ALI BONGO ONDIMBA: RAIS wa GABON aliyepinduliwa, ameitafuna nchi bila HURUMA, alianza BABA yake

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 217

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail541910 ай бұрын

    We so happy about new change in Africa we tired 😫 😩 about old generation we need new generation now

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip342610 ай бұрын

    Familia moja imeikula Gabon kwa miaka 55,hvyohvyo na ccm yetu imeitafuna nchi Ni vle wanabebwa tu na katba Ila utafka tu wakat wa Mungu maana malipo Ni hapahapa dunian

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani548110 ай бұрын

    Mwenyezimungu atusamehe na atuepushe na Tamaa na kuwadhurumu watu,,mungu akikuteua kama kiongozi kuwa muadilifu mana Kuna kesho,,eeh mola tusamehe mazambi yetu sisi waja wako wadhaifu na utupe mwisho mwema sisi na vizazi vyetu innshaala

  • @Muda27

    @Muda27

    10 ай бұрын

    Amen.

  • @FatumaMuya

    @FatumaMuya

    10 ай бұрын

    Amiin

  • @anosiata8242
    @anosiata824210 ай бұрын

    Mimi napenda nchi wanajeshi wanaojimbua. Safi sana wanajeshi Gabon.

  • @shubebunyesi542

    @shubebunyesi542

    10 ай бұрын

    Ndugu pale Gabon hakuna mapinduzi ila kuna bifu ya kifamilia kwann kaka uanakula peke yako na cc tunataka kwaiyo apo hakuna mabadiliko yyte bali ni bifu za kifamilia kwamba upande flani unanufaika kuliko we jiulizie maransa anapiga kelele au marekani c unawaona wako kimyaa manake wao hawakuguswa wanaendelea kula so hakuna shida kwao c umeiona Niger usaransa kakataa kuondoka kisa haitambui serikali basi ya gaboni ataitambua coz haijagusa wala kutishia maslai yake sasa apo utasema mapinduzi au wanagombea ulaji ,, ndugu Sio kila mapinduzi lengo lake Uzalendo hapana kikundi kiomoja kinaona wenzao wanakulakeki ya taifa pekee so na cc tuingie tule lkn c kwaaajili ya maslai ya taifa wala wananchi cjui umenielewa

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko391510 ай бұрын

    Wanajeshi wanaojua wajibu wao kwa nchi zao Mungu awaongoze na wao wasiwe km Watangulizi wao

  • @nasrinairi9556
    @nasrinairi955610 ай бұрын

    Hii Safi Sana. Pongezi kwa Maamuzi Hayo Kwa Niaba ya Wananchi Wanyonge kwenye Nchi Yao. ✊🔥

  • @allyhassan7169
    @allyhassan716910 ай бұрын

    Mwanajeshi wa kweli na mwanamapinduzi mzalendo hapa kwetu alikuwa hayati maqufuli bahati mbaya alikuwa jeshi la mtu mmoja aliyejitolea uhai wake kwa kuwatetea wanyonqe wa Tanzania kutoka raslimali zao tunaimani ukombozi wa Africa utaenea bara lote dhidi ya mabeberu na vibaraka wao wote

  • @Halfanhemedi-ec2cp

    @Halfanhemedi-ec2cp

    10 ай бұрын

    kamtetea nani kajitetea mwenyewe mi anayenitetea ni aliyeniumba tu

  • @rogerslwitiko3915

    @rogerslwitiko3915

    10 ай бұрын

    ​@@Halfanhemedi-ec2cpUpo sahihi Bro Wazalendo wa kweli walikuwa ni wakina Mwl.Nyerere, Thomas Sankara,Colonel Muammar Gadaffi,Kwame Nkrumah,Gamal Abdel Nasser,Patrice Lumumba na Ahmed Ben Bella wengine waliofuata ni Wachumia matumbo yao

  • @Halfanhemedi-ec2cp

    @Halfanhemedi-ec2cp

    10 ай бұрын

    watu wengine akili mchwa

  • @rogerslwitiko3915

    @rogerslwitiko3915

    10 ай бұрын

    @@Halfanhemedi-ec2cp Hakika Mtaalamu

  • @lucasngalawa8826

    @lucasngalawa8826

    10 ай бұрын

    Binafsi mimi magufuli kwangu ni shujaa❤❤❤❤

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious10 ай бұрын

    Kikubwa Mapinduzi Hayo Yasiwe Ni Uroho Wa Madaraka 🙏🏼🙏🏼

  • @georgerichard4902

    @georgerichard4902

    10 ай бұрын

    Uwe unasikiliza kwanza unaelewa ndo uncomment

  • @jassonnelly3445
    @jassonnelly344510 ай бұрын

    Nchi yetu sis watu hawana mda wame umbea na udaku baasi kuwaza vitu vya msingi hakuna

  • @allymwilu8089

    @allymwilu8089

    10 ай бұрын

    Kwakweli tunaangamia😂😂😂😂

  • @salimalaquimane3077

    @salimalaquimane3077

    10 ай бұрын

    Jeshi Lina taka sale zao tu😅😅😅😅

  • @rogersiddy

    @rogersiddy

    10 ай бұрын

    ​@@salimalaquimane3077ndo wanachokiona chamuhimu kuliko vyote lkn hili wanalofanya wenzao wala hawalioni kuwa lamuhimu zaidi ili kuwasaidia wananchi na kuisaidia nchi pia

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao10 ай бұрын

    Mungu Ikomboe Afrika🙌🏾❤️🇰🇪

  • @Muda27
    @Muda2710 ай бұрын

    Mioyo inaumia,tunasikitika,tunateseka ila Mungu anasikia kilio chetu..muda wa Mwenyezi Mungu ndio muda sahihi.

  • @lilianambokile6832

    @lilianambokile6832

    10 ай бұрын

    Kabisa

  • @IsaacParuz
    @IsaacParuz10 ай бұрын

    Proudly sns Asanteni sana sns Kwa kutujuza mambo ya msingi sana

  • @redockbracard9455
    @redockbracard9455Ай бұрын

    We're so happy with our lovely new generation African leaders

  • @user-qy5qw1jv4s
    @user-qy5qw1jv4s10 ай бұрын

    Yaani mi nasema je nchi zetu nyingi za afrika zinaita kufanyiwa hivyo,maana marais wengi wa afrika wamejifanya miungu watu kutaka kutawala milele tena kwa matumizi mabaya ya madaraka kwakutujali raia wanaowaweka madaraka,mi naona mapinduzi yaanedelee tu labda wengin akili zinaweza kuwasogea

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo10 ай бұрын

    Kweli kaka lakini kumbuka atujui anavo waalika malafiki zake kitatokea Nini ila namalizia Afrika bara tajiri sana ila imekua ni mladi mkubwa sana kwa wazungu wanafulai kuona tuna uwana waafrika wao wanatumia nafasi iyo kuiba Mali zetu sio sawa inauma sana mungu ibariki gaboni isitokee vita tuiombee gaboni

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel313210 ай бұрын

    ❤kwa brog yenu kwa uchambuzi mzuri na hasa jamaa namwelewa Sana ❤ djsma kupasua brog za umbea tupa kule mbelembele

  • @MrNoNonsenseYes

    @MrNoNonsenseYes

    10 ай бұрын

    Blogg*

  • @msangodiesel3132

    @msangodiesel3132

    10 ай бұрын

    @@MrNoNonsenseYes sawa nimekuelewa

  • @allymtunge5530
    @allymtunge553010 ай бұрын

    Asante kaka skay kwa makala nzur sns ninatuabalisha vizur

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri652410 ай бұрын

    Asante sana my brother from another mother

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina284510 ай бұрын

    Kwani Bongo familia Kama za BONGO OMARI MBONA ZIPO NDO ZINATAFUNA KEKI YA TAIFA.KILA MMOJA ATAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE😢😢😢😢

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    10 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @libetztanzania-kiswahilina2845

    @libetztanzania-kiswahilina2845

    10 ай бұрын

    @@christinewomanoffaith5479 BABA RAIS MSTAAFU, MAMA MBUNGE , MTOTO MBINGE NA WAZIRI SASA KUNA TOFAUTI GANI HAWA WATANZANIA NA FAMILIA YA MSEVENI AU KAGAME 🤣🤣Tanzania mnawafaham mpaka wakww

  • @thomsanga7956
    @thomsanga795610 ай бұрын

    Makala nzuri sana aisee 👏🏿👏🏿

  • @victormalelemba4324
    @victormalelemba432410 ай бұрын

    Mungu ibariki africa yajayo yanafurahisha kinachofuata nchi zote viongozi ambao ni mafisadi wapinduliwe

  • @esternjauzi6310

    @esternjauzi6310

    10 ай бұрын

    Nakupendaga we kijana simulizi zako asante kwa taarifa nzuri

  • @emmanuelmwakibolwa735
    @emmanuelmwakibolwa73510 ай бұрын

    Tamaa ni kitu kibaya sana. Fikiria mtu ungekwapua uchumi wote wa nchi. Ni maisha yepi hayo utakayoishi ambayo ni tofauti na maisha ya mwanadamu? Kumbuka sote tunakula, tunaugua, tunalala, tuanakufa. Kama ni chakula ni kile kile tu, kama ni wali ni ile ule, kama ni nyama ni ileile, kama mbuzi ni wale wale tu, kama ni kuku ni wale wale tu, tena wa kienyeji ni watamu zaidi, tena usipokula mboga mboga za majani unatafuta matatizo, je kuna wali wa dhahabu, kuna nyama ya tanzanite! Je, kuna pizza za almasi? Je, au ni sahani na vijiko vya dhahabu? Ndio tuite tunakula maisha??? Ni nini tukikila tunakuwa tofauti na wanadamu wengine?? Au tukisafiri sana Ulaya au America tunakuwa tofauti kivipi? Je, afya yetu itabadilika? Au hivyo tutakavyoviona huko vinatuongezea nini maishani? Au tukiwadhulumu wananchi na kuwaibia kwa ufisadi tunatofautiana vipi nao?? Je, kufa kwetu kutatofautiana? Je, hao hawatazikwa na kusahaulika kama wengine tu??? Je, kuiba uchumi wa nchi nzima kumemsaidiaje kiafya??? Mbona mguu wake mmoja umeshakufa angali yu hai??? Pesa alizoiibia Gabon zimemsaidia nini?? Mbona anatetemeka na kuweweseka tu??? Pesa imemsaidia nini??? Mbona aliowaibia wananchi maskini wana afya zao wanadunda vizuri tu??? Fahari iko wapi?? Wananchi Aliowaibia na yeye, ni nani aliye nafuu??? Japo wengi wamelala njaa mara kadhaa, lakini tofauti yao na huyu rais ni nini kwa sasa??? Tumwogope Mungu! Mungu anapotupa nafasi za juu kama hizo ni ili tuwatumikie wananchi sio, tutumikie matumbo yetu!!!! Aibu huwa haiwagi mbali itawapata tu siku moja!! Hata wangeficha mabillioni ya dollar nje ya nchi, hawawezi kukwepa aibu na kifo. Siku ikifika wala hizo pesa hazitawasaidia kabisa. Aibu ya mwisho inakuwaga ni mbaya kuliko utukufu wao waliojipatia walipokuwa madaraka ni!! Tumwogope na kumheshimu Mungu!!!

  • @emanuelyigwira2511
    @emanuelyigwira251110 ай бұрын

    Bro wewe ukiweka sauti yako ktk simulizi Aise u sound so professional, sound track iko poa sana

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator634310 ай бұрын

    Asingepinduliwa, NAAMINI hizi makala za Leo, tusingezipata🥴🥴

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera432310 ай бұрын

    Uganda munakwama wapi😂😂

  • @mdl6463
    @mdl646310 ай бұрын

    Tatizo africa nzima na mimi nikiwemo ni wapumbafu sana Kuna familia zinajifanya kama hawakukopeshwa school fees na serikali wanapata hela wasahau walikotoka usengerema kabisa upo 😅😅😅😅

  • @renatusrevocatus3895

    @renatusrevocatus3895

    10 ай бұрын

    😄😄😄😄😄😄

  • @user-bq9jt9uj7q
    @user-bq9jt9uj7q10 ай бұрын

    Bro your the best story teller

  • @Bama959
    @Bama95910 ай бұрын

    Bro Sky tunataka makala ya utawala wa kikwete nayo pia maana hata yeye ni kama huyu mamba Bongo.

  • @ahmuhally4430

    @ahmuhally4430

    10 ай бұрын

    Mambo hayo azungumzie Mtangazaji wa Nchi nyingine ila yeye atafunguliwa mashtaka

  • @zainabwage4658

    @zainabwage4658

    10 ай бұрын

    Umtakii mema sky 😂😂😂

  • @khadijazungu8627

    @khadijazungu8627

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 labda azifanye kisha azitume kwa mtu wa nchi nyengine aichambuwe tena huyo mtu awe msiri wake hivi hivi watamuuwa paleeeee

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    10 ай бұрын

    Haswaa maana lilikuwa jizi kweli kweli hilo jamaa

  • @BonnyMwajombe-iu7hb

    @BonnyMwajombe-iu7hb

    10 ай бұрын

    ​@@salmaalimusa6809 salma Acha hila hata wewe upate urais utakwiba tu ,

  • @lindidistrictcouncilchanne2671
    @lindidistrictcouncilchanne267110 ай бұрын

    Napendeleza Mr Bundala nakala hizi kuziita nyuzi 360

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi658410 ай бұрын

    Asante kwa Historia....

  • @isaacgwams8080
    @isaacgwams808010 ай бұрын

    Kaka tunashukuru sana kwa habari hii,

  • @Callkingb
    @Callkingb10 ай бұрын

    Kazi nzuri sky na mtayalishaji

  • @user-bu9hc1tp8y
    @user-bu9hc1tp8y10 ай бұрын

    Noma

  • @ThomasMaico-wm4or
    @ThomasMaico-wm4or10 ай бұрын

    Asanteee sana sns mnatoe elimu ya bure 🙏🙏

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba481810 ай бұрын

    ifike kipindi nchi ziwe zinaendeshwa na makamanda sio hawa kuku wa kisasa waliokalia ikulu.yaan rais hawezi hata kujitetea mwenyewe halafu eti ndio amri jeshi mkuu.mfalme inabidi ajue kuipigania nchi yake

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith547910 ай бұрын

    Aisee haina tofauti na uganda,looo🙌🙌

  • @user-qy5qw1jv4s
    @user-qy5qw1jv4s10 ай бұрын

    Hongera kwa wanafanya mapinduzi safi sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith547910 ай бұрын

    Familia 1?? 1963 mpk 2023?🙌🙌🙌😩😌Lord have mercy 55 yrs???? Nyie noma aiseee

  • @tizzyboy7745
    @tizzyboy774510 ай бұрын

    Obrigado por esta vídeo brw

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca10 ай бұрын

    Ahsante sana #Sky Na #360... we are together 😊

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy930410 ай бұрын

    Kwani sky hajawahi kupata tunzo ya mtangazaji bora wa TANZANIA jamani dah!

  • @zainabwage4658

    @zainabwage4658

    10 ай бұрын

    Anastahir kwer ipo sk atapata tu

  • @yayananajota5838
    @yayananajota583810 ай бұрын

    Pls God make thing happen in est Africa, in Indian Ocean pls pls🙏🏽🙏🏽🙏🏽🌊

  • @georgeoketch9027
    @georgeoketch902710 ай бұрын

    The Same should b e done in Kenya

  • @Gody360
    @Gody36010 ай бұрын

    Wapigaji wote wapigwe chini

  • @mwamudaniel7912
    @mwamudaniel791210 ай бұрын

    Message well sent

  • @jacobmlumbe6653
    @jacobmlumbe665310 ай бұрын

    Bro una jua sana

  • @aminishebwana8660
    @aminishebwana866010 ай бұрын

    Simulizi nzuri kuliko Dj sma.

  • @user-tv5rb2ef6d
    @user-tv5rb2ef6d10 ай бұрын

    Jeshi letu la Tanzania limezubaa sana, ndiyo maana wengine Wana mavitambi mpaka raisi wao anawashangaa

  • @tatujuma8781
    @tatujuma878110 ай бұрын

    Toeni izo takataka uku afrika

  • @musaakida9951
    @musaakida995110 ай бұрын

    Bado bongo 😢😢

  • @sponsor7882
    @sponsor788210 ай бұрын

    bado uganda na rwanda

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    10 ай бұрын

    Kwakweli Nao wajanja Wameweka watt wao kwenye wizara za ulinzi ,ila ipo siku

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi234710 ай бұрын

    Viva Putin viva African ❤❤ Kitawaramba wote fibaraka Viva African 🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪🇰🇪🇰🇪

  • @MrNoNonsenseYes

    @MrNoNonsenseYes

    10 ай бұрын

    Vibaraka*

  • @monicahovda5890

    @monicahovda5890

    10 ай бұрын

    Yaani Africa imejaa vibaraka SiO Viongozi Bali ni vibaraka na masrahi Yao. Hata Tanzania Bongo wapo Vibaraka Bara lote hili

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    10 ай бұрын

    Kenya afadhali, Uganda je?

  • @jotafungo4622
    @jotafungo462210 ай бұрын

    Safi sana wajeda

  • @AndrewPaul-wy6qq
    @AndrewPaul-wy6qq10 ай бұрын

    Babukubwa sky💪✊

  • @pmctv787
    @pmctv78710 ай бұрын

    Bundala we ni noma

  • @moseskulola6913
    @moseskulola691310 ай бұрын

    Nakukubali sana makala zako ..uzidi kututiha raha

  • @jeffyasin2977
    @jeffyasin297710 ай бұрын

    Sometimes najiuliza sana hivi watu hawaridhiki mbona ukiwa unakula vzr unafamilia unaweza kula utakacho na kwenda popote inatosha sio lazima uwe na mabillion peke yako dah maisha yenyewe haya ya kupita tu mbona me nashangaa sana kwa kweli asee sijawahi kuelewa watu wanatamaa gani kwenye haya maisha

  • @davidmarik4633

    @davidmarik4633

    10 ай бұрын

    Binadamu aridhiki ata apewe nni tumeumbiwa Tamaa nikurudishe nyuma kilocho waponza Adam na Eva ni Tamaa kwahyo ata uwe bilione wa namna gani Bado tuu autaridhika

  • @lalesmhina5090

    @lalesmhina5090

    10 ай бұрын

    ​@@davidmarik4633uhakika

  • @yohanalemaiyan3076
    @yohanalemaiyan307610 ай бұрын

    Absolute power corrupt absolutely!...mchenzi bila ubongo!...!

  • @moxasaidi3398
    @moxasaidi339810 ай бұрын

    Hata tanzania miaka 63 sasa ipo na chama kimoja kinachoendeshwa na muengereza rasilimali zote zipo chini yao kabla kupata uhuru tanzania mpaka leo hii tumefunga nao mkataba

  • @KhalifaMkali
    @KhalifaMkali10 ай бұрын

    Bundara unajua saana sio kama yule chalii wa fuse.... 😃😃😃😃 Big up brooh

  • @user-fl5mt6dm9o
    @user-fl5mt6dm9o10 ай бұрын

    Good history!!

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10Ай бұрын

    Jana niliskusa mahojiano Na TBC huna baya kk

  • @allymwilu8089
    @allymwilu808910 ай бұрын

    Mmbwa kabisa hawa piga risasi za kichwa wote wakajibie kuzimu huko😂😂😂

  • @vidomwape7768
    @vidomwape776810 ай бұрын

    Ndio saut sasa.❤

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail541910 ай бұрын

    He must be arrested Ali bongo Gabon 🇬🇦 is not kingdom no or Africa is not kingdom one family must be finish all the country we saying never never never the must put all family in side jail

  • @sekiondowarema1786
    @sekiondowarema178610 ай бұрын

    SNS, ni wachambuzi mubashara..Hongereni ila hizi habari c za Gabon pekee ni kila taifa la Afrika linatamani ivo.....😀

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith547910 ай бұрын

    Eti hajui mtt wake wa kiume alipo wala mkewe! Wamwachie na familia yake akafie mvele huko Apigwe exile apelekwe nchi nyingine! Hizo mali huko ufaransa zipigwe bei pesa irudishwe Gabon

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza430310 ай бұрын

    Hakuna jipya unalojaribu kutuambia hapa nikiongozi gani wa Africa unaweza kumtofautisha na huyu bwana? Huo ndo mfumo wa watawala wa Africa. Angalia uganda zimbabwe kongo zote. Cameroon angola etc. Hakuna jipya hapo.

  • @josephvenus3259
    @josephvenus325910 ай бұрын

    Bado bongo tunayahitaji hayo mapinduzi tu 😠😠😠

  • @herbertygeofrey2724
    @herbertygeofrey272410 ай бұрын

    Akaimbe muziki si alikuwa msanii uyo alii bongo

  • @zainabwage4658

    @zainabwage4658

    10 ай бұрын

    Tena amapiano zitamtoa tu 😂😂😂

  • @mwajumabinwa604
    @mwajumabinwa60410 ай бұрын

    huu nihukoo waajabu 😩😱😱

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan249910 ай бұрын

    Dah! Ingekuwa Dunia Inadumu tungeshakufa masikini sote.

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi458110 ай бұрын

    Babaake mnigeria bongo sio baba yake mzazi

  • @AishaSalaga-rv7sb
    @AishaSalaga-rv7sb10 ай бұрын

    Where is dj Sam kuja hapa Bundara is at work,,,,u need to learn from him

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail266210 ай бұрын

    Makala nzuri sana

  • @samuelkimaniwanjiru3343
    @samuelkimaniwanjiru33439 ай бұрын

    Huyu na Uhuru Kenyatta Ni same

  • @peninacharles9757
    @peninacharles975710 ай бұрын

    Sky ♥️♥️❤️

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja883710 ай бұрын

    Gaboni nifamilia yabongo, huku Tanzania no familia ya CCM hakuna tofauti sana nahuko gabon

  • @hallin9561
    @hallin956110 ай бұрын

    viongoz wote wa Africa wanamioyo ya ushetani sana, siku waafrika watakapoamka watakuta mataifa ya kizungu yamejengeka kupitia rasilimali za Africa, Africa imebaki mashimo tu, Marais wengi akili zao sio timamu

  • @hallin9561
    @hallin956110 ай бұрын

    wanajeshi wetu wapo bize kuwakamata watu waliovaa magwanda ya jeshi

  • @monicahovda5890

    @monicahovda5890

    10 ай бұрын

    😅😅😅😅😅. Wana uyaga uyaga Mwingi Yaani wamejawa na usingizi wa ujinga. Stupid,dum. Kwani Mabadiliko ya Nchi Jeshi linausika kuweka nchi kwenye mustakabali wa Taifa bila kumwaga Damu æ. Pindi pale Wananchi hawajalidhia uongozi

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin810710 ай бұрын

    Kama hapa bongo

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru502310 ай бұрын

    Si museme njinsi serekali ya Tanzania ilivyochomoa gia ya kubadisha sheria ya natural resources wealth? Mama ajiandae 😏😏😏😏🇹🇿☹️☹️☹️

  • @surusuru1994
    @surusuru199410 ай бұрын

    Subutu hawezi kurdi hii ina itwa bai bai

  • @vidomwape7768
    @vidomwape776810 ай бұрын

    Sns muwe mnasoma comment zetu basi yule jamaa ambae anaita Dj hatumuelew kitaan kwetu imekuwa gumzo saut yake hatujaipenda,

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything10 ай бұрын

    👊✌️👍.

  • @charlesngamia8006
    @charlesngamia800610 ай бұрын

    Anaitwa bongo na Hana akili huh

  • @user-hx3fl4iz2k
    @user-hx3fl4iz2k10 ай бұрын

    Nakupata mkuu

  • @salmamzashi3609
    @salmamzashi360910 ай бұрын

    We pambn na Hali yko

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia102410 ай бұрын

    Yaan waafrica n huongozi jmn dah bdo museven

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    10 ай бұрын

    Mshenzi sn

  • @RobertUledi
    @RobertUledi10 ай бұрын

    Natamani ingekuwa Tanzania 🇹🇿 ningefurahii sanaa sio kwa maisha hayaa

  • @sebastianmwantuge5597

    @sebastianmwantuge5597

    10 ай бұрын

    Tanzania labda Wananchi tufanye hivyo lakini kwa mfano wa Gabon, Burkina Faso,Niger usitegemee uchawa umetawala

  • @tatujuma8781

    @tatujuma8781

    10 ай бұрын

    Mmhh si heri kwenu..njoo kenya uone maxingaombwe

  • @jumaothman5019
    @jumaothman501910 ай бұрын

    Tuma hiyo link ya pandora makala

  • @johnphilipo6760
    @johnphilipo676010 ай бұрын

    Hii story ita-hadithiwa tena mwaka flan kuhusu Tz (nipo nimekaa pale)

  • @makenaOG

    @makenaOG

    10 ай бұрын

    Endelea kukaa lakini ujue haitakuja tokea

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    10 ай бұрын

    ​@@makenaOG😂tulivo waoga akaaaa

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    10 ай бұрын

    Bila kusahau Uganda

  • @anordgerison8639
    @anordgerison863910 ай бұрын

    Tatizo la BONGO hupenda kufuatilia matatizo ya watu wengine sawa alikuwa fisadi "Mbona nyie kwenu kwenye nchi yenu ufisadi n mkubwa na hamjawahi kutolea makala 😂😂, ESCROW EPA etc , na kila siku Mama Ana lalamika na Wala hamumsaidii kuibua hizo kashifa 😂😂😂😂😂😂😂 Aya bana n maoni yangu

  • @victaboy7273

    @victaboy7273

    10 ай бұрын

    Fact

  • @djoe8266

    @djoe8266

    10 ай бұрын

    Wapo watu wanazungumzia hii serikal uwoni kinacho watokea

  • @anordgerison8639

    @anordgerison8639

    10 ай бұрын

    @@djoe8266 ndio hapo Sasa ... Kama mmeshindwa kuzungumzia UFISADI na RUSHWA kwenye nchi yenu kaeni kimya kuzungumzia UFISADI na RUSHWA kwenye nchi za wengine b🙄🙄🙄

  • @khadijarashidy9304

    @khadijarashidy9304

    10 ай бұрын

    Mnaotaka atoe makala ya nchini kwetu ili afungiwe au muacheni sky

  • @joshuajereman7510

    @joshuajereman7510

    10 ай бұрын

    Tanzania siyo huru

  • @charlessikoi1657
    @charlessikoi165710 ай бұрын

  • @chembamsangi
    @chembamsangi10 ай бұрын

    Acheni viongozi ving'ang'anizi wakutane nacho.

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael612310 ай бұрын

    Kama ilivyo Tanzania kwa sasa baada ya Nyerere.

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi40810 ай бұрын

    Ana asili ya Bonqo nin ?

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu10 ай бұрын

    Samia nae yuko njiani

  • @givenmalatu4146
    @givenmalatu414610 ай бұрын

    Hivi kwann mnajua madhaifu ya mshikaji baada ya kupinduliwa

  • @hamzamussa7081

    @hamzamussa7081

    10 ай бұрын

    Kuna makala kibao za zamani youtuber kadhaa walishafanya kumuhusu

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga388410 ай бұрын

    Ila pesa ni nyingi mno, ukute Wananchi ni maskini moaka basi.

Келесі