thanks Allah hongera Rais wangu kwa ushindi mzito ..imani yangu ccm na ukawa wote ni wa Tanzania tuungane tulete mabadiriko kupitia Rais wetu awamu ya tano.Mungu ibariki TANZANIA
@gracemasulende2838 жыл бұрын
Kila linalotokea huwa na sababu, Mungu alimjua Magufuli tangu hajamuumba. hongera sana Maguli hapa Kazi tuuu
@priscajustine21834 жыл бұрын
2020 na unachukua tena magu wangu
@mamushmamty94978 жыл бұрын
thanks Millard ayo May Allah bless u amani iendelee tanzania kama kawa...
@rosenamilia41408 жыл бұрын
Hongera Mh.JOHN POMBE MAKUFULI kwa ushindi wa Raisi awamu ya Tano. Sasa hapa Kazi tu.CCM HOYEEEEEEE!👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍.
@erickfredy56908 жыл бұрын
millard ayo siku magufuli anaapishwa hebu nakuomba ukachukue video moja nzuri sana
@mwanzacity58717 жыл бұрын
Hongera sana mtukufu rais kwa ushindi wa kishindo
@emmanuelfactorymbilinyi71438 жыл бұрын
✌
@brother_majesty4 жыл бұрын
Mwenyekiti wa Tume ni kama kachoka sana...anafanya kazi kwa maelekezo
@juliusmbela50463 жыл бұрын
October 28/2020 anashinda tena #Hapakazitu 2020-2025 jpm
@mohamedfumira20888 жыл бұрын
mohamed fumila
@brother_majesty4 жыл бұрын
Huyo Kasambala alipata wapi kura laki 8?
@godfreymackenzie23188 жыл бұрын
magufuli oyeeeeeeeeeeeeeee
@Adryfierce8 жыл бұрын
hapaKAZtu
@yudagerard55018 жыл бұрын
huyo ni rais wenu nyie ccm hicho no sawa na kiini macho na Mungu yupo kilio cha wengi ipo siku atakisikia hata maandiko yamesema Mungu halali wala hasinzii na siku zote hujibu kwa wakati wake..
@bathromeobalisimula7166
4 жыл бұрын
Naamini kwa sasa ushaamini Kama magufuri na ccm yake walikuwa Ni chaguo sahihi
Пікірлер: 17
thanks Allah hongera Rais wangu kwa ushindi mzito ..imani yangu ccm na ukawa wote ni wa Tanzania tuungane tulete mabadiriko kupitia Rais wetu awamu ya tano.Mungu ibariki TANZANIA
Kila linalotokea huwa na sababu, Mungu alimjua Magufuli tangu hajamuumba. hongera sana Maguli hapa Kazi tuuu
2020 na unachukua tena magu wangu
thanks Millard ayo May Allah bless u amani iendelee tanzania kama kawa...
Hongera Mh.JOHN POMBE MAKUFULI kwa ushindi wa Raisi awamu ya Tano. Sasa hapa Kazi tu.CCM HOYEEEEEEE!👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍.
millard ayo siku magufuli anaapishwa hebu nakuomba ukachukue video moja nzuri sana
Hongera sana mtukufu rais kwa ushindi wa kishindo
✌
Mwenyekiti wa Tume ni kama kachoka sana...anafanya kazi kwa maelekezo
October 28/2020 anashinda tena #Hapakazitu 2020-2025 jpm
mohamed fumila
Huyo Kasambala alipata wapi kura laki 8?
magufuli oyeeeeeeeeeeeeeee
hapaKAZtu
huyo ni rais wenu nyie ccm hicho no sawa na kiini macho na Mungu yupo kilio cha wengi ipo siku atakisikia hata maandiko yamesema Mungu halali wala hasinzii na siku zote hujibu kwa wakati wake..
@bathromeobalisimula7166
4 жыл бұрын
Naamini kwa sasa ushaamini Kama magufuri na ccm yake walikuwa Ni chaguo sahihi
@priscajustine2183
4 жыл бұрын
Utajiju na 2020 anachukua tena