Mshkaji amestuka mapema kabla ya kuingia kwenye stress na kutumia madawa, Big up lyrical & flow genius Baba stars.
@daudinyigo9119
3 жыл бұрын
Baba styles 😎😎
@fedrickwilliam17213 жыл бұрын
"WAKUABUDIWA NI MUNGU PEKE YAKE" 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 Kweli brodha. Like kama unakubaliana na NOORAH
@sylvesterchisenga37073 жыл бұрын
Unapanda jukwaani ghafla inakujia Picha ya Ngwear, kama yupo pembeni , Mara Mez B unasikia kama anakuita ..unavuta Picha utani Wa Mazengo High school na wana chemba lakini unagundua Ngwear yupo mavumbini , Mez B yupo mavumbini! ... Hamu yote ya kuimba inaisha unaamua kuacha mziki na kuwaenzi wanao! Hongera bro Noorah Kwa busara hizo mpe Hi Dark Master
@ThePHARESJ3 жыл бұрын
Noorah alikuwa mwanamziki mzuri. Ila ukweli ni kuwa muziki haukuwahi kumlipa. Kuna maisha pembeni ya muziki, sio kila MTU ana destiny katika music industry. Good work brother.
@chrissjoel77523 жыл бұрын
Huyu jamaa aliwahi kuugua mpaka baadhi ya watu wakakata tamaa ila siku zote MUNGU akisimama nawe hakuna wa kukutetelesha 🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
@suitbertmaro5792
3 жыл бұрын
Brain concussion eeeh?
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
@@suitbertmaro5792 amaa Shake Memories walitokea madirishani ilikuwa ni Ra4 min walikuwa wanaenda Dom
@elishaobadia8829
Жыл бұрын
@@ramsikhamis7083 umeongea lugha gani!!?
@SirdickOmondi3 жыл бұрын
This the Best Motivational Interview have ever seen....Maisha ya UMARUUFU ni gharama...sometimes Living normal is Good.
@jamesgeofrey86923 жыл бұрын
A man is smart. Dat’s why he had a good and distinctive lyric. Now I see...
@philjonez33243 жыл бұрын
Amechukua uamuzi sahihi yaleyale yakina Vanessa uwezi fanya kitu kikawa kinakutoa Hela wakati hiko kitu kilitakiwa kikulipee imagine for 15yrs alafu hufaidiki ..He was my Best Artist back in the days pamoja na Marehemu Mangwea.. Pumzika Bro fanya mambo yako mengine Mziki unastress sanaa
@jettymandizanohainamfano770
3 жыл бұрын
Yupo sawa kwa kila kitu wapo wezi
@edsonmdegela6067
3 жыл бұрын
@@jettymandizanohainamfano770 p Pp
@kijitamfyomi55983 жыл бұрын
Jamaa smart sana halafu nimenote kadiri umri unavyokwenda ndio anazidi kua handsome kumbe siri ni ibada anazozifanya TID inabidi ajifunze kupitia Noorah big up sana bro.
@sixbertbudodi
3 жыл бұрын
We jamaa dah!!
@Bitlontravels5553 жыл бұрын
This guy is very wise.
@johnlyimo22273 жыл бұрын
Haya tukimaliza kuchek hii interview naomba turud KZread kuchek ngoma za jamaa....
@AmosBPeter
3 жыл бұрын
Hahahahahhaha kwel kabx
@abdulwahidmsellem1964
3 жыл бұрын
Muhimu
@rodrickgerald6151
3 жыл бұрын
Bila shaka
@dasilvajunior3016
3 жыл бұрын
ni mekwisha msikiliza tayari kupitia song ' unanitega ' ft mwana fa
@lizzydiy4590
3 жыл бұрын
Amekua nlikua nshamsahau
@geeva993 жыл бұрын
Mziki ulikuwa zamani, sikiliza sasa msanii wa zamani anavyoongea kama professor
@johnny.j.nyondo
3 жыл бұрын
Wewe sasa ndo umeongea
@salumsalum3792
3 жыл бұрын
Yani mtu wangu wewe utakuwa intelegencia kuliona hilo mimi nilisema hivyo hivyo Big up Bro
@jamesmukweyi3965
3 жыл бұрын
Mr Noorah,long time bro
@anwarfundi57483 жыл бұрын
Moja Legendary wa Tanzania niliocheza Sana nyimbo zake disco big up real artist
@watakaniitaje1215
3 жыл бұрын
Kabisaaa yaani tulienjoy Sanaa Enzi izo sio saa hii kanyaga kanyaga mmh
@swabirsudi4859
3 жыл бұрын
@@watakaniitaje1215 😂😂😂ati nini? Kanyaga kanyaga
@shardalove1159
2 жыл бұрын
@@watakaniitaje1215 heheee
@ericklaura75113 жыл бұрын
This man knows how to answer questions in interview, thumb up to him
@georgeigogo9259
3 жыл бұрын
And the quationer is good
@wishfmradiowhatyouwishfor532 Жыл бұрын
Respect to Noorah this guy knew what club music was tempo, pitch, kick you could mix his songs with anything kwa club na watu hawatatoka dance floor... Respect!!
@kiun082 жыл бұрын
Umetuwakilisha vizuri sana SHY TOWN kwenye Music...Much Respect Bro Great Interview
@tinamanzala3 жыл бұрын
I love this guy na nikawa najiuliza yuko wapi, finally nimemuona 🙏
@thomasnachenga7953 жыл бұрын
Nina elf 10 yako bro bila ubishi...ila mm nafkir unanidai zaid ya hiyo. Sabab umeinspire kitu kikubwa sana ndan yangu..."UKURASA WA PILI"
@yusufmwangichannel6692
3 жыл бұрын
Saidia masikini na fukara utapata malipo mazuri kwa Mwenyezi Mungu
@giselaherman6799
3 жыл бұрын
Kwanini tuditafute namna ya kuchanga na kumtumia bro... Mimi roho inaniuma nahisi ananidai saaaaana
@karimabubakary3853 жыл бұрын
Kama namuona mzee ngarama baba nura ustaadhi from kigoma God bless u bro hope hapo kamabarage wadau wanatoa support ya kutosha
@iddrwabibi582
3 жыл бұрын
Sheikh ngarama atakuwa proud sana
@dekeif255arttz83 жыл бұрын
👊👊👊👊🔥Tengeneza wasanii bro unaakili kubwa sana ya maswala ya music napenda nyimbo zako interview yako imefanya nikukubali zaid bro👊👊👊👊👊
@jysleek52413 жыл бұрын
To me he's a music genius and together with Ngwair they made me love music. Keep doing your thing and I've learnt some tips from you. Bless up
@Love4Ril3 жыл бұрын
Sad news ever! He was one of the best players in the game
@msombanehemia75033 жыл бұрын
Hongeraaaa pia kuna maisha mengine baada ya mziki
@kijitamfyomi55983 жыл бұрын
Bro usirudi tena huko hata kama kunapesa mtumikia Allah kwa ajili ya maisha yako baadae.maisha ya dunia ni mafupi sana.
@husnangapu5023 жыл бұрын
Ukiishi kwa kuangalia macho ya watu hauwezi kutoboa me sioni ajabu kuuza duka as long as ni biashara halali afanye tu!!!
@ALIMOHD-bk9lr
3 жыл бұрын
Surely. Umeongea sahihi kabixa
@vailetmapunda106
3 жыл бұрын
Fact 👏👏👏
@lipymuscat4779
3 жыл бұрын
nimependa sana wazo lake..wenziwe wanavuta unga sasa
@josephstephen2047
3 жыл бұрын
Duka la spare hilo baba mtaji wake sio mchezo
@hadijasalum6373
3 жыл бұрын
@@josephstephen2047 exactly hilo sio duka la kitoto
@jacksonelias24173 жыл бұрын
Wasanii wa Zamani Shule ilikuepo buana!..sio wasanii wa sikuizi Shule ngumu vingereza vingi much respect Bro@buku ten yako ninayo😂
@lindambilinyi6253
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@OG_203 жыл бұрын
Mad love for u bro! Yo a music legend and if there was a good formation mazee this industry ingekua juu sana cause they would have the best teachers!
@abdulwahidmsellem19643 жыл бұрын
Uyu msanii namkubali Sanaa🙏🏽🇹🇿👌 Ayo tv bigup Sana👏👏
@abdulzackawami77803 жыл бұрын
Chemba squard imeondoka daah!Mez B Albart Mangwea😭😭😭
@kingcopper_tz3 жыл бұрын
Kuna kipindi nilitaka niache shule ili nikafanye mziki, kuna mtu akanambia kama kweli unataka mziki soma kwanza, nimemaliza chuo nafanya kazi niliyosomea pia nikifanya mziki, ila ni mwaka wa tatu sasa sijatoka kimzki, nawaza bila hii elimu ningekuwa nimekata tamaa na maisha labda
@dennmkumbala1779
3 жыл бұрын
Kwer bro mipia napenda san mzki nafanya mziki uku na fanya kaz mwak wa5 nafany na bado miyayusho bila kaz ninge maish yasingeenda
@tinamanzala
3 жыл бұрын
Muziki unaumiza sana wanamuziki
@dottodavid1935
3 жыл бұрын
Tuko wengi kwenye hili Mziki ulinichukuwa kiasi cha kutaka kuwa my major career Lakini sasa miaka kibao imepita nimeopt kuinvest kwenye media tu Mziki stress sijutii kufanya nnachokifanya kwa sasa
@alinadee82073 жыл бұрын
Good artist ever Tanzania apart from trending singers we have this one is musical educated in industry
@gilbertkavishe37253 жыл бұрын
Interview ilikuwa nzuri snaa. Binafsi imenifundisha vitu vingi. U are very smart bro.
@allyirunde71983 жыл бұрын
Noorah nakukumbuka sana kwenye nyimbo yako ya lugha gongana aseee nilikua nafatilia mpaka interview zako ulisema hio nyimbo uliifanya pekeyako na ulifanya sehem ambayo alitakiwa akae mwanamke 💪🏽💪🏽💪🏽 noorah
@nassirshiboli4424
4 ай бұрын
Wimbo wote aliandka yeye ila Ile sauti ya kike Alikua ni Sara (shaa)yule wa kundi la WAKILISHA
@johnmosha3 жыл бұрын
Noora you are very matured now... Wisdom yako imepamda Sanaa. Remembering the days of Wu-Zengo
@shijacs233 жыл бұрын
Nimetoka kusikiliza tena Unanitega na Chochote Utapata kweli mashabiki wako unatudai elfu kumikumi, seriously tudondoshee namba yako maana tunajisikia tuna deni kwako!!
@atupelemwasambili44763 жыл бұрын
Wise and smart. Big up brother
@JMDunia3 жыл бұрын
Smart sana Noorah. Majibu mazuri na ushauri mzuri sana kwa vijana,wasanii na binadamu wote kwa ujumla. All the best bruh!
@usanifumaandishi75193 жыл бұрын
Lakini pamoja na yote nafikiri baada ya kifo cha Ngwair naona uliwaza mengi ukaamua kuacha game
@innomghase3713
3 жыл бұрын
Coz ukiangalia ata mwak alioacha game ndo mwak alio farik ngwea
@godwinmpazi15603 жыл бұрын
Respect brudah...nipo London nimefulia but sijakata tamaa...Nina kazi ninayopenda kufanya na bado naisomea zaidi lakini tatizo Niko nalo ni siwezi ku save enough niseme sasa nirudi nyumbani Singida...Nimeangalia hii clip na sasa nimepata moyo zaidi kwamba bado nina Nafasi tho I gotta race against time.Ahsante bro
@nicholausmakundi2663
3 жыл бұрын
Upo London ila wote tunaipata #hapahapa au sio.
@opportunities2767
Жыл бұрын
Naimani umesharudi
@saidmlindwa79543 жыл бұрын
This dude nice,calm,slow and humble💯hatujasahau ur good music
@wanvinnah34563 жыл бұрын
noorah anatuchapa bdo na lugha gongana kwa interview pia 😂😂 yenyewe ajuae ajua💪
@nancyandrew92733 жыл бұрын
Free style ni noooma alfu wimbo wa chochote utapata wa kelyn ndo huwa unanifanya nijiulize huyu broo yuko wapiiiiiiiiii
@benardmwakilasa39693 жыл бұрын
Noorah toa namba nikutumie 10000
@yusufmwangichannel6692
3 жыл бұрын
Saidia masikini na fukara utapata malipo mazuri kwa Mwenyezi Mungu
@lizzydiy4590
3 жыл бұрын
0689442347 iyo apo mdogo wangu
@alvinsafi2733
3 жыл бұрын
@@lizzydiy4590 😁😁😁
@lizzydiy4590
3 жыл бұрын
@@alvinsafi2733 😂😂😂 watu tuna njaa
@alvinsafi2733
3 жыл бұрын
@@lizzydiy4590 Hatari sana
@zaitunijuma78313 жыл бұрын
ukiendekeza macho ya watu kamwee huwezi fikia malengo yk bora ufanye kile unachokion kitalet faid kwako na famili yk so kufat2 mkumbo honger kk ila nime kusahau sijuw nilikuw mdog kipindi kile waimba au ndo maisha2
@nyumbumjanja3 жыл бұрын
Kila huwa nikihitaji kupata ushauri & story za music,,, huwa nakuja kwako bigup mangiii #letambegee
@zzuuhassani52053 жыл бұрын
daah bg suprise kwangu unaipataje iyo elafu kumi sasa ??
@emanueltobias34203 жыл бұрын
Du ni kitambo sana ni kwetu shiy like atakaetokoea shy
@adrianalberto7043
3 жыл бұрын
Tena hapo sio kambarage ni nssf ya zamani kwa nyuma karibu fundi pikipiki almasi
@erickchitumbi13083 жыл бұрын
Safi sana..umeonyesha uthubutu mkubwa kwa kuwaambia wanamuziki wengine.
@vonnyangarika42263 жыл бұрын
Huyu ndio msanii mwenye hekima pekee niliyewahi kumsikiliza
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Nd very educated mzee wa PCB
@masebochris30503 жыл бұрын
Hongera ndugu ma elezo yame nyooka,,
@queenandchill912 жыл бұрын
Noorah a.k.a Baba Styles❤❤ Ishi sana brother, I 'm glad i found this interview, after kuona ile ya Big Chawa.God bless you 🙏🏼
@queenfletcher42233 жыл бұрын
THIS DUDE THOU WHAT A GEM💎 … Ila watanzania sijui tunafeli nini walah SAD!!!
@40kstore3 жыл бұрын
Hivi Kwanini wasanii wanapata kidogo tofaut na wanachofanya !? Katika Watanzania million 50,million 1 hawakosi kuwa mashabiki wa muziki,kwa mwaka msanii mkali kama Noorah alitakiwa afunge hesabu hata ya million 500 na kuendelea,ila kuna Wasanii wabongo wanatoa mangoma makali alafu wako pale pale,yaani Wasanii ni billionaires ambao wamelala
@mangib523 жыл бұрын
Nimemuelewa sana noorah✌
@bonifacenicholaus51673 жыл бұрын
Unanidai elfu kumi bro! Fan wako leo kesho
@thelatestvideos62663 жыл бұрын
Noraah,Mangwair walkua mbele ya Muda
@babailu21333 жыл бұрын
Dah nilikukubali kipindi kile si mchezo yaani ulikuaga ni mzee wa FREE STLY kinoma.
@finiacefick81663 жыл бұрын
Mi ni mteja wake knoma hapo dukani kwake. Buku ten unayonidai kama mshabiki wako ntakuletea
@ramadhanhemed9931
3 жыл бұрын
Hahahaha.....one love mzaz
@gilbertgerald58463 жыл бұрын
Good interview..
@ferouzmasoud48702 жыл бұрын
Legendary Kama legendary kitambo Sanaaa broo noorah 👊👊👊🇹🇿🇹🇿
@shenjamamzingi79503 жыл бұрын
MSHUKURU ALLAH AMEKUONGOZA,TULIA HUKOHUKO KWENYE IBADA NA BIASHARA NYINGINE SIO MUZIKI,KAZI YA SHETANI NI MUZIKI AMINI USIAMINI,USIJE UKAFIA HUKO
Ingekua bora zaidi. Ungeikweka no ya noorah.. tumlipe hela zake elfu Kumi sisi mafans wake wa kweli.... Tunafurahishwa na kazi zake. Kabisa.. kwa ujumla what i take from this is Noorah.. is wise .. very wise...
@jilesjames7830
Жыл бұрын
Live kk
@bobwhite92523 жыл бұрын
What happens when you interview a smart guy.
@abdulkadir-ly9ko3 жыл бұрын
Ana maarifa flan hv amazing @Noorah
@khadijakayuzi84713 жыл бұрын
Uko vizuri Noor rudi kwenye gems tunakupenda kk tutakusapot na elfu 10000 nitumie namba nikutumie
@fatmajuma92753 жыл бұрын
You are wonderful
@masaimara37503 жыл бұрын
Wanachemba wote walikua wakali ila wameisha, Ngwair, mez b , noorah na Dark Master..daah!!😥😥😥😰😰
@andrewmmbaga1665
3 жыл бұрын
😭😭😭 umeongea kwa hisia
@bonephacemashenene562
Жыл бұрын
Wanachemba ndio walileta Radha kwenye hiphop
@mvumobalati2822 Жыл бұрын
Mi nimemuelewa sana and so humble, real and honest. Maisha ni mazuri sana, nimemuelewa sana.
@singlemama3kids2703 жыл бұрын
Big up loved his song
@ibrahimjobu91413 жыл бұрын
Noorah A.K.A Baba stadh nakubali sana flow zako zilikuwa za kipekee sanaaaaaaah Mzee Baba jah Bless you
@santodelove4351
3 жыл бұрын
Sio baba stadh ni baba styles
@neemangwesa3372
3 жыл бұрын
Santo De Love hahaha
@jamilachila6496
Жыл бұрын
@@santodelove4351 Hahaha
@henrykishiwa67553 жыл бұрын
Gooooood!!!!
@paulwazirikinindi42983 жыл бұрын
Big up to you brother Malo G🙏GoodInterView
@kingslole91513 жыл бұрын
Mad respect Mad love 💪
@aishafahdi8355 Жыл бұрын
Mpaka leo nasikiliza music wako❤️❤️
@suitbertfrank29263 жыл бұрын
Good interview
@satwanthoogan64292 жыл бұрын
Nilikuwa namkubali sanaaa,na voice yake iko powa sanaa! Alafu Amenenepa...😉👍🏻
@kaifalawa58733 жыл бұрын
Respect broo Noorah and Millard ayo,i realy like this chanel
@jocety4426
3 жыл бұрын
Channel isiyochosha, yenye kuelimisha thanks @millard🌹
@saidsalum61013 жыл бұрын
Safi sana kaka wewe ndiyo umechukua uamuzi wakiume siyo kuabudu tu watu kama huyo mzee yusufu
@mwanajumaomahundumla65043 жыл бұрын
Mimi ni shabiki yako na unanidai elfu 10
@rewaatesh4877
3 жыл бұрын
Mmmmh! Mpelekee hela yake si mpo jirani tuu hapo?
@mwanajumaomahundumla6504
3 жыл бұрын
@@rewaatesh4877 hahahahaha yaani wewe umejuaje kama tuko jirani
@LUPPER.
3 жыл бұрын
Hahaha itabidi namimi nimuongezee. Ila kajitahidi kua na biashara.
@mwanajumaomahundumla6504
3 жыл бұрын
@@LUPPER. kafanya la maana kweli vinginevyo angeangukia kwenye madawa kama wengine binafsi nampongeza sana kama alivyosema Kuna maisha baada ya muziki wengi wanapotea kwa kulazimisha visivyoweza kulazimishika
@abbyjma7355
3 жыл бұрын
Mimi jamaa ananidai kama 50000
@ninjaisma79833 ай бұрын
Hii ya mwisho ya kuhusu imani ni a very huge point ambayo itajenga watu milele ..Big up brother me nilikuwa sidoz mpaka niskize migoma yako capital fm na eved suza
@ronaldiko87943 жыл бұрын
Kama ulishapitia hii situation gonga like kila jambo na wakati wake
@SirdickOmondi3 жыл бұрын
I like you IQ bro.... Responses zako ximetulia just like kina ROMA, Chidi Beeenz...Mwana FA.... AY and more
@christopherpaul7233
3 жыл бұрын
Ulipoweka x kwenye s tu basi ukafeli
@alvinmalipaya58443 жыл бұрын
Kitambo sana Noorah nakumbuka kipindi kile cha kina kia bway, maloga, mpandiko, magadula na wengine kibao
@Locker69963 жыл бұрын
Smart...💪🏼
@azizikinyika71323 жыл бұрын
Sio spear za magari tu ,wanauza na spear za pikipiki mfano matairi ya pikpik kwenye hilo pipa la kijani la BP
@alexmalisani8983 жыл бұрын
Nime mwelewa sana broo nikweli watu wana fanya vitu waonekane rakini hawapo kwjiri ya maisha yao yabade
@fikirimabula84293 жыл бұрын
Big up kaka noora
@rewaatesh48773 жыл бұрын
Uko sahihi kabisa. Point kuanzia mwanzo hadi mwisho.
@jamilaathumani90043 жыл бұрын
Maisha niyaajabu sana, tufanyeni ibada tu wanazengwe mana hamna jipya duniani,, umaalufu sikitu kumbe muda wako ukipita nalako haliko
@hallin9561
3 жыл бұрын
Izo ibada mnazifanya kweli au ni unafki tuu kujiosha
@miriamkittah53583 жыл бұрын
He is sooooo smart
@hyahasisimsigala43463 жыл бұрын
Huyu man namkubali sana na Nyimbo zake bado zitaishi....
@Aamours3 жыл бұрын
Interesting conversation
@kelvinokelo79923 жыл бұрын
Noorah yuko vizuri sana kwenye interview ila jamaa angeendelea na game tungekuwa tunaburudika sanaaa.
Пікірлер: 439
Noorah maneno mazito. Noorah ni mtu akiongea unamskiliza. Yaani ni minimalist. Simpo language, simple delivery. Big up kwake
@bonephacemashenene562
Жыл бұрын
Shule ndio kitu muhimu jamaa shule ipo
Mad respect to noorahs hustle, he feeds his family and has a clear head on his shoulders.....the brother is woke
Naona tunaodaiwa mwekundu na Noorah tumekuwa wengi. Hebu tujirejiste hapa 👇🏾
@williamnyenyembe8968
Жыл бұрын
💸
Mshkaji amestuka mapema kabla ya kuingia kwenye stress na kutumia madawa, Big up lyrical & flow genius Baba stars.
@daudinyigo9119
3 жыл бұрын
Baba styles 😎😎
"WAKUABUDIWA NI MUNGU PEKE YAKE" 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 Kweli brodha. Like kama unakubaliana na NOORAH
Unapanda jukwaani ghafla inakujia Picha ya Ngwear, kama yupo pembeni , Mara Mez B unasikia kama anakuita ..unavuta Picha utani Wa Mazengo High school na wana chemba lakini unagundua Ngwear yupo mavumbini , Mez B yupo mavumbini! ... Hamu yote ya kuimba inaisha unaamua kuacha mziki na kuwaenzi wanao! Hongera bro Noorah Kwa busara hizo mpe Hi Dark Master
Noorah alikuwa mwanamziki mzuri. Ila ukweli ni kuwa muziki haukuwahi kumlipa. Kuna maisha pembeni ya muziki, sio kila MTU ana destiny katika music industry. Good work brother.
Huyu jamaa aliwahi kuugua mpaka baadhi ya watu wakakata tamaa ila siku zote MUNGU akisimama nawe hakuna wa kukutetelesha 🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
@suitbertmaro5792
3 жыл бұрын
Brain concussion eeeh?
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
@@suitbertmaro5792 amaa Shake Memories walitokea madirishani ilikuwa ni Ra4 min walikuwa wanaenda Dom
@elishaobadia8829
Жыл бұрын
@@ramsikhamis7083 umeongea lugha gani!!?
This the Best Motivational Interview have ever seen....Maisha ya UMARUUFU ni gharama...sometimes Living normal is Good.
A man is smart. Dat’s why he had a good and distinctive lyric. Now I see...
Amechukua uamuzi sahihi yaleyale yakina Vanessa uwezi fanya kitu kikawa kinakutoa Hela wakati hiko kitu kilitakiwa kikulipee imagine for 15yrs alafu hufaidiki ..He was my Best Artist back in the days pamoja na Marehemu Mangwea.. Pumzika Bro fanya mambo yako mengine Mziki unastress sanaa
@jettymandizanohainamfano770
3 жыл бұрын
Yupo sawa kwa kila kitu wapo wezi
@edsonmdegela6067
3 жыл бұрын
@@jettymandizanohainamfano770 p Pp
Jamaa smart sana halafu nimenote kadiri umri unavyokwenda ndio anazidi kua handsome kumbe siri ni ibada anazozifanya TID inabidi ajifunze kupitia Noorah big up sana bro.
@sixbertbudodi
3 жыл бұрын
We jamaa dah!!
This guy is very wise.
Haya tukimaliza kuchek hii interview naomba turud KZread kuchek ngoma za jamaa....
@AmosBPeter
3 жыл бұрын
Hahahahahhaha kwel kabx
@abdulwahidmsellem1964
3 жыл бұрын
Muhimu
@rodrickgerald6151
3 жыл бұрын
Bila shaka
@dasilvajunior3016
3 жыл бұрын
ni mekwisha msikiliza tayari kupitia song ' unanitega ' ft mwana fa
@lizzydiy4590
3 жыл бұрын
Amekua nlikua nshamsahau
Mziki ulikuwa zamani, sikiliza sasa msanii wa zamani anavyoongea kama professor
@johnny.j.nyondo
3 жыл бұрын
Wewe sasa ndo umeongea
@salumsalum3792
3 жыл бұрын
Yani mtu wangu wewe utakuwa intelegencia kuliona hilo mimi nilisema hivyo hivyo Big up Bro
@jamesmukweyi3965
3 жыл бұрын
Mr Noorah,long time bro
Moja Legendary wa Tanzania niliocheza Sana nyimbo zake disco big up real artist
@watakaniitaje1215
3 жыл бұрын
Kabisaaa yaani tulienjoy Sanaa Enzi izo sio saa hii kanyaga kanyaga mmh
@swabirsudi4859
3 жыл бұрын
@@watakaniitaje1215 😂😂😂ati nini? Kanyaga kanyaga
@shardalove1159
2 жыл бұрын
@@watakaniitaje1215 heheee
This man knows how to answer questions in interview, thumb up to him
@georgeigogo9259
3 жыл бұрын
And the quationer is good
Respect to Noorah this guy knew what club music was tempo, pitch, kick you could mix his songs with anything kwa club na watu hawatatoka dance floor... Respect!!
Umetuwakilisha vizuri sana SHY TOWN kwenye Music...Much Respect Bro Great Interview
I love this guy na nikawa najiuliza yuko wapi, finally nimemuona 🙏
Nina elf 10 yako bro bila ubishi...ila mm nafkir unanidai zaid ya hiyo. Sabab umeinspire kitu kikubwa sana ndan yangu..."UKURASA WA PILI"
@yusufmwangichannel6692
3 жыл бұрын
Saidia masikini na fukara utapata malipo mazuri kwa Mwenyezi Mungu
@giselaherman6799
3 жыл бұрын
Kwanini tuditafute namna ya kuchanga na kumtumia bro... Mimi roho inaniuma nahisi ananidai saaaaana
Kama namuona mzee ngarama baba nura ustaadhi from kigoma God bless u bro hope hapo kamabarage wadau wanatoa support ya kutosha
@iddrwabibi582
3 жыл бұрын
Sheikh ngarama atakuwa proud sana
👊👊👊👊🔥Tengeneza wasanii bro unaakili kubwa sana ya maswala ya music napenda nyimbo zako interview yako imefanya nikukubali zaid bro👊👊👊👊👊
To me he's a music genius and together with Ngwair they made me love music. Keep doing your thing and I've learnt some tips from you. Bless up
Sad news ever! He was one of the best players in the game
Hongeraaaa pia kuna maisha mengine baada ya mziki
Bro usirudi tena huko hata kama kunapesa mtumikia Allah kwa ajili ya maisha yako baadae.maisha ya dunia ni mafupi sana.
Ukiishi kwa kuangalia macho ya watu hauwezi kutoboa me sioni ajabu kuuza duka as long as ni biashara halali afanye tu!!!
@ALIMOHD-bk9lr
3 жыл бұрын
Surely. Umeongea sahihi kabixa
@vailetmapunda106
3 жыл бұрын
Fact 👏👏👏
@lipymuscat4779
3 жыл бұрын
nimependa sana wazo lake..wenziwe wanavuta unga sasa
@josephstephen2047
3 жыл бұрын
Duka la spare hilo baba mtaji wake sio mchezo
@hadijasalum6373
3 жыл бұрын
@@josephstephen2047 exactly hilo sio duka la kitoto
Wasanii wa Zamani Shule ilikuepo buana!..sio wasanii wa sikuizi Shule ngumu vingereza vingi much respect Bro@buku ten yako ninayo😂
@lindambilinyi6253
3 жыл бұрын
Kabisaaa
Mad love for u bro! Yo a music legend and if there was a good formation mazee this industry ingekua juu sana cause they would have the best teachers!
Uyu msanii namkubali Sanaa🙏🏽🇹🇿👌 Ayo tv bigup Sana👏👏
Chemba squard imeondoka daah!Mez B Albart Mangwea😭😭😭
Kuna kipindi nilitaka niache shule ili nikafanye mziki, kuna mtu akanambia kama kweli unataka mziki soma kwanza, nimemaliza chuo nafanya kazi niliyosomea pia nikifanya mziki, ila ni mwaka wa tatu sasa sijatoka kimzki, nawaza bila hii elimu ningekuwa nimekata tamaa na maisha labda
@dennmkumbala1779
3 жыл бұрын
Kwer bro mipia napenda san mzki nafanya mziki uku na fanya kaz mwak wa5 nafany na bado miyayusho bila kaz ninge maish yasingeenda
@tinamanzala
3 жыл бұрын
Muziki unaumiza sana wanamuziki
@dottodavid1935
3 жыл бұрын
Tuko wengi kwenye hili Mziki ulinichukuwa kiasi cha kutaka kuwa my major career Lakini sasa miaka kibao imepita nimeopt kuinvest kwenye media tu Mziki stress sijutii kufanya nnachokifanya kwa sasa
Good artist ever Tanzania apart from trending singers we have this one is musical educated in industry
Interview ilikuwa nzuri snaa. Binafsi imenifundisha vitu vingi. U are very smart bro.
Noorah nakukumbuka sana kwenye nyimbo yako ya lugha gongana aseee nilikua nafatilia mpaka interview zako ulisema hio nyimbo uliifanya pekeyako na ulifanya sehem ambayo alitakiwa akae mwanamke 💪🏽💪🏽💪🏽 noorah
@nassirshiboli4424
4 ай бұрын
Wimbo wote aliandka yeye ila Ile sauti ya kike Alikua ni Sara (shaa)yule wa kundi la WAKILISHA
Noora you are very matured now... Wisdom yako imepamda Sanaa. Remembering the days of Wu-Zengo
Nimetoka kusikiliza tena Unanitega na Chochote Utapata kweli mashabiki wako unatudai elfu kumikumi, seriously tudondoshee namba yako maana tunajisikia tuna deni kwako!!
Wise and smart. Big up brother
Smart sana Noorah. Majibu mazuri na ushauri mzuri sana kwa vijana,wasanii na binadamu wote kwa ujumla. All the best bruh!
Lakini pamoja na yote nafikiri baada ya kifo cha Ngwair naona uliwaza mengi ukaamua kuacha game
@innomghase3713
3 жыл бұрын
Coz ukiangalia ata mwak alioacha game ndo mwak alio farik ngwea
Respect brudah...nipo London nimefulia but sijakata tamaa...Nina kazi ninayopenda kufanya na bado naisomea zaidi lakini tatizo Niko nalo ni siwezi ku save enough niseme sasa nirudi nyumbani Singida...Nimeangalia hii clip na sasa nimepata moyo zaidi kwamba bado nina Nafasi tho I gotta race against time.Ahsante bro
@nicholausmakundi2663
3 жыл бұрын
Upo London ila wote tunaipata #hapahapa au sio.
@opportunities2767
Жыл бұрын
Naimani umesharudi
This dude nice,calm,slow and humble💯hatujasahau ur good music
noorah anatuchapa bdo na lugha gongana kwa interview pia 😂😂 yenyewe ajuae ajua💪
Free style ni noooma alfu wimbo wa chochote utapata wa kelyn ndo huwa unanifanya nijiulize huyu broo yuko wapiiiiiiiiii
Noorah toa namba nikutumie 10000
@yusufmwangichannel6692
3 жыл бұрын
Saidia masikini na fukara utapata malipo mazuri kwa Mwenyezi Mungu
@lizzydiy4590
3 жыл бұрын
0689442347 iyo apo mdogo wangu
@alvinsafi2733
3 жыл бұрын
@@lizzydiy4590 😁😁😁
@lizzydiy4590
3 жыл бұрын
@@alvinsafi2733 😂😂😂 watu tuna njaa
@alvinsafi2733
3 жыл бұрын
@@lizzydiy4590 Hatari sana
ukiendekeza macho ya watu kamwee huwezi fikia malengo yk bora ufanye kile unachokion kitalet faid kwako na famili yk so kufat2 mkumbo honger kk ila nime kusahau sijuw nilikuw mdog kipindi kile waimba au ndo maisha2
Kila huwa nikihitaji kupata ushauri & story za music,,, huwa nakuja kwako bigup mangiii #letambegee
daah bg suprise kwangu unaipataje iyo elafu kumi sasa ??
Du ni kitambo sana ni kwetu shiy like atakaetokoea shy
@adrianalberto7043
3 жыл бұрын
Tena hapo sio kambarage ni nssf ya zamani kwa nyuma karibu fundi pikipiki almasi
Safi sana..umeonyesha uthubutu mkubwa kwa kuwaambia wanamuziki wengine.
Huyu ndio msanii mwenye hekima pekee niliyewahi kumsikiliza
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Nd very educated mzee wa PCB
Hongera ndugu ma elezo yame nyooka,,
Noorah a.k.a Baba Styles❤❤ Ishi sana brother, I 'm glad i found this interview, after kuona ile ya Big Chawa.God bless you 🙏🏼
THIS DUDE THOU WHAT A GEM💎 … Ila watanzania sijui tunafeli nini walah SAD!!!
Hivi Kwanini wasanii wanapata kidogo tofaut na wanachofanya !? Katika Watanzania million 50,million 1 hawakosi kuwa mashabiki wa muziki,kwa mwaka msanii mkali kama Noorah alitakiwa afunge hesabu hata ya million 500 na kuendelea,ila kuna Wasanii wabongo wanatoa mangoma makali alafu wako pale pale,yaani Wasanii ni billionaires ambao wamelala
Nimemuelewa sana noorah✌
Unanidai elfu kumi bro! Fan wako leo kesho
Noraah,Mangwair walkua mbele ya Muda
Dah nilikukubali kipindi kile si mchezo yaani ulikuaga ni mzee wa FREE STLY kinoma.
Mi ni mteja wake knoma hapo dukani kwake. Buku ten unayonidai kama mshabiki wako ntakuletea
@ramadhanhemed9931
3 жыл бұрын
Hahahaha.....one love mzaz
Good interview..
Legendary Kama legendary kitambo Sanaaa broo noorah 👊👊👊🇹🇿🇹🇿
MSHUKURU ALLAH AMEKUONGOZA,TULIA HUKOHUKO KWENYE IBADA NA BIASHARA NYINGINE SIO MUZIKI,KAZI YA SHETANI NI MUZIKI AMINI USIAMINI,USIJE UKAFIA HUKO
jamaaa yupovizuri akiliyake imetulia anajibuvizuri
Blessed
akili nyingi sana huyu jamaa!!
Ingekua bora zaidi. Ungeikweka no ya noorah.. tumlipe hela zake elfu Kumi sisi mafans wake wa kweli.... Tunafurahishwa na kazi zake. Kabisa.. kwa ujumla what i take from this is Noorah.. is wise .. very wise...
@jilesjames7830
Жыл бұрын
Live kk
What happens when you interview a smart guy.
Ana maarifa flan hv amazing @Noorah
Uko vizuri Noor rudi kwenye gems tunakupenda kk tutakusapot na elfu 10000 nitumie namba nikutumie
You are wonderful
Wanachemba wote walikua wakali ila wameisha, Ngwair, mez b , noorah na Dark Master..daah!!😥😥😥😰😰
@andrewmmbaga1665
3 жыл бұрын
😭😭😭 umeongea kwa hisia
@bonephacemashenene562
Жыл бұрын
Wanachemba ndio walileta Radha kwenye hiphop
Mi nimemuelewa sana and so humble, real and honest. Maisha ni mazuri sana, nimemuelewa sana.
Big up loved his song
Noorah A.K.A Baba stadh nakubali sana flow zako zilikuwa za kipekee sanaaaaaaah Mzee Baba jah Bless you
@santodelove4351
3 жыл бұрын
Sio baba stadh ni baba styles
@neemangwesa3372
3 жыл бұрын
Santo De Love hahaha
@jamilachila6496
Жыл бұрын
@@santodelove4351 Hahaha
Gooooood!!!!
Big up to you brother Malo G🙏GoodInterView
Mad respect Mad love 💪
Mpaka leo nasikiliza music wako❤️❤️
Good interview
Nilikuwa namkubali sanaaa,na voice yake iko powa sanaa! Alafu Amenenepa...😉👍🏻
Respect broo Noorah and Millard ayo,i realy like this chanel
@jocety4426
3 жыл бұрын
Channel isiyochosha, yenye kuelimisha thanks @millard🌹
Safi sana kaka wewe ndiyo umechukua uamuzi wakiume siyo kuabudu tu watu kama huyo mzee yusufu
Mimi ni shabiki yako na unanidai elfu 10
@rewaatesh4877
3 жыл бұрын
Mmmmh! Mpelekee hela yake si mpo jirani tuu hapo?
@mwanajumaomahundumla6504
3 жыл бұрын
@@rewaatesh4877 hahahahaha yaani wewe umejuaje kama tuko jirani
@LUPPER.
3 жыл бұрын
Hahaha itabidi namimi nimuongezee. Ila kajitahidi kua na biashara.
@mwanajumaomahundumla6504
3 жыл бұрын
@@LUPPER. kafanya la maana kweli vinginevyo angeangukia kwenye madawa kama wengine binafsi nampongeza sana kama alivyosema Kuna maisha baada ya muziki wengi wanapotea kwa kulazimisha visivyoweza kulazimishika
@abbyjma7355
3 жыл бұрын
Mimi jamaa ananidai kama 50000
Hii ya mwisho ya kuhusu imani ni a very huge point ambayo itajenga watu milele ..Big up brother me nilikuwa sidoz mpaka niskize migoma yako capital fm na eved suza
Kama ulishapitia hii situation gonga like kila jambo na wakati wake
I like you IQ bro.... Responses zako ximetulia just like kina ROMA, Chidi Beeenz...Mwana FA.... AY and more
@christopherpaul7233
3 жыл бұрын
Ulipoweka x kwenye s tu basi ukafeli
Kitambo sana Noorah nakumbuka kipindi kile cha kina kia bway, maloga, mpandiko, magadula na wengine kibao
Smart...💪🏼
Sio spear za magari tu ,wanauza na spear za pikipiki mfano matairi ya pikpik kwenye hilo pipa la kijani la BP
Nime mwelewa sana broo nikweli watu wana fanya vitu waonekane rakini hawapo kwjiri ya maisha yao yabade
Big up kaka noora
Uko sahihi kabisa. Point kuanzia mwanzo hadi mwisho.
Maisha niyaajabu sana, tufanyeni ibada tu wanazengwe mana hamna jipya duniani,, umaalufu sikitu kumbe muda wako ukipita nalako haliko
@hallin9561
3 жыл бұрын
Izo ibada mnazifanya kweli au ni unafki tuu kujiosha
He is sooooo smart
Huyu man namkubali sana na Nyimbo zake bado zitaishi....
Interesting conversation
Noorah yuko vizuri sana kwenye interview ila jamaa angeendelea na game tungekuwa tunaburudika sanaaa.
@mackjr5291
3 жыл бұрын
Ku burudika bila yeye kupata mpunga ni 0
He is very smart and wise