MPENZI WA BEKA FLAVOUR AGOMA KUBADILI DINI MPAKA NDOA "MAMA YANGU HAPENDI UISLAMU"

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 89

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le5 күн бұрын

    Beka umeokota dodo chini ya mpera,unamwanamke mzur na mwenye akili sana mashallah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11545 күн бұрын

    Allah akuvushe salama happy wangu najua hapo unayopitia katika hali hii

  • @khadijasaleh898
    @khadijasaleh8987 күн бұрын

    Beka una mwanamke mzuri sana hongera💕

  • @miniee_134

    @miniee_134

    2 күн бұрын

    Ila ndo amuoe sasa

  • @hellenalex9541
    @hellenalex95417 күн бұрын

    My favorite couple 🥰

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj7 күн бұрын

    Kuzini tu tu muogopeni Mungu jamani na moto wakw😭

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n7 күн бұрын

    Muoe tu mtoto happy karembooooo❤❤❤❤❤

  • @elizabethbigilwa6822
    @elizabethbigilwa68225 күн бұрын

    Wewe bi. Dada Mungu mmoja mtangazi Acha mambo yako

  • @rajah9328
    @rajah93286 күн бұрын

    Ukwel vile mnavyopendna watu wengi wanapenda couple yenu 100%. Beka wacha bangi zako Ndoa muhimu sana Dini zote

  • @Rachel-94tz
    @Rachel-94tz7 күн бұрын

    Happy,usimwache Mungu kwaajil ya kituzbali acha kitu kwaajil ya Mungu,IMAN NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU,SHIKILIA IMAN AKO,,maan hata mbinguni hutoenda na mmeo,Bali nafsi Ako na IMAN AKO ndo itakuponya

  • @nahlahassan-fd6le

    @nahlahassan-fd6le

    5 күн бұрын

    Weww uislam ndio dini ya haki izo dini nyengine zoote haramuu

  • @Rachel-94tz

    @Rachel-94tz

    5 күн бұрын

    @@nahlahassan-fd6le Masha Allah,,ko ukiwa muislam tu pepo yako!??

  • @Mtoto-ig5vw

    @Mtoto-ig5vw

    4 күн бұрын

    @@nahlahassan-fd6le😂😂😂

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n7 күн бұрын

    Mhm hapo mtihani.wakaka oeni wadada wa dini yenu .mpate kumjua mungu.wakristo ni wakristo,na waislam waislam.sasa mnachnganya dini afu kumbqdilshq mtu dini ataka mafunzo hasa apate kuingia miguu yte.sasa beka dini ya kislaqm imekukalia kushoto utaweza kumfundsha kweli happy.na happy kanaelekea kana khofu ya mungu.

  • @DM.2200

    @DM.2200

    7 күн бұрын

    Umeongea kweli aisee au wafungr ya bomani ili kuondoa utata kila mtu kwake ila shida tena itakuja kwa watoto😢

  • @miniee_134

    @miniee_134

    2 күн бұрын

    Kweli kabisaa 💯💯💯happy ataishia kupenda zaidi dini yake ya kikristo kwasababu beka mwenyewe dini ya kiislamu kashasema hapendi vitu hivyo,, Astaghfirullah, Allah awafungulie wote wawili mioyo Yao na waikubali na kuuipenda dini ya kiislamu.

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95065 күн бұрын

    Beka unazingua😢😢😢 sana mwanamke amejitoa kwa lolote lakini unapuuzia

  • @Mtoto-ig5vw
    @Mtoto-ig5vw4 күн бұрын

    Waowane kiislam alaf after apo kila mtu abaki kwenye dini yake basi 😊

  • @shakila3982

    @shakila3982

    3 күн бұрын

    Atakuwa ameenda kinyume, Mwenyezi Mungu hafanyiwi njaja

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    2 күн бұрын

    Allah hachezewi

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j7 күн бұрын

    Nawapenda

  • @GladnessSamson-xk2ii
    @GladnessSamson-xk2ii2 күн бұрын

    Hii couple naipenda mnooo❤

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman89637 күн бұрын

    Huyo mwanamke hafai inamaana mama yake ni adui wa dini yetu ya kislaam kwa mie akae na mwanaye tu huyo mtoto wake

  • @Shuu.A

    @Shuu.A

    7 күн бұрын

    Huyu mwanamme kwani unamuona mzima hana lolote

  • @clustermqsir9840

    @clustermqsir9840

    7 күн бұрын

    Wewe ndio adui wa hiyo dini

  • @MwanaidiSephu
    @MwanaidiSephu7 күн бұрын

    Nice😊

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys5 күн бұрын

    Eti Nimebadilisha Dini Ila bado nna ka Ulokoke mana sijawahi kwenda maskini 🥹 Kama Pete imechukua myaka 10 Ndoa jee!!! Mpaka aniowe lililililiiiiiii 😂😂😂😅😅😅

  • @jacquelinekennedy5740
    @jacquelinekennedy57407 күн бұрын

    Presenter wakike try to be proffesional in just a good way .. kuna vitu unaongea they don’t have to be said there kama hapo kweny kubadili dini

  • @user-ih6ng6sf6o
    @user-ih6ng6sf6o4 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @Naju645
    @Naju6457 күн бұрын

    Mwanaume anaonekana mjanjamjanja huyu atamzalisha paka watoto5 naasimuoe uislam haina Pete hiyo Pete zuga tu

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z7 күн бұрын

    DAKIKA YA 9 NDO UKATHIBITISHA KUWA UNACHOKIFANYA NI HARAMU😊

  • @Kabwela776
    @Kabwela7766 күн бұрын

    Naona huyu mwanamke anataka ndoa tu Na awe na uhakika na watoto wake watatunzwa Na apate mtelemko mjini ila huyu fala mwanaume inaonekana amependeza zaidi , mwanamke ni mrangi, mnyaturu, mwiraqw, mchaga au makabila ya tanga au mpare?

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n7 күн бұрын

    Ushungi na nguo mikono kaoshi😂 yan waz😢 Ila ushungi umekupendezaa

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk7 күн бұрын

    Bs ukiona ivo ata beka haswa Li

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi52816 күн бұрын

    Ss mtapambana upate ndoa mbona mnazaa watoto mama anaangalia tu kuwa na msimamo.

  • @salwamohammed4787
    @salwamohammed47877 күн бұрын

    Subuhanna allha😢😢

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    2 күн бұрын

    Mtihani mkubwa sn wa2 hawajielewi unazaa njee ya ndoa tena kwa makusudi

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy7 күн бұрын

    😂 happy jamani hembu kua na msimamo kwenye dini unatuchanganya 😮

  • @HazinaElisha
    @HazinaElisha5 күн бұрын

    Akitaka aache kuhama na limimba lakee hilo

  • @Kabwela776
    @Kabwela7766 күн бұрын

    Huyo mwanamke ni kabila gani ?

  • @Kabwela776
    @Kabwela7766 күн бұрын

    Huyo mwanamke ni kabila gani ? Mwanamke anaweza kuliwa na wala usijue mkuu kuwa Na akiba ya maneno na mwanamke wa kitanzania kutaka kuolewa na wewe haimaanishi anakupenda mara ameona yuko mkono salama kiuchumi 😅

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow132318 сағат бұрын

    Mamako hapendi uislam lakin anapenda unavyozaa na kijana wa kiislamu bila kuolewa eeh 😂

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50835 күн бұрын

    Acha kutoa vipete nenda kwao katoe mahari tangaza ndoa usiri usiri na watoto ndo wanakuja ao

  • @marthasonia5005
    @marthasonia50054 күн бұрын

    👍👌

  • @DM.2200
    @DM.22007 күн бұрын

    Fungeni ndoa ya bomani kiishe kila mtu abaki na dini yake coz wanaweza funga ndoa kiislam na dada akabaki kwenda church itakua haina maana ya kubadilisha din

  • @salmahalfani6307

    @salmahalfani6307

    5 күн бұрын

    Waislamu hatuna ndoa ya bomani ni uzinzi tu kama ni bomani ni Bora waendelee kazini hivyohivyo na uzinifu wao. Wasihadae walimwengu bure.

  • @mpalazotz7753
    @mpalazotz77537 күн бұрын

    Mtihan huo

  • @sarastephano3409
    @sarastephano34094 күн бұрын

    Huyu dada nampenda anamisimamo

  • @Rahima-kv6mn

    @Rahima-kv6mn

    3 күн бұрын

    Angekuwa na Msimamo angebeba mimba nyingine apo wote awajielewi wamekutana pipa na mfuniko 😏

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    2 күн бұрын

    Msimamo gani alokuonesha ukavutiwa nao

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim79307 күн бұрын

    Happy wala usijilaumu kuwa haujawahi kuenda mkitini wala kuswali uka jiona ww sio muislam kuna watu wamezaliwa waislam na hawapajui msikitini. Beka kama ulimbadilisha mtt wawatu dini inabidi umfundishe na umuelekeze

  • @lenniefei6710

    @lenniefei6710

    7 күн бұрын

    Kweli ila swala ndio nguzo ya Imani, na wala sio tu kuenda msikitini pekee

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz2 күн бұрын

    Yani huyu mwanamke hajielewi kabisa ukiona mwanamke au mwanaume anabadilisha dini kwasababu ya mapenzi bc ujue wana mapungufu ya akili wote wawili m2 habadilidhi dini kwasababu ya mapenzi anabadilisha kwasababu ya kuamini dini alokua sio sahihi na kuamua kwenda dini nyengine

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j7 күн бұрын

    Waiwane ila kilamtuue abakiye ku dini yake

  • @hanifaa1487
    @hanifaa14877 күн бұрын

    😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏

  • @najmasaid7057

    @najmasaid7057

    4 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wanakuchefua

  • @Kabwela776
    @Kabwela7766 күн бұрын

    Mkuu kuwa na akiba ya maneno hawajui wewe wanawake wa kitanzania wanawake wengi wanyenyekevu sana wakati wa uchumba ila ukimuowa wengi uwa wanabadilika kabisa

  • @RuwaidaBakar
    @RuwaidaBakar5 күн бұрын

    Mundesley dini huyo dada uislam ndiyo dini yahaki

  • @Kabwela776
    @Kabwela7766 күн бұрын

    Wanawake hawana dini wanabadilisha dini kabisa

  • @alphredinaalphonce7043

    @alphredinaalphonce7043

    5 күн бұрын

    Imeandikwa wap ndugu

  • @ukhutfatumah1154

    @ukhutfatumah1154

    5 күн бұрын

    Muone huyu fuvu lake ebu tuheshim kidg jamn 😢

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    5 күн бұрын

    @@ukhutfatumah1154 hamna dini nyie hamna misimamo kwenye maslahi kokote mnaolewa Na dini mnabadilisha sababu maisha yenu ni watu tegemezi sana bila uwepo wa sisi wanaume nyie si lolote kabisa !

  • @user-ot3te6mj7b

    @user-ot3te6mj7b

    2 күн бұрын

    Sio wanawake wote ni wale watamaa na wasio jielewa, kuna kijana mkiristo anataka kuniowa mm tena akasema atakubali kuwa Islam lakn mm bdo moyo wangu aujaridhia maan ajatambua muhimu wa dini yangu yy anajali mapenz... so usisime wanawake atuna dini ni hawo wasio jitambua na tamaa zao.

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    2 күн бұрын

    @@user-ot3te6mj7b huyo ni mwanaume mbwege tena mwanaume akibadili dini kwa ajili ya mwanamke huyo sio mume wa kuowa mwanaume ni kichwa Na mwanamke ndio anafuata dini ya mwanaume kamwe siwezi kufanya upuuzi huo kubadili dini kwa ajili ya mwanamke kwanza mwanamke hawezi kukuheshimu ukibadili dini kwa ajili yake , upuuzi huo ni wanaume wapuuzi wasiojielewa ndio wanafanya

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho7 күн бұрын

    Mwanamme anaweza kuowa mwanamke wa kikiristo si haram lakini mwanamke hawezi kuolewa na mkiristo.

  • @clustermqsir9840

    @clustermqsir9840

    7 күн бұрын

    Hehehe...kwahyo mwanamke hana dini??? Haramu iwe haramu tu 😂😂😂😂

  • @masumbukojames5134

    @masumbukojames5134

    6 күн бұрын

    Ubàguzi wa waziwazi

  • @ce-08

    @ce-08

    5 күн бұрын

    Hajapenda huyo

  • @khamisrubea5083

    @khamisrubea5083

    5 күн бұрын

    Si ubaguzi ila mwanamke atazidiwa nguvu na mwanamme ndo mana uislamu umekataza

  • @shakila3982

    @shakila3982

    3 күн бұрын

    Inakatazwa usitupotoshe, Qur'an inasema msiwaoe wanawake washirikina, Qur'an 2 :221 inasema, WALA MSIWAOE WANAWAKE WASHIRIKINA MPAKA WAAMINI, NA MJAKAZI MUUMINI NI BORA KULIKO MSHIRIKINA HATA AKIKUPENDEZENI, WALA MSIWAOZE MABINTI ZENU KWA WANAUME WASHIRIKINA MPAKA WAAMINI, NA MWANAUME MTUMWA NI BORA KULIKO MSHIRIKINA HATA AKIKUPENDEZENI, HAO WANAITIA KWENYE MOTO, NA .MWENYEZI MUNGU ANAITIA KWENYE PEPO,NA MAGAFIRA KWA IDHINI YAKE, NAE HUZIBAINISHA AYA ZAKE KWA WATU ILI MPATE KUKUMBUKA, Hiyo ni Qur'an bishana, inakataza pande zote mbili kwani atakushawishi umfate,

Келесі