Fareed Kubanda a.k.a Fid Q - FEI
Producer:- Fundi Samweli, Trumpet:- Boniface Kachale, Chorus:- Saraha, Videography:- Godfrey Semwaiko, Studios:- Usanii Production Ltd.
The day local Tanzanian Hip Hop artist, Fid Q, when he came to our Recording Studios, Usanii Production ltd to record the hit song "Fei"
The song that he dedicated to his son after one year birthday.
It was fun, and I was just playing with my camera for testing and capturing something to remember, but as there is no any Music Video produced out of this good music, I decided to cut few clips for fun.
Пікірлер: 69
Noma Kali sana mzee mbuzi hongera sana
Baba zap noma sana
Fid Mi naacha hii coment moja tu lakini karibu nyimbo zako zote nimezisikia mshikaji unatisha Mi sioni msanii wa hip-hop kote afrika kama wewe big up sana bro # Wewe kweli ndie profesa wa chuo kikuu cha getto na mimi nakuita getto profesa sababu unafundisha kitaa lojia
@jagabanteam3883
5 жыл бұрын
nisaidie lyrics ya huu wimbo kiongizi?
@kapistolojalo2831
4 жыл бұрын
@@jagabanteam3883 napenda kumfata ninja wangu kwa uandishi wake, sheedah inanikuta pale kwa kiingereza chake kingi...
Niko happy ka mzazi mwenye mtoto kwa hizi nyimbo zako
Mafanikio huletwa na ndoto yenye deadline Real hiphop
Fid q another king of music tz big au sana ngosha mungu akupe maisha malefuu ndani ya muzk
Baba asiyemfunza Mwana ikatokea mwana amemkana/ Inamaana wamelingana wote wamekosea sana....
Stíll among the best ín 2023🔥💥💥
Fundi samwel atakumbukwa kwa jitihada zake kwenye mziki huu...watu walio jitolea na kupotez a kwaajili ya mziki wetu ,,,much respect Fundi
Nasikitika kutangaza kwamba Mzee Boniface Kachale, aliyepiga Trumpet kwenye huu wimbo, hatunae tena. R.I.P Mzee Boniface Kachale. Katika uhai wake alipigia bendi mbalimbali nchini, na mpaka anakuja studio kupiga trumpet kwenye wimbo huu, alikuwa anafundisha kupiga Trumpet kwenye kanisa la Efatha Ministries, kule Kibaha kwa Mathias.... R.I.P
acha wafanye hip hop ila wewe ndio hip hop mwenyewe
nyimbo zako zote nifunzo na burudisho pia
fid nakupenda sana mshikaji wangu kwa kazi zako haubahatishi
Wooooooza gangster rap music forever
aprciation..to ngosha
Nakubal fid q
ALL TIME FAVOURITE
This song is more deep.
Haha nice, a long time ago now!
@ema4west689
9 жыл бұрын
There is other footage with Chid Benz, if you have it you may also share...was so nice seeing you all spending studio time.
@mafuruhatari3434
4 жыл бұрын
Better thing always live 4ever
@geraldsanzala8119
3 жыл бұрын
Wakati nimeona mwanzo wa video nimeona sura yako then nkakukumbuka kuja chini nakuona
FEISAL FARID QUBANDA..
dude la maana sana alichoshe masikioni.. aisee fid unajua
amen !! (2019)
Always your words will live for ever Fid Q.
F.I.D you were God sent!
Fundi wa mafundi
2020 still i love this song
God bless u fid
Thank you fid
Saraha ndani ya kazi
The Don ng'wanong'wise wenishiidah
Naipenda sana sana hii ngoma
Shoutout to Sarah and Fundi Samweli
Nakubal home boy
Ngosha🇹🇿
Rapa bora africa ni feerd kubanda
@bashirybashiry8813
3 жыл бұрын
Unatishaa
🔥🔥🔥🔥
Hata kipofu huishi kwa yale alokalili, kwa hiyo ofa haikupi msaada zaidi ya kutuvuruga akili......we jamaaa Mungu anakuona
Top 20 Africa
good song NGOSHA
Ukweli da! Nyimbo nzuri sana. King fid q
@liberugiga7662
3 жыл бұрын
Niko happy kama mzazi mwenye mipango na mtoto, me kwako ni kama ni kama siagi ndani ya kikaango cha moto.
The real Fid Q
Huu mlio wa trumpet umenifanya nimkumbuke my daddy by Brighton Boniface
@godfreysemwaiko3290
Жыл бұрын
Oh pole sana, kumbe marehemu Borniface Kachale alikuwa baba yako? Vipi yule baba yako mkubwa aliyekuwa Brass Band ya polisi Kurasini yupo wapi yeye?
@janethmercykachale6260
Жыл бұрын
Yuko kigamboni alishastaff polisi sisi tunakaa Kibaha na mama
@janethmercykachale6260
Жыл бұрын
Baba alikuwa anatueleza habari zako wakati ana record zile CD zake alisema unafanya TBC.
@godfreysemwaiko3290
Жыл бұрын
@@janethmercykachale6260 yes nafahamu mnakaa Kibaha kwa Mathias. Msalimie sana mama. Mimi sipo nchini muda mrefu, hata rafiki yangu marehemu amefariki mimi sipo nchini. Poleni sana. Inabidi uendeleze kipaji cha mzee, unapiga chombo chochote cha muziki?
nikimzungumzia fid q naizungumzia mwanza nzima maana ndo anaiwakilisha a salti kwako mzazi
@bahatimwakalukwa2854
5 жыл бұрын
nan kama fid
Brutarity
fid fundi anajua xana xio kama john
sana
Always your words will live for ever Fid Q
@maruguiburi8615
8 жыл бұрын
Duh fid shikamooooo...
2021
Kitu kikali baba endelea na huo moyo
Ni rahisi kuwa baba mzazi,,lakini kuwa baba ni kazi inayoitaji mongozo safi, utashi na kukidhi mahitaji,,,nimekuekewa xna
@jagabanteam3883
5 жыл бұрын
nahiitaji lyrics ya huu wimbo mkuu
@esauchonya4370
4 жыл бұрын
Da
unajitambua kaka tupo pa1
5
cku zote ntakwambia no ww no hip hop
2021