Jamani Hii movie mafunzo yake niya ukweli bila chenga Hawa vijana walioigiza hii picha nikama vile mungu kawaonyesha kuwa matatizo mengi ya jamii now days yako hivi walai nimeipenda Sana. Kama nawewe uko Pamoja nao gonga like hapa❤
@busatitv
16 күн бұрын
Asante sana tunakupenda mno Mtu wa Mungu
@richardchristopher7141
16 күн бұрын
@@busatitv Msikate tamaa pambaneni kwani nimeona mnakitu ndani yenu Sr God awe pamoja nanyi msitengane🙏
@AminaKavuo-gj3oc
16 күн бұрын
Himefikia maali Pake wao Asante mungu
@MaryPendo-gy4yr
16 күн бұрын
Candy tena bado
@user-yu9qn4oi3g
16 күн бұрын
❤❤❤ candy hapo Bado hujaona mauzauza 😂😂😂utajuta kwenda kwa mganga
@mohamedlopa841016 күн бұрын
Kama unahiman zuuh ata apatikana nakuzungushiwa kibuyu kichwan tujuane kwa like zakutosha❤❤❤❤😂😂😂😂😂❤❤❤
@busatitv
16 күн бұрын
🥰🥰🥰🤣🤣
@mohamedlopa8410
16 күн бұрын
😂😂😂@@busatitv
@RutaRubedi
16 күн бұрын
😂😂😂 ndio mambo yako nini
@mohamedlopa8410
16 күн бұрын
@@RutaRubedi😂😂😂😂
@mohamedlopa8410
16 күн бұрын
@@busatitv❤❤❤
@MaarufuAmani-bq6qc16 күн бұрын
Tunae fulahi uamuzi wa bibi zuuu gonga like
@JudyDee-dt2fe16 күн бұрын
team zuu naona tuko na kahopes sasa wapi like za zuuu tukiamini atakua poa soon❤❤❤❤❤
@HidayaMbodze
16 күн бұрын
Tushafikiwa😂😂 raha ilioje🎉🎉🎉
@SamiaMwachumba-xf8wo
16 күн бұрын
Tuko hapa mbna raha
@EsterAsajile
15 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤@@SamiaMwachumba-xf8wo
@MwanashaAsha
15 күн бұрын
Tuko apa tupo rada sana
@JacklineMazonge16 күн бұрын
Wangapi wanatamani candy na yeye awe kama zuuuh like nyingi
@MaryamM-ht4ir
16 күн бұрын
Mm nahitji candy awe km zuu nitafrh 🎉😂😂😂😂
@RechoMasele
16 күн бұрын
Mimi natamani ata Leo jamn ananikela uyo dada
@maryamtanzania9743
16 күн бұрын
Mimi natamani zuu apone aolewe na kai afu kandi awe mzima ashuhudie ndoa
@AmirMuhammad-n1s
16 күн бұрын
Mbonaaa wengiii whats comes around goes around malipooo n ha pa hapa
@user-fl6lc6wt2p
16 күн бұрын
Me hapa
@Rizikialiamechannel76316 күн бұрын
Hebu jaman leo Ndo fainal cndy kuumbuka kma unakubali weka like hpa team felus 😂 🇴🇲
@richardchristopher7141
16 күн бұрын
Hi
@AishaSudi-pu9xy
16 күн бұрын
Leo niwai likes zenu bas😂
@Rizikialiamechannel763
16 күн бұрын
@@AishaSudi-pu9xy😂😂😂😂
@ElizabettEmanuel
15 күн бұрын
Leo Nini sijaelewa nieleweshe bas ndyo nikupe like 😂😂😂😂
@reginagikaro5654
15 күн бұрын
😅😅😅😅
@NadraRajabu16 күн бұрын
Ila sania amenifurahisha sana jmn❤❤❤❤❤
@user-sx6zw1pr1w16 күн бұрын
Namkubali bibi yaani team zuu oyee 💪🙏🙏😁😁😂😂😂😂🤣😃😃😃
@MariahJuliuss16 күн бұрын
Daaaah jamni jamni mpaka raha 😅😅😂😂😂😂😂🎉❤🎉❤ candy amehaha atli bibi kiboko😊
@nuriatyhamiss720116 күн бұрын
Candy 😂 Dunia inazunguka momy Leo yamekufika😅
@CheskoChali16 күн бұрын
Wapili naomba like 5
@jacklineshayo396216 күн бұрын
Jmn wa2 wako faster. Naomben like at 3 ty kwa ajl ya bib ake zuu🎉🎉
@SuzannMukuna16 күн бұрын
candy na bado macho haijakutoka itakutoka timu zuu mwaga likes zako hapo🎉🎉🎉
@user-qq6mv6vh3e
16 күн бұрын
😂😂😂
@zainaalmahlruqy582916 күн бұрын
Wanawake wenzangu jistirini hakuna dini inatoruhusu mavazi kama hayo mnatutukanisha filam nzuri sana
@busatitv
16 күн бұрын
🙏
@user-qv7dm4ok6g16 күн бұрын
Ebu munuachie likes mashabiki wenzangu tunao fatilia house girl nawapenda Sana
@ClariceMatulanga
16 күн бұрын
Mmmmm
@user-to4er5bq3f16 күн бұрын
Jamni mko vizuli sana mnatuwaishia move zetu ongereni
@MauaSaid-t4b16 күн бұрын
Nafurahi jamani kend kinamkuta kutoka kwa bibi AMA kweli ukimfanyia mtu ubaya malipo hapa hapa duniani movie hii ni darasa tosha
@busatitv
16 күн бұрын
Kabisaaa
@ZuenaStanley-fx6ce16 күн бұрын
Mi nko na zuu apa jaman nipen like zangu nimlete apooo❤❤
@user-ei2nr5wt1g16 күн бұрын
nimewahi jamani naombeni like zengu timu zuuuh
@anethJapheth16 күн бұрын
❤❤❤❤❤naipenda xnaaa jmn piah naifatilia xnaaa wako vizuri xnaaa hawa watu jah bless u guys . Kila ckuu naweka bando kwajili yenh
@LilijohariLilijohari16 күн бұрын
Wasipo fanya haraka ku watibia kay na zuuu basi mali ime liwa 😅😅😅
@pilicharo412316 күн бұрын
mukiambiwa usiende kwawaganga hamuelewi😅😅😅
@emanherman965816 күн бұрын
Hongereni sana muvi nzuri yakuelimisha 🎉🎉🎉🎉❤
@busatitv
16 күн бұрын
Asante sana
@Rahema12316 күн бұрын
Ila duh mpo vizuri sana mnajuwa kutuelimisha inshaallah M/mungu hawalind mzdi kutuelimisha 🎉
@SilivesterkalaniJr16 күн бұрын
Bibi ameamua sasa patamu hapo😂😂😂😂😅
@sharifanyumayo631416 күн бұрын
Mojawapo mie Nimefurah mno acha likukute na mganga Kunywa soda barid naja lipa. Kimekulamba Candy oooh
@HalimaBakari-hg5py16 күн бұрын
Bi zuuh kayayuka Leo chezea mjukuu ww, wapi team bibi tujuane😅
@busatitv
16 күн бұрын
🤣🤣
@Weksa-dg8ev16 күн бұрын
Kilicho wekwa gizani siku siku kitaonekana peupe rafikiye Cain safi sana honger❤❤❤❤😊
@SimoniFeresian16 күн бұрын
Inakuja zamu candy kuwa chiz mda so mrefu
@JanethEmmanuel-mr5le16 күн бұрын
bibi honger mkomesha uyo candy❤❤
@muddyramadhan325516 күн бұрын
Hii movie ikiisha tafadhali naomba kwa dhati ya moyo wangu iwe na sehem ya pili maan naona km bado itakuwa namaan san toka nimeanza kuwafatlia hii kitu ni noma san
@Zainab-vo2uz16 күн бұрын
Hii ndio nzuri sana dawa ya ubaya ni aibu
@tigejuma986516 күн бұрын
Wenye wanaimani kwmba cku yenye zuu atajaliwa kuonana na nyanyaah ndio mwisho wa uchizi wake....nakuuliza mbna mumenizunguka....!!? Niko wapi apa!!? Alafu mbn munalia😅
@Zainabu-xn3vd16 күн бұрын
Hii movie ina mafunzo mengi aswa kwa wanawake jameni jifunze kufanyia mwenzio hata kama ni ajiwezi tupendane please,anyway nipe hata likes kumi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@busatitv
16 күн бұрын
Asante sana🙏
@GloriaVaati-ls9ql16 күн бұрын
Sasa imekuwa tamu zaidi....hongera kwenu kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@busatitv
16 күн бұрын
🥰🥰
@ggfwtgg165216 күн бұрын
Hii movie mumetusha sana bbi zuuuu yaani nakuamini huezi kuniangusha maana unaweza sana kazi nzuri ❤❤❤❤
@CharleneNIYORUKUNDO16 күн бұрын
Wakwaza leo naomba like zang jmn from burundi😊😊😊
@user-pp3vo8rw5j16 күн бұрын
Much love from saudi ❤❤❤yn nafurahia sana katika hii move juu inanifunza katika maisha ya upendo wenu ❤❤❤cendy kitakuramba saii
@busatitv
16 күн бұрын
🥰🥰
@AminaPtg16 күн бұрын
Mungu akuweke director unatumia akil nyingi san 🥰💓🙏
@RahabuMwashilinde16 күн бұрын
Hii movie sio ya level za KZread pekee ipelekwe hata Netflix na kwenye ving'amuzi hii movie sio ya nchi hii nawapenda busati tv❤❤
@monicamgimba5129
16 күн бұрын
Umeona eee iko poa Sana hii movie
@user-gs3hx3kd3r16 күн бұрын
Good job 👏
@merinazyd053216 күн бұрын
Hivi kai akijua mauzauza yote hayo aliyo ya fanya cendy siatamfukuza kama mbwaa 😂😂😂😂
@busatitv
16 күн бұрын
🤣🤣
@MwactyPatrick-dk4ls
16 күн бұрын
@@busatitvhili ni bonge la movie kwann msipeleke dstv au azam jmn uwiiiii much love❤❤❤
@mesamesa369816 күн бұрын
Mapema ndio best n kama unamkubali bibi gonga like nifurahi❤
@busatitv
16 күн бұрын
🥰
@hlimaa518216 күн бұрын
Movie nzuri mno Yenye mafunzo mengi sana ambayo ndani yake yana ukweli ntupu katika maisha tunayo ishi Mume wa mcho wa daa masozi acheni tamaa itawaponza😂😂😂😂😂niko pale 👉 nasubiri episode 35❤
@user-ks9ui8td7y16 күн бұрын
Malipo ni hapa duniani tenda mema mungu atakulipa
@user-xh7xf2ki3r16 күн бұрын
Wallah Busati TV mmewezaaaaa tena mmewezaaa tenaaa🔥🔥🔥🔥💐🇹🇿 peperusha dunia nzima wajue kazi yakoo % haya yanafanyika katika jamii tunaziishi nazo
@KennedyMusaina16 күн бұрын
Ahh fresh show iko poa ina bamba sana ❤
@AkimanaVely-gq9cu16 күн бұрын
Nam leo nimewahi jomn Wana wa burundi tujuane kwa like bs
@user-zw9jg7ne8k16 күн бұрын
Yaani nmefurahia sana
@VeronicaIbrahim-wv4dg16 күн бұрын
Nimewahi jamani like zangu
@priscahmahenzo642
16 күн бұрын
𝐖𝐚𝐚𝐚𝐚𝐚𝐡 𝐜𝐚𝐧𝐝𝐲 𝐤𝐢𝐬𝐡𝐚𝐦𝐫𝐚𝐦𝐛𝐚😂😂😂😂
@dominicgodwin982416 күн бұрын
Watu wangu wa nguvu naomben like zenu basi leo wa kwanza👌
@nurusaid469816 күн бұрын
Nex Bwana Iwe Ewani Saabili Usiku Au Tatu Tusilale Bila Kutazama❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@Flazodesigner221516 күн бұрын
❤❤❤miye nakubali kama zuuu wangu atapona munipe like zangu apa kutoka congo
@busatitv
16 күн бұрын
🙏🙏
@Flazodesigner2215
16 күн бұрын
@@busatitv asante
@user-fs2zz7ou6u16 күн бұрын
Hongera sana kwa movies nzuri
@user-dp3fv2kh4l16 күн бұрын
Hii movie yafundisha jamani ukifanyia mwenzako ubaya usitarajie kulipwa mema ❤❤
@abdallahassan637816 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉Kaz nzuri sana
@NanaaHaji-qr1rk16 күн бұрын
Candy iyo pua itapungua mara hii😂
@ZaithuniNassir
16 күн бұрын
😂😂😂😂na ataongea vizurii siyuaongea na ulimi😅😅😅
@user-sr3gx4nj8i16 күн бұрын
Iyi movie nikali nayipendasana kinoma
@user-vw3mr7jd1i16 күн бұрын
Zuu na Kai wapone haraka,mana wakipona utamu wa movie ndo unakolea sasa👌...candy ateseke na yeye😎
@busatitv
16 күн бұрын
🙌
@user-vw3mr7jd1i
16 күн бұрын
@@busatitv Ndy team Kai na zuu zamu yetu sasa😂
@PurityWaithira-ud2vj16 күн бұрын
Jamani watatu ni pewa likes nimejificha chooni mdoss wangu asinione bwana nyie😊,more love from qatar ❤
@LinahAssey-i5m16 күн бұрын
Hii movie inafundisha sana i like it
@busatitv
16 күн бұрын
🙏🙏
@SharonNabwire-ft7qp
15 күн бұрын
I like the video ❤❤❤❤🎉
@user-kd4iu5fy4r16 күн бұрын
Na me naombeni like timu zuuh❤🎉🎉
@richardchristopher714116 күн бұрын
Tupate wapi Tena waigizaji kama Hawa walai sioni kwahapa TZ🇹🇿🇹🇿 wengine wataiga hapa2😅 like her
@maryamtanzania9743
16 күн бұрын
Acheni unafiki watu wote wanaweza tu
@estherezzy136
16 күн бұрын
😂😂😂usisahau AZ PRO ban
@kennethedward6992
16 күн бұрын
Wengi sana sana ujasili na usubutu ndio unatakiwa kwenye maisha
@user-zu5ub3hx2p
14 күн бұрын
Alakey umemuacha wapi
@GivenessJamal16 күн бұрын
Hongerani kwa Kaz nzuri hampoi 🎉🎉🎉
@neemapatrick648116 күн бұрын
Jamani house girls pambe❤❤❤❤
@SharonNabwire-ft7qp
15 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉
@Sayd-pi5lq16 күн бұрын
Ni motoo lkn episode inayo fata bb ake zuu lazima afanye K2 ili Kai akili yake irudi kabla nyumba haijauzwa😢
@dansonmukhwana884416 күн бұрын
Wa kwanza toka kenya wapi likes zangu jaman❤
@kassimmwanjali423316 күн бұрын
Naombeni like leo
@RizikiZiki16 күн бұрын
Uhuum mambo kwa bibi zuu yananoga kwa kay yanazidi kua magumu haya si twaomba zuu apatikane atibiwe na kay atibiwe Candy kimurambe tena asiwe kica awemuzima afe taratibu tu😂😂
@user-pg8og1gp1u16 күн бұрын
Number four jamani naombeni likes zangu
@kaka-of2oq16 күн бұрын
Nawakubali mko chap. Kama unaniunga mkono angusha like
@winnykirisha455616 күн бұрын
Eki kipindi kinamafunzo
@Weksa-dg8ev16 күн бұрын
Bibike zuu ni vip mchawi ama na iyo kibuyu ni Cha nin uchawi sielewi Ako amesimama wapi❤
@MaggySemkande
14 күн бұрын
Kwakweli na mm nimejiuliza hivohivo😢
@janatmapenzi526416 күн бұрын
😂😂😂😂😂 candy lakusema cna ata nawapenda bure😂😂❤like flani amba hapa hata km nmechelewa namuuliza candy vp plan ya kufungua supermarket bado ipo ama
@nasrachimamy
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@peterphilipo510316 күн бұрын
Hatari sana hongereni team BUSATI TV
@jobmoffat784416 күн бұрын
Movie ni nzuri Marekebisho ni kupunguza kukaa kwenye sceen ya aina moja kwa muda mrefu.
@Phoebenafula16 күн бұрын
Hongera sana bibi❤❤❤ Wa kwanza kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪Naomba like basi
@busatitv
16 күн бұрын
🥰🥰
@Saum-so9gr16 күн бұрын
Kazi nzur ❤️❤️👏👏
@DaisyNyabuto16 күн бұрын
Team zuuh 🥰🥰🥰🥰Aya candy ndo mwanzo😢 nipee mbili
@user-ue9uf8ru6j16 күн бұрын
Iike yangu jamani Niko zambia
@KalistusWiligis16 күн бұрын
Jamani nipeni like mm ndo wa kwanza leo
@rubniyi3551
16 күн бұрын
Bado hujasema 😂
@LydiaCostantine16 күн бұрын
Muda umekua mwingi tangu nmuone amenunuliwa sambusa amegawiwa na jacket sijamuona tena😥 u're missed Zuu ❤
@user-bm1oe9lh1m16 күн бұрын
Jamn kwan mwalala humu😂😂😂
@user-ie8cu9vm6p16 күн бұрын
We jaman ❤❤❤❤
@user-jl2er1nb2p16 күн бұрын
Canndy wachezea bibi ya boss mchawi wewe......ngoja ujikubali kuwa ulironga watu😂😂😂😂😂😂
@ZaithuniNassir
16 күн бұрын
😅😅😅😅huyu nikiboko huyu bibi....kwa boss mchawiiii sana😊
@user-jl2er1nb2p
16 күн бұрын
@@ZaithuniNassir hatari huyo bibi........ila canndy ashaumbuka....halafu rafiki yake mnafki kama nn...walielewana saa hii ashatombowa siri.....marafiki jamani
@ZaithuniNassir
16 күн бұрын
@@user-jl2er1nb2p 🤣🤣🤣yy canndy ndio aloanza kumuharibia🤣🤣nayy hakutqka kabisa akaharibuuu kabisa saii atajua hajui
@user-jl2er1nb2p
16 күн бұрын
@@ZaithuniNassir mm nilisha juwa bibi ya boss mchawi akiingia atapata aibu
@AishaAlly-ob7vd16 күн бұрын
Kai kendi anakupoteza kwenye direction ya maisha yaan Mungu aksimamie
@GraceNataliya16 күн бұрын
Jamani like ata moja
@Asha-xc1nc16 күн бұрын
Number two jaman
@rishedynassor617016 күн бұрын
Kaz nzur
@StelaStela-bd8lf15 күн бұрын
Candy umeyatimba mateso kwako ss movie nzuri sana hongereni sana mungu awatangulie
@user-uy1fr1lj4b16 күн бұрын
Jamannn leooo nimewahiii
@lionjoseph92316 күн бұрын
Sijachelewasana namimi laik zang
@user-ri5xw2rs4n16 күн бұрын
Dah uyu kay niuchawi tu au kapewa na vingine😢😢 like zenu jaman
@AsebaleylaDavid16 күн бұрын
Ahsante kwa episode nyingine chukua 🎉🎉🎉 nawapenda sana
@fatmasuleimanali53816 күн бұрын
Acha leo nikomenti ni mara yng ya mwanzo nafatilia lkn cjawahi comments ata siku moja ila mambo moto❤
@busatitv
16 күн бұрын
Asante sana🥰🥰🥰
@ferouzmasoud310416 күн бұрын
Watu mpo fastaaaa 😅
@estherezzy13616 күн бұрын
Waaa mkofasta aje ❤❤❤❤🎉❤🎉❤🎉
@fatumaselemani380716 күн бұрын
Mashallah Mashallah
@saumodzumbo967116 күн бұрын
Nashukuru sana kai Mungu awazidishieni 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@OlyUpowerfuljesus16 күн бұрын
"Ukijua kulikoroga jua na kulinywa" nimependa majibu ya mganga.😂😂😂
Пікірлер: 757
Jamani Hii movie mafunzo yake niya ukweli bila chenga Hawa vijana walioigiza hii picha nikama vile mungu kawaonyesha kuwa matatizo mengi ya jamii now days yako hivi walai nimeipenda Sana. Kama nawewe uko Pamoja nao gonga like hapa❤
@busatitv
16 күн бұрын
Asante sana tunakupenda mno Mtu wa Mungu
@richardchristopher7141
16 күн бұрын
@@busatitv Msikate tamaa pambaneni kwani nimeona mnakitu ndani yenu Sr God awe pamoja nanyi msitengane🙏
@AminaKavuo-gj3oc
16 күн бұрын
Himefikia maali Pake wao Asante mungu
@MaryPendo-gy4yr
16 күн бұрын
Candy tena bado
@user-yu9qn4oi3g
16 күн бұрын
❤❤❤ candy hapo Bado hujaona mauzauza 😂😂😂utajuta kwenda kwa mganga
Kama unahiman zuuh ata apatikana nakuzungushiwa kibuyu kichwan tujuane kwa like zakutosha❤❤❤❤😂😂😂😂😂❤❤❤
@busatitv
16 күн бұрын
🥰🥰🥰🤣🤣
@mohamedlopa8410
16 күн бұрын
😂😂😂@@busatitv
@RutaRubedi
16 күн бұрын
😂😂😂 ndio mambo yako nini
@mohamedlopa8410
16 күн бұрын
@@RutaRubedi😂😂😂😂
@mohamedlopa8410
16 күн бұрын
@@busatitv❤❤❤
Tunae fulahi uamuzi wa bibi zuuu gonga like
team zuu naona tuko na kahopes sasa wapi like za zuuu tukiamini atakua poa soon❤❤❤❤❤
@HidayaMbodze
16 күн бұрын
Tushafikiwa😂😂 raha ilioje🎉🎉🎉
@SamiaMwachumba-xf8wo
16 күн бұрын
Tuko hapa mbna raha
@EsterAsajile
15 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤@@SamiaMwachumba-xf8wo
@MwanashaAsha
15 күн бұрын
Tuko apa tupo rada sana
Wangapi wanatamani candy na yeye awe kama zuuuh like nyingi
@MaryamM-ht4ir
16 күн бұрын
Mm nahitji candy awe km zuu nitafrh 🎉😂😂😂😂
@RechoMasele
16 күн бұрын
Mimi natamani ata Leo jamn ananikela uyo dada
@maryamtanzania9743
16 күн бұрын
Mimi natamani zuu apone aolewe na kai afu kandi awe mzima ashuhudie ndoa
@AmirMuhammad-n1s
16 күн бұрын
Mbonaaa wengiii whats comes around goes around malipooo n ha pa hapa
@user-fl6lc6wt2p
16 күн бұрын
Me hapa
Hebu jaman leo Ndo fainal cndy kuumbuka kma unakubali weka like hpa team felus 😂 🇴🇲
@richardchristopher7141
16 күн бұрын
Hi
@AishaSudi-pu9xy
16 күн бұрын
Leo niwai likes zenu bas😂
@Rizikialiamechannel763
16 күн бұрын
@@AishaSudi-pu9xy😂😂😂😂
@ElizabettEmanuel
15 күн бұрын
Leo Nini sijaelewa nieleweshe bas ndyo nikupe like 😂😂😂😂
@reginagikaro5654
15 күн бұрын
😅😅😅😅
Ila sania amenifurahisha sana jmn❤❤❤❤❤
Namkubali bibi yaani team zuu oyee 💪🙏🙏😁😁😂😂😂😂🤣😃😃😃
Daaaah jamni jamni mpaka raha 😅😅😂😂😂😂😂🎉❤🎉❤ candy amehaha atli bibi kiboko😊
Candy 😂 Dunia inazunguka momy Leo yamekufika😅
Wapili naomba like 5
Jmn wa2 wako faster. Naomben like at 3 ty kwa ajl ya bib ake zuu🎉🎉
candy na bado macho haijakutoka itakutoka timu zuu mwaga likes zako hapo🎉🎉🎉
@user-qq6mv6vh3e
16 күн бұрын
😂😂😂
Wanawake wenzangu jistirini hakuna dini inatoruhusu mavazi kama hayo mnatutukanisha filam nzuri sana
@busatitv
16 күн бұрын
🙏
Ebu munuachie likes mashabiki wenzangu tunao fatilia house girl nawapenda Sana
@ClariceMatulanga
16 күн бұрын
Mmmmm
Jamni mko vizuli sana mnatuwaishia move zetu ongereni
Nafurahi jamani kend kinamkuta kutoka kwa bibi AMA kweli ukimfanyia mtu ubaya malipo hapa hapa duniani movie hii ni darasa tosha
@busatitv
16 күн бұрын
Kabisaaa
Mi nko na zuu apa jaman nipen like zangu nimlete apooo❤❤
nimewahi jamani naombeni like zengu timu zuuuh
❤❤❤❤❤naipenda xnaaa jmn piah naifatilia xnaaa wako vizuri xnaaa hawa watu jah bless u guys . Kila ckuu naweka bando kwajili yenh
Wasipo fanya haraka ku watibia kay na zuuu basi mali ime liwa 😅😅😅
mukiambiwa usiende kwawaganga hamuelewi😅😅😅
Hongereni sana muvi nzuri yakuelimisha 🎉🎉🎉🎉❤
@busatitv
16 күн бұрын
Asante sana
Ila duh mpo vizuri sana mnajuwa kutuelimisha inshaallah M/mungu hawalind mzdi kutuelimisha 🎉
Bibi ameamua sasa patamu hapo😂😂😂😂😅
Mojawapo mie Nimefurah mno acha likukute na mganga Kunywa soda barid naja lipa. Kimekulamba Candy oooh
Bi zuuh kayayuka Leo chezea mjukuu ww, wapi team bibi tujuane😅
@busatitv
16 күн бұрын
🤣🤣
Kilicho wekwa gizani siku siku kitaonekana peupe rafikiye Cain safi sana honger❤❤❤❤😊
Inakuja zamu candy kuwa chiz mda so mrefu
bibi honger mkomesha uyo candy❤❤
Hii movie ikiisha tafadhali naomba kwa dhati ya moyo wangu iwe na sehem ya pili maan naona km bado itakuwa namaan san toka nimeanza kuwafatlia hii kitu ni noma san
Hii ndio nzuri sana dawa ya ubaya ni aibu
Wenye wanaimani kwmba cku yenye zuu atajaliwa kuonana na nyanyaah ndio mwisho wa uchizi wake....nakuuliza mbna mumenizunguka....!!? Niko wapi apa!!? Alafu mbn munalia😅
Hii movie ina mafunzo mengi aswa kwa wanawake jameni jifunze kufanyia mwenzio hata kama ni ajiwezi tupendane please,anyway nipe hata likes kumi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@busatitv
16 күн бұрын
Asante sana🙏
Sasa imekuwa tamu zaidi....hongera kwenu kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@busatitv
16 күн бұрын
🥰🥰
Hii movie mumetusha sana bbi zuuuu yaani nakuamini huezi kuniangusha maana unaweza sana kazi nzuri ❤❤❤❤
Wakwaza leo naomba like zang jmn from burundi😊😊😊
Much love from saudi ❤❤❤yn nafurahia sana katika hii move juu inanifunza katika maisha ya upendo wenu ❤❤❤cendy kitakuramba saii
@busatitv
16 күн бұрын
🥰🥰
Mungu akuweke director unatumia akil nyingi san 🥰💓🙏
Hii movie sio ya level za KZread pekee ipelekwe hata Netflix na kwenye ving'amuzi hii movie sio ya nchi hii nawapenda busati tv❤❤
@monicamgimba5129
16 күн бұрын
Umeona eee iko poa Sana hii movie
Good job 👏
Hivi kai akijua mauzauza yote hayo aliyo ya fanya cendy siatamfukuza kama mbwaa 😂😂😂😂
@busatitv
16 күн бұрын
🤣🤣
@MwactyPatrick-dk4ls
16 күн бұрын
@@busatitvhili ni bonge la movie kwann msipeleke dstv au azam jmn uwiiiii much love❤❤❤
Mapema ndio best n kama unamkubali bibi gonga like nifurahi❤
@busatitv
16 күн бұрын
🥰
Movie nzuri mno Yenye mafunzo mengi sana ambayo ndani yake yana ukweli ntupu katika maisha tunayo ishi Mume wa mcho wa daa masozi acheni tamaa itawaponza😂😂😂😂😂niko pale 👉 nasubiri episode 35❤
Malipo ni hapa duniani tenda mema mungu atakulipa
Wallah Busati TV mmewezaaaaa tena mmewezaaa tenaaa🔥🔥🔥🔥💐🇹🇿 peperusha dunia nzima wajue kazi yakoo % haya yanafanyika katika jamii tunaziishi nazo
Ahh fresh show iko poa ina bamba sana ❤
Nam leo nimewahi jomn Wana wa burundi tujuane kwa like bs
Yaani nmefurahia sana
Nimewahi jamani like zangu
@priscahmahenzo642
16 күн бұрын
𝐖𝐚𝐚𝐚𝐚𝐚𝐡 𝐜𝐚𝐧𝐝𝐲 𝐤𝐢𝐬𝐡𝐚𝐦𝐫𝐚𝐦𝐛𝐚😂😂😂😂
Watu wangu wa nguvu naomben like zenu basi leo wa kwanza👌
Nex Bwana Iwe Ewani Saabili Usiku Au Tatu Tusilale Bila Kutazama❤❤❤❤❤😂😂😂😂
❤❤❤miye nakubali kama zuuu wangu atapona munipe like zangu apa kutoka congo
@busatitv
16 күн бұрын
🙏🙏
@Flazodesigner2215
16 күн бұрын
@@busatitv asante
Hongera sana kwa movies nzuri
Hii movie yafundisha jamani ukifanyia mwenzako ubaya usitarajie kulipwa mema ❤❤
🎉🎉🎉🎉Kaz nzuri sana
Candy iyo pua itapungua mara hii😂
@ZaithuniNassir
16 күн бұрын
😂😂😂😂na ataongea vizurii siyuaongea na ulimi😅😅😅
Iyi movie nikali nayipendasana kinoma
Zuu na Kai wapone haraka,mana wakipona utamu wa movie ndo unakolea sasa👌...candy ateseke na yeye😎
@busatitv
16 күн бұрын
🙌
@user-vw3mr7jd1i
16 күн бұрын
@@busatitv Ndy team Kai na zuu zamu yetu sasa😂
Jamani watatu ni pewa likes nimejificha chooni mdoss wangu asinione bwana nyie😊,more love from qatar ❤
Hii movie inafundisha sana i like it
@busatitv
16 күн бұрын
🙏🙏
@SharonNabwire-ft7qp
15 күн бұрын
I like the video ❤❤❤❤🎉
Na me naombeni like timu zuuh❤🎉🎉
Tupate wapi Tena waigizaji kama Hawa walai sioni kwahapa TZ🇹🇿🇹🇿 wengine wataiga hapa2😅 like her
@maryamtanzania9743
16 күн бұрын
Acheni unafiki watu wote wanaweza tu
@estherezzy136
16 күн бұрын
😂😂😂usisahau AZ PRO ban
@kennethedward6992
16 күн бұрын
Wengi sana sana ujasili na usubutu ndio unatakiwa kwenye maisha
@user-zu5ub3hx2p
14 күн бұрын
Alakey umemuacha wapi
Hongerani kwa Kaz nzuri hampoi 🎉🎉🎉
Jamani house girls pambe❤❤❤❤
@SharonNabwire-ft7qp
15 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉
Ni motoo lkn episode inayo fata bb ake zuu lazima afanye K2 ili Kai akili yake irudi kabla nyumba haijauzwa😢
Wa kwanza toka kenya wapi likes zangu jaman❤
Naombeni like leo
Uhuum mambo kwa bibi zuu yananoga kwa kay yanazidi kua magumu haya si twaomba zuu apatikane atibiwe na kay atibiwe Candy kimurambe tena asiwe kica awemuzima afe taratibu tu😂😂
Number four jamani naombeni likes zangu
Nawakubali mko chap. Kama unaniunga mkono angusha like
Eki kipindi kinamafunzo
Bibike zuu ni vip mchawi ama na iyo kibuyu ni Cha nin uchawi sielewi Ako amesimama wapi❤
@MaggySemkande
14 күн бұрын
Kwakweli na mm nimejiuliza hivohivo😢
😂😂😂😂😂 candy lakusema cna ata nawapenda bure😂😂❤like flani amba hapa hata km nmechelewa namuuliza candy vp plan ya kufungua supermarket bado ipo ama
@nasrachimamy
11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
Hatari sana hongereni team BUSATI TV
Movie ni nzuri Marekebisho ni kupunguza kukaa kwenye sceen ya aina moja kwa muda mrefu.
Hongera sana bibi❤❤❤ Wa kwanza kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪Naomba like basi
@busatitv
16 күн бұрын
🥰🥰
Kazi nzur ❤️❤️👏👏
Team zuuh 🥰🥰🥰🥰Aya candy ndo mwanzo😢 nipee mbili
Iike yangu jamani Niko zambia
Jamani nipeni like mm ndo wa kwanza leo
@rubniyi3551
16 күн бұрын
Bado hujasema 😂
Muda umekua mwingi tangu nmuone amenunuliwa sambusa amegawiwa na jacket sijamuona tena😥 u're missed Zuu ❤
Jamn kwan mwalala humu😂😂😂
We jaman ❤❤❤❤
Canndy wachezea bibi ya boss mchawi wewe......ngoja ujikubali kuwa ulironga watu😂😂😂😂😂😂
@ZaithuniNassir
16 күн бұрын
😅😅😅😅huyu nikiboko huyu bibi....kwa boss mchawiiii sana😊
@user-jl2er1nb2p
16 күн бұрын
@@ZaithuniNassir hatari huyo bibi........ila canndy ashaumbuka....halafu rafiki yake mnafki kama nn...walielewana saa hii ashatombowa siri.....marafiki jamani
@ZaithuniNassir
16 күн бұрын
@@user-jl2er1nb2p 🤣🤣🤣yy canndy ndio aloanza kumuharibia🤣🤣nayy hakutqka kabisa akaharibuuu kabisa saii atajua hajui
@user-jl2er1nb2p
16 күн бұрын
@@ZaithuniNassir mm nilisha juwa bibi ya boss mchawi akiingia atapata aibu
Kai kendi anakupoteza kwenye direction ya maisha yaan Mungu aksimamie
Jamani like ata moja
Number two jaman
Kaz nzur
Candy umeyatimba mateso kwako ss movie nzuri sana hongereni sana mungu awatangulie
Jamannn leooo nimewahiii
Sijachelewasana namimi laik zang
Dah uyu kay niuchawi tu au kapewa na vingine😢😢 like zenu jaman
Ahsante kwa episode nyingine chukua 🎉🎉🎉 nawapenda sana
Acha leo nikomenti ni mara yng ya mwanzo nafatilia lkn cjawahi comments ata siku moja ila mambo moto❤
@busatitv
16 күн бұрын
Asante sana🥰🥰🥰
Watu mpo fastaaaa 😅
Waaa mkofasta aje ❤❤❤❤🎉❤🎉❤🎉
Mashallah Mashallah
Nashukuru sana kai Mungu awazidishieni 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
"Ukijua kulikoroga jua na kulinywa" nimependa majibu ya mganga.😂😂😂
@JosephineMegora
16 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mi je nimependa hatari