Gondwe alivyombana Mratibu wa DMDP juu ya ujenzi wa stendi ya Temeke.
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Пікірлер: 90
Ila mbona Gondwe anauliza maswali halafu anamkatisha bila hata kumuacha ajitetee ili kama muongo akwame ambabatize vzr. Ye swali hajajibiwa vzr anaongeza jingine.
Mbona unambembelez huyo akat anakuchekea kwa dharau? Kwahyo unamwelewesha muda mrefu hivyo coz ni rafik yako au? Angalia vizur wewe Gondwe kwa hiyo hali yakubembeleza utakosa ugali wewe.
ANACHEKA MPUMBAVU NDIO MAANA HATUENDELEI!WATU KAMA HAWA NI WA KUWAFUKUZA KAZI!!
Kaka yangu , Mungu akuongoze unafanya kazi
@vipenziwaallah5814
2 жыл бұрын
Kazi gani za kijinga hivyo! Unaongea pekeako bila kumpa mtu nafasi kujieleza
Hichi kijamaa kinadharau sana kinamjib mkuu kwa nyodo sana
@georgelusana2346
3 жыл бұрын
Wanajuaaana itakuwa
@wambiemalata8186
3 жыл бұрын
Amekosa busara hata Kama alikuwa na hoja . Anaongea sana
@kenybenjiz7850
3 жыл бұрын
Anamadharau sana huyoo
@kenybenjiz7850
3 жыл бұрын
Ungemtia ndanii
Mungu akuongoze kaka Gondwe pambana
Huyu DC mungu saidia
Busara Ni muhimu sana. Hoja nzuri ila imekosa staha
On my side ,mkuu upo sahihi ,Ila nashindwa kupata maelezo ya upande wa pili,yaani unamuuliza maswali mengi kabla hajakujibu.
Huyo haule mbn anadharau sana
@CalsonMbisha-iw4co
5 ай бұрын
Kosa alilo fanya linaweza lisiwekubwa kama Zarau ya anahojiwa ana Kenua Kenua menotuu Zarau nyingi
Fukuza kuku uyo anajenga arafu wanaendeleza migogoro
Njoo msogora uone kuanzia mbande utarudia njiani
Tatizo hump nafas yakujieleza
Gondwe mnamkubaĺi from Rwanda
Huyu anaecheka anatumbuliwa soon magu akiona hii
Kuna watu wanadharau jamn huyo mtu anadharau san
Anachekacheka Kama chizi kaona jalala jipya
FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WA NYUMBA WATU DAR
Afadhali mama kaja na kipimo cha mabega cha ma DC
😂😂huyu haule angekutana na bashite ange_enjoy
Weka ndani huyooo
Hapa naona hakuna shida kabisa ila haule anajisikia vibaya kufokewa na mkuu wa wilaya huku akijijuwa hajafisadi hela ya serikali ndiyo maana anaduwa hapa.cha msingi hapa Ni ushirikiano tu kufanikisha kazi ya serikali kwa ufanisi na weledi mkubwa viongozi tumtangulize mungu tuwe na upendo pia kwa wafanyakazi wenzetu.wote Ni watanzania watoto wa mzee nyerere tupendane na tuipende Tanzania tuijenge Tanzania .
Wapigaji hao kwani hata kichaa hawezi kufanya hilo ,kujenga kwenye kiwanja cha MTU Huyo in jipu tena limeiva
Kipindi cha Jpm Rip Sasa Tanzania Tozo tu tena utitiri wa kodi Wananchi wanadhulumiwa hela na Serikali ya Samia
kaludi magufuli mupya hongela gondwe
Ila Haule anakadharau kidogo, ameshika kakitambi huku anacheka wakati anaongea na mkuu wa wilaya mwakilishi wa Rais.
Gondwe unafanya sana kazi sema unashindwa kuwafukuza kwa huruma kuwa na wewe kama sabaya ole lengai hana mchezo yaani huyo jamaa angekua ndani kitambo yaani unamzalau mkuu wa wilaya
AF anacheka
Hizi media zinawaweua watu khaaa
Huyu jamaa Hana adabu, kudhalilisha watu, mbwa mmoja, atamfuata Makonda!
@kaundasutikaunda7769
3 жыл бұрын
sasa amekosea wapi hapo Mh Gondwe??? maana ss tulio kwenye private sector kuongelewa kama hv na boss wako ni swala la kawaida sana.
Jpm toxo batili Tanzania
Sio mtaalamu huyo anavyeti visivyo msaidia kupa banua mambo hill no box empty
Ungemtiaa ndani huyo
Sasa uyu mkuu wa idara mbishi wakijinga sana.mana anajifanya mwelewa wakati anajua nikosa .fukuza kazi haraka mpeleke kwa waziri mkuu apewe adhabu.ajue we ninani katika wilaya temeke
@vipenziwaallah5814
2 жыл бұрын
We umejuaje kama ni kosa ilhali hapewi nafasi kujieleza. Anaongea mtu mmoja tu vipi
Gondwe nakukubali toka DRCongo Zaïre
Kiongozi makini sana🇹🇿
Vizuri Sana mweshimiwa wanasababisha foreni tu na msongamano wa magari wanaweka wafanyakazi kwa kujuana
Uko na point ila jazba Mkuu,
hatari
Mhh balaa
He can be the next Magufuli.
DC uko sahihi
Mtumishi wa umma wa ngazi za chini ukisha kuwa na jazba za haraka haraka ni ngumu sana kufanikiwa ktk kuwaongoza wananchi wako... Hata rais magufuli alikuwa anatoa nafasi kwa jipu kujitetea kabla ya kulitumbuwa.. ila DC gondwe namshangaa kwa kauli yake ya kumwakia haule eti keep quite.. sijui shut up.. sijui kwanini unacheka cheka. Sasa sijui alitaka jamaa aliye au atetemeke...
Mijizi hiyo, anastahili afungwe jela
Gondwe is right, you can't build anything on a land that is not yours.
Nonsense, huyo mkuu WA idara mbishi sana, I'm sad the late Pres Maghufuli hakuona hii video, huyo mkuu WA idara angepata na kusikia joto.... Sijui mbona DC anambebeleza....
Ndio shida ya katiba kila kitu kinataka uteuzi wa raisi, hawa walitakiwa wawe chini ya ajira ya mkuu wa wilaya ili aweze kucukuza papo hapo uzembe unapogundulika #katibampya
Nisikilize Haule🤣🤣🤣🤣
Huyo MKURUGENZI AJIANGALIE ASIJEKUINGIA CHAKIKE😂😂😂
Mi nko side ya mtetezi wenu gondwe lakini pia yeye apeane time ya kujibu maswali ju huwezi niuliza swali na hunipi wakati nijibu...unataka kuongea peke
Stendi ni nini jameni naomba kizaidiwa
Mnawachekea sana ndio maana hamuendelei, huyo jamaa anaonekana ana dharau sana ilitakiwa afukuzwe kazi na kwenda kulala rumande kwanza . Kinachishika tumbo na kucheka cheka tu . Huwezi kuanza kujenga bila kumiliki ardhi
Muache MTU aongee gondwe vipi mbona unataka kuwa mbabe
Fukuza huyo ‘ kuna CHAMBICHAMBI za rushwa hapo’ unajengaje mradi wa Serikali kwenye eneo ambalo halijamilikiwa kihalali..?...matokeo yake baadae ni kesi ‘ halafu anachekacheka hajui kama sisi WALIPA KODI tunapoteza FEDHA zetu hapo..!...we boya nini..?
Yaani huyo anazarau sana kweli hamueheshimu mkuu wa wilaya angekua sabaya angeenda kunyea debe unachezea sabaya D.C. bora kabisa Tanzania na huwa naomba raisi ampe ukuu wa mkoa hata uwaziri tu poa anafaa sana
Eneo hilo ni la serikali au taasisi fulani ya dini??
Wanasema haleruyaa hahaha
Huyo haule anaonekana anazalau
@bulugubujashi6378
3 жыл бұрын
Sio kwamba anazalau,yeye anajibu kwamjibu wa taaluma yake Hawa viongozi hawaelewi namna yakumbana mtaalamu
@barakamalinga
3 жыл бұрын
M mwenyewe naqubale alichofanya Haule cos some time viongozi wanaongozwa na mihemko taaruma wanaweka nyuma
Timua huyo anazarau sana
Sabaya anafanya Kazi Jamani Yani hapa Pasige Tosha Leo
@adrophntabalizo8634
3 жыл бұрын
Sio Sabaya huyo bali ni Gondwe
Huyu akutane na Ole Sabaya
@mgemanindwa3731
3 жыл бұрын
DC sabaya ni level nyingine asingethubutu kucheka huyo jamaa,,,DC sabaya ni Kama jpm kazini
Unacheka cheka niniii, dharau izoo
@makongoronyerere2595
3 жыл бұрын
Xyo zalau jamaa hamp nafax yakujielezea tizma tena
Kkujenga kitu kwa faida ya wananchi ninkosa gani...imekukera kujengwa sababu Ni ya kkkt au...huyo unamsakama Ni kweli kaamua yeye....mradi imefikia hapo ulipoanza ulikuwa wapi....mbona unaongea kwa kufoka Sana Tena unafokea watu wazima .... Kama hao kkkt wanagoma kuachia eneo serikali hufanye Nini....mradi Ni wa serikali badala ya kuutetea unatetea upande wa pili ...hajabu...sikufagilii..husiongee kwa ghadhabu Sana...
@user-yd1pc8uy8x
10 ай бұрын
Hukaelewa shida iliopo hapo kesho ikitokea shida utaaema gtz Haina umakini
@lowasameliyo4027
8 ай бұрын
Wee hujuii kitu kumbe mkuu wa wilaya alikua sahihi
Mkurugenzi sio ndiyo yupo karibu yako Gondwe? Ndio maana Haule anakucheka sababu ya kuongea kwa hasira .
@bulugubujashi6378
3 жыл бұрын
Gondwe hajui wakumuuliza,mhandisi anajuwa wajibu wake
@chiefmahucha6847
3 жыл бұрын
@@bulugubujashi6378 muhandisi ndo anaingia na kulipia mikataba ya Halimashauri/Manispaa? Hiyo ni kazi ya mwanasheria wa wilaya,Mkuu wa manunuzi na DT chini ya mkurugenzi.
Mheshimiwa anaongea sana
@kisokakasuku2137
3 жыл бұрын
anaongea na DC arafu kanacheka kwa dharau kanashika kitambi chake jipu ilo tumbua
DC Una Hekima Sana Huyo Mpuuzi Ana Dharau Sana Kama Sio Hekima Ya Mkuu Wa Wilaya Huyu Alipaswa Kula Makofi Na Kupelekwa Segerea Pumbavu Huwezi Kumdharau Kiongozi Mwenye Utu Kama Gondwe
@georgelusana2346
3 жыл бұрын
Hao wanajuaaana na pengine ni mtu wake wa kalibu huezz cheka hivo
Hii ndio jamii Ya ole Sabaya,gondwe hutaki mwenzako akujibu mnapandisha mabega,mjibu maswali uko sawa,usikubali mtu akuamrishe anavyotaka kwa vile tu jpm
Gondwe mnamkubaĺi from Rwanda