Hata Ubingwa wa Mwaka Huu Yanga kachukua baada ya pre season kucheza na KAIZER Chiefs so Yanga Bingwa mbona hamsemi😂 ?
@DeogratiusMponda17 күн бұрын
Yanga wamealikwa na wanamahusiano na kaizer pia wanalipiwa kila kitu ila Tanzania tumejaa mashabiki maandazi hatuelewi kitu daaaaaaa
@user-ge1cu4bx3n17 күн бұрын
UTO wanacheza mechi moja tu mnaita kombe ingekuwa Simba ndio ancheza we.
@justinemathiasngwandu771518 күн бұрын
Kwa yanga hii inayo kuja, kunawatu wataumia sana, sikwa vikombe hivyo dah, TOYOTA wameikubari yanga badala ya .....😂
@255kessy515 күн бұрын
Nafikiri huu ni wakati Yanga kupita CEO mtine kuwasiliana na makampuni mapya ya magari ya umeme ya China Kama BYD, ZEEKA, XPENG na mengineyo kuwashawishi kufanya nao kazi
Пікірлер: 5
Hata Ubingwa wa Mwaka Huu Yanga kachukua baada ya pre season kucheza na KAIZER Chiefs so Yanga Bingwa mbona hamsemi😂 ?
Yanga wamealikwa na wanamahusiano na kaizer pia wanalipiwa kila kitu ila Tanzania tumejaa mashabiki maandazi hatuelewi kitu daaaaaaa
UTO wanacheza mechi moja tu mnaita kombe ingekuwa Simba ndio ancheza we.
Kwa yanga hii inayo kuja, kunawatu wataumia sana, sikwa vikombe hivyo dah, TOYOTA wameikubari yanga badala ya .....😂
Nafikiri huu ni wakati Yanga kupita CEO mtine kuwasiliana na makampuni mapya ya magari ya umeme ya China Kama BYD, ZEEKA, XPENG na mengineyo kuwashawishi kufanya nao kazi