HASHIM IBWE APONDA MASHINE MTOA ROHO WA SIMBA SC|KISA FEITOTO ALIA NA YANGA|AWEKA WAZI ISHU YA CHAMA

Спорт

Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv

Пікірлер: 70

  • @vaxminja9053
    @vaxminja90535 күн бұрын

    Mashabiki wa Simba wanapenda sana kudanganywa, kila siku wanadanganywa kuwa viongozi wa Simba wanafanya mazungumzo na viongozi wa Azam. Halafu mashabiki wa Simba wanakomenti kuwa Fei ni mali ya Simba

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h6 күн бұрын

    Simba wamchukue fesal? Hamna kitu hicho, hizo ni za akina gb00000.

  • @OmaryAllykumba
    @OmaryAllykumba6 күн бұрын

    Mbali wap raund ya kwnza tu outside 😅😅😅😂

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu4 күн бұрын

    unajua kutangaza, utafika mbali tia bidii, maswali, hekima ya kuingia na kutoka, umalizaji wa mazungumzo, safi

  • @rashidhemed1444
    @rashidhemed14446 күн бұрын

    Mashindano ni uzoefu mujitahidi kusajili wachezaji wazoefu

  • @law93king
    @law93king4 күн бұрын

    kuna mchambuzi amesema ni aziz,then akasema amemaliza mkataba swali je kama kamaliza mkataba hiyo offer mnataka awajibu nani😂

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np5 күн бұрын

    Mwamba umewapasua nimekuelewa madundu midomo😂😂😂

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta96585 күн бұрын

    😂😂😂usituombe sisi tunawachukulia tu poa hivo hivo acha ujinga

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi58715 күн бұрын

    Watu waje kufwata feisal mwenye nuksi 😂😂😂 poleni hawawezi kabisa nikimeo😂😂😂😂

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica43685 күн бұрын

    Simba tu hapa hao wengine hawajulikani ,Fei atakuja Free 😂😂😂

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs5 күн бұрын

    Fei nimchezaji mzuri lakini ww msemaji unampandisha sana

  • @zebedayoloilukumai.8813
    @zebedayoloilukumai.88135 күн бұрын

    Tatitizo ni utoto. Ukikua utaacha tu

  • @abubakarbajun3503
    @abubakarbajun35035 күн бұрын

    Huyu kijana wa mgagao mparee ni sawa na kinbuziii kimbalelooo

  • @user-jk4xr8tc7j
    @user-jk4xr8tc7jКүн бұрын

    aah xx azam fc a2na shida xx xixi azam fc a2wapi nyeye ximba maxikini 2 yamuna levoo ya mchezaji wa2

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h5 күн бұрын

    Zile 3 hazikukutosha sasa awamu hii wallah mnakula 7

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h6 күн бұрын

    Wanataka kumpora wa geita na kmc kama walivyofanya kwa Lawi, aibuuu.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l6 күн бұрын

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np5 күн бұрын

    Azam fc mwaka huuu wanajambo lao kabisa na naamini watafanya jambo kubwa sana

  • @chinaaudax6459

    @chinaaudax6459

    5 күн бұрын

    Jambo kubwa labda wazidishe kuhuza ukwaju Ndio jambo lao kubwa

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p5 күн бұрын

    Fei aende simba ndo ataakua zaid moto ila ata akiwa azam fei ni yuleyule mtuwamana sna

  • @chinchon2126
    @chinchon21266 күн бұрын

    Kwani Feisal amelelewa na AZAM mbona unasema uongo

  • @user-gx9jr5le2f
    @user-gx9jr5le2f4 күн бұрын

    Sifa ndio zimewajaa

  • @ThomasAssey
    @ThomasAssey5 күн бұрын

    Hivi iliuwe msemaji watimu kigezo ni kuwa mpuuzi???? Hii inashusha Hadi ya soka letu Klabu zetu ziboreshe hizi idara iwaondoe wababaishaji na wapuuzi

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u6 күн бұрын

    Feitoto anaipenda simba

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo5 күн бұрын

    Nanyi eti mna mashabiki Simba na yanga waseme nini?

  • @YahayaMkahepe
    @YahayaMkahepe5 күн бұрын

    Ww muongo. Mara hakuna ofa ya feisal mara imekuja moja. Sasa tuelewe nn?

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile54625 күн бұрын

    MAKOLO wanapenda vitu vizuri lakini mikono yao mifupi🤣🤣🤣🤣

  • @chinchon2126
    @chinchon21266 күн бұрын

    Tupo Yanga tunakungoja tukukande

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos24815 күн бұрын

    Mkipigwa figisu musiweke mpira kapuni

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix5 күн бұрын

    Uko sawa jamaa huna mbamba azamu mko poa sana sio hao juma mwiko

  • @chinaaudax6459

    @chinaaudax6459

    5 күн бұрын

    Sasa wewe unaongea au unabwabwaja utakaa hapo nafasi ya tatu mpaka ukome na shilikisho lako kumbe ruza

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm6 күн бұрын

    Azam naiona mbali kuliko makolo🎉🎉😂😂😂

  • @Gisakijamaduda

    @Gisakijamaduda

    6 күн бұрын

    Weeeeeeee ngogwe hujui maana ya makolo ni wajomba wa manara kizaramo hivyo utopwax mnafikiri ni tusi😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @mgendihdellicy6210

    @mgendihdellicy6210

    5 күн бұрын

    hahahahahaaa kipofu leo kaona

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u6 күн бұрын

    Huyu bwege na Aliy kamwe

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u4 күн бұрын

    Hunalolote. Kibwengo. Mkubwa

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs5 күн бұрын

    Ww hunakili

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson48345 күн бұрын

    Wekeni bei muone

  • @chinchon2126
    @chinchon21266 күн бұрын

    SI muliramba kwa yule mshamba Feisal tuu

  • @mohdkhatib223

    @mohdkhatib223

    5 күн бұрын

    Wewe na Feisal na mshamba? Mwenzako anakula maokoto wewe baki na chuki zako

  • @PeterNimrod-ug5mg
    @PeterNimrod-ug5mg5 күн бұрын

    So what?

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p5 күн бұрын

    Xavi mtupu

  • @chinaaudax6459
    @chinaaudax64595 күн бұрын

    wewe ongea pia mungu kakujalia ndomo subilia ligi inakuja utaitambua timu ya wananchi watakunyoosha we kasajili mpaka uraya ila utapingwa tu

  • @mgendihdellicy6210

    @mgendihdellicy6210

    5 күн бұрын

    we yanga kaa kimyaa anapoongea azam,kimya kabisa

  • @chinaaudax6459

    @chinaaudax6459

    5 күн бұрын

    Sasa we lamba lamba Una kitu gani Cha kumkalisha mwananchi kimya we wakalishe lamba lamba wenzako sio mwananchi tena ukome

  • @VeronicaEmmanuel-t2v
    @VeronicaEmmanuel-t2v6 күн бұрын

    Yani kwa quality ya yanga na azam sioni kwa usajili. Huu wa kolobwabwa kama anataka kushindania ubingwa au kutoshuka daraja

  • @flova7022

    @flova7022

    6 күн бұрын

    Hivi hizi akili hua mNAZITOA WAP..WATU HATA HHAWACHEZA MECHI MOJA COMENTS TYR

  • @bahatimshali2731

    @bahatimshali2731

    5 күн бұрын

    Hao wachezaji ambao walianza kukata moto? Wazee FC

  • @VeronicaEmmanuel-t2v

    @VeronicaEmmanuel-t2v

    5 күн бұрын

    @@flova7022 wewe acha kua kolo bwabwa Debora uwezi kumfananisha ata na awesu awesu,sembuse Quality ya Feisal ukitaka kuelewa ilo ndomana mamelod wanamtaka,kwnn wasinge mtaka debora.hana quality mbona vtu vidogo tu sio adi uwe na degree ndo uelewe sema kwa sababu ukolo bwanji mwngi ndomana ligi ikija kuanza mnatupigia kelele Amna chemistry mara physics Mara biology kumbe quality ndogo.azam ana fei ,ana akaminko,Bajana kiungo Bora kabisa Simba mna Debora,Mkwami sjui babakr ngoma alafu mnadanganyana eti mnataka ubingwa njoo yanga kuna azizi k goal 21 assist 8,pacome BAO 7assist 5 Max BAO 11 assist 3, Chama bao 7 assist sita una Dube bareke hzo namba na quality ya hao watu Africa mashaliki na Kati akuna eti usichukue ubingwa kwa sababu Simba kamleta Debora nyoo uo si utaila .mashabiki wa Simba amnaaminishwa uzuzu wachezaji mlio sajili awana quality ya kushindana kweny ligi hii ngumu

  • @VeronicaEmmanuel-t2v

    @VeronicaEmmanuel-t2v

    5 күн бұрын

    @@flova7022 na kwa taarifa yko hzi akili zinakuja baada ya kuona usajili wa makele Simba kila msimu alafu kwapa ananyanyua YANGA tena kwa mamlaka unamzidi mpinzani point 8,7 ,11,13 kaaa Amna ushindani alafu cha ajabu wewe unazidi kuborsha kikosi kila kukicha washindani wako wanabomoa hii sio ishara nzur ata kidogo akuna ushindani na mkiendelea hv Yanga bingwa mara 10 mfululizo kama mmeshazoea kuleta wachezaji ambao wanavua watu mawigi alafu uwanjani sifuli sizani kma kutakuwa na ushindani .yani wenzenu wako makini nyie mnaleta comedy alafu mnataka ubingwa upi

  • @VeronicaEmmanuel-t2v

    @VeronicaEmmanuel-t2v

    5 күн бұрын

    Wazee ndo mabingwa ,alafu vijana kina kibu wakaishia nafasi ya tatu kwaiyo utajua kipi bora​@@bahatimshali2731

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c6 күн бұрын

    Geita naiona mbali kuliko majini fc

  • @sosomacharles9920

    @sosomacharles9920

    5 күн бұрын

    Yanga bingwa

  • @sosomacharles9920

    @sosomacharles9920

    5 күн бұрын

    Hayo yote ni makasiriko baada ya Chama kutua Yanga.

  • @HassanZiroy
    @HassanZiroy6 күн бұрын

    Kwani ashimu ibwe na ali kome nimashoga? Mbona wakiongea wanaongea sauti fulani iv alafu navile vimawani

  • @VeronicaEmmanuel-t2v

    @VeronicaEmmanuel-t2v

    5 күн бұрын

    @@HassanZiroy na msemaji wenu mmemkagua Amida ally yule si kungwi kidole juu kma anaimba taarabu mbana pua kama kakalia kipisi cha b ndundn

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow6 күн бұрын

    Kwanini mulimuuza kipre bei ndogo nsibora mngetupa simba

  • @VeronicaEmmanuel-t2v

    @VeronicaEmmanuel-t2v

    5 күн бұрын

    @@JohnJoseph-qq7ow Simba mna ela ya kulipa quality ya kipre nyie sasaiv Amna ela mnanunua wachezaji wa mitumba we katka usajili wa Simba ntajie mchezaji ambae katoka tmu yoyote iliocheza walau makundi caf champion league msimu uliousha akuna,kuna kina Debora tu ,wanasajili ma miss kuja kucheza ligi kuu .mapema na tabili Yanga bingwa ,Azam wa pili Simba atagombania namba tatu na singida

  • @malietamalieta9658

    @malietamalieta9658

    5 күн бұрын

    😂😂azam kipre alitaka kuja yanga wakanasuka ikabid wamuuze msimu haujaisha Ili asije akaja jangwani

  • @RaymusicOrgRashid-fq4gv

    @RaymusicOrgRashid-fq4gv

    5 күн бұрын

    @@VeronicaEmmanuel-t2v Unatabir ujinga tu Ngoja ligi ianze tutajua mchele na chuya na utabir wako.

  • @abedymtore2707
    @abedymtore27076 күн бұрын

    Tatizo AZAM mna ufala mnapo Kutana na simba mnacheza ujinga kwa yanga mnajikuta na man city mnahalibu taswira ya ligi TZ tukijumlisha na maneno ya dube kua viongozi wa AZAM weng wao mashabiki simba

  • @bahatimshali2731

    @bahatimshali2731

    5 күн бұрын

    Sio mashabiki wa Utopwax?

  • @bahatimshali2731

    @bahatimshali2731

    5 күн бұрын

    Wangekuwa mashabiki wa Simba si wangeiachia nafasi ya 2?

  • @VeronicaEmmanuel-t2v

    @VeronicaEmmanuel-t2v

    5 күн бұрын

    @@abedymtore2707 Kwa usajili huu wa Simba,wanaleta wakina Debora Azam pambana baba msimu ujao clabu bingwa tena

  • @MillanFAHMI

    @MillanFAHMI

    5 күн бұрын

    We panya kanye uko

  • @VenaEliki

    @VenaEliki

    5 күн бұрын

    Atakuwa hana soko

  • @user-oe2ty7ds4g
    @user-oe2ty7ds4g5 күн бұрын

    Hamuendi kokote

Келесі