KIJANA DIGITAL

KIJANA DIGITAL

Jukwa Hili La Kijana Digital Ni Jukwaa Huru Litakalo Jikita na Maudhui Ya Michezo Na Habari Za kijamii Na kisiasa / Hard News.

Karibu Uhabarike Na Uburudike Katika Maudhui Yetu!

Пікірлер

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rxКүн бұрын

    Huyu ni mpuuzi tu

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zmКүн бұрын

    Wacha kiumane mura,bhita ni bhita.Hezbollah,tema abharisha bhayo,abhekarira manshe kibhono.Uratemego,ega.

  • @coolruler6820
    @coolruler68204 күн бұрын

    Ni vigumu sana kumuelewa huyu jamaa kama huna fikra binafsi

  • @SilasNdaisabha-gx8jo
    @SilasNdaisabha-gx8jo4 күн бұрын

    Nmeelewa sana big up

  • @issackmbembati6066
    @issackmbembati60664 күн бұрын

    Selassie i

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni96764 күн бұрын

    imani ya rasta ni imani gani hiyo?

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf4 күн бұрын

    Kachanganikiwa huyo ni kama mbwa aanayebweka kwa kukosa chakula povu jingiiii hoja hana

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50835 күн бұрын

    Mm ningekuwepo ningetoka anaongea kufru tupu

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50835 күн бұрын

    Ayo mambo ya kiafrica na rasta havikuletwa saaa vimejileta wenyewe vitu vyote vimeletwa ata iyo maic unayozungumzia imeletwa au umeona dini tu,?

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x5 күн бұрын

    Mkushi upo sawa tumejikolonisha hasa viongozi wetu wa kisissa na wasomi ni shida

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala53075 күн бұрын

    mbona amsemi askari wangapi waliifariki pamoja na raia mnasema upande mmoja tu

  • @hilarylaurian7896
    @hilarylaurian78965 күн бұрын

    Ila Ukristo ulianza Ethiopia. Miaka mingi baada ya Yesu na ukaenea hadi huko Ulaya. Kwa hiyo wakoloni walivyokuja kutawala maeneo mengine ya Africa walisaidia kusambaza Ukristo na siyo kuwa walileta dini Africa. Africa walikuwa wanamjua Mungu kabla ya wazungu kuja. Wazungu wamekuja tu kubadili tu utaratibu wa dini.

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa37144 күн бұрын

    Sasa kama ukristo ulianza Ethiopia swali nije huyu mungu yesu ametokea wapi ikiwa mungu alikuepo au huyu mungu roho alitokea wapi kama hidini ya ukristo siyakuungaunga ???

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725Күн бұрын

    Ukristo uli anzishwa na paulo sio yesu, Ukristo ulikuja baada ya yesu kuondoka

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa32955 күн бұрын

    Safi sana kaka

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa32955 күн бұрын

    Ni kweri kabisa Yani wazungu wajanja sana kama taifa teure lijipiganie renyewe na ndio wauaji ndio wafiraji wao

  • @Mohamed-sc6bk
    @Mohamed-sc6bk6 күн бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @MussaKitaluta
    @MussaKitaluta6 күн бұрын

    Bangi zinamzumbua

  • @0diraWilson
    @0diraWilson6 күн бұрын

    Umesema KWELI. Amani Kwako

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko28506 күн бұрын

    Acha ujinga

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe45856 күн бұрын

    Wewe ndio bangi zinakusumbua rasta anaongeaukweli wewe dhambi inakutafuna

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x5 күн бұрын

    Huelewi anaongea nini?

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln6 күн бұрын

    Acha ujinga rasta kasome usipotoshe watu. Halaf kuna mijitu imekaa inamsikiliza huyu mpungufu wa akili

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION6 күн бұрын

    Ujinga ni kutokujua vitu flan,,hajui Nini unachokijua zaidi!!

  • @0diraWilson
    @0diraWilson6 күн бұрын

    Hivi kweli Mtanzania aliye mpanda na AKILI anaweza kukaa na kusikiliza MJINGA kama huyu mbweha?

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k5 күн бұрын

    Usikosowe ukweli

  • @ndizindeleti761
    @ndizindeleti7615 күн бұрын

    Rast anasema ukweli

  • @saiddgsmg
    @saiddgsmg6 күн бұрын

    pumba tupu.

  • @sama-_8368
    @sama-_83686 күн бұрын

    Pumba zilizochanganywa na chenga kidogo na vumbi vumbi la kusababisha mafua kwa anaye jitambua

  • @user-se7oh4xu5r
    @user-se7oh4xu5r7 күн бұрын

    Puwa 😂😂😂😂😂

  • @Adonkamotci
    @Adonkamotci7 күн бұрын

    Rasta wewe Nimtu mwenye lmani ya mungu nme kuEelewa sana👏👏

  • @rashidmollel529
    @rashidmollel5293 күн бұрын

    Kabisa

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim82937 күн бұрын

    Halafu msenme mwarabu kafanya mungu kwa kweli 😢😢😢😢

  • @shamzone388
    @shamzone3887 күн бұрын

    Jaman mbona mutatushitua Maana daima wanasema wakija gulf wanateswa je huyo mbina ni kwetu tz❓❓❓

  • @user-ft2vq5on6l
    @user-ft2vq5on6l6 күн бұрын

    Tabia ngumu na roho ngumu ni tabia ya wanadamu yoyote na si kabila maana tunawaona watu mitaani

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile32348 күн бұрын

    Ukweli mtupu

  • @HappyAlbatross-us3bg
    @HappyAlbatross-us3bg9 күн бұрын

    Hakika imani ya rastafarian ni ukweli mtupu anaongea facts and logic

  • @pastorzakariatv1786
    @pastorzakariatv17868 күн бұрын

    Binadamu ni wa ajabu sana hata ukimwambia mavi ni chakula soft kwakuwa kimesagwa mara mbili ukapangilia vizuri hoja yako kwa kuitengeneza wako watakao kula mavi huwezi kuwakosa wote.

  • @user-pj3eb2bo4o
    @user-pj3eb2bo4o10 күн бұрын

    Wamama wa majumbani zambi jamani huyu mama anyongwe

  • @chikujuma18
    @chikujuma1810 күн бұрын

    Masikin pole mdogo wangu mola yupo nawe utapona inshallah

  • @ChristinaLyimo-ni5cd
    @ChristinaLyimo-ni5cd11 күн бұрын

    Mungu amponye Binti huyu jamn ...kwani binadamu wengine kwan tumebeba mioyo gana jamn ....mungu atusameh

  • @SmilingFuchsiaFlower-jl7dg
    @SmilingFuchsiaFlower-jl7dg11 күн бұрын

    Rasta never day

  • @agapenanyaro2832
    @agapenanyaro283211 күн бұрын

    ❤🎉🎉

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila11 күн бұрын

    Hapa ndiyo unaweza kujua kua Rasta far wanatoa elimu ya kweli juu ya wa africa

  • @UniqueFurnitures33
    @UniqueFurnitures3312 күн бұрын

    One love

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d13 күн бұрын

    Et na pua yako unasema niiombe israeli wakristo mnafeli kweli munatakiwa muangaliwe akili

  • @ramadhanjuma610
    @ramadhanjuma61013 күн бұрын

    israel huwa wana jifanya waungu watu sana hii kwasababu roho zao mbaya sana ni ma Gaidi waku tisha

  • @franciskilasa4104
    @franciskilasa410413 күн бұрын

    Utaletee pia maandeleo ya mwanza airport jengo jipya

  • @HusenNdwata-yb6nw
    @HusenNdwata-yb6nw15 күн бұрын

    Meli ya maonyesho

  • @salumkarim69
    @salumkarim6916 күн бұрын

    mbona hamleti muendelezo halafu haijajitosheleza vdeo

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk16 күн бұрын

    ina beba watu wangapi magari mangapi itakuwa ikiwnda wapi yote hayo hamjatueleza sawa sawa

  • @EmmanuliM.lugembe
    @EmmanuliM.lugembe16 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉safi sana

  • @Godfreyolekidongo
    @Godfreyolekidongo17 күн бұрын

    Kichwa cha habari na video tofauti😂

  • @ShehenaMedia-cn2hp
    @ShehenaMedia-cn2hp17 күн бұрын

    Keep moving

  • @KijanaDigital965
    @KijanaDigital96517 күн бұрын

    APPRECIATE MWANANGU

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere196220 күн бұрын

    Uliacha hela zote zimelipwa Magufuli oyee

  • @josephsweetbert5532
    @josephsweetbert553221 күн бұрын

    Material.yalicholewa kutoka.china ni yapi hayo maana vitu.vyote vinatoka.tanzania

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob579522 күн бұрын

    Hakuna hata aliye comment duuu

  • @rashidmalekela
    @rashidmalekela27 күн бұрын

    👏👏

  • @ShehenaMedia-cn2hp
    @ShehenaMedia-cn2hp27 күн бұрын

    Keep moving

  • @pyuga_simulizi
    @pyuga_simulizi28 күн бұрын

    🎉

  • @KijanaDigital965
    @KijanaDigital96528 күн бұрын

    Pamoja Sana mr Director

  • @drixnews8613
    @drixnews861329 күн бұрын

    💥💥💥

  • @EmmanuelYuda-rn6hi
    @EmmanuelYuda-rn6hiАй бұрын

    🎉🎉

  • @KijanaDigital965
    @KijanaDigital965Ай бұрын

    Karibu Yuda! Utazame Kazi Zetu Zaidi

  • @user-kw6zq3wp2w
    @user-kw6zq3wp2wАй бұрын

    Ndiyo shida ya interview za karatasi