ALIKIBA AMTAJA MMILIKI WA CROWN MEDIA, AWA MBOGO ASEMA " MIMI SIO MPUMBAVU MIMI NDO NIMEWALETEA"

Ойын-сауық

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny

Пікірлер: 51

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599Ай бұрын

    Washamba wanachotaka kiba awe mtu wa nnahelaa mimi tajirii nnanyumba agrei kariakoo ina ghorofa 4 crown FM ni yakwanguu hahaha ushamba ni mzigo yani mtu ili alizike inabidi isikie alikiba hana hata hero la maandazi ila furani anagari

  • @UwamuregeyeSamuel-rq7jz
    @UwamuregeyeSamuel-rq7jzАй бұрын

    Saluti king kiba👑👑💖💖💖👏👏👍

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943Ай бұрын

    Tell them 👏

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162Ай бұрын

    Safi sana

  • @aliiseif3875
    @aliiseif3875Ай бұрын

    Alo uliza hili swali ndo anae sababisha watangazaji wadogo hawapati nafasi na ajira katika radio kubwa maana wanapelekwa na kiki

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5jsАй бұрын

    Nakukubali sanaa uko sawaaa

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841Ай бұрын

    Km kumiliki medea siyo utajiri jaribu kuimiliki uone,usiongee vitu ambavyo haujui fuatilia kwanza,uache ujinga...!

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2txАй бұрын

    Kiba sio mshamba bana😂😂 mtoto wa town huyu hana ushamba wa pesa

  • @AR-KHERRYKHERRYJR
    @AR-KHERRYKHERRYJRАй бұрын

    Anaga misifaaa😘

  • @user-wn8ul7gp2b
    @user-wn8ul7gp2bАй бұрын

    mwangu since day one❤

  • @petersenteu7252
    @petersenteu7252Ай бұрын

    Only one king in EA

  • @Hassanbaoma
    @HassanbaomaАй бұрын

    Verry humble

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735Ай бұрын

    The man 4life ❤❤❤

  • @SaidWasaki-iq3qd
    @SaidWasaki-iq3qdАй бұрын

    🙌🙌

  • @HalimaNamangupa-xk7fb
    @HalimaNamangupa-xk7fbАй бұрын

    King kibaa

  • @bonnywizzy1977
    @bonnywizzy197723 күн бұрын

    Huyu jamaa ajui kuongea 😂

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773Ай бұрын

    Rais WA Crown 👑na king WA bongo fleva yaan hata kuongea kipesa pesa tu kitajiri Tajiri ❤😅

  • @ashrafrushaka2358

    @ashrafrushaka2358

    Ай бұрын

    Hujui chochote bos...hii dunia ina sir sana usilo lijua ni giza....bakin kudanganywa hivyo hivyo wamiliki wapo bwana wakubwa

  • @MilkaMziray

    @MilkaMziray

    Ай бұрын

    We ndio mshamba

  • @zuweinaalhabsya8773

    @zuweinaalhabsya8773

    Ай бұрын

    @@ashrafrushaka2358 hhhhhh maskin nakuonea huruma unateseka ukiwa wapi hebu tupe habari msemeji wa Familia. Hhhhhh

  • @ashrafrushaka2358

    @ashrafrushaka2358

    Ай бұрын

    @@zuweinaalhabsya8773 bro..tunza hiyo comment...sku ukiujua ukwel utanitafuta ...mi nilikua nabisha kukuzid wewe ...but ipo siku utafunguliwa macho na akil

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha120Ай бұрын

    😂

  • @user-zi1lr8wk3w
    @user-zi1lr8wk3wАй бұрын

    Mbna hicho kidevu ni cheusi sana

  • @samyspesho1698
    @samyspesho1698Ай бұрын

    Sijaelewa

  • @user-xg5se4sy2t

    @user-xg5se4sy2t

    Ай бұрын

    Ndomana maisha yako magumu kwakua sio muelewa

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi255Ай бұрын

    Ajifunze kuongea kwanza😮

  • @princessplatnum4416
    @princessplatnum4416Ай бұрын

    Mwamba anatumia akiri kubwa akuluouki

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599Ай бұрын

    Rich mavoko kapost gari watu wamemzodoa et kaazima hawezi kununua naeweza kununua gari ni jux na watu wa wcb

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    Ай бұрын

    Watz wengi ni watu maskini wa Mali na fikra mtu akiwa na kitu cha kwanza nikuumia na kutoamini nakutafuta kasoro

  • @mustafamsati9599

    @mustafamsati9599

    Ай бұрын

    Nikweli ndugu yani watu wanateseka utazani ni jambo la ajabu

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    Ай бұрын

    @@mustafamsati9599 wtz wengi asili yao ni umaskini na tabia ya maskini ni kuwa na chuki na hasira na jambo la mafanikio Leo kila mtu anapambana kujua ile Mali sio ya Kiba ila atangaze na kufurahi maana hawakubali kuona Kiba anajambo la kimaendeleo badala ya kufurahi pale wamepata watu ajira ila mtu anatamani Ata paungue au papoteee

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    Ай бұрын

    Haha😂

  • @user-fh6ib5kl1u
    @user-fh6ib5kl1uАй бұрын

    Nenda kajieleze wewe

  • @TrubochudoBinani-zs7mi
    @TrubochudoBinani-zs7miАй бұрын

    Auna ubunifu wowote wewe mwenye ubunifu ni mond

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841Ай бұрын

    Alikiba ana pesa sema siyo mtu wa ku show off km Mond,anakula unga anapepesuka nguvu miguuni hana na anapost....!!

  • @malianonicass7029

    @malianonicass7029

    Ай бұрын

    Chuki na mond... Ila jamaa ni tajilii kweli

  • @user-ex9dd4qx9v
    @user-ex9dd4qx9vАй бұрын

    Uyu Jama ajui kujieleza

  • @user-xg5se4sy2t

    @user-xg5se4sy2t

    Ай бұрын

    Wewe ukijua inatosha ila sisi tumemuelewa

  • @princessplatnum4416

    @princessplatnum4416

    Ай бұрын

    Wivu utakuua boss

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6poАй бұрын

    Jamaa hawezagi kujielezea kana hu kana hu kanaushamba😂😂

  • @Grtudajunior-cw5zp

    @Grtudajunior-cw5zp

    Ай бұрын

    Hupendi mambo mengi sio ushamba

  • @user-qg8jo6bv1k

    @user-qg8jo6bv1k

    Ай бұрын

    Majiniazi hawawezagi kuongea sana mzee

  • @PatricalVevo
    @PatricalVevoАй бұрын

    Anaongea nini huyo king'''''asti

  • @isayamsisika6255

    @isayamsisika6255

    Ай бұрын

    Ndio kashasema yakeeeeeeee... Mnaumia.?

  • @RichardRutembesa-ns1kn

    @RichardRutembesa-ns1kn

    Ай бұрын

    ​@@isayamsisika6255unajistukia !!

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Ай бұрын

    Anaongea alivomdate bi mkubwa wako

  • @mustafamsati9599

    @mustafamsati9599

    Ай бұрын

    Yani mashabik wenye chuki hio media inawatesa kinoma mala yakikweteile mala ooh yakikekeile hahaha ushamba tu hata salam menwja tu wa chibu anamedia ni biashara yakawaida tu

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599Ай бұрын

    Kumiliki media sio utajili mkuubwa kwani majizo ni tajili? Au salam SK anamiliki dizim fm ni tajilimkubwa?

  • @karaniomoit5259

    @karaniomoit5259

    Ай бұрын

    ACHA wivu fungua yako

  • @asmahassan5661

    @asmahassan5661

    Ай бұрын

    😂hakika​@@karaniomoit5259

  • @mustafamsati9599

    @mustafamsati9599

    Ай бұрын

    Wanao ponda kiba kufungua take nao wafungue zao kwani salam SK si kafungua yake safi inaitwa dizim FM mbona safi

Келесі