GPS, FUSE,SNS mpo Juu zaidi ❤🔥👌 Sisi mashabiki wenu tunafurahii sana
@Supershopdubai-ck8td
5 күн бұрын
Kbs
@miriamvihenda74085 күн бұрын
huyu niwa kutenga na kupanga tusha kuchoka zakayo enda tu nyumbani
@binkumbesa41815 күн бұрын
Dj Smaa utazungumza kiakili sana. Mara nyingi wenye mihemko na elimu za kikoloni wanachelewa sana kukuelewa
@amriseleman93955 күн бұрын
DJ SMAA...... GPS..... GEOPOLITICS......❤ SNS.......❤ DJ SMA...HONGERA SANA. WEWE NI PURE GEOPOLITICS ANALYST KABISA.
@SundayMtachi5 күн бұрын
Hawasikilizi but problem solving skills ni common for a particular problem ni vitu zimewahi kufanyika miaka na miaka not only in Kenya
@BillyJames-l6x5 күн бұрын
Ruto hawezi sikiliza sijui GPS sijui nn huyo ni gaidi na hivi vitu mnaongelea vimeongelewa kenya hadi tumechoka ndio maana tukaenda barabarani .Kama Ruto aliskiza baada ya vifo na majeruhi we unadhani podcast inaeza mfanya abidili nia???
@BabuGga-td3mg5 күн бұрын
Dots, facts & Logic ✊🏿
@Supershopdubai-ck8td5 күн бұрын
Good job sma unaweza ubalikiwesan from 🇧🇮💐🙏🔥
@kassimbayuu52175 күн бұрын
Smaa hongera kwa kazi nzuri sana,
@billskeez925 күн бұрын
Uuwiano unaendana kabisa istoshi inaonekana vipindi vya Sns vinaenda vairo🔥
@user-dg7wf6fg2j5 күн бұрын
Wananchi wakichoka 😢😢😢ndio haya yanayotokea mabadiliko yanakuja africa
@user-yp9el7xp8g5 күн бұрын
Tupewe paybill ya china tutajilipia deni wenyewe #KENYA
@user-ke1hb4pk7h
4 күн бұрын
Umenimaliza😂😂
@dorahbenard18375 күн бұрын
Daa! Smaa wonderful 👏🙌👍 asantee kwa hizi tips wewe unastahili ka ulinzi flani hiv una akili yako inayo hitajika na kiongoz wa nchi za Africa
Dj Smaa Akili kubwa sana Mungu akuongoze brother unatufungua kwa mengi sana God bless you 🙏
@omarybakunda25545 күн бұрын
Nimegundua sns ni shule ya viongozi wetu.
@mahamedabdi18815 күн бұрын
Dj smaa bro uko vizuri sana keep going keep continue
@missp18145 күн бұрын
SnS inasikilizwa na watu wengi,itakuwa washauri wake wanasikiliza wanampa madini nini afanye.....maana sahivi Ruto anatafuta njia ya namna gani kurudisha imani kwa wakenya.
@allykwaya5 күн бұрын
Dj smaa. Unamaono, Madam President washauri wake mko wapi??? VIJANA Kama hawa awape kazi wamsaidie kuijenga nchi. INSHAAALLAH IPO NAIMANI UTAKUWA
@SamuelOuma-uy2ci5 күн бұрын
DJ sma mimi natokea 254ila nakufatilia mno
@kekiplus1andonly5 күн бұрын
Wakenya wameamua
@xfamefatetv5 күн бұрын
But Your talents #GPS are great
@malkavoice25705 күн бұрын
Ruto hana maadili ya kuiongoza Kenya anatumia weledi pekeyake alafu wakenya wanahitaji maarifa coz hawana lugha sahihi ya kuelewana baina yao. Kawaambie hivyo wakenya waache wehu
@mscantraah8210
5 күн бұрын
Hatumtaki kabisa Hana maana wa Lani dhamu huyo hafai kuwa rais wa kenya
@user-yk8em1bh8g
5 күн бұрын
@@mscantraah8210Ila MUNGU amewalpa Maana mulimchukia Odinga kisa almleta diamond kwenye uchaguz ksa hajamchukua msanii wa Kenya.
@djafro87295 күн бұрын
Mimi ni mkenya. Zakayo uongo na propaganda kama za Amerika ndio mingi
@EdwinKihumbe5 күн бұрын
GPS akili kubwa
@khalfanmlala50935 күн бұрын
Kiukweli unaogea sana vitu vyaukweli
@user-xi1pi4zr3b4 күн бұрын
Ruto must Go ata diaspora kenyans wamemkataa
@niffonlinetz72145 күн бұрын
MWANETU DJ SMA THE GENIUS MAN
@Abdulrahmanhassan185 күн бұрын
Dj sma ulikuwa mbele ya muda
@MuthamaSabastian4 күн бұрын
Alafu mupange nawao na mutenge na muahidi ama ni namna gani nyinyi wangwana na my friends
@jeremiahcharles60275 күн бұрын
Nawakubali sana ,,,,,,,nice
@yahayaannu36635 күн бұрын
Warra DJ smaa 🎉🎉🎉
@kwisa48994 күн бұрын
sasa maandamano gani hayo pasipo shindikizo langu unawajua vizuri wanasiasa wa Africa
@user-qq6mv6vh3e5 күн бұрын
Mwamba Djay smaa
@ramasefu97195 күн бұрын
Waongoh wenywe ndi0 wana maliza mali za inchi izo magari zanini
@rehemathoya87545 күн бұрын
Let then cut down salaries of the mps, na watoe ma senators, MCs wanakula pesa za bure
@user-su8yl5pe3r5 күн бұрын
Huo mswaada haukua hi wa bunge huo mswada uliandaliwa na IMF
@ankalmzito2545 күн бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪mpoo humu ndanii....❓❓
@KelvinShirima-g6s5 күн бұрын
Big up brother
@mtumoja69455 күн бұрын
Mm ni Mkenya lakini uyo ni muongo sana ruto
@GeorgeAkasha-zx2rj
5 күн бұрын
Mbona mmechoka Ruto mapema sana au haya ni Maoni yako binafsi na si ya wakenya?
@gabapentin80705 күн бұрын
🔥🔥🔥
@samuelally4355 күн бұрын
Pomoja
@Mimi.Official5 күн бұрын
Nyinyi hamjui kwa nini watu wanavunja na kuchukua vitu. Ushajiuliza kwa nini 😂😂😂 hata hao police huchukua na hawafanywi kitu kwanza wanajeshi wanaingia supermarket anachukua shopping ya chakula anatoka anaenda. Na si kila maadamano watu huvunja 😅😅😂😂
@fredrickshantiwa97105 күн бұрын
Kaka tunaomba utusaidie uchambuzi wa swala la mpina
@allymtapera53705 күн бұрын
Wakenya elewaneni ,mkuu kashaona palipotoboka
@maxozone37625 күн бұрын
Huyu zakayo MTU mmoja asiye timiza ahadi
@djafro87295 күн бұрын
Ruto alikuwa makamu wa raisi miaka kumi alifanya nini. Raisi miaka mbili amefanya nini
The genius DJ SMA Huyu jamaa atunzwe kwenye nchi hii maana anafaa hata kua raisi wa nchi huyu mtu ni Big brain tusimchukulie poa
@user-qg1cc1yx7f5 күн бұрын
Jana FAIZA Aly akasema wa Kenya Maskini kwa kutukejeli
@alibinali_
5 күн бұрын
Sawa wa Tanzania matajiri
@deekendi1915 күн бұрын
Tatizo sio expenditure, wizi na greed ndo tatizo.
@isabellarkageha7707
5 күн бұрын
True
@user-pt8wo4ss2p5 күн бұрын
Mimi kwa maoni yangu ukitaka kubana wananchi wakati selekaili inakulabata sio lakini ukianza kwa selekali ikapunguza matumizi yake na ukaongeza kodi inakua balas
@KhafisaAli5 күн бұрын
Huyu kaenda kuchukuwa silaha za marekani ambazo sio saizi yake
@nomoboy152
5 күн бұрын
Sasa hizo silaha na magari ndege na kila kitu za kimarekani anataka azitumieje anavita na nani au anajilinda na nan kama ulinzi wa nchi Hilo jeshi mbona lilikua linamtosha viongozi wa Africa ni miyayusho sana
@allahisone6386
5 күн бұрын
NIKWELIIIII KBSAAAAAA
@rajabdibwa64155 күн бұрын
Nothing new! We don't want dialogue!
@papybenshi24635 күн бұрын
DJ SMA nakukubali sana
@faisalahmed77575 күн бұрын
Vijana ndo wamechoma cz huelewek iZAKAYO MUST GOO
@STEVEN-f6g5 күн бұрын
Master mind djsmaa
@zenooernest185 күн бұрын
Ruto #Genius sana
@kimah98555 күн бұрын
Ruto must go
@user-qq6mv6vh3e
5 күн бұрын
😂😂
@MohammediKihimbwa-bj4pf5 күн бұрын
Miya
@ZainabLol-wx7xf5 күн бұрын
GEN Z 🇰🇪
@mohamedsheealom87455 күн бұрын
Kwahio ilochomwa ni biashara..kwao ambazo ni pesa kutoka kwa wana nchi kuwalipa wao kwa kazi tunataka kufanyiwa....
KAMA SISI TULIVYOONGEZEWA KODI KWNYE LUKU BADALA YA 1500 SAS HVI 2000 MAMAE MBNA TUTANYOOKA
@djafro87295 күн бұрын
Tutachoma state house
@allahisone6386
5 күн бұрын
Eeweeeeeh_🤔
@allymwilu80895 күн бұрын
Wakened wangejua walimpata raisi mmoja wa maana sana wanachezea watamkumbuka huyu
@gaushehbshshehe38305 күн бұрын
Sns u dont understand this man Ruto tell me which promise hhas he fullfilled so usijafante ww unajua siasa za kenya
@jameskenny18085 күн бұрын
Ume tuma jeshi la Kenya Congo kuuwa wa Congo but remember that one day you will pay back your stupidity With usa and Europe union. Ila ha muta weza hata kidogo
@Laughfun485 күн бұрын
DJ SMA elewa Ruto hayuko tayari kuzungumza na wananchi kutafta suluhisho yake ni maneno mazuri tu,nia yake ni kutuliza maandamano kwasababu serikali yake imetikiswa anatumia the last line of defense (KDF) wakenya hawamwamini hata kidogo. Shida ya wakenya sio kulipa kodi bali matumizi na ufisadi Yanayoendelea hayataisha rahisi Maandamano yapo tena sana fanya utafiti kwa wakenya uelewe kindani kinachoendelea
@kakawamashariki89785 күн бұрын
Anatusikikiza au anatusikiliza? Uhariri wa kichwa cha habari.
@SalumJuma-iz2gj5 күн бұрын
App munatafuta sababu muwakamate wakeny miwaeke ndanitu mnajidai walio vunja bunge si wakenya atanyinyi mukiingia kweny kuminanane zao watawavunja by tz
@danielikonyeeki2545 күн бұрын
Anadanganywa na IMF(criminal organization).Amekua kibaraka
@jeanclaudeakili23724 күн бұрын
I don’t understanding how African contry have debt????😢😢😢😢???? And why??? No one will make me understand how African people had a debt 💸 for those grids West contry??????? In my life I want to understand that… Look 👀 our slavery since 1700 years ago to the colonization…and the Leaders of Africa pale hana Akili eti wa Afrika tuna ma Deni???? West contrys ndo wana deni letu kuuuuuuubwa na I don’t think 🤔 they can pay it for us Afrika….????????😢
@Kakaaomar5 күн бұрын
aminia hamna jipia kutoka kwake yote maneno tuu bila vitendo chamisingi hapa huyu jamaa aende tuu nyumbani
@kdloon20305 күн бұрын
Ruto kaisha ingiwa na hofu ya kuondolewa madarakani,usichezee nguvu ya raia unao waongoza pale wanapo ungana na kuamua moja!Tanzania tuendelee tuu kuwa na nidham ya uoga,tulio rithishwa!
@MohammedBwanga5 күн бұрын
Maandamano nchini Kenya wamo waloandamana kw ajili ya bajeti,lkn wapo wahalifu,waporaji,lkn naamini wapo waanndamizi waliovurugwa na safari ya Ruto nchini marekani kibajeti lkn Pia kwnini Ruto katika kipindi hiki cha geopolitics Hali olivyo Alf. Anafanya ushiruka na marekani?
@alibinali_5 күн бұрын
Ruto amewadangaya wakenya sana alipewa nasafi ya kutimiza aliyo ya sema ata yatimiza sahi amebadilika kazi yake ni kudanganya wakenya na kuchukuwa hela zao hao anao waita waizi ndio ni wanaichi na ndio walimpa kura ruto mpaka leo hakuna chamaana alicho kifanya #rutomustgo
@Mariam-fm8vq5 күн бұрын
Huezi tubeba ufala RUTO
@user-sd5hj2im4q5 күн бұрын
Tuletee vita Israel vs Hesbollah
@trendz_25485 күн бұрын
😂😂😂😂😂Sma huyu jamaa muongo ajabu angalia interview leo usiku ndo uone ni nani.ameshatuuza sai anateka nyara watu hadi sasa hataki amani anatafuta wakubwa ni nani
@NdovuDentalClinic_5 күн бұрын
Sinza madukani #ndovudentalclinic
@FrankKashamakula-xb1pc5 күн бұрын
Tanzania we Have Serious problems here kwanini Tusiwe tunazungumza hapa kama vijana ebu tubadilike wa Tanzania
@mukrimkhamis678
5 күн бұрын
Ushamiss kufariki kk bc fanya uo ujinga ni bora ukae kimya tu😂😂
@pesaspy_tv5 күн бұрын
Huyu Ruto anashinikzo kutoka marekani ndy maana anaafanyiwa maandamano hapo Kenya
@kwisa4899
4 күн бұрын
ongeza kufikiria basi
@mdl64635 күн бұрын
RUTO anacheka na mtu hafai kuwa kiongozi kiongozi unatakiwa kuwa mkali
@user-pt8wo4ss2p5 күн бұрын
Selekali ikaroa v8 nakutumia suzuki na mengineyo mengi wanaichi watawaelewa
@isabellarkageha77075 күн бұрын
Corruption ndio imejaa kwa serikali yako
@hamadiharuna99745 күн бұрын
Amesikia ushauri wako
@MrAslan475 күн бұрын
itakuw vizur wakika wakaaaongey
@Yayouselim5 күн бұрын
Mume Tisha wazee nyie ndo mpango mzima
@betinvestment32045 күн бұрын
Kwa haraka km ww nimsoma akili utagundua kwa kauli ya ruto afai tu kua kiongozi kwa wakenya wanachoma hadi nyumba za wabunge ambao wamepiga kura ndyo ili wananchi waumie alaf wewe unasema tutawakamata alaf unasema tumekubali tukae chini tuongee vipi nahao wananchi walio uwawa wakenya nao wakae chini muyaongee sindiyo? 😮😮
@Elizabeth-gq9kl5 күн бұрын
Watuwake waliwasikiliza.
@user-sd5hj2im4q5 күн бұрын
Yamkosaji ayo amekwisha uyo RUTO laana ya kuwakbali mashoga wa magharibi
Пікірлер: 143
GPS, FUSE,SNS mpo Juu zaidi ❤🔥👌 Sisi mashabiki wenu tunafurahii sana
@Supershopdubai-ck8td
5 күн бұрын
Kbs
huyu niwa kutenga na kupanga tusha kuchoka zakayo enda tu nyumbani
Dj Smaa utazungumza kiakili sana. Mara nyingi wenye mihemko na elimu za kikoloni wanachelewa sana kukuelewa
DJ SMAA...... GPS..... GEOPOLITICS......❤ SNS.......❤ DJ SMA...HONGERA SANA. WEWE NI PURE GEOPOLITICS ANALYST KABISA.
Hawasikilizi but problem solving skills ni common for a particular problem ni vitu zimewahi kufanyika miaka na miaka not only in Kenya
Ruto hawezi sikiliza sijui GPS sijui nn huyo ni gaidi na hivi vitu mnaongelea vimeongelewa kenya hadi tumechoka ndio maana tukaenda barabarani .Kama Ruto aliskiza baada ya vifo na majeruhi we unadhani podcast inaeza mfanya abidili nia???
Dots, facts & Logic ✊🏿
Good job sma unaweza ubalikiwesan from 🇧🇮💐🙏🔥
Smaa hongera kwa kazi nzuri sana,
Uuwiano unaendana kabisa istoshi inaonekana vipindi vya Sns vinaenda vairo🔥
Wananchi wakichoka 😢😢😢ndio haya yanayotokea mabadiliko yanakuja africa
Tupewe paybill ya china tutajilipia deni wenyewe #KENYA
@user-ke1hb4pk7h
4 күн бұрын
Umenimaliza😂😂
Daa! Smaa wonderful 👏🙌👍 asantee kwa hizi tips wewe unastahili ka ulinzi flani hiv una akili yako inayo hitajika na kiongoz wa nchi za Africa
Sns mnafanya kazi nzuri. Msichukukulie poa wakubwa wanachukua ushsuri wenu sema kimyakimya. 🎉🎉
Tunafuatilia kwa ukaribu sana❤ from kenya
Kudadeki big up Sana dj smaa na SNS 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌.
Dj Smaa Akili kubwa sana Mungu akuongoze brother unatufungua kwa mengi sana God bless you 🙏
Nimegundua sns ni shule ya viongozi wetu.
Dj smaa bro uko vizuri sana keep going keep continue
SnS inasikilizwa na watu wengi,itakuwa washauri wake wanasikiliza wanampa madini nini afanye.....maana sahivi Ruto anatafuta njia ya namna gani kurudisha imani kwa wakenya.
Dj smaa. Unamaono, Madam President washauri wake mko wapi??? VIJANA Kama hawa awape kazi wamsaidie kuijenga nchi. INSHAAALLAH IPO NAIMANI UTAKUWA
DJ sma mimi natokea 254ila nakufatilia mno
Wakenya wameamua
But Your talents #GPS are great
Ruto hana maadili ya kuiongoza Kenya anatumia weledi pekeyake alafu wakenya wanahitaji maarifa coz hawana lugha sahihi ya kuelewana baina yao. Kawaambie hivyo wakenya waache wehu
@mscantraah8210
5 күн бұрын
Hatumtaki kabisa Hana maana wa Lani dhamu huyo hafai kuwa rais wa kenya
@user-yk8em1bh8g
5 күн бұрын
@@mscantraah8210Ila MUNGU amewalpa Maana mulimchukia Odinga kisa almleta diamond kwenye uchaguz ksa hajamchukua msanii wa Kenya.
Mimi ni mkenya. Zakayo uongo na propaganda kama za Amerika ndio mingi
GPS akili kubwa
Kiukweli unaogea sana vitu vyaukweli
Ruto must Go ata diaspora kenyans wamemkataa
MWANETU DJ SMA THE GENIUS MAN
Dj sma ulikuwa mbele ya muda
Alafu mupange nawao na mutenge na muahidi ama ni namna gani nyinyi wangwana na my friends
Nawakubali sana ,,,,,,,nice
Warra DJ smaa 🎉🎉🎉
sasa maandamano gani hayo pasipo shindikizo langu unawajua vizuri wanasiasa wa Africa
Mwamba Djay smaa
Waongoh wenywe ndi0 wana maliza mali za inchi izo magari zanini
Let then cut down salaries of the mps, na watoe ma senators, MCs wanakula pesa za bure
Huo mswaada haukua hi wa bunge huo mswada uliandaliwa na IMF
🇰🇪🇰🇪🇰🇪mpoo humu ndanii....❓❓
Big up brother
Mm ni Mkenya lakini uyo ni muongo sana ruto
@GeorgeAkasha-zx2rj
5 күн бұрын
Mbona mmechoka Ruto mapema sana au haya ni Maoni yako binafsi na si ya wakenya?
🔥🔥🔥
Pomoja
Nyinyi hamjui kwa nini watu wanavunja na kuchukua vitu. Ushajiuliza kwa nini 😂😂😂 hata hao police huchukua na hawafanywi kitu kwanza wanajeshi wanaingia supermarket anachukua shopping ya chakula anatoka anaenda. Na si kila maadamano watu huvunja 😅😅😂😂
Kaka tunaomba utusaidie uchambuzi wa swala la mpina
Wakenya elewaneni ,mkuu kashaona palipotoboka
Huyu zakayo MTU mmoja asiye timiza ahadi
Ruto alikuwa makamu wa raisi miaka kumi alifanya nini. Raisi miaka mbili amefanya nini
@allahisone6386
5 күн бұрын
AJABU
Laiti angesema mapema tho is too late now
Madeni yatatuua waafrica.
genius sns😂😂😂😂🙏🙏🤝🤝🤝nandoman nika chaguwa sns kunavicha 😂
The genius DJ SMA Huyu jamaa atunzwe kwenye nchi hii maana anafaa hata kua raisi wa nchi huyu mtu ni Big brain tusimchukulie poa
Jana FAIZA Aly akasema wa Kenya Maskini kwa kutukejeli
@alibinali_
5 күн бұрын
Sawa wa Tanzania matajiri
Tatizo sio expenditure, wizi na greed ndo tatizo.
@isabellarkageha7707
5 күн бұрын
True
Mimi kwa maoni yangu ukitaka kubana wananchi wakati selekaili inakulabata sio lakini ukianza kwa selekali ikapunguza matumizi yake na ukaongeza kodi inakua balas
Huyu kaenda kuchukuwa silaha za marekani ambazo sio saizi yake
@nomoboy152
5 күн бұрын
Sasa hizo silaha na magari ndege na kila kitu za kimarekani anataka azitumieje anavita na nani au anajilinda na nan kama ulinzi wa nchi Hilo jeshi mbona lilikua linamtosha viongozi wa Africa ni miyayusho sana
@allahisone6386
5 күн бұрын
NIKWELIIIII KBSAAAAAA
Nothing new! We don't want dialogue!
DJ SMA nakukubali sana
Vijana ndo wamechoma cz huelewek iZAKAYO MUST GOO
Master mind djsmaa
Ruto #Genius sana
Ruto must go
@user-qq6mv6vh3e
5 күн бұрын
😂😂
Miya
GEN Z 🇰🇪
Kwahio ilochomwa ni biashara..kwao ambazo ni pesa kutoka kwa wana nchi kuwalipa wao kwa kazi tunataka kufanyiwa....
Kakoma
Nyenyenye wakwanza sijui naomba like zenu😂😂😂😊
@kaittheleast
5 күн бұрын
Umemuwahi mtu wa kwanza kuomba like
Atoke huyooo kwel Kagame sio mshauli mzili inchii masikini itashauli nini inchiii tajili
Brother ndio kazi yako na ww
Sanaaa mkuuu
KAMA SISI TULIVYOONGEZEWA KODI KWNYE LUKU BADALA YA 1500 SAS HVI 2000 MAMAE MBNA TUTANYOOKA
Tutachoma state house
@allahisone6386
5 күн бұрын
Eeweeeeeh_🤔
Wakened wangejua walimpata raisi mmoja wa maana sana wanachezea watamkumbuka huyu
Sns u dont understand this man Ruto tell me which promise hhas he fullfilled so usijafante ww unajua siasa za kenya
Ume tuma jeshi la Kenya Congo kuuwa wa Congo but remember that one day you will pay back your stupidity With usa and Europe union. Ila ha muta weza hata kidogo
DJ SMA elewa Ruto hayuko tayari kuzungumza na wananchi kutafta suluhisho yake ni maneno mazuri tu,nia yake ni kutuliza maandamano kwasababu serikali yake imetikiswa anatumia the last line of defense (KDF) wakenya hawamwamini hata kidogo. Shida ya wakenya sio kulipa kodi bali matumizi na ufisadi Yanayoendelea hayataisha rahisi Maandamano yapo tena sana fanya utafiti kwa wakenya uelewe kindani kinachoendelea
Anatusikikiza au anatusikiliza? Uhariri wa kichwa cha habari.
App munatafuta sababu muwakamate wakeny miwaeke ndanitu mnajidai walio vunja bunge si wakenya atanyinyi mukiingia kweny kuminanane zao watawavunja by tz
Anadanganywa na IMF(criminal organization).Amekua kibaraka
I don’t understanding how African contry have debt????😢😢😢😢???? And why??? No one will make me understand how African people had a debt 💸 for those grids West contry??????? In my life I want to understand that… Look 👀 our slavery since 1700 years ago to the colonization…and the Leaders of Africa pale hana Akili eti wa Afrika tuna ma Deni???? West contrys ndo wana deni letu kuuuuuuubwa na I don’t think 🤔 they can pay it for us Afrika….????????😢
aminia hamna jipia kutoka kwake yote maneno tuu bila vitendo chamisingi hapa huyu jamaa aende tuu nyumbani
Ruto kaisha ingiwa na hofu ya kuondolewa madarakani,usichezee nguvu ya raia unao waongoza pale wanapo ungana na kuamua moja!Tanzania tuendelee tuu kuwa na nidham ya uoga,tulio rithishwa!
Maandamano nchini Kenya wamo waloandamana kw ajili ya bajeti,lkn wapo wahalifu,waporaji,lkn naamini wapo waanndamizi waliovurugwa na safari ya Ruto nchini marekani kibajeti lkn Pia kwnini Ruto katika kipindi hiki cha geopolitics Hali olivyo Alf. Anafanya ushiruka na marekani?
Ruto amewadangaya wakenya sana alipewa nasafi ya kutimiza aliyo ya sema ata yatimiza sahi amebadilika kazi yake ni kudanganya wakenya na kuchukuwa hela zao hao anao waita waizi ndio ni wanaichi na ndio walimpa kura ruto mpaka leo hakuna chamaana alicho kifanya #rutomustgo
Huezi tubeba ufala RUTO
Tuletee vita Israel vs Hesbollah
😂😂😂😂😂Sma huyu jamaa muongo ajabu angalia interview leo usiku ndo uone ni nani.ameshatuuza sai anateka nyara watu hadi sasa hataki amani anatafuta wakubwa ni nani
Sinza madukani #ndovudentalclinic
Tanzania we Have Serious problems here kwanini Tusiwe tunazungumza hapa kama vijana ebu tubadilike wa Tanzania
@mukrimkhamis678
5 күн бұрын
Ushamiss kufariki kk bc fanya uo ujinga ni bora ukae kimya tu😂😂
Huyu Ruto anashinikzo kutoka marekani ndy maana anaafanyiwa maandamano hapo Kenya
@kwisa4899
4 күн бұрын
ongeza kufikiria basi
RUTO anacheka na mtu hafai kuwa kiongozi kiongozi unatakiwa kuwa mkali
Selekali ikaroa v8 nakutumia suzuki na mengineyo mengi wanaichi watawaelewa
Corruption ndio imejaa kwa serikali yako
Amesikia ushauri wako
itakuw vizur wakika wakaaaongey
Mume Tisha wazee nyie ndo mpango mzima
Kwa haraka km ww nimsoma akili utagundua kwa kauli ya ruto afai tu kua kiongozi kwa wakenya wanachoma hadi nyumba za wabunge ambao wamepiga kura ndyo ili wananchi waumie alaf wewe unasema tutawakamata alaf unasema tumekubali tukae chini tuongee vipi nahao wananchi walio uwawa wakenya nao wakae chini muyaongee sindiyo? 😮😮
Watuwake waliwasikiliza.
Yamkosaji ayo amekwisha uyo RUTO laana ya kuwakbali mashoga wa magharibi