#EXCLUSIVE

Ғылым және технология

#EXCLUSIVE: MTANZANIA ANAYEMILIKI KIWANDA cha TEKNOLOJIA AONESHA ANAVYOTENGENEZA MASHINE za KISASA..
GLOBAL TV imefunga safari hadi Kimara Temboni jijini Dar es Saalam kukutana na kijana wa Kitanzania anayetengeneza mashine mbalimbali kwa kutumia teknolojia ya kisasa..
⚫️ WASILIANA NA MBUNIFI - 0758965632
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 75

  • @globaltv_online
    @globaltv_online Жыл бұрын

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 Жыл бұрын

    Tanzania tuna vipaji sana , dah hongera kaka God bless more brother

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Жыл бұрын

    Huyu kaka Ana bidii kweli, Mungu awabariki mfike mbali zaidi ya hapo.

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Жыл бұрын

    Mwamba umetisha Sana 👏👏👏

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Жыл бұрын

    Hawa ndiyo watu tunataka nchi kuwaona,syo kila siku mnatuonesha wasanii wSanii tu

  • @sabbob574
    @sabbob574 Жыл бұрын

    Anaongea point tupu. Big up to you. Kuna mtu alibuni machine ya kutengeneza umeme lakini serikali kimya.

  • @Expedito2512

    @Expedito2512

    Жыл бұрын

    Yule alikuwa mhuni tu. Alidanganya

  • @mtegemeemungusiomwanadamu6618
    @mtegemeemungusiomwanadamu6618 Жыл бұрын

    Uko sawa brother. Kuna mashine inauzwa dola 49,000 China sawa na zaidi ya milioni 120 za kitanzania ila mimi nilivyoikagua vizuri mtandaoni niliitengeneza kwa milioni 10 tu za kitanzania

  • @godgiver100

    @godgiver100

    Жыл бұрын

    Safi

  • @user-ps1ph9iv5b

    @user-ps1ph9iv5b

    9 ай бұрын

    Very nice

  • @jamalisaid3446
    @jamalisaid34462 ай бұрын

    Hawa ndio watu wakupewa sapoti. Kazi nzuri broo.

  • @olympiamtenga8761
    @olympiamtenga8761 Жыл бұрын

    Bravooo sana kaka,safi sana

  • @nasibusaid4161
    @nasibusaid41614 ай бұрын

    Hongera una bidii sana katika bunifu zako,nashauri wekeza zaidi katika vitu ambavyo vinagusa sana maisha ya watu,mfano buni teknolojia ambavyo itawafanya wamama waepukane na mikopo ya kausha damu,utaokoa mambo mengi hapo na utapata pesa na umaarufu pia kwa kuokoa ndoa za watu.

  • @habililailo271
    @habililailo27111 ай бұрын

    Brother Mungu akubariki sana nataman siku moja nije kuona mwenyew

  • @charlesyohanaa
    @charlesyohanaa9 ай бұрын

    Hahahhaha hongera sana aiseeee,,, Mungu aliye juu 👆 aendelee kukunyanyua zaidi Amen

  • @ritamutoka7768

    @ritamutoka7768

    9 ай бұрын

    Amen

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Жыл бұрын

    Pongezi Sana ndugu kwa mwendelezo wa ubunifu siku hata siku. Maximum performance hakika.🗻🤝🇹🇿

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Жыл бұрын

    Ongera sn kk,serikali inapaswa kuongeza nguvu kwa watu km hawa

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Жыл бұрын

    Hawa wakisapotiwa wanaweza kuajiri waelfu ya watanzania. Tunatumia nguvu nyingi kuwekeza kwa mikataba ambayo inakuja kutushitaki kwenye mahakama za kimataifa na kulipishwa mabilioni ya dollars

  • @lydialaiza1538
    @lydialaiza1538 Жыл бұрын

    Amazing!!

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 Жыл бұрын

    safi sana nakukubali sana

  • @isaackalenge8194
    @isaackalenge8194 Жыл бұрын

    Hongera sana,Naomba Namba ya simu

  • @hajihamadi3525
    @hajihamadi35258 ай бұрын

    Mungu akuzidishie zaidi

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx6 ай бұрын

    Sawa kabisa brother uko vzr

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 Жыл бұрын

    Umeongea kitu cha kweli kabisa, serikali haiwezi kusapoti vipaji vya hapa kwetu kwa sababu kuna watu ndani ya serikali wana mipigo yao kwenye mitambo inayotoka nje ya nchi wanaona wakikusapoti ww hawataiona hela ndo mana wanafifisha vipaji kama hicho ulichonacho ww jua kwamba kila muwamba ngoma ngozi huivutia kwake

  • @mgatatemihanga416
    @mgatatemihanga416 Жыл бұрын

    Jaribu kubuni mtambo mdogo wa kutengeneza sukari, ataokoa nchi

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Жыл бұрын

    Kwani huwezi kuishi bila ya Sukari? ndugu yangu

  • @richardsaikong1138
    @richardsaikong1138 Жыл бұрын

    If "mwamba huyu hapa" was a person

  • @erickdaniel610
    @erickdaniel610 Жыл бұрын

    Uncle big up, Erick Chalinze hapa

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Жыл бұрын

    Huyu mwanamume, anatisha!!! MUNGU AMJAALIE,

  • @johnijumba2666
    @johnijumba2666 Жыл бұрын

    Safi sana bro

  • @nicenice3881
    @nicenice3881 Жыл бұрын

    Gud sanaa

  • @dominicjulius3108
    @dominicjulius3108 Жыл бұрын

    ongereni sana

  • @zunguzungu6068
    @zunguzungu6068 Жыл бұрын

    Nataka unitengenezee mashine ya kufulia nguo

  • @nasibusaid4161

    @nasibusaid4161

    4 ай бұрын

    Sema mchizi haweki vizuri maelezo yake,amesema compresa ya silent,wakati imezimwa hapo ili wasikilazane,amekuwa ni kulaumu na kujisifu,kwa uwezo wake angebuni vitu ambavyo vingesaidia kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wenye hali ya chini.mfano kilimo,ufugaji,ujenzi, n.k.hata hizo nchi zilifanikiwa kwenye haya mambo walianza na changamoto zinazowakabili wao wenyewe hawakusubiri mtu aje awambie nahitaji kitu fulani ndio uwaze kutengeneza ili umuuzie .hizo machine anazotumia kuunda hivyo vitu vyake mbona amenunua si angezitengeneza pia.

  • @hallin9561
    @hallin9561 Жыл бұрын

    mawaziri watampotezea kabisa, viongoz wetu hawataki tuwe na wabunifu na kuunda vyakwetu sababu watakosa ulaji, utakuta kitu kinaweza kuundwa na mtanzania lakin watataka kwenda kununua ulaya au china ili wapate na posho ya safari na kupiga cha juu.

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149Ай бұрын

    tunaomba namba zake

  • @manjoriwakunesa7006
    @manjoriwakunesa70062 ай бұрын

    Aweke namba

  • @DanielNelson-oq5qs
    @DanielNelson-oq5qs5 ай бұрын

    Namkubari Gadius

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Жыл бұрын

    China imeendee baada ya kusamin viwanda vidogo

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Жыл бұрын

    Et kama mpya kwaiyo used au na mpya za mbele

  • @sannycpaul9423
    @sannycpaul9423 Жыл бұрын

    Kitu mnakosea watu wa media,ili kuwapromot hawa jamaa ni vema mnaweka na details zao kuliko muwahoji lakini mawasilino yao hakuna ndo nini

  • @user-wq9jq7pm7q
    @user-wq9jq7pm7q4 ай бұрын

    Ongera Sana naitaji machine ya kusi dika parachichi na papai Nika pata mafuta ya Kila na himatumia umeme was kawaida namarizia jengo napatikana bukoba na omba majibu

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Жыл бұрын

    Sasa hapa angealikwa na kajala hapa kuongeza views maana wabongo akili zetu hatutaki vitu serious

  • @mohamedmustafa278
    @mohamedmustafa278 Жыл бұрын

    We producer wa hii makala naomba namba zako,

  • @elwafedha4337
    @elwafedha4337 Жыл бұрын

    Naomba namba ya simu tafadhali

  • @hallin9561
    @hallin9561 Жыл бұрын

    hii video inawatazamaji elf7 mpaka sasa, lakin cha kuhuzunisha hii ideo ingekuwa ya harnmonize kumpomonya kajara gari bas ingekuwa na watazamaji ata millions. sad to us

  • @maftuhihassan3114
    @maftuhihassan3114 Жыл бұрын

    Ukosawa

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege684 ай бұрын

    Tuna watu wenye akili lakini hatuna watu wa kuwaongoza na kuwawezesha!!!

  • @mathiaslungwecha4969
    @mathiaslungwecha49698 ай бұрын

    Mashine za sabuni je?

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Жыл бұрын

    Unatakiwa uchaguliwe na Rais uwe waziri wa science na technology.

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Жыл бұрын

    Serekali iangalie watu wenye vipaji iwakuze sio iwapeleke shule na kuishia kuua vipaji vyao

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Жыл бұрын

    Hiyo machine inagarimu bei gani

  • @fatimajuma3330
    @fatimajuma33306 ай бұрын

    Watz ndio wanamatatizo unaweza kwenda dukani kitu cha 5000 inauzwa 10000 sasa huoni ni shida nikama huyo kilichonifanya asitaje bei ni nini

  • @elwafedha4337
    @elwafedha4337 Жыл бұрын

    Vipaji vipo afrika

  • @hamzaseneda5251
    @hamzaseneda5251 Жыл бұрын

    Cha ajabu hakupewa nafasi kuonyesha ubunifu huu mkubwa mbele ya kamala harris 😔

  • @aproniamasatu5810
    @aproniamasatu58105 ай бұрын

    MUNGU ni mwema saaana

  • @zunguzungu6068
    @zunguzungu6068 Жыл бұрын

    NAomba , Namba

  • @anthonygndegesogoranyomo7528
    @anthonygndegesogoranyomo752810 ай бұрын

    Naomba no yake huyo mtaalamu

  • @byaombealoys5967
    @byaombealoys5967 Жыл бұрын

    Hawa niwatu wakuchungwa sana na serekali, chaajabu mnalinda wasiofaa kbs,, maana hawa mkiwapa sehemu ya utulivu wa ubongo wanawaza zaidi yaapo

  • @davidwillson4894
    @davidwillson4894 Жыл бұрын

    Point Point Point, Naamini Serikali yetu ni Wasikivu watafanyia kazi haya

  • @desolz3809

    @desolz3809

    Жыл бұрын

    Subutuuuu

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    Жыл бұрын

    Walimsikiliza nani kwa mfano

  • @robertchuma6408

    @robertchuma6408

    Жыл бұрын

    Yaani Unaweza shangaa MAWAZIRI HUSIKA watajifanya hawamjui lakini TRA watampiga KODI badala ya hata rais apewe taarifa amtie Moyo na kumsaidia watamkwida Kodi huyuu!!ndio utajua hi ni nchi ya AJABU kweli badala awe hero atapewa kero za ajabu

  • @zunguzungu6068
    @zunguzungu6068 Жыл бұрын

    Tunaomba NAomba zake

  • @mlionea
    @mlionea Жыл бұрын

    Makofi ya kilo

  • @igmndetitv309
    @igmndetitv309 Жыл бұрын

    Kweli kabisa bongo kunavipaji shida serikar haithamin wabunifu

  • @danndori4514

    @danndori4514

    Жыл бұрын

    Serikali inakusubiri umalize uzalishe ,itoze Kodi na Tozo. Dunia nzima Serikali zipo hivyo

  • @rofinkitali3765

    @rofinkitali3765

    Жыл бұрын

    Asante. Lakini hivi leo mtu anaweza kudai amegudua tairi? Hapa hakuna ubunifu.

  • @benjaminlukindo

    @benjaminlukindo

    Жыл бұрын

    Upo vizur sana kaka! Nimempenda sana alichokifanya

  • @fabiannyaki7500
    @fabiannyaki75007 ай бұрын

    Anafanya uzalishaj wa mifuko

  • @user-ps1ph9iv5b
    @user-ps1ph9iv5b9 ай бұрын

    Sehem pekee ninayo iona imejaa utajiri ni hiiii secta ya ubunifu na uzalishaji wa mashine na bidhaa mbali mbali

  • @williamkeita1519
    @williamkeita15199 ай бұрын

    Sipend mtangazaji unaongea mno

  • @zunguzungu6068
    @zunguzungu6068 Жыл бұрын

    Nope NAomba yako

  • @ElwaFadha
    @ElwaFadha10 ай бұрын

    Nataka nijuwe bei naunipe namba yasimu ilituongehe zaidi

Келесі