ELIZABETH MICHAEL (LULU): SAVE MY VALENTINE IRINGA
'Save my Valentines' is a campaign i launched on 23rd January 2019 with the purpose to touch the lives of people in need'
In succession to this, I stared to sell my dresses through social media, in belief that by doing this will help sharing blessings with others
Since majority of people were moved by this campaign, but not all were able to get my dresses, I decided to request them to contribute through other means.
My Valentines this year;
1. FARAJA HOUSE
2. TOSAMAGANGA ORPHANAGE CENTER
3. DAILY BREAD LIFE
4. GEREZA LA IRINGA
5. CHUO CHA UFUNDI CONSOLATHA
6. SHULE YA MSINGI MGONGO at IRINGA, TANZANIA.
Thank Y’all For Saving My Valentine... Blessings Fall On Y’all 🙏❤️❤️❤️❤️
Subscribe My KZread Channel
Facebook: / officiallizym
Twitter: / officiallizym
Instagram: / elizabethmi. .
#ElizabethMichaelLULU #SaveMyValentine
Пікірлер: 301
IPO cku nami nitafanya hivo e MUNGU kumbuka Agano langu kwako niwezeshe
@amedeusjoseph7176
4 жыл бұрын
Vzr
Jamaani hongera Sana Lulu unajua hawajui japo umepita kwenye magumu ila katika maisha yako mkumbuke Sana MUNGU na aliyekupa jina la lulu maana unang'aa Kama (LULU) yenyewe barikiwa
Heri kutoa kuliko kupokea barikiwa Sana lulu nakupenda
Lulu you have always been my inspiration since I was 12 years, you are living an exemplary life, you are a person anyone would look upto You are destined for greatness, my pray is that may God bless you through all souls you've blessed.
Unamoyo wakipele lulu Allah akuzidishiye baraka naakupe ubri mrefu naakuzidishiye moyo wahuruma kipenzi chawatu nakupenda sana lulu
Mimi siku zote uwa nasema lulu anakuaga na akili kubwa kushinda hata watu wazima ongera mama na sisi tuko nyuma yako pale utakapo itaji msaada wa mashabiki bahati mbaaya ikija hile campaign ya kuuzisha nguo sitapata tena maana sisi vibonge size 8 wapi na wapi 😂😂😂😂😂😂
Nakupenda lulu mungu akulinde akupe Maisha marefu
Ubarikiwe sana lulu. Mungu aachilie malaika wa ulinzi uingiapo na utokapo
Hongera mdogo wng lulu mungu akuzidishie Mali akupe umri mrefu akuepushie shari zte za ulimwengu beauty with brain❤️🙏
May the almighty God bless you more and more MY LOVE
Great Job Lulu.I m impressed Keep up the good work May God continue to shower his Blessing upon you.Amen
Asanteni sana, Mungu akubariki,. We will save your valentine as you wish. Barikiwa daima
Lulu anazidi wa higizaji wote upendo lulu izo ndizo baraka nakujiandalia njia nzuri ya kuhelekea mbinguni na Mungu akubariki
Be blessed in whatever you do it's a great thing and very inspiring
Nampenda lulu mungu akupe akili zaidi na maarifa
Lulu my Mungu akubariki mnoooo hakika umekua mtuwatofauti umekuwa mfano mzur wakuigwa😘😘😘😘😍😍
hadi machozi yamenitoka, hongera lulu yaani hilo jina la lulu linaendana kabisa na matendo yako Mazuri, barikiwa mno
LULU my living GOD may bless u ,for what u done,mungu azidi kukuinua na kukupa moyo kama uwoo,ila ni vyema ufanye ila sio uonekane kama umefanya ila ni vyema ufanye kwa kua umekuguswa,tusiwe kama wale masafisayo wasalio kando kando ya barabara.
Ur an Angel and am soo proud of u gal 😍 may God continue to shower u with blessings👏👏👏
Video imenitoa machozi daah.umeniinspire sana.MUNGU wetu ni mwena sanaaa nakuombea akujahalie mahitaji ya moyo wako❤️❤️❤️❤️
@melangongo2829
5 жыл бұрын
Kwa kweli ata na mimi
@aggygenge1157
5 жыл бұрын
mi pia nimejikuta nalia jamn
hongera,mamy umefanya jambo zuri sana,mungu akuzidishie ulipotoa
nimejisikia kulia Lulu Mungu akubariki sana sana mdogo wangu unafata nyayo kabisa za Dada zako jaqline mengi. faraja kota na nancy sumari hongera sana sana
Lulu mama nashukuru sana kwajinsi ulivyowasaidia mayatima, Mungu azidi kukusaidia nakukuwezesha
Kweli lulu mungu akuzidishiye,maisha,umefanya kitu kizuri sana ,hongera sana dada
Nakupenda sana lulu unanipa moyo na mm wakutimiza ndoto zangu, hongera sana lulu
Ulichofanya ni ki2 chema mwanadada Elizabeth hakika you are my role model love you much 😘
Lulu wangu umeniliza,Mungu wetu mwaminifu akutunze,una moyo wa kipekee
daaah hii video imenitoa machozi,,, hongera sana lulu. Mungu akuongezee ulipotoa"" Mungu nijaalie afya na nguvu nitimize ndodo yangu ya kusaidia wakiwa na mayatima ata kama ni wawili tu,, Nina uchungu sana nilichoahid
mimi ni mkongomani naishi London, alakini uhu muschana ana roho safi sana, mungu akubariki Lulu, nimetoka machozi kwa mema unayotenda, aksati kwa kuwalea watoto na wazee.
Mwenyez mungu akulinde lulu wangu pia hongera kwa kusaidia ndugu zangu Iringa
Nimekuwa nakupenda sana elizabeth tangu nikiwa mdogo nilikuangalia kama mtu unayefanya vitu vingi ninavyovipenda, nakupenda saba na maisha yako kwa ujumla nimekuwa nikipita na wew katika kila hali ikukutayo ikikufurahisha nami ninafurah na hata vilivyokuumiza bac nami viliniumiza pia nakupenda vile uar beautifully na kichwani uko smart
May God bless you dr.. Congrats for real.
Am cutting onions. ..blessings Lulu
A loving gesture. God bless you abundantly.
I love you Lulu i just want one day to be like you....To hold the same heart and spirit you have am your #1 fan since day one i heart you
Hongera sana sanaaaaa,umewaza kitu kikubwa Sana,Umewaza yatima na wenye mahitaji muhimu Mungu akubariki sanaaaaaa akuzidishie ulipopunguza. Nakupenda.
Mungu aliewavusha wana wa Israel bahari ya shamu akawapatia manna na akubariki Lizzy You are such a great person 😍😍😍😍😍
Nakupenda Sana wa jina wangu
God bless u Lulu Majizo we love so much💋💖💖💖
From kenya... Be blessed sis Elizabeth (lulu)
Ni msichana mdogo mwenye maono ya mbali...Pamoja na kuwa star...Bado anajitambua na kujua wajibu wake...Pole kwa mengi yanayokukuta..But kwa hayo yote Mungu anakusudi na wewe.....+
I wish you all the best,may God be with you everywhere and i whatever you do
Nakupenda sana lulu, mwenyezi mungu akubariki sana
Much love from kenya be blessed LuLu
Amina Mungu akuongezee na mi cku nikipata uwezo ntafnya kam ulivofanya 🙏🙏
Yaani mungu akuzidishie sana sana hakika we ni jembe la Tanzanian
Hongera sn lulu nakupenda sana una moyo wa kipekee sana
Hey we really enjoyed your video. Cant wait to see you post more videos.
Thanks for that🙏🙏🙏🙏may Allah reward you with more
@nohatredbutlove5786
5 жыл бұрын
And the best reward ever is guiding her to Islam. I pray for that cause this girl has got golden heart.
Mungu akubariki Sana binti Lulu umewekeza kwa Mungu na hatakuacha
Barikiwe sana My Dear nami natamani sana natafta sana na moyo nami nitawasaidia
😘😘😘mungu akuongoze na akuzidishie baraka da lulu umenigusaa
Good lulu mungu akuongezee mara dufu
Bless you hero. Elizabeth
mung akupe zaid mpenz akupe afya njema na mafanikio zaid amin😍😍😍😍😍
Mashaallah nimejikuta tu machozi yanimwaika ongera lulu mungu azindi kkucmamia kwa kila kitu amen unamoyo wa utu sna
@khadijaponsiano4346
5 жыл бұрын
Mwanaisha Mbili yn kweli vidio inaliza hiii mungu akuongoze zaidi bint lulu nakupenda xn
Lulu mungu akubariki sana umenifanya nizidi kukupenda kila iitwayo leo
umefanya jambo jema Dada Mungu akuzidixhie xan!!!
Ooh my God we musichana Mungu atakulipa uzidi kukuwa na moyo uyo pliz God bless you so so much
Love u lulu stay blessed
Barikiwa dear I'm so proud of u
safi sana Lulu endelea hivo hivo.
Ubarikiwe sana Mungu akuzidishie baraka na mafanikio 🙏🏾🙏🏾
Mtoto Ana akili kweli wenzio walitumia siku hii kwenda kwenye starehe lakini ww ukatumia kwa kuwafariji Yatiima MUNGU akuzidishie
@angelinachusi8151
3 жыл бұрын
Mamaako kakuzaa we mtoto Mungu akuongezee ulipopunguza
Be blessed Lulu
Mwenyezi mungu akujaalie yaliyo mema zaid lulu
Mungu akuzidishie lulu
Yoo lulu mungu akubariki maneno ya mzungu yamenitia moyo
Mungu akakupe hitaji la moyo wako mama god bless u
Waaah lulu hongera sana, Mungu akuzidishie ulipopunguza dadaangu, machozi yamenitoka aki, juu hawajachagua kua mayatima
Mungu azid kukuongoza lulu i lov your my roal model
God bless u lulu, umeonyesha ukarimu na upendo kwa hao Watoto, shukran sana dada
hongera Sana Lulu mungu akupe life ndf Sana
Beauty with brains mob love #lulufrmKenya
Maa shaa allah kazi nzuri sana Lulu
From Kenya...indeed i respect this lady natamani kumuona ana kwa ana
God bless you lulu
sina cha kusema hiyo ni Ibada kubwa kuliko zote Mungu anakupenda na aendelee kukubaliki umekua mtu wa tofaut much love.
Maashaallah barikiwa saana hatiay mungu gaseema tugipat duukumbuke mayatima ngotutaona mulango waahra
One word "amazing"
Mungu akuzidishie pale ulipo toa. wewe ni jembe I trust u ma dear@lulu big up
Toto Lulu, be blessed mamaaa
Hadi machozi yananilengalenga.mimi nilisaidiwa na mzungu kutoka Holland. Akanipeleka shule high school mpaka college wazazi wangu walipofariki nikiwa na miaka 14.ameniinspire sana ata mimi ipo siku nitafanikiwa zaidi kusaidia mayatima kama mimi
From our mouths to God's ears...🤗🙏🙏
Mwenyezi Mungu akuzidishie lulu
Mungu azidi kukupa moyo huwohuwo lulu tunakupenda sana
Hongera sana lulu Mungu akubariki
God blessed you lulu
hongera sana my dear lulu kutoa ni moyo mungu akupe kila hitaji la moyo wako
Daaaah Lulu ndugu yangu you've done something very sweet to other peoples' life mm binafsi nimependa unachokifanya Mungu akujalie mengi yatakayo ujaza moyo wako, moyo mkunjufu usio na majigambo naisiweje ikawa unatuonyeshaa tuu machon lakin hata maisha ya kawaida yawe hivyo hivyo.... Stay blessed more than blessed in so many ways🙏🙏🙏.
Mungu akubariki Sana Lulu jmn nakupenda bure
Hongera sana my
😰😭😭I can only catch few words but seems is great things u re doing with kids. God bless you. Love from🇨🇭
Lulu u r my mentor ❤️ God bless you More watching from Dubai
Mungu wa mbinguni akuzidishie sana Lulu
Mungu anakusud na wewe Lulu! Jitambue wewe ni wathaman xn. Mungu akuweke uzidi kuwa faraja ya wahitaji.🙏
Hongera Sana dada Elizabeth 😍😍😍😍😍 umekua katika kimo na hekima mtoto mzuri
hongera ikiwa endelevu ingependeza zaidi cz wengi tunafanya but sustainability is out problem
God bless you.
Lulu mungu atakulipa wallh longe vie my lulu