GEORDAVIE NABII MKUU 1987

Музыка

Nabii Mkuu George Kasambale ni rafiki yangu wa ujanani siyo utotoni na inawezekana awe rafiki wa uzeeni.
Kwenye huduma wote ni waimbaji. Kuna wakati alikuwa hana video camera na Mimi nilikuwa nayo nikamrekodi akiimba na bendi Yake.
Vyombo vyote hapo kuanzia keyboard speakers na amplifiers zilikuwa kwenye miliki yangu nikatumia kuhakikisha napromote kazi ya mtumishi mwenzangu Kenya na Ulimwenguni.
Hii video niliinakili Mimi NABII MKUU Akiimba wimbo wake Yesu ndiye Njia
Hapo Cameraman na Sound Engineer nilikuwa Mimi Mtumishi Munishi na ujue tulirecodi "live"
BWANA YESU ASIFIWE KWA YOTE
1 Wakorintho 12:26-27
[26]Na kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote huumia nacho, na kiungo kimoja kikitukuzwa, viungo vyote hufurahi pamoja nacho.
[27]Basi ninyi mmekuwa mwili wa Kristo, na viungo kila kimoja peke yake.

Пікірлер: 6

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI.4 ай бұрын

    Maestro has it, long time..

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia79404 ай бұрын

    Asee ❤❤

  • @steavmcper7322
    @steavmcper73224 ай бұрын

    Ila mtumishi naomba uje utufahamishe hivi vipaji vyako ulivigunfua vipi yaani kutunga, kuimba, sound engineer, video recording and editing

  • @steavmcper7322
    @steavmcper73224 ай бұрын

    Kipi hicho nabii mkuu alikuwa mweusi

  • @MOJAZAIDI.

    @MOJAZAIDI.

    4 ай бұрын

    Wote walikua weusi, ni camera tu mzee.

  • @ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr

    @ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr

    4 ай бұрын

    Mbona simuoni gio

Келесі