HAMZA ISSA NI KTK MADAJALI 30 , SHEKH YUSUF DIWANI
Жүктеу.....
Пікірлер: 200
@achanifumos10933 жыл бұрын
Shaikh yusuf diwan Allah akuhifadhi akupe nyinhi ilimu na akujaalie IKHLAAW...amiin
@issahakizimana50633 жыл бұрын
Uko sawa sheh ubarikie Burundi tunakupenda
@tawhidislam44183 жыл бұрын
ustadh D1 Muko sawa uyo Nabii feki eliasa njaa ndio ina mtesa na imani zaifu ana ninginia katika uislamu na ucristo hana uhakika wala hajui shimo la jahanam gani anaji peleka mwenyewe
@jeddajeead59286 жыл бұрын
ma shaa Allah sheikh mola akulipe awaifadhi nyote awalipe jannti na kwasoteni masshaa Allah jazakaAllah kheir Amiiin.ya rabbi
@KingPrince19176 жыл бұрын
Mwenyezimungu atukinge Na hao wanafki.
@anozacha611
5 жыл бұрын
Amin
@hamudmuhammed536
4 жыл бұрын
amminn kaafirihuyo tuleteenihuku
@jamalrashid74594 жыл бұрын
Subhaana llah M/mungu ametakasika mungu atuepusha ma watu km hao
@omarymchoya78485 жыл бұрын
mtume s. W. alishasema watakuja mitume waongo nandohao washaanza kujitokezea Allah atunusur
@shadiajumaa1826 жыл бұрын
Maashaallah kaka unajua kueleza vizur yani nimekupenda bule
@kinotasontravel38836 жыл бұрын
Asante sheikh diwani
@gabrielfesto10676 жыл бұрын
Hata hamfikii hamza kwa kumsikiliza tuu hamfikii kwa ufaham juu ya quran
@hamudmuhammed5364 жыл бұрын
ndio hao wakina mtume salama laanatullaaaaaah mtoeni kichwaaa
@hamisimwaksei39315 жыл бұрын
mm nanunua kichwa cha hamza kwaajil yakumpwekesha Allah tabaaraka watan-alla
@hamudmuhammed536
4 жыл бұрын
Hamisi Mwaksei allaaaaahu akbaar
@olivermazuma9813 жыл бұрын
poooovuuuuuu luksaaaa kazi kwenuu na badoooo
@sifaali17447 жыл бұрын
mashaallah huyu nabb wa kweye mabox hatumtaki akatafute wafuwas wake uko aliko upata uo unabb wake masheyh munge mfanyia lukia huyu
@andrewnyenza2 жыл бұрын
Huyu ni Nabii wa kweli
@alhamdulillah57966 жыл бұрын
Ni kweli anashaitwan. Ni sawa na yule alozuka kipindi kimoja nakusema ati yy ni Nabii na ameenda mpaka miraji. Na akakutana na Mitume. Akajitia kutoa wasfu wa Mitume pia. Ni mashaitwan tu huwavaa. Sijui wanakua na ubaya gani wanaoufanya kwa siri hadi mashaitwani wabaya km hawa wanawavaa. Allah atuhifadhi, Amiin
@zumbeshauri81146 жыл бұрын
shekhe wangu wala usipate tabu hata neema ya ustadhati hana kabisa yule njaatu hamza inamsumbua
@mlamtv48396 жыл бұрын
Mungu akusaidie akufumbue macho
@Neighborsjiran7 жыл бұрын
Subhanallah
@saleheally46855 жыл бұрын
sheikh yusuf tumekuelewa upo sahihi kabisa" naomba namba zako nataka nijue zaidi imetoa darsa nzito
@aminasaeed9147 жыл бұрын
inalilah wainalilah
@abdallamasoud90956 жыл бұрын
mungu amlani inshallah
@ussikhamisussi48826 жыл бұрын
Hatupaswi kumtolea hukmu ila viongozi waislamu waone kama ni tatizo ktk dini yetu wamuite wakae naye chini wamfahamishe atarudi tu labda kuna mambo kdogo hayaendi sawa ktk mfumo wake wa akili au maisha.
@jumazuberi69
6 жыл бұрын
Sahihi kabisa,Binafsi nina mashaka na elimu yake pia imani yake.
@harrsonarts37476 жыл бұрын
Naomba kujua nabii orijino yukoje na feki yukoje. Ninaamini hata akija wakweli hatuto muamini ,kwamaana kizazi cha sasa ili kiamini kinataka miujiza ishara na ushuhuda hakika tusisubili hayo tutachelewa .shehe Hamza Mungu akuzidishie maarifa kwa sijaona kosa kwako. Cheo siyo tatizo kwetu wenye uelewa hatuangalii cheo ulicho nacho. Bali tunayachukua mafundisho yako nakuya fanyia kazi ili siku ikifika tusiwe wageni mbele za muumba wetu
@husseinmwalim6406
2 жыл бұрын
Akili huna ttzo kafiri mkubw ww
@mkalywagoka9913
2 жыл бұрын
Hakuna nabii Tena ktk Dunia hii Baada Nabii Muhammad
@laythatoman39457 жыл бұрын
Upo saw sheh
@kingsoboropayani51276 жыл бұрын
Allah atulinde nashari za Masihi Dajjal Inshaa Allah
@mohammedmoshe6622
4 жыл бұрын
AMEEN YAA RABBAL AALAMIIN!!!
@aloycesimon13714 жыл бұрын
Mimi nashukuru Shekhe Hamza ametuelezea uislamu ulivyo nafikiri waislamu wengine wameelewa na njia ipo wazi kuja kwa Yesu
@didakassim8666
4 жыл бұрын
😏😏😏😏😏
@halimajuba45857 жыл бұрын
amin yarabi
@shaibumalindi6631
4 жыл бұрын
Ivi nyinyi bodo mnasikilza.huyo chizi
@abduliddy96204 жыл бұрын
inshallah mwlm kwaufaham mzur
@abseleibra24795 жыл бұрын
Ukweli kabisa Hamza Issa sio muislamu anamuandalia njia masih Dhajal
@rahmashaban86937 жыл бұрын
Allahuma inni aghudhubika min ghadhab liqabur wamin ghadhab nnar wamin fitnat limasihi dajjali
@saudashabani9100
7 жыл бұрын
Shekhe Yusuf diwan ninakupenda kwa ajili ya Allah Allah akulipe kila la kheri
@khamissalum1531
6 жыл бұрын
Rahma Shaban amin
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Amiin Yaa Rabbal alamyn
@sultanqaboosbarista6419
5 жыл бұрын
Nkwoulesi
@sultanqaboosbarista6419
5 жыл бұрын
Noresi,com
@muhammadfarijala23247 жыл бұрын
MASHA ALLAH huyo hamza munamnyetea mungemtenganisha na kichwa chake
@babuallyabdallah2964
7 жыл бұрын
Hans Ferrari
@muddathirkassim2407
6 жыл бұрын
BABUALLY ABDALLAH afaakuchinjwa hasaaa huyu muacheni ajidanganye aje kwetu Kenya huyo naunabii wake feki watapoteana na hao maswahaba zake
@shadiajumaa1826 жыл бұрын
Upo sahihi kaka
@kinyagajr23995 жыл бұрын
SHEIKH UMENIACHA KIDOGO NABII ISSA ATARUDI KWA AJILI YA KUKANUSHA KUWA YEYE SI MUNGU IMEANDIKWA KATIKA KITABU GANI CHA DINI....................?
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Nikuomba tu mwisho mwema uyo apitepite uko uko kwawene kucezesha ma Nabi nakuwakanusha
@eliwahavehaeli99384 жыл бұрын
Hana tofauti na anaejiita nabii tito😀
@nasirseif56035 жыл бұрын
naam sheikh
@ludovickharison74065 жыл бұрын
Hamza umenipa maujanja sana unaongea ukweli na siku zote ukweli hupigwa, we issa acha uwongo MUNGU anakuona
@legrandmsangi9789
5 жыл бұрын
Ludovick Harison anaongea ukweli kw ushahid upi.. Quran imeshathibitisha kuw hakuna mtume tena baada ya Muhammad. sis tutamuaminije ss huyo mpuuz.
@mnhamy749
5 жыл бұрын
Huyu ni tapeli tuu check hii kzread.info/dash/bejne/lYt4r6axZpWqgqw.html Wakristo mlio wengi nyinyi ni wepesi kukubali vitu bila uchunguzi.
@remmymhalla33235 жыл бұрын
Katika Mjadala huu bado cjasikia Majibu kuhusu Shahada. Ni kweli kama ziko 3 au ziko Mbili tofauti na SAHIHI BUHARI.
@keazi96384 жыл бұрын
Madali kweli tunawaona sante shehe kwa kunijuza
@hamishemed91795 жыл бұрын
Swadakta
@yusuphjamal68444 жыл бұрын
Tusaidie maalim huyu jamaa anapotoa watu
@akutiboysolomon94186 жыл бұрын
Mtapata taabu sana Nasema mtapata taabu sana
@alikhamis4055
5 жыл бұрын
Na wewe unakuja kupata tabu Sana akhera Pumbavu
@fatimakhalifa1445 жыл бұрын
kweli duniya imemaliza sasa huyo pumbavu na akili zake pungufu huyo
@allymamlo17917 жыл бұрын
Kwenye orodha ya madajari huyo hayupo huyo ni chizi fresh
@alvindax17485 жыл бұрын
Hilo povu
@mariamathuman58626 жыл бұрын
huyu kweli hapaswi kusikilizwa huyu chizi maarifa
@maryamsinganomaryamsingano79387 жыл бұрын
amwogope allah asipotoshe umma kabisa allah atukinge nafitna zahuyu hamza mpotoshaji wa umma lakini atakae mfwata akili hanakabisa
@stanleyoruta3463
6 жыл бұрын
Maryam Singano Maryam Singano Yusuf you are afraid of him because he's saying the truth, Mohammed needs to follow Jesus as his Redeemer, the Qur'an is a narrated story which was composed by the Arabs to oppose christianity , unless you change and accept Jesus you have no future, Hamza is right
@mukashemadjohaly1497
5 жыл бұрын
Sheikh kbsa asante lakini uwo mweda bazimu kumupa nafasi ya kumu ongeya ni kumpa jewuri aka ji sifu ni kumucukuwa kama mweda bazimu
Mbona cc waislam tunakua tunaumiza akili na huyu mtu alowtumwa, allah atuhifadhi na huyu shetani yarabb
@sarahminja72557 жыл бұрын
Huyo hamza issa ni anatafuta kiki kama harmorapa Lol anabidi aitwe hamzarapa a.k.a KiKi
@munirahmed77534 жыл бұрын
Usimpe cheo cha dajali Huyu ni wehu umemuanza
@salmafaraj92936 жыл бұрын
Sheikh yusuf ombi langu mm ni mumkaribishe kwenu shekh hamza ili mumpe elimu iliyo sawa na ishallah ataelewa kwani wanaelewa makafiri atakua yeye?Allah atuongoze sote waja wake
@alimaalima60167 жыл бұрын
hii yake kali
@perrychicken58767 жыл бұрын
Huyu hamza ana tamaa yadunia
@francinensavyimana56014 жыл бұрын
Kabisa hatuna ata muda wakumusikiya uyo tapeli
@alliabdullah61805 жыл бұрын
Labda wakuristo wanaweza kumpokea ila huku kumejaa hakuna nafasi tena waliziwahi kina musa,ibrahim,issa,mpaka kifunga mlango cha mitume al habiib mohammad s,a,w.chezea uislam wewe!!!!!!!!
@financialloan9818
5 жыл бұрын
Ukiulizwa ilo neno issa walikua wanamuita nchi gani sijui utajibu nn maana ata aho Wayahudi awamuiti issa aho waharabu awamuiti issa sasa ww apo unafata mkumbo tuu mnadanganywa kama mazuzu vile
@yassindeffu887 жыл бұрын
duh nimeshangaa kusikia huyu bwana pamoja na unabii feki eti anamaswahaba hawa wameritad
@muslihmohd94204 жыл бұрын
Yani ni bora aishie uko uko lakini akikanyaga tu Zanzibar atarudi mwili mtupu bila kichwa kama hatutamtupa baharini kama farao
@financialloan98185 жыл бұрын
Waislam mnapoteza mda tuu apo kuinama inamana na kuvaa makanzi yesu sio issa uyo issa ni wenu tuu mnaogopa mnaona watu wanaujua ukweli kwa sasa
@pericykiko6198
5 жыл бұрын
Nisaidie Financial Kuna watu wako kimwili zaidi na ndio maana wanaona kuitwa wengine makafiri ndo dini, wasafi ni wao wasiojua kutofautisha kati ya msikitini na kaburini wapi ni sehemu takatifu naeongozwa na Roho atakuambia msikitini ndo sehem takatifu, Cha kushangazwa msikitini wanaingia bila kukamuliwa uchafu tumboni lkn anesindikizwa kaburini anakamuliwa, na wakati maisha ya peponi maandalizi yake ni msikitini na sio kaburini Sasa je wenyewe sio makafiri ilihali wanaingia msikitini na uchafu tumboni?
@pericykiko6198
5 жыл бұрын
Nisaidie Financial Kuna watu wako kimwili zaidi na ndio maana wanaona kuitwa wengine makafiri ndo dini, wasafi ni wao wasiojua kutofautisha kati ya msikitini na kaburini wapi ni sehemu takatifu naeongozwa na Roho atakuambia msikitini ndo sehem takatifu, Cha kushangazwa msikitini wanaingia bila kukamuliwa uchafu tumboni lkn anesindikizwa kaburini anakamuliwa, na wakati maisha ya peponi maandalizi yake ni msikitini na sio kaburini Sasa je wenyewe sio makafiri ilihali wanaingia msikitini na uchafu tumboni?
@financialloan9818
5 жыл бұрын
@@pericykiko6198 awana akili awa sasa wanakamua maiti wkt inaenda kuliwa na wadudu eti wanasema kaburini kuna adhabu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂waislam wametudanganya sisi jamanii Mimi nakumbuka wkt nipo mtoto wamenidanganya awa mpaka nikataja kwenda chuoni kwao kusoma Qrn baba nikapata mume wa kiislam baba akaniita akanikaambia mambo mazito Atari tena ya maana nikamjibu baba sawa nimekuelewa nikamwambia Yule bwana aiwezekani tenaa tukaishia apo mpaka Leo nikienda kijijini bwana akiniona chozi linamtoka maana ahamini kbs yy kachokaa Mimi ndio kwanza nachipukia mbichiii mtamuuu baba ananiambia unaona sasa mwanangu ungeolewa saiz ushazalishwa na waslam.wkt saiz apa nipo UK na maisha yamebadilika upande wngu na wachumba kila siku wanakuja nakataa Mimi tuu
@@pericykiko6198 amen wangu lzm tusimame kuwastop awa watu wanao tangaza dini fake maana wanaualibu ulimwengu njia ipo wazi kbs ni yesu so amna njia ingine
@ishaq99255 жыл бұрын
njaa tyuu iyo mwache akachomwe
@mtamilanyambalo92616 жыл бұрын
Tatizo wewe unatokwa na povu Sana, alafu ujui chochote ni kama muimba taarabu za sasa. Mbona na wewe mzee wa kiki.
@gospalflavour7304
5 жыл бұрын
Hahahaaa
@legrandmsangi9789
5 жыл бұрын
mtamila ww ni mpumbvu.. sis tunaongzwa na quran na si wtu kam nyinyi. mfno papa wa kanisa katolik amehalalisha ushoga lkn bibilia inakataza. wala hakun alomkemea na ameshafungsha ndoa kibao. ni waz mnaongzw na watu na si kitabu. sis tunaongzw na kitabu ndo maana akitokea mtu na kujiita nabii lazma turejee ktk kitabu tuone kinasema nn.. na Mungu kashasema ktk Quran kuwa Muhammad ndie mtume wake wa mwsho na nd hitimisho la manabii ndo mana huyo hamza sis tunampinga. nyinyi aminin kitabu chenu cheny makosa zaid ya 1000 mtabarikiw sana
@mrsliverpool4235
5 жыл бұрын
Acha ufala wewe ukristo unaufata umeletwa na Paulo mfuasi Wa shetani baada ya kuasi masihi bin mariam. Na huna andika Katika bibilia linalosema yesu kaleta ukristo. We mtamila jua hakuna nabii Tena atakae Kuja labda kwa NJAA zake.
@allynyoni45874 жыл бұрын
Yule mpumbavu tu Asiwasu mbue mashekhe waku pingwa bakola Ajui haliongearo rambe lipo nyuma na la nyuma liko mbele Qur hani yenyewe haijui kuitamka fathaa
@muqadaexpert29667 жыл бұрын
Hakika anatafuta kiki majununi mkubwa huyo (hamza kilaza)
@maimunasaidi4920
5 жыл бұрын
hatafuti kiki anatafuta wajinga watokaompa sadaka maana anadhani waislam ni wajinga kama wao wanaofunguliwa makanisa kila kukicha ili wapate sadaka'sasa kila akitafuta wafuasi hapati anawapata hao wajinga wenzie, wanaomsapoti, namshauri aanzishe k anisa atafaidi kuliko huku katika uislam atasubiri sana,
@dennisthomas81646 жыл бұрын
ww mwongo bwana ,Yesu akirejea ujue mwisho wa dunia ,
@canoksancomprehensivelearn7182
6 жыл бұрын
dennis Thomas huhusiki katika uislamu. Uislamu ndio dini pekee ya kielimu na waislam hawadanganywi na hata Kama ni sheikh mwongo hupigwa na waumini ila wengine nyie mtapita shida nikiingiza katika mambo ya waislam hakuna kumkubali mtu ajifanye nabii na Mtume kama mlio nao wa upako wanakutapelini maana nyinyi mwaamini bila kutoka wala kutumia ushahidi WA vitabu vya kielimu.
@hansiselemani8025
6 жыл бұрын
wakrsto Hamna elimu,,vitab mnavsoma ila nimaneno ya watu,,
@hansiselemani8025
6 жыл бұрын
wakrsto Hamna elimu,,vitab mnavsoma ila nimaneno ya watu,,kama biblia nkitab cha Cheng manen ya wat
@barutiabuu294
6 жыл бұрын
Yule jamaa nikafir na kwaupeo wang mimi yule katumwa sio bure au akili zimeanza kutoka halaf isitoshe anasapotiwa navija ambao akilizao nindog zaid yayeye kias ambacho wanayo yazungumza hata mtoto mdog hawez wasikiliza kwanza hawakusoma nielim ambayo hatamimi nusuyake ninayo na utazame hata anapoulizwa maswal kujibu hawez wala kusoma kurani vizur hajui sasa huyu mtazameni nikafir na ametumwa nakama hakutumwa bas umaskini wake unampelekea kubaya namjuwa vizur kwasababu yuko nandug yang tunaetoka kijiji kimoja wanataka kutafuta umaaruf kwakupitia uislam nakujipatia kipato kwakupitia uislam watu kama hawa nikupewa azab inayostahir
@jumaharuna98996 жыл бұрын
Achunguzwe akili
@alhamdulillah57966 жыл бұрын
HAFAI KUINGIA MISIKITINI. NI MNAFIK
@abdulpaku50517 жыл бұрын
Hamza alkadhaab 😅😅
@elliudmichael54875 жыл бұрын
Sikuelewi jombii,,,,,,,,nyinyi ndio mnaosema yesu hakufufuka sasa iweje Leo wasema mtume alisema nabii atakaerudi ni issah (yesu) sasa mbona siwaelewi mnanichanganya sasa
@ludovickharison7406
5 жыл бұрын
Elliud Michael wanasubiri KRISTO arudi ndiyo waijue kwheeli
@pericykiko6198
5 жыл бұрын
Huwezi kumuelewa mtu asieongozwa na Roho mtakatifu Elliud
@eugenyurassa2183
4 жыл бұрын
Elliud Michael wote siwelewii!!! wanatuchanganya Kama wanasiasa!Mungu anawaona
@chuinbonden8734
4 жыл бұрын
Fuata wasomi utaelewa
@moodyhassany89286 жыл бұрын
isa kurudi tusahau
@pericykiko6198
5 жыл бұрын
Moody kurudi kwa Yesu Kuna dalili za mwanza kabisa zishaanza kujitokeza tunatakiwa tutubu dalili za mwisho atakua keshatoka kwenye kiti Cha rehema hata uombe hutasikiwa ndo wakati wa njaa na kiu si ya chakula bali ni neno la Mungu
HAHAHAHAH AU NDO NYINYI MANABII WAIONGO UNAPOTEA NDUGU UTAKUFA KIFO CHA KUKU MAANA UTALIWA WAGENI WAKIFIKA NYUMBANI SASA OKOKA NDUGU
@cupcakesanddounuts65556 жыл бұрын
Mtu kuwa nabii sio vibaya isipokuwa anatumia kitabu ganiiiiiiiiii??????????
@raphaelkimaro17534 жыл бұрын
wewe hata hujielewi mzee. kwani hamza si amesoma kwenye madrasa yanu tuu.
@gospalflavour73045 жыл бұрын
Qur'an yenu inawadanganya kusema Jesus atakuja kuishi kama binaadam wakawaida.Mwogopeni Mungu jamanii
@legrandmsangi9789
5 жыл бұрын
Dr Joel Justin Mhavile quran haiongopi na haitaongopa kamwe. yesu atarud tu kw mujibu wa quran. kitabu chenu nd kinaongopa na kuwaongza vbya. maandko hayaeleweki, kitabu hakijitoshelezi. yaani ni upotofu. 15;18 wakorinho wa kwnza. na hapo wao waliolala ktk kristo wamepotea. hakika umepotea ndgu
@gospalflavour7304
5 жыл бұрын
Mdogo nimdogo tuu siku zote.quraan haijapata popote maneno ya jesus isipokuwa kutoka kwene biblia.unasemaje kuwa haieleweki.Kile nikitabu cha mambo yarohoni ndiomana huwez kukielewa.Nyie mmebez kwene mambo yamwili sana.Hicho ndio kitendawili kwenu. Jesus haji kuishi kawaida kama mnavyodhania.Yule nimfalme na alikiri kwakinywa chake Mamlaka yote ya mbinguni na duniani kapewa yeye.Someni Biblia kwani Muhammad swalaleh wa saalam amewaeleza vzr tuu.ikiwa kuna mengine hamjayaelewa waulizeni wale wanaoijua biblia takatifu.Na yee pia alichukua vifungu kwene biblia.Upo shehe wangu?
@gospalflavour7304
5 жыл бұрын
Papa asikutishe kwalolote.waroma ndio walioanzisha upinga kristo kama ulikuwa hujui.Alaf wao wanamwabudu Mungu mwanamke bila wao kukua kama ulikuwa hujui nawewe. ndio maana sala zao zimeegemea sana kwa mwanamke. Fwatilia historia yao vzr. wanamchanganya Yesu na Mwanamke ambae kimsingi ni moja ya miungu.Na Mungu katuagiza tumwabudu yeye pekee.so usibabaishwe na waroman. ila nawewe usilewe na uislam au quraan pekee.kubali ukatae Jesus is coming to pic his people.And to save israel only.wengine waliomkana watapata tab sana wakibali ktk hii dunia
Mnahangaika kumjibu mpumbavu? Mwacheni afuatwe na wapumbavu wenzie!
@rahemarehema1490
6 жыл бұрын
Amiin yarabi amin
@pascalirafaeli1122
5 жыл бұрын
kama mnaona anapotosha cmumuite azibitishe anayosema hamza . namambo yakimungu ucfananishe nauwongozi wamarais . kasomen huko mjue ukweli mnao waficha wasiojua
@chillogeorge13836 жыл бұрын
Hivi kosa la Hamza ni lipi?? Kutangaza habari za Issa ndio kosa lake?? Halafu usipoteshe ukweli, kwa kusema Nabii Issa atarudi kama mtu wa kawaida. quran inaonyesha Issa atarudi kama HAKIMU tena MUADILIFU... Ni wazi kabisa Quran inasema atarudi kama 'Hakimu' kwa sababu atakuja kuhukumu, maana haihitaji Hakimu ili kuja tu kuwakanusha watu wa imani fulani. Quran imesema jambo moja la msingi... ATARUDI KAMA HAKIMU TENA (SIO TU HAKIMU JINA) BALI MUADILIFU. Ndg yangu mwenye akili timamu, jiandae kukutana na huyu Hakimu Muadilifu. Huyu ndie atakae ihukumu dunia na kila aliewahi kuishi duniani. Huyu hatokuwa 'raisi mstaafu' kama anavyodanganya Ustaadh huyu. Issa atakuwa na Mamlaka kuu kuliko mitume na manabii na vinyamkela wote waliowahi kutokea. Na ndio maana alipaa mbinguni na hayuko kaburini kama mitume wengine wote waliopata kutokea ambao wanamsubiri yeye tu ili awafufue na kuwahukumu. Dunia inamsubiri yeye tu Bwana Mkubwa. Bwana Yesu anawapenda sana. Mtafuteni wakati angali bado anapatikana...
@muhammedrashidy2823
6 жыл бұрын
Chillo George pole sana mungu awaongoze wewe na askofu hamza.
@hansiselemani8025
6 жыл бұрын
wakrist moton
@halimahamis5866
6 жыл бұрын
+Muhammed Rashidy achana na nguchilo hao,hawajitabui!alla awafumbue macho onsha alla.
@nasirseif5603
5 жыл бұрын
Chillo George huelew Quran
@anozacha611
5 жыл бұрын
@@halimahamis5866 kweli 👊👊👊👊👊👊👊
@aeroportonissan80777 жыл бұрын
muache atangaze uislamu kwa kutumia anachoona kuwa yupo sahihi.
@shuwehaharunaomariikwena233
7 жыл бұрын
dini yake yenyewe huijui je hii dini ya mwenyzimung utaijua
@fatumamwalimu5765
7 жыл бұрын
+aeroporto Nissan,wewe unaongea,hau unaota? yani aachwe vipi wakati anapotosha umma
Huho anaotangaza yy ni ukafir sio uislam ww acha pumba
@GloriousRestorationTV6 жыл бұрын
Muhammad ni nini? Quran iliandikwa lini? quran ni usanii mtupu, huwezi ukalinganisha na Bible. Bible ni kongwe sana kulko hicho kitabu chenu ndio maana mmekopi maneno yake. Waongo wakubwa sana nyie wote, na Hamza wenu, tubuni maana Yesu anawapenda sana. Huyo ni feki, nanyi ni Feki pia na wote Yesu aliwatabili
@alikhamis4055
5 жыл бұрын
Hata huyo yesu atarudi kwa watu Kama wewe uleyekuwa hujielewi,yesu hakuja na bibilia wazungu wamekupiga bao la kisigino. Pumbavu we
@ntopangonyani6964
5 жыл бұрын
Na mimi nikuulize swali kama hili: biblia nini na iliandikwa na nani na lini iliandikwa?.
@maajabutv8026
5 жыл бұрын
Mbwa we usiojua lolote
@mwawekomiuda4632
5 жыл бұрын
Wacha kuropoka ww. Bibiliavyako ndio maneno yabuxushi achana na Qursn kabisa tena kaa nayo mbali kafiri mkubwa wewe
@ramadhanmussa6318
5 жыл бұрын
Samson Ally we hauna dini NI kafiri Kama hamza
@gabrielfesto10676 жыл бұрын
Maneno yako umeyafosfos sana ili kumpinga,mm sjakuelewa.
@djwitty4998
6 жыл бұрын
Ambacho haujaelw nn xx hapo
@halimahalim38167 жыл бұрын
Mashetani wamemvuruga kichwa huyo msaidieni mashehe kumsomea ruqia nabii atakua yeye bwana hata kur ani hajui
@halimahalim3816
7 жыл бұрын
Anamashetani huyo
@rapafata1108
6 жыл бұрын
Kama walivomvuruga mwenzio kule pangoni
@iddimgeni7964
6 жыл бұрын
Halima Halim swadakta Ukhutiy
@gabrielfesto10676 жыл бұрын
Maelezo ya huyu jamaa hayaingii hata kwa akili ya kawaida
@geja87086 жыл бұрын
Mashk mchunguzen huyo jamaa kwanza isije ikawa ni kafir aliepelekwa kwenda kusoma kiarabu tu aje awavuruge waumin
@frenkmushi6865 жыл бұрын
Mbeleka upumbavu uko mmekalia ubixhi tu unaongea pumba tupu
@yasiniselemani24127 жыл бұрын
kuna mengi ametufunza kuhusu akhirzaman. tuone na mazur yake pia
@kitotaabdillahi4609
6 жыл бұрын
YASINI SELEMANI amekufunza kitu gani wewe? Acha hizo mambo, huyo hajui kitu.... Unadhihirisha na wewe kumbe hujui kitu.
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
YASINI SELEMANI, Amekufunza kp kilichokua hakijaelezwa kwenye Qur-an?
@hassanimakuka39225 жыл бұрын
Huyo hamza kafiri
@sxmxonlysamx50366 жыл бұрын
Huyu ni kafiri na kumchinja haupati dhambi hakinya uslam anastahiki iidaaam
@financialloan98185 жыл бұрын
Wafuga majini utawajua tuu vichwa mbumbu kwanza yesu sio issa ilo lzm muelewe ilo jina la issa alikua anaitwa nchi gani maana ata aho waharabu awamuiti issa.pili nakuona zuzu mnoo kvp yesu aludi kama mtu wa kawaida kvp yn?mtu alikufa akafufuka na kupaa mbinguni alafu aje dunian tena kama mtu wa kawaida?mpaka apo nakuona akili zko fupi kama bible imesema yesu anakuja kunyakua watu wake tena anakuja na malaika ww Mpumbavu unasema anakuja kama mtu wa kawaida:?inamana nynyi ndo wapinga kristo mnakata maneno ya bible wkt uyo Mohammed wenu kazaliwa kaikuta bible tena miaka 2000 imepita Alafu nyinyi mnatuambia ujinga wenu apa.hamza anawaambia ukweli maana nyinyi mnawadanganya watu hamza anawaambia njia ni moja tuuu yesu basiii kama ujamfata yy ata uswali mama 50 kwa siku ni kazi bureeeeeeee
Hamza yupo sahh muachen atangeze nikwamba anachotanga kile alicho kisoma na ndicho alicho kielewa nyie masoma halagu mnageuza maneno hamza ameongea ukwer hyo
@shabanmgonella9902
6 жыл бұрын
Mashauzi Andrea basi wakanushe kwa aya maneno aliyoyasema hamza mbn hamkanushi mnaishia kumlaumu to hamza yupo sahihi kabisaaaa acheni hamza atoe ukwl maku nyie
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Shaban Mgonella, mashekh wampe makanusho mara ngapi?
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Mashauzi Andrea wewe sio musilim kwahiyo nyamaza
@mwawekomiuda4632
5 жыл бұрын
Ukweli kwa savabu makafiri weshazoea kuitikia enen kila wabaloambiwa sikuhangai kumuona yuko sawa
Пікірлер: 200
Shaikh yusuf diwan Allah akuhifadhi akupe nyinhi ilimu na akujaalie IKHLAAW...amiin
Uko sawa sheh ubarikie Burundi tunakupenda
ustadh D1 Muko sawa uyo Nabii feki eliasa njaa ndio ina mtesa na imani zaifu ana ninginia katika uislamu na ucristo hana uhakika wala hajui shimo la jahanam gani anaji peleka mwenyewe
ma shaa Allah sheikh mola akulipe awaifadhi nyote awalipe jannti na kwasoteni masshaa Allah jazakaAllah kheir Amiiin.ya rabbi
Mwenyezimungu atukinge Na hao wanafki.
@anozacha611
5 жыл бұрын
Amin
@hamudmuhammed536
4 жыл бұрын
amminn kaafirihuyo tuleteenihuku
Subhaana llah M/mungu ametakasika mungu atuepusha ma watu km hao
mtume s. W. alishasema watakuja mitume waongo nandohao washaanza kujitokezea Allah atunusur
Maashaallah kaka unajua kueleza vizur yani nimekupenda bule
Asante sheikh diwani
Hata hamfikii hamza kwa kumsikiliza tuu hamfikii kwa ufaham juu ya quran
ndio hao wakina mtume salama laanatullaaaaaah mtoeni kichwaaa
mm nanunua kichwa cha hamza kwaajil yakumpwekesha Allah tabaaraka watan-alla
@hamudmuhammed536
4 жыл бұрын
Hamisi Mwaksei allaaaaahu akbaar
poooovuuuuuu luksaaaa kazi kwenuu na badoooo
mashaallah huyu nabb wa kweye mabox hatumtaki akatafute wafuwas wake uko aliko upata uo unabb wake masheyh munge mfanyia lukia huyu
Huyu ni Nabii wa kweli
Ni kweli anashaitwan. Ni sawa na yule alozuka kipindi kimoja nakusema ati yy ni Nabii na ameenda mpaka miraji. Na akakutana na Mitume. Akajitia kutoa wasfu wa Mitume pia. Ni mashaitwan tu huwavaa. Sijui wanakua na ubaya gani wanaoufanya kwa siri hadi mashaitwani wabaya km hawa wanawavaa. Allah atuhifadhi, Amiin
shekhe wangu wala usipate tabu hata neema ya ustadhati hana kabisa yule njaatu hamza inamsumbua
Mungu akusaidie akufumbue macho
Subhanallah
sheikh yusuf tumekuelewa upo sahihi kabisa" naomba namba zako nataka nijue zaidi imetoa darsa nzito
inalilah wainalilah
mungu amlani inshallah
Hatupaswi kumtolea hukmu ila viongozi waislamu waone kama ni tatizo ktk dini yetu wamuite wakae naye chini wamfahamishe atarudi tu labda kuna mambo kdogo hayaendi sawa ktk mfumo wake wa akili au maisha.
@jumazuberi69
6 жыл бұрын
Sahihi kabisa,Binafsi nina mashaka na elimu yake pia imani yake.
Naomba kujua nabii orijino yukoje na feki yukoje. Ninaamini hata akija wakweli hatuto muamini ,kwamaana kizazi cha sasa ili kiamini kinataka miujiza ishara na ushuhuda hakika tusisubili hayo tutachelewa .shehe Hamza Mungu akuzidishie maarifa kwa sijaona kosa kwako. Cheo siyo tatizo kwetu wenye uelewa hatuangalii cheo ulicho nacho. Bali tunayachukua mafundisho yako nakuya fanyia kazi ili siku ikifika tusiwe wageni mbele za muumba wetu
@husseinmwalim6406
2 жыл бұрын
Akili huna ttzo kafiri mkubw ww
@mkalywagoka9913
2 жыл бұрын
Hakuna nabii Tena ktk Dunia hii Baada Nabii Muhammad
Upo saw sheh
Allah atulinde nashari za Masihi Dajjal Inshaa Allah
@mohammedmoshe6622
4 жыл бұрын
AMEEN YAA RABBAL AALAMIIN!!!
Mimi nashukuru Shekhe Hamza ametuelezea uislamu ulivyo nafikiri waislamu wengine wameelewa na njia ipo wazi kuja kwa Yesu
@didakassim8666
4 жыл бұрын
😏😏😏😏😏
amin yarabi
@shaibumalindi6631
4 жыл бұрын
Ivi nyinyi bodo mnasikilza.huyo chizi
inshallah mwlm kwaufaham mzur
Ukweli kabisa Hamza Issa sio muislamu anamuandalia njia masih Dhajal
Allahuma inni aghudhubika min ghadhab liqabur wamin ghadhab nnar wamin fitnat limasihi dajjali
@saudashabani9100
7 жыл бұрын
Shekhe Yusuf diwan ninakupenda kwa ajili ya Allah Allah akulipe kila la kheri
@khamissalum1531
6 жыл бұрын
Rahma Shaban amin
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Amiin Yaa Rabbal alamyn
@sultanqaboosbarista6419
5 жыл бұрын
Nkwoulesi
@sultanqaboosbarista6419
5 жыл бұрын
Noresi,com
MASHA ALLAH huyo hamza munamnyetea mungemtenganisha na kichwa chake
@babuallyabdallah2964
7 жыл бұрын
Hans Ferrari
@muddathirkassim2407
6 жыл бұрын
BABUALLY ABDALLAH afaakuchinjwa hasaaa huyu muacheni ajidanganye aje kwetu Kenya huyo naunabii wake feki watapoteana na hao maswahaba zake
Upo sahihi kaka
SHEIKH UMENIACHA KIDOGO NABII ISSA ATARUDI KWA AJILI YA KUKANUSHA KUWA YEYE SI MUNGU IMEANDIKWA KATIKA KITABU GANI CHA DINI....................?
Nikuomba tu mwisho mwema uyo apitepite uko uko kwawene kucezesha ma Nabi nakuwakanusha
Hana tofauti na anaejiita nabii tito😀
naam sheikh
Hamza umenipa maujanja sana unaongea ukweli na siku zote ukweli hupigwa, we issa acha uwongo MUNGU anakuona
@legrandmsangi9789
5 жыл бұрын
Ludovick Harison anaongea ukweli kw ushahid upi.. Quran imeshathibitisha kuw hakuna mtume tena baada ya Muhammad. sis tutamuaminije ss huyo mpuuz.
@mnhamy749
5 жыл бұрын
Huyu ni tapeli tuu check hii kzread.info/dash/bejne/lYt4r6axZpWqgqw.html Wakristo mlio wengi nyinyi ni wepesi kukubali vitu bila uchunguzi.
Katika Mjadala huu bado cjasikia Majibu kuhusu Shahada. Ni kweli kama ziko 3 au ziko Mbili tofauti na SAHIHI BUHARI.
Madali kweli tunawaona sante shehe kwa kunijuza
Swadakta
Tusaidie maalim huyu jamaa anapotoa watu
Mtapata taabu sana Nasema mtapata taabu sana
@alikhamis4055
5 жыл бұрын
Na wewe unakuja kupata tabu Sana akhera Pumbavu
kweli duniya imemaliza sasa huyo pumbavu na akili zake pungufu huyo
Kwenye orodha ya madajari huyo hayupo huyo ni chizi fresh
Hilo povu
huyu kweli hapaswi kusikilizwa huyu chizi maarifa
amwogope allah asipotoshe umma kabisa allah atukinge nafitna zahuyu hamza mpotoshaji wa umma lakini atakae mfwata akili hanakabisa
@stanleyoruta3463
6 жыл бұрын
Maryam Singano Maryam Singano Yusuf you are afraid of him because he's saying the truth, Mohammed needs to follow Jesus as his Redeemer, the Qur'an is a narrated story which was composed by the Arabs to oppose christianity , unless you change and accept Jesus you have no future, Hamza is right
@mukashemadjohaly1497
5 жыл бұрын
Sheikh kbsa asante lakini uwo mweda bazimu kumupa nafasi ya kumu ongeya ni kumpa jewuri aka ji sifu ni kumucukuwa kama mweda bazimu
Huyo msiongee nae nikafiri mnapo ongea nae mnampaisha au mnamuongezea kiki
Allah atunusu na fitna za masihi dajaliy🤲🤲
@mohammedmoshe6622
4 жыл бұрын
AMEEN SOTE
Mbona cc waislam tunakua tunaumiza akili na huyu mtu alowtumwa, allah atuhifadhi na huyu shetani yarabb
Huyo hamza issa ni anatafuta kiki kama harmorapa Lol anabidi aitwe hamzarapa a.k.a KiKi
Usimpe cheo cha dajali Huyu ni wehu umemuanza
Sheikh yusuf ombi langu mm ni mumkaribishe kwenu shekh hamza ili mumpe elimu iliyo sawa na ishallah ataelewa kwani wanaelewa makafiri atakua yeye?Allah atuongoze sote waja wake
hii yake kali
Huyu hamza ana tamaa yadunia
Kabisa hatuna ata muda wakumusikiya uyo tapeli
Labda wakuristo wanaweza kumpokea ila huku kumejaa hakuna nafasi tena waliziwahi kina musa,ibrahim,issa,mpaka kifunga mlango cha mitume al habiib mohammad s,a,w.chezea uislam wewe!!!!!!!!
@financialloan9818
5 жыл бұрын
Ukiulizwa ilo neno issa walikua wanamuita nchi gani sijui utajibu nn maana ata aho Wayahudi awamuiti issa aho waharabu awamuiti issa sasa ww apo unafata mkumbo tuu mnadanganywa kama mazuzu vile
duh nimeshangaa kusikia huyu bwana pamoja na unabii feki eti anamaswahaba hawa wameritad
Yani ni bora aishie uko uko lakini akikanyaga tu Zanzibar atarudi mwili mtupu bila kichwa kama hatutamtupa baharini kama farao
Waislam mnapoteza mda tuu apo kuinama inamana na kuvaa makanzi yesu sio issa uyo issa ni wenu tuu mnaogopa mnaona watu wanaujua ukweli kwa sasa
@pericykiko6198
5 жыл бұрын
Nisaidie Financial Kuna watu wako kimwili zaidi na ndio maana wanaona kuitwa wengine makafiri ndo dini, wasafi ni wao wasiojua kutofautisha kati ya msikitini na kaburini wapi ni sehemu takatifu naeongozwa na Roho atakuambia msikitini ndo sehem takatifu, Cha kushangazwa msikitini wanaingia bila kukamuliwa uchafu tumboni lkn anesindikizwa kaburini anakamuliwa, na wakati maisha ya peponi maandalizi yake ni msikitini na sio kaburini Sasa je wenyewe sio makafiri ilihali wanaingia msikitini na uchafu tumboni?
@pericykiko6198
5 жыл бұрын
Nisaidie Financial Kuna watu wako kimwili zaidi na ndio maana wanaona kuitwa wengine makafiri ndo dini, wasafi ni wao wasiojua kutofautisha kati ya msikitini na kaburini wapi ni sehemu takatifu naeongozwa na Roho atakuambia msikitini ndo sehem takatifu, Cha kushangazwa msikitini wanaingia bila kukamuliwa uchafu tumboni lkn anesindikizwa kaburini anakamuliwa, na wakati maisha ya peponi maandalizi yake ni msikitini na sio kaburini Sasa je wenyewe sio makafiri ilihali wanaingia msikitini na uchafu tumboni?
@financialloan9818
5 жыл бұрын
@@pericykiko6198 awana akili awa sasa wanakamua maiti wkt inaenda kuliwa na wadudu eti wanasema kaburini kuna adhabu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂waislam wametudanganya sisi jamanii Mimi nakumbuka wkt nipo mtoto wamenidanganya awa mpaka nikataja kwenda chuoni kwao kusoma Qrn baba nikapata mume wa kiislam baba akaniita akanikaambia mambo mazito Atari tena ya maana nikamjibu baba sawa nimekuelewa nikamwambia Yule bwana aiwezekani tenaa tukaishia apo mpaka Leo nikienda kijijini bwana akiniona chozi linamtoka maana ahamini kbs yy kachokaa Mimi ndio kwanza nachipukia mbichiii mtamuuu baba ananiambia unaona sasa mwanangu ungeolewa saiz ushazalishwa na waslam.wkt saiz apa nipo UK na maisha yamebadilika upande wngu na wachumba kila siku wanakuja nakataa Mimi tuu
@pericykiko6198
5 жыл бұрын
@@financialloan9818 nimekupenda bure barikiwa Sana, hua nakufatilia vilivyo
@financialloan9818
5 жыл бұрын
@@pericykiko6198 amen wangu lzm tusimame kuwastop awa watu wanao tangaza dini fake maana wanaualibu ulimwengu njia ipo wazi kbs ni yesu so amna njia ingine
njaa tyuu iyo mwache akachomwe
Tatizo wewe unatokwa na povu Sana, alafu ujui chochote ni kama muimba taarabu za sasa. Mbona na wewe mzee wa kiki.
@gospalflavour7304
5 жыл бұрын
Hahahaaa
@legrandmsangi9789
5 жыл бұрын
mtamila ww ni mpumbvu.. sis tunaongzwa na quran na si wtu kam nyinyi. mfno papa wa kanisa katolik amehalalisha ushoga lkn bibilia inakataza. wala hakun alomkemea na ameshafungsha ndoa kibao. ni waz mnaongzw na watu na si kitabu. sis tunaongzw na kitabu ndo maana akitokea mtu na kujiita nabii lazma turejee ktk kitabu tuone kinasema nn.. na Mungu kashasema ktk Quran kuwa Muhammad ndie mtume wake wa mwsho na nd hitimisho la manabii ndo mana huyo hamza sis tunampinga. nyinyi aminin kitabu chenu cheny makosa zaid ya 1000 mtabarikiw sana
@mrsliverpool4235
5 жыл бұрын
Acha ufala wewe ukristo unaufata umeletwa na Paulo mfuasi Wa shetani baada ya kuasi masihi bin mariam. Na huna andika Katika bibilia linalosema yesu kaleta ukristo. We mtamila jua hakuna nabii Tena atakae Kuja labda kwa NJAA zake.
Yule mpumbavu tu Asiwasu mbue mashekhe waku pingwa bakola Ajui haliongearo rambe lipo nyuma na la nyuma liko mbele Qur hani yenyewe haijui kuitamka fathaa
Hakika anatafuta kiki majununi mkubwa huyo (hamza kilaza)
@maimunasaidi4920
5 жыл бұрын
hatafuti kiki anatafuta wajinga watokaompa sadaka maana anadhani waislam ni wajinga kama wao wanaofunguliwa makanisa kila kukicha ili wapate sadaka'sasa kila akitafuta wafuasi hapati anawapata hao wajinga wenzie, wanaomsapoti, namshauri aanzishe k anisa atafaidi kuliko huku katika uislam atasubiri sana,
ww mwongo bwana ,Yesu akirejea ujue mwisho wa dunia ,
@canoksancomprehensivelearn7182
6 жыл бұрын
dennis Thomas huhusiki katika uislamu. Uislamu ndio dini pekee ya kielimu na waislam hawadanganywi na hata Kama ni sheikh mwongo hupigwa na waumini ila wengine nyie mtapita shida nikiingiza katika mambo ya waislam hakuna kumkubali mtu ajifanye nabii na Mtume kama mlio nao wa upako wanakutapelini maana nyinyi mwaamini bila kutoka wala kutumia ushahidi WA vitabu vya kielimu.
@hansiselemani8025
6 жыл бұрын
wakrsto Hamna elimu,,vitab mnavsoma ila nimaneno ya watu,,
@hansiselemani8025
6 жыл бұрын
wakrsto Hamna elimu,,vitab mnavsoma ila nimaneno ya watu,,kama biblia nkitab cha Cheng manen ya wat
@barutiabuu294
6 жыл бұрын
Yule jamaa nikafir na kwaupeo wang mimi yule katumwa sio bure au akili zimeanza kutoka halaf isitoshe anasapotiwa navija ambao akilizao nindog zaid yayeye kias ambacho wanayo yazungumza hata mtoto mdog hawez wasikiliza kwanza hawakusoma nielim ambayo hatamimi nusuyake ninayo na utazame hata anapoulizwa maswal kujibu hawez wala kusoma kurani vizur hajui sasa huyu mtazameni nikafir na ametumwa nakama hakutumwa bas umaskini wake unampelekea kubaya namjuwa vizur kwasababu yuko nandug yang tunaetoka kijiji kimoja wanataka kutafuta umaaruf kwakupitia uislam nakujipatia kipato kwakupitia uislam watu kama hawa nikupewa azab inayostahir
Achunguzwe akili
HAFAI KUINGIA MISIKITINI. NI MNAFIK
Hamza alkadhaab 😅😅
Sikuelewi jombii,,,,,,,,nyinyi ndio mnaosema yesu hakufufuka sasa iweje Leo wasema mtume alisema nabii atakaerudi ni issah (yesu) sasa mbona siwaelewi mnanichanganya sasa
@ludovickharison7406
5 жыл бұрын
Elliud Michael wanasubiri KRISTO arudi ndiyo waijue kwheeli
@pericykiko6198
5 жыл бұрын
Huwezi kumuelewa mtu asieongozwa na Roho mtakatifu Elliud
@eugenyurassa2183
4 жыл бұрын
Elliud Michael wote siwelewii!!! wanatuchanganya Kama wanasiasa!Mungu anawaona
@chuinbonden8734
4 жыл бұрын
Fuata wasomi utaelewa
isa kurudi tusahau
@pericykiko6198
5 жыл бұрын
Moody kurudi kwa Yesu Kuna dalili za mwanza kabisa zishaanza kujitokeza tunatakiwa tutubu dalili za mwisho atakua keshatoka kwenye kiti Cha rehema hata uombe hutasikiwa ndo wakati wa njaa na kiu si ya chakula bali ni neno la Mungu
upo sahihi hakuna nabii tena zaidi ya mtume sws
huyo jamaa anojiita nabii ingekuwa yupo Zanzibar tungeshamshuhulikia
@hamudmuhammed536
4 жыл бұрын
Saleh Khamis wallah kweli
Huyo nabii wa uongo Ana matatizo ya akili
HAHAHAHAH AU NDO NYINYI MANABII WAIONGO UNAPOTEA NDUGU UTAKUFA KIFO CHA KUKU MAANA UTALIWA WAGENI WAKIFIKA NYUMBANI SASA OKOKA NDUGU
Mtu kuwa nabii sio vibaya isipokuwa anatumia kitabu ganiiiiiiiiii??????????
wewe hata hujielewi mzee. kwani hamza si amesoma kwenye madrasa yanu tuu.
Qur'an yenu inawadanganya kusema Jesus atakuja kuishi kama binaadam wakawaida.Mwogopeni Mungu jamanii
@legrandmsangi9789
5 жыл бұрын
Dr Joel Justin Mhavile quran haiongopi na haitaongopa kamwe. yesu atarud tu kw mujibu wa quran. kitabu chenu nd kinaongopa na kuwaongza vbya. maandko hayaeleweki, kitabu hakijitoshelezi. yaani ni upotofu. 15;18 wakorinho wa kwnza. na hapo wao waliolala ktk kristo wamepotea. hakika umepotea ndgu
@gospalflavour7304
5 жыл бұрын
Mdogo nimdogo tuu siku zote.quraan haijapata popote maneno ya jesus isipokuwa kutoka kwene biblia.unasemaje kuwa haieleweki.Kile nikitabu cha mambo yarohoni ndiomana huwez kukielewa.Nyie mmebez kwene mambo yamwili sana.Hicho ndio kitendawili kwenu. Jesus haji kuishi kawaida kama mnavyodhania.Yule nimfalme na alikiri kwakinywa chake Mamlaka yote ya mbinguni na duniani kapewa yeye.Someni Biblia kwani Muhammad swalaleh wa saalam amewaeleza vzr tuu.ikiwa kuna mengine hamjayaelewa waulizeni wale wanaoijua biblia takatifu.Na yee pia alichukua vifungu kwene biblia.Upo shehe wangu?
@gospalflavour7304
5 жыл бұрын
Papa asikutishe kwalolote.waroma ndio walioanzisha upinga kristo kama ulikuwa hujui.Alaf wao wanamwabudu Mungu mwanamke bila wao kukua kama ulikuwa hujui nawewe. ndio maana sala zao zimeegemea sana kwa mwanamke. Fwatilia historia yao vzr. wanamchanganya Yesu na Mwanamke ambae kimsingi ni moja ya miungu.Na Mungu katuagiza tumwabudu yeye pekee.so usibabaishwe na waroman. ila nawewe usilewe na uislam au quraan pekee.kubali ukatae Jesus is coming to pic his people.And to save israel only.wengine waliomkana watapata tab sana wakibali ktk hii dunia
UTAPOTEA WEWE NDIPO MUNAPOTEZA WENZENU NDUGUZANGU ACHENI UBISHI JAMANI
@nathranahdi2655
5 жыл бұрын
Ww tuliza wenge uislaaam ndio din yahak
Alete ushahidi wa Qur an sio kitabu chengine chochote
AMA KWELI NIMEAMINI UISLAM NI UCHAWI MTUPU KUMBE MPAKA KUNA AINA YA MAJINI AISE
@innosentsilayo1629
5 жыл бұрын
Ulikua hujui
@rashidirashidi1364
4 жыл бұрын
Utakuj kujuaa haki ilipo IshaAllh
Uyo kafiri Amza atawamaliza pumzi.na kaburi linaingiya mtu mmoja.
@mnhamy749
5 жыл бұрын
Hilo ni tapeli: Check hii kzread.info/dash/bejne/lYt4r6axZpWqgqw.html
nyinyi munamtengekeza kafiri huyo anataka kupotosha uma9
@habibuadamu3923
6 жыл бұрын
uyojama.akikutana.namjahidina.kichwa niharara.yao
Mnahangaika kumjibu mpumbavu? Mwacheni afuatwe na wapumbavu wenzie!
@rahemarehema1490
6 жыл бұрын
Amiin yarabi amin
@pascalirafaeli1122
5 жыл бұрын
kama mnaona anapotosha cmumuite azibitishe anayosema hamza . namambo yakimungu ucfananishe nauwongozi wamarais . kasomen huko mjue ukweli mnao waficha wasiojua
Hivi kosa la Hamza ni lipi?? Kutangaza habari za Issa ndio kosa lake?? Halafu usipoteshe ukweli, kwa kusema Nabii Issa atarudi kama mtu wa kawaida. quran inaonyesha Issa atarudi kama HAKIMU tena MUADILIFU... Ni wazi kabisa Quran inasema atarudi kama 'Hakimu' kwa sababu atakuja kuhukumu, maana haihitaji Hakimu ili kuja tu kuwakanusha watu wa imani fulani. Quran imesema jambo moja la msingi... ATARUDI KAMA HAKIMU TENA (SIO TU HAKIMU JINA) BALI MUADILIFU. Ndg yangu mwenye akili timamu, jiandae kukutana na huyu Hakimu Muadilifu. Huyu ndie atakae ihukumu dunia na kila aliewahi kuishi duniani. Huyu hatokuwa 'raisi mstaafu' kama anavyodanganya Ustaadh huyu. Issa atakuwa na Mamlaka kuu kuliko mitume na manabii na vinyamkela wote waliowahi kutokea. Na ndio maana alipaa mbinguni na hayuko kaburini kama mitume wengine wote waliopata kutokea ambao wanamsubiri yeye tu ili awafufue na kuwahukumu. Dunia inamsubiri yeye tu Bwana Mkubwa. Bwana Yesu anawapenda sana. Mtafuteni wakati angali bado anapatikana...
@muhammedrashidy2823
6 жыл бұрын
Chillo George pole sana mungu awaongoze wewe na askofu hamza.
@hansiselemani8025
6 жыл бұрын
wakrist moton
@halimahamis5866
6 жыл бұрын
+Muhammed Rashidy achana na nguchilo hao,hawajitabui!alla awafumbue macho onsha alla.
@nasirseif5603
5 жыл бұрын
Chillo George huelew Quran
@anozacha611
5 жыл бұрын
@@halimahamis5866 kweli 👊👊👊👊👊👊👊
muache atangaze uislamu kwa kutumia anachoona kuwa yupo sahihi.
@shuwehaharunaomariikwena233
7 жыл бұрын
dini yake yenyewe huijui je hii dini ya mwenyzimung utaijua
@fatumamwalimu5765
7 жыл бұрын
+aeroporto Nissan,wewe unaongea,hau unaota? yani aachwe vipi wakati anapotosha umma
@rahmamavura406
7 жыл бұрын
aeroporto Nissan waislamu hatupo kimchezomchezo tunataka uongofu
@rahmamavura406
7 жыл бұрын
aeroporto Nissan waislamu hatupo kimchezomchezo tunataka uongofu
@simonrevaniy2413
7 жыл бұрын
Huho anaotangaza yy ni ukafir sio uislam ww acha pumba
Muhammad ni nini? Quran iliandikwa lini? quran ni usanii mtupu, huwezi ukalinganisha na Bible. Bible ni kongwe sana kulko hicho kitabu chenu ndio maana mmekopi maneno yake. Waongo wakubwa sana nyie wote, na Hamza wenu, tubuni maana Yesu anawapenda sana. Huyo ni feki, nanyi ni Feki pia na wote Yesu aliwatabili
@alikhamis4055
5 жыл бұрын
Hata huyo yesu atarudi kwa watu Kama wewe uleyekuwa hujielewi,yesu hakuja na bibilia wazungu wamekupiga bao la kisigino. Pumbavu we
@ntopangonyani6964
5 жыл бұрын
Na mimi nikuulize swali kama hili: biblia nini na iliandikwa na nani na lini iliandikwa?.
@maajabutv8026
5 жыл бұрын
Mbwa we usiojua lolote
@mwawekomiuda4632
5 жыл бұрын
Wacha kuropoka ww. Bibiliavyako ndio maneno yabuxushi achana na Qursn kabisa tena kaa nayo mbali kafiri mkubwa wewe
@ramadhanmussa6318
5 жыл бұрын
Samson Ally we hauna dini NI kafiri Kama hamza
Maneno yako umeyafosfos sana ili kumpinga,mm sjakuelewa.
@djwitty4998
6 жыл бұрын
Ambacho haujaelw nn xx hapo
Mashetani wamemvuruga kichwa huyo msaidieni mashehe kumsomea ruqia nabii atakua yeye bwana hata kur ani hajui
@halimahalim3816
7 жыл бұрын
Anamashetani huyo
@rapafata1108
6 жыл бұрын
Kama walivomvuruga mwenzio kule pangoni
@iddimgeni7964
6 жыл бұрын
Halima Halim swadakta Ukhutiy
Maelezo ya huyu jamaa hayaingii hata kwa akili ya kawaida
Mashk mchunguzen huyo jamaa kwanza isije ikawa ni kafir aliepelekwa kwenda kusoma kiarabu tu aje awavuruge waumin
Mbeleka upumbavu uko mmekalia ubixhi tu unaongea pumba tupu
kuna mengi ametufunza kuhusu akhirzaman. tuone na mazur yake pia
@kitotaabdillahi4609
6 жыл бұрын
YASINI SELEMANI amekufunza kitu gani wewe? Acha hizo mambo, huyo hajui kitu.... Unadhihirisha na wewe kumbe hujui kitu.
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
YASINI SELEMANI, Amekufunza kp kilichokua hakijaelezwa kwenye Qur-an?
Huyo hamza kafiri
Huyu ni kafiri na kumchinja haupati dhambi hakinya uslam anastahiki iidaaam
Wafuga majini utawajua tuu vichwa mbumbu kwanza yesu sio issa ilo lzm muelewe ilo jina la issa alikua anaitwa nchi gani maana ata aho waharabu awamuiti issa.pili nakuona zuzu mnoo kvp yesu aludi kama mtu wa kawaida kvp yn?mtu alikufa akafufuka na kupaa mbinguni alafu aje dunian tena kama mtu wa kawaida?mpaka apo nakuona akili zko fupi kama bible imesema yesu anakuja kunyakua watu wake tena anakuja na malaika ww Mpumbavu unasema anakuja kama mtu wa kawaida:?inamana nynyi ndo wapinga kristo mnakata maneno ya bible wkt uyo Mohammed wenu kazaliwa kaikuta bible tena miaka 2000 imepita Alafu nyinyi mnatuambia ujinga wenu apa.hamza anawaambia ukweli maana nyinyi mnawadanganya watu hamza anawaambia njia ni moja tuuu yesu basiii kama ujamfata yy ata uswali mama 50 kwa siku ni kazi bureeeeeeee
@ahmadsaid5845
2 жыл бұрын
Allah akuongoe kutoka kwenye chama cha ukristo
ataka makwajuuuyotu kashashiba daku😂😂tanzania kuna manabii wawili 😂😂nabii tito nanabii hamza😂😂
Hamza yupo sahh muachen atangeze nikwamba anachotanga kile alicho kisoma na ndicho alicho kielewa nyie masoma halagu mnageuza maneno hamza ameongea ukwer hyo
@shabanmgonella9902
6 жыл бұрын
Mashauzi Andrea basi wakanushe kwa aya maneno aliyoyasema hamza mbn hamkanushi mnaishia kumlaumu to hamza yupo sahihi kabisaaaa acheni hamza atoe ukwl maku nyie
@alhamdulillah5796
6 жыл бұрын
Shaban Mgonella, mashekh wampe makanusho mara ngapi?
@khalidunited5978
6 жыл бұрын
Mashauzi Andrea wewe sio musilim kwahiyo nyamaza
@mwawekomiuda4632
5 жыл бұрын
Ukweli kwa savabu makafiri weshazoea kuitikia enen kila wabaloambiwa sikuhangai kumuona yuko sawa