GB 64 KWA MASHINE ZEGE ILIYOTUA KARABOUE CHAMOU, MASHINE YA KIVITA, WAPINZANI WASAHAU UBINGWA

Спорт

Chamou karaboue

Пікірлер: 37

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky697329 күн бұрын

    Ee Yesu nakuomba uwalinde na kuwaigania wachezaji wetu uwalinde na mabaya Amina🙏

  • @HamisiAmili-ll2we
    @HamisiAmili-ll2we29 күн бұрын

    Good good good ❤❤❤kaka

  • @SaidySaidysalum
    @SaidySaidysalum29 күн бұрын

    Simba nguvu moja 🇹🇿🇹🇿🦁🦁

  • @HassanDonyoa
    @HassanDonyoa29 күн бұрын

    Kaka gb yule manara ndio mchawi wa kwanza ametoa Siri zetu kubwa

  • @SamsonPeter-sv1ug
    @SamsonPeter-sv1ug29 күн бұрын

    Saf kak

  • @JumaMissungwiMpekaliwa
    @JumaMissungwiMpekaliwaАй бұрын

    Chamou ni mashine mpya Tena mwaka huu wavimba macho watakima

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya586429 күн бұрын

    Tatizo mnawasifia sana kabla hata hawajagika nchini tz.

  • @KhamisDilangale
    @KhamisDilangale29 күн бұрын

    GB nakuku Bali Sana ww sio mamuluki Kama chama

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli29 күн бұрын

    Uchawi upo,ila kiboko ya uchawi ni DUA na viongozi wetu wawe makini na kuyatafakarii ,,,wasafishe hata wafua Jezi

  • @user-ou4tm2xi6p
    @user-ou4tm2xi6p29 күн бұрын

    Wachezaji ote wa simba wasomewe alubadili Ili uchawi undunde

  • @user-en1re7ot8c
    @user-en1re7ot8c29 күн бұрын

    Ulisha pewa ela saiv unasifia kila kituu

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    29 күн бұрын

    Kwani kuna ulazima wa kukataa kila kitu..kinachofanywa na Adui hata kama ni kizuri..?

  • @gastonmbarila9458
    @gastonmbarila945829 күн бұрын

    Rogeni na nyie😅 mwaka uu ndo mtasema pia

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt29 күн бұрын

    Nyinyi wasifienitu ngoja tusubili akina jobe wengine.

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwaАй бұрын

    Ombeni Dua acheni mboyoyo

  • @ChristianPazza

    @ChristianPazza

    29 күн бұрын

    Ndio anachomaanish GB64

  • @KhamisDilangale
    @KhamisDilangale29 күн бұрын

    Chama wasinge muona Kama sio Simba kaka gb 64

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi14829 күн бұрын

    Kabisa kaka yangu wafante Ivo visomo jamani na maombi sisi tumechoka kutukanwa

  • @mostarwb
    @mostarwb29 күн бұрын

    Njaa tupu

  • @user-yw7uu6mc3m
    @user-yw7uu6mc3m29 күн бұрын

    Wewe bwana unabidi uwe h.r wa simba no doubt

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu452429 күн бұрын

    Simba muiten uyu jamaa anamengi

  • @MrishoMindu-zq7mz
    @MrishoMindu-zq7mz29 күн бұрын

    Iwe Nyegera nyegera. Huu mpira Sio katerero migombani.

  • @ShabaniOmari-tg6yp
    @ShabaniOmari-tg6yp29 күн бұрын

    Kama Kuna ukweli flani viiileee😅😅😅

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu452429 күн бұрын

    Manara katoa Siri nyingi

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa29 күн бұрын

    Wapishi wanaofua jenzi wote safisheni

  • @fatumahassan8425
    @fatumahassan842529 күн бұрын

    Kaka nakukubari ila usisahau kuwakumbusha mataw viongoz dua kulinda wachezaji kisomo kisomwe gb64 tunaomba

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa29 күн бұрын

    Gb 64 msiishie kwenye midia tu wachezaji wetu walindwe

  • @frankurio469
    @frankurio46929 күн бұрын

    Wazee wetu wa simba, kile chumba chenu namba nne kinawadubiri ili kuwasomea dua wachezaji wetu wakae salama!!!

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx29 күн бұрын

    uchawi upo kwenye lig yetu nyuma mwiko wanaongoza kwauchawi

  • @user-wi6ci2ms3b

    @user-wi6ci2ms3b

    29 күн бұрын

    Kumbe wasiojitambua ni wengi mbona we KUNDU wa msimbaz muliwasha moto Africa kusini

  • @FiniasBugobola

    @FiniasBugobola

    29 күн бұрын

    Umeanza kuogopa we pimbi

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt29 күн бұрын

    uwo niuwongo acha kuharibu mpla hayo wewe umeajuaje kama nanyinyi haikuwa tabizenu acha uwongo ngoja tusubili naohao watotoenu wamwa ka 2000 kuzaliwa hawa nidagaa ngoja msimu uanze hatutaki malalamiko

  • @amaniomar1755
    @amaniomar175529 күн бұрын

    Mie nataka watani muwe hivihivi mpaka msimu uanze na musibadilike mpaka uishe

  • @emanuelmkama1325

    @emanuelmkama1325

    29 күн бұрын

    Uskalili bro life

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    29 күн бұрын

    Mie nimesema nasubiri msimu uanze haya nimekariri nini hapo?

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad961529 күн бұрын

    Mnamlipa kweli huyu jamaa ?anawapa contents za bure

  • @Juliusbagasheki
    @Juliusbagasheki29 күн бұрын

    Kumbe wewe ni filimbi tu, mbona timu tulizozifunga kono sio simba tu.?

Келесі