i love this song alot guys🙌🙌🙌🙌nabarikiwa kuusikiliza ...tangu nipo mdog mama ang mdogo alikua aniimba nikaijua mpka leo🙌🤭❤️❤️mbarikiwe wote 2023🙏
@ZabronSama84Ай бұрын
Napenda sana hizi nyimbo nabalikiwa sana
@hekimalufulani16895 ай бұрын
2024 bado tuko pamoja 🙏
@RemigiusGama Жыл бұрын
Huu wimbo haukauki kichwani mwangu, asanteni kwa kumbukumbu nzuri
@ericspuspallelo6965 Жыл бұрын
Wimbo mliutendea haki jamani
@user-by7ff6ft6i5 ай бұрын
2024 NJOONI TUSEMEZANE
@deusdeditmahunda4698 Жыл бұрын
2023, Wimbo wangu pendwa ❤️❤️❤️
@geraldsanzala8119 Жыл бұрын
Kwanza watu waliomwimbia bwana zamani wako very energetic tazama hata flow yao ipo spiritual saana
@albertwayne15904 жыл бұрын
Nani yuko hapa nami?
@benardngetich7483
4 жыл бұрын
Niko huku poa 🙏🙏
@Michael-br5tg5 ай бұрын
Nazikubali sana nyimbo za kijitonyama
@janethlugazo1964 жыл бұрын
Naipenda sana nyimbo hii
@marthamachaki5329 Жыл бұрын
Mmeuimba huu wimbo leo...nimekumbuka back then... Mungu azidi kuwabariki Uinjilisti Kijitonyama.
@listonmalisa89875 жыл бұрын
Yesu mzuri jamani nabarikiwa sana naujmbe huu
@mcmbuya6520
Жыл бұрын
31
@muromuro63445 жыл бұрын
Napenda sana huu wimbo
@amidumselle5659 Жыл бұрын
Aya njoon tusemezane asema Bwana. Nakumbuka mbali sana nilivyokuwa mtoto maisha hayakuwa kama sas na Mungu aliwatumia sana wazazi wetu kutukuza katika kumjua Mungu kwa njia mbali mbali ikiwa ni pamoja na nyimbo nzuri kama hizi. Mungu awabariki sana wapendwa 👏#Joshua Mlelwa #KKKT Uinjilisti Kijitonyama!
@lastname.mulimuli Жыл бұрын
Nimeitafuta hiii nyimbooooo mda sanaaa hatimae leo nimeipata
@natujwachampo613 Жыл бұрын
De best song I love in ma life.🥰🙏🙌
@zentaismael62464 жыл бұрын
Asanten kwa kunibariki
@costacemwangolwa1814 жыл бұрын
Nabarikiwa sana ninapo sikiliza huu wimbo, 2020.
@mynesmnkondya13909 ай бұрын
Rip mommy😢
@maximobonga96174 жыл бұрын
Ameni
@emmanuellingowe7856 Жыл бұрын
Hakika Golgotha ilipazaa sauti..
@leticiaemmanuel13664 жыл бұрын
Nmebarikiwa sana na huu wimbo
@zakiamseka96985 ай бұрын
Nakumbuka 2002
@dianajastine34484 жыл бұрын
2020 AM here nice song
@miriammassawe45112 жыл бұрын
Huu wimbo unanibariki Sana, Mungu awabariki
@everpeter8529 Жыл бұрын
22 Jun 2023. 🙏🏽
@FloraNgoma11 күн бұрын
❤
@geofreymaghali1836 жыл бұрын
Ujumbe ni mahubiri tosha kutunyenyekesha Kwa Baba wa roho zetu
@victorsomba867
3 жыл бұрын
Nilijua tu umepita hukuuu,,, maana hukosi kunako Mambo mazuri Kama hayaa
@geofreymaghali183
9 ай бұрын
@@victorsomba867Hahaha😂😂
@tuzonyava83063 жыл бұрын
Mwemwemweeeee kila ninapo uskiliza huu mwimbo nakumbuka mwaka2007 sjui nifanyeje
@innocentmushi30362 жыл бұрын
2021 na niliisikia kwa mara ya kwanza 2003 na hadi leo hii naipenda na sijaichoka.
Пікірлер: 41
i love this song alot guys🙌🙌🙌🙌nabarikiwa kuusikiliza ...tangu nipo mdog mama ang mdogo alikua aniimba nikaijua mpka leo🙌🤭❤️❤️mbarikiwe wote 2023🙏
Napenda sana hizi nyimbo nabalikiwa sana
2024 bado tuko pamoja 🙏
Huu wimbo haukauki kichwani mwangu, asanteni kwa kumbukumbu nzuri
Wimbo mliutendea haki jamani
2024 NJOONI TUSEMEZANE
2023, Wimbo wangu pendwa ❤️❤️❤️
Kwanza watu waliomwimbia bwana zamani wako very energetic tazama hata flow yao ipo spiritual saana
Nani yuko hapa nami?
@benardngetich7483
4 жыл бұрын
Niko huku poa 🙏🙏
Nazikubali sana nyimbo za kijitonyama
Naipenda sana nyimbo hii
Mmeuimba huu wimbo leo...nimekumbuka back then... Mungu azidi kuwabariki Uinjilisti Kijitonyama.
Yesu mzuri jamani nabarikiwa sana naujmbe huu
@mcmbuya6520
Жыл бұрын
31
Napenda sana huu wimbo
Aya njoon tusemezane asema Bwana. Nakumbuka mbali sana nilivyokuwa mtoto maisha hayakuwa kama sas na Mungu aliwatumia sana wazazi wetu kutukuza katika kumjua Mungu kwa njia mbali mbali ikiwa ni pamoja na nyimbo nzuri kama hizi. Mungu awabariki sana wapendwa 👏#Joshua Mlelwa #KKKT Uinjilisti Kijitonyama!
Nimeitafuta hiii nyimbooooo mda sanaaa hatimae leo nimeipata
De best song I love in ma life.🥰🙏🙌
Asanten kwa kunibariki
Nabarikiwa sana ninapo sikiliza huu wimbo, 2020.
Rip mommy😢
Ameni
Hakika Golgotha ilipazaa sauti..
Nmebarikiwa sana na huu wimbo
Nakumbuka 2002
2020 AM here nice song
Huu wimbo unanibariki Sana, Mungu awabariki
22 Jun 2023. 🙏🏽
❤
Ujumbe ni mahubiri tosha kutunyenyekesha Kwa Baba wa roho zetu
@victorsomba867
3 жыл бұрын
Nilijua tu umepita hukuuu,,, maana hukosi kunako Mambo mazuri Kama hayaa
@geofreymaghali183
9 ай бұрын
@@victorsomba867Hahaha😂😂
Mwemwemweeeee kila ninapo uskiliza huu mwimbo nakumbuka mwaka2007 sjui nifanyeje
2021 na niliisikia kwa mara ya kwanza 2003 na hadi leo hii naipenda na sijaichoka.
🙏2023
Wimbo umenikaa moyoni huu acha kabisaa
nakumbuka mbali saaanaaa
Geukeni tumludie bwana
💓
2022🙏🏾