HII NDIO NYUMBA YA MSWAHILI WA KALE

Пікірлер: 27

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji62025 жыл бұрын

    Mashaallah hii nyuma naiona hasa nyumba ya marehem bibi yangu yaaani mzee umeeleza juu ya mstari ahsante sana

  • @zainababdullsadik1247
    @zainababdullsadik12474 жыл бұрын

    😭😭😭umenikumbushaa bibi yangu wallah awarehemu wazazi wetu ameen

  • @mohammednaeem2734

    @mohammednaeem2734

    4 жыл бұрын

    Nimependa sana

  • @omarame4613
    @omarame46134 жыл бұрын

    babu asimulia vizur by kiswabi swabinna

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Жыл бұрын

    Hivo vitu kwetu pemba vipo mpaka leo🙏♥️

  • @salummkubwa
    @salummkubwa5 жыл бұрын

    Ingelisaidia katika kuutangaza utamaduni wetu duniani na kuvutia watalii, vipindi kama hivi kuweka subtitles ya kiengereza pia kama alivyoulizia Yassir, sehemu ilipo.

  • @hammerQ954
    @hammerQ9545 жыл бұрын

    😁kitu changu cha kwanza kukimiliki mwenyewe ni rafu 😁😁mzee umenikumbusha mbali sana 😁😁😁shukran sana👏👏👏

  • @biramsakh9212
    @biramsakh92125 жыл бұрын

    Yaani duh maskini we wapi tena hayo zanzibar

  • @abdillahmohammed6853
    @abdillahmohammed68535 жыл бұрын

    Ami salim seif huyu ni ami yangu kabisa

  • @aishaomar4318
    @aishaomar43184 жыл бұрын

    Inapatikanwa wapi io nyumba?

  • @maulidhamad3659
    @maulidhamad36595 жыл бұрын

    Jamani hii nyumba ikowp

  • @jarsjam8894
    @jarsjam88945 жыл бұрын

    Samahani hapana kombe hapo pana sahani tu hapana kombe

  • @khadijamasoud4825

    @khadijamasoud4825

    5 жыл бұрын

    jamani nimependa hata mm nakumbuka nilipokuwa kijijini nikitumia hando ila mtangazaji chumba cha msuwahili hkina choo

  • @aidajuma3083

    @aidajuma3083

    5 жыл бұрын

    Makombe ndo wanavoita hata nibi yangu mpaka leo anaita makombe

  • @shamsahaji6202

    @shamsahaji6202

    5 жыл бұрын

    Si ndo izo sahani zenye mauwa wakti huo aina hizo tukiita makombe

  • @asfarsham9037
    @asfarsham90374 жыл бұрын

    Biarusi hawajamvalisha kisutu. Otherwise nzuri sana

  • @hajihajirajab609
    @hajihajirajab6095 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu awajaze kheri.. Historia yetu izidi kutunzwa..

  • @mwakahassan8742
    @mwakahassan87424 жыл бұрын

    Nimekumbuk mtungu kiwe na sahani mvunguni kila nikiend kwa marehem bibi Allah amrehemu AMIN yaan adi rahaaa mtungi maji mardiiiii matam yako wapi yale saiv na wali kwenye chungu

  • @alrumhali9654
    @alrumhali96545 жыл бұрын

    Yah nivizur kujui ipo wapi hii nyumba tuweze kutembelea

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58645 жыл бұрын

    Ah Ahsante sana kwa kweli nimefaidika sana tumejua mengi mm santuri nilikua siijui

  • @jarsjam8894

    @jarsjam8894

    5 жыл бұрын

    Makombe siyo hayo hizo ni sahani na mabakuli tu

  • @hilalal-busaidi4007

    @hilalal-busaidi4007

    Жыл бұрын

    Kombe ni sahani kubwa

  • @ss-pl6yo
    @ss-pl6yo5 жыл бұрын

    Shukuran

  • @alrumhali9654
    @alrumhali96545 жыл бұрын

    Tujitahid kutunza Utamaduni wetu

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78025 жыл бұрын

    Iko wapi iyo nyumba ya Mswahili

  • @alfatahtvonline3374

    @alfatahtvonline3374

    5 жыл бұрын

    hiyo ipo old fort Pemba

  • @yassirrashid7802

    @yassirrashid7802

    5 жыл бұрын

    Oke nimefrah kufaham