ALIKIBA AMTAJA MMILIKI WA CROWN MEDIA, AWA MBOGO ASEMA " MIMI SIO MPUMBAVU MIMI NDO NIMEWALETEA"
Ойын-сауық
Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Пікірлер: 51
Washamba wanachotaka kiba awe mtu wa nnahelaa mimi tajirii nnanyumba agrei kariakoo ina ghorofa 4 crown FM ni yakwanguu hahaha ushamba ni mzigo yani mtu ili alizike inabidi isikie alikiba hana hata hero la maandazi ila furani anagari
Saluti king kiba👑👑💖💖💖👏👏👍
Tell them 👏
Safi sana
Alo uliza hili swali ndo anae sababisha watangazaji wadogo hawapati nafasi na ajira katika radio kubwa maana wanapelekwa na kiki
Nakukubali sanaa uko sawaaa
Km kumiliki medea siyo utajiri jaribu kuimiliki uone,usiongee vitu ambavyo haujui fuatilia kwanza,uache ujinga...!
Kiba sio mshamba bana😂😂 mtoto wa town huyu hana ushamba wa pesa
Anaga misifaaa😘
mwangu since day one❤
Only one king in EA
Verry humble
The man 4life ❤❤❤
🙌🙌
King kibaa
Huyu jamaa ajui kuongea 😂
Rais WA Crown 👑na king WA bongo fleva yaan hata kuongea kipesa pesa tu kitajiri Tajiri ❤😅
@ashrafrushaka2358
Ай бұрын
Hujui chochote bos...hii dunia ina sir sana usilo lijua ni giza....bakin kudanganywa hivyo hivyo wamiliki wapo bwana wakubwa
@MilkaMziray
Ай бұрын
We ndio mshamba
@zuweinaalhabsya8773
Ай бұрын
@@ashrafrushaka2358 hhhhhh maskin nakuonea huruma unateseka ukiwa wapi hebu tupe habari msemeji wa Familia. Hhhhhh
@ashrafrushaka2358
Ай бұрын
@@zuweinaalhabsya8773 bro..tunza hiyo comment...sku ukiujua ukwel utanitafuta ...mi nilikua nabisha kukuzid wewe ...but ipo siku utafunguliwa macho na akil
😂
Mbna hicho kidevu ni cheusi sana
Sijaelewa
@user-xg5se4sy2t
Ай бұрын
Ndomana maisha yako magumu kwakua sio muelewa
Ajifunze kuongea kwanza😮
Mwamba anatumia akiri kubwa akuluouki
Rich mavoko kapost gari watu wamemzodoa et kaazima hawezi kununua naeweza kununua gari ni jux na watu wa wcb
@FahadAbubakari
Ай бұрын
Watz wengi ni watu maskini wa Mali na fikra mtu akiwa na kitu cha kwanza nikuumia na kutoamini nakutafuta kasoro
@mustafamsati9599
Ай бұрын
Nikweli ndugu yani watu wanateseka utazani ni jambo la ajabu
@FahadAbubakari
Ай бұрын
@@mustafamsati9599 wtz wengi asili yao ni umaskini na tabia ya maskini ni kuwa na chuki na hasira na jambo la mafanikio Leo kila mtu anapambana kujua ile Mali sio ya Kiba ila atangaze na kufurahi maana hawakubali kuona Kiba anajambo la kimaendeleo badala ya kufurahi pale wamepata watu ajira ila mtu anatamani Ata paungue au papoteee
@sarahmuhammed6872
Ай бұрын
Haha😂
Nenda kajieleze wewe
Auna ubunifu wowote wewe mwenye ubunifu ni mond
Alikiba ana pesa sema siyo mtu wa ku show off km Mond,anakula unga anapepesuka nguvu miguuni hana na anapost....!!
@malianonicass7029
Ай бұрын
Chuki na mond... Ila jamaa ni tajilii kweli
Uyu Jama ajui kujieleza
@user-xg5se4sy2t
Ай бұрын
Wewe ukijua inatosha ila sisi tumemuelewa
@princessplatnum4416
Ай бұрын
Wivu utakuua boss
Jamaa hawezagi kujielezea kana hu kana hu kanaushamba😂😂
@Grtudajunior-cw5zp
Ай бұрын
Hupendi mambo mengi sio ushamba
@user-qg8jo6bv1k
Ай бұрын
Majiniazi hawawezagi kuongea sana mzee
Anaongea nini huyo king'''''asti
@isayamsisika6255
Ай бұрын
Ndio kashasema yakeeeeeeee... Mnaumia.?
@RichardRutembesa-ns1kn
Ай бұрын
@@isayamsisika6255unajistukia !!
@fahadfaraj6474
Ай бұрын
Anaongea alivomdate bi mkubwa wako
@mustafamsati9599
Ай бұрын
Yani mashabik wenye chuki hio media inawatesa kinoma mala yakikweteile mala ooh yakikekeile hahaha ushamba tu hata salam menwja tu wa chibu anamedia ni biashara yakawaida tu
Kumiliki media sio utajili mkuubwa kwani majizo ni tajili? Au salam SK anamiliki dizim fm ni tajilimkubwa?
@karaniomoit5259
Ай бұрын
ACHA wivu fungua yako
@asmahassan5661
Ай бұрын
😂hakika@@karaniomoit5259
@mustafamsati9599
Ай бұрын
Wanao ponda kiba kufungua take nao wafungue zao kwani salam SK si kafungua yake safi inaitwa dizim FM mbona safi