Fid Q - Tajiri Yangu Feat Paul Clement (Official Video)

Музыка

#FidQ #TajiriYangu #PaulClement #SlideDigital
All praises due to the most high..
TAJIRI YANGU LYRICS:
Verse 1: ( Fid Q )
Lord.. ni ngumu kujua wewe uko wapi ila unajua nilipo/ ninaisaka haki kuipata ni bahati na kwa waganga siko/
Vyuma vikikaza tunatangatanga kuuchanga mshiko.. na mbanga zinakwaza madada wakidanga wanabamba vifo/
Na waliopinda wewe huwalinda na love/
Ka wale wajinga ambao hunipinga ninapouwinda wokovu/
Haunipi shida bila namna ya kuisolve/ wewe ndio mmiliki wa kila tiba na hauna iliyo mbovu /
Hauna iliyombovu.. unanipa uinchaji na power.. unaninyanyua juu/
Ni zaidi ya dawa.. sikuhitaji ninapougua tu/
Unaniweka sawa.. devil akitua hamchukui Q/
Una uwezo wa kunigawa au kuniumbua.. sio tu kuniumba mkuu/
ni rhumba tu ndio linaweka vumba juu na nakututesa kama mfungwa anayechungwa nakudundwa juu/
Wewe ndio BOSS ninayekuamini.. haututosi tukichomewa/ sio wale wanaowahi kazini ili wafoke tukichelewa...
Chorus ( Paul Clement )
Ewe Ewe.. tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu/
Ewe Ewe tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu
Ewe tajiri.. wa matajiri..
Ewe tajiri..Tajiri yangu/
Verse 2: ( Fid Q )
Mwanadamu amemtawala mwanadamu kwa kumuumiza/
Anakwapua mpaka asivyovihitaji bila kubakiza/
Hii inafanya nafsi yangu ikose subira/
Ikose usingizi, uoga., huzuni na hasira/
kwangu furaha ni kuwa na Mungu sio mlungura/
Na pia siku zote mla raha na uchungu hula/
Ninajua nilipotoka na ninajua wapi nilipo/ ispokuwa ni wewe pekee unajua lini nitafika mwisho/
cheo chako ni kirefu zaidi ya dunia... kipana zaidi ya bahari.. ulinzi mkali hakuna Askari anayefikia/
Ninamlaani shetani kiundani nipate kukujua mkuu/ ili nijihami na mtihani nisiache tusua Q/
Ninajua una huruma naomba nikibuma usinitose/ mwanadamu atazingua.. heshima sio utumwa kwa boss/ hawezi nunua uhai.. anajidai kwa lipi?/ na kwako sio tu akeshaye hata alalaye humpa riziki..
Chorus ( Paul Clement )
Ewe Ewe.. tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu/
Ewe Ewe tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu
Ewe tajiri.. wa matajiri..
Ewe tajiri..Tajiri yangu
Bridge ( Paul Clement )
Siwezi kuwa masikini sababu../
Anayenitunza ni tajiri.. ni Mungu/
Asiyeacha nigange njaa, nikosee furaha.. nikate tamaa/ eeh wee eeh wee tajiri yangu
Chorus ( Paul Clement )
Ewe Ewe.. tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu/
Ewe Ewe tajiri yangu/
Wewe ndiwe kila kitu kwangu
Ewe tajiri.. wa matajiri..
Ewe tajiri..Tajiri yangu
FID Q Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by Fid Q
Follow Fid Q on:
/ therealfidq
/ fidq
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 600

  • @user-bh9ij7ms6d
    @user-bh9ij7ms6d5 күн бұрын

    Tanzania inahitaji wasanii kama haw kwenye hiki kizazi kilicho potoka,tunakuitaj mzee mbuzi undelete kuelimisha hiki kizazi❤🎉🎉

  • @user-iw2su1es9g
    @user-iw2su1es9gАй бұрын

    Huyu mwamba hua namuelewa sana mungu aendee kukupa maisha marefu ili undelee kuipa jamii vitamin muzik

  • @ckosmah21
    @ckosmah214 жыл бұрын

    wewe unaesoma hii comment esabu sku mbili kwanzia sasa tajiri wa matijir atakutendea jambo make sure unarudi kulike❤

  • @clairenaivasha1886

    @clairenaivasha1886

    3 жыл бұрын

    i beliave Amen

  • @edgarbruchald6031

    @edgarbruchald6031

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @deogratiusdesderius7053

    @deogratiusdesderius7053

    3 жыл бұрын

    AMEN

  • @cuthbertmarkyshirima9647

    @cuthbertmarkyshirima9647

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @reymi_teamdechristian3942

    @reymi_teamdechristian3942

    3 жыл бұрын

    Inshallah

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince37423 жыл бұрын

    Wanao kubari kua fid Q katisha kwenye hili song ngonga like hapa twezetu kama kuna nyimbo za Q ninazo zipenda bc hii imechukua number 1🔥🔥na hakika mungu ni mungu to

  • @danieldavid5069
    @danieldavid50692 жыл бұрын

    I don't understand why this beautiful song hasn't reached over 1million vies

  • @Onicavee

    @Onicavee

    Жыл бұрын

    Imagine 🤷‍♀️🤷‍♀️

  • @finestford007

    @finestford007

    11 ай бұрын

    I come discoverd it in bro fid library today, it has blessed my saturday

  • @alimzandimwamzandi5405
    @alimzandimwamzandi54052 жыл бұрын

    I put this comment so anyway gonna like nor comment will make me to remember this song always #tajiriyangu

  • @elishangoma8235
    @elishangoma82354 жыл бұрын

    Mwambieni ney wa mitego aje ajifunze namna ya kumuimbia Mungu kwa njia ya hip hop, sio kuimba nyimbo ya makufuru hii sasa ndio nyimbo achana na ile ya ushetani ya ney wa mitego

  • @msaranga_

    @msaranga_

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html

  • @jipangetz8672

    @jipangetz8672

    3 жыл бұрын

    Kwakweli Fid Q kaimba vizuri, ni muhimu kama msanii kufikiria vizuri anachotupatia. #neyAjifunze😉

  • @isackyakobo7829

    @isackyakobo7829

    3 жыл бұрын

    @@jipangetz8672 Mwana FA pia #Mfalme

  • @isackyakobo7829

    @isackyakobo7829

    3 жыл бұрын

    @@jipangetz8672 Mwana FA pia #Mfalme

  • @jipangetz8672

    @jipangetz8672

    3 жыл бұрын

    @@isackyakobo7829 kweli, Mwana FA pia anajua sana. Napenda anavyotupa maarifa. Watu kama wananitia moyo ndio maana na mimi nikaanzisha youtube channel yangu mzee.

  • @shibilitimedia3312
    @shibilitimedia33124 жыл бұрын

    Ngosha kama Ngosha tumpe like Hipop ngumu kumeza

  • @msaranga_

    @msaranga_

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html

  • @SAMTANAK

    @SAMTANAK

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ipyHptBmY9TPl6g.html

  • @msaranga_

    @msaranga_

    3 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html

  • @jipangetz8672

    @jipangetz8672

    3 жыл бұрын

    Kiukweli,sijasikiliza kwa makini sana kuelewa, alichoimba Fid Q lakini jamaa katisha. Watu kama hawa wanatuwakilisha vyema kama watanzania. Wananitia moyo kuendelea kukomaa kutoa maarifa kwenye youtube channel yangu.

  • @zebrinalkarim8529
    @zebrinalkarim85293 жыл бұрын

    nampenda Fid na nyimbo zake zote but naskia kabisa hii imekuwa favourite kabisaa imeingia moyoni direct kabisa...

  • @thisiskinye8631
    @thisiskinye86314 жыл бұрын

    Raptcha, Dogo Janja na Fid Q...BWANA ASIFIWE, Roho ilipoguswa leo na iguswe siku zote...hatimaye tuna nyimbo za kusikiliza na familia zetu, nyimbo za kutazamika na kila rika pasipo kuhofia nyuchi na matusi.

  • @johnnzao6460

    @johnnzao6460

    3 жыл бұрын

    Na weusi pia

  • @ramatoni7394
    @ramatoni73944 жыл бұрын

    Lord ni ngumu kujua uko wap ila unajua nilipo 🙏🙏

  • @msaranga_

    @msaranga_

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html

  • @Kingbenzinho
    @Kingbenzinho3 жыл бұрын

    Siwezi nunua uhai sa najidai kwa lipi .... 🔥🔥🔥🔥

  • @shebbysadiki
    @shebbysadiki4 жыл бұрын

    Kama unaangalia hii video huku unasoma ryrics zake hapa chini kama mimi weka like hapa

  • @msaranga_

    @msaranga_

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html

  • @jameslukumay5006

    @jameslukumay5006

    Жыл бұрын

    Ngoma nzuri duu

  • @infomediatz1671
    @infomediatz16713 жыл бұрын

    Weusi - Makao Makuu Dogo Janja Feat Lady Jay Dee - Asante Fid Q feat Paul Clement - Tajiri Yangu Rapcha Feat Lady Jay Dee - Amen 🎷🤗Good Music Alive LIKE HAPA KAMA UNAAMINI HIP HOP vs GOSEPL is strong

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    3 жыл бұрын

    Asante tajiri yangu makao makuu amen

  • @tonykipobota4265

    @tonykipobota4265

    3 жыл бұрын

    ongeza na wimbo mpya wa Kikosi kazi unaitwa SALA

  • @avizpaul3086

    @avizpaul3086

    3 жыл бұрын

    Chid natubu killer, Mungu baba mbishi , Mr Blue, Kk Fid Hey lord

  • @mudricahmed635

    @mudricahmed635

    3 жыл бұрын

    Mwana fa - mfalme

  • @avizpaul3086

    @avizpaul3086

    3 жыл бұрын

    @@mudricahmed635 Chid benz natubu,

  • @mikelmweuc9619
    @mikelmweuc96193 жыл бұрын

    Hii ngoma imetungwa,imeandikwa,imeimbwa na naickiliza kimoja hadi kingine nani kackia sexaphone ,gitaa vizuri ktk hii ngoma

  • @hillarytheworshipper
    @hillarytheworshipper3 жыл бұрын

    Nipeeni likes za Paul Clement Such an amazing mentor

  • @goodluckrichardsenya2687
    @goodluckrichardsenya26873 жыл бұрын

    Ngosha asante naamini huyu tajiri yetu atazidi kukujalia

  • @Alvidosa
    @Alvidosa4 жыл бұрын

    kwangu Furaha ni kuwa na Mungu sio Mlungura/ Na pia siku zote Mla raha na Uchungu hula/ Ninajua nilipotoka na ninajua wapi Nilipo/ Isipokuwa ni wewe pekee Unajua lini nitafika Mwisho/ #KitaaOlojiaEra

  • @godloveyamo3771
    @godloveyamo37713 жыл бұрын

    We ndio boss... sio wale wanaowahi kazini ili wafoke tukichelewa.

  • @EmanuelMwita
    @EmanuelMwita11 ай бұрын

    Ngoma Kali ngosha wana man was kuitwa b boy chuma

  • @jameskapange303
    @jameskapange3033 жыл бұрын

    Asante sana kaka kwa mafundisho haya wala sio wimbo nimafundisho makubwa sna. Barikiwa sna

  • @ndeseboyndeseboy4911
    @ndeseboyndeseboy49114 жыл бұрын

    Nyimbo saf ujumbe saf iko sarama kwa matumiz ya wanadam

  • @georgengadada2429
    @georgengadada24292 жыл бұрын

    FidQ the great.

  • @samuelmwaipopo1302
    @samuelmwaipopo13023 жыл бұрын

    Bonge la Gospel song. Hakika nabarikiwa sana nikisikiliza huo wimbo #putonreplay

  • @iamvogah
    @iamvogah4 жыл бұрын

    Tajili kama tajili na wewe fid ni tajili mistari gonga like moja kwa mwana taholojia hapa

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi75323 жыл бұрын

    Ngoma kali sn,fid q kumbe akichana kilaini anapendeza zaid na ana fillings kali sn,jitahid kuondoka na miondoko hii brother husifanye hip hop ngumu

  • @razackmwakibolwa8395
    @razackmwakibolwa83954 жыл бұрын

    kazi nzuri niliiskia muda kidogo ila barikiwa kaka kwa hii video na ujumbe mzuri kazi nzuri

  • @nurdinidris5517
    @nurdinidris55174 жыл бұрын

    Fid Q... Barz zimetulia kama lamar😂😂✊🏾✊🏾🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @peterhugokisoli835
    @peterhugokisoli8353 жыл бұрын

    Hi ngoma ni kali sana Fid Q zaidi nimependa style ya ku rap

  • @adamnehemia8316
    @adamnehemia83164 жыл бұрын

    Fid Q;Mtumishi wa MUNGU kuna wimbo wangu hapa naomba nipigie chorus Paul ;hapana,mi nimeokoka Fid Q;please nataka kuzungumza na MUNGU nimpe sifa zake kupitia mistari yangu Paul ;hebu nisikilize kidogo....... FID Q;......... Paul;RRRRRRRRRRRRAPAPPAPAPAAAAA Haleluyaaaa .... FID Q;LORD....

  • @albanbros6705

    @albanbros6705

    4 жыл бұрын

    Lazima ukubali si kwa mistari hii.

  • @happymakambi233

    @happymakambi233

    3 жыл бұрын

    😂😂😂 kama kwel vile

  • @adamnehemia8316

    @adamnehemia8316

    3 жыл бұрын

    @@happymakambi233 SORRY utani tuu😂😂😂

  • @happymakambi233

    @happymakambi233

    3 жыл бұрын

    @@adamnehemia8316 najua ni utan ila kama umekaribia ukwel hivi,nimecheka sana yaan😂😂😂

  • @gabrielsamweljr

    @gabrielsamweljr

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai68053 жыл бұрын

    Kichupa kikaliiii flows Kama kawiz Kama daiz....Ngosha

  • @maruramjomba1718
    @maruramjomba17183 жыл бұрын

    My favourite Tanzanians in one song!!!. Never saw this coming. God is good!

  • @classicmediaenter10ment44
    @classicmediaenter10ment443 жыл бұрын

    Izi ni propanganda Za ngosha na maalika. Kuitangaza Njia na mapito ya MUNGU.

  • @omarymansuri2406
    @omarymansuri24063 жыл бұрын

    Q Ngosha Unajua Sana Unakipaji sio cha kubahatisha (NAREKWINA 95%)

  • @samuelmwaipopo1302
    @samuelmwaipopo13023 жыл бұрын

    Great song. My son is addicted to the chorus.

  • @jumongjr5837
    @jumongjr58374 жыл бұрын

    Namlaaaaaan shetaaaaaaaaan!!!!!!!!!

  • @jahpeoplebadguy4226
    @jahpeoplebadguy42263 жыл бұрын

    Cheusi Dawa Ni Wewe Tajiri Wangu Wa Rhymes

  • @g-mystic_ke
    @g-mystic_ke3 жыл бұрын

    Hii song imani touch nimerudia Mara 20 niskiZe flow ya Q

  • @Emma19933
    @Emma199333 жыл бұрын

    Msanii asiesikia watu lakin anajiskia mwenyewe ogopi mtu anahofu ya mungu

  • @avizpaul3086
    @avizpaul30863 жыл бұрын

    Dahh ,Huyu msanii Mwenyez akup pumz

  • @joem9569
    @joem95693 жыл бұрын

    Daah bonge la Song asee, mbarikiwe sana nyie Matajiri wa Vipaji Fid Q & Paul Clement 🤝🤝

  • @mosesmnyantope9534
    @mosesmnyantope95342 жыл бұрын

    Eewe tajiri yangu bonge yangoma ya kumsifu mungu

  • @blackwingsattorneys4986
    @blackwingsattorneys49863 жыл бұрын

    Wasio muelewa hawaelewi wanacho kielewa! Lyricist Tanzania nzima huyu hapa aje mwengine tuone ...Fid Q mwana aliye juu 🐐 2020

  • @davidbahati3748
    @davidbahati37482 жыл бұрын

    Wimbo mzur sana Ila umegoma kabsa kutoboa sokoni dah, so sady

  • @yusuphmashaka6260
    @yusuphmashaka6260 Жыл бұрын

    That's Fid Q meeeeen,,, Daaamn

  • @dullahmzee8567
    @dullahmzee85673 жыл бұрын

    ngosha nakusikiliza nikiwa oman yani we ni noma yani nasikiza bila ya kuchoka.

  • @mkobaofficial8037
    @mkobaofficial80374 жыл бұрын

    Waoooh kazi nzuriiii ingawa video umechelewa kutoka,like please

  • @sophiasophia3880
    @sophiasophia38803 жыл бұрын

    Haunip shida bila namna ya kuisove

  • @nyakai5182
    @nyakai51824 жыл бұрын

    Huwa nakubali kazi zako bro ziko 🔥🔥🔥🔥 kila mala

  • @japhetkileo1138
    @japhetkileo11383 жыл бұрын

    Tajiri wa mashairi salute kwakwo Q

  • @abinelymalima8907
    @abinelymalima89073 жыл бұрын

    Ngosha umetisha sans ngoma Kali sana

  • @davidjuvenary9422
    @davidjuvenary94224 жыл бұрын

    Ngoma kali saana @Faridi Kubanga

  • @siasazaafrikanaburudani1712
    @siasazaafrikanaburudani171211 ай бұрын

    Hii ngoma kali sana, inamadini halali sana

  • @emanuelkimbe3389
    @emanuelkimbe33893 жыл бұрын

    niliwait mda sana kaz nzur broo

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn89703 жыл бұрын

    Hili song Lina Upako kabisa Amini.

  • @hamdanmrisho4606
    @hamdanmrisho46064 жыл бұрын

    Nakubari brother ngosha mlaraha hata pia michungu halikura

  • @albanbros6705
    @albanbros67053 жыл бұрын

    Kwangu furaha ni kuwa na MUNGU na sio mlungula Najua siku zote mla raha na uchungu hula. Hatari sana.

  • @jacksonzakayo6759
    @jacksonzakayo67594 жыл бұрын

    Ma Dada danga wanabamba vifo salute sana fd

  • @frankdanford8245
    @frankdanford82452 жыл бұрын

    Nyimbo ya kipekee Sana hii

  • @Tfsfedexpilot
    @Tfsfedexpilot3 жыл бұрын

    Ngosha kama Ngonsha 👏🏻👏🏻👏🏻

  • @boazsamwel6111
    @boazsamwel61113 жыл бұрын

    Amina amina .Jehovah ni tajiri wa matajiri,maana alisema Mari zote na vitu vya thamani ni vyake. Shida ya mwanadamu anashindwa kuishi maisha yanayo mpendeza Mungu that why .be blessed amen

  • @emmanuelabel2265
    @emmanuelabel22653 жыл бұрын

    Akili kubwaa inaimba! Big thumb fareed! Tajir wa mistar na flow akimsifu tajir wa ulimwengu na muumba wa vyote! Vinavyoonekanaa na visivyoonekana! Shikamoo fid q!

  • @ArdhiYako
    @ArdhiYako4 жыл бұрын

    Huo ni Utulivu wa Kutosha, Nice song Mr. Kubanda

  • @athumanihamadi6619
    @athumanihamadi66194 жыл бұрын

    This song is dope. Inatukumbusha turudishe heshma kwa aliye juu. Happy b day rock city native

  • @msaranga_

    @msaranga_

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala33923 жыл бұрын

    Mkuu natamani nikuandikie verse ya moto sana. UKITOA nafasi hio utashangaa

  • @zavaramponjika7411
    @zavaramponjika74114 жыл бұрын

    SHukuran sana mpwa kwa hii zawadi yetu nyingine ya mwezi huu adhimu wa uzawa wako. Yaani nahitaji kurasa kadhaa kutoa shauku na hamasa nloipata humu, kwa sasa acha tu niendelee kupiga duru kadhaa kwenye hili chupa. Hongera asante wewe na washiriki wote humo, mpwa Paul Clement amewakilisha ipasavyo. Walojitokeza wote humo wana nafasi ya kuipa hii kazi heshima kubwa sana. Tuko pamoja sana kaka

  • @maggymass970
    @maggymass9703 жыл бұрын

    Ninamwelewa sana did q da kanikosha sana

  • @dyabroad4260
    @dyabroad42603 жыл бұрын

    Hii imekaa poa sanaa kaz nzur sana

  • @saidinoti6935
    @saidinoti69352 жыл бұрын

    King of the hip-hop

  • @johnmgweno4254
    @johnmgweno42544 жыл бұрын

    If you believe in God...! type "AMEN"

  • @MyMercy84
    @MyMercy843 жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana fid Q

  • @vannymponzi8699
    @vannymponzi86993 жыл бұрын

    Nice motivation song big up bro hujawahi niangusha

  • @suleimancani5222
    @suleimancani52224 жыл бұрын

    Ujawai kuniangusha fid q nilikupenda toka nipo tumbon kwa mama yangu.. Kambalu son

  • @cdeegwau551
    @cdeegwau5513 жыл бұрын

    Nafrai sana Kua na Wewe, Hip-Hop ntakupenda Milele....

  • @giduslausbirusha2791
    @giduslausbirusha27913 жыл бұрын

    Dah nyimbo imekamilika kila sehem

  • @JhoseMulokozi-fl4io
    @JhoseMulokozi-fl4io3 ай бұрын

    Nyimbo ya mwaka🎉

  • @kandeboyjrmanji7149
    @kandeboyjrmanji71493 жыл бұрын

    Nice song nakubali sanaaaa

  • @geliajohn163
    @geliajohn1633 жыл бұрын

    Safi sana mubarikiwe sanaaaa

  • @nehemiahnkotagu6742
    @nehemiahnkotagu67424 жыл бұрын

    Muislam amshirikisha mkristo katika nyimbo moja wakimuimbia mungu "RESPECT".

  • @jeovangisc7957
    @jeovangisc79574 жыл бұрын

    Duuu Fid anaangusha vyuma htr

  • @mustinrajab8171
    @mustinrajab81713 жыл бұрын

    Shemeji yangu ngosha ze don

  • @saganyajackson6817
    @saganyajackson68174 жыл бұрын

    Nakubali sana Mkubwa nyimbo nzur y'a Shukran kwa Mungu. Zid kubarikiwa Zaid kila kuitwapo Léo # TAJILI ANGU

  • @mlwanikamchizi3507
    @mlwanikamchizi35074 жыл бұрын

    Happy birthday Ngosha

  • @juliusemanuel9058
    @juliusemanuel90584 жыл бұрын

    Ngosha kama Ngosha mshushie like zake kwa ngoma kali

  • @evelynengoma5517
    @evelynengoma55173 жыл бұрын

    Wow,kazi nzuri

  • @emanuelnkya5764
    @emanuelnkya57644 жыл бұрын

    Paul kasound Kama banana zoro aisee Bro kazi nzuri

  • @clairenaivasha1886
    @clairenaivasha18863 жыл бұрын

    am in love with the song God is so powerful

  • @pancrasshirima
    @pancrasshirima3 жыл бұрын

    Kali.. hongera kwa hii ngoma

  • @bonfacechibungu379
    @bonfacechibungu3794 жыл бұрын

    Fid Q's music is Gold. 🙏🙏🇰🇪🇰🇪

  • @msaranga_

    @msaranga_

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html

  • @sostainlenn9495
    @sostainlenn94953 жыл бұрын

    wangap wamekuja hpa baada ya kuona jina la paul clement

  • @nebyink1415
    @nebyink14154 жыл бұрын

    Lesa wa Mapalo Means Mungu Wa Baraka Wanangu wa Tunduma na Zambia Gonga Like Basiii

  • @wangwemwitapeter933
    @wangwemwitapeter9334 жыл бұрын

    Happy borndate mwamba @therealFidQ

  • @ndahanyared9580
    @ndahanyared95804 жыл бұрын

    Video kari sana gosha

  • @abdonntila1559
    @abdonntila15593 жыл бұрын

    Mzee mbuzi umetisha sana

  • @mtare8942
    @mtare89423 жыл бұрын

    Ngoma kali mzee

  • @ellymwitakichonge8416
    @ellymwitakichonge84164 жыл бұрын

    Daaa hili goma kali sana fid Q ft poul clement mmekalisha kinyama big up kwenu!!!!

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop10184 жыл бұрын

    Fd Q nakukubali saana

  • @victorwisdom734
    @victorwisdom7342 жыл бұрын

    God bless you Fid Q

  • @bettyobedy8938
    @bettyobedy89383 жыл бұрын

    Kwahiyo hapa hii ngoma nan kamshiliksha mwenzie

  • @marcusgray2559
    @marcusgray25593 жыл бұрын

    kazi kali sana Q...

Келесі