengine kk!!
Пікірлер: 107
Millard Ayo you are doing a great job have been following you for long time and now am happy that through your inspiration and hard work it made me to start my KZread channel mob Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Watu wengi kusema kweli kwenye hivi vilabu huwa ni njaa kali na maneno gunia. Mo anatoa cheki ya bilioni 20 😳🥂 Nyie wengine sit down and listen 👂🏾
Billion 20 ni ndogo kivipi wakti Kuna watu hizo Hela hawana kwenye timu zao acheni kujaji bos washamba
tajiri mo huna baya sasa.
Kwahyo Mo anawasema wengne wasiotoa hela au? vip hapo Imekaaje wadau....!!
Huyu mhindi mnjanja kweli si ni siasa huwezi Amin subir baada ya mda utaona hii hela anaipokea na man jiulize
Unafanya vizuri kutoa kusaidia Simba. Hongera sana. Tunataka utuambie mapato ya Simba ya viingilio uwanjani, na mauzo ya jezi na matangazo kwa mwaka ni sh ngapi? Maana unavyozungumza ni kama Simba hawaingizi chochote kile. Please tell us!
Kw mtazamo wang naon kam waeka ela jalbu kuftilia nawachezj wak unao let 2mechok kuletew magalas jman
Broo ukisikiliza wabongo, watasema huna Billion 100 na kwa hasira utatoa kisha watasema huwez tembea uchi kwa hasira utatembea mwishoe aibu kwako
@felixtz_1
3 жыл бұрын
Bilion ishilini nyingi sana acheni zalau za kisenge timu ilikuwa imepoteana saivi imekaa sawa midomo Kama mwijaku ata laki yenye kazi kupata achane utoto kuhudumia timu sio lahisi
Gug ongera xana
Mudi naomba ntumie vocha ya jero nijiunge🤣
@malopemaliyamungu5243
3 жыл бұрын
Mudi asie na hela, mwenye hela Mo 😅😅
@mohamedaden5881
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hawamabira1499
3 жыл бұрын
@@mohamedaden5881 ww ndo Mo eeh?!🤣🤣
Hivi nyie wasenge mnaziiba wapi izi hela!!??
@princeking7042
3 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@valleluoga6258
3 жыл бұрын
Daah hata mi siwaelewii
@wazirmlogi7532
3 жыл бұрын
@@valleluoga6258 😅😅
@othmanshahib1115
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Mooo watu wanaumia mno huku mtaani hebu mjaribu kuipenda Simba maana IKIWA unatoka Hela ya usajibu mbona mnaleta watu wabovu kama kunawatu wanao itafuna Simba wapigwe chini Ili nas tuvimbe kitaaa huku
Me cjui unachuma kiasigani kwenye Simba ntka matokeo mazuri tu bro na mwakani tuwatese yanga tena lete usajili wa maana tuwauwe yanga
Pesa
Kuna umuhimu wa so call the black empowerment kama kuna duka la mtz weusi ngozi nyeusi na la wa rangi ingine awe wahindi. Waarabu au wasomali , nendeni mkanunue bidhaa kwa weusi we nzenu ili ku support na kunyanuana. Wenzenu wanasaidiana na nyie weusi muanze hivyo sasa
Mimi nakupongeza sana sababu naipenda simba
Upande WA pili kinachowaumiza nini, tumebeba ndoo ya fa na ligi kuu,kikubwa ni mafanikio
Mangungu nakuona tu hapo pembeni unanikera kweli tena
@sera.8bomani502
27 күн бұрын
😂😂😂
Mbona GSM anatupiga kwenye jezi naomba nijue imekaaje hii Mbona tumelewa na ubingwa huku tunapigwa tuamke
@yohanayohanaadamu6483
Ай бұрын
😂😂😂😂
Ninyi mnao comment upumbavu mkipewa Simba mtaipeleka wapi?
Simba 😂 wameliwa
Do!!!
We mwenyewe unapiga pesa acha uboya
Atawasusia team huyo
Lipa wewe mweyewe umetaka timu kuidhamini lakini hizo pesa atarudisha baada ya kuiba ktk kodi mjanja huyo wala asipewe hiyo asilimia iliyobaki ya simba mjanja huyo…
tajiri bahili kweli huyu
@williammbuzimai5744
3 жыл бұрын
Ndio maana amekuwa tajiri, Usie bairi utaishia majungu.
@mhdbakar8820
3 жыл бұрын
hahahaaaa
@abedinegoraphael4774
3 жыл бұрын
@@williammbuzimai5744 mwambie
Anzisha team yako..achia wawekezaji wawe wengi
Matajiri Tanzania 🇹🇿 ni wahindi na waarabu ila wabongo weusi mafukara, sijui ni laana gani wakati wao ni wazawa katika nchi yao.
@wazirmlogi7532
3 жыл бұрын
Unajitukana??we mwenyew ni ngozi nyeusi ushajiuliza kwanini we ni fukara?
@kabwelasutiviraka4765
3 жыл бұрын
@@wazirmlogi7532 jomba sio matusi ila jambo la kufikiria, jadili na jombazi wengine walio karibu yako huko
@maryamibrahim4039
3 жыл бұрын
Sio laana ,ni Mungu tu mwenyewe akitaka kukupa zaidi au ufanye juhudi ya kutafuta na kuomba Mungu ,mtazame tajiri Dangote si mtu mweusi yule na ni tajiri wa 1 afrika nzima, so unachosema ukifikiria kwa haraka utasema km tunalaana mana mambo mengi sisi weusi ndio tupo nyuma,ila tusikate tamaa tupambane.km wazazi wko wanamali basi hyo ndio moja ya source ,otherwise tafuta Mali ndugu yangu.
@wazirmlogi7532
3 жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 sasa ww ndiyo ilitakiwa kabla ya kuongea ufikiri kwanza,kwamba sos ni ya sisi ngoz nyeus kutokuwa matajiri ni nini kisha ungetuweka waz kuwa sababu ni nini ma kisha tufanye nini ili na sisi tutoke,ss ww unashangaa na kutaka kujua kupitia wengine wakat we mwenyewe ni ngoz nyeusi
@minskbelarus7255
3 жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 Hivi unategemea kuna atakae kujibu wakati wewe mwenyewe UMEJIITA....... KABWELA SUTI VIRAKA ???Pia tafuta maana ya neno UTAJIRI maana yake wapo kina DANGOTE
😂
Sijakuelewa
Hii timu ni ya mtu
@NkamuJoMundo
3 жыл бұрын
Ya kwako
@ramadhansesala4891
3 жыл бұрын
Kama ilivyo Utopolo Ya GSM
@aidanmbilinyi8184
3 жыл бұрын
Kikubw mm furah hbr timu y mtu i dont care
@mhdbakar8820
3 жыл бұрын
takuwapo et kwan uiyon nguvu yamoo inavyo fanyakazi
@drroble.gurhan3594
3 жыл бұрын
@@NkamuJoMundo kapisa brother
Ila mo kama unaona upati faida simba kwann unaingangania simba. Ni kama unaifanyia favor meanwhile unafaidika.
Wewe mangungu wewe toka hapo unatukera ujue
Umeshaongea sana kuhusu kutoa pesa, haya ebu tupe mahesabu za yale ulizoingiza kwa kuuza bidhaa kwa umarufu uliyopata kutoka kwa Simba sc?
@denisidamiani2033
3 жыл бұрын
Naona anajumlixha2 hela alizotoa huyum2 hana hela mkuu
Duh hizo hela simnipe hat A laki mbili ninunue tv Sina tiv
@saladaniel9274
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Mo usitudanganye bhana huwezi kutoa billion 20 bila kupata faida moja katika biashara nzuri hapa Duniani ni mchezo wa soka ndio maan wachezaji wanalipwa vzr, Kila wiki mechi ya simba ikicheza hawakosi kuingiza Milioni 600 au 500 au 400 mukikosa sn milion 200,bado kuna wadhamini km Bakhresa, sport pesa na wengineo hawo pia wanatoa mkwanja mrefu bado Kuna kuuza wachezaji unapta pesa bado katk klabu bingwa ya Africa Kadri munavyo zidi kusogea mbele ktk makundi munalipwa pesa ndefu Kwa usitaje pesa unayo toa tu taja na faida munayo ingiza
Aisee masha biki wa simba akili awana kiukweli wana pumbazwa tuu juu ya kuondolewa manala dah
@lucamatiku1532
3 жыл бұрын
Wew wa Yanga mwenye akili mnanini Cha kujisifia msimu huu?? Calinyo mbona aliondoka na mkanyamaza??
@gibsonartisan1848
3 жыл бұрын
Ya simba yanakuhusu nini
@salumuramadhani2522
3 жыл бұрын
Tatizo utopolo mnasajili magazetini ligi ikianza magazeti yanafungiwa vitumbua mnafeli
We endelea kuwakanyaga hao wajinga wajinga!
Bilioni 20 ni hela ndogo sana.Huyu mhindi katuteka akili zetu tu.Ingetangazwa tenda na uwekezaji uwe zaidi ya bilioni 100.Wangekuja matajiri kutoka nje na kuwekeza.Huyu mtoto wa kihindi ni msanii tu
@marcominja8850
3 жыл бұрын
Bro huna pesa, utulie tu.
@jassonnelly3445
3 жыл бұрын
Wewe una shilingi ngapi
@eenpaard3915
3 жыл бұрын
Million 10 huna 🤣
@reubenkissinga5802
3 жыл бұрын
Hela huwaga haitoshelezi kamwe ndugu yangu hadi unadead,,,mlikuwa mnalalamika kuhusu hyo Bil.20 haya sasa mpewa,,,sasa mnataka bil.100 na zaidi kama timu ya familia yenu vile,,embu jiheshimu broo,,Timu yako ya Simba ikishakupa burudani uwanjani,,,ushindi makombe inatosha hayo mengine waachie wengine kk!!
@fredymakini4026
3 жыл бұрын
Usanii kweny bilion20 unaumwa wew😂😂😂