FID Q AWEKA WAZI ANACHOPITIA RICH MAVOKO, AMEMDISS NIKKI MBISHI?

Ойын-сауық

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 38

  • @platotaurus2301
    @platotaurus2301 Жыл бұрын

    Fid Q ni chuo kikuu cha Mtaa kwelikweli. This brother here is genius. Napenda ambavyo yupo very deep ktk kila kitu. 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @allyjuma2574
    @allyjuma2574 Жыл бұрын

    Mmeandika kuhusu MAVOKO lkn interview hajaongelewa....acheni kuwa aaongo itawaharibia status yenu

  • @kaizilejackson862

    @kaizilejackson862

    Жыл бұрын

    Wazimguaji kwel

  • @warakawayohana2896

    @warakawayohana2896

    Жыл бұрын

    Majinga kabisa

  • @Pathro_Cavosia

    @Pathro_Cavosia

    Жыл бұрын

    Content Writer wao ni mtu mpuzi wanatumia majina ya watu vibaya

  • @kelvinmhina1685
    @kelvinmhina1685 Жыл бұрын

    Dullah maswali mazuri! Ila swali la huyo demu inaonyesha why story za mapenzi ndio akili zao!

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Жыл бұрын

    I've to listen to this song once again❤ it

  • @georgemuthokasyala8026
    @georgemuthokasyala8026 Жыл бұрын

    Mnaolia na back beat sijui shida yenu Ni nn mbna msanii anasikika vizuri anachokizungumza

  • @lameckbuya7569
    @lameckbuya7569 Жыл бұрын

    I'm fid ukinichinja nabaki kuwa Q Najitahd kinija awesome wakija nabakikwa juu

  • @honestkiwia2264
    @honestkiwia2264 Жыл бұрын

    Fid Q umetisha kaka Apo mwenye Kiberiti umefunga ukweli ata Mimi kwenye iyo song sikuona diss ya Nikki kabisa sema nistory tu zamachoka

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially424 Жыл бұрын

    Daaah mmetukosea sana kwa muda mrefu mazee madini kama haya mnapataga wapi muda wa kuwapost akina hmama.

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni1135 Жыл бұрын

    Nimeangalia interview kwasababu ya kutajwa mavoko kumbe katajwa maramoja tu

  • @kyataonline5262
    @kyataonline5262 Жыл бұрын

    asante sana Q !

  • @hamisirashidi9411
    @hamisirashidi9411 Жыл бұрын

    Nakubari faridi kubanda legendary

  • @ModelTalkUK
    @ModelTalkUK Жыл бұрын

    Video nzuri... Ila pinguzeni Clickbait.. zinatakiwa ndio. ila hii Iko wa off... You're bigger than this... Hope Mavoko is doing good

  • @adthehero_tz4587
    @adthehero_tz4587 Жыл бұрын

    Fid maelezo yake yako poa🔥🔥 napenda sana anavoipigania hi pop👍👍👍

  • @ellyphysique4068
    @ellyphysique4068 Жыл бұрын

    Kibiriti 🔥🔥🔥

  • @majatzofficialmusic
    @majatzofficialmusic Жыл бұрын

    Ok kubwaaa kwa Q

  • @Mpembuzi
    @Mpembuzi Жыл бұрын

    fid Q anajua mpaka anaboa

  • @raheemsaleh4658
    @raheemsaleh4658 Жыл бұрын

    Mbona sijaona sehemu iloongelea rich mavoko

  • @user-hg7mz7bw9h
    @user-hg7mz7bw9h Жыл бұрын

    Kaka hakukubali saana

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 Жыл бұрын

    Oyeyo

  • @filbetdaud4597
    @filbetdaud4597 Жыл бұрын

    Wajinaaaa fid

  • @geffects1141
    @geffects11417 ай бұрын

    Kubanda❤❤❤

  • @yusuphakule6041
    @yusuphakule6041 Жыл бұрын

    Farid kubandaaaaaaa

  • @mussalucas452
    @mussalucas452 Жыл бұрын

    Kichwa cha habari hakiendani na kilichoelezwa ndani

  • @yusuphakule6041

    @yusuphakule6041

    Жыл бұрын

    Farid kubndaaaaa

  • @issaomary7718
    @issaomary7718 Жыл бұрын

    Kubandaaa

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Жыл бұрын

    Miziki yenye akili nyingi,hiphop

  • @gainjulius1164
    @gainjulius1164 Жыл бұрын

    Fid Q

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 Жыл бұрын

    Msomi

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 Жыл бұрын

    Mtu anaongea ili tumsikilize nyie mnaplay back beat kwa sauti ya juu maanake nni sasa upuuzi huo mnaboa

  • @josephgerald5540

    @josephgerald5540

    Жыл бұрын

    Namm huwa wananiboa sana

  • @MATIKO9640

    @MATIKO9640

    Жыл бұрын

    @@josephgerald5540 Wanaboa kweli yani

  • @benymathew4277

    @benymathew4277

    Жыл бұрын

    Chuki hizo. Hapo huckii kipi

  • @johnycavishe5207

    @johnycavishe5207

    Жыл бұрын

    Saut ya fid hapo uisikii

  • @johnycavishe5207

    @johnycavishe5207

    Жыл бұрын

    Fid Kama fid big up Sana 💪 woof mkiktanaga na Lord izz mnafanyaga unyama Sana

Келесі