EXCLUSIVE: EBITOKEE KAFUNGUKA KILICHO MUONDOA TIMAMU, KADHULUMIWA?

Пікірлер: 73

  • @Wamikogo
    @Wamikogo5 жыл бұрын

    Dah kama unaona ebitoke atafika mbali weka like twende saw

  • @allyjuma6136
    @allyjuma61365 жыл бұрын

    Hivi nikwanini wasani wetu hampendi kutunza rangi zenu nyeusi. Au rangi nyeusi haionekani vizuli kwenye camera?

  • @naymah3560
    @naymah35605 жыл бұрын

    Mmh? Sitaki kuamini kwamba eby anaspidi kiasi hichi kwa kunywa maji nna wasi wasi amehamia kiwandani maana sio kwa weupe huo, haya mamy twakuombea mafanikio mema lkn upunguze kunywa maji mwanzo ulikuwa poa sana na rangi yako nyeusi

  • @zedonswaga1398
    @zedonswaga13985 жыл бұрын

    ujue hawa wasanii wetu wa kibongo wapumbafu sana, akishapata umaarufu kidogo wanaanza kuwadharau maboss zao nakuamin kua wanaweza hata wakiwa wao binafsi, lakini hupotea kwenye ramani na mwisho wa siku wanakosa wa kumlaumu

  • @jumamooneys8558
    @jumamooneys85585 жыл бұрын

    Niseme upande wa huyu binti kile alichoongea ambacho Mara nyingi tumeshindwa wengi ni kitendo cha mtu kuhama kutoka sehemu Mona kwenda sehemu nyingine,alichofaulu ni kutozungumzia mabaya au kumzungumza mtu isivyo,yuko vizuri hapo nampa hongera na uendelee kuwa hivyo, Fanya yako wala usimfanye mwingine hafai kwasababu mmeachana, barikiwa

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema65315 жыл бұрын

    Me nafikiri bora ungeendelea kubaki timamu umri wako bado ni mdogo ungeendelea kukua kiakili na kimawazo, umaarufu ulioupata na hao timamu wamechangia kiasi fulani!!! Mdogo wangu hakuna sehemu yeyote utaenda upewe mkataba usio na unyonyaji!

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath50905 жыл бұрын

    Mungu yupoo usijali my dia fanya kazi Insha Allah 🙏🙏🙏

  • @imbatokamoyoni2209
    @imbatokamoyoni22095 жыл бұрын

    je, una changamoto ukiwa Unaimba SUBSCRIBE hapa #IMBATOKAMOYONI

  • @rahmaramadhani3993
    @rahmaramadhani39935 жыл бұрын

    Jamani vido wewe uko vizuri sana sauti yako ukuje kwangu nakupenda bure

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma45465 жыл бұрын

    Bado wewe ni mdogo kujisimamia dogo ungekomaa na timamu,umaarufu kidogo tu uliokuwa nao unajiona mkubwa! Utafeli

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    5 жыл бұрын

    There is more than wat meets the media

  • @firdausabdullah6315
    @firdausabdullah63155 жыл бұрын

    Hongera ebitoke mutegemee mungu utafanikiwa

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93035 жыл бұрын

    😍😍😍😍 you Ebi

  • @andreymalisa1625
    @andreymalisa16255 жыл бұрын

    Daah....nampenda huyu dada jman

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho56095 жыл бұрын

    Hiyo interview pekee inaonyesha ummekuwaa so go on with life ata usihogope you will make it, talent ni ya kwako siyo ya boss

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus90675 жыл бұрын

    WEWE ULIKUWA WA KWANZA KUMCHEKA MKALI WENU NA KUMUONA KAMA YEYE HANA AKILI KUTOKA PALE ILA KIUKWELI NA WEWE HII NI ZAMU YAKO YA KUPOTEA

  • @angelndikizi447
    @angelndikizi4475 жыл бұрын

    mfyuuu siuseme ukweli kama uliiba mumewamwenzio mama ashura! ukavunja ndoa yake! sasa wameludiana ndo ukatimuliwa! unajiuma uma nn wakati ukweli unajulikana

  • @faridahshisha6717
    @faridahshisha67175 жыл бұрын

    Carolight

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan10655 жыл бұрын

    wa bongo hamuwezi kudumu sehemu mkiona mfanikio kidogo mnabadilika Roho mlianza vizurii mwisho mnamalizaga vibaya

  • @hadijandenga4025
    @hadijandenga40255 жыл бұрын

    mungu akupe nguvu

  • @mashallahoman6355
    @mashallahoman63555 жыл бұрын

    yote nikheri ebitoke allaha akutaguliye

  • @ishaq9925
    @ishaq99255 жыл бұрын

    Hamna rorote mnajifanya mnatemberea magali mwisho wa siku mmnaumbuka

  • @youngkillermsodoki7664
    @youngkillermsodoki76645 жыл бұрын

    Mkaliwenu alivyoondoka #Timamu alichekwa sana Je na nyinyi mna toka sasa leo hii hamcheki tena? Usidanganye watu😁😁 eti ni mkataba ume kwisha hapana umeondoka kwa sababu labda ni kunyonywa labda umechoka na tabia za viongozi wa #Timamu angalia kwa mfano Mkali aliondoka je ni mkataba? Mavoko aliondoka #WCB je ni mkataba? Usi wadanganye watu kila mtu ana akili.

  • @tripleddc8724

    @tripleddc8724

    5 жыл бұрын

    yeah very true Hawa wasanii ndo walivyo wanatuchukulia sisi hatujielew

  • @mbodzebemasika7477

    @mbodzebemasika7477

    5 жыл бұрын

    kwanza huyu alimcheka sana mwenzie

  • @mariamameir8527
    @mariamameir85275 жыл бұрын

    Nitumie namba ya timamu nikajiunge mimi maana nataka niwe mugizaji ila sijapata pakujiendeleza natamani sana

  • @johnnyakabhi5791
    @johnnyakabhi57915 жыл бұрын

    Utafka mbali mwaya

  • @martinyohani3757
    @martinyohani37575 жыл бұрын

    Mmm

  • @shakirshakir9100
    @shakirshakir91005 жыл бұрын

    acha bn emb

  • @ericstephenm.844
    @ericstephenm.8445 жыл бұрын

    Tatizo kubwa la wasanii wetu wakipata umaarufu kidogo tu wanadhani wameshakuwa na wanaweza kujisimamia. Wengine wanadiriki kuwazungumzia vibaya mabosi wao wanasahau kwamba wao ndio wamewatengeneza na kuwafanya wapate majina.

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje28875 жыл бұрын

    kaza bna badiliken ktka mzigo wenu uoga umaskini

  • @amirsab1158
    @amirsab11585 жыл бұрын

    Una nikera Ebitoke kama ulitoka timamu badilika basi wacha hayo mamekaup ya uso

  • @manyweretv5177
    @manyweretv51775 жыл бұрын

    mkaliwenu, ebitoke na mzee makulusa undeni kundi mnajua sana

  • @nyamalwaleonard793
    @nyamalwaleonard7935 жыл бұрын

    Acha mkorogoooo byanaa Baki mweusi hata hujapendezaaa

  • @Tam_media2548
    @Tam_media25485 жыл бұрын

    Hayuko huruu

  • @msangimsangiz9967
    @msangimsangiz99675 жыл бұрын

    umekua mweupe ebitoke

  • @queengee988
    @queengee9885 жыл бұрын

    Mmmmhhh shost weeee so kwa futa hilooo jmn duuuhhh yaliyop yanafurahish😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @uwimanaraoul6824
    @uwimanaraoul68245 жыл бұрын

    Usijali w chapa kazi

  • @reginaemmanuel8233

    @reginaemmanuel8233

    5 жыл бұрын

    wasanii Wa bongo bwana, kila mmoja haachi kusema yaa, may be, okey nk,,,,,,, wana vingereza vya ajabu ajabu....

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo5 жыл бұрын

    jamaa unahoji kama unamtokea vile safi

  • @kajjd40
    @kajjd405 жыл бұрын

    Unganen namkalii

  • @msangimsangiz9967
    @msangimsangiz99675 жыл бұрын

    mama ashura yuko wap

  • @hasiyakeniyausiachiebabu7634
    @hasiyakeniyausiachiebabu76345 жыл бұрын

    usiangalii udogo angalia akili

  • @shakirshakir9100
    @shakirshakir91005 жыл бұрын

    kumbk ww umetoka wp mukipt kindong huw munaribga sn muuu

  • @shakirshakir9100
    @shakirshakir91005 жыл бұрын

    half unaony na kuringa sn

  • @lilianjeremiah2880
    @lilianjeremiah28805 жыл бұрын

    Naona filter inafanya kaz

  • @enosmchomvu6649
    @enosmchomvu66495 жыл бұрын

    Ebtoke mbna anacheka kama hamnazo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16505 жыл бұрын

    Hya ungana na mkali wenu..mukinukishe

  • @mayungamapinga7266
    @mayungamapinga72665 жыл бұрын

    mboso

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya64235 жыл бұрын

    Uo weupe vipi wewe mzingu eti Ebitoke jamani mkerewe wewe

  • @shakirshakir9100
    @shakirshakir91005 жыл бұрын

    kam unatoka mbon bado miwaja yako😵

  • @joshuamkupi6893
    @joshuamkupi68935 жыл бұрын

    Mama Ashura afunguka kwa Ebitoke kuhusu kuvunja ndo yake kzread.info/dash/bejne/jIJhldKomZPRitY.html

  • @innocentchulla6738

    @innocentchulla6738

    5 жыл бұрын

    mr.joshtz

  • @aishaismail7717
    @aishaismail77175 жыл бұрын

    Muosha nae huwoshwa

  • @aishasilaji5759
    @aishasilaji57595 жыл бұрын

    Futa lishakukataa ebitoke hahaha,🤦

  • @allyjuma6136
    @allyjuma61365 жыл бұрын

    VP ukitakiwa kufanya show ya live. ilo futa utafanyaje ili liendelee kung'ara wakati upo jukwaani?

  • @dannygroening3547

    @dannygroening3547

    5 жыл бұрын

    Ndio

  • @alternatemusic1
    @alternatemusic15 жыл бұрын

    Hahah wedemu wewe uyoo futaa ulio pakaa usoni siunge pakaa kwenye kumaa

  • @iddhamidukibonge5606

    @iddhamidukibonge5606

    5 жыл бұрын

    HazardVEVO we nae

  • @jonaselias7729
    @jonaselias77295 жыл бұрын

    kwanini anajitikisa...???

  • @anuaryally6177

    @anuaryally6177

    5 жыл бұрын

    Ni madoido tena ayo ya vishtobe si unajua

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi97225 жыл бұрын

    Bitoke umekua mweupe au ni ilo futa ulilojikandika

  • @rashidhusain2958

    @rashidhusain2958

    5 жыл бұрын

    😁😆

  • @uwimanaraoul6824

    @uwimanaraoul6824

    5 жыл бұрын

    😂😂😂ww

  • @abdulazizsharif2984

    @abdulazizsharif2984

    5 жыл бұрын

    my Sweetheart Asia am just looking for u msalimie Ebitoke na futa lake

  • @asiazuberi9722

    @asiazuberi9722

    5 жыл бұрын

    @@abdulazizsharif2984 we nae nilipo nawe upo mmh

  • @abdulazizsharif2984

    @abdulazizsharif2984

    5 жыл бұрын

    yes of cz my Asia how can i stay fer from u? nakupenda that's whay kila kwenye uko lazima niweko

  • @markrichardfreemasonry2602
    @markrichardfreemasonry26025 жыл бұрын

    Oya ulikua unamtia madole wakati una mhoji mbona anaweweseka alafu chini hutuoneshi

  • @rahmaramadhani3993

    @rahmaramadhani3993

    5 жыл бұрын

    Punguza ukali wa maneno

Келесі