HASHIM IBWE afunguka ukweli SALIM KIKEKE na DULLAH PLANET KUJIUNGA CROWN MEDIA ALIKIBA AMECHELEWA

Ойын-сауық

East African number one KZread channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande

Пікірлер: 51

  • @user-yu9hn2cq3y
    @user-yu9hn2cq3y4 ай бұрын

    Ongera Ali kiba mwenyezimungu akutangulie kwa kila jambo 😂😂nakuona hashimu Ibwe msemeji nomber 2 mwenye furaha wakwanza Ali kamwe 🎉🎉🎉

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x4 ай бұрын

    Smart for Answering questions qood ally

  • @JokoloJokolo-vt5pm
    @JokoloJokolo-vt5pm4 ай бұрын

    Ongera Sanaa ally mungu niwema na anatenda kwa wkt wke ibwe hongera kwa maelezo mazuli

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza4824 ай бұрын

    Hongera sana ALI

  • @elisharaphael8680
    @elisharaphael86804 ай бұрын

    Dula planet alivyoacha kazi East Africa radio na tetesi za kiba kufungua radio nikahisi tu dula planet lazima ataenda huko

  • @user-dx7tf6ss3r
    @user-dx7tf6ss3r4 ай бұрын

    Broo ally nakupa hongera jamaa usiekua na mambo mengi, huna chen wala helen maskion, allah akupe maisha marefu broo ally

  • @omarymnuru8746

    @omarymnuru8746

    4 ай бұрын

    Lakini imani yake inakataza pia mziki

  • @SilaMinanda

    @SilaMinanda

    4 ай бұрын

    ​@@omarymnuru8746sawa mungu amfanyie wepesi aache kabisa inshaallah

  • @SamiaRashid-up6cg

    @SamiaRashid-up6cg

    4 ай бұрын

    ​@@omarymnuru8746iman imekataza mambo mengi sana ambayo hata wewe unayafanya

  • @michaelmsanga-qi9sp
    @michaelmsanga-qi9sp4 ай бұрын

    Good things Kwa young hustler ally kiba.

  • @user-lr3kk6ou8m
    @user-lr3kk6ou8m4 ай бұрын

    Hongera

  • @user-yq2tl9xp9i
    @user-yq2tl9xp9i4 ай бұрын

    Mambo mazuri

  • @user-gt4nh7ly4d
    @user-gt4nh7ly4d4 ай бұрын

    Hongera sanaa Ali kiba

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews4 ай бұрын

    👏👏👏❤

  • @TomasMshana
    @TomasMshana4 ай бұрын

    The King Crown

  • @jooepaullas791
    @jooepaullas7914 ай бұрын

    Good interview

  • @speroachpaulsen
    @speroachpaulsen4 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @JosephStephano-qv1mf
    @JosephStephano-qv1mf3 ай бұрын

    Safi sana mfalme

  • @Lynce-bq8kb
    @Lynce-bq8kb4 ай бұрын

    Igeni simbaaa sanaaaa🎉

  • @barakamusapolekidoti957
    @barakamusapolekidoti9574 ай бұрын

    Safi king

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe8454 ай бұрын

    Sasa kajipanga

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome59644 ай бұрын

    @hashim ibwe ukovizuri. Ila hawa waandishi wamechanganya habari kutoka crown mpaka. Azam😂😂😂😂😂

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe8454 ай бұрын

    Ajachelewa alikuwa ajajipanga

  • @MarkGichere

    @MarkGichere

    4 ай бұрын

    God's time is the best time 🙏

  • @missindependent1893

    @missindependent1893

    4 ай бұрын

    Sure ​@@MarkGichere

  • @mipawamipawa9386
    @mipawamipawa93864 ай бұрын

    Hapa sasa umetupatia kamali iliyobakia ni kuleta watangazaji vyuma sisi tupo na wewe km Mandonga.

  • @RAMADHANAllykibanga
    @RAMADHANAllykibanga18 күн бұрын

    Jikaze wewe kuma

  • @yalhafoundationafrica9961
    @yalhafoundationafrica99614 ай бұрын

    Mbona hajui kuongea

  • @user-qh5re4wr3c
    @user-qh5re4wr3c4 ай бұрын

    Yani cjuagi tu hashim muda wa vipindi vyako.. Ila uko bariiid... Yan poah sanaaa😊

  • @David-tx8wl
    @David-tx8wl4 ай бұрын

    Uwakika san kk

  • @nicholasmkama2877
    @nicholasmkama28774 ай бұрын

    Waandishi wa namna hii bomu kabisa.mambo ya azam fc yanaingiaje tena hapo kwenye uzinduzi wa redio crown fm?

  • @suzanaaloyc4903

    @suzanaaloyc4903

    4 ай бұрын

    Ndo apo sasa

  • @bakarimohamedi9812
    @bakarimohamedi98124 ай бұрын

    Hii lugha ni yenu lakini hamjui kuiongea kwa usahihi na sehemu inayopaswa;huwezi sema alinilazimisha kuna maana gani hapo?wewe unakuwa submissive unafanya kitu kwa kumridhisha mtu bila wewe kupenda (mtumwa)tafuteni maneno mengine yaendane na kiswahili sahihi mnavyoongea na hizo media maana watu wengi wanafatilia hizo interview

  • @yassinm69
    @yassinm694 ай бұрын

    Sidhani kiba kachelewa ndo mda mwafaka kabisa

  • @user-ow4vj2lw8r
    @user-ow4vj2lw8r4 ай бұрын

    Hii radio sio ya alikiba bt kiba amepewa maokoto auze jina hii ilkuepo kitambo but haikuwa na power

  • @elibarikieden

    @elibarikieden

    4 ай бұрын

    Ko wewe ulivomsikia Yule lokole ukamuamini 😂😂😂😂

  • @RashidiBakema-us1qq

    @RashidiBakema-us1qq

    4 ай бұрын

    Tafuuta pesa uache makasiriko😅

  • @user-ow4vj2lw8r

    @user-ow4vj2lw8r

    4 ай бұрын

    @@elibarikieden i have full information about it

  • @user-ow4vj2lw8r

    @user-ow4vj2lw8r

    4 ай бұрын

    @@RashidiBakema-us1qq am rìch enough

  • @sheeally531
    @sheeally5314 ай бұрын

    Mtangazaji gani wewe? Huwezi kuajiriwa media kubwa kweli baada ya kusema "TAYARI^ unasema 'tayali' hahaha halfu unajiooona bonge la mtangazaji

  • @geophreyndanshau854

    @geophreyndanshau854

    4 ай бұрын

    Acha Chuki ww mtoto kiume

  • @hemmyissambo6792

    @hemmyissambo6792

    4 ай бұрын

    Hana jipya hyuuu

  • @athmanimkangara9290

    @athmanimkangara9290

    4 ай бұрын

    Una chuki wewe kajifunze kuandika kwanza

  • @idanysedrc1200

    @idanysedrc1200

    4 ай бұрын

    Wewe upo radio gan?

  • @hassanndauka9685

    @hassanndauka9685

    4 ай бұрын

    Chuki husda, havina faida kwa mtu asiyekujua

  • @user-hy7op6tr8p
    @user-hy7op6tr8p4 ай бұрын

    Crown sio brand nzr , Bora angeita KiBA FM , KIBA TV yani ingekuwa poa

  • @congratulationmayunga3833

    @congratulationmayunga3833

    4 ай бұрын

    Clown Iko poah sana

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    4 ай бұрын

    Hilo jina ni poa Sana hujui tu.. kina limezoeleka saana😊

  • @BongoPlus

    @BongoPlus

    4 ай бұрын

    NI crown kaka

Келесі