Hospitali mpya ya Sh6 bilioni Handeni kuanza kutoa huduma

Zaidi ya wananchi 409,150 wa halmashauri ya wilaya ya Handeni mkoani Tanga wakiwemo wasafiri,wanatarajiwa kuanza kunufaika na huduma za afya karibu baada ya hospitali ya halmashauri kuanza kutoa huduma.
Akizungumza kwenye ziara ya siku moja ya mbunge wa jimbo la Handeni vijijini John Sallu,mganga mfawidhi wa hospitali ya halmashauri ya wilaya Handeni Abdulmajid Makoye amesema rasmi wanaanza kutoa huduma

Пікірлер: 2

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz9 ай бұрын

    Masha Allah mzuri Sana kweli 💖💕💖💕

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj2 ай бұрын

    Hayo ndio maendeleo tunayo yataka ,