HIKI NDICHO KISIWA ALICHOPITA NABII SULEIMAN PEMBA

Пікірлер: 73

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed40725 жыл бұрын

    Mashallwa. Mungu .utuzidishiye. Imani katika pembamba mzima

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58645 жыл бұрын

    Shukran Al Fatah tv kwa kutuonesha kisiwa cha misali pemba kuzuri

  • @nureyna629
    @nureyna6295 жыл бұрын

    Nimesubiria kusikia neno nabii suleiman alipita hapa, ila mpaka video Inaisha sijaskia 🤔

  • @masoudmasoud8138

    @masoudmasoud8138

    4 жыл бұрын

    Ahhh !!! Wallai hata mi nilikuwa nasubiria icho kitu sasa inakuwaje mambo haya ??

  • @najashdawood9680

    @najashdawood9680

    Жыл бұрын

    Mpumbavuuu kabisa ..hajui kazi yake

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24105 жыл бұрын

    Maa shaa allah

  • @fahdmohd3027
    @fahdmohd30275 жыл бұрын

    Masha alalh

  • @salehkhamiss3545
    @salehkhamiss35455 жыл бұрын

    mungu awape nguvu

  • @seifrashid9332
    @seifrashid93325 жыл бұрын

    mashallah

  • @allyhemed2276
    @allyhemed22765 жыл бұрын

    Allahu Akbar.Mashaallah.

  • @clovetv_pba
    @clovetv_pba5 жыл бұрын

    Allahu Akbar

  • @alihamad6046

    @alihamad6046

    5 жыл бұрын

    mashallah

  • @pascalmoussa5111

    @pascalmoussa5111

    5 жыл бұрын

    fuck you,nmefka hapo hakuna jipya

  • @clovetv_pba

    @clovetv_pba

    5 жыл бұрын

    @@pascalmoussa5111 km umefika sw, sasa hio fuck you inakuaje?

  • @abuanmarabubakar
    @abuanmarabubakar4 жыл бұрын

    Historia ya kuja nabii sleiman zanzibar sio za kweli

  • @ludacrissrangiyabank3737
    @ludacrissrangiyabank37375 жыл бұрын

    Nabii muhammad alikuja kuwasadikisha mitume wote walopita nyuma wenzetu wanaona choyo ss waislamu kuwataja mitume walopita nyuma kabla ya muhammad ata tukio la hijja wanakasirika tukilinasibisha na nabii ibrahim wakristo tunakwambieni mitume wote walikuja na neno moja na wametumwa na mungu mmoja wametofautiana ktk sheria tu kila mmoja kapewa sheria kutokana na wakati wake

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505
    @hamnakituumupumbatupumohd85055 жыл бұрын

    unawazimu we hadith za paukwa na pakawa pelekeni hakufika Othman maalimu na maulaamaa wengne kina ameir Tajo atafika nabii sleiman

  • @amouramour7143
    @amouramour71435 жыл бұрын

    Nakumbuka babu yanagu aliniambia zamani kulikua na kuku wengi wakienyeji weupe sana na walikua hawana mwenyewe na wlikuwa watu wanaruhusiwa kuchinja na kula apo hurusiwi kuondoka nao sijui kwa SSA kama bado wapo aliye isulia yeye aliwakuta na hadi Leo yupo hai

  • @thekingman7715
    @thekingman77155 жыл бұрын

    nabii suleiman kufika ni uzushi na uongo mkubwa ...kuweni makini na taarifa zenu musipotoshe ummah

  • @lidoahmed6696
    @lidoahmed66964 жыл бұрын

    Wanafki hao alfatah tv munawazushia manabii wetu unafik

  • @khalidkhalid-ks6wd
    @khalidkhalid-ks6wd5 жыл бұрын

    Kwetu nkuzuri ati najivunia kua mpemba.ILOVE MY HOME.karibu pemba aliekua si kwao aje na aondoke.

  • @mnahakikibwenihaji9563

    @mnahakikibwenihaji9563

    5 жыл бұрын

    khalid khalid acha ubaguzi huo dunia mapito tu hii

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505

    @hamnakituumupumbatupumohd8505

    5 жыл бұрын

    uzur wenu kwa kula popo

  • @faizasaid8262
    @faizasaid82625 жыл бұрын

    Nimefrah nyumbni kabisa

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry4 ай бұрын

    nimependa beats ya back iyo

  • @dullahaboud311
    @dullahaboud3115 жыл бұрын

    sheikh nassor bachu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51925 жыл бұрын

    Kichwa Cha habar SF but story tofaut Kwa nn

  • @abuanmarabubakar
    @abuanmarabubakar4 жыл бұрын

    Wacheni kukipaisha kisiwa cha pemba mpk watu wakakiona bora kuliko makkah

  • @nadyakisho811

    @nadyakisho811

    4 жыл бұрын

    Abuanma Abubakar ni kweli

  • @mohdahmada1061

    @mohdahmada1061

    Жыл бұрын

    Ivo civo mada invosem ach upuuz ww hupend anglia t

  • @amejuma8194
    @amejuma81945 жыл бұрын

    Alafu wapemba wote walo coment wanapenda kujifagilia.. Zanzbr yote ni nzr sio pemba2

  • @salehkhamis-ob8ln

    @salehkhamis-ob8ln

    9 ай бұрын

    Kivip sjakuelewa

  • @dullahkesi9547
    @dullahkesi95475 жыл бұрын

    nabii sleiman alipta pemba yeye nawafanya kaz wake walkuwa majini alpo ondoka aliwachaa baazi inasemekana lakn

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    5 жыл бұрын

    Dullah kesi@ Beee...🤔

  • @najashdawood9680
    @najashdawood9680 Жыл бұрын

    Yaan kama mpuuzi wewe...mpuuzi hujui kuitendea tasinia yako haki ...katafute boti ukavue samaki..pumbavu kabisa

  • @user-ts8im2us1s
    @user-ts8im2us1s5 жыл бұрын

    Mashaallah kuzuri, Shukran Alfatah itabidi tukatembee uko

  • @salehmussasaid1136
    @salehmussasaid11365 жыл бұрын

    Nitaarifa nzuri sana lkn kama mnaushahidi wa kuwa Nabii Sleman alipita hapo muuweke. Km hmn cvyema kuchanganya mambo yakiimani ktk Business zenu,mtaonekn wazushi,namtakosa value.

  • @masoudmasoud8138

    @masoudmasoud8138

    4 жыл бұрын

    Naam uko sahih

  • @user-xw5re3bh5x
    @user-xw5re3bh5x5 жыл бұрын

    Maasha Allah

  • @hamidjuma4621
    @hamidjuma46215 жыл бұрын

    AL FATTAH TV ONLN kama ckosei ni taasis inayojihusisha hasa na mambo ya kiislam ila inakuele kwenye vipindi vyenu lazima back voice iwe music wakat nasheed zipo zilokua hazina ala za music...?? Ebu liangalien hili mcijibebeshe jukum maana music na uislam ni vitu tofaut mcjaribu kuvinasibisha

  • @hadiyamussa5824
    @hadiyamussa58245 жыл бұрын

    Mashaallah ni kweli kabisa aso amini m/mungu atamuamini shetan maluun

  • @fatmajumaa1069
    @fatmajumaa10695 жыл бұрын

    Barakllah pemba

  • @TheChidonline
    @TheChidonline5 жыл бұрын

    nimekuja hapa kwa kichwa cha habari ila cjaona kuzungumziwa nabii Suleiman(A.S)

  • @maalimrashad3594
    @maalimrashad35945 жыл бұрын

    Mashalah

  • @aliudiy4921
    @aliudiy49215 жыл бұрын

    tupeni ushahidi Kama nabiisleiman alipita hapo

  • @salehkhamis-ob8ln

    @salehkhamis-ob8ln

    9 ай бұрын

    Njoo methali huku zipo kumbu kumbu nyingi ushahidi utaupata

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78025 жыл бұрын

    Nice Pemba

  • @mwanahamisjuma3361
    @mwanahamisjuma33615 жыл бұрын

    Mbona kichwa cha habari hakiendani na habari yenyewe

  • @khamishassan8603

    @khamishassan8603

    5 жыл бұрын

    Mwanahamis Juma wanasema uongo haliyakuwa hii ni taasisi ya kiislam

  • @mwanahamisjuma3361

    @mwanahamisjuma3361

    5 жыл бұрын

    Wanapotosha umma

  • @mohdali7612
    @mohdali76125 жыл бұрын

    ASALAM ALAYKU JAMANI MUCWE NA WACWAC NIKWELI HII ISTORYA IMO MM NIMEISOMA KATIKA KITABU KILICHOANDIKWA NA HUSEN BASHIR KINAITWA DOLA KONGWE YA ZANZIBA KUTOKA OMAN HADI KONGO HICTORIYA NI YAKWELI JAMANI

  • @salehkhamiss3545
    @salehkhamiss35455 жыл бұрын

    naomba kipindi cha leo 9/9/2018 ktk kijiji cha shikazako kisiwan pemba

  • @thekingman7715
    @thekingman77155 жыл бұрын

    nabii suleiman kufika ni uzushi na uongo mkubwa ...kuweni makini na taarifa zenu musipotoshe ummah

  • @kheirmbarouk8373
    @kheirmbarouk83735 жыл бұрын

    kweli kupata kunataka ujanja mpka hawa nao kichwa cha habari feki...wapiga dili ...shkamooo njaa.

  • @abdullahsaid6540
    @abdullahsaid65405 жыл бұрын

    Kufika kwa nabii suleiman ktk icho kiswa mim pia napata mashaka juu ya hilo.......labda km mtu alete uthibitisho

  • @user-kw1zu2dy1h
    @user-kw1zu2dy1h4 жыл бұрын

    جزيرة الخضراء

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda50635 жыл бұрын

    Alikua akitokea wapi na alienda wap

  • @otponline1277
    @otponline12774 жыл бұрын

    Msifanye biashara zenu zikawa na uongo mbona sijasikiya neno nabii wacheni uzushi tupeni dalili

  • @dullahkesi9547
    @dullahkesi95475 жыл бұрын

    kapita pemba

  • @bakarimakumbato1740
    @bakarimakumbato17405 жыл бұрын

    Watazamaji wenu wana akili timam. Kipindi chenu kizuri ila kichwa cha habari haiendani.

  • @mohdali7612
    @mohdali76125 жыл бұрын

    ALIKUJA KUTAFUTA DHAHABU NABII SULEIMANI NA MAJINI NIKWLI GANDO