EXCLUSIVE: ROSE MUHANDO KAFUNGUKA MATESO ALIYOYAPITIA “NIMEPITIA MAMBO MAGUMU SANA”
Жүктеу.....
Пікірлер: 152
@StephenKasolo3 жыл бұрын
Rose ni Chombo cha kazi ya Mungu.
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Hakika nakubali bro
@deDieu.irad8
3 жыл бұрын
Shomboshakazi
@johnmutevu1963 жыл бұрын
Dada Rose God is using you. You have touched many broken hearts and families. God bless you and your family.
@stellaloves98793 жыл бұрын
Millard Ayo asanteni Sana kuleta mama Rose promote huyu mama arudi Tena zaidi kama kitambo Mungu mwema siku zote welcome back Dada rose
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Nimefurahi
@daisykyungu31093 жыл бұрын
Mimi ninaamini kuna Mungu aliye hai,ukikaa ndani yake,nayeye atakaa ndani yako, yeye ni mfinyanzi atakutengeneza upya,Hongera sana Mama Rose,nakuombea maisha marefu Duniani ili utimize kuzudi la Mungu,AMINA
@jescamaumbi13203 жыл бұрын
Mwenye mziki wake wa Injili amerudi Mungu mwema tunakupenda sana dada Rose 🙏🏻
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Umeonae
@el-gibbortv5564
3 жыл бұрын
Kweli mwenye muziki Wa injili karudi!
@Favourbles3 жыл бұрын
For real mungu alijibu maombi yetu tuliomuombea ...mungu azidi kukuinua kabisa kabisa
@majaliwamsigwa39743 жыл бұрын
Hongera Dada Rose, Mungu amekufuta machozi
@EK-kp2np3 жыл бұрын
Rose Muhando, NAKUPENDA SANA, muimbaji wa injili mwenzio aliwahi kuimba “DHAHABU IKIPITA KWENYE MOTO UJUE ITANG’ARA TU, na jiwe likipita kwenye moto ujue litapasuka tu, ROSE, wewe ni dhahabu, unatumika kwenye jeshi la BWANA kwa uaminifu na utazidi kung’ara! Ole wao waliohusika kukushusha, OLE WAO!
@emmanuelnzaligo62623 жыл бұрын
Mungu akutangulie mama napenda Sana nyimbo zako huwa nafarijika Sana ninaposikiliza.
@sonicaghendewa98863 жыл бұрын
Nakupenda Sana Rose...Mungu Akubariki 😘
@irenejohn81943 жыл бұрын
Hongera sana mama TRM twakupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤
@millicentayangokunting37283 жыл бұрын
Be blessed mama ur songs is inspiring more.
@mwanahamis54873 жыл бұрын
Mimi Ni muislamu Ila Nampenda saan rozi muhando
@simonmdune9066
3 жыл бұрын
Mwana hamis Mungu akubariki sana kwaupendo ulionao kwa mtumishi wa Mungu rose 🙏❤
@setiempire
3 жыл бұрын
Waooh
@mwaminindayishimiye4434
3 жыл бұрын
Na mimi piya Muslim ila nampenda sana
@marthasumaye6017
3 жыл бұрын
Hata Rose alikuwa mwislam
@kyleyoung7141
3 жыл бұрын
Martha Sumaye ndio alikua muislamu aka convert,, she is now a full time Christian
@magrethsimtenda9263 жыл бұрын
MUNGU akutunze Dada Nakupenda sana
@_mwakabungutz41873 жыл бұрын
Mungu aendelee kukulinda Legend wetu
@marymfugwa8473 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Dada Rose
@mikesoin3 жыл бұрын
Wakenya wapi likes za Rose muhando
@yusuphotieno98373 жыл бұрын
Hayo yote Dada Rose Muhando ni kwa sababu MUNGU ni uzima wako.tembelea KZread Channel yangu . Jina Yusuph Otieno Wimbo : MUNGU ni uzima wangu utabarikiwa.
@annepitasndungu41353 жыл бұрын
Am from kenya tunampenda huyu dada sanaa
@mrlawimusictv9353 жыл бұрын
Nampenda sana rozi muhando...nyimbo zake zanibariki mno
@Agnes-qq4np3 жыл бұрын
Malkia wa mziki wa gospel ongera kipenzi ca watu ubarikiwe sana
@irenemumbisabino49883 жыл бұрын
Congratulation Rose your always the best.God be with you
@noelngowitechnicalsolution3 жыл бұрын
Hongera Sana dada Rose Mhando
@maishacenter-eastafricatv39763 жыл бұрын
Halafu msisahau kutangaza kwanza kwamba amani ni tele Burundi
@simonnembomadola75123 жыл бұрын
Tumtegemee Mungu, Mungu atakupa majibu yote na utajua njia zote utakazopitia.
@nancylangat59703 жыл бұрын
Congratulations sister rose
@lucienushindivainqueur75003 жыл бұрын
Mungu apewe sifa tena ku muponya my sister rose muhando
@mathewskatjee33783 жыл бұрын
Amen My God bless you
@officialimmagrape58133 жыл бұрын
3:20 POINTI SAAANAAAAAAAAA MUNGU AKUSIMAMIEE
@elizabethambani58963 жыл бұрын
Rose rose rose rose rose rose u r bless may th Lord Jesus Christ cover u with his blood
@irenemmbando58713 жыл бұрын
Nakupenda sanaaa my rose
@mathewskatjee33783 жыл бұрын
Yes it's truths My God Bless you
@jantamwalei80463 жыл бұрын
Rose nyimbo zako unibariki sana naomba Mungu akushikiliea sana wale wanakuuwa watakufa wenyewe
@agnesmwende11043 жыл бұрын
Love the swahili...purest of all
@setiempire3 жыл бұрын
Mama unakitu kikubwa sana, unajua kuongea kiswahili fasaha, unajua kizungu lazima uwe wa level ya KIMATAIFA... Sasa hivi badilisha tu style ya uimbaji kulingana na majira ya sasa
@emmanuelmuhando10523 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu za uvumilivu dadaa Kwa njiaa unazo pitiaa
@lizmass42533 жыл бұрын
LA Queen
@georgemaduga24063 жыл бұрын
Marikia wa nguvu rose mhando ridhiki ni kama mwanga kwenye giza lazma utaonekana😘😘
@bonifacesimiyu54813 жыл бұрын
Dada rose kweli mungu akupenda , mungu ni mwema kwetu
@lewinakilana73753 жыл бұрын
i feel proud ninapokusikia rose mhando
@avitdeus84073 жыл бұрын
I love you my mom Mungu akuzidishie nguvu uendelee kuinjilisha injili ya Bwana
@nyamogafamily42623 жыл бұрын
Ubarikiwe mama,nakupenda mno❤️❤️
@benjaminjoseph17473 жыл бұрын
Nafurahi umerudi. Missed you sana. Mungu akupe afya ili uzidi kumtangaza kwa kinywa chako kupitia nyimbo
@faidamisalaba57593 жыл бұрын
Nasubr hii album nakupenda sana
@marthatindwa53593 жыл бұрын
Hongera Rose... MUNGU azidi kukusimamia.
@babajoyce79553 жыл бұрын
Mungu mwema dada rose
@scolapius18843 жыл бұрын
Hongera sana Yesu akuinue zaidi
@camilajohnson90593 жыл бұрын
I love you BIG sister Rose
@duncanmulu24503 жыл бұрын
Hongeraaaa!!!
@linshiro893 жыл бұрын
Mama na mtumishi wa mungu twakukubali na twakupenda sana sana
@julianankulila12773 жыл бұрын
Shetani huwaaminisha watu uongo kabisa.Ubarikiwe sana 💖💓❤️
@edifonceleonard23433 жыл бұрын
Hongera sana dada rose nakukubali sana mdada
@faustinsirili34803 жыл бұрын
Dada rose mhando Ni shida. Dada tunakukubali sana
@shabanfitnesstv39773 жыл бұрын
Mungu yu pamoja nawe Rose mhundo
@esthernyaboke17643 жыл бұрын
Kubali yesu kwA mpigo mum you are more than a conquer
@merymrema4203 жыл бұрын
Nakupenda sana my love nakukubali sana
@eliakimchaiikobellah3583 жыл бұрын
Kweli Mungu ni mwema sana kwako Da Rose
@leahnyambeki8423 жыл бұрын
Dada Nakupenda sana Mungu awe nawe Daima Siku Moja tutaonana.
@stephenjefaofficial9 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏 mama songa mbele
@shabanfitnesstv39773 жыл бұрын
Amina sana
@anitakamene50733 жыл бұрын
Hongera
@pendorose80563 жыл бұрын
God bless you mamy sauti yako sasa😘
@RoseRose-qj5pw3 жыл бұрын
Namesake Mungu akuzidishie na akuongoze hongera
@taitanicbway5253 жыл бұрын
Mungu akueke Sana mamaa
@naamohamed99643 жыл бұрын
Kapendeza kanenepa
@wang_youmuhoza66433 жыл бұрын
Hongera sana
@agnesslyatuu80263 жыл бұрын
Nakupenda sana dada Rozi
@sharifaabdullah68253 жыл бұрын
Umenenepa masha allah
@alicekyai27463 жыл бұрын
Nakupenda Sana rose natamani nikuoe
@abbyadams86913 жыл бұрын
Rose kanenepa sanaaa,kwa Waafrika eti unene ni ishara ya kuwa na pesa.
@maishacenter-eastafricatv39763 жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤❤❤
@yusraibrahim90213 жыл бұрын
Nice
@zaza86253 жыл бұрын
Karibu Burundi Rose
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Jamani rose muhando km ebitoke wanja wake, utabakia kuwa juu mpk unaondoka duniani
@d.methuselah93293 жыл бұрын
Huyu Mama Mungu Amutunze Na Mpenda Sana
@jumaephraim59493 жыл бұрын
Shetani ni muongo tangu mwanzo wa duniaaaaaaa
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Hahahaaa shetani nimuongo sana hakika sana
@rithakuyala99513 жыл бұрын
Hongera sana mama rozi Mungu azidi kukubariki
@getrudajonathan40073 жыл бұрын
Mungu ni mungu tu hakuna kama yeye na ametenda makubwa
@francinendihokubwayo78223 жыл бұрын
Rose muhando tunakupenda sana
@evelynsalila97003 жыл бұрын
😘😘
@pastoryalfred15083 жыл бұрын
uyu mtangazaji amepaka lipstick au
@irenealucas44393 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@reginanampala7293 жыл бұрын
Wewe ulizaliwa kuwa ushuuda wawatu usichoke kumtumikiya mungu nakupend sn mungu akutanguliye sn
@musachacha4953 жыл бұрын
Hiyo Neema ya mungu
@ikrissaidrissa86133 жыл бұрын
God bless you mama † Nakumbuka wakati unatoa nibebe nilikuwa napata komunio ya kwanza nilibebwa mgongoni 🤣🤣🤣
@yussufhussein1954
3 жыл бұрын
Hahahaa
@grolyqueen58333 жыл бұрын
Hakika Mungu akiamua kukuheshimisha hakuna wakupinga🙏
@eastafrica68583 жыл бұрын
Pesaaa hizo
@risperkerubo5184 Жыл бұрын
Mutumishi wamungu Rose usuhuda wako unanitia nguvu kwa mapido yangu
@HelbethMlelwa3 жыл бұрын
Hivi waimbaji mna shida gani??. Najiuliza ni Mungu gani ambaye anakupa neema unayezini na menager wako. Acheni mzaha na Mungu.
@SamuelErnest3 жыл бұрын
MUNGU HATAACHA KUFANYA KAZI YAKE KWETU
@adamkalonga6483 жыл бұрын
Kwel mam
@jacklineakoth10163 жыл бұрын
Hongera rose lkn najua pastor nganga Ata jisifu ati alikuombea adi ukapata kikombe najua nganga
@beatricembokigwe4923 жыл бұрын
Hakika Mungu yu mwema
@clausemsemwa2973 жыл бұрын
Heshima YAKO iko pale pale!
@angeltesh8583 жыл бұрын
Swali langu ni je anafafanya na Nathan mbado amrudishe nyuma vile alimfanyia? Naomba tu aimbe nyimbo zake akijisimamia kila kitu asikumbali contract tena na Mungu atamsaindia
@valenakomba44533 жыл бұрын
sasa hizo Show unazosema hivi ni za kumsifu Mungu? au ni kwa ajili ya kutengeneza Pesa Tu.Hivi kweli waimbaji wa nyimbo za Mungu wanaweza wakasema eti nina show nyingi? Jifikiri Zaidi kabla ya kuongea.Naamini kwenye hizo show kunakuwa na vilevi , ambavyo wateja hununua ii kijiburudisha kwenye hiyo show , Hivi kweli hapo kuna Mungu kweli?. Unajidanganya, na pia unadanganya wale wasio ona mbali.
@kentkihongole82353 жыл бұрын
Duuuiiu
@princessvyona9943 жыл бұрын
Nambona tuzo yakaa kama nyoka??vile imejicoil na juu mwisho wake wakaa kichwa ya nyoka na pembe,kama vile nyoka inapanua mdomo
@bethuelkonyuniofficial79303 жыл бұрын
Change the cover photos u have chosen, it's not impressing viewers ndio maana likes chache na viewers chache too
Пікірлер: 152
Rose ni Chombo cha kazi ya Mungu.
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Hakika nakubali bro
@deDieu.irad8
3 жыл бұрын
Shomboshakazi
Dada Rose God is using you. You have touched many broken hearts and families. God bless you and your family.
Millard Ayo asanteni Sana kuleta mama Rose promote huyu mama arudi Tena zaidi kama kitambo Mungu mwema siku zote welcome back Dada rose
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Nimefurahi
Mimi ninaamini kuna Mungu aliye hai,ukikaa ndani yake,nayeye atakaa ndani yako, yeye ni mfinyanzi atakutengeneza upya,Hongera sana Mama Rose,nakuombea maisha marefu Duniani ili utimize kuzudi la Mungu,AMINA
Mwenye mziki wake wa Injili amerudi Mungu mwema tunakupenda sana dada Rose 🙏🏻
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Umeonae
@el-gibbortv5564
3 жыл бұрын
Kweli mwenye muziki Wa injili karudi!
For real mungu alijibu maombi yetu tuliomuombea ...mungu azidi kukuinua kabisa kabisa
Hongera Dada Rose, Mungu amekufuta machozi
Rose Muhando, NAKUPENDA SANA, muimbaji wa injili mwenzio aliwahi kuimba “DHAHABU IKIPITA KWENYE MOTO UJUE ITANG’ARA TU, na jiwe likipita kwenye moto ujue litapasuka tu, ROSE, wewe ni dhahabu, unatumika kwenye jeshi la BWANA kwa uaminifu na utazidi kung’ara! Ole wao waliohusika kukushusha, OLE WAO!
Mungu akutangulie mama napenda Sana nyimbo zako huwa nafarijika Sana ninaposikiliza.
Nakupenda Sana Rose...Mungu Akubariki 😘
Hongera sana mama TRM twakupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤
Be blessed mama ur songs is inspiring more.
Mimi Ni muislamu Ila Nampenda saan rozi muhando
@simonmdune9066
3 жыл бұрын
Mwana hamis Mungu akubariki sana kwaupendo ulionao kwa mtumishi wa Mungu rose 🙏❤
@setiempire
3 жыл бұрын
Waooh
@mwaminindayishimiye4434
3 жыл бұрын
Na mimi piya Muslim ila nampenda sana
@marthasumaye6017
3 жыл бұрын
Hata Rose alikuwa mwislam
@kyleyoung7141
3 жыл бұрын
Martha Sumaye ndio alikua muislamu aka convert,, she is now a full time Christian
MUNGU akutunze Dada Nakupenda sana
Mungu aendelee kukulinda Legend wetu
Mungu akubariki sana Dada Rose
Wakenya wapi likes za Rose muhando
Hayo yote Dada Rose Muhando ni kwa sababu MUNGU ni uzima wako.tembelea KZread Channel yangu . Jina Yusuph Otieno Wimbo : MUNGU ni uzima wangu utabarikiwa.
Am from kenya tunampenda huyu dada sanaa
Nampenda sana rozi muhando...nyimbo zake zanibariki mno
Malkia wa mziki wa gospel ongera kipenzi ca watu ubarikiwe sana
Congratulation Rose your always the best.God be with you
Hongera Sana dada Rose Mhando
Halafu msisahau kutangaza kwanza kwamba amani ni tele Burundi
Tumtegemee Mungu, Mungu atakupa majibu yote na utajua njia zote utakazopitia.
Congratulations sister rose
Mungu apewe sifa tena ku muponya my sister rose muhando
Amen My God bless you
3:20 POINTI SAAANAAAAAAAAA MUNGU AKUSIMAMIEE
Rose rose rose rose rose rose u r bless may th Lord Jesus Christ cover u with his blood
Nakupenda sanaaa my rose
Yes it's truths My God Bless you
Rose nyimbo zako unibariki sana naomba Mungu akushikiliea sana wale wanakuuwa watakufa wenyewe
Love the swahili...purest of all
Mama unakitu kikubwa sana, unajua kuongea kiswahili fasaha, unajua kizungu lazima uwe wa level ya KIMATAIFA... Sasa hivi badilisha tu style ya uimbaji kulingana na majira ya sasa
Mungu akupe nguvu za uvumilivu dadaa Kwa njiaa unazo pitiaa
LA Queen
Marikia wa nguvu rose mhando ridhiki ni kama mwanga kwenye giza lazma utaonekana😘😘
Dada rose kweli mungu akupenda , mungu ni mwema kwetu
i feel proud ninapokusikia rose mhando
I love you my mom Mungu akuzidishie nguvu uendelee kuinjilisha injili ya Bwana
Ubarikiwe mama,nakupenda mno❤️❤️
Nafurahi umerudi. Missed you sana. Mungu akupe afya ili uzidi kumtangaza kwa kinywa chako kupitia nyimbo
Nasubr hii album nakupenda sana
Hongera Rose... MUNGU azidi kukusimamia.
Mungu mwema dada rose
Hongera sana Yesu akuinue zaidi
I love you BIG sister Rose
Hongeraaaa!!!
Mama na mtumishi wa mungu twakukubali na twakupenda sana sana
Shetani huwaaminisha watu uongo kabisa.Ubarikiwe sana 💖💓❤️
Hongera sana dada rose nakukubali sana mdada
Dada rose mhando Ni shida. Dada tunakukubali sana
Mungu yu pamoja nawe Rose mhundo
Kubali yesu kwA mpigo mum you are more than a conquer
Nakupenda sana my love nakukubali sana
Kweli Mungu ni mwema sana kwako Da Rose
Dada Nakupenda sana Mungu awe nawe Daima Siku Moja tutaonana.
Amen 🙏🙏🙏 mama songa mbele
Amina sana
Hongera
God bless you mamy sauti yako sasa😘
Namesake Mungu akuzidishie na akuongoze hongera
Mungu akueke Sana mamaa
Kapendeza kanenepa
Hongera sana
Nakupenda sana dada Rozi
Umenenepa masha allah
Nakupenda Sana rose natamani nikuoe
Rose kanenepa sanaaa,kwa Waafrika eti unene ni ishara ya kuwa na pesa.
🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤❤❤
Nice
Karibu Burundi Rose
Jamani rose muhando km ebitoke wanja wake, utabakia kuwa juu mpk unaondoka duniani
Huyu Mama Mungu Amutunze Na Mpenda Sana
Shetani ni muongo tangu mwanzo wa duniaaaaaaa
@EliMsuya
3 жыл бұрын
Hahahaaa shetani nimuongo sana hakika sana
Hongera sana mama rozi Mungu azidi kukubariki
Mungu ni mungu tu hakuna kama yeye na ametenda makubwa
Rose muhando tunakupenda sana
😘😘
uyu mtangazaji amepaka lipstick au
🙏🙏🙏🙏
Wewe ulizaliwa kuwa ushuuda wawatu usichoke kumtumikiya mungu nakupend sn mungu akutanguliye sn
Hiyo Neema ya mungu
God bless you mama † Nakumbuka wakati unatoa nibebe nilikuwa napata komunio ya kwanza nilibebwa mgongoni 🤣🤣🤣
@yussufhussein1954
3 жыл бұрын
Hahahaa
Hakika Mungu akiamua kukuheshimisha hakuna wakupinga🙏
Pesaaa hizo
Mutumishi wamungu Rose usuhuda wako unanitia nguvu kwa mapido yangu
Hivi waimbaji mna shida gani??. Najiuliza ni Mungu gani ambaye anakupa neema unayezini na menager wako. Acheni mzaha na Mungu.
MUNGU HATAACHA KUFANYA KAZI YAKE KWETU
Kwel mam
Hongera rose lkn najua pastor nganga Ata jisifu ati alikuombea adi ukapata kikombe najua nganga
Hakika Mungu yu mwema
Heshima YAKO iko pale pale!
Swali langu ni je anafafanya na Nathan mbado amrudishe nyuma vile alimfanyia? Naomba tu aimbe nyimbo zake akijisimamia kila kitu asikumbali contract tena na Mungu atamsaindia
sasa hizo Show unazosema hivi ni za kumsifu Mungu? au ni kwa ajili ya kutengeneza Pesa Tu.Hivi kweli waimbaji wa nyimbo za Mungu wanaweza wakasema eti nina show nyingi? Jifikiri Zaidi kabla ya kuongea.Naamini kwenye hizo show kunakuwa na vilevi , ambavyo wateja hununua ii kijiburudisha kwenye hiyo show , Hivi kweli hapo kuna Mungu kweli?. Unajidanganya, na pia unadanganya wale wasio ona mbali.
Duuuiiu
Nambona tuzo yakaa kama nyoka??vile imejicoil na juu mwisho wake wakaa kichwa ya nyoka na pembe,kama vile nyoka inapanua mdomo
Change the cover photos u have chosen, it's not impressing viewers ndio maana likes chache na viewers chache too
Aho Twagendaniye Mana weeee ntiwigeze udutererana. IGITARAMO : kuramya Imana harimo ibanga rikomeye . kzread.info/dash/bejne/f4Sc1tGbnq3be8Y.html nshuti mwebwe mukunda kubana natwe turabashimiye cane mfasha kwamamaza izina rya Yesu .ukora share ,like,subsribe ,comment God bless uu 🇬🇦🇬🇦🇬🇦