Ingelisaidia katika kuutangaza utamaduni wetu duniani na kuvutia watalii, vipindi kama hivi kuweka subtitles ya kiengereza pia kama alivyoulizia Yassir, sehemu ilipo.
@hammerQ9545 жыл бұрын
😁kitu changu cha kwanza kukimiliki mwenyewe ni rafu 😁😁mzee umenikumbusha mbali sana 😁😁😁shukran sana👏👏👏
@biramsakh92125 жыл бұрын
Yaani duh maskini we wapi tena hayo zanzibar
@abdillahmohammed68535 жыл бұрын
Ami salim seif huyu ni ami yangu kabisa
@aishaomar43184 жыл бұрын
Inapatikanwa wapi io nyumba?
@maulidhamad36595 жыл бұрын
Jamani hii nyumba ikowp
@jarsjam88945 жыл бұрын
Samahani hapana kombe hapo pana sahani tu hapana kombe
@khadijamasoud4825
5 жыл бұрын
jamani nimependa hata mm nakumbuka nilipokuwa kijijini nikitumia hando ila mtangazaji chumba cha msuwahili hkina choo
@aidajuma3083
5 жыл бұрын
Makombe ndo wanavoita hata nibi yangu mpaka leo anaita makombe
@shamsahaji6202
5 жыл бұрын
Si ndo izo sahani zenye mauwa wakti huo aina hizo tukiita makombe
@asfarsham90374 жыл бұрын
Biarusi hawajamvalisha kisutu. Otherwise nzuri sana
@hajihajirajab6095 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awajaze kheri.. Historia yetu izidi kutunzwa..
@mwakahassan87424 жыл бұрын
Nimekumbuk mtungu kiwe na sahani mvunguni kila nikiend kwa marehem bibi Allah amrehemu AMIN yaan adi rahaaa mtungi maji mardiiiii matam yako wapi yale saiv na wali kwenye chungu
@alrumhali96545 жыл бұрын
Yah nivizur kujui ipo wapi hii nyumba tuweze kutembelea
@fatmasaid58645 жыл бұрын
Ah Ahsante sana kwa kweli nimefaidika sana tumejua mengi mm santuri nilikua siijui
Пікірлер: 27
Mashaallah hii nyuma naiona hasa nyumba ya marehem bibi yangu yaaani mzee umeeleza juu ya mstari ahsante sana
😭😭😭umenikumbushaa bibi yangu wallah awarehemu wazazi wetu ameen
@mohammednaeem2734
4 жыл бұрын
Nimependa sana
babu asimulia vizur by kiswabi swabinna
Hivo vitu kwetu pemba vipo mpaka leo🙏♥️
Ingelisaidia katika kuutangaza utamaduni wetu duniani na kuvutia watalii, vipindi kama hivi kuweka subtitles ya kiengereza pia kama alivyoulizia Yassir, sehemu ilipo.
😁kitu changu cha kwanza kukimiliki mwenyewe ni rafu 😁😁mzee umenikumbusha mbali sana 😁😁😁shukran sana👏👏👏
Yaani duh maskini we wapi tena hayo zanzibar
Ami salim seif huyu ni ami yangu kabisa
Inapatikanwa wapi io nyumba?
Jamani hii nyumba ikowp
Samahani hapana kombe hapo pana sahani tu hapana kombe
@khadijamasoud4825
5 жыл бұрын
jamani nimependa hata mm nakumbuka nilipokuwa kijijini nikitumia hando ila mtangazaji chumba cha msuwahili hkina choo
@aidajuma3083
5 жыл бұрын
Makombe ndo wanavoita hata nibi yangu mpaka leo anaita makombe
@shamsahaji6202
5 жыл бұрын
Si ndo izo sahani zenye mauwa wakti huo aina hizo tukiita makombe
Biarusi hawajamvalisha kisutu. Otherwise nzuri sana
Mwenyezi Mungu awajaze kheri.. Historia yetu izidi kutunzwa..
Nimekumbuk mtungu kiwe na sahani mvunguni kila nikiend kwa marehem bibi Allah amrehemu AMIN yaan adi rahaaa mtungi maji mardiiiii matam yako wapi yale saiv na wali kwenye chungu
Yah nivizur kujui ipo wapi hii nyumba tuweze kutembelea
Ah Ahsante sana kwa kweli nimefaidika sana tumejua mengi mm santuri nilikua siijui
@jarsjam8894
5 жыл бұрын
Makombe siyo hayo hizo ni sahani na mabakuli tu
@hilalal-busaidi4007
Жыл бұрын
Kombe ni sahani kubwa
Shukuran
Tujitahid kutunza Utamaduni wetu
Iko wapi iyo nyumba ya Mswahili
@alfatahtvonline3374
5 жыл бұрын
hiyo ipo old fort Pemba
@yassirrashid7802
5 жыл бұрын
Oke nimefrah kufaham