hatariiii! BINTI WA KAZI ACHOMWA NA MAJI YA MOTO MWILINI,MAMA MZAZI ALIA KWA UCHUNGU......

Пікірлер: 6

  • @ChristinaLyimo-ni5cd
    @ChristinaLyimo-ni5cd14 күн бұрын

    Mungu amponye Binti huyu jamn ...kwani binadamu wengine kwan tumebeba mioyo gana jamn ....mungu atusameh

  • @chikujuma18
    @chikujuma1814 күн бұрын

    Masikin pole mdogo wangu mola yupo nawe utapona inshallah

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim829310 күн бұрын

    Halafu msenme mwarabu kafanya mungu kwa kweli 😢😢😢😢

  • @user-pj3eb2bo4o
    @user-pj3eb2bo4o13 күн бұрын

    Wamama wa majumbani zambi jamani huyu mama anyongwe

  • @shamzone388
    @shamzone38810 күн бұрын

    Jaman mbona mutatushitua Maana daima wanasema wakija gulf wanateswa je huyo mbina ni kwetu tz❓❓❓

  • @user-ft2vq5on6l

    @user-ft2vq5on6l

    10 күн бұрын

    Tabia ngumu na roho ngumu ni tabia ya wanadamu yoyote na si kabila maana tunawaona watu mitaani

Келесі