JE CHIEF GODLOVE NI TAJIRI BINTI KIGOMA HUU NDIO UKWELI KUHUSIANA NA MAISHA YA CHIEF GODLOVE MASON

Фильм және анимация

Пікірлер: 21

  • @user-jg1vb6bh7p
    @user-jg1vb6bh7pАй бұрын

    Safi kk nakukubali sana maneno yako

  • @ChantaleNeema-h4x
    @ChantaleNeema-h4x6 күн бұрын

    Mita Pata je number ya chief godlove ❤❤❤

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153Ай бұрын

    Bint kigoma unafel xanaaa kumuuliza swala mbao wakat upo mjengoni na unaona anaishi kiboss. Kwa chief namkubal kujiamini kwake , nyendo zake nazifata

  • @neemakamwela8137
    @neemakamwela8137Ай бұрын

    hio ni og kabisa hazina mbambamba mchawi faranga hapo kumiliki maunyama hayo😂😂😂😂😂

  • @johnienijohnie
    @johnienijohnieАй бұрын

    Chief alinifunza jambo la muhimu sana sana, there was a video he made about Lemon,kitunguu saumu na salt....yani sikua nalala,nlikua napata attack kila mara,yani silali vizuri.leo hii nala fitty sana kupitia hio spell ya lemon,chumvi na garlic .Asante sana chief

  • @Lucas-gp2gu
    @Lucas-gp2guАй бұрын

    Bint kigoma huyo jamaa ametafuta pesa amejipata kwahiyo usihoji Pete yu hoji na reng yake 180 milioni Sasa hizo Pete Cha mtoto maisha amepata

  • @JosephKitaponda
    @JosephKitapondaАй бұрын

    Kaka unani inspire sana soon I will be like u nataman sana

  • @user-os2bf2yw5z
    @user-os2bf2yw5zАй бұрын

    Mimi kwanza namukubali izo zaabu ni original sio feki nitajiri kinoma tupo pamoja

  • @TumainiAnthony-xe9gt
    @TumainiAnthony-xe9gtАй бұрын

    Nakukubali Sana chief pete zotee ni unyamaaa

  • @paulmugisha4075
    @paulmugisha4075Ай бұрын

    Hapo sawa chief mkuu wetu ❤

  • @VulimiaKandonga
    @VulimiaKandongaАй бұрын

    Kkkkkk amekutana na chief Pete tu Zina umiza moyo watu kkk

  • @LovelyMountainLandscape-dd4xe
    @LovelyMountainLandscape-dd4xeАй бұрын

    Nakubali mkuu maisha alisia unaishi saltiiii

  • @singidaprincetz1883
    @singidaprincetz1883Ай бұрын

    Uyu jamaa ananifanya nipambenee saanaaaa Kila kukicha I see

  • @VictorNgosi
    @VictorNgosiАй бұрын

    Tunataka ajili awe na viwanda na mashamba ili watu wapate ajila utajili wakujitangaza kwenye mitandao ni shidaaaa mjawapo ilo limefika vijana na wadada tufanye kz tuwe wote matajili sio wakujitangaza kwamaoni yake nae inampa faraja tisimlaumu tumuonge mkono tajili wakujitangaza pgp

  • @user-jg1vb6bh7p
    @user-jg1vb6bh7pАй бұрын

    Safi kk

  • @user-os2bf2yw5z
    @user-os2bf2yw5zАй бұрын

    Uyo chief ni biogwa wa ma chief woote

  • @MunaAlbalushi-pt7je
    @MunaAlbalushi-pt7jeАй бұрын

    Kaka unisaidie mtaji wa mama liishe naomba

  • @user-gz4vb7ji9v
    @user-gz4vb7ji9vАй бұрын

    hizo pete ni onji zahabu tupu

  • @MunaAlbalushi-pt7je
    @MunaAlbalushi-pt7jeАй бұрын

    Kaka nimekuelewa unapatikana wap

  • @allysalim4779
    @allysalim4779Ай бұрын

    Sio raisi kuonana na tajiri

Келесі