HII HAPA HISTORIA YA KOCHA MPYA WA SIMBA FADLU DAVIDS | GEOFF LEA AITAJA |"SIMBA NI TIMU NDOGO KWAKE

Спорт

Пікірлер: 9

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks16 күн бұрын

    Bora angeachwa mzee wa boli linatembea kwanza ili timu ikae kwenye form ndo aje huyu labda mana aliyesajili ni mgunda sio huyu

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks16 күн бұрын

    Karibu kwenye ligi ya presha ndugu wenzako waliamua kusepa TU kipindi hiki utapambwa kwa MANENO mazuri kweli lakini ngoja ligi ianze utajua bongo ipoje

  • @christopherchisuligwe512
    @christopherchisuligwe51218 күн бұрын

    Good Coach

  • @user-qy7pi3xq7v
    @user-qy7pi3xq7v18 күн бұрын

    Huy sijuh Kam atamaliza wiki mbili

  • @user-fe6bf3td2q
    @user-fe6bf3td2q18 күн бұрын

    sasa kama kafundisha timu ndogo kama kmc wanamleta wa nini simba tena, tunataka kocha mkubwa kama mokweana wa mamelod, pitso mosimane,

  • @AmaniKihongosi
    @AmaniKihongosi18 күн бұрын

    Kwahiyo simba hawajajua cv yake au ndo mwazo wa kubolonga tena?

  • @user-fe6bf3td2q
    @user-fe6bf3td2q18 күн бұрын

    labda wampe nusu msimu akiharibu anasaepa

  • @godfrey3926
    @godfrey392615 күн бұрын

    Wivu utawaua wajinga nyie.Mnaongea bila kufanya homework..Huyu ndiye kocha wa kwanza kuja kufundisha Tanzania akiwa na UEFA certification, sio CAF, lakini UEFA, meaning anaweza kufundisha timu yoyote Ulaya na ameshakuwa msaidizi. Mnaongeaga ujinga na kiishabiki..Subirini muone ukali wa huyu kocha ligi ikianza, hakuna hata kusubiri, anaanza moja kwa moja..

Келесі