EXCLUSIVE: ANJELLA AFUNGUKA "SIKUWAHI KUWA NA USHKAJI NA HARMONIZE, HATUKUWA NA MAZOEA" --- PART ONE

Пікірлер: 585

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md Жыл бұрын

    Millard please, kama atakushirikisha kwenye prosses za matibabu yake” tujuilishe tumsaidie; anahitaji msaada wa Tanzania 🇹🇿 let’s help our beautiful sister,

  • @kennethbenjamin275

    @kennethbenjamin275

    Жыл бұрын

    Wasanii wa kibongo mbn wanapenda kuchangiwa

  • @SaidSaid-ef8md

    @SaidSaid-ef8md

    Жыл бұрын

    Bora kuchangiwa kuliko Kuiba, huyu dada anaonekana kwa macho anaitaji msaada “ me ela yangu ya kujirusha weekend hi… nitampa Yeye kuliko nikainywie pombe than niamke na hangover,

  • @bovickpascal6554

    @bovickpascal6554

    Жыл бұрын

    U are right

  • @ticia950

    @ticia950

    Жыл бұрын

    Mi naomba tuu elfu 30 nifanye biashara

  • @user-ps7ej3ep4e

    @user-ps7ej3ep4e

    Жыл бұрын

    @ticia950 biashara gni sorry

  • @Boaz22
    @Boaz22 Жыл бұрын

    Millard weka namba tumchangie akatibiwe bhana, tunampenda sana Angella❤

  • @lavvyboyKe
    @lavvyboyKe Жыл бұрын

    Anjella you have our surport from Kenya asilimia 100%💓💞💕💖💝💘❣🙏🙏🙏

  • @upendopeter8078
    @upendopeter8078 Жыл бұрын

    Duuuuuh 💔😥,, anjela amepitia magumu sana. Pole sana. Mungu amsaidie aendelee kuimba

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Жыл бұрын

    Nimefurah millard anauliza mambo positive mfano mambo gan mazur ulitendewa ❤ jamii yetu ikiwa iv tutafika mbali kuliko kuuliza mambo gan mabaya ulitendewa tuwe tunaegemea upande mzuri

  • @millardayoTZA

    @millardayoTZA

    Жыл бұрын

    Muchlove Kaz !!

  • @devievicent2735

    @devievicent2735

    Жыл бұрын

    Kaka mshaurine aende Kwa mtumishi wa mungu mwamposa kawe

  • @yusterenosy6606
    @yusterenosy6606 Жыл бұрын

    Nampenda sana anjela. Kama akihitaj kusaidiwa pesa ya matibabu tutamchangia maana anapitia shida huyu mdada. Juu ya tatizo lake

  • @jamal57499
    @jamal57499 Жыл бұрын

    Anajuwa kujibu maswali straight forward she for keep ❤

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 Жыл бұрын

    Best voice in east Africa just love 💕 am ready to contribute her treatment greetings from Switzerland 🇨🇭❤️

  • @jmkentertainment..8247

    @jmkentertainment..8247

    Жыл бұрын

    Me too Kichuna tuko sote Zurich..

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 Жыл бұрын

    Julie Katie nimemuona huyu sister akiperform sgd yani she's so beautiful na anasauti ya live sikutegemea

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 Жыл бұрын

    She is a sweet soul, mkweli ana staha ya maneno

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 Жыл бұрын

    Sasa walikua wanalalamikia asilimia 40 ya WCB, Dunia bwana🙄🙄🙄🙄mkuki kwa nguruwe 🐮🐮🐮🐮

  • @valerianmtowe7822
    @valerianmtowe7822 Жыл бұрын

    I rilly love this sister yuko vizuri xana na pia anajua kuimba dah God bless you

  • @chinaasirilla1086
    @chinaasirilla1086 Жыл бұрын

    Huyu dada anaongea reality life from umaskini na kujitengenezaa yeye mwenyewe Mungu Amsaidie kwa kweliii

  • @dinosmack
    @dinosmack Жыл бұрын

    Shout out kwa konde boy he is so real..🥂

  • @suleimanali5677
    @suleimanali5677 Жыл бұрын

    Kiukweli tusemeni ukweli wcb ndo levo bora Tanzania 🇹🇿 tuacheni ushabiki mandazi tumsaidieni huyu dada 🙏

  • @lucymsumi8104

    @lucymsumi8104

    Жыл бұрын

    Ubora upi unaozungumzia tuanzie hapo

  • @sashagal5683

    @sashagal5683

    Жыл бұрын

    What is wrong with you tanzanians ,her health is more important than what your saying who cares about ubora ...nkt

  • @suleimanali5677

    @suleimanali5677

    Жыл бұрын

    @@lucymsumi8104 treatment ya wa sanii na maendeleo kiujumla mfano harmonize rayvanny mbosso zuchu na lavalava. Huwezi kulinganisha na ibrah anjela Marc voice wa rayvani

  • @vickymwanga5135

    @vickymwanga5135

    Жыл бұрын

    Ingekua wasaf wanaongea ya moyon usingetaman,nyumba za watu tzamen kwa nje

  • @suleimanali5677

    @suleimanali5677

    Жыл бұрын

    @@vickymwanga5135 mbona wasanii wao wanamafaniko , rayvan mbosso zuchu harmonize , kuliko wa king kiba au wa konde gang

  • @sadikjuma5519
    @sadikjuma5519 Жыл бұрын

    Hayo ndo maisha. Ila asijali, she's talented &will go far.. Much love from 🇰🇪... Nimependa hapo kwa Kagusa(touch) na Bakula 😂... Peace though 🤞

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Жыл бұрын

    Namkubali sana huyu dada anaimba vzur sana

  • @derrickm.omwakwe6525
    @derrickm.omwakwe6525 Жыл бұрын

    She needs help.Nipo tayari kutoa mchango wangu ili apate matibabu

  • @bernardmasangula9358
    @bernardmasangula9358 Жыл бұрын

    Sawa harmo kamsaidia anjela, ila mkataba unatakiwa uwe na kipengele Cha mtu akiumwa anavumiliwa kwa muda gani na up muda uwe reasonable angalau miezi sita yenye masharti yoyote upande wa mshahara. All in all harmo big up 👍

  • @specialminds23

    @specialminds23

    Жыл бұрын

    Kweli Harmonize amejitahidi saana

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Жыл бұрын

    Kaza sis ! Safari bado nikubwa sana. Umejifunza kitu kikubwa sana.. Anyway, karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🫶

  • @Dennis_1official
    @Dennis_1official Жыл бұрын

    Watanzania mnapenda story ya uyu dada lakini sioni mkimsaidia,tafadahali toeni paybill tuchange hela tumsaidie coz najuwa inawapea pesa mingi kwenye mtandao ,do something tz,msijifanye walafi

  • @kevinchaula777
    @kevinchaula777 Жыл бұрын

    Mwingne ananunuliwa range, mwingne mwenye tatizo la mguu ananyang'anywa crown.

  • @official.kakajay
    @official.kakajay Жыл бұрын

    Support from Kenya anjela anahitaji kutibiwa fanyeni jambo tuone nmna tunaweza support dada yetu

  • @jamalmullerjordan

    @jamalmullerjordan

    Жыл бұрын

    Kwan anaumwa n nn?

  • @witnessmusa5454
    @witnessmusa5454 Жыл бұрын

    Millard ana akili sana yani ankufanya unasema kitu ambacho ulikwepa kusema, lovely one ❤ Millard ayo

  • @millardayoTZA

    @millardayoTZA

    Жыл бұрын

    muchlove Witness

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr Жыл бұрын

    she's loyal sana mpaka raha.. nimempenda bure. MUNGU amwongoze

  • @florahburton9641

    @florahburton9641

    Жыл бұрын

    Interview imenyooka hadi raha

  • @merinakassembe118

    @merinakassembe118

    Жыл бұрын

    Mshukuru na lulu aliyekuwa anakulisha kumbuka fadhila na lulu

  • @merinakassembe118

    @merinakassembe118

    Жыл бұрын

    LULU ALIKUWA ANAMLISHA AKAMSEMA VIBAYA AKAA KWA Dula makabila

  • @merinakassembe118

    @merinakassembe118

    Жыл бұрын

    Alionga gari kwa jojhn john akaaribu gari

  • @merinakassembe118

    @merinakassembe118

    Жыл бұрын

    Muongo alikuwa ana gast na john.akapata.mimba aikaitoa na miezi 6 then alaamiakwa makabila

  • @mudimoz9329
    @mudimoz9329 Жыл бұрын

    Pole Sana Dada God Bless You 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Жыл бұрын

    She has a story to tell❤

  • @Carinno2217
    @Carinno2217 Жыл бұрын

    Love Anjella

  • @jacobmenganyi7830
    @jacobmenganyi7830 Жыл бұрын

    SOMETIMES WATU WANATUMIA WEAKNESS ZAO kUWATIA WATU UBAYA SASA KAMA MWANZO ALIKUA POSTIVE BADAE AKAGEUKA MBAYA PIA NA WEWE KUNA MAHALI ULIZINGUA coz tukilinganisha matukio unaonekana ww ndo unashida kwavile una matatizo afu Ni mwanamke wacha tu tukusapoti

  • @maryamjey6340
    @maryamjey6340 Жыл бұрын

    Angela she's a good singer and woman, Mungu amgungulie milango ya kheri inshaallah.

  • @africanmondo.

    @africanmondo.

    11 ай бұрын

    InshaAllah

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi2059 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭mungu atakuwezesha sis pole sana nimeumiya sana jamani

  • @PHILIPOSAGANYI-ub4jy
    @PHILIPOSAGANYI-ub4jy Жыл бұрын

    Tumuchangie akatibiwe huo mguu. Daaaa! Inaniuma huu dada yetu inatakiwa tumpe support.

  • @pavillioncry5241

    @pavillioncry5241

    Жыл бұрын

    Siwez kumchangia kafir

  • @Bin_Slyim

    @Bin_Slyim

    Жыл бұрын

    ​@@pavillioncry5241acha Pumba hizo ww kweny qur an Kuna sehem Gani imesema usimchangie mtu ambaye cyo muislam bali ispokuwa imesema kwamba tusaidie mayatima,wajane,walemavu na watu wasio jiweza n'a haijasema tusimpe ambaye cyo muislam bwege ww bichwa kubwa akili kisoda

  • @Bin_Slyim

    @Bin_Slyim

    Жыл бұрын

    ​@@pavillioncry5241watu wenye roho kama nyie ndo munaokuj kufiriwa familia zenu

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 Жыл бұрын

    Anjella my sister huo mguu syo wa hospital dada utapotesa hela bure mguu unaitaji maombi dada usiende India dada tafuta maombi sister

  • @aminaolver9114
    @aminaolver9114 Жыл бұрын

    Anajielezea vizuri sana mungu amsimamie afike mbali ❤

  • @Ablosdk123
    @Ablosdk123 Жыл бұрын

    God bless

  • @t.e.m.m.e.h
    @t.e.m.m.e.h Жыл бұрын

    It's emotional 😭 yaan tumsaidieni jmny

  • @mariamnur1036
    @mariamnur1036 Жыл бұрын

    MashaAllah Ayo nko poa sana kwa interview 😊😊😊

  • @Jordanjackson-fc7pe
    @Jordanjackson-fc7pe Жыл бұрын

    Blessing anjela

  • @zc-cw2wb
    @zc-cw2wb Жыл бұрын

    Alafu yeye kila siku nukulia kazulumiwa na WCB hivi huyu binti alikua anaishi maisha ambayo hayafanani na life muziki

  • @Moviechanel255

    @Moviechanel255

    Жыл бұрын

    Kits tunashindwa elewa harmonise desolved alichokua analilia sio huruma ilikua haki yake Uyu dada amesema haikua kwenye mkataba meaning alijua nini

  • @valeriaally6584

    @valeriaally6584

    Жыл бұрын

    @@Moviechanel255 usitetee,harmonise alikua analalamika kupewa asilimia 40 mbona na yeye anawapa wasanii wake asilimia 40,tena yeye WCB wamemsaidia sana mpaka kuwa msanii mkubwa zaid,hawakumkatia tamaa mapema kama yeye alivyokatia tamaa wasanii wake mapema

  • @evaristkatibularutuku7094

    @evaristkatibularutuku7094

    Жыл бұрын

    Weee munafiki.ilikuwa musahada bro.

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Жыл бұрын

    We ni mdada na nusu mungu atakurinda na utapata kile unachokitafuta, Nakupenda

  • @sidemelodytz6487
    @sidemelodytz6487 Жыл бұрын

    Bro namkubali Sana huyu Dada na nishabiki yake Sana plz naomba kama atahitaji support nipo tayar kuchangia kidogo nilicho nacho

  • @relaxstarman981
    @relaxstarman981 Жыл бұрын

    Mungu yupo pamoja nawe dada yangu, yatakwisha yatapita

  • @_.Queen_Aiisha_ross
    @_.Queen_Aiisha_ross Жыл бұрын

    Just love her Angella ❤️ God Bless

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын

    Acheni lawama msikie mazungumzo hii ni biashara hakujituma na analipwa je bos apate hasara kupita huruma? Acheni maneno Hamo ana Roho nzuri tusingemjua Anjella kwani wengine wanaemuhurumia mwanzo walikua tumboni😂😂mnachekesha sana yeye apambane atafanikiwa keshaonyeshwa njia tunamuombea mafanikio InshaAllah 🙏🙏

  • @selemanikinyonyi7163

    @selemanikinyonyi7163

    Жыл бұрын

    So mbona alivowasilimulia ya boss wake wa zamani mkaenda upande wake je mlitaka boss wake wa zamani nae afilisike???

  • @eliashibundabalinze2217

    @eliashibundabalinze2217

    Жыл бұрын

    Nyoko kweli, kwani kipindi kile mlitaka Diamond apate hasara kupitia Hermomavi?

  • @africangirllifestyle7686

    @africangirllifestyle7686

    Жыл бұрын

    @@eliashibundabalinze2217waeleze huo ni mkuki kwa nguruwe

  • @eliashibundabalinze2217

    @eliashibundabalinze2217

    Жыл бұрын

    @@africangirllifestyle7686 nitafte nikupe mishe

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Жыл бұрын

    Nahisi Kuna siri nzito sana 😢 anway yote maisha

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 Жыл бұрын

    Kwa kweli kazi ya baba nimeielewa sana

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Жыл бұрын

    Pole sana anjela

  • @valeriaally6584
    @valeriaally6584 Жыл бұрын

    sasa mbona alikua anasema kuwa alikua anadhulumiwa WCB kwa kupewa asilimia 40,mbona na yeye alikua anawapa wasanii wake asilimia 40? huyu mtu mi nasemaga ana shida mnakataa

  • @adamnasibu5931

    @adamnasibu5931

    Жыл бұрын

    Umesema ukweli kaka

  • @adamnasibu5931

    @adamnasibu5931

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @zawadihemedi7907
    @zawadihemedi7907 Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu abariki kazi ya mikono yako millard ayo 🥰🥰🔥

  • @FadhilJuma-yg4kq
    @FadhilJuma-yg4kq Жыл бұрын

    My favorite female singer

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Жыл бұрын

    Pole saana anjella tunakupenda mashabiki zako

  • @mwakipundahenry5235
    @mwakipundahenry5235 Жыл бұрын

    @Millard u're the best y'broo! Utulivu mkubwa, unampa muda wa kujieleza mgeni wako, unajua kumsoma mgeni wako na hiyo inasaidia kuongeza kujiamini kwake, hurudii maswali ambayo unahisi yanamwongezea uchungu, Angela kaonyesha mapema sana kwamba hataki kumuongelea vibaya Harmonize hilo Millard ulilisoma and u rolled with her professionally, lkn muhimu zaidi umeonyesha kuheshimu mchango wa Harmonize kwa Angela, unajua sana Millard

  • @madawamchuwa8253
    @madawamchuwa8253 Жыл бұрын

    Mimi ni team konde lkn kwa hili la kuto kufatilia matibabu ya huyu binti wamekosea Sana kwa kweli😢

  • @ndayijeanclaude5094

    @ndayijeanclaude5094

    Жыл бұрын

    Kwa nini wamekoseya?

  • @mishikombowato1457

    @mishikombowato1457

    Жыл бұрын

    Hajakosea labda yuataka had Leo ila uwezo Hana huwezi mlaumu maana hata ww umemjua kupitia konde na hata ww unayo nafasi ya kumsaidia tu mbona

  • @selemanikinyonyi7163

    @selemanikinyonyi7163

    Жыл бұрын

    ​@@mishikombowato1457uteam utawauwa mtaki kukubali ukweli ndio harmonize alifanya vibaya kutokumsaidia huyu dada mbona weke uteam pembeni

  • @selemanikinyonyi7163

    @selemanikinyonyi7163

    Жыл бұрын

    ​@@ndayijeanclaude5094sababu alisema atamsaidia but hakumsaidia auelwei au uteam huo

  • @mishikombowato1457

    @mishikombowato1457

    Жыл бұрын

    @@selemanikinyonyi7163 eeh aliyafanya na alisema sasa unajua ww unapanga na mungu ndio anawezesha.asa we unaongelea utm gani maana hapa tunaongelea alichosema anjela au ww una tm yako maana kwanza hat hujui usemalo

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын

    Dah! Pole sana Anjella, Mungu atakusaidia inshallah 🙏

  • @Alkrauson
    @Alkrauson Жыл бұрын

    Mungu akusaidie upone🙏

  • @bernadinodnawe184
    @bernadinodnawe184 Жыл бұрын

    She is very humble.

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Жыл бұрын

    Nilichogundua huyu anajua tu kushukuru hila hajui kama alikuwa anapotezea tu mda, huyu Dada naona ni mtu mwenye adabu zake tu😊

  • @amarybaajun8811

    @amarybaajun8811

    Жыл бұрын

    Inasemekana alitoa mimba kubwa ya miezi saba uone pengine huo ndo ugonjwa sema tu anauficha kulinda bland yake

  • @WITYDijja
    @WITYDijja Жыл бұрын

    Waooo kumbe anjella amezaliwa 3/10 kama mm ❤

  • @janethpaschal2303

    @janethpaschal2303

    Жыл бұрын

    Mimi pia

  • @LovenessElias-fm4up

    @LovenessElias-fm4up

    10 ай бұрын

    Kama mm

  • @moseslorenzo6082
    @moseslorenzo6082 Жыл бұрын

    All the best

  • @sentimali2011
    @sentimali2011 Жыл бұрын

    Kwa tafsili hii, lebo ni Moja apa Tanzania. #WCB

  • @OfficialValentin

    @OfficialValentin

    Жыл бұрын

    Neenda wakunyonye Mondi ameamua ku date na Zuchu sikuchinja tu pale

  • @fatmaally7252

    @fatmaally7252

    Жыл бұрын

    Ni kweli kabisa mangine majina tu

  • @sentimali2011

    @sentimali2011

    Жыл бұрын

    @@fatmaally7252 🤣🤣🤣🔥🔥

  • @SophiajumamwiguluSunshin-wo2uq
    @SophiajumamwiguluSunshin-wo2uq Жыл бұрын

    She is the best experience. Big up

  • @arsenalqueen101

    @arsenalqueen101

    Жыл бұрын

    😂😂😂wacha tu nicheke

  • @eunicewambui4645
    @eunicewambui4645 Жыл бұрын

    Weee Ayo basi tu hujui vile napenda hiyo sauti yako more love from.Kenya

  • @ashatybella8641
    @ashatybella8641 Жыл бұрын

    Msahidiyenu huyu dada jamani nimejikuta na lia 😢😢🥺🥺🥺

  • @Mina.15

    @Mina.15

    Жыл бұрын

    Including you

  • @BritneyMakoi

    @BritneyMakoi

    Жыл бұрын

    Tumsaidie wnyw au had na ww maan naona unajitoa

  • @Mina.15

    @Mina.15

    Жыл бұрын

    @@BritneyMakoi kasha msaidia Kwa kuliya 🤣🤣🤣🤣🤣 sisi tutoa Cash

  • @mwalaog2278
    @mwalaog2278 Жыл бұрын

    Pole xana Dada iyo ndy dunia ila uxijali endelea kupambana na nimependa jinxi unavyojielezea na unanidaham ya all yajuu

  • @Alkibosstz
    @Alkibosstz Жыл бұрын

    angela ananikosha sana uyu dada hila shida ajibu message zawatu inbox ❤ but mufikishieni abari afunguwe message zawatu mana mutu ajuwag msada unatoka sehemu gani my sister angella

  • @eminentmnzavas4463

    @eminentmnzavas4463

    Жыл бұрын

    Hana smartphone broo

  • @LovenessElias-fm4up

    @LovenessElias-fm4up

    10 ай бұрын

    M

  • @LovenessElias-fm4up

    @LovenessElias-fm4up

    10 ай бұрын

    Money problem

  • @annasiwa880
    @annasiwa880 Жыл бұрын

    Pole my dear Angel

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Жыл бұрын

    Kwa hapo bora angejitahidi kuongea ukweli tu,hiyo story kuna kitu napenda anjela kwa sasa angekiongea tu.coz bonga anajisikia vby sana

  • @STACY_KENYA
    @STACY_KENYA Жыл бұрын

    Sending you love..God’s healing! 🇰🇪❤️

  • @Speciole6Yusufu-vr3qb
    @Speciole6Yusufu-vr3qb Жыл бұрын

    @Anjella TRUTH IS THE RIGHT ANSWER, WISH YOU MORE AND MORE SUCCESS ❤️❤️

  • @valerianmtowe7822
    @valerianmtowe7822 Жыл бұрын

    Millard anajua kweli interview very nice

  • @millardayoTZA

    @millardayoTZA

    Жыл бұрын

    shukrani sana Valerian

  • @KIDAWAFILIM
    @KIDAWAFILIM Жыл бұрын

    CROWN PRINCE

  • @parfaitkalemela8733
    @parfaitkalemela8733 Жыл бұрын

    Part 2 plz

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Жыл бұрын

    This is quite a story😮😮

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын

    Pole sana

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Жыл бұрын

    Kumbe Harmonize na yeye anaroho mbaya mlikuwa mnamsema mond, na kujifaragua kote mbele ya baba yake Angela kuwa mtaenda India lkn mpaka anatok gang mdada wa watu hakuna alichoambulia, anamatatizo ya mguu Harmonize akamuunga mkono

  • @martinwaweru7982
    @martinwaweru7982 Жыл бұрын

    Wekeni hapa number tusaidie dada yetu ,Mimi Mkenya

  • @joshuamengorundasikoi4711
    @joshuamengorundasikoi4711 Жыл бұрын

    pole sana mwenzetu

  • @PamelaMwambashi
    @PamelaMwambashi Жыл бұрын

    pole sana mwanamke

  • @salimamoshi619
    @salimamoshi619 Жыл бұрын

    Tunakupenda sana Anjella

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 Жыл бұрын

    Duuh 😢 story hii inauma sana😢

  • @LOOKMAN123
    @LOOKMAN123 Жыл бұрын

    Natamn nione sana harmonize atoe neno Maana🙃

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 Жыл бұрын

    Queen Anjella

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Жыл бұрын

    She's so emotional 😭😭

  • @dadollary
    @dadollary Жыл бұрын

    My geeeeeee

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Жыл бұрын

    Mirrad unanguvu na uwezo wakumwombea msaada angela fanya hvo uyo ni bint awez kujielezea kindann kuhusu hali yk

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul Жыл бұрын

    Maisha ya wasanii sio maisha yakuyataman ata kidogo mana wanafeki sana sasa uku nje tuonaona harmonize nmkubwa ana ela lakin ata India ilimshinda kodi ya wasanii ilimshinda kula ya wasanii ilimshida

  • @wabo_199

    @wabo_199

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @PUGBFORBEGGINERS
    @PUGBFORBEGGINERS Жыл бұрын

    Frida i just feels U

  • @jamesmuthangya9843
    @jamesmuthangya9843 Жыл бұрын

    Milla hayo your media is ok we love it even in kenya tunakupenda but izo media zingine we don,t love it men mufindishe huyo ndigano wa kode gang kuongea sawa baba we love you allways take care good media we love❤❤😂 allways

  • @DreamBoy26-ol1xd
    @DreamBoy26-ol1xd Жыл бұрын

    Yupo really sana

  • @carlinalfred5615
    @carlinalfred5615 Жыл бұрын

    Am speechless 🥺 Let us wait for KARMA

  • @evaristkatibularutuku7094

    @evaristkatibularutuku7094

    Жыл бұрын

    Magumu yapo but Harmonize Ali tumiya ubinadamu vizuri .tuwe wakukumbuka mema .unasikiya Aliko mutoa .big up harmonize.

  • @Zuulito
    @Zuulito Жыл бұрын

    hey Fifi ilysm❤❤️❤️❤️❤️❤️

  • @maryamhilal9820
    @maryamhilal9820 Жыл бұрын

    Leo niwape mau yenu nyie watu watatu yaani mpo vizuri sana sijawahi acha kuwafatilia millady na wenzeko

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Жыл бұрын

    Anjella usikate tama mungu yupo

  • @neemambotola1139
    @neemambotola1139 Жыл бұрын

    Ila waliishi vizuri bhn ..me naona Angel anaongea vzr

  • @bhm675

    @bhm675

    Жыл бұрын

    Ni mtu wa shukran ata km walimfanyia mbaya ila anawaheshm ndo wamemfikisha apa so anashkur kwa machache aliyofanyiwa co km konde

  • @mayrose9772

    @mayrose9772

    Жыл бұрын

    Team WCB ni wachonganishi mana wanapovuka

  • @Stainyjacobtv

    @Stainyjacobtv

    Жыл бұрын

    Shida huyu dada alianza kutowa habar za uongo kwa mange kimambi na kwa watu wengine

  • @user-bd4ru4jy9q
    @user-bd4ru4jy9q Жыл бұрын

    Jameni naombeni tumsaport anjela

  • @faithmbae1944
    @faithmbae1944 Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-hz4qx4id5r
    @user-hz4qx4id5r Жыл бұрын

  • @mussakulanga9513
    @mussakulanga9513 Жыл бұрын

    ayo mwambie nampenda fida so much

  • @joachimkanoni7518

    @joachimkanoni7518

    Жыл бұрын

    Niachie frida Wang

  • @ireneferge9142
    @ireneferge9142 Жыл бұрын

    Angella you are an angel

  • @parachichiFM
    @parachichiFM Жыл бұрын

    🔥

Келесі