HUEZI KUAAMINI VITU VILIVYOMO NDANI YA PANGO LA KUTISHA

fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #ZinjibarTV

Пікірлер: 26

  • @radhyiawamburah2394
    @radhyiawamburah23944 жыл бұрын

    SubhanaAllah mimi na mapango ni pamba na moto🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @mudathirmkubwamselem5650
    @mudathirmkubwamselem56502 жыл бұрын

    Dada mbona ilopang lakawaida tuu halitishi😂😂😂

  • @khalidtv6200
    @khalidtv62003 жыл бұрын

    Wapelekwe watu wa fani ya archiology wafanye tafiti katika hayo mapango wanaweza kujua umri wake,pia wanaweza kupata vitu mbalimbali vya kale na kujua yalitumika kwenye Zama zipi na Karne ipi na utawala upi.Ahsante

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji4 жыл бұрын

    Watakuja wazungu, mwisho utasikia wao ndio wavumbuzi

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57024 жыл бұрын

    Hahaha haha nimecheka kwa sauti wallahi eti nikiripoti kutoka chini ya pango

  • @thuwaybah5679

    @thuwaybah5679

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abubakaromar14
    @abubakaromar142 жыл бұрын

    Allahu Akbar ... Allah Hana mfano Watu kueni serious kidogo ingieni tu alaf mkirudi limejifunga😂😎🤔

  • @ramsonmadoro1677
    @ramsonmadoro16772 жыл бұрын

    Maji ya zam zam ni Maji pekee mjomba kunywa yatakuumiza lkn zam zam Safi kabisa,

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57024 жыл бұрын

    Ata cku moja cwezi hapo mtaniwiya radhi humo siingii tulienda Mangapwani niliishia nje tuu

  • @furahamossi3199
    @furahamossi31994 жыл бұрын

    Subuhanallah jamani dunia inamengi

  • @aishaaisha4695
    @aishaaisha46953 жыл бұрын

    Subhanallah allah anamajabu yake

  • @samahabrahman4839
    @samahabrahman48394 жыл бұрын

    Allah akbar

  • @aishasaid5702
    @aishasaid57024 жыл бұрын

    Subhannallah hahaha hahaha hahaha hahaha mmenichekesha nyie

  • @yashjuma9168
    @yashjuma91684 жыл бұрын

    very nice

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly30564 жыл бұрын

    Mimi siwez hta siku moja

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody63453 жыл бұрын

    Usifananishe na maji ya zam zam

  • @abuhaniyaruqya
    @abuhaniyaruqya4 жыл бұрын

    vipi unasema ati hiyo maji haina tofauti na maji ya zamzam.

  • @adamally6
    @adamally63 жыл бұрын

    ss mnataka watu waje kutalii hlf mnawatisha mnasem kunatisha

  • @mwakahassan8742
    @mwakahassan87424 жыл бұрын

    Mmmm mm naogp mashetani hayakosi apo

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97733 жыл бұрын

    HAMNA KAZI ZA KUFANYA WANAFIKI

  • @rashidyunus1835
    @rashidyunus18353 жыл бұрын

    HILI PANGO LINAPATIKANA WAP

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97733 жыл бұрын

    WACHENI UNAFIKI WENU HAMNA KAZI ZA KUFANYA

  • @hamidmohamed7806
    @hamidmohamed78064 жыл бұрын

    Huyo mwanamke alosema kunatisha hafai anaharibu baada ya kusifia yeyé anaongea vitisho upuuzi hajui kusifia

  • @othumanichabai2906

    @othumanichabai2906

    Жыл бұрын

    Wajinga nyie

  • @faridahalil536
    @faridahalil5364 жыл бұрын

    Sasa hayo maji alikua na uhakika gani kama ni yakutibu mtu maradhi ya kila aina.

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57724 жыл бұрын

    Acha mambo yako ya kishetani wewe maji ya kawaida to .hayo ya unyev wa mawe