#EXCLUSIVE
#EXCLUSIVE:LULU AVUNJA UKIMYA - "NIMETUA MZIGO wa MAMA KANUMBA, MSALABA NILIOUBEBA NITAUBEBA HADI KUFA"...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 292
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@HabimanaAbdaul
10 ай бұрын
0aaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0l0aaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaa
@HabimanaAbdaul
10 ай бұрын
L0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal0aaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaa0a0a9a0aa0aaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaal9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa90aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaa9aaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@HabimanaAbdaul
10 ай бұрын
L0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa9aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@lizzybeth6344
10 ай бұрын
Mweee mdogo angu wa shule lulu na mtaani kwetu tabata mungu akubariki dada ako wa shule nilikuwa nakuetetea kishule shule mtaani,,kwako mimi apa jina la shule dada ako bwasile wajina wako elizabeth,,baunsa wako kishule shule,,,
@lizzybeth6344
10 ай бұрын
Lulu dada ako apa,,mimi apa bwasile apa mi kishule,,kishule shule,,,tabata chumba kimoja mimi pia nilikuepo mamy,,,,nilikuwa nakusindikiza hadi kanisani baby wangu kipindi unasomoea ,,,izi moments uwezi kuzisahau mdogo angu global please,,,nikiiimuita tu kimemeta ndo jina nalopenda kumuitta ilo jina la ukoo uwa namuita mimi tu,,tokea shule,...
This girl is very wise, I love the way she answers and expresses herself. Big up Lulu.
Lulu nakupenda jmn huna baya na mtu, ni mtu unaejiheshm sana Mungu akupe maisha marefu 💞
Kwa hili la mama Kanumba umezidi kudhihirisha kuwa wewe ni mnyenyekevu wa viwango vya juu. Mungu azidi kukubariki.
Nimekupenda Lulu uko na hekima sana Mungu azidi kukulinda na kukuinua zaidi katika kazi zako.
Mtoto huyu kichwani yupo vizuri mnoo sana awee lulu umenyookaaa❤
Hongera sana kwa kujua huyu mama anaumia sometimes ila hii imetokana tu! Na lulu kuzaa umeelewa uchungu wa mwana
That is Liz That is my lulu, anaeangalia baraka zaidi ya mapito. Nakupenda sana mdogo wangu. Mungu aendelee kutunza hekima yako.
Lulu wewe ni mzuri naturally. Huhitaji makope ya kubandika na makucha ya kichawi. Utukufu kwa Mungu Baba
Kuzaa ndo zawadi pekee tuliyo jaliwa na Mwenyezi MUNGU. Namaanisha USIJUTIHI KUZAA.hata wa 3 tunasema KARIBU
@jeanneandfrancislifestyle1518
10 ай бұрын
True watoto ni Baraka🙏🏾
Bonge la interview mdogo wangu upo vzr nimeipenda zaidi na nimejifunza mengi kutoka kwenye maneno Yako ntazidi kuishi umo HONGERA SANA
Nakupenda sana Lulu. Nakuombea udumu ktk ndoa yako. Nimefurahi kuckia unaheshimu ndoa yako. From Oman 🇴🇲🇹🇿
Majizo umeoa mwanamke na nusu hongera sana
@MsAggie5
10 ай бұрын
I hope na yeye analijua hilo (majizo) na Anam take care vzr mkewe
nakupenda bure lulu una busara sana na hekima mungu alinde ndoa yako mwishi miaka mingi ❤❤
Lulu ni mrembo ,beauty with brain..Well done mama G👏🏾👏🏾👏🏾@Imelda unatupa mambo mazuri sana kila kukicha…Kazi safi sana👏🏾👏🏾👏🏾🫡
Masikini hd ametoa machozi alipokumbuka alipotoka dah nimejisikia kulia maana wengi tumepitia haso za kuhangaika hd kwenye mama ntilie Allah atupe nguvu ktk maisha yetu na sie tukae chini tuje kusimulia watoto wetu
Lulu nakukubali sana una busara mnoo!! Na majibu yale yako nayapendaga pia sanaa Mungu akubariki sana huna baya na mtu!!! Hongera pia kwa mama mzaa na mlea chema!
Lulu kichwan zipo kamili ana akili nyingi ❤maashallah ♥️ ♥ 😊
Lulu ni mwanamke na nusu Mungu akubariki
Lulu uko vizur sana,sikujua kama wewe ni mama mzur, na unajua kujieleza na una busara Mungu akujaalie.lov uu
Rafiki wa Mimi hongera sana mungu azidi kukupa ujasiri,upendo Mkuu na busara na hekima teletele hakuna jipya chini ya jua.mungu akubariki.
That is Liz That is my lulu, anaeangalia baraka zaidi ya mapito. Nakuoenda sana mdogo wangu. Mungu aendelee kutunza hekima yako.
Nakupenda Sana Sana my mdogo ..mzuri wa Sura na akili....mungu .akutunze unamfano wa kujifunza Vingi..❤
Mungu akubariki sana lulu yan katika wasanii wew ndo huwa nakuelewa
Nakupenda bureeeee mdogo wangu Mungu azidi kukutunza....unakitu kizuri sana ndani yako....
Mungu aendelee kukumininia baraka mrembo wetu unastahili furaha mami❤❤❤❤
Mashallah nakupenda sana Lulu from kenya yaani umezungumza kama watu 100 ❤
Da imelda I love your interviews you’re professional
Huyu Binti Ana Akili Kubwa sana Na Ana IMANI SANA SANA ❤
@rehemasandube5390
10 ай бұрын
Mtazamo wako sawa na mimi kima2azo kuhusu lulu nampenda sn huyu bint
Asante sana lulu Kwa maneno Yako uliyomjibu uyo dada
@emilyondari4796
10 ай бұрын
Am à aà
Lulu so cute❤ alafu anajiamini saana na Ana visio!! very Wise!!
Mungu ambariki mwanamke aliekuzaa big up mdogo wangu
Ni kweli nakufaham sana Lulu tukiwa wote Tabata karibu na mambo sasa Hotel ❤😊
Lulu nakupenda sana unajielewa mnooo❤
Mungu akutangulie lulu nimependa ulivyo jibu maswali na majibu
Nakupenda sana dada. Ubarikiwe na Mungu dada lulu
Umekuwa mdogo wangu ulicho ulizwa na ulichokuwa unajibu sahihi kabisa yani umekuwa mama mwenye akiri kubwa
Kwa kuongezea alicho kisema lulu,,,Kuna aina ya wanawake ambao wakijifungua mahips hua na muonekano tofauti,yaani hupanuka na ukawa na shape nzuri kushinda ya mwanzo,,,,ni siwe mnafiki hata mm nimmoja wao,,,na pia Kuna wengine wakijifungua huzidi kupoteza kabisa,,,,,,,
Big brain and beautiful woman
She has matured so much love it 😌😊
Kila jambo jema hutoka Kwa mungu hongera xana lulu jaman. Yaliyopita c ndwele kilichobaki kuishi Kwa aman dunian.
Hongera sana Kwa kujitambuwa kipenziii❤
Maisha ni safar ndefu. Don't look back, go ahead. Be bless
Nakupenda sana lulu my role model ❤
Mungu ni mwema kila wakati 🙏🙏
LuLu umependeza sana ongera sana mungu awabariki unajuwa kuongeya ❤
Da imelda nakupenda mwayaaa ulivo mungu akupe maisha marefu
Nakupenda umetulia Sana unamajibu manzr unajitambua God bless you
Msanii pekee anaejiheshimu pamoja na monalisa pia.
Uuum lulu nilikuwa nime mu miss kweli,hongela kwa kupata Baraka kutoka kwa mungu❤
Big up Lulu nime inspire sana exclusive interview yako.
Yani lulu nakupenda sana ❤❤❤❤
Kajala uwe unapata na viushauri Kwa Lulu ama uige kidogo kidogo
@EsherMacha
10 ай бұрын
😅😅😅😅
@tracyglory9804
10 ай бұрын
,🤣🤣
Lulu ❤you're so smart in everything ❤
Mungu akubariki da lulu.
Kwa changamoto za kimaisha alizopitia huyu binti akiwa mdogo sanaaaa kiasi awe makini zaidi!
@rachelmgoba
10 ай бұрын
Lulu nakupenda en I realy mean it ,I feel so sad when I feel your situation with mom kanumba and be strong forever lulu wangu 😭
Nakupenda sana lulu mungu azidi kukubariki 🥰🇰🇪
Kweli kabisa hujaweka mikope ya mbuzi na mikucha ya mbwa mwitu hongera sana.
❤❤❤smart girl with good brain🙏
Mi sisemi kitu maana unajua nakupenda ❤❤ lulu
Lulu nakupendaa bureeee❤❤❤❤
Interview nzuri sana, Na nacho kifikilia ndomaana umekaa ndani ya ndoa Hongera sana, Na Majizo naesi mtu wa kujikweza
@MsAggie5
10 ай бұрын
Kweli hata mumewe sio WA kujikwaza
Mashaallah binto anaheshima hadi raha
Uko vizuri kwenye mahojiano una akili ndio maana majizo aliona loti kqajo alikukubali akakuoa hongera sana bint I love you❤
Safi sn LuLu wetu hakika wewe ni wa mfano mzuri kwa Jamii mm nakuelewa sn mdogo wngu ❤❤❤❤❤❤❤!❤!
Iulu nakupenda sanakipenzi
Hii hata mimi na mke wangu ilitikea mpk wakawa kama mapacha ila ina raha yake❤
Beauty with brains , Lulu ni mmoja wa mastar ambao wanajuwa kujibu maswali kwa akili sana
Elizabeth Lulu Michael i love you 😍 🔥🔥🔥
Hongera sana, kweli u.ekua na una akili yingi umekua mama na mke kwelikweli, ni mfano wa kuigwa na wasanii wengine❤
Uyumu dada LULU nampendaka saana sana kbsa
Imelda wewe ni mtangazaji mzuri
Uko vizuri sana
Lulu uko vizuri sana ❤❤❤
Lulu mungu akulinde wewe na family yako
Nakupendaaa sana lulu wangu❤❤❤❤❤❤
You are a very wise woman nimekupenda lulu ❤❤❤❤💚🖤
Amina
Hongera sana lulu mungu akutunze
Lulu is just a masterpiece
❤❤❤❤❤ Elizabeth
Maneno mazuri sana nimejifunza❤
Kwakweli uyu biti amepitiya manbomegi Sana kupitiya kanumba Ala mungu amemupiganiya sababu mungu niwahaki ubarikiwe mudogowagu yesu azidi kukutetea
❤ Nakupendasan nigeweza .kukuwanawuwezo ningekuwoa
I love you so much bby❤mdogo lakin akili nyingi sana unajibu kwa kutumia knowledge hukurupuki hongera sanaa
lulu akili kubwas ❤❤
Love you my Lulu❤❤❤❤🥰🥰🥰❤❤❤❤
Lulu jamanii kukupenda tu mdogo wangu❤❤❤❤❤❤🎉
Lulu nakupenda Sana. Mungu ukulindie na akukuzie watoto wako
Lulu mungu akubariki ila umkumbuke mama kanumba panapo wezekana
@catherinekiwipa9271
10 ай бұрын
Amkumbuke kwa kipi mbona ameshafanya hayo maisha unayoyawaza we Ni maisha ya mvunja kikombe yaan kilichotokea Ni Mungu aliruhusu sio Lulu aliruhusu
Lulu ❤❤❤❤
Mashallah, hongera sana kipenzi
Sema uchumi mzuri pia unachangia 😂😂😂😂
Ila lulu mzuri sana
Mungu akusaidie uutue huo msalaba usikulemee tena na wala usiubebe tena mabegani mwako.
@MsAggie5
10 ай бұрын
Mno, Mungu amsaidie nadhani baada ya kuwa na mama ake Kanumba na kumuona hana kinyongo nae tena itafanya aone unafuu fulani.
Hongera lulu, wajina wangu.tumezaliwa siku moja
@user-sv2lz9ro5f
8 ай бұрын
Me also 🎉❤
Anajua sana kujibu maswali ❤
Nakupenda lulu ❤❤❤
Very strong 💕,,
Great