Fid Q feat Barakah The Prince - Mafanikio (Official Audio)

Музыка

#FidQ #Mafanikio #BarakahThePrince #SlideDigital
intro: Barakah The Prince
kila mtu anataka mafanikio..
verse 1:Fid Q
Kujisikia nipo juu mie sitaki hizo deals/
sipendi makuu hivyo nitabaki kuwa real../
na kila track ya Q aaah,.. ni wazi utaifeel/
ni wazi iko full aah MZAZI ninakill/
ninamwagika kama Masika../ ninaheshimika na sio kanjibai/
kwa huu mziki wa bajaji hadi kwa washkaji wenye macadillac/
unawashika ile kibabylon.. unauzika sana maghetoni/
ilimradi tu wawe happy more..midadi tu ila party noooo/
mkisinzia mtaniudhi nishawapa vyeo/
tuwape wapuuzi waliodai hii haiuzi haya matokeo/
safari ni hatua.. kufika inabidi uianze/
haina kukita au kusita.. inabidi ukaze/
ingia, ongoza au fuata njia, kukimbia ni mwiko/
kuanzia ulipo sio sawa na kubakia ulipo/
nikisema 'chini hapana' nina maana fanya unyanyuke/
na ukiamini umesimama mwana.. komaa usianguke/
ukijituma na neema inakaribia../
nyuma walio-give up mapema wangekaza wangeifikia/
penye... happy.. jitusu.. unafki usiuruhusu/
yajue ya kuzingatia ili uachane na yasiyokuhusu/
kibongobongo longolongo shazi/
endelea kusaka mchongo hata ukipata kazi/
HOOK: Barakah the prince
Tunachukiana? ndio../
ila sio sababu kuacha riadha ya mafanikio/
ongeza mbio/
sababu kila mtu, kila kona anasaka mafanikio/
haukungoji wakati.. ooh wewe/
zinapita nyakati..ooh wewe/
muda wako bahati.. oh wewe/
verse 2:Fid Q
Na kughairisha kisa haupati sapoti/
ni kujificha na kuuliza giza.. iko wapi ile tochi?/
haupati ile noti/
na wakati wa ule uboss ushapotea/
hautaki ukose? usiache ofcoz endelea/
utafanikiwa kwa unachojua au unachofanya/
wachache ndio hutusua kwa jinsi tu wanavyoonekana/
mafanikio hayaji ukikata tamaa../
yenyewe huwafuata wanaojituma na wale wasiosukumwa na njaa/
sipigi kila dili mipaka imezingatiwa/
sitaki kuwa tajiri ninataka kufanikiwa/
ili kuheshimiwa kwanza ni lazima ujiheshimu/
lakini kufanikiwa ni maujanja tu sio lazima elimu/
ili kuyadaka wengine hugeuka wabaya/
mafanikio kwenye kuyasaka wengine hugeuka malaya/
hugeuka was(i)o haya/
kutwa utawakuta kwa babu/
na anayefanya mambo ya maana huwa hana muda wa kuyahesabu/
kwenye kuyasaka hakikisha haufilisiki/
haupotezi maisha au vile vitu havinunuliki/
sio kama hatucheki kwasababu tumezeeka?/
nope.. ni tunazeeka kwasababu hatujawahi cheka/
HOOK: Barakah the prince
Tunachukiana? ndio../
ila sio sababu kuacha riadha ya mafanikio/
ongeza mbio/
sababu kila mtu, kila kona anasaka mafanikio/
haukungoji wakati.. ooh wewe/
zinapita nyakati..ooh wewe/
muda wako bahati.. oh wewe/
utumie basi... eeeh eeeh/
bridge: Barakah The Prince
una mpenzi (na) uko lonely?/
im sorry ndugu.. haujafanikiwa/
maisha ni kama boli, magoli ndio kufanikiwa/
oooh ooh oooh..oooh.. ndio kufanikiwa/
kila mtu anataka mafanikio.../
outro:Barakah The Prince
hhhmmm.. hhhhmmm.. oh mafanikio
oh mafanikio
kila mtu anataka mafanikio
FID Q Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by Fid Q
Follow Fid Q on
Twitter: / fidq
Facebook: / fidhop
Instagram: / therealfidq
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 447

  • @josephmayunga7861
    @josephmayunga78615 жыл бұрын

    Mashairi yaliyoja maujumbe, rais wa hip hop ngosha the don

  • @Nakasinge_Mugarula
    @Nakasinge_Mugarula5 жыл бұрын

    ....na anayefanya mambo ya maana hana muda wa kuyahesabu.... Kama umekubali huo mstali na ngoma yote kwa ujumla nikutambue kwa like(s) hapa👍👍

  • @africangospelmusic4026
    @africangospelmusic40265 жыл бұрын

    TEAM FID Q LIKE HAPA JAMANI NISIWE PEKEEEANGU! FID Q MAFANIKIO

  • @jamilahamis1912

    @jamilahamis1912

    5 жыл бұрын

    ❤❤

  • @jacobchengo5280

    @jacobchengo5280

    5 жыл бұрын

    Like iyo

  • @richardmadeje6018

    @richardmadeje6018

    5 жыл бұрын

    Da we mkali

  • @ummysaid6490
    @ummysaid64905 жыл бұрын

    "So kama hatucheki sababu tumezeeka NO tunazeeka sabb hatujawahii kucheka"

  • @iddikogo4987
    @iddikogo49875 жыл бұрын

    Fid q maneno yako ni darasa kwangu kwa kila wimbo.

  • @johnmkatakona6474
    @johnmkatakona64745 жыл бұрын

    Beat.. Beat.. Beat.. Kali sana.. Ndomana Ata ngosha kaenda nayo vizuri.. Simfahamu uyu producer Ila anaweza 👍👍

  • @kelbeckmusicworld1736
    @kelbeckmusicworld17365 жыл бұрын

    Fid q ww utabaki king of hip-hop 🇹🇿🌍🌎🌏🔥🔥ngoma ina eleweka

  • @keithevans2722
    @keithevans27225 жыл бұрын

    Fid Q ana'deserve Mapenzi,Muda na senti ya kila Mtanzania......He is our national treasure,hands down!!!!

  • @zeoneshiru3319
    @zeoneshiru33195 жыл бұрын

    Sipigi kila dili mipaka imezingatiwa,Sitaki kua tajiri Nataka Kufanikiwa

  • @muchiameir7416
    @muchiameir74165 жыл бұрын

    kufanikiwa ni ujanja tuuu sio lazima elimu.....kama umemuelewa mkono hewani

  • @stewartkombe5057

    @stewartkombe5057

    5 жыл бұрын

    🤭

  • @stevenpanya3663

    @stevenpanya3663

    2 жыл бұрын

    Iyo nikweri. Mze baba kufanikiwa Nina. Ujanja 2. Sorazima erimu

  • @celeone2655
    @celeone26555 жыл бұрын

    Ujawai niangusha ...Hip Hop for life...Ili nikuelewe lazma nikusikize sana ....Ndo maana ur ma no 1..Ma hiphop Artst in bongo...#Mwanamalundi..

  • @ellymilly5352

    @ellymilly5352

    5 жыл бұрын

    Sana2 kamili kufanikiwa maujanja

  • @fatmakhamicsharif3898
    @fatmakhamicsharif38985 жыл бұрын

    Fid umeuwaaaaaa nipo Zanzibar kila kona ukipita MAFANIKIO ndo Habari ya MJINI

  • @socialupdateunited2727
    @socialupdateunited27275 жыл бұрын

    wap team fid like apa

  • @yussuphmuller1775

    @yussuphmuller1775

    5 жыл бұрын

    dope shit

  • @kassamruzuru4913

    @kassamruzuru4913

    5 жыл бұрын

    Best rapper 4ever

  • @mrSemoki

    @mrSemoki

    5 жыл бұрын

    Fid Q hana team

  • @Hector-cq9dt
    @Hector-cq9dt5 жыл бұрын

    Sipigi kila deal mipaka imezingatiwa..hahaha heshima bro..

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua76435 жыл бұрын

    Kufanikiwa Ni kile unachojua Na Unachofanya Mstari Moto sanaaa

  • @BuraK-bk9iw
    @BuraK-bk9iw5 жыл бұрын

    kingne nilicho kipenda umemshilkisha fund balaka

  • @msafirihalid259

    @msafirihalid259

    5 жыл бұрын

    Baraka sio balaka

  • @denismakweba3870
    @denismakweba38705 жыл бұрын

    Like e back kma umesikia mstari "staki kuwa tajiri ila naitaji kufanikiwa" ila kufanikiwa ni maujanja hauitaji elimu 👏👏👏hongera baraka coz kusimama kwenye beat na fid syo kitu kidogo

  • @ngoshamsavira5606
    @ngoshamsavira56065 жыл бұрын

    Ngosha miziki yako yaukweli Pigs kazi broo

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize49265 жыл бұрын

    Mzee baba utabaki kuwa wa pekee katika uandishi wa ki master. Kidogo nyuma yako namuona dizasta vina. Barack melody safi tatizo maneno meng hayackiki

  • @BenCheck-jx9lo
    @BenCheck-jx9lo5 жыл бұрын

    Safi sana. Baraka safi Fid-Q safi wote safi ...soma hio🔥

  • @evepatrick1720
    @evepatrick17205 жыл бұрын

    Ngoma kaliiiii sanaaaa...... Fid and the prince gonga like...... Hapa twende sawawww

  • @kulwajeremiahlibori9583
    @kulwajeremiahlibori95835 жыл бұрын

    Fid Q ndio muelekeo sahihi wa hip hop ya Bongo inavotakowa kuwa,,,,Uishi bro

  • @harmoniky4000
    @harmoniky40005 жыл бұрын

    Fid you are the most consistent rapper. Dunia nzima.

  • @sembojwamaterial8409
    @sembojwamaterial84095 жыл бұрын

    so kama hatucheki kwa sababu tumezeeka noo..hatucheki ndo mana tnazeeka..aleiskia hii punch line""basi like na kwangu apa👇

  • @mavumbimavumbi5284
    @mavumbimavumbi52845 жыл бұрын

    BARAKA DAR AISEEEEEEEEEE umeuwa mbaya duh

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74915 жыл бұрын

    Hi track ni balaaa BIG UP FID Q BROTHER

  • @nicodemasdaud72
    @nicodemasdaud725 жыл бұрын

    noma sana bonge la ngoma unaweza kuhisi na ww umefanikiwa ukisikiliza

  • @hamicmonga7923
    @hamicmonga79235 жыл бұрын

    Akuna km fid tz km unmkubalr fnya km una like hv twende xawa

  • @festongandango4195
    @festongandango41955 жыл бұрын

    Ukijituma na neema inakarbia nyuma walo give up mapema wangekaza wangeifkia! Fid q I'm ur die hard fan from iringani

  • @bonshag1
    @bonshag15 жыл бұрын

    Concious joint, fid kiongozi wa hii sanaa kaka mkubwa

  • @magulumakenzi5342
    @magulumakenzi53425 жыл бұрын

    Oh! Comment is not a right but sometimes it becomes an obligation: Fid q is a tysonic and titanic hip-hop artist in the sphere of which he is known!!!

  • @brightvatta284
    @brightvatta2845 жыл бұрын

    Fid Q... ngoma kali sana

  • @mickymaster8597

    @mickymaster8597

    5 жыл бұрын

    Saf FD q

  • @saidmungobe4772

    @saidmungobe4772

    5 жыл бұрын

    big up sana....more message

  • @charzmichael5792
    @charzmichael57925 жыл бұрын

    Da sijwahi juta kuwa shabiki wako fid salute team fid like jaman

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop10185 жыл бұрын

    Napenda sana *Chorus* #BarakahThePrince unaichoraga safi kabisa

  • @emanuelmbondo4598

    @emanuelmbondo4598

    5 жыл бұрын

    True

  • @chitwangaseif8162

    @chitwangaseif8162

    5 жыл бұрын

    Nakubali

  • @juxbouy4685
    @juxbouy46855 жыл бұрын

    Motoooooo sana ma histler wote tujuane happy 🏍️🏎️💪

  • @joelyangajo8053
    @joelyangajo80535 жыл бұрын

    Big up sana my bruh

  • @ramadhanisaidi3883
    @ramadhanisaidi38835 жыл бұрын

    fid q broo hujawah niangusha toka agost 13.

  • @ramsobeca9578
    @ramsobeca95785 жыл бұрын

    good job bro.

  • @abdallahmatongo3169
    @abdallahmatongo31697 ай бұрын

    Hii ni moja ya nyimbo yenye ujazo mzito sana.

  • @wizshine1904
    @wizshine19045 жыл бұрын

    Baraka umetisha.. ila fid... ujui kuimba unaimba kizamani sana..... tena sana adi unaboa.......emu msikilize GOS BE .. wazamani ila mpk leo.. anachana kisasa..... daaaaa fid q bdo sana.........

  • @wilhelmuske945
    @wilhelmuske9455 жыл бұрын

    LIKED AS SOON AS ..'KUNA MTU ANATAKA MAFANIKIO....!

  • @gasperseverin4038
    @gasperseverin40385 жыл бұрын

    Kawajibuuuu... Apendi kujionyeshaaa

  • @nurudinmpandonismmpandonis439
    @nurudinmpandonismmpandonis4395 жыл бұрын

    Kubali Sana Hakuna kama wewe Hatokuja kutokea faridi kubanda fid q mwamba wa Tanzania Never give Up only mwanampotevu hapa

  • @noahmwandosya694
    @noahmwandosya6945 жыл бұрын

    Hii ngoma kali ngosha 🔥🔥inanirudia kwenye feeling Mara dieci big up man

  • @lucasdominick7197
    @lucasdominick71975 жыл бұрын

    Watu wa mwanza tukijituma peke etu tunaweza make 1M views in 2 days kweny misumal kama hii ya Fid sema 2naish kwa kukariri,Big up Broo fid

  • @imaradaimaalexkatitian3220
    @imaradaimaalexkatitian3220 Жыл бұрын

    Fid q neema imekufikia maana umejituma duhh nakukubali

  • @officialsalim3955
    @officialsalim39555 жыл бұрын

    Baraka melody✔️

  • @watundumaonlinetv8373
    @watundumaonlinetv8373 Жыл бұрын

    Mafanikio katika kuyasaka wengine hugeuka malaya🔥🔥

  • @jastineroofficial6440
    @jastineroofficial64405 жыл бұрын

    Motooooo🔥🔥🔥

  • @robifilosomaniofficialonli4272
    @robifilosomaniofficialonli42725 жыл бұрын

    Daaaaaah fidiiiiii,umetishaaaaa mwanaaa

  • @panchojronline8508
    @panchojronline85085 жыл бұрын

    ...naukiiamin umesimama kaza ili usianguke. nakuelew Ngosha wew ndio baba wa hiphop tz + afrc kwa ujumla

  • @hdmaswera8353
    @hdmaswera83535 жыл бұрын

    Bonge la ngoma

  • @trueboymwindi369
    @trueboymwindi3695 жыл бұрын

    Hujwai niangusha baraka,,bigup mzee

  • @juniorevaristtz2035
    @juniorevaristtz20355 жыл бұрын

    Nakubar kaz yako hip hop 4life 🙏🙏🙏

  • @goldsymba2633
    @goldsymba2633 Жыл бұрын

    Nimekuja hapa coz huu Wimbo is about kutrend upya watch the time 💯🔥🔥

  • @martinkarega4219

    @martinkarega4219

    Жыл бұрын

    Daah..yaani namkubali sana Ngosha the Don

  • @irenekalinjuma4176
    @irenekalinjuma41765 жыл бұрын

    "Mafanikio hayaji kwa kukata tamaa".... I love yo fid q🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @shabanibwanamdogo6794
    @shabanibwanamdogo67945 жыл бұрын

    Nc song nikiwa mtu wa kwanza kuiskiliza hii ngoma naomba like zangu za kutosha🙏🙏

  • @timolivier411
    @timolivier4114 жыл бұрын

    Kujificha nakuuliza giza ikowapi île tochi 💥💥

  • @Alegria_doPovo
    @Alegria_doPovo5 жыл бұрын

    Big up mweny 👑 ya Bongo hip hop hakuna ka wew afrika masharik nzmaa

  • @lilianpaulo1010
    @lilianpaulo10105 жыл бұрын

    Big up broo,,,mziki mzuri utaimbia hata choon

  • @nyankongomakori4999
    @nyankongomakori49995 жыл бұрын

    Good music king of hip hop endelea kutoa mafunzo kwa jamii ili jina libaki milele yote, #mafanikio@fidq

  • @williamcharz2079
    @williamcharz2079 Жыл бұрын

    Fid Q is another level hip-hop artist, this song is my inspirational

  • @HamiskMatunguli
    @HamiskMatunguli3 ай бұрын

    Naikubali mpaka Leo 2024

  • @oscarpatrick3820
    @oscarpatrick38205 жыл бұрын

    Fid Q unajua 🔥🔥🔥

  • @farijaliawadh4280
    @farijaliawadh42805 жыл бұрын

    Mafanikio huja kwa kupenda unachofanya ...I real appreciate home boy

  • @christophersoty101
    @christophersoty1015 жыл бұрын

    mafanikuo kwenye kuyasaka wengine hugeuka Malaya kama umemuelewa kama mm weka like yako apa

  • @emanuelmwangosi1307
    @emanuelmwangosi13075 жыл бұрын

    jama unamistar kama maisha tunavoishi nakubi fid q endelea kutulisha men

  • @Zedeckfeareducatedhamite
    @Zedeckfeareducatedhamite Жыл бұрын

    Baraka prince gots swag balaaa ..

  • @kingjahman7905
    @kingjahman79054 жыл бұрын

    Di realist spitter Fid Q dawg... Damn!

  • @maishaye2799
    @maishaye27995 жыл бұрын

    Uwepo wako kwangu n baraka tosha, asante kwa kazi nzuri unazo tupa, na uishi milele kwa uweza wa MUNGU BABA

  • @musadindai2442
    @musadindai24425 жыл бұрын

    Thanks consistent rapper in the world

  • @zachariahexegesists7892
    @zachariahexegesists78925 жыл бұрын

    NIMEKUELEWA SANA

  • @mosesemado7745
    @mosesemado77455 жыл бұрын

    utafanikiwa unavyo jua,,,,,sokila fanikio ni elimi,,n maujanja2

  • @kaliuaonlinetv7699
    @kaliuaonlinetv76995 жыл бұрын

    Hip hop Bira Mwanza Hakuna Tz

  • @shilamoto4409
    @shilamoto44095 жыл бұрын

    "mafanikio hayaj ukikata tamaa yenyewe uwafata wanao jituma na sio wanao sukumwa na njaa" saluti big

  • @user-oq4pb4hi9q
    @user-oq4pb4hi9q2 ай бұрын

    Mwanzaaaa❤

  • @pyompdomkazi135
    @pyompdomkazi1355 жыл бұрын

    Maikochen mzuka sanaa kibongo bongo hadi kijiwe sofaa

  • @hashjamal6071
    @hashjamal60715 жыл бұрын

    Haitakuwa vema kuwa mchoyo wa sifa kwa kile kinachostahiri sifa , much respect faridi kubanda bado unadhihilisha kuwa wewe ni mgodi ulio jawa madini , keep it up

  • @goodlucksniper2247
    @goodlucksniper22475 жыл бұрын

    Baraka ni hatari sana... Fid kachana kama ngoma ya sumu so sijaona mabadiliko humu

  • @shabansaid3309
    @shabansaid33095 жыл бұрын

    Asaante kwa chakula bora kbisa cha Ubongo

  • @martinkarega4219
    @martinkarega4219 Жыл бұрын

    Punch lines kibao...Respect kwa Fid Q 2023 yani hatari

  • @yedb1287
    @yedb12875 жыл бұрын

    Mfalme wa bongo hiphop

  • @hassanmohamed3642
    @hassanmohamed36425 жыл бұрын

    sijawakujutia kuwa shabiki wako ngoma kubwa sanaaaa

  • @mapundacalvin7357
    @mapundacalvin73575 жыл бұрын

    mafanikio hayaji kwa kukta tamaa yenyewe huwafata wanaejituma/..... asantee FId Q

  • @willymashaka5263
    @willymashaka52635 жыл бұрын

    ngoma kari sana mzee fareedy umetisha sana asante kwa mziki mzuri nda ya miaka yote uliopo kwenye gem

  • @bakamuubakamuu8628
    @bakamuubakamuu86285 жыл бұрын

    Sitaki kuwa tajiri nataka kufanikiwa......tisha sana bro fid q

  • @k.joebabux1522
    @k.joebabux15225 жыл бұрын

    Dah!!!!!najilaumu Sana kuchelew kuipata hii kitu ngosha wew ndo baba wa Hip Hop africa

  • @kaobamaabel5561
    @kaobamaabel55615 жыл бұрын

    Asante ngosha nlikuwa nasubiria ngoma ya hiphop ya fungua mwakaaaa 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @danisoft6568

    @danisoft6568

    5 жыл бұрын

    NOMA

  • @makarokingi3144
    @makarokingi31445 жыл бұрын

    Hii ngoma nimeirudia mara nyingi sana

  • @rastamichael2734
    @rastamichael27345 жыл бұрын

    nimesikia bro

  • @stepheneotieno5570
    @stepheneotieno55705 жыл бұрын

    Kali kama kawaida Respect💯💯

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout61165 жыл бұрын

    wozaaaaaaaaaaaaaaaa kubanda Baba yao nakubali Sana, 💪💪💪💪💪💪

  • @gkaniel87
    @gkaniel875 жыл бұрын

    Ngosha tunaisubiri

  • @halfadaud9440
    @halfadaud94405 жыл бұрын

    Kweli mafanikio ni safari,ili uyafikie lazima safari uianze!!

  • @patrickmgaza9927
    @patrickmgaza99275 жыл бұрын

    goncher na chizan sio watu wazuli mlichomfanyia ngosha hatari sanaaaa

  • @manjaruujr2382
    @manjaruujr23825 жыл бұрын

    Huyu ndo FID Q siyo yule wa flesh ukawapa nafasi hadi mawaki wakaanza kuku-snitch tena

  • @collegedropout5525
    @collegedropout55255 жыл бұрын

    ngoma kali sana aiseeee, fid q best rapper ol the time.

  • @fatmakhamicsharif3898
    @fatmakhamicsharif38985 жыл бұрын

    TEAM FID PIGA KELELEEE

  • @mchinathegreat9619
    @mchinathegreat96195 жыл бұрын

    #therealFdq Best #Mc in Tanzania

  • @allymkuti2071

    @allymkuti2071

    5 жыл бұрын

    nimekubali Nazi bro ngoxha

  • @SuperLee83
    @SuperLee835 жыл бұрын

    Ila Baraka uwa unapenda sifa sana kwenye kazi za wana

Келесі