Fid Q - Tajiri Yangu Feat Paul Clement (Official Video)
Музыка
#FidQ #TajiriYangu #PaulClement #SlideDigital
All praises due to the most high..
TAJIRI YANGU LYRICS:
Verse 1: ( Fid Q )
Lord.. ni ngumu kujua wewe uko wapi ila unajua nilipo/ ninaisaka haki kuipata ni bahati na kwa waganga siko/
Vyuma vikikaza tunatangatanga kuuchanga mshiko.. na mbanga zinakwaza madada wakidanga wanabamba vifo/
Na waliopinda wewe huwalinda na love/
Ka wale wajinga ambao hunipinga ninapouwinda wokovu/
Haunipi shida bila namna ya kuisolve/ wewe ndio mmiliki wa kila tiba na hauna iliyo mbovu /
Hauna iliyombovu.. unanipa uinchaji na power.. unaninyanyua juu/
Ni zaidi ya dawa.. sikuhitaji ninapougua tu/
Unaniweka sawa.. devil akitua hamchukui Q/
Una uwezo wa kunigawa au kuniumbua.. sio tu kuniumba mkuu/
ni rhumba tu ndio linaweka vumba juu na nakututesa kama mfungwa anayechungwa nakudundwa juu/
Wewe ndio BOSS ninayekuamini.. haututosi tukichomewa/ sio wale wanaowahi kazini ili wafoke tukichelewa...
Chorus ( Paul Clement )
Ewe Ewe.. tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu/
Ewe Ewe tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu
Ewe tajiri.. wa matajiri..
Ewe tajiri..Tajiri yangu/
Verse 2: ( Fid Q )
Mwanadamu amemtawala mwanadamu kwa kumuumiza/
Anakwapua mpaka asivyovihitaji bila kubakiza/
Hii inafanya nafsi yangu ikose subira/
Ikose usingizi, uoga., huzuni na hasira/
kwangu furaha ni kuwa na Mungu sio mlungura/
Na pia siku zote mla raha na uchungu hula/
Ninajua nilipotoka na ninajua wapi nilipo/ ispokuwa ni wewe pekee unajua lini nitafika mwisho/
cheo chako ni kirefu zaidi ya dunia... kipana zaidi ya bahari.. ulinzi mkali hakuna Askari anayefikia/
Ninamlaani shetani kiundani nipate kukujua mkuu/ ili nijihami na mtihani nisiache tusua Q/
Ninajua una huruma naomba nikibuma usinitose/ mwanadamu atazingua.. heshima sio utumwa kwa boss/ hawezi nunua uhai.. anajidai kwa lipi?/ na kwako sio tu akeshaye hata alalaye humpa riziki..
Chorus ( Paul Clement )
Ewe Ewe.. tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu/
Ewe Ewe tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu
Ewe tajiri.. wa matajiri..
Ewe tajiri..Tajiri yangu
Bridge ( Paul Clement )
Siwezi kuwa masikini sababu../
Anayenitunza ni tajiri.. ni Mungu/
Asiyeacha nigange njaa, nikosee furaha.. nikate tamaa/ eeh wee eeh wee tajiri yangu
Chorus ( Paul Clement )
Ewe Ewe.. tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu/
Ewe Ewe tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu
Ewe tajiri.. wa matajiri..
Ewe tajiri..Tajiri yangu
FID Q Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by Fid Q
Follow Fid Q on:
/ therealfidq
/ fidq
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 600
Tanzania inahitaji wasanii kama haw kwenye hiki kizazi kilicho potoka,tunakuitaj mzee mbuzi undelete kuelimisha hiki kizazi❤🎉🎉
Huyu mwamba hua namuelewa sana mungu aendee kukupa maisha marefu ili undelee kuipa jamii vitamin muzik
wewe unaesoma hii comment esabu sku mbili kwanzia sasa tajiri wa matijir atakutendea jambo make sure unarudi kulike❤
@clairenaivasha1886
3 жыл бұрын
i beliave Amen
@edgarbruchald6031
3 жыл бұрын
Amen
@deogratiusdesderius7053
3 жыл бұрын
AMEN
@cuthbertmarkyshirima9647
3 жыл бұрын
Amen
@reymi_teamdechristian3942
3 жыл бұрын
Inshallah
Wanao kubari kua fid Q katisha kwenye hili song ngonga like hapa twezetu kama kuna nyimbo za Q ninazo zipenda bc hii imechukua number 1🔥🔥na hakika mungu ni mungu to
I don't understand why this beautiful song hasn't reached over 1million vies
@Onicavee
Жыл бұрын
Imagine 🤷♀️🤷♀️
@finestford007
11 ай бұрын
I come discoverd it in bro fid library today, it has blessed my saturday
I put this comment so anyway gonna like nor comment will make me to remember this song always #tajiriyangu
Mwambieni ney wa mitego aje ajifunze namna ya kumuimbia Mungu kwa njia ya hip hop, sio kuimba nyimbo ya makufuru hii sasa ndio nyimbo achana na ile ya ushetani ya ney wa mitego
@msaranga_
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html
@jipangetz8672
3 жыл бұрын
Kwakweli Fid Q kaimba vizuri, ni muhimu kama msanii kufikiria vizuri anachotupatia. #neyAjifunze😉
@isackyakobo7829
3 жыл бұрын
@@jipangetz8672 Mwana FA pia #Mfalme
@isackyakobo7829
3 жыл бұрын
@@jipangetz8672 Mwana FA pia #Mfalme
@jipangetz8672
3 жыл бұрын
@@isackyakobo7829 kweli, Mwana FA pia anajua sana. Napenda anavyotupa maarifa. Watu kama wananitia moyo ndio maana na mimi nikaanzisha youtube channel yangu mzee.
Ngosha kama Ngosha tumpe like Hipop ngumu kumeza
@msaranga_
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html
@SAMTANAK
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ipyHptBmY9TPl6g.html
@msaranga_
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html
@jipangetz8672
3 жыл бұрын
Kiukweli,sijasikiliza kwa makini sana kuelewa, alichoimba Fid Q lakini jamaa katisha. Watu kama hawa wanatuwakilisha vyema kama watanzania. Wananitia moyo kuendelea kukomaa kutoa maarifa kwenye youtube channel yangu.
nampenda Fid na nyimbo zake zote but naskia kabisa hii imekuwa favourite kabisaa imeingia moyoni direct kabisa...
Raptcha, Dogo Janja na Fid Q...BWANA ASIFIWE, Roho ilipoguswa leo na iguswe siku zote...hatimaye tuna nyimbo za kusikiliza na familia zetu, nyimbo za kutazamika na kila rika pasipo kuhofia nyuchi na matusi.
@johnnzao6460
3 жыл бұрын
Na weusi pia
Lord ni ngumu kujua uko wap ila unajua nilipo 🙏🙏
@msaranga_
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html
Siwezi nunua uhai sa najidai kwa lipi .... 🔥🔥🔥🔥
Kama unaangalia hii video huku unasoma ryrics zake hapa chini kama mimi weka like hapa
@msaranga_
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html
@jameslukumay5006
Жыл бұрын
Ngoma nzuri duu
Weusi - Makao Makuu Dogo Janja Feat Lady Jay Dee - Asante Fid Q feat Paul Clement - Tajiri Yangu Rapcha Feat Lady Jay Dee - Amen 🎷🤗Good Music Alive LIKE HAPA KAMA UNAAMINI HIP HOP vs GOSEPL is strong
@timothmwakakusyu4563
3 жыл бұрын
Asante tajiri yangu makao makuu amen
@tonykipobota4265
3 жыл бұрын
ongeza na wimbo mpya wa Kikosi kazi unaitwa SALA
@avizpaul3086
3 жыл бұрын
Chid natubu killer, Mungu baba mbishi , Mr Blue, Kk Fid Hey lord
@mudricahmed635
3 жыл бұрын
Mwana fa - mfalme
@avizpaul3086
3 жыл бұрын
@@mudricahmed635 Chid benz natubu,
Hii ngoma imetungwa,imeandikwa,imeimbwa na naickiliza kimoja hadi kingine nani kackia sexaphone ,gitaa vizuri ktk hii ngoma
Nipeeni likes za Paul Clement Such an amazing mentor
Ngosha asante naamini huyu tajiri yetu atazidi kukujalia
kwangu Furaha ni kuwa na Mungu sio Mlungura/ Na pia siku zote Mla raha na Uchungu hula/ Ninajua nilipotoka na ninajua wapi Nilipo/ Isipokuwa ni wewe pekee Unajua lini nitafika Mwisho/ #KitaaOlojiaEra
We ndio boss... sio wale wanaowahi kazini ili wafoke tukichelewa.
Ngoma Kali ngosha wana man was kuitwa b boy chuma
Asante sana kaka kwa mafundisho haya wala sio wimbo nimafundisho makubwa sna. Barikiwa sna
Nyimbo saf ujumbe saf iko sarama kwa matumiz ya wanadam
FidQ the great.
Bonge la Gospel song. Hakika nabarikiwa sana nikisikiliza huo wimbo #putonreplay
Tajili kama tajili na wewe fid ni tajili mistari gonga like moja kwa mwana taholojia hapa
Ngoma kali sn,fid q kumbe akichana kilaini anapendeza zaid na ana fillings kali sn,jitahid kuondoka na miondoko hii brother husifanye hip hop ngumu
kazi nzuri niliiskia muda kidogo ila barikiwa kaka kwa hii video na ujumbe mzuri kazi nzuri
Fid Q... Barz zimetulia kama lamar😂😂✊🏾✊🏾🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hi ngoma ni kali sana Fid Q zaidi nimependa style ya ku rap
Fid Q;Mtumishi wa MUNGU kuna wimbo wangu hapa naomba nipigie chorus Paul ;hapana,mi nimeokoka Fid Q;please nataka kuzungumza na MUNGU nimpe sifa zake kupitia mistari yangu Paul ;hebu nisikilize kidogo....... FID Q;......... Paul;RRRRRRRRRRRRAPAPPAPAPAAAAA Haleluyaaaa .... FID Q;LORD....
@albanbros6705
4 жыл бұрын
Lazima ukubali si kwa mistari hii.
@happymakambi233
3 жыл бұрын
😂😂😂 kama kwel vile
@adamnehemia8316
3 жыл бұрын
@@happymakambi233 SORRY utani tuu😂😂😂
@happymakambi233
3 жыл бұрын
@@adamnehemia8316 najua ni utan ila kama umekaribia ukwel hivi,nimecheka sana yaan😂😂😂
@gabrielsamweljr
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kichupa kikaliiii flows Kama kawiz Kama daiz....Ngosha
My favourite Tanzanians in one song!!!. Never saw this coming. God is good!
Izi ni propanganda Za ngosha na maalika. Kuitangaza Njia na mapito ya MUNGU.
Q Ngosha Unajua Sana Unakipaji sio cha kubahatisha (NAREKWINA 95%)
Great song. My son is addicted to the chorus.
Namlaaaaaan shetaaaaaaaaan!!!!!!!!!
Cheusi Dawa Ni Wewe Tajiri Wangu Wa Rhymes
Hii song imani touch nimerudia Mara 20 niskiZe flow ya Q
Msanii asiesikia watu lakin anajiskia mwenyewe ogopi mtu anahofu ya mungu
Dahh ,Huyu msanii Mwenyez akup pumz
Daah bonge la Song asee, mbarikiwe sana nyie Matajiri wa Vipaji Fid Q & Paul Clement 🤝🤝
Eewe tajiri yangu bonge yangoma ya kumsifu mungu
Wasio muelewa hawaelewi wanacho kielewa! Lyricist Tanzania nzima huyu hapa aje mwengine tuone ...Fid Q mwana aliye juu 🐐 2020
Wimbo mzur sana Ila umegoma kabsa kutoboa sokoni dah, so sady
That's Fid Q meeeeen,,, Daaamn
ngosha nakusikiliza nikiwa oman yani we ni noma yani nasikiza bila ya kuchoka.
Waoooh kazi nzuriiii ingawa video umechelewa kutoka,like please
Haunip shida bila namna ya kuisove
Huwa nakubali kazi zako bro ziko 🔥🔥🔥🔥 kila mala
Tajiri wa mashairi salute kwakwo Q
Ngosha umetisha sans ngoma Kali sana
Ngoma kali saana @Faridi Kubanga
Hii ngoma kali sana, inamadini halali sana
niliwait mda sana kaz nzur broo
Hili song Lina Upako kabisa Amini.
Nakubari brother ngosha mlaraha hata pia michungu halikura
Kwangu furaha ni kuwa na MUNGU na sio mlungula Najua siku zote mla raha na uchungu hula. Hatari sana.
Ma Dada danga wanabamba vifo salute sana fd
Nyimbo ya kipekee Sana hii
Ngosha kama Ngonsha 👏🏻👏🏻👏🏻
Amina amina .Jehovah ni tajiri wa matajiri,maana alisema Mari zote na vitu vya thamani ni vyake. Shida ya mwanadamu anashindwa kuishi maisha yanayo mpendeza Mungu that why .be blessed amen
Akili kubwaa inaimba! Big thumb fareed! Tajir wa mistar na flow akimsifu tajir wa ulimwengu na muumba wa vyote! Vinavyoonekanaa na visivyoonekana! Shikamoo fid q!
Huo ni Utulivu wa Kutosha, Nice song Mr. Kubanda
This song is dope. Inatukumbusha turudishe heshma kwa aliye juu. Happy b day rock city native
@msaranga_
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html
Mkuu natamani nikuandikie verse ya moto sana. UKITOA nafasi hio utashangaa
SHukuran sana mpwa kwa hii zawadi yetu nyingine ya mwezi huu adhimu wa uzawa wako. Yaani nahitaji kurasa kadhaa kutoa shauku na hamasa nloipata humu, kwa sasa acha tu niendelee kupiga duru kadhaa kwenye hili chupa. Hongera asante wewe na washiriki wote humo, mpwa Paul Clement amewakilisha ipasavyo. Walojitokeza wote humo wana nafasi ya kuipa hii kazi heshima kubwa sana. Tuko pamoja sana kaka
Ninamwelewa sana did q da kanikosha sana
Hii imekaa poa sanaa kaz nzur sana
King of the hip-hop
If you believe in God...! type "AMEN"
Wimbo mzuri sana fid Q
Nice motivation song big up bro hujawahi niangusha
Ujawai kuniangusha fid q nilikupenda toka nipo tumbon kwa mama yangu.. Kambalu son
Nafrai sana Kua na Wewe, Hip-Hop ntakupenda Milele....
Dah nyimbo imekamilika kila sehem
Nyimbo ya mwaka🎉
Nice song nakubali sanaaaa
Safi sana mubarikiwe sanaaaa
Muislam amshirikisha mkristo katika nyimbo moja wakimuimbia mungu "RESPECT".
Duuu Fid anaangusha vyuma htr
Shemeji yangu ngosha ze don
Nakubali sana Mkubwa nyimbo nzur y'a Shukran kwa Mungu. Zid kubarikiwa Zaid kila kuitwapo Léo # TAJILI ANGU
Happy birthday Ngosha
Ngosha kama Ngosha mshushie like zake kwa ngoma kali
Wow,kazi nzuri
Paul kasound Kama banana zoro aisee Bro kazi nzuri
am in love with the song God is so powerful
Kali.. hongera kwa hii ngoma
Fid Q's music is Gold. 🙏🙏🇰🇪🇰🇪
@msaranga_
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html
wangap wamekuja hpa baada ya kuona jina la paul clement
Lesa wa Mapalo Means Mungu Wa Baraka Wanangu wa Tunduma na Zambia Gonga Like Basiii
Happy borndate mwamba @therealFidQ
Video kari sana gosha
Mzee mbuzi umetisha sana
Ngoma kali mzee
Daaa hili goma kali sana fid Q ft poul clement mmekalisha kinyama big up kwenu!!!!
Fd Q nakukubali saana
God bless you Fid Q
Kwahiyo hapa hii ngoma nan kamshiliksha mwenzie
kazi kali sana Q...