ALI BONGO ONDIMBA: RAIS wa GABON aliyepinduliwa, ameitafuna nchi bila HURUMA, alianza BABA yake
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii: / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti / simulizinasauti
Жүктеу.....
Пікірлер: 217
@ndikumanaismail541910 ай бұрын
We so happy about new change in Africa we tired 😫 😩 about old generation we need new generation now
@kalebphilip342610 ай бұрын
Familia moja imeikula Gabon kwa miaka 55,hvyohvyo na ccm yetu imeitafuna nchi Ni vle wanabebwa tu na katba Ila utafka tu wakat wa Mungu maana malipo Ni hapahapa dunian
@jamilaathumani548110 ай бұрын
Mwenyezimungu atusamehe na atuepushe na Tamaa na kuwadhurumu watu,,mungu akikuteua kama kiongozi kuwa muadilifu mana Kuna kesho,,eeh mola tusamehe mazambi yetu sisi waja wako wadhaifu na utupe mwisho mwema sisi na vizazi vyetu innshaala
@Muda27
10 ай бұрын
Amen.
@FatumaMuya
10 ай бұрын
Amiin
@anosiata824210 ай бұрын
Mimi napenda nchi wanajeshi wanaojimbua. Safi sana wanajeshi Gabon.
@shubebunyesi542
10 ай бұрын
Ndugu pale Gabon hakuna mapinduzi ila kuna bifu ya kifamilia kwann kaka uanakula peke yako na cc tunataka kwaiyo apo hakuna mabadiliko yyte bali ni bifu za kifamilia kwamba upande flani unanufaika kuliko we jiulizie maransa anapiga kelele au marekani c unawaona wako kimyaa manake wao hawakuguswa wanaendelea kula so hakuna shida kwao c umeiona Niger usaransa kakataa kuondoka kisa haitambui serikali basi ya gaboni ataitambua coz haijagusa wala kutishia maslai yake sasa apo utasema mapinduzi au wanagombea ulaji ,, ndugu Sio kila mapinduzi lengo lake Uzalendo hapana kikundi kiomoja kinaona wenzao wanakulakeki ya taifa pekee so na cc tuingie tule lkn c kwaaajili ya maslai ya taifa wala wananchi cjui umenielewa
@rogerslwitiko391510 ай бұрын
Wanajeshi wanaojua wajibu wao kwa nchi zao Mungu awaongoze na wao wasiwe km Watangulizi wao
@nasrinairi955610 ай бұрын
Hii Safi Sana. Pongezi kwa Maamuzi Hayo Kwa Niaba ya Wananchi Wanyonge kwenye Nchi Yao. ✊🔥
@allyhassan716910 ай бұрын
Mwanajeshi wa kweli na mwanamapinduzi mzalendo hapa kwetu alikuwa hayati maqufuli bahati mbaya alikuwa jeshi la mtu mmoja aliyejitolea uhai wake kwa kuwatetea wanyonqe wa Tanzania kutoka raslimali zao tunaimani ukombozi wa Africa utaenea bara lote dhidi ya mabeberu na vibaraka wao wote
@Halfanhemedi-ec2cp
10 ай бұрын
kamtetea nani kajitetea mwenyewe mi anayenitetea ni aliyeniumba tu
@rogerslwitiko3915
10 ай бұрын
@@Halfanhemedi-ec2cpUpo sahihi Bro Wazalendo wa kweli walikuwa ni wakina Mwl.Nyerere, Thomas Sankara,Colonel Muammar Gadaffi,Kwame Nkrumah,Gamal Abdel Nasser,Patrice Lumumba na Ahmed Ben Bella wengine waliofuata ni Wachumia matumbo yao
@Halfanhemedi-ec2cp
10 ай бұрын
watu wengine akili mchwa
@rogerslwitiko3915
10 ай бұрын
@@Halfanhemedi-ec2cp Hakika Mtaalamu
@lucasngalawa8826
10 ай бұрын
Binafsi mimi magufuli kwangu ni shujaa❤❤❤❤
@Mbeyaconscious10 ай бұрын
Kikubwa Mapinduzi Hayo Yasiwe Ni Uroho Wa Madaraka 🙏🏼🙏🏼
@georgerichard4902
10 ай бұрын
Uwe unasikiliza kwanza unaelewa ndo uncomment
@jassonnelly344510 ай бұрын
Nchi yetu sis watu hawana mda wame umbea na udaku baasi kuwaza vitu vya msingi hakuna
@allymwilu8089
10 ай бұрын
Kwakweli tunaangamia😂😂😂😂
@salimalaquimane3077
10 ай бұрын
Jeshi Lina taka sale zao tu😅😅😅😅
@rogersiddy
10 ай бұрын
@@salimalaquimane3077ndo wanachokiona chamuhimu kuliko vyote lkn hili wanalofanya wenzao wala hawalioni kuwa lamuhimu zaidi ili kuwasaidia wananchi na kuisaidia nchi pia
@bish_daddiyao10 ай бұрын
Mungu Ikomboe Afrika🙌🏾❤️🇰🇪
@Muda2710 ай бұрын
Mioyo inaumia,tunasikitika,tunateseka ila Mungu anasikia kilio chetu..muda wa Mwenyezi Mungu ndio muda sahihi.
@lilianambokile6832
10 ай бұрын
Kabisa
@IsaacParuz10 ай бұрын
Proudly sns Asanteni sana sns Kwa kutujuza mambo ya msingi sana
@redockbracard9455Ай бұрын
We're so happy with our lovely new generation African leaders
@user-qy5qw1jv4s10 ай бұрын
Yaani mi nasema je nchi zetu nyingi za afrika zinaita kufanyiwa hivyo,maana marais wengi wa afrika wamejifanya miungu watu kutaka kutawala milele tena kwa matumizi mabaya ya madaraka kwakutujali raia wanaowaweka madaraka,mi naona mapinduzi yaanedelee tu labda wengin akili zinaweza kuwasogea
@SaimonKazimoto-xt1zo10 ай бұрын
Kweli kaka lakini kumbuka atujui anavo waalika malafiki zake kitatokea Nini ila namalizia Afrika bara tajiri sana ila imekua ni mladi mkubwa sana kwa wazungu wanafulai kuona tuna uwana waafrika wao wanatumia nafasi iyo kuiba Mali zetu sio sawa inauma sana mungu ibariki gaboni isitokee vita tuiombee gaboni
@msangodiesel313210 ай бұрын
❤kwa brog yenu kwa uchambuzi mzuri na hasa jamaa namwelewa Sana ❤ djsma kupasua brog za umbea tupa kule mbelembele
@MrNoNonsenseYes
10 ай бұрын
Blogg*
@msangodiesel3132
10 ай бұрын
@@MrNoNonsenseYes sawa nimekuelewa
@allymtunge553010 ай бұрын
Asante kaka skay kwa makala nzur sns ninatuabalisha vizur
@yusufuheri652410 ай бұрын
Asante sana my brother from another mother
@libetztanzania-kiswahilina284510 ай бұрын
Kwani Bongo familia Kama za BONGO OMARI MBONA ZIPO NDO ZINATAFUNA KEKI YA TAIFA.KILA MMOJA ATAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE😢😢😢😢
@christinewomanoffaith5479
10 ай бұрын
Kweli kabisa
@libetztanzania-kiswahilina2845
10 ай бұрын
@@christinewomanoffaith5479 BABA RAIS MSTAAFU, MAMA MBUNGE , MTOTO MBINGE NA WAZIRI SASA KUNA TOFAUTI GANI HAWA WATANZANIA NA FAMILIA YA MSEVENI AU KAGAME 🤣🤣Tanzania mnawafaham mpaka wakww
@thomsanga795610 ай бұрын
Makala nzuri sana aisee 👏🏿👏🏿
@victormalelemba432410 ай бұрын
Mungu ibariki africa yajayo yanafurahisha kinachofuata nchi zote viongozi ambao ni mafisadi wapinduliwe
@esternjauzi6310
10 ай бұрын
Nakupendaga we kijana simulizi zako asante kwa taarifa nzuri
@emmanuelmwakibolwa73510 ай бұрын
Tamaa ni kitu kibaya sana. Fikiria mtu ungekwapua uchumi wote wa nchi. Ni maisha yepi hayo utakayoishi ambayo ni tofauti na maisha ya mwanadamu? Kumbuka sote tunakula, tunaugua, tunalala, tuanakufa. Kama ni chakula ni kile kile tu, kama ni wali ni ile ule, kama ni nyama ni ileile, kama mbuzi ni wale wale tu, kama ni kuku ni wale wale tu, tena wa kienyeji ni watamu zaidi, tena usipokula mboga mboga za majani unatafuta matatizo, je kuna wali wa dhahabu, kuna nyama ya tanzanite! Je, kuna pizza za almasi? Je, au ni sahani na vijiko vya dhahabu? Ndio tuite tunakula maisha??? Ni nini tukikila tunakuwa tofauti na wanadamu wengine?? Au tukisafiri sana Ulaya au America tunakuwa tofauti kivipi? Je, afya yetu itabadilika? Au hivyo tutakavyoviona huko vinatuongezea nini maishani? Au tukiwadhulumu wananchi na kuwaibia kwa ufisadi tunatofautiana vipi nao?? Je, kufa kwetu kutatofautiana? Je, hao hawatazikwa na kusahaulika kama wengine tu??? Je, kuiba uchumi wa nchi nzima kumemsaidiaje kiafya??? Mbona mguu wake mmoja umeshakufa angali yu hai??? Pesa alizoiibia Gabon zimemsaidia nini?? Mbona anatetemeka na kuweweseka tu??? Pesa imemsaidia nini??? Mbona aliowaibia wananchi maskini wana afya zao wanadunda vizuri tu??? Fahari iko wapi?? Wananchi Aliowaibia na yeye, ni nani aliye nafuu??? Japo wengi wamelala njaa mara kadhaa, lakini tofauti yao na huyu rais ni nini kwa sasa??? Tumwogope Mungu! Mungu anapotupa nafasi za juu kama hizo ni ili tuwatumikie wananchi sio, tutumikie matumbo yetu!!!! Aibu huwa haiwagi mbali itawapata tu siku moja!! Hata wangeficha mabillioni ya dollar nje ya nchi, hawawezi kukwepa aibu na kifo. Siku ikifika wala hizo pesa hazitawasaidia kabisa. Aibu ya mwisho inakuwaga ni mbaya kuliko utukufu wao waliojipatia walipokuwa madaraka ni!! Tumwogope na kumheshimu Mungu!!!
@emanuelyigwira251110 ай бұрын
Bro wewe ukiweka sauti yako ktk simulizi Aise u sound so professional, sound track iko poa sana
@hamoudcreator634310 ай бұрын
Asingepinduliwa, NAAMINI hizi makala za Leo, tusingezipata🥴🥴
@shabiruponera432310 ай бұрын
Uganda munakwama wapi😂😂
@mdl646310 ай бұрын
Tatizo africa nzima na mimi nikiwemo ni wapumbafu sana Kuna familia zinajifanya kama hawakukopeshwa school fees na serikali wanapata hela wasahau walikotoka usengerema kabisa upo 😅😅😅😅
@renatusrevocatus3895
10 ай бұрын
😄😄😄😄😄😄
@user-bq9jt9uj7q10 ай бұрын
Bro your the best story teller
@Bama95910 ай бұрын
Bro Sky tunataka makala ya utawala wa kikwete nayo pia maana hata yeye ni kama huyu mamba Bongo.
@ahmuhally4430
10 ай бұрын
Mambo hayo azungumzie Mtangazaji wa Nchi nyingine ila yeye atafunguliwa mashtaka
@zainabwage4658
10 ай бұрын
Umtakii mema sky 😂😂😂
@khadijazungu8627
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 labda azifanye kisha azitume kwa mtu wa nchi nyengine aichambuwe tena huyo mtu awe msiri wake hivi hivi watamuuwa paleeeee
@salmaalimusa6809
10 ай бұрын
Haswaa maana lilikuwa jizi kweli kweli hilo jamaa
@BonnyMwajombe-iu7hb
10 ай бұрын
@@salmaalimusa6809 salma Acha hila hata wewe upate urais utakwiba tu ,
@lindidistrictcouncilchanne267110 ай бұрын
Napendeleza Mr Bundala nakala hizi kuziita nyuzi 360
@rahmahersi658410 ай бұрын
Asante kwa Historia....
@isaacgwams808010 ай бұрын
Kaka tunashukuru sana kwa habari hii,
@Callkingb10 ай бұрын
Kazi nzuri sky na mtayalishaji
@user-bu9hc1tp8y10 ай бұрын
Noma
@ThomasMaico-wm4or10 ай бұрын
Asanteee sana sns mnatoe elimu ya bure 🙏🙏
@luckymsomba481810 ай бұрын
ifike kipindi nchi ziwe zinaendeshwa na makamanda sio hawa kuku wa kisasa waliokalia ikulu.yaan rais hawezi hata kujitetea mwenyewe halafu eti ndio amri jeshi mkuu.mfalme inabidi ajue kuipigania nchi yake
@christinewomanoffaith547910 ай бұрын
Aisee haina tofauti na uganda,looo🙌🙌
@user-qy5qw1jv4s10 ай бұрын
Hongera kwa wanafanya mapinduzi safi sana
@christinewomanoffaith547910 ай бұрын
Familia 1?? 1963 mpk 2023?🙌🙌🙌😩😌Lord have mercy 55 yrs???? Nyie noma aiseee
@tizzyboy774510 ай бұрын
Obrigado por esta vídeo brw
@RamazaniMulongeca10 ай бұрын
Ahsante sana #Sky Na #360... we are together 😊
@khadijarashidy930410 ай бұрын
Kwani sky hajawahi kupata tunzo ya mtangazaji bora wa TANZANIA jamani dah!
@zainabwage4658
10 ай бұрын
Anastahir kwer ipo sk atapata tu
@yayananajota583810 ай бұрын
Pls God make thing happen in est Africa, in Indian Ocean pls pls🙏🏽🙏🏽🙏🏽🌊
@georgeoketch902710 ай бұрын
The Same should b e done in Kenya
@Gody36010 ай бұрын
Wapigaji wote wapigwe chini
@mwamudaniel791210 ай бұрын
Message well sent
@jacobmlumbe665310 ай бұрын
Bro una jua sana
@aminishebwana866010 ай бұрын
Simulizi nzuri kuliko Dj sma.
@user-tv5rb2ef6d10 ай бұрын
Jeshi letu la Tanzania limezubaa sana, ndiyo maana wengine Wana mavitambi mpaka raisi wao anawashangaa
@tatujuma878110 ай бұрын
Toeni izo takataka uku afrika
@musaakida995110 ай бұрын
Bado bongo 😢😢
@sponsor788210 ай бұрын
bado uganda na rwanda
@christinewomanoffaith5479
10 ай бұрын
Kwakweli Nao wajanja Wameweka watt wao kwenye wizara za ulinzi ,ila ipo siku
Yaani Africa imejaa vibaraka SiO Viongozi Bali ni vibaraka na masrahi Yao. Hata Tanzania Bongo wapo Vibaraka Bara lote hili
@christinewomanoffaith5479
10 ай бұрын
Kenya afadhali, Uganda je?
@jotafungo462210 ай бұрын
Safi sana wajeda
@AndrewPaul-wy6qq10 ай бұрын
Babukubwa sky💪✊
@pmctv78710 ай бұрын
Bundala we ni noma
@moseskulola691310 ай бұрын
Nakukubali sana makala zako ..uzidi kututiha raha
@jeffyasin297710 ай бұрын
Sometimes najiuliza sana hivi watu hawaridhiki mbona ukiwa unakula vzr unafamilia unaweza kula utakacho na kwenda popote inatosha sio lazima uwe na mabillion peke yako dah maisha yenyewe haya ya kupita tu mbona me nashangaa sana kwa kweli asee sijawahi kuelewa watu wanatamaa gani kwenye haya maisha
@davidmarik4633
10 ай бұрын
Binadamu aridhiki ata apewe nni tumeumbiwa Tamaa nikurudishe nyuma kilocho waponza Adam na Eva ni Tamaa kwahyo ata uwe bilione wa namna gani Bado tuu autaridhika
@lalesmhina5090
10 ай бұрын
@@davidmarik4633uhakika
@yohanalemaiyan307610 ай бұрын
Absolute power corrupt absolutely!...mchenzi bila ubongo!...!
@moxasaidi339810 ай бұрын
Hata tanzania miaka 63 sasa ipo na chama kimoja kinachoendeshwa na muengereza rasilimali zote zipo chini yao kabla kupata uhuru tanzania mpaka leo hii tumefunga nao mkataba
@KhalifaMkali10 ай бұрын
Bundara unajua saana sio kama yule chalii wa fuse.... 😃😃😃😃 Big up brooh
@user-fl5mt6dm9o10 ай бұрын
Good history!!
@Brunotarimo10Ай бұрын
Jana niliskusa mahojiano Na TBC huna baya kk
@allymwilu808910 ай бұрын
Mmbwa kabisa hawa piga risasi za kichwa wote wakajibie kuzimu huko😂😂😂
@vidomwape776810 ай бұрын
Ndio saut sasa.❤
@ndikumanaismail541910 ай бұрын
He must be arrested Ali bongo Gabon 🇬🇦 is not kingdom no or Africa is not kingdom one family must be finish all the country we saying never never never the must put all family in side jail
@sekiondowarema178610 ай бұрын
SNS, ni wachambuzi mubashara..Hongereni ila hizi habari c za Gabon pekee ni kila taifa la Afrika linatamani ivo.....😀
@christinewomanoffaith547910 ай бұрын
Eti hajui mtt wake wa kiume alipo wala mkewe! Wamwachie na familia yake akafie mvele huko Apigwe exile apelekwe nchi nyingine! Hizo mali huko ufaransa zipigwe bei pesa irudishwe Gabon
@silvanuskisinza430310 ай бұрын
Hakuna jipya unalojaribu kutuambia hapa nikiongozi gani wa Africa unaweza kumtofautisha na huyu bwana? Huo ndo mfumo wa watawala wa Africa. Angalia uganda zimbabwe kongo zote. Cameroon angola etc. Hakuna jipya hapo.
@josephvenus325910 ай бұрын
Bado bongo tunayahitaji hayo mapinduzi tu 😠😠😠
@herbertygeofrey272410 ай бұрын
Akaimbe muziki si alikuwa msanii uyo alii bongo
@zainabwage4658
10 ай бұрын
Tena amapiano zitamtoa tu 😂😂😂
@mwajumabinwa60410 ай бұрын
huu nihukoo waajabu 😩😱😱
@saumusalimuhassan249910 ай бұрын
Dah! Ingekuwa Dunia Inadumu tungeshakufa masikini sote.
@hajimnubi458110 ай бұрын
Babaake mnigeria bongo sio baba yake mzazi
@AishaSalaga-rv7sb10 ай бұрын
Where is dj Sam kuja hapa Bundara is at work,,,,u need to learn from him
@mohamedismail266210 ай бұрын
Makala nzuri sana
@samuelkimaniwanjiru33439 ай бұрын
Huyu na Uhuru Kenyatta Ni same
@peninacharles975710 ай бұрын
Sky ♥️♥️❤️
@mtindikoja883710 ай бұрын
Gaboni nifamilia yabongo, huku Tanzania no familia ya CCM hakuna tofauti sana nahuko gabon
@hallin956110 ай бұрын
viongoz wote wa Africa wanamioyo ya ushetani sana, siku waafrika watakapoamka watakuta mataifa ya kizungu yamejengeka kupitia rasilimali za Africa, Africa imebaki mashimo tu, Marais wengi akili zao sio timamu
@hallin956110 ай бұрын
wanajeshi wetu wapo bize kuwakamata watu waliovaa magwanda ya jeshi
@monicahovda5890
10 ай бұрын
😅😅😅😅😅. Wana uyaga uyaga Mwingi Yaani wamejawa na usingizi wa ujinga. Stupid,dum. Kwani Mabadiliko ya Nchi Jeshi linausika kuweka nchi kwenye mustakabali wa Taifa bila kumwaga Damu æ. Pindi pale Wananchi hawajalidhia uongozi
@leoncebenjamin810710 ай бұрын
Kama hapa bongo
@thieryniyonkuru502310 ай бұрын
Si museme njinsi serekali ya Tanzania ilivyochomoa gia ya kubadisha sheria ya natural resources wealth? Mama ajiandae 😏😏😏😏🇹🇿☹️☹️☹️
@surusuru199410 ай бұрын
Subutu hawezi kurdi hii ina itwa bai bai
@vidomwape776810 ай бұрын
Sns muwe mnasoma comment zetu basi yule jamaa ambae anaita Dj hatumuelew kitaan kwetu imekuwa gumzo saut yake hatujaipenda,
@King_Of_Everything10 ай бұрын
👊✌️👍.
@charlesngamia800610 ай бұрын
Anaitwa bongo na Hana akili huh
@user-hx3fl4iz2k10 ай бұрын
Nakupata mkuu
@salmamzashi360910 ай бұрын
We pambn na Hali yko
@lilianjeremia102410 ай бұрын
Yaan waafrica n huongozi jmn dah bdo museven
@christinewomanoffaith5479
10 ай бұрын
Mshenzi sn
@RobertUledi10 ай бұрын
Natamani ingekuwa Tanzania 🇹🇿 ningefurahii sanaa sio kwa maisha hayaa
@sebastianmwantuge5597
10 ай бұрын
Tanzania labda Wananchi tufanye hivyo lakini kwa mfano wa Gabon, Burkina Faso,Niger usitegemee uchawa umetawala
@tatujuma8781
10 ай бұрын
Mmhh si heri kwenu..njoo kenya uone maxingaombwe
@jumaothman501910 ай бұрын
Tuma hiyo link ya pandora makala
@johnphilipo676010 ай бұрын
Hii story ita-hadithiwa tena mwaka flan kuhusu Tz (nipo nimekaa pale)
@makenaOG
10 ай бұрын
Endelea kukaa lakini ujue haitakuja tokea
@salmaalimusa6809
10 ай бұрын
@@makenaOG😂tulivo waoga akaaaa
@christinewomanoffaith5479
10 ай бұрын
Bila kusahau Uganda
@anordgerison863910 ай бұрын
Tatizo la BONGO hupenda kufuatilia matatizo ya watu wengine sawa alikuwa fisadi "Mbona nyie kwenu kwenye nchi yenu ufisadi n mkubwa na hamjawahi kutolea makala 😂😂, ESCROW EPA etc , na kila siku Mama Ana lalamika na Wala hamumsaidii kuibua hizo kashifa 😂😂😂😂😂😂😂 Aya bana n maoni yangu
@victaboy7273
10 ай бұрын
Fact
@djoe8266
10 ай бұрын
Wapo watu wanazungumzia hii serikal uwoni kinacho watokea
@anordgerison8639
10 ай бұрын
@@djoe8266 ndio hapo Sasa ... Kama mmeshindwa kuzungumzia UFISADI na RUSHWA kwenye nchi yenu kaeni kimya kuzungumzia UFISADI na RUSHWA kwenye nchi za wengine b🙄🙄🙄
@khadijarashidy9304
10 ай бұрын
Mnaotaka atoe makala ya nchini kwetu ili afungiwe au muacheni sky
@joshuajereman7510
10 ай бұрын
Tanzania siyo huru
@charlessikoi165710 ай бұрын
❤
@chembamsangi10 ай бұрын
Acheni viongozi ving'ang'anizi wakutane nacho.
@albertinamichael612310 ай бұрын
Kama ilivyo Tanzania kwa sasa baada ya Nyerere.
@mussakiziyzi40810 ай бұрын
Ana asili ya Bonqo nin ?
@MACHOYATAI-jk6fu10 ай бұрын
Samia nae yuko njiani
@givenmalatu414610 ай бұрын
Hivi kwann mnajua madhaifu ya mshikaji baada ya kupinduliwa
@hamzamussa7081
10 ай бұрын
Kuna makala kibao za zamani youtuber kadhaa walishafanya kumuhusu
@tumainimwaifunga388410 ай бұрын
Ila pesa ni nyingi mno, ukute Wananchi ni maskini moaka basi.
Пікірлер: 217
We so happy about new change in Africa we tired 😫 😩 about old generation we need new generation now
Familia moja imeikula Gabon kwa miaka 55,hvyohvyo na ccm yetu imeitafuna nchi Ni vle wanabebwa tu na katba Ila utafka tu wakat wa Mungu maana malipo Ni hapahapa dunian
Mwenyezimungu atusamehe na atuepushe na Tamaa na kuwadhurumu watu,,mungu akikuteua kama kiongozi kuwa muadilifu mana Kuna kesho,,eeh mola tusamehe mazambi yetu sisi waja wako wadhaifu na utupe mwisho mwema sisi na vizazi vyetu innshaala
@Muda27
10 ай бұрын
Amen.
@FatumaMuya
10 ай бұрын
Amiin
Mimi napenda nchi wanajeshi wanaojimbua. Safi sana wanajeshi Gabon.
@shubebunyesi542
10 ай бұрын
Ndugu pale Gabon hakuna mapinduzi ila kuna bifu ya kifamilia kwann kaka uanakula peke yako na cc tunataka kwaiyo apo hakuna mabadiliko yyte bali ni bifu za kifamilia kwamba upande flani unanufaika kuliko we jiulizie maransa anapiga kelele au marekani c unawaona wako kimyaa manake wao hawakuguswa wanaendelea kula so hakuna shida kwao c umeiona Niger usaransa kakataa kuondoka kisa haitambui serikali basi ya gaboni ataitambua coz haijagusa wala kutishia maslai yake sasa apo utasema mapinduzi au wanagombea ulaji ,, ndugu Sio kila mapinduzi lengo lake Uzalendo hapana kikundi kiomoja kinaona wenzao wanakulakeki ya taifa pekee so na cc tuingie tule lkn c kwaaajili ya maslai ya taifa wala wananchi cjui umenielewa
Wanajeshi wanaojua wajibu wao kwa nchi zao Mungu awaongoze na wao wasiwe km Watangulizi wao
Hii Safi Sana. Pongezi kwa Maamuzi Hayo Kwa Niaba ya Wananchi Wanyonge kwenye Nchi Yao. ✊🔥
Mwanajeshi wa kweli na mwanamapinduzi mzalendo hapa kwetu alikuwa hayati maqufuli bahati mbaya alikuwa jeshi la mtu mmoja aliyejitolea uhai wake kwa kuwatetea wanyonqe wa Tanzania kutoka raslimali zao tunaimani ukombozi wa Africa utaenea bara lote dhidi ya mabeberu na vibaraka wao wote
@Halfanhemedi-ec2cp
10 ай бұрын
kamtetea nani kajitetea mwenyewe mi anayenitetea ni aliyeniumba tu
@rogerslwitiko3915
10 ай бұрын
@@Halfanhemedi-ec2cpUpo sahihi Bro Wazalendo wa kweli walikuwa ni wakina Mwl.Nyerere, Thomas Sankara,Colonel Muammar Gadaffi,Kwame Nkrumah,Gamal Abdel Nasser,Patrice Lumumba na Ahmed Ben Bella wengine waliofuata ni Wachumia matumbo yao
@Halfanhemedi-ec2cp
10 ай бұрын
watu wengine akili mchwa
@rogerslwitiko3915
10 ай бұрын
@@Halfanhemedi-ec2cp Hakika Mtaalamu
@lucasngalawa8826
10 ай бұрын
Binafsi mimi magufuli kwangu ni shujaa❤❤❤❤
Kikubwa Mapinduzi Hayo Yasiwe Ni Uroho Wa Madaraka 🙏🏼🙏🏼
@georgerichard4902
10 ай бұрын
Uwe unasikiliza kwanza unaelewa ndo uncomment
Nchi yetu sis watu hawana mda wame umbea na udaku baasi kuwaza vitu vya msingi hakuna
@allymwilu8089
10 ай бұрын
Kwakweli tunaangamia😂😂😂😂
@salimalaquimane3077
10 ай бұрын
Jeshi Lina taka sale zao tu😅😅😅😅
@rogersiddy
10 ай бұрын
@@salimalaquimane3077ndo wanachokiona chamuhimu kuliko vyote lkn hili wanalofanya wenzao wala hawalioni kuwa lamuhimu zaidi ili kuwasaidia wananchi na kuisaidia nchi pia
Mungu Ikomboe Afrika🙌🏾❤️🇰🇪
Mioyo inaumia,tunasikitika,tunateseka ila Mungu anasikia kilio chetu..muda wa Mwenyezi Mungu ndio muda sahihi.
@lilianambokile6832
10 ай бұрын
Kabisa
Proudly sns Asanteni sana sns Kwa kutujuza mambo ya msingi sana
We're so happy with our lovely new generation African leaders
Yaani mi nasema je nchi zetu nyingi za afrika zinaita kufanyiwa hivyo,maana marais wengi wa afrika wamejifanya miungu watu kutaka kutawala milele tena kwa matumizi mabaya ya madaraka kwakutujali raia wanaowaweka madaraka,mi naona mapinduzi yaanedelee tu labda wengin akili zinaweza kuwasogea
Kweli kaka lakini kumbuka atujui anavo waalika malafiki zake kitatokea Nini ila namalizia Afrika bara tajiri sana ila imekua ni mladi mkubwa sana kwa wazungu wanafulai kuona tuna uwana waafrika wao wanatumia nafasi iyo kuiba Mali zetu sio sawa inauma sana mungu ibariki gaboni isitokee vita tuiombee gaboni
❤kwa brog yenu kwa uchambuzi mzuri na hasa jamaa namwelewa Sana ❤ djsma kupasua brog za umbea tupa kule mbelembele
@MrNoNonsenseYes
10 ай бұрын
Blogg*
@msangodiesel3132
10 ай бұрын
@@MrNoNonsenseYes sawa nimekuelewa
Asante kaka skay kwa makala nzur sns ninatuabalisha vizur
Asante sana my brother from another mother
Kwani Bongo familia Kama za BONGO OMARI MBONA ZIPO NDO ZINATAFUNA KEKI YA TAIFA.KILA MMOJA ATAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE😢😢😢😢
@christinewomanoffaith5479
10 ай бұрын
Kweli kabisa
@libetztanzania-kiswahilina2845
10 ай бұрын
@@christinewomanoffaith5479 BABA RAIS MSTAAFU, MAMA MBUNGE , MTOTO MBINGE NA WAZIRI SASA KUNA TOFAUTI GANI HAWA WATANZANIA NA FAMILIA YA MSEVENI AU KAGAME 🤣🤣Tanzania mnawafaham mpaka wakww
Makala nzuri sana aisee 👏🏿👏🏿
Mungu ibariki africa yajayo yanafurahisha kinachofuata nchi zote viongozi ambao ni mafisadi wapinduliwe
@esternjauzi6310
10 ай бұрын
Nakupendaga we kijana simulizi zako asante kwa taarifa nzuri
Tamaa ni kitu kibaya sana. Fikiria mtu ungekwapua uchumi wote wa nchi. Ni maisha yepi hayo utakayoishi ambayo ni tofauti na maisha ya mwanadamu? Kumbuka sote tunakula, tunaugua, tunalala, tuanakufa. Kama ni chakula ni kile kile tu, kama ni wali ni ile ule, kama ni nyama ni ileile, kama mbuzi ni wale wale tu, kama ni kuku ni wale wale tu, tena wa kienyeji ni watamu zaidi, tena usipokula mboga mboga za majani unatafuta matatizo, je kuna wali wa dhahabu, kuna nyama ya tanzanite! Je, kuna pizza za almasi? Je, au ni sahani na vijiko vya dhahabu? Ndio tuite tunakula maisha??? Ni nini tukikila tunakuwa tofauti na wanadamu wengine?? Au tukisafiri sana Ulaya au America tunakuwa tofauti kivipi? Je, afya yetu itabadilika? Au hivyo tutakavyoviona huko vinatuongezea nini maishani? Au tukiwadhulumu wananchi na kuwaibia kwa ufisadi tunatofautiana vipi nao?? Je, kufa kwetu kutatofautiana? Je, hao hawatazikwa na kusahaulika kama wengine tu??? Je, kuiba uchumi wa nchi nzima kumemsaidiaje kiafya??? Mbona mguu wake mmoja umeshakufa angali yu hai??? Pesa alizoiibia Gabon zimemsaidia nini?? Mbona anatetemeka na kuweweseka tu??? Pesa imemsaidia nini??? Mbona aliowaibia wananchi maskini wana afya zao wanadunda vizuri tu??? Fahari iko wapi?? Wananchi Aliowaibia na yeye, ni nani aliye nafuu??? Japo wengi wamelala njaa mara kadhaa, lakini tofauti yao na huyu rais ni nini kwa sasa??? Tumwogope Mungu! Mungu anapotupa nafasi za juu kama hizo ni ili tuwatumikie wananchi sio, tutumikie matumbo yetu!!!! Aibu huwa haiwagi mbali itawapata tu siku moja!! Hata wangeficha mabillioni ya dollar nje ya nchi, hawawezi kukwepa aibu na kifo. Siku ikifika wala hizo pesa hazitawasaidia kabisa. Aibu ya mwisho inakuwaga ni mbaya kuliko utukufu wao waliojipatia walipokuwa madaraka ni!! Tumwogope na kumheshimu Mungu!!!
Bro wewe ukiweka sauti yako ktk simulizi Aise u sound so professional, sound track iko poa sana
Asingepinduliwa, NAAMINI hizi makala za Leo, tusingezipata🥴🥴
Uganda munakwama wapi😂😂
Tatizo africa nzima na mimi nikiwemo ni wapumbafu sana Kuna familia zinajifanya kama hawakukopeshwa school fees na serikali wanapata hela wasahau walikotoka usengerema kabisa upo 😅😅😅😅
@renatusrevocatus3895
10 ай бұрын
😄😄😄😄😄😄
Bro your the best story teller
Bro Sky tunataka makala ya utawala wa kikwete nayo pia maana hata yeye ni kama huyu mamba Bongo.
@ahmuhally4430
10 ай бұрын
Mambo hayo azungumzie Mtangazaji wa Nchi nyingine ila yeye atafunguliwa mashtaka
@zainabwage4658
10 ай бұрын
Umtakii mema sky 😂😂😂
@khadijazungu8627
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 labda azifanye kisha azitume kwa mtu wa nchi nyengine aichambuwe tena huyo mtu awe msiri wake hivi hivi watamuuwa paleeeee
@salmaalimusa6809
10 ай бұрын
Haswaa maana lilikuwa jizi kweli kweli hilo jamaa
@BonnyMwajombe-iu7hb
10 ай бұрын
@@salmaalimusa6809 salma Acha hila hata wewe upate urais utakwiba tu ,
Napendeleza Mr Bundala nakala hizi kuziita nyuzi 360
Asante kwa Historia....
Kaka tunashukuru sana kwa habari hii,
Kazi nzuri sky na mtayalishaji
Noma
Asanteee sana sns mnatoe elimu ya bure 🙏🙏
ifike kipindi nchi ziwe zinaendeshwa na makamanda sio hawa kuku wa kisasa waliokalia ikulu.yaan rais hawezi hata kujitetea mwenyewe halafu eti ndio amri jeshi mkuu.mfalme inabidi ajue kuipigania nchi yake
Aisee haina tofauti na uganda,looo🙌🙌
Hongera kwa wanafanya mapinduzi safi sana
Familia 1?? 1963 mpk 2023?🙌🙌🙌😩😌Lord have mercy 55 yrs???? Nyie noma aiseee
Obrigado por esta vídeo brw
Ahsante sana #Sky Na #360... we are together 😊
Kwani sky hajawahi kupata tunzo ya mtangazaji bora wa TANZANIA jamani dah!
@zainabwage4658
10 ай бұрын
Anastahir kwer ipo sk atapata tu
Pls God make thing happen in est Africa, in Indian Ocean pls pls🙏🏽🙏🏽🙏🏽🌊
The Same should b e done in Kenya
Wapigaji wote wapigwe chini
Message well sent
Bro una jua sana
Simulizi nzuri kuliko Dj sma.
Jeshi letu la Tanzania limezubaa sana, ndiyo maana wengine Wana mavitambi mpaka raisi wao anawashangaa
Toeni izo takataka uku afrika
Bado bongo 😢😢
bado uganda na rwanda
@christinewomanoffaith5479
10 ай бұрын
Kwakweli Nao wajanja Wameweka watt wao kwenye wizara za ulinzi ,ila ipo siku
Viva Putin viva African ❤❤ Kitawaramba wote fibaraka Viva African 🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪🇰🇪🇰🇪
@MrNoNonsenseYes
10 ай бұрын
Vibaraka*
@monicahovda5890
10 ай бұрын
Yaani Africa imejaa vibaraka SiO Viongozi Bali ni vibaraka na masrahi Yao. Hata Tanzania Bongo wapo Vibaraka Bara lote hili
@christinewomanoffaith5479
10 ай бұрын
Kenya afadhali, Uganda je?
Safi sana wajeda
Babukubwa sky💪✊
Bundala we ni noma
Nakukubali sana makala zako ..uzidi kututiha raha
Sometimes najiuliza sana hivi watu hawaridhiki mbona ukiwa unakula vzr unafamilia unaweza kula utakacho na kwenda popote inatosha sio lazima uwe na mabillion peke yako dah maisha yenyewe haya ya kupita tu mbona me nashangaa sana kwa kweli asee sijawahi kuelewa watu wanatamaa gani kwenye haya maisha
@davidmarik4633
10 ай бұрын
Binadamu aridhiki ata apewe nni tumeumbiwa Tamaa nikurudishe nyuma kilocho waponza Adam na Eva ni Tamaa kwahyo ata uwe bilione wa namna gani Bado tuu autaridhika
@lalesmhina5090
10 ай бұрын
@@davidmarik4633uhakika
Absolute power corrupt absolutely!...mchenzi bila ubongo!...!
Hata tanzania miaka 63 sasa ipo na chama kimoja kinachoendeshwa na muengereza rasilimali zote zipo chini yao kabla kupata uhuru tanzania mpaka leo hii tumefunga nao mkataba
Bundara unajua saana sio kama yule chalii wa fuse.... 😃😃😃😃 Big up brooh
Good history!!
Jana niliskusa mahojiano Na TBC huna baya kk
Mmbwa kabisa hawa piga risasi za kichwa wote wakajibie kuzimu huko😂😂😂
Ndio saut sasa.❤
He must be arrested Ali bongo Gabon 🇬🇦 is not kingdom no or Africa is not kingdom one family must be finish all the country we saying never never never the must put all family in side jail
SNS, ni wachambuzi mubashara..Hongereni ila hizi habari c za Gabon pekee ni kila taifa la Afrika linatamani ivo.....😀
Eti hajui mtt wake wa kiume alipo wala mkewe! Wamwachie na familia yake akafie mvele huko Apigwe exile apelekwe nchi nyingine! Hizo mali huko ufaransa zipigwe bei pesa irudishwe Gabon
Hakuna jipya unalojaribu kutuambia hapa nikiongozi gani wa Africa unaweza kumtofautisha na huyu bwana? Huo ndo mfumo wa watawala wa Africa. Angalia uganda zimbabwe kongo zote. Cameroon angola etc. Hakuna jipya hapo.
Bado bongo tunayahitaji hayo mapinduzi tu 😠😠😠
Akaimbe muziki si alikuwa msanii uyo alii bongo
@zainabwage4658
10 ай бұрын
Tena amapiano zitamtoa tu 😂😂😂
huu nihukoo waajabu 😩😱😱
Dah! Ingekuwa Dunia Inadumu tungeshakufa masikini sote.
Babaake mnigeria bongo sio baba yake mzazi
Where is dj Sam kuja hapa Bundara is at work,,,,u need to learn from him
Makala nzuri sana
Huyu na Uhuru Kenyatta Ni same
Sky ♥️♥️❤️
Gaboni nifamilia yabongo, huku Tanzania no familia ya CCM hakuna tofauti sana nahuko gabon
viongoz wote wa Africa wanamioyo ya ushetani sana, siku waafrika watakapoamka watakuta mataifa ya kizungu yamejengeka kupitia rasilimali za Africa, Africa imebaki mashimo tu, Marais wengi akili zao sio timamu
wanajeshi wetu wapo bize kuwakamata watu waliovaa magwanda ya jeshi
@monicahovda5890
10 ай бұрын
😅😅😅😅😅. Wana uyaga uyaga Mwingi Yaani wamejawa na usingizi wa ujinga. Stupid,dum. Kwani Mabadiliko ya Nchi Jeshi linausika kuweka nchi kwenye mustakabali wa Taifa bila kumwaga Damu æ. Pindi pale Wananchi hawajalidhia uongozi
Kama hapa bongo
Si museme njinsi serekali ya Tanzania ilivyochomoa gia ya kubadisha sheria ya natural resources wealth? Mama ajiandae 😏😏😏😏🇹🇿☹️☹️☹️
Subutu hawezi kurdi hii ina itwa bai bai
Sns muwe mnasoma comment zetu basi yule jamaa ambae anaita Dj hatumuelew kitaan kwetu imekuwa gumzo saut yake hatujaipenda,
👊✌️👍.
Anaitwa bongo na Hana akili huh
Nakupata mkuu
We pambn na Hali yko
Yaan waafrica n huongozi jmn dah bdo museven
@christinewomanoffaith5479
10 ай бұрын
Mshenzi sn
Natamani ingekuwa Tanzania 🇹🇿 ningefurahii sanaa sio kwa maisha hayaa
@sebastianmwantuge5597
10 ай бұрын
Tanzania labda Wananchi tufanye hivyo lakini kwa mfano wa Gabon, Burkina Faso,Niger usitegemee uchawa umetawala
@tatujuma8781
10 ай бұрын
Mmhh si heri kwenu..njoo kenya uone maxingaombwe
Tuma hiyo link ya pandora makala
Hii story ita-hadithiwa tena mwaka flan kuhusu Tz (nipo nimekaa pale)
@makenaOG
10 ай бұрын
Endelea kukaa lakini ujue haitakuja tokea
@salmaalimusa6809
10 ай бұрын
@@makenaOG😂tulivo waoga akaaaa
@christinewomanoffaith5479
10 ай бұрын
Bila kusahau Uganda
Tatizo la BONGO hupenda kufuatilia matatizo ya watu wengine sawa alikuwa fisadi "Mbona nyie kwenu kwenye nchi yenu ufisadi n mkubwa na hamjawahi kutolea makala 😂😂, ESCROW EPA etc , na kila siku Mama Ana lalamika na Wala hamumsaidii kuibua hizo kashifa 😂😂😂😂😂😂😂 Aya bana n maoni yangu
@victaboy7273
10 ай бұрын
Fact
@djoe8266
10 ай бұрын
Wapo watu wanazungumzia hii serikal uwoni kinacho watokea
@anordgerison8639
10 ай бұрын
@@djoe8266 ndio hapo Sasa ... Kama mmeshindwa kuzungumzia UFISADI na RUSHWA kwenye nchi yenu kaeni kimya kuzungumzia UFISADI na RUSHWA kwenye nchi za wengine b🙄🙄🙄
@khadijarashidy9304
10 ай бұрын
Mnaotaka atoe makala ya nchini kwetu ili afungiwe au muacheni sky
@joshuajereman7510
10 ай бұрын
Tanzania siyo huru
❤
Acheni viongozi ving'ang'anizi wakutane nacho.
Kama ilivyo Tanzania kwa sasa baada ya Nyerere.
Ana asili ya Bonqo nin ?
Samia nae yuko njiani
Hivi kwann mnajua madhaifu ya mshikaji baada ya kupinduliwa
@hamzamussa7081
10 ай бұрын
Kuna makala kibao za zamani youtuber kadhaa walishafanya kumuhusu
Ila pesa ni nyingi mno, ukute Wananchi ni maskini moaka basi.