Edward Snowden: Alivyoiba na kutoa SIRI nyeti na hatari za MAREKANI kisha kupewa hifadhi URUSI

Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 133

  • @danielpetrosa8026
    @danielpetrosa80269 ай бұрын

    Sauti ya dhahabu hii Sky. Hizi makala zinatujenga sana kiakili halafu na hii soundtrack ni ya kisomi sana mpaka raha.

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_10 ай бұрын

    Nan Kama sky mungu akuweke brother una fanya ubongo wetu ipate afya ya akili na uwelewa

  • @giant1779
    @giant177910 ай бұрын

    This guy is a national hero in most of us Americans PERIOD.

  • @YahayaShabani-ne5gd

    @YahayaShabani-ne5gd

    10 ай бұрын

    Vp hapo chanika zingiziwa mvua inanyesha au

  • @sethny112

    @sethny112

    9 ай бұрын

    As Tanzanian American, Snowden is a national traitor

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    9 ай бұрын

    ​@@YahayaShabani-ne5gd😂😂😂😂

  • @sospeterkedmonchitema
    @sospeterkedmonchitema4 ай бұрын

    Sky worker big up brother

  • @zuberrymaabaddy5584
    @zuberrymaabaddy558410 ай бұрын

    Bro sky upo vizur sana

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni6 ай бұрын

    Nakukubali sana

  • @trendingfootshorts
    @trendingfootshorts10 ай бұрын

    Sky we ni genius

  • @emmanuelkijika1966
    @emmanuelkijika196610 ай бұрын

    I remember this happened somewhere around 2013 and was hit story at that time

  • @leylashelly4156
    @leylashelly415610 ай бұрын

    Hi Sky , am a big fan of Makala 360 en my dad as well Am requesting,is it possible for you to be giving us makala 360 weekly?

  • @colmanlesulie250

    @colmanlesulie250

    10 ай бұрын

    I think daily

  • @tataztv9200
    @tataztv920010 ай бұрын

    Leo bro sky hatimaye kilio changu kmesikika thaks bro❤

  • @stephanomkumbwa162

    @stephanomkumbwa162

    10 ай бұрын

    Sanaa kak😅

  • @tataztv9200

    @tataztv9200

    10 ай бұрын

    @@stephanomkumbwa162 atr mzee mdau wa hii mmbo sana

  • @user-yk7ff9ks6q
    @user-yk7ff9ks6q10 ай бұрын

    Marekani ni wanyama

  • @hopechidera

    @hopechidera

    10 ай бұрын

    Wanyama ni ww na kizazi chako chote...

  • @alphoncejohn6308
    @alphoncejohn630810 ай бұрын

    Nimekubali

  • @frankvianey2438
    @frankvianey243810 ай бұрын

    Umetisha brother sky

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    10 ай бұрын

    Sana. Lakini Verizon is pronounced Veraizon Whistle - Wiso (meza t) Sorry for that🙏🏽

  • @GiftFred-iq6qx
    @GiftFred-iq6qx10 ай бұрын

    Naomba utuletee Thabiti mlangi mtaalamu wamikakati yakivita

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason763010 ай бұрын

    I was just watching his 3 years ago interview yesterday with jre

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan249910 ай бұрын

    Nakipenda hiki kipindi, 360 MAKALA 😘

  • @emmanuellewayo8854
    @emmanuellewayo885410 ай бұрын

    Nimeisubiri sana kaka

  • @mfaumeally4476
    @mfaumeally447610 ай бұрын

    Sio yule wanamuita AYO kila siku ushubwada

  • @lameckraphael3743

    @lameckraphael3743

    10 ай бұрын

    😂😂😂

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee9 ай бұрын

    VERY NICE STORY. NICE NARRATION

  • @youngbona3804
    @youngbona380410 ай бұрын

    Documentary kali sanaa 🔥🔥🔥🔥🔥🤝👏👏👏

  • @denischengula5703

    @denischengula5703

    10 ай бұрын

    Pu

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td10 ай бұрын

    Good skay ,🇧🇮

  • @user-fk8jc3bz3r
    @user-fk8jc3bz3r4 ай бұрын

    Mimi wakifatilia hitoria ya mtandaoni ninachogoogle wanaweza kucheka mpaka kufaa😂😂😂

  • @Agath45
    @Agath459 ай бұрын

    Noma sana

  • @salumuseif3324
    @salumuseif33248 ай бұрын

    Noma

  • @albertjoseph6848
    @albertjoseph68489 ай бұрын

    Brother umetishaa sanaa

  • @sulwajackson6906
    @sulwajackson690610 ай бұрын

    Asaxante kaka yangu nimekuta nikijua vingi kuptia vipndi vyako vizri,Mungu azidi kukutunza

  • @Saki930
    @Saki9308 ай бұрын

    Anatisha sana

  • @rashidshaban2890
    @rashidshaban289010 ай бұрын

    this guy is genius

  • @fredmartin9633
    @fredmartin963310 ай бұрын

    Man sauti ni mukide for any documentary…🙌🏽

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi50049 ай бұрын

    Mashaallah

  • @abdulrahmanhassan5998
    @abdulrahmanhassan599810 ай бұрын

    Bado naendelea kuwa kumbusha hamakala fikirieni kuyakusanya sehemu moja Kisha muchapishe kitabu mukiuze kitabu kimoja 10000 , pia itapendeza cover ya kitabu 📚 iwe hiyo hiyo picha ya makala 360 , maana itafika kipindi teknolojia itabadilika huwenda mkaooteza hizi record lakini mkihifadhi kwenye kurasa itadumu , tafadhali fikirieni. Kwa kumalizia huyo jasusi yupo kwenye movie 🎥 au sires iitwayo. the black list

  • @magretangel5242

    @magretangel5242

    10 ай бұрын

    Acha ushamba wewe siutengeneze vya kwako nyie ndio wale waafrika kila kitu mnauza ...njaa itakuua ww ..tumepewa Bure hapa ingekuwa ww na akili yako maji ungeuza ...Sasa chapa vya kwako acha ushamba sjui kabila gan ww.

  • @abdulrahmanhassan5998

    @abdulrahmanhassan5998

    10 ай бұрын

    ​​@@magretangel5242haya ndio madhara ya kupenda vitu vya bure bure , wewe unayependa vitu vya bure utasikiliza KZread na Mimi ambaye nipo tayali kuwachangia SnS nitanunu. Alafu ukisikia marafiki mzigo ndio ndio wewe.

  • @Supershopdubai-ck8td

    @Supershopdubai-ck8td

    10 ай бұрын

    ​@@magretangel5242hhhhh babu umenimaliza bro 🇧🇮🇧🇮🖤

  • @bizzleadam9895

    @bizzleadam9895

    10 ай бұрын

    @@magretangel5242 Ww pia kichwa yako haina kitu.....apa hujapewa buree bundle unalotumia ndyo PESA yenyew unayolipiaa..." imebadlika kutoka kwa karatas ya fedha mpaka kwa digital curency

  • @daprince7545

    @daprince7545

    10 ай бұрын

    ​@@magretangel5242yeye ametoa maoni tu, haina haja ukashifu mpaka kabila lake, kua na hekma soma comment yake vizur. Kuchapisha vitabu ni moja ya kukuza uchumi na kutoa ajira. Na serikali nayo itapata kipato chake apo kwa vitabu. Na pato ilo litakuja tena kwa wanaichi. Kuna barabara matibabu madawa shule na hali kadhalka

  • @fatmakiraga4016
    @fatmakiraga40169 ай бұрын

    Let’s say for example Sina simu na Sina laptop Vipi watanifatilia 🤔

  • @user-nd1pu8wx7k
    @user-nd1pu8wx7k10 ай бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @dvjmiloow2955
    @dvjmiloow295510 ай бұрын

    Sky Napenda sana unavyo soma Story kwnye kipengele hiki, But ingpendeza zaidi kama Editor angekuwa ana changanya Picha kulingana na unacho kisoma.

  • @brunoh_bx

    @brunoh_bx

    10 ай бұрын

    Kwelii👏👏

  • @joycekisamo4896

    @joycekisamo4896

    10 ай бұрын

    Maelezo kwa hiyo sauti yanajitosheleza. Wengine husikiliza tu hiku tukifanya shughuli nyingi. Tafuta makala za KZread utapata utakacho 👍🏽

  • @dvjmiloow2955

    @dvjmiloow2955

    10 ай бұрын

    @@joycekisamo4896🙏🙏

  • @AlbertoOrlandolisboaLisb-re2sg
    @AlbertoOrlandolisboaLisb-re2sg10 ай бұрын

    Asante

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko40475 ай бұрын

    Imenikumbisha mbali sana

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla65049 ай бұрын

    Wow

  • @geoffreyisaac3526
    @geoffreyisaac35269 ай бұрын

    Mbona hueleweki mala baada ya tukio la 2011 kajiunga na jeshi 2004

  • @ashrafukilete
    @ashrafukilete10 ай бұрын

    🙌🔥🔥🎯

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam99609 ай бұрын

    Hakuwafikiria ndugu zake.Sasa anawamiss anataka kurudi..Hapo ndo ujue msemo wa nyumbani ni nyumbani

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km10 ай бұрын

    Intelligence ya Hawa wamerekani ipo juu sana ndo maana wanaitawala Dunia kwa mda mrefu

  • @lameckraphael3743

    @lameckraphael3743

    10 ай бұрын

    Watu gan urus au USA

  • @olomweneabongela1717

    @olomweneabongela1717

    10 ай бұрын

    USA

  • @Chettymlambalipsi-lb9km

    @Chettymlambalipsi-lb9km

    10 ай бұрын

    @@lameckraphael3743 America hapo hata Russia nae Kwa intelligentsia Yao ipo juu

  • @adaboychibu1659

    @adaboychibu1659

    10 ай бұрын

    Hacha puuzi wewe anaye itawala dunia ni Mungu pekee!nyie binadam mnaangaika na dunia tuu

  • @fabianlaston5901

    @fabianlaston5901

    10 ай бұрын

    Acha uongo wewe anayeitawala Duncan ni shetani na sio MUNGU

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko391510 ай бұрын

    Usije kuta pengine huyo Snowden ni double Agent

  • @user-ui7lb5yc2l
    @user-ui7lb5yc2l8 ай бұрын

    Tofauti kati ya Zionists and Jewish ni ipi !?

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok482310 ай бұрын

    Urusi wasidhani wamarekani wamepigwa ,ukute ni mbinu zao wamefanya ili snowden akaichunguze urusi kwa ukaribu zaidi,mzungu ana akili sana ukizingatia huyo jamaa ni very smart .urusi ameliwa hapo

  • @maniamba.tz_

    @maniamba.tz_

    10 ай бұрын

    Ayuko huru kiasi kwamba anaweza kufanya jambo tofauti wakonae makini sana

  • @owenmutale8686

    @owenmutale8686

    10 ай бұрын

    Unazan urusi hawana akili km wewe tahira?

  • @msodokidasilva6739

    @msodokidasilva6739

    10 ай бұрын

    ​@@owenmutale8686😂😂😂😂

  • @andrewIzdory-sk4cu

    @andrewIzdory-sk4cu

    10 ай бұрын

    Kakwambia nani marekani pekee ndo mzungu.

  • @sajojunior9479

    @sajojunior9479

    10 ай бұрын

    Na pia inaezekana ni mrusi akapandikizwa america

  • @ramaccr7525
    @ramaccr752510 ай бұрын

    🙏🙏

  • @deomloka683
    @deomloka68310 ай бұрын

    👍👍👍

  • @alikhamis633
    @alikhamis63310 ай бұрын

    🔥

  • @Kuanimdogo
    @Kuanimdogo10 ай бұрын

    Fungua the story book kaka

  • @KingRomyJay
    @KingRomyJay10 ай бұрын

    uyo msaliti ni wa kunyonya adi kufa yan kama angekuwa north Korea tungesha msahau kitambo sana

  • @mfaumeally4476
    @mfaumeally447610 ай бұрын

    Wakwanza

  • @danvannyzawad6452
    @danvannyzawad64529 ай бұрын

    Duu atari sana

  • @elmereckbet4510
    @elmereckbet45109 ай бұрын

    SKY WORKER 🔥🔥🔥

  • @pioustrevol3468
    @pioustrevol34689 ай бұрын

    Wazungu si wanawaletea 5G Tunachekelea 😂 Mzungu Sio Auntie Akoo Weeeh angalia Simu Yako Inao Mic Mbili juu na Chin, Battery n ndan kwa ndan Owky Amna Shida

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything9 ай бұрын

    👍👊✌️.

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile59429 ай бұрын

    Amr sio nchi

  • @NishimweJohn
    @NishimweJohn10 ай бұрын

    🤛

  • @dannywillson5874
    @dannywillson58749 ай бұрын

    Kwa Putin wenda alisema

  • @paulinekamau9633
    @paulinekamau963310 ай бұрын

    Russia will eff him up at some point

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf205710 ай бұрын

    Shujaaa

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim793010 ай бұрын

    Anarud marekan kufanya nn tena asiokaazake urusi akala bata

  • @salimalharrasi3943
    @salimalharrasi39439 ай бұрын

    HAKUNA MKATE MGUMU KWENE CHAI

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa384210 ай бұрын

    Kwisha habari mambo mengi ya siri sana yalifichuliwa ikiwemo uongo uhusuo Osama Bin Laden kwamba yupo hai ni janja janja tu Marekani

  • @KhadijaAbdallah-kn3ii
    @KhadijaAbdallah-kn3ii10 ай бұрын

    Shujaa katufumbua macho

  • @DamasEmanuel-gw7lj
    @DamasEmanuel-gw7lj10 ай бұрын

    Msailiti na mjinga

  • @josepheriah5977
    @josepheriah59779 ай бұрын

    Wanauuaaa

  • @user-iu5lf3db4k
    @user-iu5lf3db4k9 ай бұрын

    Putin anamtumia vip snowden? Russia wanaishi katika mistari ya snowden? Russia inamfaa snowden?

  • @Anotisam123wurjf
    @Anotisam123wurjf10 ай бұрын

    Sky tufanyie documentary ya kanyé west please

  • @fistonmichel1502
    @fistonmichel150210 ай бұрын

    muko nakawiya sana kwakuandaa nivema mufanye basi ata kwa wiki tuwe napata vidéo moja moja kwa wiki

  • @davidkamando9630
    @davidkamando96309 ай бұрын

    Kiukweli, jinsi tunavyo zidi kutumia technologia hasa kuingia kwenye internet, social media sijui smartphone... Tunazidi kujiweka hatarini... BASI tu huu ukweli watu mnapingaga tu... Eti mnatafuta hela online... Haya bana..

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu10 ай бұрын

    Urusi waangalie isijekuwa ni mbinu za wamarekani,???

  • @geofreysadok4823

    @geofreysadok4823

    10 ай бұрын

    Tena wawe makini nae sana huyo jamaa 😅wanaweza kuhisi wamepata kumbe wanachorwa

  • @BIGBOSS-hl3bu

    @BIGBOSS-hl3bu

    10 ай бұрын

    Geofrey umeona eeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa sababu Kwa akili za kawaida tuu ,haiwezekani mtu kuharibu kazi tena anajua kabisa kuwa ni HATARI Kwa usalama wake Kwa kufanya hivyo na Hana kichaaa chochote mhhh.

  • @PalomaMshana
    @PalomaMshana28 күн бұрын

    He is Gemini 😂😂 so oh yeah

  • @ashleekingashleeking1553
    @ashleekingashleeking15539 ай бұрын

    d

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra6369 ай бұрын

    Ana akilii sana kuka kujiunga na urusi maana sidhani nao kama wange muamini

  • @BGHaule

    @BGHaule

    9 ай бұрын

    Lingekuwa Kosa kubwa ambalo lingeweza kugharimu uhai wake,ni afadhali alikataa hiyo ofa

  • @kijazi6506
    @kijazi650610 ай бұрын

    traitor with in...

  • @sonnyr1899
    @sonnyr189910 ай бұрын

    Hapa ndio utajuwa kuwa demokrasia ni kiini macho kudadadeki

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok482310 ай бұрын

    Ukiskiliza hii makala kwa umqkini na ukafatilia story ya snowden utaelewa tu kwamba huo ni mpango wa marekani ,jamaa katumwa kazi urusi😅

  • @Adamchestemuzaahim

    @Adamchestemuzaahim

    10 ай бұрын

    Unafikiri urusi pia imeka kimandazi?😂😂😂😂

  • @ashirafubesta1018

    @ashirafubesta1018

    10 ай бұрын

    Uitambui vzr urus ww

  • @paulntalima6998
    @paulntalima699810 ай бұрын

    Sns n online media bora kwa sasa kuliko @Milardayo

  • @Maya-bm9bu

    @Maya-bm9bu

    10 ай бұрын

    Ujaambiwa utoe maoni ipi mbaya ipi nzuri woiii😏

  • @deejayvlctz

    @deejayvlctz

    10 ай бұрын

    Kuwa mzalendo usipendee uchonganishi. Zote ni media zetu zinazotupa habari.

  • @user-gw5sl8tx5w

    @user-gw5sl8tx5w

    10 ай бұрын

    Ubongo wa mende

  • @Gijantv
    @Gijantv10 ай бұрын

    Da mko slow sana stori ya mababu uko mnatoa leo😀

  • @CoeusUranus

    @CoeusUranus

    10 ай бұрын

    @TikTok_afro Akili yako ndo ipo slow..Sasa si Kungekuwa hakuna haja ya watu kusoma au kujifunza historia ya mambo kadha wa kadha ya nyakati za nyuma. Sasa wewe umekujaje ku komment kama umeona historia ya Snowden ni ya toka mababu..Unajifanya unajuaa huenda leo ndo umeenza kuisikia na nauhakika umesikiliza mpaka mwisho..😅😅 NDEZI kweli wewe..

  • @moseskulola6913
    @moseskulola691310 ай бұрын

    Noma

  • @fredmartin9633
    @fredmartin963310 ай бұрын

    Man sauti ni mukide for any documentary…🙌🏽

Келесі