INNEVITABLE LOVE || Swahili Latest || Bongo Movie 2021
Фильм және анимация
INNEVITABLE LOVE bongo movie 2021
Bongo movie 2021 swahili
Latest Bongo Movie
INNEVITABLE LOVE ni filamu bora yakitanzania yenye maudhui mazuri.
lengo la Filamu hii ni kutoa Elimu juu ya Afya ya uzazi.
KAPAYA THE GREAT FILM
Contact:
0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instargram
Kapayathegreat
TANZANIA.
Пікірлер: 235
Broo kapaya unafanya vizur nakutabiria utakuwa mtu maarufu pengine kuizidi hata marehm kanumba utakua wakimataifa na Dunia kwa ujumla yote yanawezekana ukiamin🙏🙏🙏🙏
naipenda sana movie hii...ila pia naomba muendeleleze filamu ya kosa la mama ❤️❣️❣️
@emmanuelokumu5786
Жыл бұрын
Pia hiyo Mimi nimeingoja Sana part 2 kosa la mama
@elizabethawiti
Жыл бұрын
Hata mimi ilinipendeza
Nafurahishwa sana na movie zenu jaman tunaziangalia tukiwa kenya ❤🎉🎉🎉🎉🎉
I love this movie iko poa sana, congrats kwawashirika wote 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🙏🙏🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦
Uko vizuri sana bro, kaz nzuri.
Nmeipenda iyo
somehow bongo movie tunaona kuendelea hongera mnaoipambania nass tuko nyuma yenu
Tunasubiri part2,3,4&5 tunaisubiri kwahamu sana deo kapaya anacheza movie zuri sana 😍😍😍
Daaaah aminia mumeniacha hoi kazi nzuri Sanaa ✊ kongole part two isikawie kama NTEMI episode 13 🤣🤣🤣🤣adi Leo naisubiri 🤣🤣🤣
Mwanangu kapaya mimi naomba umwambie Magreth kapela a.k.a ANNA, Maambie nimempenda. Yaani nimempenda kikweli kweli mwanangu. Fikisha salamu hizi please!
@benjaminkivuyo1515
Жыл бұрын
Gaerrrrr
Wow nice video nmeikubali nkiwa 254
Kazi nzur kapaya kipenzi sikunyingi upokinu 💪💪👍👍🥰🥰🇧🇮
Rose 🌹 nakupenda sana dadangu 🥰🥰
Filamu nzuri ya mavunzo sana. Hongerini
Kapaya Endelea Kazi Broo Tuko Nya Yako
Napenda san movie zenu natamani siku moja niwe pamoja na nyie
Ebwanae kazi zenu safi,kutoka Kenya congrat
Kapaya najua hongera umezipata nyingi sana nataka kukuambia kua wewe ni Nuru mpya Tanzania ongeza juhudi na ubunifu ni mm victor phiri from Lusaka zambia
@kapaayathegreat
2 жыл бұрын
🙏🙏🤝
Bro Kapaya. hongera sana kwa kuitangaza Geita mkoa wetu My homeland 🙏🙏
This movie is the best so far I really love it please part 2 we need it soon please
@andrewmwambi538
2 жыл бұрын
Part 2imeenda kama NTEMI episode 13 🤣🤣🤣
@ailcemuthoni3339
2 жыл бұрын
@@andrewmwambi538 nlikua nmeona Kama Ina premier leo
@andrewmwambi538
2 жыл бұрын
Let's wait en see
@andrewmwambi538
2 жыл бұрын
Oooh Yeah nimeona in count of five hours we have it ✊✊✊✊
@marrykulwa737
Жыл бұрын
Jamani mim pia ni mwana sanaa ila kikundi changu mtihan jamani msaada wenu
Nawakubali sana
Jamani kapaya tunaomba muenderezo muvi nzuri san👍👍👍🔥🔥🥰🥰🥰🇧🇮
Kazi safi ndugu...talanta unayo💪💪💪 wishing you all the best in your creation
Hongereni sana movie tamu sana Kapaya Mungu akubariki
Big up kwa Mr kapaya 👍👍👍👍
Movie nzuri tunangonja part two,,,na uendeleshe ntemi ulituwacha njia panda
Nakukubali sana bro kaza sana mzee baba!
Congratulations movie nzuri sana watching from Kenya.. mashallah nimependa sana daah!!
Jaman kaza kanumba namuona kwako unanigusa Sana kwenye film ako Yan.
Kapaya unajitahidi sana kuutangaza mkoa wako wa geita hongera sana kwa hilo 👏👏👏👏
@kapaayathegreat
2 жыл бұрын
🙏🙏🤝
Nasubiri pat 2 👌👌nakupenda kwa kazi nzuri kaka from kenya
@furahaeto6193
Жыл бұрын
Picture zuri jamani muweke part two
Jaman tunaomba mwendelezo kazi nzuri sana ♥️♥️♥️
Yaan mkaka huyu nmuzuri kwa kweli😂😂yaan mpka nampenda from kenya
Like kwangu jmni nmefulaii
Nakupenda buletu kwakazi yako unafanya vinzuri sana ilove
Kazi nzuri sana kk
Kazi njema ils nangoja part 2
Kutoka mkoani Lindi..bonge la movie unaupiga mwingi...tunahtaji muendelezo wa part 2..
Safi SANA nakubali kazi zako
Bro haujawah kosea we na wenzako ,😄👍👍👍👍🔥🔥
Nawaombeni pat two ninzuriii sana ❤️
@kapaayathegreat
2 жыл бұрын
SUBSCRIBE utaziona zote hapo
Kazi nzuri Sana ❤️❤️🌹 vp mwendelezo wa kosa la mama
Kosa la mama fanyeni itoke mwendelezo
Nakupenda sana kapaya mungu azidi kuwabaliki
Uko creative keep it up and believe to GOD
Tupia ntemii buanaaa tumeimisss
Leteni part two Mr Kapaya .....
Wow💥💥💥🥰 nzur
Movie nzur san nmeipenda
Mm namkubali camera man wako Musa banzi broo ju anakukutanisha na watu poa ambao mtafika mbali Rose ndauka she's the best actor
Nzuri sana
Kazi nzurii part 2 basi ❤️❤️
Nakubali sana
Hongereni sana
Aww.. Tamu sana.. Cant wait to continue with Prt2 👏🏻👏🏻👏🏻hongera kazi njema nice movie ❤️❤️❤️enjoying it🙌🙌
Kazi safi bro and all the best
nategea hiyo part2 Wacha tu... hopes haitachelewa kama Ntemi episode 13
Nimeikubali sana
Wao zuri sn
From DRC nawapenda sana
Burundi tukowot tunakubongeza kaka
Tunangoja kw hamu sana
Kazi zuri mbona unakawa kulete sehemu ya pili kaka
Pungezi Kwa yenu nzuri guys
Kazi nzur jmn naomba kosa la mama part 2
@kapaayathegreat
5 ай бұрын
ipo hapo, SUBSCRIBE hiyo channel utaziona nyingi sana
Following..... Ndo tu nmeanza
Kitu kizuri sana ndungu angu 👍👍
My neighbors from Tz good job,much love from Kenya 🇰🇪 part 2 ikuje mbio mbio😀
part 2 plz hongereni sana nyote
Filamu nzuri
Wow movie nzuri sana kee up
Nina Pendeza sana na bwana Micheal
Ipo gud kabisa hii movie sorry tnaomba part two
Mbona kama ishq ya ajei devigan Kajol Madhour Na mwengn nimemsahau....
Naomba part 2 nimeipenda.
@agathapetermakanya2221
2 жыл бұрын
Ipo nzuri jamani hongereni
Nice movies, part two please
Nawapenda sana
rosi ndauka you looking so good
Nice movie waiting part 2 plz love u guyz
Unajua San kak❤❤❤❤
Kapaya hongela
Vp mwendelezo wa hii picha haujatoka vp
Poa sana
Movie nzuri
E jmn me pia naomb kosa la mama pat 2 wallah ya bamba
Something good snaaa
Ila nakupenda
@BekaKatana
Ай бұрын
Mmmm❤
@BekaKatana
Ай бұрын
Mmm❤
Part 2 bana hii movie ni nzuri
Part two plz ,,,kamekaa gud
Wow, and where is part 2 I'm waiting please
Yaani haoa nasubiria sitaki mpk nione mzigo
wow, what a nice work, we are waiting for part 2 ,please let us get it soon Mr kambaya
@gharibiddi2078
2 жыл бұрын
O
@juliusamos3744
Жыл бұрын
11
Kazi mzur
Hongera xna kak kW kzi nzr
Waiting
Jmn mapenzi ww😂😂😂😂😂
Ntim we noma
Vizuli saana
Nice movie, but kapaya tunakudai mwendelezo wa movies jamani
Sasa iiih we ngosha Michael na uyo bint ndyo muvae kijani jomoni