Fid Q feat Barakah The Prince - Mafanikio (Official Audio)
Музыка
#FidQ #Mafanikio #BarakahThePrince #SlideDigital
intro: Barakah The Prince
kila mtu anataka mafanikio..
verse 1:Fid Q
Kujisikia nipo juu mie sitaki hizo deals/
sipendi makuu hivyo nitabaki kuwa real../
na kila track ya Q aaah,.. ni wazi utaifeel/
ni wazi iko full aah MZAZI ninakill/
ninamwagika kama Masika../ ninaheshimika na sio kanjibai/
kwa huu mziki wa bajaji hadi kwa washkaji wenye macadillac/
unawashika ile kibabylon.. unauzika sana maghetoni/
ilimradi tu wawe happy more..midadi tu ila party noooo/
mkisinzia mtaniudhi nishawapa vyeo/
tuwape wapuuzi waliodai hii haiuzi haya matokeo/
safari ni hatua.. kufika inabidi uianze/
haina kukita au kusita.. inabidi ukaze/
ingia, ongoza au fuata njia, kukimbia ni mwiko/
kuanzia ulipo sio sawa na kubakia ulipo/
nikisema 'chini hapana' nina maana fanya unyanyuke/
na ukiamini umesimama mwana.. komaa usianguke/
ukijituma na neema inakaribia../
nyuma walio-give up mapema wangekaza wangeifikia/
penye... happy.. jitusu.. unafki usiuruhusu/
yajue ya kuzingatia ili uachane na yasiyokuhusu/
kibongobongo longolongo shazi/
endelea kusaka mchongo hata ukipata kazi/
HOOK: Barakah the prince
Tunachukiana? ndio../
ila sio sababu kuacha riadha ya mafanikio/
ongeza mbio/
sababu kila mtu, kila kona anasaka mafanikio/
haukungoji wakati.. ooh wewe/
zinapita nyakati..ooh wewe/
muda wako bahati.. oh wewe/
verse 2:Fid Q
Na kughairisha kisa haupati sapoti/
ni kujificha na kuuliza giza.. iko wapi ile tochi?/
haupati ile noti/
na wakati wa ule uboss ushapotea/
hautaki ukose? usiache ofcoz endelea/
utafanikiwa kwa unachojua au unachofanya/
wachache ndio hutusua kwa jinsi tu wanavyoonekana/
mafanikio hayaji ukikata tamaa../
yenyewe huwafuata wanaojituma na wale wasiosukumwa na njaa/
sipigi kila dili mipaka imezingatiwa/
sitaki kuwa tajiri ninataka kufanikiwa/
ili kuheshimiwa kwanza ni lazima ujiheshimu/
lakini kufanikiwa ni maujanja tu sio lazima elimu/
ili kuyadaka wengine hugeuka wabaya/
mafanikio kwenye kuyasaka wengine hugeuka malaya/
hugeuka was(i)o haya/
kutwa utawakuta kwa babu/
na anayefanya mambo ya maana huwa hana muda wa kuyahesabu/
kwenye kuyasaka hakikisha haufilisiki/
haupotezi maisha au vile vitu havinunuliki/
sio kama hatucheki kwasababu tumezeeka?/
nope.. ni tunazeeka kwasababu hatujawahi cheka/
HOOK: Barakah the prince
Tunachukiana? ndio../
ila sio sababu kuacha riadha ya mafanikio/
ongeza mbio/
sababu kila mtu, kila kona anasaka mafanikio/
haukungoji wakati.. ooh wewe/
zinapita nyakati..ooh wewe/
muda wako bahati.. oh wewe/
utumie basi... eeeh eeeh/
bridge: Barakah The Prince
una mpenzi (na) uko lonely?/
im sorry ndugu.. haujafanikiwa/
maisha ni kama boli, magoli ndio kufanikiwa/
oooh ooh oooh..oooh.. ndio kufanikiwa/
kila mtu anataka mafanikio.../
outro:Barakah The Prince
hhhmmm.. hhhhmmm.. oh mafanikio
oh mafanikio
kila mtu anataka mafanikio
FID Q Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Written & Performed by Fid Q
Follow Fid Q on
Twitter: / fidq
Facebook: / fidhop
Instagram: / therealfidq
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 447
Mashairi yaliyoja maujumbe, rais wa hip hop ngosha the don
....na anayefanya mambo ya maana hana muda wa kuyahesabu.... Kama umekubali huo mstali na ngoma yote kwa ujumla nikutambue kwa like(s) hapa👍👍
TEAM FID Q LIKE HAPA JAMANI NISIWE PEKEEEANGU! FID Q MAFANIKIO
@jamilahamis1912
5 жыл бұрын
❤❤
@jacobchengo5280
5 жыл бұрын
Like iyo
@richardmadeje6018
5 жыл бұрын
Da we mkali
"So kama hatucheki sababu tumezeeka NO tunazeeka sabb hatujawahii kucheka"
Fid q maneno yako ni darasa kwangu kwa kila wimbo.
Beat.. Beat.. Beat.. Kali sana.. Ndomana Ata ngosha kaenda nayo vizuri.. Simfahamu uyu producer Ila anaweza 👍👍
Fid q ww utabaki king of hip-hop 🇹🇿🌍🌎🌏🔥🔥ngoma ina eleweka
Fid Q ana'deserve Mapenzi,Muda na senti ya kila Mtanzania......He is our national treasure,hands down!!!!
Sipigi kila dili mipaka imezingatiwa,Sitaki kua tajiri Nataka Kufanikiwa
kufanikiwa ni ujanja tuuu sio lazima elimu.....kama umemuelewa mkono hewani
@stewartkombe5057
5 жыл бұрын
🤭
@stevenpanya3663
2 жыл бұрын
Iyo nikweri. Mze baba kufanikiwa Nina. Ujanja 2. Sorazima erimu
Ujawai niangusha ...Hip Hop for life...Ili nikuelewe lazma nikusikize sana ....Ndo maana ur ma no 1..Ma hiphop Artst in bongo...#Mwanamalundi..
@ellymilly5352
5 жыл бұрын
Sana2 kamili kufanikiwa maujanja
Fid umeuwaaaaaa nipo Zanzibar kila kona ukipita MAFANIKIO ndo Habari ya MJINI
wap team fid like apa
@yussuphmuller1775
5 жыл бұрын
dope shit
@kassamruzuru4913
5 жыл бұрын
Best rapper 4ever
@mrSemoki
5 жыл бұрын
Fid Q hana team
Sipigi kila deal mipaka imezingatiwa..hahaha heshima bro..
Kufanikiwa Ni kile unachojua Na Unachofanya Mstari Moto sanaaa
kingne nilicho kipenda umemshilkisha fund balaka
@msafirihalid259
5 жыл бұрын
Baraka sio balaka
Like e back kma umesikia mstari "staki kuwa tajiri ila naitaji kufanikiwa" ila kufanikiwa ni maujanja hauitaji elimu 👏👏👏hongera baraka coz kusimama kwenye beat na fid syo kitu kidogo
Ngosha miziki yako yaukweli Pigs kazi broo
Mzee baba utabaki kuwa wa pekee katika uandishi wa ki master. Kidogo nyuma yako namuona dizasta vina. Barack melody safi tatizo maneno meng hayackiki
Safi sana. Baraka safi Fid-Q safi wote safi ...soma hio🔥
Ngoma kaliiiii sanaaaa...... Fid and the prince gonga like...... Hapa twende sawawww
Fid Q ndio muelekeo sahihi wa hip hop ya Bongo inavotakowa kuwa,,,,Uishi bro
Fid you are the most consistent rapper. Dunia nzima.
so kama hatucheki kwa sababu tumezeeka noo..hatucheki ndo mana tnazeeka..aleiskia hii punch line""basi like na kwangu apa👇
BARAKA DAR AISEEEEEEEEEE umeuwa mbaya duh
Hi track ni balaaa BIG UP FID Q BROTHER
noma sana bonge la ngoma unaweza kuhisi na ww umefanikiwa ukisikiliza
Akuna km fid tz km unmkubalr fnya km una like hv twende xawa
Ukijituma na neema inakarbia nyuma walo give up mapema wangekaza wangeifkia! Fid q I'm ur die hard fan from iringani
Concious joint, fid kiongozi wa hii sanaa kaka mkubwa
Oh! Comment is not a right but sometimes it becomes an obligation: Fid q is a tysonic and titanic hip-hop artist in the sphere of which he is known!!!
Fid Q... ngoma kali sana
@mickymaster8597
5 жыл бұрын
Saf FD q
@saidmungobe4772
5 жыл бұрын
big up sana....more message
Da sijwahi juta kuwa shabiki wako fid salute team fid like jaman
Napenda sana *Chorus* #BarakahThePrince unaichoraga safi kabisa
@emanuelmbondo4598
5 жыл бұрын
True
@chitwangaseif8162
5 жыл бұрын
Nakubali
Motoooooo sana ma histler wote tujuane happy 🏍️🏎️💪
Big up sana my bruh
fid q broo hujawah niangusha toka agost 13.
good job bro.
Hii ni moja ya nyimbo yenye ujazo mzito sana.
Baraka umetisha.. ila fid... ujui kuimba unaimba kizamani sana..... tena sana adi unaboa.......emu msikilize GOS BE .. wazamani ila mpk leo.. anachana kisasa..... daaaaa fid q bdo sana.........
LIKED AS SOON AS ..'KUNA MTU ANATAKA MAFANIKIO....!
Kawajibuuuu... Apendi kujionyeshaaa
Kubali Sana Hakuna kama wewe Hatokuja kutokea faridi kubanda fid q mwamba wa Tanzania Never give Up only mwanampotevu hapa
Hii ngoma kali ngosha 🔥🔥inanirudia kwenye feeling Mara dieci big up man
Watu wa mwanza tukijituma peke etu tunaweza make 1M views in 2 days kweny misumal kama hii ya Fid sema 2naish kwa kukariri,Big up Broo fid
Fid q neema imekufikia maana umejituma duhh nakukubali
Baraka melody✔️
Mafanikio katika kuyasaka wengine hugeuka malaya🔥🔥
Motooooo🔥🔥🔥
Daaaaaah fidiiiiii,umetishaaaaa mwanaaa
...naukiiamin umesimama kaza ili usianguke. nakuelew Ngosha wew ndio baba wa hiphop tz + afrc kwa ujumla
Bonge la ngoma
Hujwai niangusha baraka,,bigup mzee
Nakubar kaz yako hip hop 4life 🙏🙏🙏
Nimekuja hapa coz huu Wimbo is about kutrend upya watch the time 💯🔥🔥
@martinkarega4219
Жыл бұрын
Daah..yaani namkubali sana Ngosha the Don
"Mafanikio hayaji kwa kukata tamaa".... I love yo fid q🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nc song nikiwa mtu wa kwanza kuiskiliza hii ngoma naomba like zangu za kutosha🙏🙏
Kujificha nakuuliza giza ikowapi île tochi 💥💥
Big up mweny 👑 ya Bongo hip hop hakuna ka wew afrika masharik nzmaa
Big up broo,,,mziki mzuri utaimbia hata choon
Good music king of hip hop endelea kutoa mafunzo kwa jamii ili jina libaki milele yote, #mafanikio@fidq
Fid Q is another level hip-hop artist, this song is my inspirational
Naikubali mpaka Leo 2024
Fid Q unajua 🔥🔥🔥
Mafanikio huja kwa kupenda unachofanya ...I real appreciate home boy
mafanikuo kwenye kuyasaka wengine hugeuka Malaya kama umemuelewa kama mm weka like yako apa
jama unamistar kama maisha tunavoishi nakubi fid q endelea kutulisha men
Baraka prince gots swag balaaa ..
Di realist spitter Fid Q dawg... Damn!
Uwepo wako kwangu n baraka tosha, asante kwa kazi nzuri unazo tupa, na uishi milele kwa uweza wa MUNGU BABA
Thanks consistent rapper in the world
NIMEKUELEWA SANA
utafanikiwa unavyo jua,,,,,sokila fanikio ni elimi,,n maujanja2
Hip hop Bira Mwanza Hakuna Tz
"mafanikio hayaj ukikata tamaa yenyewe uwafata wanao jituma na sio wanao sukumwa na njaa" saluti big
Mwanzaaaa❤
Maikochen mzuka sanaa kibongo bongo hadi kijiwe sofaa
Haitakuwa vema kuwa mchoyo wa sifa kwa kile kinachostahiri sifa , much respect faridi kubanda bado unadhihilisha kuwa wewe ni mgodi ulio jawa madini , keep it up
Baraka ni hatari sana... Fid kachana kama ngoma ya sumu so sijaona mabadiliko humu
Asaante kwa chakula bora kbisa cha Ubongo
Punch lines kibao...Respect kwa Fid Q 2023 yani hatari
Mfalme wa bongo hiphop
sijawakujutia kuwa shabiki wako ngoma kubwa sanaaaa
mafanikio hayaji kwa kukta tamaa yenyewe huwafata wanaejituma/..... asantee FId Q
ngoma kari sana mzee fareedy umetisha sana asante kwa mziki mzuri nda ya miaka yote uliopo kwenye gem
Sitaki kuwa tajiri nataka kufanikiwa......tisha sana bro fid q
Dah!!!!!najilaumu Sana kuchelew kuipata hii kitu ngosha wew ndo baba wa Hip Hop africa
Asante ngosha nlikuwa nasubiria ngoma ya hiphop ya fungua mwakaaaa 🙏🙏🙏🙏🙏
@danisoft6568
5 жыл бұрын
NOMA
Hii ngoma nimeirudia mara nyingi sana
nimesikia bro
Kali kama kawaida Respect💯💯
wozaaaaaaaaaaaaaaaa kubanda Baba yao nakubali Sana, 💪💪💪💪💪💪
Ngosha tunaisubiri
Kweli mafanikio ni safari,ili uyafikie lazima safari uianze!!
goncher na chizan sio watu wazuli mlichomfanyia ngosha hatari sanaaaa
Huyu ndo FID Q siyo yule wa flesh ukawapa nafasi hadi mawaki wakaanza kuku-snitch tena
ngoma kali sana aiseeee, fid q best rapper ol the time.
TEAM FID PIGA KELELEEE
#therealFdq Best #Mc in Tanzania
@allymkuti2071
5 жыл бұрын
nimekubali Nazi bro ngoxha
Ila Baraka uwa unapenda sifa sana kwenye kazi za wana