DIAMOND Aguswa Na Injili Ya ROSE MUHANDO, Nilikuwa Muislamu, Ipo Siku Yesu Alienitokea Atakutokea..
Ойын-сауық
Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
Пікірлер: 161
From Kenya gonga like kwa huyo mama
@IsmailLoi
3 ай бұрын
Hapo huyo dogo wa kigoma hamna rangi hamtaona anawachora tu hiyo ya Nairobi ni sampo mnamdhihaki Mungu wetu na ni ustaa wa kumpa shetani nafssi
@TunaelMhema
2 ай бұрын
Safi sana
@TunaelMhema
2 ай бұрын
Hongera mama
Rose is soo powerful full of holy spirit when she talks devils runs she shakes the kingdom of hell Glory to God
@isihakambalawa
Ай бұрын
Huyu😂 ni msanii kama wasanii wengine Amna chadini Wala nini
Hii injili ya rose ni sawa, yule mungu aliyemtokea saa tisa ya usiku amtokee diamond pia
Rose kweli anaongea kweli hata kuliko mwanamke mwingine ...wueh she is powerful
@KayirebwaChristine-hl2vg
Жыл бұрын
Mungu akubaliki Mama
Nasikia Furaha sana kuwa na Muimba injili bora Tanzania kama Rose Muhando, Ubarikiwe Mama
Nampenda mtumishi wa Mungu Rose Muhando,malkia.Kenya tunakupenda
Yani Rose anaongea mpaka unatamani imani aliyo nayo ihamie kwako..
@kerubojane7606
Жыл бұрын
Haki my dear ❤❤yuko na Neema kubwa 😢
@catherinepeniel202
Жыл бұрын
Kweli kabisa. Too powerful 🙏♥️
@christopherbaraka2773
Жыл бұрын
Kweli kabisaa
@mariammnono5247
Жыл бұрын
Kweli kabisa mpwendwa
@mariamdaniel-hg2cn
Жыл бұрын
Kabisa kabisa
Roho mtakatifu yupo ndani ya Rose muhando Asante Kwa injili hii kubwa
@radegundapeter4205
Жыл бұрын
Yeah! huyu ni mwinjilist.. ni swala la muda🙏🏻
@heritier5119
Жыл бұрын
Avae mavazi ya utukufu
Rose muhando nakupenda sana 🇰🇪
Yaaani nkiskia rose akiongea naskia kupenda mungu zaidi
Barikiwe sana dada rose kwa ijijli nzuri sana mungu wa mbinguni akulinde milele
Aki rose wagusa roho yangu sana God bless you sister
Wooow this lady is blessed aky,
Yaani rose nimupli kweli anasimama kama mwanamke mwenye jasiri❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wewe ni wa maana sana Mama na Mungu akutendee unapomtumikia.....napokea izo baraka namimi
Haleluya urimuona uyomungu kbx na tusishangaye kuona diamond ameokoka juyamamboyote kunanguvu Zamungu njosimesababisha anakuja kwamukutano uyo
Dada Rose nimeipenda hiyo
Rose anaimba mbaya, Mungu akubariki,Amina
Aisee dada roz napnda vile un aongea yan nkikuskilz ak nahis uwepo wa mung naon roh mtakatf yup mahal nnapokusikilza yan cjui ukipat nafs yakuhubir aiseee shetan atakaa mbal san mung akubark san sanaaa
Rose Muhando is beyond the radiation of thoughts, may God Bless her new year 2024.
Mie huyu dada nampenda Yuko unic Sana yaan Yuko halisi haigi uzungu mwingi
Mtasikia Diamond ameokoka!!!hamtaamini
Jmn naomben mnisaidie kumwambia huyu dada nampenda nataman nimuone live
Usimjaribu bwa na mungu Aliyeziumba roho na mwili wako na utukuzwe baba wa mbiguni kwakijana huyu aliye wakumbuka watumishi wako amina
Nampenda huyumama zaidi kwawimbo SITANYAMAZA
Amen dada Rose Mungu akubariki
Rose is my favorite ♥️♥️
Nampenda Rose sana, nyimbo zake huwa za kumgusa mtu moyo, ata uwapo majaribuni unaposikiza nyimbo zake unafarijika
Amina. I receive this powerful of holy spirit ndani ya Malikia ikuje na kwangu 🙏🙏
Weeeh vile nasikia Sina maoni lakini rose anaweza Fanya mtu kuregreat dhambi zenye umefanya😢😢😢Mimi hapa pressure is getting worse🙆
@AsAs-kb5xc
Жыл бұрын
Blood of Jesus cleans all
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Rose Muhando nabarikiwa na huduma yako, pia naomba ushauri wako ktk huduma yangu ya uimbaji dada
Glory be to almighty God 🙏🙏🙏🙏, wow my mentor MUM ROSE, mungu na azidi kukuinua🙏🙏🙏🙏🔥🔥
Dada yetu mama yetu misse you roza marikiya mama mungu akuongezeye maisha marefu Mami nakutakiya maisha marefu urindwe unatubarikisana mama
Eeh yesu kristo mungu tusaidie tupemacho tuyaone mengi utuokoe usitutie katika vishawishi
Amen ushuhuda huo uko powerful sana❤❤❤
God above all mama yetu we love you as Kenyans injili isonhe mbele amen
Watu wamung muw macho sana.bwana Yesu Kristo yukaribu kurudi
Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu alie hai
Ushuhuda mkubwa sana! Ujasiri wa huyu mama hunibamba sana! Lakini sasa najua Shusho anasikia wivu na waru Kwa Koo!
Rozi unaweza kuhubiri
Hubiri mama Rose najua umeshawishiwa tu kuwepo hapo na wajanja wa mjini kuficha aibu ya watu
Rase ubalikiwe na mungu aendele kukusimamia
MUNGU azidi kukupigania Na akuinue mpaka viwango vya juu. MUNGU akutete Na akutimizie haja ya moyo wako.
Mama rose good bless you much love from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 keep shining ma'am
Mungu akubariki saaaaaana mtumishi wa Mungu dada Rose Mhqndo kwa ushuhuda na Neno la Mungu. Nimebarkiwa saaaaaana kukusikilisa wewe ni Jeshi kubwa la Bwana Yesu. Be blessed ❤❤🙏🙏🙏🇳🇴🇳🇴❤🤗
@felixkawogo
Жыл бұрын
Amina sanaa
MUNGU AKUTUNZE DADA ROOZ
Ubarikiwe wajina Mungu ameweka kitu cha tofauti
Huyu ni motivation speaker
Rose muhando umefufuka MUNGU akubariki
Amina dadaang unanipaga moyo wakutokukata tamaa napata nguvu mno
ROSE MHANDO,NAKUPIA BIG UP.UMEFANYA JAMBO ZURI
Haleluya wapedwa wa yesu mubarikiwe
Nakupenda sana rozi miando mungu azidikukupa kibali ameni🙏
Ubarikiwe sana mama umesema kueri kabisa mungu amubariki sanaaaaasamia ❤❤❤
Mungu azidi kukuinua from 254
Ubarikiwe sana dada yangu rose mhando
Nakupenda da rose
Love you mama ndio vita yako umetutetea. Sanaaa
Rose muhando it's God used you diamond atamrudia mungu by the blood of jesus
Asante rose Kwa kuamin kwamba mungu n mueza
@user-bh8gb3pv6m
Жыл бұрын
Mungu akusaidie ❤
Superstar🎉 tunakupenda sana hapa Kenya+254
Rose mungu akumbariki humeambia shosho hukweli
Mungu akubari sana nabariliwa na huduma yako mungu azidishe neema juu yako
Maishaa hayoo. NCAA. Hiyo. Vyovyote. Utakavyoongea. Sawa. Kwa kuwa shenanigans ana nguvuu sanaa
Mungu azidi kukuinua!
Uishi maisha marefu dada Rose shuhuda zako zinagusa moyo wangu
Barikiwa mtumishi rose
Go higher and higher mammie 🙏
Ubarikiwe San mama angu
Diamond aokoke aone mwangaza
Barikiwa kwa imani kwa Mungu wako
Rose ubarikiwe zaidi🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki mama rosa ❤❤❤❤❤❤
@Fransymwasubira93
Жыл бұрын
Njia ipi
Ndotoni au???
God bless you my mama Rose
Amina Amina
Subhaallah Allah msiba Huu
@fatumamnyenze9696
Жыл бұрын
Msiba kidogo
@babyzuchu3866
Жыл бұрын
@@fatumamnyenze9696 umeona eee 👌
@ezekieljackline3903
Жыл бұрын
H an ahaha
@babyzuchu3866
Жыл бұрын
@@ezekieljackline3903 habari Ndo hiyooooooooo 📢📢
Mungu akiwa upande wetu nani aliye juu yetu?
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Santé diamond juwa haubaguwe dini
Hallelujah 🙌 🔥 🔥 🔥
Glory to be to GOD amen
Swali langu je kuna ushirika gani kati ya nuru na giza?
waouh🎉
Wapi nawapi nuru naziza viwe pamoja? siku ya mwisho kila kitu kitakuwa wazi eeee Mungu tusaidiye
ALLAH awaonyoshe njia ya kweli
@odilomwemeziernest646
Жыл бұрын
Ipi hiyo?
@agnesomwenga985
6 ай бұрын
Haha gani sasa
Diamond twakusubiri kwa injili
Angalau umehubiri injili
Muhando na mercy masika tutasikiza tu nyimbo zenu lakini hatutafuata mienendo yenu,,, mmejichanganya sana,, lakini SI Kwa ubaya ni Hali ya Dunia Kwa Sasa, the good is bad and the bad is good
@johnfadhili345
Жыл бұрын
Biblia inasema Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Mt 10:6
@johnfadhili345
Жыл бұрын
Kwa hiyo tusiwaone wengine ni wakosaji sana ila ni kwa neema ya mungu anatusamee
@isayajuma5870
10 ай бұрын
Kijana hivyo ndivyo mafarisayo walimuongelea Yesu
Najazwa,, kwasahihi, loze, iko, naroho, mutakakayifu
@meck009
Жыл бұрын
Rose huwa ana nibariki sana,si choki kumsikiliza huyu malkia wa yesu
@maysamwel1221
Жыл бұрын
Rudi msalabani
Hallelujah
Wacha uongo hakuna mtu ashawahi mwona yesu. Nashangaa sana wakristo. Sisi waislamu hakuna mtu anaweza sema nilimwona mtume muhammad ama yesu. Rose muhando wacha ukafiri rudia mwenyezi mungu. Miziki ni haramu
@chmarkdambala6816
Жыл бұрын
Una Iman potovu wewe kafiri la kislam
@halimahbwelele694
Жыл бұрын
Kafiri ni ww usie na dini ama lete andiko ukristo ni dini
Nisiposema ... Mawe yatasema!
Amen
Amena
Nuru na giza wapi Diamond alivyo makaya
Uongooo 🤸
HAIKA MKEKUOKO HAIKA SANA MSHIKI RUWA NAKURINGE
@briansafari9714
Жыл бұрын
Kichaga kigumu😂
Huyu ana uthubutu wakiroho
Maswali ya mafarisayo kwa Yesu akishirikiana na wenye dhambi.let me tell you, darkness is not a person;it is the kingdom satan that uses a person and that is what God fights!if you associate with the "righteous" how will you expand the kingdom of Yahweh?