Edward Snowden: Alivyoiba na kutoa SIRI nyeti na hatari za MAREKANI kisha kupewa hifadhi URUSI
Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Пікірлер: 133
Sauti ya dhahabu hii Sky. Hizi makala zinatujenga sana kiakili halafu na hii soundtrack ni ya kisomi sana mpaka raha.
Nan Kama sky mungu akuweke brother una fanya ubongo wetu ipate afya ya akili na uwelewa
This guy is a national hero in most of us Americans PERIOD.
@YahayaShabani-ne5gd
10 ай бұрын
Vp hapo chanika zingiziwa mvua inanyesha au
@sethny112
9 ай бұрын
As Tanzanian American, Snowden is a national traitor
@NR-ll4sr
9 ай бұрын
@@YahayaShabani-ne5gd😂😂😂😂
Sky worker big up brother
Bro sky upo vizur sana
Nakukubali sana
Sky we ni genius
I remember this happened somewhere around 2013 and was hit story at that time
Hi Sky , am a big fan of Makala 360 en my dad as well Am requesting,is it possible for you to be giving us makala 360 weekly?
@colmanlesulie250
10 ай бұрын
I think daily
Leo bro sky hatimaye kilio changu kmesikika thaks bro❤
@stephanomkumbwa162
10 ай бұрын
Sanaa kak😅
@tataztv9200
10 ай бұрын
@@stephanomkumbwa162 atr mzee mdau wa hii mmbo sana
Marekani ni wanyama
@hopechidera
10 ай бұрын
Wanyama ni ww na kizazi chako chote...
Nimekubali
Umetisha brother sky
@joycekisamo4896
10 ай бұрын
Sana. Lakini Verizon is pronounced Veraizon Whistle - Wiso (meza t) Sorry for that🙏🏽
Naomba utuletee Thabiti mlangi mtaalamu wamikakati yakivita
I was just watching his 3 years ago interview yesterday with jre
Nakipenda hiki kipindi, 360 MAKALA 😘
Nimeisubiri sana kaka
Sio yule wanamuita AYO kila siku ushubwada
@lameckraphael3743
10 ай бұрын
😂😂😂
VERY NICE STORY. NICE NARRATION
Documentary kali sanaa 🔥🔥🔥🔥🔥🤝👏👏👏
@denischengula5703
10 ай бұрын
Pu
Good skay ,🇧🇮
Mimi wakifatilia hitoria ya mtandaoni ninachogoogle wanaweza kucheka mpaka kufaa😂😂😂
Noma sana
Noma
Brother umetishaa sanaa
Asaxante kaka yangu nimekuta nikijua vingi kuptia vipndi vyako vizri,Mungu azidi kukutunza
Anatisha sana
this guy is genius
Man sauti ni mukide for any documentary…🙌🏽
Mashaallah
Bado naendelea kuwa kumbusha hamakala fikirieni kuyakusanya sehemu moja Kisha muchapishe kitabu mukiuze kitabu kimoja 10000 , pia itapendeza cover ya kitabu 📚 iwe hiyo hiyo picha ya makala 360 , maana itafika kipindi teknolojia itabadilika huwenda mkaooteza hizi record lakini mkihifadhi kwenye kurasa itadumu , tafadhali fikirieni. Kwa kumalizia huyo jasusi yupo kwenye movie 🎥 au sires iitwayo. the black list
@magretangel5242
10 ай бұрын
Acha ushamba wewe siutengeneze vya kwako nyie ndio wale waafrika kila kitu mnauza ...njaa itakuua ww ..tumepewa Bure hapa ingekuwa ww na akili yako maji ungeuza ...Sasa chapa vya kwako acha ushamba sjui kabila gan ww.
@abdulrahmanhassan5998
10 ай бұрын
@@magretangel5242haya ndio madhara ya kupenda vitu vya bure bure , wewe unayependa vitu vya bure utasikiliza KZread na Mimi ambaye nipo tayali kuwachangia SnS nitanunu. Alafu ukisikia marafiki mzigo ndio ndio wewe.
@Supershopdubai-ck8td
10 ай бұрын
@@magretangel5242hhhhh babu umenimaliza bro 🇧🇮🇧🇮🖤
@bizzleadam9895
10 ай бұрын
@@magretangel5242 Ww pia kichwa yako haina kitu.....apa hujapewa buree bundle unalotumia ndyo PESA yenyew unayolipiaa..." imebadlika kutoka kwa karatas ya fedha mpaka kwa digital curency
@daprince7545
10 ай бұрын
@@magretangel5242yeye ametoa maoni tu, haina haja ukashifu mpaka kabila lake, kua na hekma soma comment yake vizur. Kuchapisha vitabu ni moja ya kukuza uchumi na kutoa ajira. Na serikali nayo itapata kipato chake apo kwa vitabu. Na pato ilo litakuja tena kwa wanaichi. Kuna barabara matibabu madawa shule na hali kadhalka
Let’s say for example Sina simu na Sina laptop Vipi watanifatilia 🤔
🙏🙏🙏🙏🙏
Sky Napenda sana unavyo soma Story kwnye kipengele hiki, But ingpendeza zaidi kama Editor angekuwa ana changanya Picha kulingana na unacho kisoma.
@brunoh_bx
10 ай бұрын
Kwelii👏👏
@joycekisamo4896
10 ай бұрын
Maelezo kwa hiyo sauti yanajitosheleza. Wengine husikiliza tu hiku tukifanya shughuli nyingi. Tafuta makala za KZread utapata utakacho 👍🏽
@dvjmiloow2955
10 ай бұрын
@@joycekisamo4896🙏🙏
Asante
Imenikumbisha mbali sana
Wow
Mbona hueleweki mala baada ya tukio la 2011 kajiunga na jeshi 2004
🙌🔥🔥🎯
Hakuwafikiria ndugu zake.Sasa anawamiss anataka kurudi..Hapo ndo ujue msemo wa nyumbani ni nyumbani
Intelligence ya Hawa wamerekani ipo juu sana ndo maana wanaitawala Dunia kwa mda mrefu
@lameckraphael3743
10 ай бұрын
Watu gan urus au USA
@olomweneabongela1717
10 ай бұрын
USA
@Chettymlambalipsi-lb9km
10 ай бұрын
@@lameckraphael3743 America hapo hata Russia nae Kwa intelligentsia Yao ipo juu
@adaboychibu1659
10 ай бұрын
Hacha puuzi wewe anaye itawala dunia ni Mungu pekee!nyie binadam mnaangaika na dunia tuu
@fabianlaston5901
10 ай бұрын
Acha uongo wewe anayeitawala Duncan ni shetani na sio MUNGU
Usije kuta pengine huyo Snowden ni double Agent
Tofauti kati ya Zionists and Jewish ni ipi !?
Urusi wasidhani wamarekani wamepigwa ,ukute ni mbinu zao wamefanya ili snowden akaichunguze urusi kwa ukaribu zaidi,mzungu ana akili sana ukizingatia huyo jamaa ni very smart .urusi ameliwa hapo
@maniamba.tz_
10 ай бұрын
Ayuko huru kiasi kwamba anaweza kufanya jambo tofauti wakonae makini sana
@owenmutale8686
10 ай бұрын
Unazan urusi hawana akili km wewe tahira?
@msodokidasilva6739
10 ай бұрын
@@owenmutale8686😂😂😂😂
@andrewIzdory-sk4cu
10 ай бұрын
Kakwambia nani marekani pekee ndo mzungu.
@sajojunior9479
10 ай бұрын
Na pia inaezekana ni mrusi akapandikizwa america
🙏🙏
👍👍👍
🔥
Fungua the story book kaka
uyo msaliti ni wa kunyonya adi kufa yan kama angekuwa north Korea tungesha msahau kitambo sana
Wakwanza
Duu atari sana
SKY WORKER 🔥🔥🔥
Wazungu si wanawaletea 5G Tunachekelea 😂 Mzungu Sio Auntie Akoo Weeeh angalia Simu Yako Inao Mic Mbili juu na Chin, Battery n ndan kwa ndan Owky Amna Shida
👍👊✌️.
Amr sio nchi
🤛
Kwa Putin wenda alisema
Russia will eff him up at some point
Shujaaa
Anarud marekan kufanya nn tena asiokaazake urusi akala bata
HAKUNA MKATE MGUMU KWENE CHAI
Kwisha habari mambo mengi ya siri sana yalifichuliwa ikiwemo uongo uhusuo Osama Bin Laden kwamba yupo hai ni janja janja tu Marekani
Shujaa katufumbua macho
Msailiti na mjinga
Wanauuaaa
Putin anamtumia vip snowden? Russia wanaishi katika mistari ya snowden? Russia inamfaa snowden?
Sky tufanyie documentary ya kanyé west please
muko nakawiya sana kwakuandaa nivema mufanye basi ata kwa wiki tuwe napata vidéo moja moja kwa wiki
Kiukweli, jinsi tunavyo zidi kutumia technologia hasa kuingia kwenye internet, social media sijui smartphone... Tunazidi kujiweka hatarini... BASI tu huu ukweli watu mnapingaga tu... Eti mnatafuta hela online... Haya bana..
Urusi waangalie isijekuwa ni mbinu za wamarekani,???
@geofreysadok4823
10 ай бұрын
Tena wawe makini nae sana huyo jamaa 😅wanaweza kuhisi wamepata kumbe wanachorwa
@BIGBOSS-hl3bu
10 ай бұрын
Geofrey umeona eeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa sababu Kwa akili za kawaida tuu ,haiwezekani mtu kuharibu kazi tena anajua kabisa kuwa ni HATARI Kwa usalama wake Kwa kufanya hivyo na Hana kichaaa chochote mhhh.
He is Gemini 😂😂 so oh yeah
d
Ana akilii sana kuka kujiunga na urusi maana sidhani nao kama wange muamini
@BGHaule
9 ай бұрын
Lingekuwa Kosa kubwa ambalo lingeweza kugharimu uhai wake,ni afadhali alikataa hiyo ofa
traitor with in...
Hapa ndio utajuwa kuwa demokrasia ni kiini macho kudadadeki
Ukiskiliza hii makala kwa umqkini na ukafatilia story ya snowden utaelewa tu kwamba huo ni mpango wa marekani ,jamaa katumwa kazi urusi😅
@Adamchestemuzaahim
10 ай бұрын
Unafikiri urusi pia imeka kimandazi?😂😂😂😂
@ashirafubesta1018
10 ай бұрын
Uitambui vzr urus ww
Sns n online media bora kwa sasa kuliko @Milardayo
@Maya-bm9bu
10 ай бұрын
Ujaambiwa utoe maoni ipi mbaya ipi nzuri woiii😏
@deejayvlctz
10 ай бұрын
Kuwa mzalendo usipendee uchonganishi. Zote ni media zetu zinazotupa habari.
@user-gw5sl8tx5w
10 ай бұрын
Ubongo wa mende
Da mko slow sana stori ya mababu uko mnatoa leo😀
@CoeusUranus
10 ай бұрын
@TikTok_afro Akili yako ndo ipo slow..Sasa si Kungekuwa hakuna haja ya watu kusoma au kujifunza historia ya mambo kadha wa kadha ya nyakati za nyuma. Sasa wewe umekujaje ku komment kama umeona historia ya Snowden ni ya toka mababu..Unajifanya unajuaa huenda leo ndo umeenza kuisikia na nauhakika umesikiliza mpaka mwisho..😅😅 NDEZI kweli wewe..
Noma
Man sauti ni mukide for any documentary…🙌🏽