HALI HALISI YA BARABARA YA MKOANI - CHAKE CHAKE (PEMBA)

Miongoni mwa barabara ambazo zimetengenezwa katika mazingira magumu mno ni pamoja na barabara za Pemba kutokana na Milima mingi na hivyo kuchangia barabara hizo kuwa na krosi nyingi mno

Пікірлер: 13

  • @abdallahabuu512
    @abdallahabuu5124 жыл бұрын

    nakupenda sana home

  • @lutfiyaali4214
    @lutfiyaali42142 жыл бұрын

    Kwetu pazuri nmeshapakumbuka..😘pemba oye

  • @salimkhamis1547
    @salimkhamis15476 жыл бұрын

    Munatufurahisha kutupatia vitu vya nyumbani

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58646 жыл бұрын

    Tunakushukuru kwakuona hio barabara ya pemba siku nyingi hatujaona kwetu

  • @clovetv_pba
    @clovetv_pba5 жыл бұрын

    Sio Pemba yote ina milima, ni kusini mwa Pemba tu.

  • @clovetv_pba
    @clovetv_pba6 жыл бұрын

    Sio barabara za Pemba. ungalitaja eneo la hio barabara sio barabara zote zipo hivo

  • @38wahida
    @38wahida6 жыл бұрын

    Masha Allah home sweet home

  • @aliudiy4921
    @aliudiy49216 жыл бұрын

    yani unatembea hukutan na gar

  • @bintsalimalbimany9373
    @bintsalimalbimany93735 жыл бұрын

    Nenden na mkoan mwambe pls

  • @RiyadhTvOnlineZnz

    @RiyadhTvOnlineZnz

    5 жыл бұрын

    Bint Salim Al Bimany Insha Allah usjali

  • @omarkhalfan3643
    @omarkhalfan36436 жыл бұрын

    Hakuna magar uko

  • @user-ri8iw3we7l
    @user-ri8iw3we7l6 жыл бұрын

    Yaani hadi raha lakn ulikuwa uwende zile sehem zenye mashimo na serekal walijuwe hilo kuwa pemba kuko nyuma kimaendeleo

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid68396 жыл бұрын

    Magari tele lakin heri tu nipeleke punda