JEMEDARI AUKUBALI MZIKI WA GAMONDI | "WATACHEZA NA KAIZER" | SIMBA HAWANA TIMU | KUMEKUCHA HUKO

Спорт

Пікірлер: 5

  • @nsubisimwasandende-kl9vy
    @nsubisimwasandende-kl9vy18 күн бұрын

    Hata Ubingwa wa Mwaka Huu Yanga kachukua baada ya pre season kucheza na KAIZER Chiefs so Yanga Bingwa mbona hamsemi😂 ?

  • @DeogratiusMponda
    @DeogratiusMponda17 күн бұрын

    Yanga wamealikwa na wanamahusiano na kaizer pia wanalipiwa kila kitu ila Tanzania tumejaa mashabiki maandazi hatuelewi kitu daaaaaaa

  • @user-ge1cu4bx3n
    @user-ge1cu4bx3n17 күн бұрын

    UTO wanacheza mechi moja tu mnaita kombe ingekuwa Simba ndio ancheza we.

  • @justinemathiasngwandu7715
    @justinemathiasngwandu771518 күн бұрын

    Kwa yanga hii inayo kuja, kunawatu wataumia sana, sikwa vikombe hivyo dah, TOYOTA wameikubari yanga badala ya .....😂

  • @255kessy5
    @255kessy515 күн бұрын

    Nafikiri huu ni wakati Yanga kupita CEO mtine kuwasiliana na makampuni mapya ya magari ya umeme ya China Kama BYD, ZEEKA, XPENG na mengineyo kuwashawishi kufanya nao kazi

Келесі