Wacha kiumane mura,bhita ni bhita.Hezbollah,tema abharisha bhayo,abhekarira manshe kibhono.Uratemego,ega.
@coolruler68204 күн бұрын
Ni vigumu sana kumuelewa huyu jamaa kama huna fikra binafsi
@SilasNdaisabha-gx8jo4 күн бұрын
Nmeelewa sana big up
@issackmbembati60664 күн бұрын
Selassie i
@zebedayokatamaduni96764 күн бұрын
imani ya rasta ni imani gani hiyo?
@GaradiGaradi-zq1wf4 күн бұрын
Kachanganikiwa huyo ni kama mbwa aanayebweka kwa kukosa chakula povu jingiiii hoja hana
@khamisrubea50835 күн бұрын
Mm ningekuwepo ningetoka anaongea kufru tupu
@khamisrubea50835 күн бұрын
Ayo mambo ya kiafrica na rasta havikuletwa saaa vimejileta wenyewe vitu vyote vimeletwa ata iyo maic unayozungumzia imeletwa au umeona dini tu,?
@user-lt1bi5nr1x5 күн бұрын
Mkushi upo sawa tumejikolonisha hasa viongozi wetu wa kisissa na wasomi ni shida
@azizihfarijala53075 күн бұрын
mbona amsemi askari wangapi waliifariki pamoja na raia mnasema upande mmoja tu
@hilarylaurian78965 күн бұрын
Ila Ukristo ulianza Ethiopia. Miaka mingi baada ya Yesu na ukaenea hadi huko Ulaya. Kwa hiyo wakoloni walivyokuja kutawala maeneo mengine ya Africa walisaidia kusambaza Ukristo na siyo kuwa walileta dini Africa. Africa walikuwa wanamjua Mungu kabla ya wazungu kuja. Wazungu wamekuja tu kubadili tu utaratibu wa dini.
@zaidiissa37144 күн бұрын
Sasa kama ukristo ulianza Ethiopia swali nije huyu mungu yesu ametokea wapi ikiwa mungu alikuepo au huyu mungu roho alitokea wapi kama hidini ya ukristo siyakuungaunga ???
@rayaalhabsi1725Күн бұрын
Ukristo uli anzishwa na paulo sio yesu, Ukristo ulikuja baada ya yesu kuondoka
@bakarikayugwa32955 күн бұрын
Safi sana kaka
@bakarikayugwa32955 күн бұрын
Ni kweri kabisa Yani wazungu wajanja sana kama taifa teure lijipiganie renyewe na ndio wauaji ndio wafiraji wao
@Mohamed-sc6bk6 күн бұрын
Ni kweli kabisa
@MussaKitaluta6 күн бұрын
Bangi zinamzumbua
@0diraWilson6 күн бұрын
Umesema KWELI. Amani Kwako
@simonlukiko28506 күн бұрын
Acha ujinga
@athumanikajembe45856 күн бұрын
Wewe ndio bangi zinakusumbua rasta anaongeaukweli wewe dhambi inakutafuna
@user-lt1bi5nr1x5 күн бұрын
Huelewi anaongea nini?
@salehkhamis-ob8ln6 күн бұрын
Acha ujinga rasta kasome usipotoshe watu. Halaf kuna mijitu imekaa inamsikiliza huyu mpungufu wa akili
@BONGOINMOTION6 күн бұрын
Ujinga ni kutokujua vitu flan,,hajui Nini unachokijua zaidi!!
@0diraWilson6 күн бұрын
Hivi kweli Mtanzania aliye mpanda na AKILI anaweza kukaa na kusikiliza MJINGA kama huyu mbweha?
@user-gp1hi7sw5k5 күн бұрын
Usikosowe ukweli
@ndizindeleti7615 күн бұрын
Rast anasema ukweli
@saiddgsmg6 күн бұрын
pumba tupu.
@sama-_83686 күн бұрын
Pumba zilizochanganywa na chenga kidogo na vumbi vumbi la kusababisha mafua kwa anaye jitambua
@user-se7oh4xu5r7 күн бұрын
Puwa 😂😂😂😂😂
@Adonkamotci7 күн бұрын
Rasta wewe Nimtu mwenye lmani ya mungu nme kuEelewa sana👏👏
@rashidmollel5293 күн бұрын
Kabisa
@fatmasalim82937 күн бұрын
Halafu msenme mwarabu kafanya mungu kwa kweli 😢😢😢😢
@shamzone3887 күн бұрын
Jaman mbona mutatushitua Maana daima wanasema wakija gulf wanateswa je huyo mbina ni kwetu tz❓❓❓
@user-ft2vq5on6l6 күн бұрын
Tabia ngumu na roho ngumu ni tabia ya wanadamu yoyote na si kabila maana tunawaona watu mitaani
@nakalikyumile32348 күн бұрын
Ukweli mtupu
@HappyAlbatross-us3bg9 күн бұрын
Hakika imani ya rastafarian ni ukweli mtupu anaongea facts and logic
@pastorzakariatv17868 күн бұрын
Binadamu ni wa ajabu sana hata ukimwambia mavi ni chakula soft kwakuwa kimesagwa mara mbili ukapangilia vizuri hoja yako kwa kuitengeneza wako watakao kula mavi huwezi kuwakosa wote.
@user-pj3eb2bo4o10 күн бұрын
Wamama wa majumbani zambi jamani huyu mama anyongwe
@chikujuma1810 күн бұрын
Masikin pole mdogo wangu mola yupo nawe utapona inshallah
@ChristinaLyimo-ni5cd11 күн бұрын
Mungu amponye Binti huyu jamn ...kwani binadamu wengine kwan tumebeba mioyo gana jamn ....mungu atusameh
@SmilingFuchsiaFlower-jl7dg11 күн бұрын
Rasta never day
@agapenanyaro283211 күн бұрын
❤🎉🎉
@EzekiaMyila11 күн бұрын
Hapa ndiyo unaweza kujua kua Rasta far wanatoa elimu ya kweli juu ya wa africa
@UniqueFurnitures3312 күн бұрын
One love
@user-lv4cx1sc5d13 күн бұрын
Et na pua yako unasema niiombe israeli wakristo mnafeli kweli munatakiwa muangaliwe akili
@ramadhanjuma61013 күн бұрын
israel huwa wana jifanya waungu watu sana hii kwasababu roho zao mbaya sana ni ma Gaidi waku tisha
@franciskilasa410413 күн бұрын
Utaletee pia maandeleo ya mwanza airport jengo jipya
@HusenNdwata-yb6nw15 күн бұрын
Meli ya maonyesho
@salumkarim6916 күн бұрын
mbona hamleti muendelezo halafu haijajitosheleza vdeo
@JajiZakayo-fw9mk16 күн бұрын
ina beba watu wangapi magari mangapi itakuwa ikiwnda wapi yote hayo hamjatueleza sawa sawa
@EmmanuliM.lugembe16 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉safi sana
@Godfreyolekidongo17 күн бұрын
Kichwa cha habari na video tofauti😂
@ShehenaMedia-cn2hp17 күн бұрын
Keep moving
@KijanaDigital96517 күн бұрын
APPRECIATE MWANANGU
@lameckbalekere196220 күн бұрын
Uliacha hela zote zimelipwa Magufuli oyee
@josephsweetbert553221 күн бұрын
Material.yalicholewa kutoka.china ni yapi hayo maana vitu.vyote vinatoka.tanzania
Пікірлер
Huyu ni mpuuzi tu
Wacha kiumane mura,bhita ni bhita.Hezbollah,tema abharisha bhayo,abhekarira manshe kibhono.Uratemego,ega.
Ni vigumu sana kumuelewa huyu jamaa kama huna fikra binafsi
Nmeelewa sana big up
Selassie i
imani ya rasta ni imani gani hiyo?
Kachanganikiwa huyo ni kama mbwa aanayebweka kwa kukosa chakula povu jingiiii hoja hana
Mm ningekuwepo ningetoka anaongea kufru tupu
Ayo mambo ya kiafrica na rasta havikuletwa saaa vimejileta wenyewe vitu vyote vimeletwa ata iyo maic unayozungumzia imeletwa au umeona dini tu,?
Mkushi upo sawa tumejikolonisha hasa viongozi wetu wa kisissa na wasomi ni shida
mbona amsemi askari wangapi waliifariki pamoja na raia mnasema upande mmoja tu
Ila Ukristo ulianza Ethiopia. Miaka mingi baada ya Yesu na ukaenea hadi huko Ulaya. Kwa hiyo wakoloni walivyokuja kutawala maeneo mengine ya Africa walisaidia kusambaza Ukristo na siyo kuwa walileta dini Africa. Africa walikuwa wanamjua Mungu kabla ya wazungu kuja. Wazungu wamekuja tu kubadili tu utaratibu wa dini.
Sasa kama ukristo ulianza Ethiopia swali nije huyu mungu yesu ametokea wapi ikiwa mungu alikuepo au huyu mungu roho alitokea wapi kama hidini ya ukristo siyakuungaunga ???
Ukristo uli anzishwa na paulo sio yesu, Ukristo ulikuja baada ya yesu kuondoka
Safi sana kaka
Ni kweri kabisa Yani wazungu wajanja sana kama taifa teure lijipiganie renyewe na ndio wauaji ndio wafiraji wao
Ni kweli kabisa
Bangi zinamzumbua
Umesema KWELI. Amani Kwako
Acha ujinga
Wewe ndio bangi zinakusumbua rasta anaongeaukweli wewe dhambi inakutafuna
Huelewi anaongea nini?
Acha ujinga rasta kasome usipotoshe watu. Halaf kuna mijitu imekaa inamsikiliza huyu mpungufu wa akili
Ujinga ni kutokujua vitu flan,,hajui Nini unachokijua zaidi!!
Hivi kweli Mtanzania aliye mpanda na AKILI anaweza kukaa na kusikiliza MJINGA kama huyu mbweha?
Usikosowe ukweli
Rast anasema ukweli
pumba tupu.
Pumba zilizochanganywa na chenga kidogo na vumbi vumbi la kusababisha mafua kwa anaye jitambua
Puwa 😂😂😂😂😂
Rasta wewe Nimtu mwenye lmani ya mungu nme kuEelewa sana👏👏
Kabisa
Halafu msenme mwarabu kafanya mungu kwa kweli 😢😢😢😢
Jaman mbona mutatushitua Maana daima wanasema wakija gulf wanateswa je huyo mbina ni kwetu tz❓❓❓
Tabia ngumu na roho ngumu ni tabia ya wanadamu yoyote na si kabila maana tunawaona watu mitaani
Ukweli mtupu
Hakika imani ya rastafarian ni ukweli mtupu anaongea facts and logic
Binadamu ni wa ajabu sana hata ukimwambia mavi ni chakula soft kwakuwa kimesagwa mara mbili ukapangilia vizuri hoja yako kwa kuitengeneza wako watakao kula mavi huwezi kuwakosa wote.
Wamama wa majumbani zambi jamani huyu mama anyongwe
Masikin pole mdogo wangu mola yupo nawe utapona inshallah
Mungu amponye Binti huyu jamn ...kwani binadamu wengine kwan tumebeba mioyo gana jamn ....mungu atusameh
Rasta never day
❤🎉🎉
Hapa ndiyo unaweza kujua kua Rasta far wanatoa elimu ya kweli juu ya wa africa
One love
Et na pua yako unasema niiombe israeli wakristo mnafeli kweli munatakiwa muangaliwe akili
israel huwa wana jifanya waungu watu sana hii kwasababu roho zao mbaya sana ni ma Gaidi waku tisha
Utaletee pia maandeleo ya mwanza airport jengo jipya
Meli ya maonyesho
mbona hamleti muendelezo halafu haijajitosheleza vdeo
ina beba watu wangapi magari mangapi itakuwa ikiwnda wapi yote hayo hamjatueleza sawa sawa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉safi sana
Kichwa cha habari na video tofauti😂
Keep moving
APPRECIATE MWANANGU
Uliacha hela zote zimelipwa Magufuli oyee
Material.yalicholewa kutoka.china ni yapi hayo maana vitu.vyote vinatoka.tanzania
Hakuna hata aliye comment duuu
👏👏
Keep moving
🎉
Pamoja Sana mr Director
💥💥💥
🎉🎉
Karibu Yuda! Utazame Kazi Zetu Zaidi
Ndiyo shida ya interview za karatasi