HASHIM IBWE afunguka ukweli SALIM KIKEKE na DULLAH PLANET KUJIUNGA CROWN MEDIA ALIKIBA AMECHELEWA
Ойын-сауық
East African number one KZread channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande
Пікірлер: 51
Ongera Ali kiba mwenyezimungu akutangulie kwa kila jambo 😂😂nakuona hashimu Ibwe msemeji nomber 2 mwenye furaha wakwanza Ali kamwe 🎉🎉🎉
Smart for Answering questions qood ally
Ongera Sanaa ally mungu niwema na anatenda kwa wkt wke ibwe hongera kwa maelezo mazuli
Hongera sana ALI
Dula planet alivyoacha kazi East Africa radio na tetesi za kiba kufungua radio nikahisi tu dula planet lazima ataenda huko
Broo ally nakupa hongera jamaa usiekua na mambo mengi, huna chen wala helen maskion, allah akupe maisha marefu broo ally
@omarymnuru8746
4 ай бұрын
Lakini imani yake inakataza pia mziki
@SilaMinanda
4 ай бұрын
@@omarymnuru8746sawa mungu amfanyie wepesi aache kabisa inshaallah
@SamiaRashid-up6cg
4 ай бұрын
@@omarymnuru8746iman imekataza mambo mengi sana ambayo hata wewe unayafanya
Good things Kwa young hustler ally kiba.
Hongera
Mambo mazuri
Hongera sanaa Ali kiba
👏👏👏❤
The King Crown
Good interview
❤❤❤❤
Safi sana mfalme
Igeni simbaaa sanaaaa🎉
Safi king
Sasa kajipanga
@hashim ibwe ukovizuri. Ila hawa waandishi wamechanganya habari kutoka crown mpaka. Azam😂😂😂😂😂
Ajachelewa alikuwa ajajipanga
@MarkGichere
4 ай бұрын
God's time is the best time 🙏
@missindependent1893
4 ай бұрын
Sure @@MarkGichere
Hapa sasa umetupatia kamali iliyobakia ni kuleta watangazaji vyuma sisi tupo na wewe km Mandonga.
Jikaze wewe kuma
Mbona hajui kuongea
Yani cjuagi tu hashim muda wa vipindi vyako.. Ila uko bariiid... Yan poah sanaaa😊
Uwakika san kk
Waandishi wa namna hii bomu kabisa.mambo ya azam fc yanaingiaje tena hapo kwenye uzinduzi wa redio crown fm?
@suzanaaloyc4903
4 ай бұрын
Ndo apo sasa
Hii lugha ni yenu lakini hamjui kuiongea kwa usahihi na sehemu inayopaswa;huwezi sema alinilazimisha kuna maana gani hapo?wewe unakuwa submissive unafanya kitu kwa kumridhisha mtu bila wewe kupenda (mtumwa)tafuteni maneno mengine yaendane na kiswahili sahihi mnavyoongea na hizo media maana watu wengi wanafatilia hizo interview
Sidhani kiba kachelewa ndo mda mwafaka kabisa
Hii radio sio ya alikiba bt kiba amepewa maokoto auze jina hii ilkuepo kitambo but haikuwa na power
@elibarikieden
4 ай бұрын
Ko wewe ulivomsikia Yule lokole ukamuamini 😂😂😂😂
@RashidiBakema-us1qq
4 ай бұрын
Tafuuta pesa uache makasiriko😅
@user-ow4vj2lw8r
4 ай бұрын
@@elibarikieden i have full information about it
@user-ow4vj2lw8r
4 ай бұрын
@@RashidiBakema-us1qq am rìch enough
Mtangazaji gani wewe? Huwezi kuajiriwa media kubwa kweli baada ya kusema "TAYARI^ unasema 'tayali' hahaha halfu unajiooona bonge la mtangazaji
@geophreyndanshau854
4 ай бұрын
Acha Chuki ww mtoto kiume
@hemmyissambo6792
4 ай бұрын
Hana jipya hyuuu
@athmanimkangara9290
4 ай бұрын
Una chuki wewe kajifunze kuandika kwanza
@idanysedrc1200
4 ай бұрын
Wewe upo radio gan?
@hassanndauka9685
4 ай бұрын
Chuki husda, havina faida kwa mtu asiyekujua
Crown sio brand nzr , Bora angeita KiBA FM , KIBA TV yani ingekuwa poa
@congratulationmayunga3833
4 ай бұрын
Clown Iko poah sana
@annasolomon9855
4 ай бұрын
Hilo jina ni poa Sana hujui tu.. kina limezoeleka saana😊
@BongoPlus
4 ай бұрын
NI crown kaka