SOBIBOR: Kambi ya kifo iliyotumiwa na Adolf Hitler kuua wafungwa wa Kiyahudi wafikao 250,000!

Ойын-сауық

Unaweza kujiuliza kwanini kambi ya #Sobibor ilijengwa. Na kwanini kulikuwa na chuki ya kibaguzi hasa kwa wayahudi? Walifanya nini mpaka kuuawa kikatili, kupelekwa makambini na kupewa adhabu kali zisizokuwa na chembe ya utu wa kibinadamu.
Tega sikio lako katika makala hii ili kujua mengi ya kusisimua kuhusu kambi ya maangamizi ya Sobibor pamoja na ukatili wa #AdolfHitler wa Ujerumani

Пікірлер: 132

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio405410 ай бұрын

    Nawakubari ndugu zangu kwa kutufafanua Uhepo wetukujua mengi kupitia makala zenu 👏🇹🇿🇬🇷

  • @bishweko
    @bishweko6 ай бұрын

    Tatizo mayahudi waliouwawa na Hitra sio wale waliuza siri za kijeshi. Tukumbuke kulikuweko na mayahudi safadim na mayahudi Ashikinaz hawa ndio mpaka sasa ni mafisadi na kama kawaida yao wanatabia ya kubadili uhalisia wao kwa sasa wanajiita Zayunist.

  • @elimumwaipaja74
    @elimumwaipaja742 жыл бұрын

    Nimesikiliza simulizi hii usiku huu kukiwa kumetulia bila bughuza ili nimpate vema Skywalker.. hakika Wewe ni mwalimu mzuri. Simulizi hii inatosha kabisa kuielewa historia. Nakukubali sana Skywalker.. mungu anijalie nipate fursa kukuona najifunza vingi kwako.

  • @IdrisaMussa-sm6tb

    @IdrisaMussa-sm6tb

    Жыл бұрын

    Hata me kbsaaaa

  • @dantemaina6008
    @dantemaina60082 жыл бұрын

    am a Kenyan but napenda ii channel sana sana keep it up brother

  • @Sadi_Tv
    @Sadi_Tv2 жыл бұрын

    Daaah mnakuja vizuri sana na mna ubunifu wa kipekee na wa kitofauti hongera sana Sky Walker na Team nzima ya Sns

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 Жыл бұрын

    Am from England and the problem is,I don't understand kiswahili bt hii story n nzuri Sana bro, kazi nzuri Sana

  • @heritier5119

    @heritier5119

    Жыл бұрын

    Use google translate

  • @simbamnyama2589

    @simbamnyama2589

    Жыл бұрын

    Mjinga nini.. Unajuaje uzuri wa story na hujui kiswahili.. Acha ujinga boya wewe

  • @WandemaAbdallah-lf5ku

    @WandemaAbdallah-lf5ku

    Жыл бұрын

    Mbona umeongea kiswahili

  • @officialluisetz8203

    @officialluisetz8203

    11 ай бұрын

    😂

  • @MsAggie5
    @MsAggie52 жыл бұрын

    Niliiona hii sinema, sijui mume wangu aliipata wapi Ile cassette, siku nyingi sana sikumbuki mwaka gani ilikuwa black and white. Nililia sana, inasikitisha mno! Kwa hiyo ile wanavyosema kama Hitler aliwachukia Wayahudi baada ya kugundua walimbaka Mama ake ndo akazaliwa yeye si kweli. Asante SNS.

  • @geoffreybasesa2015

    @geoffreybasesa2015

    2 жыл бұрын

    Wewe ulielia ulikua mkubwa manake ulifuatilia, mimi niliiona nikiwa na miaka kama 11 ou 12 hata sikutambua nini kiliendelea ilikua miaka ya 2001-2002. Ila around 14years niliifuatilia tena ndo nikatambua nini walitaka kumaanisha.

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    2 жыл бұрын

    @@geoffreybasesa2015 of course nilikuwa mkubwa, nishaolewa na watoto 😂! Inasikitisha kujua ni true story. Wayahudi tangu wajue wao ni taifa teule wanajisahau Sana, hata nauliza walifuata nini Ulaya???? Na vile wabaguzi mmh!

  • @francismwacha253
    @francismwacha2532 жыл бұрын

    Big up sky hii makala ya kikubwa sana hii ndo maana halisi ya SNS

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch1692 жыл бұрын

    Nili watch nikiwa mdogo tena si mara moja ilikuwa 1994 tuki watch I was 6yrs yani hii movie acha tu walikuwa wanachomwa moto wah...tulikuwa na casset yake nililia sana hii ndo sababu mimi kuchukia wazungu...

  • @mosesmbeke6137
    @mosesmbeke61372 жыл бұрын

    Umejitahido Sana kk,uko vizuri.Good work

  • @sknapoleonshoo3145
    @sknapoleonshoo3145 Жыл бұрын

    Thank you so much. Noted down carefully!!!

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo97982 жыл бұрын

    Thanks Bundala makala hii, inatufanya tu reflect hii issue inayoendelea ya Russia 🇷🇺 na nchi against. Thanks @ MK from UK 🇬🇧

  • @ramad3086
    @ramad3086 Жыл бұрын

    Nakuku bali san mkuu unajua kuchambua stori hadi unanipa morari ya kukusikiliza t niite🔥 rama d🔥 ucku mchan nawafatiliaga san🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano67952 жыл бұрын

    ....Sky endelea kutoa historia kama hizi maramojamoja walau..sisi wengine niwanafunzi tutajifunza mengi toka kwako...

  • @zaburi2386
    @zaburi23862 жыл бұрын

    Kuna jamal April Mtiga abdarah Justin shed Na ananias edgar Lakn ww sky Walker ni the best bro

  • @hkmeme5437

    @hkmeme5437

    2 жыл бұрын

    Sky ni bora, hana mbwembwe

  • @zaburi2386

    @zaburi2386

    2 жыл бұрын

    @@rashowshine7849 ushabik maandaz uo

  • @hkmeme5437

    @hkmeme5437

    2 жыл бұрын

    @@zaburi2386 Jamal ni ovyo kuliko wote

  • @mastaplan

    @mastaplan

    2 жыл бұрын

    Kila presenter ana IQ yake acha ushabiki uliopitiliza mzee

  • @mastaplan

    @mastaplan

    2 жыл бұрын

    @@rashowshine7849 inategemea maoni umeyatoa ukiwa katika hali gani maana sometimes maoni tunatoa tukiwa na feelings na sio Akili.

  • @jamesverdian2445
    @jamesverdian24452 жыл бұрын

    Umehelezea vizuri sana nimependa maelezo yako mkuu

  • @thepurpleonlinetv8630
    @thepurpleonlinetv86302 жыл бұрын

    Hili n balaa ahsante sana

  • @aishachambo8663
    @aishachambo86632 жыл бұрын

    Shukran

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan70102 жыл бұрын

    NAHISI SNS ndio chanzo boraaa Cha habari TZ

  • @nishaismail1178
    @nishaismail11782 жыл бұрын

    Nimeipenda hii

  • @antonyndege3278
    @antonyndege32785 ай бұрын

    Wayaudi walistaili kuuawa

  • @beesmarttv3792
    @beesmarttv37922 жыл бұрын

    Dah bro sky unatisha Sana!! Mpangilio wa sauit na background ya huo mziki wa taratibu dah!!

  • @mbembelatv
    @mbembelatv2 жыл бұрын

    Napenda sn simuliz za aina hii👏💪🏼

  • @ziobuono.7633
    @ziobuono.7633 Жыл бұрын

    Nimefrahi sana..pia Kama naeza kuomba..utuletee story ja ukuta Wa jeriko ..maarufu Bob Marley aliumbwa jeriko wallz. Asante

  • @josemitimingi8048
    @josemitimingi80482 жыл бұрын

    Safi sana

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw3 ай бұрын

    Lile tanuri la moto noma,yaani watu wanachomwa kama mishikaki.

  • @godfreydaniel6818
    @godfreydaniel68182 жыл бұрын

    Adolph hitra ni mwamba alikua anatafuta heshima

  • @nuhubaraza9323
    @nuhubaraza9323 Жыл бұрын

    Nakuelewa sana kaka

  • @peteremanuel2367
    @peteremanuel2367Ай бұрын

    Yale yanofanywa na Israel leo huko Palestina, basi Hitler alikuwa sawa kuwauwa hawa Wayaudi milioni 6, maana hawa Wayaudi ni makatili sana, na ndiyo hawa walimuua Yesu bila kosa.

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye44342 жыл бұрын

    Mungu tuu 😢😢😢😭😭😭😢😢

  • @MohammediKihimbwa-bj4pf
    @MohammediKihimbwa-bj4pf10 күн бұрын

    Wakiteswa wao mchi za magharibi Wana lala Mika wao wanawauwa wasrabu je waitweje ni magaidi tu

  • @bomonda2622
    @bomonda26222 жыл бұрын

    Magic voice

  • @abrahemhemed8369
    @abrahemhemed83697 ай бұрын

    I watched and I like this movie

  • @hossenhassan7092
    @hossenhassan70922 жыл бұрын

    Good

  • @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq
    @Emmanuelmwangimwangi811-oi4wq7 ай бұрын

    Emmanuel mwangi kutoka kenya vidio poa sana

  • @MohammediKihimbwa-bj4pf
    @MohammediKihimbwa-bj4pf10 күн бұрын

    Ukiona inch za magharibi znamsema mtu vibaya basi uyo ni mwema

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Story ya kusisimua sana hii.

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano67952 жыл бұрын

    ...but nakukaribisha kwa mara nyingine tena KARIBU SANA NCHI YA NGUDU KWIMBA..

  • @theprince5253
    @theprince52536 ай бұрын

    Brother samahani naomba utuletee historia ya Mt Kilimanjaro

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio405410 ай бұрын

    Hile sinema himepigwa maluku kuonesha labda KZread 😂story mzuri

  • @mecksaloon81
    @mecksaloon812 жыл бұрын

    Inasikitishaga sana niliwahi kuitazama nikiwa nasoma form two.

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus81102 жыл бұрын

    Hiyooo movie ni hatari sanaaaaa

  • @zainulabidiendhulfikar7398
    @zainulabidiendhulfikar73983 ай бұрын

    Mm binafsi Bado sijatosheka na ushahidi juu ya haya mambo ya hitler

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga35352 жыл бұрын

    Hitra

  • @jigajrphil1344
    @jigajrphil1344 Жыл бұрын

    Confidence haiendani na Uzao Ndiyo maana Baba yake na Suleiman alibaka Ila mwanae alioa wake 300 na mademu 700 , Kumbe tabia haifuati Uzao Ni namna ambayo mtu anafundishwa ama kujifunza mwenyewe.

  • @nlctomaro8226
    @nlctomaro822611 күн бұрын

    Mnaupiga mwingii SNS ndo habarii za mjinii

  • @augostinopaul3601
    @augostinopaul36012 жыл бұрын

    #Sns to the world

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye44342 жыл бұрын

    Hadi na sisi mka 😢😢😢😢

  • @dayanaleo7537
    @dayanaleo75372 жыл бұрын

    Haki nilisha anza huzunika nikajua mmefuta hamto ipost tena☹️☹️ but thank you sns ur the best🤗🌹 napenda sana simulizi zinazo simuliwa na sky au babysky🤗🥰

  • @SimuliziNaSauti

    @SimuliziNaSauti

    2 жыл бұрын

    Pole sana, kuna kosa dogo tulikuwa tunalirekebisha kwenye ile ya mwanzo

  • @dayanaleo7537

    @dayanaleo7537

    2 жыл бұрын

    @@SimuliziNaSauti it’s okay 🤗🥰

  • @powilink6504
    @powilink6504 Жыл бұрын

    Historia inasisimua

  • @hkmeme5437
    @hkmeme54372 жыл бұрын

    Sns mko juuu

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    Dah enzi hizo tunaangalia TV kwa jirani 🤣🤣

  • @kawawamamaya8543

    @kawawamamaya8543

    2 жыл бұрын

    Yaaani we acha na kuulizwa kama miguu yetu ni misafi maisha haya bwna 🤣🤣🤣🤣

  • @ramaccr7525

    @ramaccr7525

    11 ай бұрын

    @@kawawamamaya8543😂😂😂

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi93222 жыл бұрын

    Bundle langu limeisha kihalali nimeongeza kitu kuhusu hitler

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe40572 жыл бұрын

    Nc

  • @shilakodeni2853
    @shilakodeni2853 Жыл бұрын

    Nimekukubali iwoniukweli

  • @suntzu8959
    @suntzu89592 жыл бұрын

    I have a tape of this video

  • @kawawamamaya8543

    @kawawamamaya8543

    2 жыл бұрын

    Hongera

  • @mukusinisaidijanja9773
    @mukusinisaidijanja97732 жыл бұрын

    Nipo London nakupata

  • @hopechidera
    @hopechidera2 жыл бұрын

    Mlifanya poa sana kuondoa hiyo video ya kwanza kwa kusahihisha,anyways asanteni kwa hiyi makala nayo nimeisikiliza a to z,mimi ni mpenzi wamakala sana...

  • @rajabmartojr3302
    @rajabmartojr33022 жыл бұрын

    Uhh

  • @hkmeme5437
    @hkmeme54372 жыл бұрын

    7:38 hao ni wafrica 😆

  • @imuutyger3175
    @imuutyger3175Ай бұрын

    Bora wauliwe mn unaona palestina inavoteseka

  • @geoffreybasesa2015
    @geoffreybasesa20152 жыл бұрын

    Hii movie nilikua naichukia sana manak haikua na action ila baada ya kukua na kufuatilia story nikatambua ni bonge la movie. Wayahudi waliteseka sana kipindi hicho, hadi kutumiwa kama kuni kwa kuchomwa moto

  • @ramaccr7525

    @ramaccr7525

    11 ай бұрын

    😂😂😂

  • @geoffreybasesa2015

    @geoffreybasesa2015

    11 ай бұрын

    @@ramaccr7525mbona umecheka au na ww ulikua kama mimi😅

  • @IbrahimMohamed-yy2il
    @IbrahimMohamed-yy2il2 жыл бұрын

    Katika Propaganda kubwa zilizonikiwa sana moja wapo ni hii movie.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @ediofficial483
    @ediofficial4839 ай бұрын

    Sobibor call of duty Second Word war game

  • @hoodlamar9284
    @hoodlamar92842 жыл бұрын

    kwanini mwandishi anasema ni kifo cha utata? au alikua shetani😀

  • @heritier5119

    @heritier5119

    Жыл бұрын

    Allkuwa ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu,Ajulikani alipofia

  • @malkavoice2570
    @malkavoice25702 жыл бұрын

    Magu alikuwa mdogo wake ila mungu kamuwahisha ujue

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @hassanovajunior6972

    @hassanovajunior6972

    2 жыл бұрын

    K ya mbwa wewe

  • @ramaccr7525

    @ramaccr7525

    11 ай бұрын

    asha kumkosea magu ashima uyo hitl alikuwa fisi aliuwa mpaka mende

  • @heritier5119
    @heritier5119 Жыл бұрын

    Hittler yupo kuzimu anakula moto. Hadi SAsa hakuna raisi, mfalme, au mtawala yeyeto aliyekufa yupo peponi wote wapo kuzimu wanakula Sana moto sababu awakutenda haki

  • @ramaccr7525

    @ramaccr7525

    11 ай бұрын

    Waliuwa moaka mende 😂😂😂

  • @heritier5119
    @heritier5119 Жыл бұрын

    Hittler hakuwa binadamu bali alikuwa ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu. Kama alivyokuwa Iddi Amini.

  • @user-dc4hw4hy8z

    @user-dc4hw4hy8z

    8 ай бұрын

    Kasome kwanza ukweli upo huutaki .....uliza kwa watu wenye maarifa....

  • @abdallahmasanja621

    @abdallahmasanja621

    8 ай бұрын

    Acha ujinga idd amini kafanya nini

  • @sadikathumani1003
    @sadikathumani10032 жыл бұрын

    Hizo ni propaganda za mataifa ya magharibi huyo hitla mwenyew alikuw myahudi aliwauwa kwa sa7bu ya ujinga wao

  • @faumahona5769

    @faumahona5769

    2 жыл бұрын

    Ww ni muisilamu huwezi kuwapenda wayahudi na inaonekana ww ni mbishi Kama mavi

  • @heritier5119

    @heritier5119

    Жыл бұрын

    Waislamu wanachuki na Wayahudi

  • @nakalikyumile3234

    @nakalikyumile3234

    Жыл бұрын

    @@faumahona5769 sasa, wewe wayahudi ni nduguzo? Wote wazungu hawawapendi nyie ila mnajipendekeza kwasababu waliwadanganya kuwa wao walichaguliwa na mungu

  • @nakalikyumile3234

    @nakalikyumile3234

    Жыл бұрын

    @@heritier5119 wayahudi wao wanawapenda waislamu?

  • @nakalikyumile3234

    @nakalikyumile3234

    Жыл бұрын

    Wazungu wote hawana maana, wao ndio chanzo cha nyie weusi kutaabika mpaka Leo, waliwatumikisha miaka nenda rudi utumwani, bibi na babu zetu wakauliwa kinyama, wakateswa, Leo ati mtu mweusi unamuonea huruma mzungu aitwaye "myahudi" huo "Unyanism"

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri2 жыл бұрын

    IKO POA MUMEKUJA TOFAUTI

  • @husseinkaoneka5834
    @husseinkaoneka58342 жыл бұрын

    Hyo nnayo had sasa mzee naiangalia kila cku

  • @RynoFiree

    @RynoFiree

    10 ай бұрын

    Mkuu inaitwaje hiyo movie niitafute

  • @AFRICA_D669

    @AFRICA_D669

    3 ай бұрын

    Mzee wako nae kboko 😂

  • @cosimasamonimpiniracosimas6160
    @cosimasamonimpiniracosimas61602 жыл бұрын

    Sikumooja uje na story ya Burundi

  • @abedinegoraphael4774
    @abedinegoraphael47742 жыл бұрын

    niko nayo hiyo movies aseee

  • @AFRICA_D669

    @AFRICA_D669

    3 ай бұрын

    Naweza kuipata kaka

  • @abedinegoraphael4774

    @abedinegoraphael4774

    3 ай бұрын

    @@AFRICA_D669 sawa

  • @yusuphbenjaminkugaiwa7608
    @yusuphbenjaminkugaiwa76082 жыл бұрын

    Hapa bongo hawakuwepo watu kama hitla?

  • @heritier5119

    @heritier5119

    Жыл бұрын

    Wengi tu

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi47572 жыл бұрын

    Wayahudi ni wasaliti, sio watu wakuaamini lamwe

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    Жыл бұрын

    Baasi na hizi hadithi za holocoust

  • @heritier5119
    @heritier5119 Жыл бұрын

    Hittler alikuwa shoga

  • @AFRICA_D669

    @AFRICA_D669

    3 ай бұрын

    😂

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan70102 жыл бұрын

    NAHISI SNS ndio chanzo boraaa Cha habari TZ

Келесі