HUEZI KUAAMINI VITU VILIVYOMO NDANI YA PANGO LA KUTISHA
fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #ZinjibarTV
Пікірлер: 26
SubhanaAllah mimi na mapango ni pamba na moto🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Dada mbona ilopang lakawaida tuu halitishi😂😂😂
Wapelekwe watu wa fani ya archiology wafanye tafiti katika hayo mapango wanaweza kujua umri wake,pia wanaweza kupata vitu mbalimbali vya kale na kujua yalitumika kwenye Zama zipi na Karne ipi na utawala upi.Ahsante
Watakuja wazungu, mwisho utasikia wao ndio wavumbuzi
Hahaha haha nimecheka kwa sauti wallahi eti nikiripoti kutoka chini ya pango
@thuwaybah5679
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Allahu Akbar ... Allah Hana mfano Watu kueni serious kidogo ingieni tu alaf mkirudi limejifunga😂😎🤔
Maji ya zam zam ni Maji pekee mjomba kunywa yatakuumiza lkn zam zam Safi kabisa,
Ata cku moja cwezi hapo mtaniwiya radhi humo siingii tulienda Mangapwani niliishia nje tuu
Subuhanallah jamani dunia inamengi
Subhanallah allah anamajabu yake
Allah akbar
Subhannallah hahaha hahaha hahaha hahaha mmenichekesha nyie
very nice
Mimi siwez hta siku moja
Usifananishe na maji ya zam zam
vipi unasema ati hiyo maji haina tofauti na maji ya zamzam.
ss mnataka watu waje kutalii hlf mnawatisha mnasem kunatisha
Mmmm mm naogp mashetani hayakosi apo
HAMNA KAZI ZA KUFANYA WANAFIKI
HILI PANGO LINAPATIKANA WAP
WACHENI UNAFIKI WENU HAMNA KAZI ZA KUFANYA
Huyo mwanamke alosema kunatisha hafai anaharibu baada ya kusifia yeyé anaongea vitisho upuuzi hajui kusifia
@othumanichabai2906
Жыл бұрын
Wajinga nyie
Sasa hayo maji alikua na uhakika gani kama ni yakutibu mtu maradhi ya kila aina.
Acha mambo yako ya kishetani wewe maji ya kawaida to .hayo ya unyev wa mawe