Hifadhi ya Kisiwa cha Saanane | Mwanza Tanzania
Subscribe ili kuendelea kupata video zaidi za vivutio vilivyopo #Tanzania.
Katika video ya leo nimetembelea jiji la #Mwanza na nikapata nafasi ya kwenda Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha SaaNane ambayo ni hifadhi ndogo zaidi nchini Tanzania. Hifadhi hii inafikika kirahisi kwa kutumia boti kutoka Mwanza na kukatiza katika Ziwa #Victoria na ni mwendo wa dakika 5 tu.
Kuna shughuli nyingi unaweza kuzifanya ukiwa hapa kama kukwea miamba, kutazama wanyama na ndege lakini pia kutazama mandhari nzuri ya Ziwa Victoria.
Naamini utafurahia video hii na kushare na marafiki.
Asante kwa kuangalia.
Connect:
Blog: www.dailylifetalk.com/
Instagram: / janeshussa
Twitter: / shussajane
Music: KZread Library
Пікірлер: 24
I'm maasai culture I like to visit kisiwa Cha saananane
Safi sana
A very good place
Stunning , i like it
Madly & insanely in Love with Mwanza💘💘💘
@JaneShussa
3 жыл бұрын
Mwanza is such a beauty 😍
Nice
Good
💗💖💝👍👍👍I love mwanza
@JaneShussa
4 жыл бұрын
It is really beautiful... By the way, a new Mwanza video coming soon... 🙂
@shifaaal-baity4503
4 жыл бұрын
@@JaneShussa 👍👍👋👋💖💖
Kiendeleze kipaji chako.
Bei mtuambie
Sasa kwani lazma useme uongo kwenye kichea cha habari?? Nilikua nasubiri kuona maajabu naona kuna maelezo tu hakuna cha ajabu
@shifaaal-baity4503
4 жыл бұрын
Zamani kulikua na wanyama wengi sana hata tembo na simba na chui+twiga
Gharama ni shingapi kutembelea kisiwa cha saa nane kwa watanzania
@JaneShussa
4 жыл бұрын
Ni shilingi 5000 tu kiingilio na 5000 kulipia boat la kukupeleka. Kutoka ofisi zilipo na kisiwani ni dakika 5 tu.
@rehemafungo5042
2 жыл бұрын
Na je kuna lodge?
@rehemafungo5042
2 жыл бұрын
Ni miez gani ya kuja?
Gharama zikoje?
@JaneShussa
Жыл бұрын
Nakumbuka ilikuwa 5000 ya boat na 2000 ya entrance
Uwezo wako wa kutangaza ni mkubwa
@JaneShussa
Жыл бұрын
Asante, Ahmed.
@ahmedijumaselemani7710
Жыл бұрын
@@JaneShussa karib sana