EXCLUSIVE: ANJELLA AFUNGUKA "SIKUWAHI KUWA NA USHKAJI NA HARMONIZE, HATUKUWA NA MAZOEA" --- PART ONE
Жүктеу.....
Пікірлер: 585
@SaidSaid-ef8md Жыл бұрын
Millard please, kama atakushirikisha kwenye prosses za matibabu yake” tujuilishe tumsaidie; anahitaji msaada wa Tanzania 🇹🇿 let’s help our beautiful sister,
@kennethbenjamin275
Жыл бұрын
Wasanii wa kibongo mbn wanapenda kuchangiwa
@SaidSaid-ef8md
Жыл бұрын
Bora kuchangiwa kuliko Kuiba, huyu dada anaonekana kwa macho anaitaji msaada “ me ela yangu ya kujirusha weekend hi… nitampa Yeye kuliko nikainywie pombe than niamke na hangover,
@bovickpascal6554
Жыл бұрын
U are right
@ticia950
Жыл бұрын
Mi naomba tuu elfu 30 nifanye biashara
@user-ps7ej3ep4e
Жыл бұрын
@ticia950 biashara gni sorry
@Boaz22 Жыл бұрын
Millard weka namba tumchangie akatibiwe bhana, tunampenda sana Angella❤
@lavvyboyKe Жыл бұрын
Anjella you have our surport from Kenya asilimia 100%💓💞💕💖💝💘❣🙏🙏🙏
@upendopeter8078 Жыл бұрын
Duuuuuh 💔😥,, anjela amepitia magumu sana. Pole sana. Mungu amsaidie aendelee kuimba
@kazkaz1943 Жыл бұрын
Nimefurah millard anauliza mambo positive mfano mambo gan mazur ulitendewa ❤ jamii yetu ikiwa iv tutafika mbali kuliko kuuliza mambo gan mabaya ulitendewa tuwe tunaegemea upande mzuri
@millardayoTZA
Жыл бұрын
Muchlove Kaz !!
@devievicent2735
Жыл бұрын
Kaka mshaurine aende Kwa mtumishi wa mungu mwamposa kawe
@yusterenosy6606 Жыл бұрын
Nampenda sana anjela. Kama akihitaj kusaidiwa pesa ya matibabu tutamchangia maana anapitia shida huyu mdada. Juu ya tatizo lake
@jamal57499 Жыл бұрын
Anajuwa kujibu maswali straight forward she for keep ❤
@pichunakichuna2111 Жыл бұрын
Best voice in east Africa just love 💕 am ready to contribute her treatment greetings from Switzerland 🇨🇭❤️
@jmkentertainment..8247
Жыл бұрын
Me too Kichuna tuko sote Zurich..
@Adeen.1 Жыл бұрын
Julie Katie nimemuona huyu sister akiperform sgd yani she's so beautiful na anasauti ya live sikutegemea
@midundotechtz6843 Жыл бұрын
She is a sweet soul, mkweli ana staha ya maneno
@suntzu8959 Жыл бұрын
Sasa walikua wanalalamikia asilimia 40 ya WCB, Dunia bwana🙄🙄🙄🙄mkuki kwa nguruwe 🐮🐮🐮🐮
@valerianmtowe7822 Жыл бұрын
I rilly love this sister yuko vizuri xana na pia anajua kuimba dah God bless you
@chinaasirilla1086 Жыл бұрын
Huyu dada anaongea reality life from umaskini na kujitengenezaa yeye mwenyewe Mungu Amsaidie kwa kweliii
@dinosmack Жыл бұрын
Shout out kwa konde boy he is so real..🥂
@suleimanali5677 Жыл бұрын
Kiukweli tusemeni ukweli wcb ndo levo bora Tanzania 🇹🇿 tuacheni ushabiki mandazi tumsaidieni huyu dada 🙏
@lucymsumi8104
Жыл бұрын
Ubora upi unaozungumzia tuanzie hapo
@sashagal5683
Жыл бұрын
What is wrong with you tanzanians ,her health is more important than what your saying who cares about ubora ...nkt
@suleimanali5677
Жыл бұрын
@@lucymsumi8104 treatment ya wa sanii na maendeleo kiujumla mfano harmonize rayvanny mbosso zuchu na lavalava. Huwezi kulinganisha na ibrah anjela Marc voice wa rayvani
@vickymwanga5135
Жыл бұрын
Ingekua wasaf wanaongea ya moyon usingetaman,nyumba za watu tzamen kwa nje
@suleimanali5677
Жыл бұрын
@@vickymwanga5135 mbona wasanii wao wanamafaniko , rayvan mbosso zuchu harmonize , kuliko wa king kiba au wa konde gang
@sadikjuma5519 Жыл бұрын
Hayo ndo maisha. Ila asijali, she's talented &will go far.. Much love from 🇰🇪... Nimependa hapo kwa Kagusa(touch) na Bakula 😂... Peace though 🤞
@rizoibrahimovich605 Жыл бұрын
Namkubali sana huyu dada anaimba vzur sana
@derrickm.omwakwe6525 Жыл бұрын
She needs help.Nipo tayari kutoa mchango wangu ili apate matibabu
@bernardmasangula9358 Жыл бұрын
Sawa harmo kamsaidia anjela, ila mkataba unatakiwa uwe na kipengele Cha mtu akiumwa anavumiliwa kwa muda gani na up muda uwe reasonable angalau miezi sita yenye masharti yoyote upande wa mshahara. All in all harmo big up 👍
@specialminds23
Жыл бұрын
Kweli Harmonize amejitahidi saana
@Waytozanzibar Жыл бұрын
Kaza sis ! Safari bado nikubwa sana. Umejifunza kitu kikubwa sana.. Anyway, karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🫶
@Dennis_1official Жыл бұрын
Watanzania mnapenda story ya uyu dada lakini sioni mkimsaidia,tafadahali toeni paybill tuchange hela tumsaidie coz najuwa inawapea pesa mingi kwenye mtandao ,do something tz,msijifanye walafi
@kevinchaula777 Жыл бұрын
Mwingne ananunuliwa range, mwingne mwenye tatizo la mguu ananyang'anywa crown.
@official.kakajay Жыл бұрын
Support from Kenya anjela anahitaji kutibiwa fanyeni jambo tuone nmna tunaweza support dada yetu
@jamalmullerjordan
Жыл бұрын
Kwan anaumwa n nn?
@witnessmusa5454 Жыл бұрын
Millard ana akili sana yani ankufanya unasema kitu ambacho ulikwepa kusema, lovely one ❤ Millard ayo
@millardayoTZA
Жыл бұрын
muchlove Witness
@Manyara-Jr Жыл бұрын
she's loyal sana mpaka raha.. nimempenda bure. MUNGU amwongoze
@florahburton9641
Жыл бұрын
Interview imenyooka hadi raha
@merinakassembe118
Жыл бұрын
Mshukuru na lulu aliyekuwa anakulisha kumbuka fadhila na lulu
@merinakassembe118
Жыл бұрын
LULU ALIKUWA ANAMLISHA AKAMSEMA VIBAYA AKAA KWA Dula makabila
@merinakassembe118
Жыл бұрын
Alionga gari kwa jojhn john akaaribu gari
@merinakassembe118
Жыл бұрын
Muongo alikuwa ana gast na john.akapata.mimba aikaitoa na miezi 6 then alaamiakwa makabila
@mudimoz9329 Жыл бұрын
Pole Sana Dada God Bless You 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@davidwalalason7630 Жыл бұрын
She has a story to tell❤
@Carinno2217 Жыл бұрын
Love Anjella
@jacobmenganyi7830 Жыл бұрын
SOMETIMES WATU WANATUMIA WEAKNESS ZAO kUWATIA WATU UBAYA SASA KAMA MWANZO ALIKUA POSTIVE BADAE AKAGEUKA MBAYA PIA NA WEWE KUNA MAHALI ULIZINGUA coz tukilinganisha matukio unaonekana ww ndo unashida kwavile una matatizo afu Ni mwanamke wacha tu tukusapoti
@maryamjey6340 Жыл бұрын
Angela she's a good singer and woman, Mungu amgungulie milango ya kheri inshaallah.
@africanmondo.
11 ай бұрын
InshaAllah
@aishaabdi2059 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭mungu atakuwezesha sis pole sana nimeumiya sana jamani
@PHILIPOSAGANYI-ub4jy Жыл бұрын
Tumuchangie akatibiwe huo mguu. Daaaa! Inaniuma huu dada yetu inatakiwa tumpe support.
@pavillioncry5241
Жыл бұрын
Siwez kumchangia kafir
@Bin_Slyim
Жыл бұрын
@@pavillioncry5241acha Pumba hizo ww kweny qur an Kuna sehem Gani imesema usimchangie mtu ambaye cyo muislam bali ispokuwa imesema kwamba tusaidie mayatima,wajane,walemavu na watu wasio jiweza n'a haijasema tusimpe ambaye cyo muislam bwege ww bichwa kubwa akili kisoda
@Bin_Slyim
Жыл бұрын
@@pavillioncry5241watu wenye roho kama nyie ndo munaokuj kufiriwa familia zenu
@chocolatevivian830 Жыл бұрын
Anjella my sister huo mguu syo wa hospital dada utapotesa hela bure mguu unaitaji maombi dada usiende India dada tafuta maombi sister
@aminaolver9114 Жыл бұрын
Anajielezea vizuri sana mungu amsimamie afike mbali ❤
@Ablosdk123 Жыл бұрын
God bless
@t.e.m.m.e.h Жыл бұрын
It's emotional 😭 yaan tumsaidieni jmny
@mariamnur1036 Жыл бұрын
MashaAllah Ayo nko poa sana kwa interview 😊😊😊
@Jordanjackson-fc7pe Жыл бұрын
Blessing anjela
@zc-cw2wb Жыл бұрын
Alafu yeye kila siku nukulia kazulumiwa na WCB hivi huyu binti alikua anaishi maisha ambayo hayafanani na life muziki
@Moviechanel255
Жыл бұрын
Kits tunashindwa elewa harmonise desolved alichokua analilia sio huruma ilikua haki yake Uyu dada amesema haikua kwenye mkataba meaning alijua nini
@valeriaally6584
Жыл бұрын
@@Moviechanel255 usitetee,harmonise alikua analalamika kupewa asilimia 40 mbona na yeye anawapa wasanii wake asilimia 40,tena yeye WCB wamemsaidia sana mpaka kuwa msanii mkubwa zaid,hawakumkatia tamaa mapema kama yeye alivyokatia tamaa wasanii wake mapema
@evaristkatibularutuku7094
Жыл бұрын
Weee munafiki.ilikuwa musahada bro.
@peninashungu6633 Жыл бұрын
We ni mdada na nusu mungu atakurinda na utapata kile unachokitafuta, Nakupenda
@sidemelodytz6487 Жыл бұрын
Bro namkubali Sana huyu Dada na nishabiki yake Sana plz naomba kama atahitaji support nipo tayar kuchangia kidogo nilicho nacho
@relaxstarman981 Жыл бұрын
Mungu yupo pamoja nawe dada yangu, yatakwisha yatapita
@_.Queen_Aiisha_ross Жыл бұрын
Just love her Angella ❤️ God Bless
@ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын
Acheni lawama msikie mazungumzo hii ni biashara hakujituma na analipwa je bos apate hasara kupita huruma? Acheni maneno Hamo ana Roho nzuri tusingemjua Anjella kwani wengine wanaemuhurumia mwanzo walikua tumboni😂😂mnachekesha sana yeye apambane atafanikiwa keshaonyeshwa njia tunamuombea mafanikio InshaAllah 🙏🙏
@selemanikinyonyi7163
Жыл бұрын
So mbona alivowasilimulia ya boss wake wa zamani mkaenda upande wake je mlitaka boss wake wa zamani nae afilisike???
@eliashibundabalinze2217
Жыл бұрын
Nyoko kweli, kwani kipindi kile mlitaka Diamond apate hasara kupitia Hermomavi?
@africangirllifestyle7686
Жыл бұрын
@@eliashibundabalinze2217waeleze huo ni mkuki kwa nguruwe
@eliashibundabalinze2217
Жыл бұрын
@@africangirllifestyle7686 nitafte nikupe mishe
@PrincessHellen-pg1oy Жыл бұрын
Nahisi Kuna siri nzito sana 😢 anway yote maisha
@abdulwahababdulkadir9965 Жыл бұрын
Kwa kweli kazi ya baba nimeielewa sana
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Pole sana anjela
@valeriaally6584 Жыл бұрын
sasa mbona alikua anasema kuwa alikua anadhulumiwa WCB kwa kupewa asilimia 40,mbona na yeye alikua anawapa wasanii wake asilimia 40? huyu mtu mi nasemaga ana shida mnakataa
@adamnasibu5931
Жыл бұрын
Umesema ukweli kaka
@adamnasibu5931
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@zawadihemedi7907 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu abariki kazi ya mikono yako millard ayo 🥰🥰🔥
@FadhilJuma-yg4kq Жыл бұрын
My favorite female singer
@malikzafarani172 Жыл бұрын
Pole saana anjella tunakupenda mashabiki zako
@mwakipundahenry5235 Жыл бұрын
@Millard u're the best y'broo! Utulivu mkubwa, unampa muda wa kujieleza mgeni wako, unajua kumsoma mgeni wako na hiyo inasaidia kuongeza kujiamini kwake, hurudii maswali ambayo unahisi yanamwongezea uchungu, Angela kaonyesha mapema sana kwamba hataki kumuongelea vibaya Harmonize hilo Millard ulilisoma and u rolled with her professionally, lkn muhimu zaidi umeonyesha kuheshimu mchango wa Harmonize kwa Angela, unajua sana Millard
@madawamchuwa8253 Жыл бұрын
Mimi ni team konde lkn kwa hili la kuto kufatilia matibabu ya huyu binti wamekosea Sana kwa kweli😢
@ndayijeanclaude5094
Жыл бұрын
Kwa nini wamekoseya?
@mishikombowato1457
Жыл бұрын
Hajakosea labda yuataka had Leo ila uwezo Hana huwezi mlaumu maana hata ww umemjua kupitia konde na hata ww unayo nafasi ya kumsaidia tu mbona
@selemanikinyonyi7163
Жыл бұрын
@@mishikombowato1457uteam utawauwa mtaki kukubali ukweli ndio harmonize alifanya vibaya kutokumsaidia huyu dada mbona weke uteam pembeni
@selemanikinyonyi7163
Жыл бұрын
@@ndayijeanclaude5094sababu alisema atamsaidia but hakumsaidia auelwei au uteam huo
@mishikombowato1457
Жыл бұрын
@@selemanikinyonyi7163 eeh aliyafanya na alisema sasa unajua ww unapanga na mungu ndio anawezesha.asa we unaongelea utm gani maana hapa tunaongelea alichosema anjela au ww una tm yako maana kwanza hat hujui usemalo
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Dah! Pole sana Anjella, Mungu atakusaidia inshallah 🙏
@Alkrauson Жыл бұрын
Mungu akusaidie upone🙏
@bernadinodnawe184 Жыл бұрын
She is very humble.
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Nilichogundua huyu anajua tu kushukuru hila hajui kama alikuwa anapotezea tu mda, huyu Dada naona ni mtu mwenye adabu zake tu😊
@amarybaajun8811
Жыл бұрын
Inasemekana alitoa mimba kubwa ya miezi saba uone pengine huo ndo ugonjwa sema tu anauficha kulinda bland yake
@WITYDijja Жыл бұрын
Waooo kumbe anjella amezaliwa 3/10 kama mm ❤
@janethpaschal2303
Жыл бұрын
Mimi pia
@LovenessElias-fm4up
10 ай бұрын
Kama mm
@moseslorenzo6082 Жыл бұрын
All the best
@sentimali2011 Жыл бұрын
Kwa tafsili hii, lebo ni Moja apa Tanzania. #WCB
@OfficialValentin
Жыл бұрын
Neenda wakunyonye Mondi ameamua ku date na Zuchu sikuchinja tu pale
@fatmaally7252
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa mangine majina tu
@sentimali2011
Жыл бұрын
@@fatmaally7252 🤣🤣🤣🔥🔥
@SophiajumamwiguluSunshin-wo2uq Жыл бұрын
She is the best experience. Big up
@arsenalqueen101
Жыл бұрын
😂😂😂wacha tu nicheke
@eunicewambui4645 Жыл бұрын
Weee Ayo basi tu hujui vile napenda hiyo sauti yako more love from.Kenya
@ashatybella8641 Жыл бұрын
Msahidiyenu huyu dada jamani nimejikuta na lia 😢😢🥺🥺🥺
@Mina.15
Жыл бұрын
Including you
@BritneyMakoi
Жыл бұрын
Tumsaidie wnyw au had na ww maan naona unajitoa
@Mina.15
Жыл бұрын
@@BritneyMakoi kasha msaidia Kwa kuliya 🤣🤣🤣🤣🤣 sisi tutoa Cash
@mwalaog2278 Жыл бұрын
Pole xana Dada iyo ndy dunia ila uxijali endelea kupambana na nimependa jinxi unavyojielezea na unanidaham ya all yajuu
@Alkibosstz Жыл бұрын
angela ananikosha sana uyu dada hila shida ajibu message zawatu inbox ❤ but mufikishieni abari afunguwe message zawatu mana mutu ajuwag msada unatoka sehemu gani my sister angella
@eminentmnzavas4463
Жыл бұрын
Hana smartphone broo
@LovenessElias-fm4up
10 ай бұрын
M
@LovenessElias-fm4up
10 ай бұрын
Money problem
@annasiwa880 Жыл бұрын
Pole my dear Angel
@trillionthamani Жыл бұрын
Kwa hapo bora angejitahidi kuongea ukweli tu,hiyo story kuna kitu napenda anjela kwa sasa angekiongea tu.coz bonga anajisikia vby sana
@STACY_KENYA Жыл бұрын
Sending you love..God’s healing! 🇰🇪❤️
@Speciole6Yusufu-vr3qb Жыл бұрын
@Anjella TRUTH IS THE RIGHT ANSWER, WISH YOU MORE AND MORE SUCCESS ❤️❤️
@valerianmtowe7822 Жыл бұрын
Millard anajua kweli interview very nice
@millardayoTZA
Жыл бұрын
shukrani sana Valerian
@KIDAWAFILIM Жыл бұрын
CROWN PRINCE
@parfaitkalemela8733 Жыл бұрын
Part 2 plz
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
This is quite a story😮😮
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Pole sana
@rukaka_jr4514 Жыл бұрын
Kumbe Harmonize na yeye anaroho mbaya mlikuwa mnamsema mond, na kujifaragua kote mbele ya baba yake Angela kuwa mtaenda India lkn mpaka anatok gang mdada wa watu hakuna alichoambulia, anamatatizo ya mguu Harmonize akamuunga mkono
@martinwaweru7982 Жыл бұрын
Wekeni hapa number tusaidie dada yetu ,Mimi Mkenya
@joshuamengorundasikoi4711 Жыл бұрын
pole sana mwenzetu
@PamelaMwambashi Жыл бұрын
pole sana mwanamke
@salimamoshi619 Жыл бұрын
Tunakupenda sana Anjella
@erickabel6201 Жыл бұрын
Duuh 😢 story hii inauma sana😢
@LOOKMAN123 Жыл бұрын
Natamn nione sana harmonize atoe neno Maana🙃
@omaryluambano3495 Жыл бұрын
Queen Anjella
@davidwalalason7630 Жыл бұрын
She's so emotional 😭😭
@dadollary Жыл бұрын
My geeeeeee
@cleartzboy Жыл бұрын
Mirrad unanguvu na uwezo wakumwombea msaada angela fanya hvo uyo ni bint awez kujielezea kindann kuhusu hali yk
@officialAlAbdul Жыл бұрын
Maisha ya wasanii sio maisha yakuyataman ata kidogo mana wanafeki sana sasa uku nje tuonaona harmonize nmkubwa ana ela lakin ata India ilimshinda kodi ya wasanii ilimshinda kula ya wasanii ilimshida
@wabo_199
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@PUGBFORBEGGINERS Жыл бұрын
Frida i just feels U
@jamesmuthangya9843 Жыл бұрын
Milla hayo your media is ok we love it even in kenya tunakupenda but izo media zingine we don,t love it men mufindishe huyo ndigano wa kode gang kuongea sawa baba we love you allways take care good media we love❤❤😂 allways
@DreamBoy26-ol1xd Жыл бұрын
Yupo really sana
@carlinalfred5615 Жыл бұрын
Am speechless 🥺 Let us wait for KARMA
@evaristkatibularutuku7094
Жыл бұрын
Magumu yapo but Harmonize Ali tumiya ubinadamu vizuri .tuwe wakukumbuka mema .unasikiya Aliko mutoa .big up harmonize.
@Zuulito Жыл бұрын
hey Fifi ilysm❤❤️❤️❤️❤️❤️
@maryamhilal9820 Жыл бұрын
Leo niwape mau yenu nyie watu watatu yaani mpo vizuri sana sijawahi acha kuwafatilia millady na wenzeko
@user-qq6mv6vh3e Жыл бұрын
Anjella usikate tama mungu yupo
@neemambotola1139 Жыл бұрын
Ila waliishi vizuri bhn ..me naona Angel anaongea vzr
@bhm675
Жыл бұрын
Ni mtu wa shukran ata km walimfanyia mbaya ila anawaheshm ndo wamemfikisha apa so anashkur kwa machache aliyofanyiwa co km konde
@mayrose9772
Жыл бұрын
Team WCB ni wachonganishi mana wanapovuka
@Stainyjacobtv
Жыл бұрын
Shida huyu dada alianza kutowa habar za uongo kwa mange kimambi na kwa watu wengine
Пікірлер: 585
Millard please, kama atakushirikisha kwenye prosses za matibabu yake” tujuilishe tumsaidie; anahitaji msaada wa Tanzania 🇹🇿 let’s help our beautiful sister,
@kennethbenjamin275
Жыл бұрын
Wasanii wa kibongo mbn wanapenda kuchangiwa
@SaidSaid-ef8md
Жыл бұрын
Bora kuchangiwa kuliko Kuiba, huyu dada anaonekana kwa macho anaitaji msaada “ me ela yangu ya kujirusha weekend hi… nitampa Yeye kuliko nikainywie pombe than niamke na hangover,
@bovickpascal6554
Жыл бұрын
U are right
@ticia950
Жыл бұрын
Mi naomba tuu elfu 30 nifanye biashara
@user-ps7ej3ep4e
Жыл бұрын
@ticia950 biashara gni sorry
Millard weka namba tumchangie akatibiwe bhana, tunampenda sana Angella❤
Anjella you have our surport from Kenya asilimia 100%💓💞💕💖💝💘❣🙏🙏🙏
Duuuuuh 💔😥,, anjela amepitia magumu sana. Pole sana. Mungu amsaidie aendelee kuimba
Nimefurah millard anauliza mambo positive mfano mambo gan mazur ulitendewa ❤ jamii yetu ikiwa iv tutafika mbali kuliko kuuliza mambo gan mabaya ulitendewa tuwe tunaegemea upande mzuri
@millardayoTZA
Жыл бұрын
Muchlove Kaz !!
@devievicent2735
Жыл бұрын
Kaka mshaurine aende Kwa mtumishi wa mungu mwamposa kawe
Nampenda sana anjela. Kama akihitaj kusaidiwa pesa ya matibabu tutamchangia maana anapitia shida huyu mdada. Juu ya tatizo lake
Anajuwa kujibu maswali straight forward she for keep ❤
Best voice in east Africa just love 💕 am ready to contribute her treatment greetings from Switzerland 🇨🇭❤️
@jmkentertainment..8247
Жыл бұрын
Me too Kichuna tuko sote Zurich..
Julie Katie nimemuona huyu sister akiperform sgd yani she's so beautiful na anasauti ya live sikutegemea
She is a sweet soul, mkweli ana staha ya maneno
Sasa walikua wanalalamikia asilimia 40 ya WCB, Dunia bwana🙄🙄🙄🙄mkuki kwa nguruwe 🐮🐮🐮🐮
I rilly love this sister yuko vizuri xana na pia anajua kuimba dah God bless you
Huyu dada anaongea reality life from umaskini na kujitengenezaa yeye mwenyewe Mungu Amsaidie kwa kweliii
Shout out kwa konde boy he is so real..🥂
Kiukweli tusemeni ukweli wcb ndo levo bora Tanzania 🇹🇿 tuacheni ushabiki mandazi tumsaidieni huyu dada 🙏
@lucymsumi8104
Жыл бұрын
Ubora upi unaozungumzia tuanzie hapo
@sashagal5683
Жыл бұрын
What is wrong with you tanzanians ,her health is more important than what your saying who cares about ubora ...nkt
@suleimanali5677
Жыл бұрын
@@lucymsumi8104 treatment ya wa sanii na maendeleo kiujumla mfano harmonize rayvanny mbosso zuchu na lavalava. Huwezi kulinganisha na ibrah anjela Marc voice wa rayvani
@vickymwanga5135
Жыл бұрын
Ingekua wasaf wanaongea ya moyon usingetaman,nyumba za watu tzamen kwa nje
@suleimanali5677
Жыл бұрын
@@vickymwanga5135 mbona wasanii wao wanamafaniko , rayvan mbosso zuchu harmonize , kuliko wa king kiba au wa konde gang
Hayo ndo maisha. Ila asijali, she's talented &will go far.. Much love from 🇰🇪... Nimependa hapo kwa Kagusa(touch) na Bakula 😂... Peace though 🤞
Namkubali sana huyu dada anaimba vzur sana
She needs help.Nipo tayari kutoa mchango wangu ili apate matibabu
Sawa harmo kamsaidia anjela, ila mkataba unatakiwa uwe na kipengele Cha mtu akiumwa anavumiliwa kwa muda gani na up muda uwe reasonable angalau miezi sita yenye masharti yoyote upande wa mshahara. All in all harmo big up 👍
@specialminds23
Жыл бұрын
Kweli Harmonize amejitahidi saana
Kaza sis ! Safari bado nikubwa sana. Umejifunza kitu kikubwa sana.. Anyway, karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🫶
Watanzania mnapenda story ya uyu dada lakini sioni mkimsaidia,tafadahali toeni paybill tuchange hela tumsaidie coz najuwa inawapea pesa mingi kwenye mtandao ,do something tz,msijifanye walafi
Mwingne ananunuliwa range, mwingne mwenye tatizo la mguu ananyang'anywa crown.
Support from Kenya anjela anahitaji kutibiwa fanyeni jambo tuone nmna tunaweza support dada yetu
@jamalmullerjordan
Жыл бұрын
Kwan anaumwa n nn?
Millard ana akili sana yani ankufanya unasema kitu ambacho ulikwepa kusema, lovely one ❤ Millard ayo
@millardayoTZA
Жыл бұрын
muchlove Witness
she's loyal sana mpaka raha.. nimempenda bure. MUNGU amwongoze
@florahburton9641
Жыл бұрын
Interview imenyooka hadi raha
@merinakassembe118
Жыл бұрын
Mshukuru na lulu aliyekuwa anakulisha kumbuka fadhila na lulu
@merinakassembe118
Жыл бұрын
LULU ALIKUWA ANAMLISHA AKAMSEMA VIBAYA AKAA KWA Dula makabila
@merinakassembe118
Жыл бұрын
Alionga gari kwa jojhn john akaaribu gari
@merinakassembe118
Жыл бұрын
Muongo alikuwa ana gast na john.akapata.mimba aikaitoa na miezi 6 then alaamiakwa makabila
Pole Sana Dada God Bless You 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
She has a story to tell❤
Love Anjella
SOMETIMES WATU WANATUMIA WEAKNESS ZAO kUWATIA WATU UBAYA SASA KAMA MWANZO ALIKUA POSTIVE BADAE AKAGEUKA MBAYA PIA NA WEWE KUNA MAHALI ULIZINGUA coz tukilinganisha matukio unaonekana ww ndo unashida kwavile una matatizo afu Ni mwanamke wacha tu tukusapoti
Angela she's a good singer and woman, Mungu amgungulie milango ya kheri inshaallah.
@africanmondo.
11 ай бұрын
InshaAllah
😭😭😭😭😭mungu atakuwezesha sis pole sana nimeumiya sana jamani
Tumuchangie akatibiwe huo mguu. Daaaa! Inaniuma huu dada yetu inatakiwa tumpe support.
@pavillioncry5241
Жыл бұрын
Siwez kumchangia kafir
@Bin_Slyim
Жыл бұрын
@@pavillioncry5241acha Pumba hizo ww kweny qur an Kuna sehem Gani imesema usimchangie mtu ambaye cyo muislam bali ispokuwa imesema kwamba tusaidie mayatima,wajane,walemavu na watu wasio jiweza n'a haijasema tusimpe ambaye cyo muislam bwege ww bichwa kubwa akili kisoda
@Bin_Slyim
Жыл бұрын
@@pavillioncry5241watu wenye roho kama nyie ndo munaokuj kufiriwa familia zenu
Anjella my sister huo mguu syo wa hospital dada utapotesa hela bure mguu unaitaji maombi dada usiende India dada tafuta maombi sister
Anajielezea vizuri sana mungu amsimamie afike mbali ❤
God bless
It's emotional 😭 yaan tumsaidieni jmny
MashaAllah Ayo nko poa sana kwa interview 😊😊😊
Blessing anjela
Alafu yeye kila siku nukulia kazulumiwa na WCB hivi huyu binti alikua anaishi maisha ambayo hayafanani na life muziki
@Moviechanel255
Жыл бұрын
Kits tunashindwa elewa harmonise desolved alichokua analilia sio huruma ilikua haki yake Uyu dada amesema haikua kwenye mkataba meaning alijua nini
@valeriaally6584
Жыл бұрын
@@Moviechanel255 usitetee,harmonise alikua analalamika kupewa asilimia 40 mbona na yeye anawapa wasanii wake asilimia 40,tena yeye WCB wamemsaidia sana mpaka kuwa msanii mkubwa zaid,hawakumkatia tamaa mapema kama yeye alivyokatia tamaa wasanii wake mapema
@evaristkatibularutuku7094
Жыл бұрын
Weee munafiki.ilikuwa musahada bro.
We ni mdada na nusu mungu atakurinda na utapata kile unachokitafuta, Nakupenda
Bro namkubali Sana huyu Dada na nishabiki yake Sana plz naomba kama atahitaji support nipo tayar kuchangia kidogo nilicho nacho
Mungu yupo pamoja nawe dada yangu, yatakwisha yatapita
Just love her Angella ❤️ God Bless
Acheni lawama msikie mazungumzo hii ni biashara hakujituma na analipwa je bos apate hasara kupita huruma? Acheni maneno Hamo ana Roho nzuri tusingemjua Anjella kwani wengine wanaemuhurumia mwanzo walikua tumboni😂😂mnachekesha sana yeye apambane atafanikiwa keshaonyeshwa njia tunamuombea mafanikio InshaAllah 🙏🙏
@selemanikinyonyi7163
Жыл бұрын
So mbona alivowasilimulia ya boss wake wa zamani mkaenda upande wake je mlitaka boss wake wa zamani nae afilisike???
@eliashibundabalinze2217
Жыл бұрын
Nyoko kweli, kwani kipindi kile mlitaka Diamond apate hasara kupitia Hermomavi?
@africangirllifestyle7686
Жыл бұрын
@@eliashibundabalinze2217waeleze huo ni mkuki kwa nguruwe
@eliashibundabalinze2217
Жыл бұрын
@@africangirllifestyle7686 nitafte nikupe mishe
Nahisi Kuna siri nzito sana 😢 anway yote maisha
Kwa kweli kazi ya baba nimeielewa sana
Pole sana anjela
sasa mbona alikua anasema kuwa alikua anadhulumiwa WCB kwa kupewa asilimia 40,mbona na yeye alikua anawapa wasanii wake asilimia 40? huyu mtu mi nasemaga ana shida mnakataa
@adamnasibu5931
Жыл бұрын
Umesema ukweli kaka
@adamnasibu5931
Жыл бұрын
Kweli kabisa
Mwenyezi Mungu abariki kazi ya mikono yako millard ayo 🥰🥰🔥
My favorite female singer
Pole saana anjella tunakupenda mashabiki zako
@Millard u're the best y'broo! Utulivu mkubwa, unampa muda wa kujieleza mgeni wako, unajua kumsoma mgeni wako na hiyo inasaidia kuongeza kujiamini kwake, hurudii maswali ambayo unahisi yanamwongezea uchungu, Angela kaonyesha mapema sana kwamba hataki kumuongelea vibaya Harmonize hilo Millard ulilisoma and u rolled with her professionally, lkn muhimu zaidi umeonyesha kuheshimu mchango wa Harmonize kwa Angela, unajua sana Millard
Mimi ni team konde lkn kwa hili la kuto kufatilia matibabu ya huyu binti wamekosea Sana kwa kweli😢
@ndayijeanclaude5094
Жыл бұрын
Kwa nini wamekoseya?
@mishikombowato1457
Жыл бұрын
Hajakosea labda yuataka had Leo ila uwezo Hana huwezi mlaumu maana hata ww umemjua kupitia konde na hata ww unayo nafasi ya kumsaidia tu mbona
@selemanikinyonyi7163
Жыл бұрын
@@mishikombowato1457uteam utawauwa mtaki kukubali ukweli ndio harmonize alifanya vibaya kutokumsaidia huyu dada mbona weke uteam pembeni
@selemanikinyonyi7163
Жыл бұрын
@@ndayijeanclaude5094sababu alisema atamsaidia but hakumsaidia auelwei au uteam huo
@mishikombowato1457
Жыл бұрын
@@selemanikinyonyi7163 eeh aliyafanya na alisema sasa unajua ww unapanga na mungu ndio anawezesha.asa we unaongelea utm gani maana hapa tunaongelea alichosema anjela au ww una tm yako maana kwanza hat hujui usemalo
Dah! Pole sana Anjella, Mungu atakusaidia inshallah 🙏
Mungu akusaidie upone🙏
She is very humble.
Nilichogundua huyu anajua tu kushukuru hila hajui kama alikuwa anapotezea tu mda, huyu Dada naona ni mtu mwenye adabu zake tu😊
@amarybaajun8811
Жыл бұрын
Inasemekana alitoa mimba kubwa ya miezi saba uone pengine huo ndo ugonjwa sema tu anauficha kulinda bland yake
Waooo kumbe anjella amezaliwa 3/10 kama mm ❤
@janethpaschal2303
Жыл бұрын
Mimi pia
@LovenessElias-fm4up
10 ай бұрын
Kama mm
All the best
Kwa tafsili hii, lebo ni Moja apa Tanzania. #WCB
@OfficialValentin
Жыл бұрын
Neenda wakunyonye Mondi ameamua ku date na Zuchu sikuchinja tu pale
@fatmaally7252
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa mangine majina tu
@sentimali2011
Жыл бұрын
@@fatmaally7252 🤣🤣🤣🔥🔥
She is the best experience. Big up
@arsenalqueen101
Жыл бұрын
😂😂😂wacha tu nicheke
Weee Ayo basi tu hujui vile napenda hiyo sauti yako more love from.Kenya
Msahidiyenu huyu dada jamani nimejikuta na lia 😢😢🥺🥺🥺
@Mina.15
Жыл бұрын
Including you
@BritneyMakoi
Жыл бұрын
Tumsaidie wnyw au had na ww maan naona unajitoa
@Mina.15
Жыл бұрын
@@BritneyMakoi kasha msaidia Kwa kuliya 🤣🤣🤣🤣🤣 sisi tutoa Cash
Pole xana Dada iyo ndy dunia ila uxijali endelea kupambana na nimependa jinxi unavyojielezea na unanidaham ya all yajuu
angela ananikosha sana uyu dada hila shida ajibu message zawatu inbox ❤ but mufikishieni abari afunguwe message zawatu mana mutu ajuwag msada unatoka sehemu gani my sister angella
@eminentmnzavas4463
Жыл бұрын
Hana smartphone broo
@LovenessElias-fm4up
10 ай бұрын
M
@LovenessElias-fm4up
10 ай бұрын
Money problem
Pole my dear Angel
Kwa hapo bora angejitahidi kuongea ukweli tu,hiyo story kuna kitu napenda anjela kwa sasa angekiongea tu.coz bonga anajisikia vby sana
Sending you love..God’s healing! 🇰🇪❤️
@Anjella TRUTH IS THE RIGHT ANSWER, WISH YOU MORE AND MORE SUCCESS ❤️❤️
Millard anajua kweli interview very nice
@millardayoTZA
Жыл бұрын
shukrani sana Valerian
CROWN PRINCE
Part 2 plz
This is quite a story😮😮
Pole sana
Kumbe Harmonize na yeye anaroho mbaya mlikuwa mnamsema mond, na kujifaragua kote mbele ya baba yake Angela kuwa mtaenda India lkn mpaka anatok gang mdada wa watu hakuna alichoambulia, anamatatizo ya mguu Harmonize akamuunga mkono
Wekeni hapa number tusaidie dada yetu ,Mimi Mkenya
pole sana mwenzetu
pole sana mwanamke
Tunakupenda sana Anjella
Duuh 😢 story hii inauma sana😢
Natamn nione sana harmonize atoe neno Maana🙃
Queen Anjella
She's so emotional 😭😭
My geeeeeee
Mirrad unanguvu na uwezo wakumwombea msaada angela fanya hvo uyo ni bint awez kujielezea kindann kuhusu hali yk
Maisha ya wasanii sio maisha yakuyataman ata kidogo mana wanafeki sana sasa uku nje tuonaona harmonize nmkubwa ana ela lakin ata India ilimshinda kodi ya wasanii ilimshinda kula ya wasanii ilimshida
@wabo_199
Жыл бұрын
Kweli kabisa
Frida i just feels U
Milla hayo your media is ok we love it even in kenya tunakupenda but izo media zingine we don,t love it men mufindishe huyo ndigano wa kode gang kuongea sawa baba we love you allways take care good media we love❤❤😂 allways
Yupo really sana
Am speechless 🥺 Let us wait for KARMA
@evaristkatibularutuku7094
Жыл бұрын
Magumu yapo but Harmonize Ali tumiya ubinadamu vizuri .tuwe wakukumbuka mema .unasikiya Aliko mutoa .big up harmonize.
hey Fifi ilysm❤❤️❤️❤️❤️❤️
Leo niwape mau yenu nyie watu watatu yaani mpo vizuri sana sijawahi acha kuwafatilia millady na wenzeko
Anjella usikate tama mungu yupo
Ila waliishi vizuri bhn ..me naona Angel anaongea vzr
@bhm675
Жыл бұрын
Ni mtu wa shukran ata km walimfanyia mbaya ila anawaheshm ndo wamemfikisha apa so anashkur kwa machache aliyofanyiwa co km konde
@mayrose9772
Жыл бұрын
Team WCB ni wachonganishi mana wanapovuka
@Stainyjacobtv
Жыл бұрын
Shida huyu dada alianza kutowa habar za uongo kwa mange kimambi na kwa watu wengine
Jameni naombeni tumsaport anjela
❤❤❤❤❤❤❤❤
❤
ayo mwambie nampenda fida so much
@joachimkanoni7518
Жыл бұрын
Niachie frida Wang
Angella you are an angel
🔥