FATWA | NINI HUKMU YA KUMSOMEA YASIN MAITI? | SHK. MOHAMMED AL-BUSAIDY

#FATWA

Пікірлер: 14

  • @thuweinmassoud9062
    @thuweinmassoud90624 ай бұрын

    uko sahih sheikh

  • @alifaki5043
    @alifaki50434 ай бұрын

    Sheikh nahis umeteleza "Asili ya Ibada ni kutofaa kufanya hadi iwepo dalili ya kufaa ibada hiyo" Mfano hakuna dalili ilyokataza kusoma adhana kwa ajili ya swala Iddi lkn hatusomi kwasabab hakuna dalili inayoruhusu kusoma adhana. Ila katika mambo ya kidunia/muamalaat asili ni kufaa/halili hadi ije dalili ya kukataza. Allahu aalam.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    4 ай бұрын

    Hatutoi adhana ya iddi kwasababu haijatibiti hata kwa hadithi dhaifu. Sio sawa na Qur-an kumsomea maiti. Lete mfano mwengine

  • @saidhaji1858

    @saidhaji1858

    4 ай бұрын

    Asli ya ibada ni Haramu ispokuaije Nassu kuthbitisha ibada io. Nassu yenyewe iwe sahyh. Mfano wa kusoma azana na kukimu ktk Eid, n mfano mzuri wa kupima masuala ya ibada nyengine. Kma kusoma Yaasiin kw maiti...

  • @omarmohammad1528
    @omarmohammad15284 ай бұрын

    Sheikh Afwan naona umekosea kulingana na ilmu yngu ya uchache, ila Km hadith ni dhaifu kwnn tuendele kumsomea maiti, Na Je kma kitu hakiku katazwa katika Dini ndio ina maana twaeza tunga mambo mapya Ambayo mtume hakufanya Tukasema ni sawa sababu hamna anaekataza. ??? Madamu Mtume na masahaba zake pamoja na wanazuoni wakubwa hawakulikubali hili jambo ni vzryy tuliepuke. Mtume Amesema vitu 3 pekee ndio vinaweza kumfikia aliefariki 1) Ilm yke 2) Sadaqa yake 3) Mtoto mwema atakae muombea Dua.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57804 ай бұрын

    Hakuna anaejua Quran kama mtume na sahaba zake nao hawakuwa na tabia ya kusomea maiti Quran sasa mtume aagize jambo alafu yeye mwenyewe asilifanye? Ndio maana wengine hukataa khadithi kama hizi.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    4 ай бұрын

    Ulikuwepo kama hawakusoma?!

  • @omarmohammad1528

    @omarmohammad1528

    4 ай бұрын

    ​@@hilalkhalfan1452Ata wwe pia hukua kwahvyo na kwenye vitabu pia hamna ambacho waeza tibitisha walisoma mtume na masahaba jaribu kuelewa kwanza kabla ya kujibu mtu akijaribu kukuelew3sha, Ilm haitaki ushindani ila nibusara na utulivu

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u4 ай бұрын

    Halafu hizo kanuni zako ulizoleta Zimekushinda mwenyew kufafanua. Rudi ukasome Vzr. Wanaposema Wanachuoni wafiqihi kuwa Asili ktk Vitu ni Kufaa mpka ije Dalili ya kuharamisha. Asili ktk Ada ni kufaa Mpaka ije Dalili ya Kukataza. Asili ktk IBADA ni kutofanya Mpka ije Dalili ya Kufanya na itafanywa kwa kumfuata Mtume au maelekezo yake. soma kitabu Al imaam Suyuuutwi Ambaye ni Mshafii wa kimadhehebu ktk kitabu Al iqtidhwa'aa utapata maarifa mazuri na ufafanuz mzr tu.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    4 ай бұрын

    Hakuna kanuni alioleta

  • @mohassan1978
    @mohassan19784 ай бұрын

    Huo ni msimamo wa madhehebu ya dhahiri ambayo wanaamini kuwa kila kitu kinafaa hadi iwepo dalili ya kukataza Ila kwa sisi madhehebu 4 ya sunni hatukubali hiyo rai ya dhahiri na haipo sawa. Jambocjema laxima liwe na dalili ya kufanywa na sio kinyume chake

  • @mhusinigau3231

    @mhusinigau3231

    4 ай бұрын

    Wewe umesema ktk madhehebu manne ww ni dhehebu gani ktk hayo manne tupe msimamo wako ktk hilo

  • @mohassan1978

    @mohassan1978

    4 ай бұрын

    Sunni wote maimamu 4 mm nawakubali

Келесі