Chamou karaboue
Ee Yesu nakuomba uwalinde na kuwaigania wachezaji wetu uwalinde na mabaya Amina🙏
Good good good ❤❤❤kaka
Simba nguvu moja 🇹🇿🇹🇿🦁🦁
Kaka gb yule manara ndio mchawi wa kwanza ametoa Siri zetu kubwa
Saf kak
Chamou ni mashine mpya Tena mwaka huu wavimba macho watakima
Tatizo mnawasifia sana kabla hata hawajagika nchini tz.
GB nakuku Bali Sana ww sio mamuluki Kama chama
Uchawi upo,ila kiboko ya uchawi ni DUA na viongozi wetu wawe makini na kuyatafakarii ,,,wasafishe hata wafua Jezi
Wachezaji ote wa simba wasomewe alubadili Ili uchawi undunde
Ulisha pewa ela saiv unasifia kila kituu
Kwani kuna ulazima wa kukataa kila kitu..kinachofanywa na Adui hata kama ni kizuri..?
Rogeni na nyie😅 mwaka uu ndo mtasema pia
Nyinyi wasifienitu ngoja tusubili akina jobe wengine.
Ombeni Dua acheni mboyoyo
Ndio anachomaanish GB64
Chama wasinge muona Kama sio Simba kaka gb 64
Kabisa kaka yangu wafante Ivo visomo jamani na maombi sisi tumechoka kutukanwa
Njaa tupu
Wewe bwana unabidi uwe h.r wa simba no doubt
Simba muiten uyu jamaa anamengi
Iwe Nyegera nyegera. Huu mpira Sio katerero migombani.
Kama Kuna ukweli flani viiileee😅😅😅
Manara katoa Siri nyingi
Wapishi wanaofua jenzi wote safisheni
Kaka nakukubari ila usisahau kuwakumbusha mataw viongoz dua kulinda wachezaji kisomo kisomwe gb64 tunaomba
Gb 64 msiishie kwenye midia tu wachezaji wetu walindwe
Wazee wetu wa simba, kile chumba chenu namba nne kinawadubiri ili kuwasomea dua wachezaji wetu wakae salama!!!
uchawi upo kwenye lig yetu nyuma mwiko wanaongoza kwauchawi
Kumbe wasiojitambua ni wengi mbona we KUNDU wa msimbaz muliwasha moto Africa kusini
Umeanza kuogopa we pimbi
uwo niuwongo acha kuharibu mpla hayo wewe umeajuaje kama nanyinyi haikuwa tabizenu acha uwongo ngoja tusubili naohao watotoenu wamwa ka 2000 kuzaliwa hawa nidagaa ngoja msimu uanze hatutaki malalamiko
Mie nataka watani muwe hivihivi mpaka msimu uanze na musibadilike mpaka uishe
Uskalili bro life
Mie nimesema nasubiri msimu uanze haya nimekariri nini hapo?
Mnamlipa kweli huyu jamaa ?anawapa contents za bure
Kumbe wewe ni filimbi tu, mbona timu tulizozifunga kono sio simba tu.?
Пікірлер: 37
Ee Yesu nakuomba uwalinde na kuwaigania wachezaji wetu uwalinde na mabaya Amina🙏
Good good good ❤❤❤kaka
Simba nguvu moja 🇹🇿🇹🇿🦁🦁
Kaka gb yule manara ndio mchawi wa kwanza ametoa Siri zetu kubwa
Saf kak
Chamou ni mashine mpya Tena mwaka huu wavimba macho watakima
Tatizo mnawasifia sana kabla hata hawajagika nchini tz.
GB nakuku Bali Sana ww sio mamuluki Kama chama
Uchawi upo,ila kiboko ya uchawi ni DUA na viongozi wetu wawe makini na kuyatafakarii ,,,wasafishe hata wafua Jezi
Wachezaji ote wa simba wasomewe alubadili Ili uchawi undunde
Ulisha pewa ela saiv unasifia kila kituu
@angellomarcel5677
29 күн бұрын
Kwani kuna ulazima wa kukataa kila kitu..kinachofanywa na Adui hata kama ni kizuri..?
Rogeni na nyie😅 mwaka uu ndo mtasema pia
Nyinyi wasifienitu ngoja tusubili akina jobe wengine.
Ombeni Dua acheni mboyoyo
@ChristianPazza
29 күн бұрын
Ndio anachomaanish GB64
Chama wasinge muona Kama sio Simba kaka gb 64
Kabisa kaka yangu wafante Ivo visomo jamani na maombi sisi tumechoka kutukanwa
Njaa tupu
Wewe bwana unabidi uwe h.r wa simba no doubt
Simba muiten uyu jamaa anamengi
Iwe Nyegera nyegera. Huu mpira Sio katerero migombani.
Kama Kuna ukweli flani viiileee😅😅😅
Manara katoa Siri nyingi
Wapishi wanaofua jenzi wote safisheni
Kaka nakukubari ila usisahau kuwakumbusha mataw viongoz dua kulinda wachezaji kisomo kisomwe gb64 tunaomba
Gb 64 msiishie kwenye midia tu wachezaji wetu walindwe
Wazee wetu wa simba, kile chumba chenu namba nne kinawadubiri ili kuwasomea dua wachezaji wetu wakae salama!!!
uchawi upo kwenye lig yetu nyuma mwiko wanaongoza kwauchawi
@user-wi6ci2ms3b
29 күн бұрын
Kumbe wasiojitambua ni wengi mbona we KUNDU wa msimbaz muliwasha moto Africa kusini
@FiniasBugobola
29 күн бұрын
Umeanza kuogopa we pimbi
uwo niuwongo acha kuharibu mpla hayo wewe umeajuaje kama nanyinyi haikuwa tabizenu acha uwongo ngoja tusubili naohao watotoenu wamwa ka 2000 kuzaliwa hawa nidagaa ngoja msimu uanze hatutaki malalamiko
Mie nataka watani muwe hivihivi mpaka msimu uanze na musibadilike mpaka uishe
@emanuelmkama1325
29 күн бұрын
Uskalili bro life
@amaniomar1755
29 күн бұрын
Mie nimesema nasubiri msimu uanze haya nimekariri nini hapo?
Mnamlipa kweli huyu jamaa ?anawapa contents za bure
Kumbe wewe ni filimbi tu, mbona timu tulizozifunga kono sio simba tu.?