FULL VIDEO: WOLPER NA RICH MITINDO WALIVYOFUNGA NDOA KANISANI
Жүктеу.....
Пікірлер: 224
@scholarmawala1403 Жыл бұрын
Huyu ndiye uliyepewa na Mungu mwanangu Wolper. Mungu awatunze vzr na uzao wenu.🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
@merrynancesimon1562 Жыл бұрын
Maisha yanabadilika Sana MUNGU Kwanza utakuta unahangaika na mahusiano kumbe sio wako. wako wa ubavuni MUNGU kamuweka mwisho 🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️jina la bwana libarikiwe milele 💋💋❤️ hongera na ikawe BARAKA na Amani na utulivu na upendo 😘😘😘😘
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Kabisaaa jmn😨😨
@jamilasalim7165
Жыл бұрын
Aamin 👏
@jacksonkilonzo1439
Жыл бұрын
Munge alimuepusha na Ganjer smoker
@rahimaaaaa5682
Жыл бұрын
Kweli kbs
@roseatieno6691
Жыл бұрын
@@jacksonkilonzo1439 🤣🤣🤣🤣afu tena ni play boy .
@auntmakochela4202 Жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah 😘😘😘😘 ndoa tamu nyie asikwambie mtu
@maishayangu9216 Жыл бұрын
This has been the part i was looking for. Dada Jackie. Mungu ni mwaminifu na kwa yote umepitia na wote waongo wamekusema siku nyingi sasa aibu ni yao, kwani Mungu mwenyezi ndiye umchagulia mtu amfaaye. Tunza ndoa yako na mbarikiwe nyote na mumeo kwa ndoa na familia mmeianza. Mungu ni mwema!
@happybanda4674 Жыл бұрын
Watu wakiwa wanafnya jambo laeli inabidi kuwaombea nasio kuandika ujinga
@dama4995
Жыл бұрын
Kuna watu hujiona wasafi kuliko wenzao utadhan dunia niya kwao
@happybanda4674
Жыл бұрын
Saw
@minaelnathanael1846
Жыл бұрын
Umeona eeh. Tumuache wolper atulie
@gradnessshitindi3694 Жыл бұрын
Ila Jack kapendezaaa nyiee😋😋 kwanza gauni n la kiheshima sanaaa
@supertallone1902 Жыл бұрын
Leo ni birthday yangu jamani💕19November Hongera dada Jack! Umetoka mbali na hapa ulipofika zidi kumshukuru MUNGU. Mimi ni mmoja wa wale niliokua nikikuombea uwe furaha na fanaka katika maisha yako! Kamtunze mumeo dada hongera sanaaa❤
@MaaneML Жыл бұрын
Gaun la bi harusi Jack la kiwango la heshima. ♥️♥️♥️♥️
@nasraabdallah850
Жыл бұрын
Mno
@blandinaamina1157
Жыл бұрын
Ana heshima saan❤️❤️
@emmaponera225
Жыл бұрын
Mavazi yake ya heshima Sana yupo tofauti Sana na wasanii wengine
@sacg9783 Жыл бұрын
MUNGU awabariki ktk ndoa na maisha yenu nimependa mnoo🤝🙏🙏🙏
@scollantandu6278 Жыл бұрын
MUNGU BABA ukaibariki ndoa hii ikadumu, hadi kifo kiwatenganishe AMEN 🙏🙏🙏♥️
@fatmabaruti8638 Жыл бұрын
Mashaaaallh.. hongereni sana shetani na akatwe miguu asiweze kufika kwenu.mungu awajalie muombe siku zote.
@aishamother9943 Жыл бұрын
Nakumbuka aliposema, amepata the best ,mwanzo alikuwa anatembea na vichaa vichaa 😀😀😀😀mungu hawatangulie kwenye ndoa yenu Ameena
@oliviaseth4652 Жыл бұрын
Ziba masikio, bwana na bi harusi mmependeza mno MUNGU AILINDE NDOA YENU.
@sebonikegobi6244 Жыл бұрын
Mungu awabariki nawatakia maisha ya amani na furaha naomba na wengine muige kuliko kudanganyana
@saidakwamboka4739 Жыл бұрын
Kutoka Kenya kwaza nitulivu yaani nimeipenda sana dadangu mungu akupariki mbaka madui washangae ❣️❣️❣️❣️❣️❣️👌👌👌👌👌🔥🔥🔥🔥
@eppiemodest Жыл бұрын
Amazing wedding I have ever seen before. Look at wedding dress. Mmmm ni ya ghali sana. Kwa kweli Wolper kajiandaa kisawasawa. Fanya sadaka ya shukrani kwa kufanikisha ili Mungu azidi kuimarisha ndoa yenu. Hongera Jackline Wolper. Wachaga mpo. Hawanaga dogo kwenye sherehe hasa za ndoa. Congratulations again and again.
@lovenesslameck7631 Жыл бұрын
Dah nawapenda nyie watu bac2 mwenyez Mungu awalinde na awakinge na watu wabaya upendo na amani zikatawale ndani na njee ya ndoa yenu😍😘💞💞
@mawazomwamba2667 Жыл бұрын
Hongera Wolper umependeza sana ❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥💋💋💋💋💋💋
@glorydaniel8624 Жыл бұрын
Hongera dada jack hatimaye umepata fungu lako
@solsimaniakanam7843 Жыл бұрын
Mimi namushukuru Mungu kama dadayetu amefikiyahapa hebuasahauyote aishina mumewake salama hakinivema kuishina munewako dadaa
@saidimagala15
Жыл бұрын
Kwautabili Wang was leo konde akiangaria video hii ataria Mana alivyokuwa anakuchezea araf akakubwaga du! Mana maex wakiume hawapendag kutuona tufanikiwe hongera dada mmependeza Sana wanao mpenda wolpar piga kerereeeee
@castismaruga4509 Жыл бұрын
Hongera Sana. Na ikawe Heri ndoa yenu🙏🙏🙏. Nawaombea kuyaishi maagano yenu mliyoagana mbela ya Mungu.
@mattyhappy1581 Жыл бұрын
Hongereni sana Mungu akawe pamoja na nyie,,mnafundisha na wengine thas nice
@rosemery3017 Жыл бұрын
Jmn wangapi wameona maharusi wakiomeana aibu kama vile ndio wamejuana Leo haki vile kuna ka filling nimekasikia siwezi hadithia maana ni kafilling ka milele hako Yan nimefurah kama ni Mimi naolewa mungu awape maisha marefu na baraka tele kwenye ndoa Yao 🍎😍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘
@janetjohn2276
Жыл бұрын
Hongereni sana, ndoa ikadumu
@janefrolakalinga5664 Жыл бұрын
Hongeren sn mlioendeza mno M,Mungu akawabarik ndoa yenu ikawe ya heri cku zote za maisha yenu
@filmanchimbi1190 Жыл бұрын
Hongera Sana rich na wolper Kwa maamuzi yenu mbarikiwe Sana muwalee watoto wenu ktk misingi ya kuwa na hofu na mungu
@afrigrowers Жыл бұрын
Kuanzia leo wolper hazini tena anafanya tendo halali
@saidingailenairoshi3194 Жыл бұрын
Pongezi sana kwenu wanandoa mungu awajalie makuu kwenye ndoa yenu na maisha marefu yenye furaha siku zote za maisha yenu 💗💗
@kagoyemwambal9061 Жыл бұрын
Acha kuwaombea mabaya wenzio ..waachane Kwa nn..
@beatricepallangyo2821 Жыл бұрын
Hongera sana Mr & Mrs Bruno
@inshrahnassor8773 Жыл бұрын
Ulipendeza sana my na nguo yaheshima nimependa japo nimsaani maarufu lkn hukuvaa nguo zakukueka uchi mungu aidumishe ndoa yako❤
@d.m453 Жыл бұрын
Shela kilo 50,na joto la Dar,,,hongereni sana
@Hahaha-yf4ug Жыл бұрын
Hadi nimelia juu ya furaha kuusu worpa congregation my kipenzi❤️❤️❤️
@omaryadam6884
Жыл бұрын
Umelia kweli my dear?
@Hahaha-yf4ug
Жыл бұрын
Yes jui ya furaha
@rittaoman1460 Жыл бұрын
Tunasumbuka nawalesiyowetu mungu katuwekeyawetu kirasiku muwe munakumbuka ayomaneno muni apa mbereyakanisa yamungu
@aganzeflorence3677 Жыл бұрын
Dada wolper nafurahi kuona mungo anakupa doa kamilifu mbele ya macho ya watu na wazazi wako ila cha kukwambiya safari ya doa nindefu ila Ula ikiwa muvumilivu na kumutegemeya mungu nakuomba sans utaweza kilala liturgy
@nuruanania7091 Жыл бұрын
Huyu mwanaume anaraha had mm naona...haifichi yaani
@bintimohamed2646 Жыл бұрын
May GOD guide this marriage in Jesus name l pray Amen 🙏🏽🙏🏽🎁💞😍💓💍👜
@vickyshayo7880 Жыл бұрын
Mungu awalinde na akutunze ndoa yenu idumu na kudumu na Mungu awamiminie baraka zake katika ndoa yenu wanangu
@akoneve7852 Жыл бұрын
Congratulations my mentor Jacky Wolper mob love mungu habariki ndoa yenu ameni🙏
@nasraabdallah850 Жыл бұрын
Hongeren mwaya🤗mmependeza💕😘👌 sn mung awabariki ktk ndoa yenu🤲nas ambao bado mung atulaalie tupate mwenza wema 🤲🤲
@agnessnestory3520 Жыл бұрын
Mungu awe mshauri Wenu mkuu katika ndoa yenu
@mamaallen2801 Жыл бұрын
Hongera dada Jacki mungu akutangulie kwenye ndoa yako
@happinessstweve7131 Жыл бұрын
Mungu akawe baraka juuu yandoa yenu naakawe kiongozi wenu kwakila hatua ikadumu maladufu naikawe mfano wa kuigwa na wengine
@judithsalvatory2892 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki dada ulistahili kupata mum kutoka kwa Mungu hongera sana nakupendaga sana
@radhiarajabu8219 Жыл бұрын
Mmependeza sanasana, Mungu awajaalie mapenzi, mahaba na masikizano, ila bwana harusi utulivu zero
@barakarobert1029 Жыл бұрын
Leo kavua heleni mwnamume usivae tena maeleni kama demu3sasa umekuba baba official
@zena6203 Жыл бұрын
Piga kelele kwabiharusi wetu kapendeza hadi kapendeza tena watu nanyota zao mjini nasio kudanga😄😄😄😄😄😄wadangaji mpoo
@minaelnathanael1846 Жыл бұрын
Padre hongera sana kwa kuifunga hii ndoa
@annamarialivangala3304 Жыл бұрын
Congratulations Jackie, Mungu asimame nanyi kwa kila jambo.
Kanisa Katoliki la Dar inamaana wana mu unvail bi harusi ambaye tayar alishazaa??? Bi harusi akifunikwa na Vail that means she is a virgin. Sasa Wolper wangu watoto wawili bado unafunikwa vail maana na heshima ya vail imeshuka. By the way welcome into the union,much love kwenu. Pongezi sana kwa hiyo hatua hongereni mmependeza sana sana😍😍😍😍😍😍
@sabinaonline6575
Жыл бұрын
Ishu hapo ni ibada baraka za ndoa na sio mavazi usichanganye. Avae shela asivae haijalishi Mungu awabariki milele
@blandinamwarabu5025
Жыл бұрын
Sijaelewa hapo
@misschagga8042
Жыл бұрын
Ukifika mbinguni hiyo vail haipo mungu anakuona wewe tu muhimu ni jambo husika.
@shebyally2390
Жыл бұрын
Yan hay majitu yanayong'ang'ania bikra sijui wanatak kuila😞😞 kwahiyo watyu wasifunikwe vail😞 kisa ni vigego aah we polepole buana😞
Пікірлер: 224
Huyu ndiye uliyepewa na Mungu mwanangu Wolper. Mungu awatunze vzr na uzao wenu.🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
Maisha yanabadilika Sana MUNGU Kwanza utakuta unahangaika na mahusiano kumbe sio wako. wako wa ubavuni MUNGU kamuweka mwisho 🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️jina la bwana libarikiwe milele 💋💋❤️ hongera na ikawe BARAKA na Amani na utulivu na upendo 😘😘😘😘
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Kabisaaa jmn😨😨
@jamilasalim7165
Жыл бұрын
Aamin 👏
@jacksonkilonzo1439
Жыл бұрын
Munge alimuepusha na Ganjer smoker
@rahimaaaaa5682
Жыл бұрын
Kweli kbs
@roseatieno6691
Жыл бұрын
@@jacksonkilonzo1439 🤣🤣🤣🤣afu tena ni play boy .
MashaAllah MashaAllah 😘😘😘😘 ndoa tamu nyie asikwambie mtu
This has been the part i was looking for. Dada Jackie. Mungu ni mwaminifu na kwa yote umepitia na wote waongo wamekusema siku nyingi sasa aibu ni yao, kwani Mungu mwenyezi ndiye umchagulia mtu amfaaye. Tunza ndoa yako na mbarikiwe nyote na mumeo kwa ndoa na familia mmeianza. Mungu ni mwema!
Watu wakiwa wanafnya jambo laeli inabidi kuwaombea nasio kuandika ujinga
@dama4995
Жыл бұрын
Kuna watu hujiona wasafi kuliko wenzao utadhan dunia niya kwao
@happybanda4674
Жыл бұрын
Saw
@minaelnathanael1846
Жыл бұрын
Umeona eeh. Tumuache wolper atulie
Ila Jack kapendezaaa nyiee😋😋 kwanza gauni n la kiheshima sanaaa
Leo ni birthday yangu jamani💕19November Hongera dada Jack! Umetoka mbali na hapa ulipofika zidi kumshukuru MUNGU. Mimi ni mmoja wa wale niliokua nikikuombea uwe furaha na fanaka katika maisha yako! Kamtunze mumeo dada hongera sanaaa❤
Gaun la bi harusi Jack la kiwango la heshima. ♥️♥️♥️♥️
@nasraabdallah850
Жыл бұрын
Mno
@blandinaamina1157
Жыл бұрын
Ana heshima saan❤️❤️
@emmaponera225
Жыл бұрын
Mavazi yake ya heshima Sana yupo tofauti Sana na wasanii wengine
MUNGU awabariki ktk ndoa na maisha yenu nimependa mnoo🤝🙏🙏🙏
MUNGU BABA ukaibariki ndoa hii ikadumu, hadi kifo kiwatenganishe AMEN 🙏🙏🙏♥️
Mashaaaallh.. hongereni sana shetani na akatwe miguu asiweze kufika kwenu.mungu awajalie muombe siku zote.
Nakumbuka aliposema, amepata the best ,mwanzo alikuwa anatembea na vichaa vichaa 😀😀😀😀mungu hawatangulie kwenye ndoa yenu Ameena
Ziba masikio, bwana na bi harusi mmependeza mno MUNGU AILINDE NDOA YENU.
Mungu awabariki nawatakia maisha ya amani na furaha naomba na wengine muige kuliko kudanganyana
Kutoka Kenya kwaza nitulivu yaani nimeipenda sana dadangu mungu akupariki mbaka madui washangae ❣️❣️❣️❣️❣️❣️👌👌👌👌👌🔥🔥🔥🔥
Amazing wedding I have ever seen before. Look at wedding dress. Mmmm ni ya ghali sana. Kwa kweli Wolper kajiandaa kisawasawa. Fanya sadaka ya shukrani kwa kufanikisha ili Mungu azidi kuimarisha ndoa yenu. Hongera Jackline Wolper. Wachaga mpo. Hawanaga dogo kwenye sherehe hasa za ndoa. Congratulations again and again.
Dah nawapenda nyie watu bac2 mwenyez Mungu awalinde na awakinge na watu wabaya upendo na amani zikatawale ndani na njee ya ndoa yenu😍😘💞💞
Hongera Wolper umependeza sana ❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥💋💋💋💋💋💋
Hongera dada jack hatimaye umepata fungu lako
Mimi namushukuru Mungu kama dadayetu amefikiyahapa hebuasahauyote aishina mumewake salama hakinivema kuishina munewako dadaa
@saidimagala15
Жыл бұрын
Kwautabili Wang was leo konde akiangaria video hii ataria Mana alivyokuwa anakuchezea araf akakubwaga du! Mana maex wakiume hawapendag kutuona tufanikiwe hongera dada mmependeza Sana wanao mpenda wolpar piga kerereeeee
Hongera Sana. Na ikawe Heri ndoa yenu🙏🙏🙏. Nawaombea kuyaishi maagano yenu mliyoagana mbela ya Mungu.
Hongereni sana Mungu akawe pamoja na nyie,,mnafundisha na wengine thas nice
Jmn wangapi wameona maharusi wakiomeana aibu kama vile ndio wamejuana Leo haki vile kuna ka filling nimekasikia siwezi hadithia maana ni kafilling ka milele hako Yan nimefurah kama ni Mimi naolewa mungu awape maisha marefu na baraka tele kwenye ndoa Yao 🍎😍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😘
@janetjohn2276
Жыл бұрын
Hongereni sana, ndoa ikadumu
Hongeren sn mlioendeza mno M,Mungu akawabarik ndoa yenu ikawe ya heri cku zote za maisha yenu
Hongera Sana rich na wolper Kwa maamuzi yenu mbarikiwe Sana muwalee watoto wenu ktk misingi ya kuwa na hofu na mungu
Kuanzia leo wolper hazini tena anafanya tendo halali
Pongezi sana kwenu wanandoa mungu awajalie makuu kwenye ndoa yenu na maisha marefu yenye furaha siku zote za maisha yenu 💗💗
Acha kuwaombea mabaya wenzio ..waachane Kwa nn..
Hongera sana Mr & Mrs Bruno
Ulipendeza sana my na nguo yaheshima nimependa japo nimsaani maarufu lkn hukuvaa nguo zakukueka uchi mungu aidumishe ndoa yako❤
Shela kilo 50,na joto la Dar,,,hongereni sana
Hadi nimelia juu ya furaha kuusu worpa congregation my kipenzi❤️❤️❤️
@omaryadam6884
Жыл бұрын
Umelia kweli my dear?
@Hahaha-yf4ug
Жыл бұрын
Yes jui ya furaha
Tunasumbuka nawalesiyowetu mungu katuwekeyawetu kirasiku muwe munakumbuka ayomaneno muni apa mbereyakanisa yamungu
Dada wolper nafurahi kuona mungo anakupa doa kamilifu mbele ya macho ya watu na wazazi wako ila cha kukwambiya safari ya doa nindefu ila Ula ikiwa muvumilivu na kumutegemeya mungu nakuomba sans utaweza kilala liturgy
Huyu mwanaume anaraha had mm naona...haifichi yaani
May GOD guide this marriage in Jesus name l pray Amen 🙏🏽🙏🏽🎁💞😍💓💍👜
Mungu awalinde na akutunze ndoa yenu idumu na kudumu na Mungu awamiminie baraka zake katika ndoa yenu wanangu
Congratulations my mentor Jacky Wolper mob love mungu habariki ndoa yenu ameni🙏
Hongeren mwaya🤗mmependeza💕😘👌 sn mung awabariki ktk ndoa yenu🤲nas ambao bado mung atulaalie tupate mwenza wema 🤲🤲
Mungu awe mshauri Wenu mkuu katika ndoa yenu
Hongera dada Jacki mungu akutangulie kwenye ndoa yako
Mungu akawe baraka juuu yandoa yenu naakawe kiongozi wenu kwakila hatua ikadumu maladufu naikawe mfano wa kuigwa na wengine
Mungu azidi kuwabariki dada ulistahili kupata mum kutoka kwa Mungu hongera sana nakupendaga sana
Mmependeza sanasana, Mungu awajaalie mapenzi, mahaba na masikizano, ila bwana harusi utulivu zero
Leo kavua heleni mwnamume usivae tena maeleni kama demu3sasa umekuba baba official
Piga kelele kwabiharusi wetu kapendeza hadi kapendeza tena watu nanyota zao mjini nasio kudanga😄😄😄😄😄😄wadangaji mpoo
Padre hongera sana kwa kuifunga hii ndoa
Congratulations Jackie, Mungu asimame nanyi kwa kila jambo.
Mungu Linda hii ndoa na uzimame nao
Mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah mashaallah
Wanaoneana ka aibu hongera zemu mumependeza ingekuwa kwetu huku kanisa lingejaa wasiooga
Wamependez sana Mrs Richard
Hongera sana dear kweli Mungu nimwema
Rich mbona hajatulia jaman mh my sister ulipendez sana alf master wenzio wako wp kwan
Mungu awalindie ndoa yenu ikawe na baraka
❤❤❤❤❤❤❤congratulations , very classy
Congratulations dia may God bless your marriage Ameen
MashAllah 💓 so beautiful 😍
Hongera dada Mungu akujaliye🥳🥳🥳👌👌👌
@saimonpima3743
Жыл бұрын
Hongeren san
Awesome mashalllah ila mumeo kama mtoto vile aja tulia kabisa
@agripinangowi6726
Жыл бұрын
Shost mmeendeza sanaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥Mungu awape Furaha amani katika ndoa yenu
Mungu awabariki sana, iposiku Mungu atajibu na kwangu ❤️🙏
Mungu ni mwema. Hongereni sana
i sence something with that husband mbona ana wasi wasi hivyo
Hongera Sana Ila usije fanya Sanaa ndoa sio maigizo
Gauni ya kg 49 nimekubali 🤣🤣🤣🤣🤣
Mashaallha. Musisikie. Maneno. Yawatu. Mukae. Naamani
Ma shaa Allah ndoa idumu milele wolper na richard mpependeza kwa kweli Allah awatangulie kwa maisha yenu ya ndoa Amiin
Mashallah 💗💗 mungu awabaliki
Hivi mmeona viatu vya bwana harusi jaman?🙆♀️😳 ila hongereni sana harusi ni jambo jema.
Hongera Sana dada jackline na Kaka Rich mungu awabariki sana
Jamani jamani wana kwaya mbona jacky na richy wameingia kanisani bila wimbo wa kuingia jamani mbona hivyo??
wow wow wolper ak a cendelela
I know Will make it 🙏🏾God first
Wamependeza ila babu halusi utulivu mdogo
Congratulations Juckline
Hongereni sana sio rahisi
Masha Allah Mungu akawatangulie. Amiin
Umenoga siyo siri uko number one
Mlio semaga wataachana aibu jaman hongera jackline na rich mungu awabark
May Jehovah God bless this marriage and family.
Hongera sana
Hongera mama
Hongeren sana mungu awalinde
Hongereni
Mmependeza saaan♥️♥️♥️♥️♥️
Wapumbavu ninyi mnaharibu sherehe ya wenzenu mnatukanana nini hadi mnawakera maharusi jamani hopeless people shut up
Mashallah, hongera sana wolper
Wabongo hampendi lipstick kw nn utakuta mtu harusi cku 5 lkn habadilishi muonekano zote ni light lzma utofautishe Sio Kl cku light km unakwnd ofisini
bwana harusi mbona hatulii
ilo gauni wolper njoo uniazime tuu avae mkewang unajua umependez tokes apo mzur
Mungu watangulie katika Masha yenu ya ndoa
Congratulations 🎊
Hongera kipenz
Kanisa Katoliki la Dar inamaana wana mu unvail bi harusi ambaye tayar alishazaa??? Bi harusi akifunikwa na Vail that means she is a virgin. Sasa Wolper wangu watoto wawili bado unafunikwa vail maana na heshima ya vail imeshuka. By the way welcome into the union,much love kwenu. Pongezi sana kwa hiyo hatua hongereni mmependeza sana sana😍😍😍😍😍😍
@sabinaonline6575
Жыл бұрын
Ishu hapo ni ibada baraka za ndoa na sio mavazi usichanganye. Avae shela asivae haijalishi Mungu awabariki milele
@blandinamwarabu5025
Жыл бұрын
Sijaelewa hapo
@misschagga8042
Жыл бұрын
Ukifika mbinguni hiyo vail haipo mungu anakuona wewe tu muhimu ni jambo husika.
@shebyally2390
Жыл бұрын
Yan hay majitu yanayong'ang'ania bikra sijui wanatak kuila😞😞 kwahiyo watyu wasifunikwe vail😞 kisa ni vigego aah we polepole buana😞
@sabinaonline6575
Жыл бұрын
@@shebyally2390 😅😅
Hongera mamy❤❤
Mungu awabariki kto ndoa yenu
Mlipendezaaa sanaaa🥰
Raha raha tena♥️♥️♥️♥️♥️😃
Hongeraa
Hivi hii ndio ipo ama iliishaga