Gondwe alivyombana Mratibu wa DMDP juu ya ujenzi wa stendi ya Temeke.

Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our KZread Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg

Пікірлер: 90

  • @mukambi3278
    @mukambi32783 жыл бұрын

    Ila mbona Gondwe anauliza maswali halafu anamkatisha bila hata kumuacha ajitetee ili kama muongo akwame ambabatize vzr. Ye swali hajajibiwa vzr anaongeza jingine.

  • @violetnjau6290
    @violetnjau62903 жыл бұрын

    Mbona unambembelez huyo akat anakuchekea kwa dharau? Kwahyo unamwelewesha muda mrefu hivyo coz ni rafik yako au? Angalia vizur wewe Gondwe kwa hiyo hali yakubembeleza utakosa ugali wewe.

  • @hajiiddi1085
    @hajiiddi10853 жыл бұрын

    ANACHEKA MPUMBAVU NDIO MAANA HATUENDELEI!WATU KAMA HAWA NI WA KUWAFUKUZA KAZI!!

  • @jasmineshabani1330
    @jasmineshabani13303 жыл бұрын

    Kaka yangu , Mungu akuongoze unafanya kazi

  • @vipenziwaallah5814

    @vipenziwaallah5814

    2 жыл бұрын

    Kazi gani za kijinga hivyo! Unaongea pekeako bila kumpa mtu nafasi kujieleza

  • @goodluckmrosso486
    @goodluckmrosso4863 жыл бұрын

    Hichi kijamaa kinadharau sana kinamjib mkuu kwa nyodo sana

  • @georgelusana2346

    @georgelusana2346

    3 жыл бұрын

    Wanajuaaana itakuwa

  • @wambiemalata8186

    @wambiemalata8186

    3 жыл бұрын

    Amekosa busara hata Kama alikuwa na hoja . Anaongea sana

  • @kenybenjiz7850

    @kenybenjiz7850

    3 жыл бұрын

    Anamadharau sana huyoo

  • @kenybenjiz7850

    @kenybenjiz7850

    3 жыл бұрын

    Ungemtia ndanii

  • @henrymwakisole4855
    @henrymwakisole48553 жыл бұрын

    Mungu akuongoze kaka Gondwe pambana

  • @khasimgange4213
    @khasimgange42133 жыл бұрын

    Huyu DC mungu saidia

  • @wambiemalata8186
    @wambiemalata81863 жыл бұрын

    Busara Ni muhimu sana. Hoja nzuri ila imekosa staha

  • @mawazomdemu5169
    @mawazomdemu51693 жыл бұрын

    On my side ,mkuu upo sahihi ,Ila nashindwa kupata maelezo ya upande wa pili,yaani unamuuliza maswali mengi kabla hajakujibu.

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz78503 жыл бұрын

    Huyo haule mbn anadharau sana

  • @CalsonMbisha-iw4co

    @CalsonMbisha-iw4co

    5 ай бұрын

    Kosa alilo fanya linaweza lisiwekubwa kama Zarau ya anahojiwa ana Kenua Kenua menotuu Zarau nyingi

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir73 жыл бұрын

    Fukuza kuku uyo anajenga arafu wanaendeleza migogoro

  • @latifarahim8992
    @latifarahim89926 ай бұрын

    Njoo msogora uone kuanzia mbande utarudia njiani

  • @makongoronyerere2595
    @makongoronyerere25953 жыл бұрын

    Tatizo hump nafas yakujieleza

  • @semanyenzifreddy3952
    @semanyenzifreddy39523 жыл бұрын

    Gondwe mnamkubaĺi from Rwanda

  • @charlesolomi9514
    @charlesolomi95143 жыл бұрын

    Huyu anaecheka anatumbuliwa soon magu akiona hii

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy76253 жыл бұрын

    Kuna watu wanadharau jamn huyo mtu anadharau san

  • @tausiathumani9408
    @tausiathumani94083 жыл бұрын

    Anachekacheka Kama chizi kaona jalala jipya

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s4 ай бұрын

    FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WA NYUMBA WATU DAR

  • @nsajigwamwasumbi4990
    @nsajigwamwasumbi49903 жыл бұрын

    Afadhali mama kaja na kipimo cha mabega cha ma DC

  • @johanesjohn8471
    @johanesjohn84713 жыл бұрын

    😂😂huyu haule angekutana na bashite ange_enjoy

  • @ManMan-sz8fy
    @ManMan-sz8fy3 жыл бұрын

    Weka ndani huyooo

  • @alfinmbilinyi1326
    @alfinmbilinyi13263 жыл бұрын

    Hapa naona hakuna shida kabisa ila haule anajisikia vibaya kufokewa na mkuu wa wilaya huku akijijuwa hajafisadi hela ya serikali ndiyo maana anaduwa hapa.cha msingi hapa Ni ushirikiano tu kufanikisha kazi ya serikali kwa ufanisi na weledi mkubwa viongozi tumtangulize mungu tuwe na upendo pia kwa wafanyakazi wenzetu.wote Ni watanzania watoto wa mzee nyerere tupendane na tuipende Tanzania tuijenge Tanzania .

  • @bakarikmbwego6067
    @bakarikmbwego60673 жыл бұрын

    Wapigaji hao kwani hata kichaa hawezi kufanya hilo ,kujenga kwenye kiwanja cha MTU Huyo in jipu tena limeiva

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 Жыл бұрын

    Kipindi cha Jpm Rip Sasa Tanzania Tozo tu tena utitiri wa kodi Wananchi wanadhulumiwa hela na Serikali ya Samia

  • @MrK-mh4in
    @MrK-mh4in2 жыл бұрын

    kaludi magufuli mupya hongela gondwe

  • @vicentthomas5279
    @vicentthomas52793 жыл бұрын

    Ila Haule anakadharau kidogo, ameshika kakitambi huku anacheka wakati anaongea na mkuu wa wilaya mwakilishi wa Rais.

  • @ringoaskali7625
    @ringoaskali76253 жыл бұрын

    Gondwe unafanya sana kazi sema unashindwa kuwafukuza kwa huruma kuwa na wewe kama sabaya ole lengai hana mchezo yaani huyo jamaa angekua ndani kitambo yaani unamzalau mkuu wa wilaya

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu103 жыл бұрын

    AF anacheka

  • @wambiemalata8186
    @wambiemalata81863 жыл бұрын

    Hizi media zinawaweua watu khaaa

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery3 жыл бұрын

    Huyu jamaa Hana adabu, kudhalilisha watu, mbwa mmoja, atamfuata Makonda!

  • @kaundasutikaunda7769

    @kaundasutikaunda7769

    3 жыл бұрын

    sasa amekosea wapi hapo Mh Gondwe??? maana ss tulio kwenye private sector kuongelewa kama hv na boss wako ni swala la kawaida sana.

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 Жыл бұрын

    Jpm toxo batili Tanzania

  • @bakarikmbwego6067
    @bakarikmbwego60673 жыл бұрын

    Sio mtaalamu huyo anavyeti visivyo msaidia kupa banua mambo hill no box empty

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz78503 жыл бұрын

    Ungemtiaa ndani huyo

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni7013 жыл бұрын

    Sasa uyu mkuu wa idara mbishi wakijinga sana.mana anajifanya mwelewa wakati anajua nikosa .fukuza kazi haraka mpeleke kwa waziri mkuu apewe adhabu.ajue we ninani katika wilaya temeke

  • @vipenziwaallah5814

    @vipenziwaallah5814

    2 жыл бұрын

    We umejuaje kama ni kosa ilhali hapewi nafasi kujieleza. Anaongea mtu mmoja tu vipi

  • @issakassimmwirawivu2641
    @issakassimmwirawivu26413 жыл бұрын

    Gondwe nakukubali toka DRCongo Zaïre

  • @akothbake3602
    @akothbake36022 жыл бұрын

    Kiongozi makini sana🇹🇿

  • @tausiathumani9408
    @tausiathumani94083 жыл бұрын

    Vizuri Sana mweshimiwa wanasababisha foreni tu na msongamano wa magari wanaweka wafanyakazi kwa kujuana

  • @hemilehanogasengo4099
    @hemilehanogasengo40993 жыл бұрын

    Uko na point ila jazba Mkuu,

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel73 жыл бұрын

    hatari

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666
    @fadhilikyandofadhilikyando5666 Жыл бұрын

    Mhh balaa

  • @christopheredidon7544
    @christopheredidon75443 жыл бұрын

    He can be the next Magufuli.

  • @ramadhanabas4455
    @ramadhanabas44553 жыл бұрын

    DC uko sahihi

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Жыл бұрын

    Mtumishi wa umma wa ngazi za chini ukisha kuwa na jazba za haraka haraka ni ngumu sana kufanikiwa ktk kuwaongoza wananchi wako... Hata rais magufuli alikuwa anatoa nafasi kwa jipu kujitetea kabla ya kulitumbuwa.. ila DC gondwe namshangaa kwa kauli yake ya kumwakia haule eti keep quite.. sijui shut up.. sijui kwanini unacheka cheka. Sasa sijui alitaka jamaa aliye au atetemeke...

  • @isaachayes9783
    @isaachayes97832 жыл бұрын

    Mijizi hiyo, anastahili afungwe jela

  • @FinestMax
    @FinestMax5 ай бұрын

    Gondwe is right, you can't build anything on a land that is not yours.

  • @rabbithare381
    @rabbithare3813 жыл бұрын

    Nonsense, huyo mkuu WA idara mbishi sana, I'm sad the late Pres Maghufuli hakuona hii video, huyo mkuu WA idara angepata na kusikia joto.... Sijui mbona DC anambebeleza....

  • @isaachayes9783
    @isaachayes97832 жыл бұрын

    Ndio shida ya katiba kila kitu kinataka uteuzi wa raisi, hawa walitakiwa wawe chini ya ajira ya mkuu wa wilaya ili aweze kucukuza papo hapo uzembe unapogundulika #katibampya

  • @malikiahmadi2268
    @malikiahmadi22683 жыл бұрын

    Nisikilize Haule🤣🤣🤣🤣

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca3 жыл бұрын

    Huyo MKURUGENZI AJIANGALIE ASIJEKUINGIA CHAKIKE😂😂😂

  • @johniemarsha1561
    @johniemarsha15613 жыл бұрын

    Mi nko side ya mtetezi wenu gondwe lakini pia yeye apeane time ya kujibu maswali ju huwezi niuliza swali na hunipi wakati nijibu...unataka kuongea peke

  • @oscarmwema4647
    @oscarmwema46472 жыл бұрын

    Stendi ni nini jameni naomba kizaidiwa

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka47653 жыл бұрын

    Mnawachekea sana ndio maana hamuendelei, huyo jamaa anaonekana ana dharau sana ilitakiwa afukuzwe kazi na kwenda kulala rumande kwanza . Kinachishika tumbo na kucheka cheka tu . Huwezi kuanza kujenga bila kumiliki ardhi

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe42033 жыл бұрын

    Muache MTU aongee gondwe vipi mbona unataka kuwa mbabe

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph7403 жыл бұрын

    Fukuza huyo ‘ kuna CHAMBICHAMBI za rushwa hapo’ unajengaje mradi wa Serikali kwenye eneo ambalo halijamilikiwa kihalali..?...matokeo yake baadae ni kesi ‘ halafu anachekacheka hajui kama sisi WALIPA KODI tunapoteza FEDHA zetu hapo..!...we boya nini..?

  • @ringoaskali7625
    @ringoaskali76253 жыл бұрын

    Yaani huyo anazarau sana kweli hamueheshimu mkuu wa wilaya angekua sabaya angeenda kunyea debe unachezea sabaya D.C. bora kabisa Tanzania na huwa naomba raisi ampe ukuu wa mkoa hata uwaziri tu poa anafaa sana

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim52583 жыл бұрын

    Eneo hilo ni la serikali au taasisi fulani ya dini??

  • @nkeshigomegwa1686
    @nkeshigomegwa16863 жыл бұрын

    Wanasema haleruyaa hahaha

  • @ileenntake3584
    @ileenntake35843 жыл бұрын

    Huyo haule anaonekana anazalau

  • @bulugubujashi6378

    @bulugubujashi6378

    3 жыл бұрын

    Sio kwamba anazalau,yeye anajibu kwamjibu wa taaluma yake Hawa viongozi hawaelewi namna yakumbana mtaalamu

  • @barakamalinga

    @barakamalinga

    3 жыл бұрын

    M mwenyewe naqubale alichofanya Haule cos some time viongozi wanaongozwa na mihemko taaruma wanaweka nyuma

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye923 жыл бұрын

    Timua huyo anazarau sana

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel73 жыл бұрын

    Sabaya anafanya Kazi Jamani Yani hapa Pasige Tosha Leo

  • @adrophntabalizo8634

    @adrophntabalizo8634

    3 жыл бұрын

    Sio Sabaya huyo bali ni Gondwe

  • @godfreymbwillo452
    @godfreymbwillo4523 жыл бұрын

    Huyu akutane na Ole Sabaya

  • @mgemanindwa3731

    @mgemanindwa3731

    3 жыл бұрын

    DC sabaya ni level nyingine asingethubutu kucheka huyo jamaa,,,DC sabaya ni Kama jpm kazini

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid53933 жыл бұрын

    Unacheka cheka niniii, dharau izoo

  • @makongoronyerere2595

    @makongoronyerere2595

    3 жыл бұрын

    Xyo zalau jamaa hamp nafax yakujielezea tizma tena

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting71803 жыл бұрын

    Kkujenga kitu kwa faida ya wananchi ninkosa gani...imekukera kujengwa sababu Ni ya kkkt au...huyo unamsakama Ni kweli kaamua yeye....mradi imefikia hapo ulipoanza ulikuwa wapi....mbona unaongea kwa kufoka Sana Tena unafokea watu wazima .... Kama hao kkkt wanagoma kuachia eneo serikali hufanye Nini....mradi Ni wa serikali badala ya kuutetea unatetea upande wa pili ...hajabu...sikufagilii..husiongee kwa ghadhabu Sana...

  • @user-yd1pc8uy8x

    @user-yd1pc8uy8x

    10 ай бұрын

    Hukaelewa shida iliopo hapo kesho ikitokea shida utaaema gtz Haina umakini

  • @lowasameliyo4027

    @lowasameliyo4027

    8 ай бұрын

    Wee hujuii kitu kumbe mkuu wa wilaya alikua sahihi

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim67453 жыл бұрын

    Mkurugenzi sio ndiyo yupo karibu yako Gondwe? Ndio maana Haule anakucheka sababu ya kuongea kwa hasira .

  • @bulugubujashi6378

    @bulugubujashi6378

    3 жыл бұрын

    Gondwe hajui wakumuuliza,mhandisi anajuwa wajibu wake

  • @chiefmahucha6847

    @chiefmahucha6847

    3 жыл бұрын

    @@bulugubujashi6378 muhandisi ndo anaingia na kulipia mikataba ya Halimashauri/Manispaa? Hiyo ni kazi ya mwanasheria wa wilaya,Mkuu wa manunuzi na DT chini ya mkurugenzi.

  • @saidmtarazaki6843
    @saidmtarazaki68433 жыл бұрын

    Mheshimiwa anaongea sana

  • @kisokakasuku2137

    @kisokakasuku2137

    3 жыл бұрын

    anaongea na DC arafu kanacheka kwa dharau kanashika kitambi chake jipu ilo tumbua

  • @jimmymafufu7394
    @jimmymafufu73943 жыл бұрын

    DC Una Hekima Sana Huyo Mpuuzi Ana Dharau Sana Kama Sio Hekima Ya Mkuu Wa Wilaya Huyu Alipaswa Kula Makofi Na Kupelekwa Segerea Pumbavu Huwezi Kumdharau Kiongozi Mwenye Utu Kama Gondwe

  • @georgelusana2346

    @georgelusana2346

    3 жыл бұрын

    Hao wanajuaaana na pengine ni mtu wake wa kalibu huezz cheka hivo

  • @johnmesaya5942
    @johnmesaya59423 жыл бұрын

    Hii ndio jamii Ya ole Sabaya,gondwe hutaki mwenzako akujibu mnapandisha mabega,mjibu maswali uko sawa,usikubali mtu akuamrishe anavyotaka kwa vile tu jpm

  • @semanyenzifreddy3952
    @semanyenzifreddy39523 жыл бұрын

    Gondwe mnamkubaĺi from Rwanda

Келесі