INNEVITABLE LOVE 2 || Swahili Latest || Bongo Movie 2021
Фильм және анимация
INNEVITABLE LOVE 2 bongo movie 2021
Bongo movie 2021 swahili
Latest Bongo Movie
INNEVITABLE LOVE 2 ni filamu bora yakitanzania yenye maudhui mazuri.
lengo la Filamu hii ni kutoa Elimu juu ya Afya ya uzazi.
KAPAYA THE GREAT FILM
Contact:
0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instargram
Kapayathegreat
TANZANIA.
Пікірлер: 298
Kazi nzur sana na bado ina tikisa mpaka Sasa so big up sana kapaya the great 👊👊
movie nzuri sana imenitoa machozi. mwanzo nzuri na mwisho pia haya mapenz jaman ni hatari sana hakika ni upofu. waigizaji wote mmecheza vizur geita gold mko juu sana..
Hongera sana deo Hadi umenikumbusha ya nyuma bt umefanya uamuzi mzr🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤️❤️❤️❤️💞🤣🤣🔥🔥🙏hki mapenzi wewe Deo nimekupenda
Hongerini sana Kua na msimamo deo Wewe ni noma kaka
Igizo linamafundisho ndan yake nimelipenda sana kama na wenzangu mmelipnda kama mim naombeni like zenu
Hilo koti LaDeo msijifanye hamlioni 😂😂😂😂😂lkn Kaz nzur kapaya🥰🥰
Safi sana kanumba wangu ilete wewe ndo unataka kuirudisha taswira ya bongo movei iliyopotea kwa mda mrefu
Congratulations to those but Mr Deo hongera kwa maamuzi magumu naamini jamii nzima imejifunza jambo 👏🎁
Mike deo Karen na preshas hongerasan kwakazi nzuri
Luka 23:42-43 Akamwambia Yesu, Bwana, unikumbuke utakapoingia katika ufalme wako. Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hii utakuwa pamoja nami peponi. Kwa yeyote asiyemjua Mungu au asiyemwamini Mungu na anataka, jiulize kwa nini miaka ya ulimwengu huu imegawanyika kati ya, Kabla ya Kristo na Baada ya Kifo, Mungu alituambia yeye ni nani na kwamba yeye ni halisi sana. Hujachelewa kumtafuta Mungu kwa moyo wako wote kwa maombi na toba, kwa sababu Yesu anakupenda zaidi ya uwezavyo kujua na anataka uokoke. Usikatae zawadi ya bure ya uzima wa milele, kwa sababu hukumu ni ya kweli sana. Ikiwa utamwomba Yesu Kristo kwa moyo wa kweli akusamehe dhambi zako zote, na kuingia moyoni mwako na tafadhali kukuokoa, atakuokoa na hivi karibuni utajua jinsi yeye ni halisi. Mungu akubariki. ❤🙏🕊
@kapaayathegreat
2 жыл бұрын
Ameen sana 🙏
Movie Iko pw Sana ,,,🤗 nimepata lesson kubwa sna kweny maishaaa🙏🙏🙏
Oyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo! Waooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo! Daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Nimeinjoy saaaaaaaanaaaaaa. Unajua kijana, hakika ukiongeza juhudi kanumba tutamuona, sio kwamba hawez tokea Kama kanumba Kama wanavyodhi ila kila kitu nawakati wake, kwako wewe naanza kumuona kanumba.
Hapo nawapa pongezi .... movie iko fty sana ...inafunzo zuri ....✓✓✓... Congratulations
Imenitoa machozi jamani, movie nzuri sana inasisimua na mafundisho pia, hongera sana kapaya
Kazi nzuri, maudhui mazuri, mpangilio mzuri wa matukio, zaidi mmeu kwenye hitimisho, hakuna maswali ya kujiuliza, kwa hapa big up sana
Very fantastic,,,wonderful movie ,,,,xafi xana gud work ,,,,much appreciation
Cool cool kabisa, mkiendelea hivyo mtafufua tena sana ya Bongo movies
Unatuchelewesha bhana,ila ongera kijana mwenzangu,umepambana sana kurudisha heshima ya filamu Tanzania, tulikwama tokea Enzi za kanumba
Great job, congratulations all of you..mmefanya firm nzuri na yenye mafunzo namaonyo sa a kwa jamiii
Waaah yaani ilivoisha ata alikua yafaa iwe ndo ni part 1, hii movie ni nzuri sanaa nimependa jamani mapenzi hayaa nkweli yanauma Asanteni sanaa nawapenda🙏
Filamu yenyu nzuri yanaa funzo kumbwa mpangilio mzuri hayana kelele ,,,naawapa pongezi Sana ,,Karen , preshas ,deo na Mike congratulations ,,
I love this movie.Maudhui yako shwarii na wazi kabisa
Congratulations for the movie....A lesson which i learn from the story is about power of love
Kila jema mungu utangulia ,nimeipendaaa sanaa
@shamilamvula3372
2 жыл бұрын
❤❤❤❤
kaka déo mungu azidishe akili natena amilinde Sana naipend Sana filamu yenu mimi nimu Congo,,i say thenks 4this,,
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Ahsante sana kaka
@johntshenda7244
Жыл бұрын
@@kapaayathegreat ok
Good lesson learned from your film congratulations caren ,Deo and Mike
Nimependa sana bongo tupo juu sas
Nawapenda sana tumahamu sana ya film part2 tumaliziye adisizetu menifurahasha sana kucheza na uwo Dada achaya muzigo brother 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Waooo tunaisubiri kwahamu kubwa sana
Wow nice movie and good job I'm from Kenya
@sallykavuna6574
2 жыл бұрын
Kapaya have a good job 👊👊♥️ kutoka kanya♥️♥️♥️♥️♥️
@ramlakhamis3392
Жыл бұрын
You are good in film guys, God bless you more and more!!
Movie nzur sana nmeipenda hongeren kwa washirki wote wa hii bongo movie
Too Emotional, but I must say this is the best of kapaya the great💪
Nzuri sana,nimetoka na idea frani
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Usiwanyanyase wazazi lakini
Mike, DEO, Karen na preshas hongereni sana kwa uwamuzi kwa penzi imara na thabiti congratulations good work you are all blessed
@ailcemuthoni3339
2 жыл бұрын
I really love this movie it has alot of teaching na kweli two people who are truly in love are inseparable
@msiokijohn2177
2 жыл бұрын
Vzur sana
@ericyombe4554
2 жыл бұрын
Pendeza
@comboassaneassane4967
Жыл бұрын
No
@johntshenda7244
Жыл бұрын
i say thenks 4this
I love the movie it's so lit 🔥🔥🔥 na kwakweli true love is inseparable
Congratulations guys we're waiting for part 2
Baba kipenzi kapaya kwer filamu isihishe tuongeze muenderezo filamu nzuri sana muno💪💪💪nakuweka nguvu enderea ndere yako ni pazur san ongera tunakupenda san 👍💋💋🥰🥰
Naisubiri kwa hamu😍😍😍
Congratulations team,enjoying from kenya
Kapaya good job bro♥️♥️♥️👏👏👏👏
Wow Mr CEO en Michael ,ur strong ,much love u guyz 💕💕 nice movie
Okay twasubiri
asante sana Mungu awabariki sana kwa mafundisho mema masikini ako na haki.
Hongera sana Michael na careen kwa maamuzi yenu movie tamu sana
Kazi nzuri sanaaa
Thanks guys for posting part 2
Nakukubali sana unajua kupangilia kila kitu kazi nzuri sana
Sijaipenda hii film aisee ! sijaifahamu mwanzo hadi mwisho naona ovyoo tu! Ni afadhali ile kosa la mama ilikua bomba sana!
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Angalia part 1 mpenzi wangu
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
huwezi kuieliwa kwakua umeanzia part 2
From Mombasa, nimeingojea kwa muda sana
Inafundixha kiasi good job
Movie nzr mno nayenye funzo kubwa sana kwa wazazi wanamna hii, asanteni sana washirika nyote
Sasa hizi ndizo movie alizokuwa akifanya marehemu Steven Kanumba (MUNGU amrehem) Hakika mchezo umeanza vizuri na umeisha kiukali zaidiii... Hongereni sana waandaaji na MUNGU awazidishie kipaji🙏
Kapaya na penda sana filamu zako kaka. Unakwenda kuisimamisha tena pendera ya filamu zenye maana kubwa. Nakutakia mafanikiao mema, pamoja na team nzima. Wekeni upendo kwenye kundi, heshima na masikilizano mkifanya hivyo, tasnia yenu itafika mbali sana. Mungu abariki kazi zenu. "Mwenda pole hajikwai". Vizuri sana kaka🇹🇿🇨🇩🇨🇦
@kapaayathegreat
2 жыл бұрын
Ahsante sana 🙏, Christina Safi ubarikiwe sana
nawapenda sana nyote vipenz vyangu asante Kwa kazi yenu
Safi sana
hongera sana kwa filamu tamu na mafunzo si haba. Hakika ni ya kufana na kuelimisha
@majaliwawilson9372
Жыл бұрын
Lakini Mimi huwa najiuliza Adam hakuchaguliwa mke mke wa Babu yetu Adam alijiandaa kumpenda Adam? Navitabu vip vinavyo onesha Kuna Mahal mitume walichagulia wake kosa hapo nikauli yamaskini ndio haikosawa lakini vitabu vina sema mzazi nimunguwako wapil hivo ndiomana leo tumezalau yawazazi nakusema natakiwa kuwa na nitaempenda nasio nitae chaguliwa ndiomana Kat ya ndowa 100 zitazo kuwa zimefungwa Leo itayo kuwa inamiaka 40 haipo kila moja itakuwa nandowa nyingine tena hivo tunakokwenda tunaletewa ndowa za mikataba yaani tutaishi mwaka au miaka 2 hivo tutaungana najamii yakishetani kwani hawatat ndowa zidum zikidum ushoga usagaji hauta shamili Sasa ninihik Kama sio ushetani tunao letwa bila kujitambuwa kilamtu ajifuze vitabu awe namaalifa nasio maneno yqkuwambiwa
WOW films nzuli taomba ifwatao part 3
Hiii ilienda poa ❤❤
Talented brother 💪💪 keep it 💯 on going nimevutiwa na intertain also education to the society
We kapaya vipi,
Funzo zuri sna..Maskin ana haki y kupend ..hongera kwenu..maamuz y kudum
nimependezwa na video zenu .....nasubiria zaidi na zaidi , natoka kenya
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Ahsante mpenzi wangu
@moniquemshai2654
Жыл бұрын
@@kapaayathegreat karibu
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
@@moniquemshai2654 uko wapi mpenzi wangu
@moniquemshai2654
Жыл бұрын
@@kapaayathegreat natokea mombasani
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
@@moniquemshai2654 wow mpenzi wangu
Congrats team kapaya the great.
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
🙏🙏
😭😭😭Daaah mapenzi I yanaumaa saana
Kazi nzuri sana ongera
Kaz nzur san ongeren
Hongereni kwa kzi nzuri
Kazi nzuri sana...keep it up
Movie nzuri sana ongeleni nabapenda sana 🙏 ❤❤
@boytz202
2 жыл бұрын
Good job
Nimelia sana hii filamu maana mimi imenitokea watu ambao hatujabarikiw 'na Mungu kuwa 'na mali tunadharaulika jmn 😭😭😭😭😭😭
Woooiye l like it the true love never die 🔥🔥🙏
@christinesakali3840
Жыл бұрын
Haya mapenzi jamani deo na precious 💞
Dauka she still best actriss love from BUJA
Mr kapayaa naangalia sanaaa,mazee Yana roho ya ushamba balaa
Kapaya wetu asante kw hii filamu
Movie nzuri sana nawashukuru kutoka Nairobi Kenya
@kapaayathegreat
2 жыл бұрын
Karibu sana
Deo noma
Deo ukovizuriii Sana musukuma
Nlikuwa naingoja sana big up manzee
Nice film kipendacho roho ni dawa God bless you abundantly wish you all the best hope to see another one
Nakubali sana ♥️
Kapaya nakubari sana brother
Jamani like tu 🥰🥰🥰
Kapaya hongera sana kwa sasa bongo mov ipo mikononi mwako maana mov zako zote zina maadili congratulation Kwa hilo
@kapaayathegreat
2 жыл бұрын
🙏🤝
Ongereni sana
Nimafundisho tosha👌🥰🥰🥰🤣
The greatest kapaya
Wow twaisubiria kwa hamu na hamumu
Nzuri nzur sana
Big up brother Deo from kapaya the Great Nice short 🙏 may God bless you
Waaaah nkali kabsa
Ongeza kazi nyingine nimepnda 👏👏
Waooo tunaisubiri
wazEe, , , hapo kwenye nguMi hapaJabambA 😂😄
Kapaya unajua sana kaka bigup be blessed
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
Ahsante sana mpenzi wangu Zena
@zenangongoro574
Жыл бұрын
@@kapaayathegreat mm ni wa kiume kaka kapaya 😂😂😂 niko na kipaji cha kuigiza kaka lakini nahisi kipaji changu kinaishia chini sijapata nafasi ya kukionyesha popote ila nyinyi kaka mko mbali😢😢😢😢
@kapaayathegreat
Жыл бұрын
@@zenangongoro574 wewe ukowapi
Tunakupenda san unafany kazi nzuri
Huyu mwanaume deo kwa sura yake anaonekana kama npole ndo ninamuona filam zake zote
Wooooooooo asanteni sana
Hongera kwa washiriki wote movie ni nzuri sanaa