Hospitali mpya ya Sh6 bilioni Handeni kuanza kutoa huduma
Zaidi ya wananchi 409,150 wa halmashauri ya wilaya ya Handeni mkoani Tanga wakiwemo wasafiri,wanatarajiwa kuanza kunufaika na huduma za afya karibu baada ya hospitali ya halmashauri kuanza kutoa huduma.
Akizungumza kwenye ziara ya siku moja ya mbunge wa jimbo la Handeni vijijini John Sallu,mganga mfawidhi wa hospitali ya halmashauri ya wilaya Handeni Abdulmajid Makoye amesema rasmi wanaanza kutoa huduma
Пікірлер: 2
Masha Allah mzuri Sana kweli 💖💕💖💕
Hayo ndio maendeleo tunayo yataka ,