SOBIBOR: Kambi ya kifo iliyotumiwa na Adolf Hitler kuua wafungwa wa Kiyahudi wafikao 250,000!
Ойын-сауық
Unaweza kujiuliza kwanini kambi ya #Sobibor ilijengwa. Na kwanini kulikuwa na chuki ya kibaguzi hasa kwa wayahudi? Walifanya nini mpaka kuuawa kikatili, kupelekwa makambini na kupewa adhabu kali zisizokuwa na chembe ya utu wa kibinadamu.
Tega sikio lako katika makala hii ili kujua mengi ya kusisimua kuhusu kambi ya maangamizi ya Sobibor pamoja na ukatili wa #AdolfHitler wa Ujerumani
Пікірлер: 132
Nawakubari ndugu zangu kwa kutufafanua Uhepo wetukujua mengi kupitia makala zenu 👏🇹🇿🇬🇷
Tatizo mayahudi waliouwawa na Hitra sio wale waliuza siri za kijeshi. Tukumbuke kulikuweko na mayahudi safadim na mayahudi Ashikinaz hawa ndio mpaka sasa ni mafisadi na kama kawaida yao wanatabia ya kubadili uhalisia wao kwa sasa wanajiita Zayunist.
Nimesikiliza simulizi hii usiku huu kukiwa kumetulia bila bughuza ili nimpate vema Skywalker.. hakika Wewe ni mwalimu mzuri. Simulizi hii inatosha kabisa kuielewa historia. Nakukubali sana Skywalker.. mungu anijalie nipate fursa kukuona najifunza vingi kwako.
@IdrisaMussa-sm6tb
Жыл бұрын
Hata me kbsaaaa
am a Kenyan but napenda ii channel sana sana keep it up brother
Daaah mnakuja vizuri sana na mna ubunifu wa kipekee na wa kitofauti hongera sana Sky Walker na Team nzima ya Sns
Am from England and the problem is,I don't understand kiswahili bt hii story n nzuri Sana bro, kazi nzuri Sana
@heritier5119
Жыл бұрын
Use google translate
@simbamnyama2589
Жыл бұрын
Mjinga nini.. Unajuaje uzuri wa story na hujui kiswahili.. Acha ujinga boya wewe
@WandemaAbdallah-lf5ku
Жыл бұрын
Mbona umeongea kiswahili
@officialluisetz8203
11 ай бұрын
😂
Niliiona hii sinema, sijui mume wangu aliipata wapi Ile cassette, siku nyingi sana sikumbuki mwaka gani ilikuwa black and white. Nililia sana, inasikitisha mno! Kwa hiyo ile wanavyosema kama Hitler aliwachukia Wayahudi baada ya kugundua walimbaka Mama ake ndo akazaliwa yeye si kweli. Asante SNS.
@geoffreybasesa2015
2 жыл бұрын
Wewe ulielia ulikua mkubwa manake ulifuatilia, mimi niliiona nikiwa na miaka kama 11 ou 12 hata sikutambua nini kiliendelea ilikua miaka ya 2001-2002. Ila around 14years niliifuatilia tena ndo nikatambua nini walitaka kumaanisha.
@MsAggie5
2 жыл бұрын
@@geoffreybasesa2015 of course nilikuwa mkubwa, nishaolewa na watoto 😂! Inasikitisha kujua ni true story. Wayahudi tangu wajue wao ni taifa teule wanajisahau Sana, hata nauliza walifuata nini Ulaya???? Na vile wabaguzi mmh!
Big up sky hii makala ya kikubwa sana hii ndo maana halisi ya SNS
Nili watch nikiwa mdogo tena si mara moja ilikuwa 1994 tuki watch I was 6yrs yani hii movie acha tu walikuwa wanachomwa moto wah...tulikuwa na casset yake nililia sana hii ndo sababu mimi kuchukia wazungu...
Umejitahido Sana kk,uko vizuri.Good work
Thank you so much. Noted down carefully!!!
Thanks Bundala makala hii, inatufanya tu reflect hii issue inayoendelea ya Russia 🇷🇺 na nchi against. Thanks @ MK from UK 🇬🇧
Nakuku bali san mkuu unajua kuchambua stori hadi unanipa morari ya kukusikiliza t niite🔥 rama d🔥 ucku mchan nawafatiliaga san🔥🔥🔥🔥🔥
....Sky endelea kutoa historia kama hizi maramojamoja walau..sisi wengine niwanafunzi tutajifunza mengi toka kwako...
Kuna jamal April Mtiga abdarah Justin shed Na ananias edgar Lakn ww sky Walker ni the best bro
@hkmeme5437
2 жыл бұрын
Sky ni bora, hana mbwembwe
@zaburi2386
2 жыл бұрын
@@rashowshine7849 ushabik maandaz uo
@hkmeme5437
2 жыл бұрын
@@zaburi2386 Jamal ni ovyo kuliko wote
@mastaplan
2 жыл бұрын
Kila presenter ana IQ yake acha ushabiki uliopitiliza mzee
@mastaplan
2 жыл бұрын
@@rashowshine7849 inategemea maoni umeyatoa ukiwa katika hali gani maana sometimes maoni tunatoa tukiwa na feelings na sio Akili.
Umehelezea vizuri sana nimependa maelezo yako mkuu
Hili n balaa ahsante sana
Shukran
NAHISI SNS ndio chanzo boraaa Cha habari TZ
Nimeipenda hii
Wayaudi walistaili kuuawa
Dah bro sky unatisha Sana!! Mpangilio wa sauit na background ya huo mziki wa taratibu dah!!
Napenda sn simuliz za aina hii👏💪🏼
Nimefrahi sana..pia Kama naeza kuomba..utuletee story ja ukuta Wa jeriko ..maarufu Bob Marley aliumbwa jeriko wallz. Asante
Safi sana
Lile tanuri la moto noma,yaani watu wanachomwa kama mishikaki.
Adolph hitra ni mwamba alikua anatafuta heshima
Nakuelewa sana kaka
Yale yanofanywa na Israel leo huko Palestina, basi Hitler alikuwa sawa kuwauwa hawa Wayaudi milioni 6, maana hawa Wayaudi ni makatili sana, na ndiyo hawa walimuua Yesu bila kosa.
Mungu tuu 😢😢😢😭😭😭😢😢
Wakiteswa wao mchi za magharibi Wana lala Mika wao wanawauwa wasrabu je waitweje ni magaidi tu
Magic voice
I watched and I like this movie
Good
Emmanuel mwangi kutoka kenya vidio poa sana
Ukiona inch za magharibi znamsema mtu vibaya basi uyo ni mwema
Story ya kusisimua sana hii.
...but nakukaribisha kwa mara nyingine tena KARIBU SANA NCHI YA NGUDU KWIMBA..
Brother samahani naomba utuletee historia ya Mt Kilimanjaro
Hile sinema himepigwa maluku kuonesha labda KZread 😂story mzuri
Inasikitishaga sana niliwahi kuitazama nikiwa nasoma form two.
Hiyooo movie ni hatari sanaaaaa
Mm binafsi Bado sijatosheka na ushahidi juu ya haya mambo ya hitler
Hitra
Confidence haiendani na Uzao Ndiyo maana Baba yake na Suleiman alibaka Ila mwanae alioa wake 300 na mademu 700 , Kumbe tabia haifuati Uzao Ni namna ambayo mtu anafundishwa ama kujifunza mwenyewe.
Mnaupiga mwingii SNS ndo habarii za mjinii
#Sns to the world
Hadi na sisi mka 😢😢😢😢
Haki nilisha anza huzunika nikajua mmefuta hamto ipost tena☹️☹️ but thank you sns ur the best🤗🌹 napenda sana simulizi zinazo simuliwa na sky au babysky🤗🥰
@SimuliziNaSauti
2 жыл бұрын
Pole sana, kuna kosa dogo tulikuwa tunalirekebisha kwenye ile ya mwanzo
@dayanaleo7537
2 жыл бұрын
@@SimuliziNaSauti it’s okay 🤗🥰
Historia inasisimua
Sns mko juuu
Dah enzi hizo tunaangalia TV kwa jirani 🤣🤣
@kawawamamaya8543
2 жыл бұрын
Yaaani we acha na kuulizwa kama miguu yetu ni misafi maisha haya bwna 🤣🤣🤣🤣
@ramaccr7525
11 ай бұрын
@@kawawamamaya8543😂😂😂
Bundle langu limeisha kihalali nimeongeza kitu kuhusu hitler
Nc
Nimekukubali iwoniukweli
I have a tape of this video
@kawawamamaya8543
2 жыл бұрын
Hongera
Nipo London nakupata
Mlifanya poa sana kuondoa hiyo video ya kwanza kwa kusahihisha,anyways asanteni kwa hiyi makala nayo nimeisikiliza a to z,mimi ni mpenzi wamakala sana...
Uhh
7:38 hao ni wafrica 😆
Bora wauliwe mn unaona palestina inavoteseka
Hii movie nilikua naichukia sana manak haikua na action ila baada ya kukua na kufuatilia story nikatambua ni bonge la movie. Wayahudi waliteseka sana kipindi hicho, hadi kutumiwa kama kuni kwa kuchomwa moto
@ramaccr7525
11 ай бұрын
😂😂😂
@geoffreybasesa2015
11 ай бұрын
@@ramaccr7525mbona umecheka au na ww ulikua kama mimi😅
Katika Propaganda kubwa zilizonikiwa sana moja wapo ni hii movie.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Sobibor call of duty Second Word war game
kwanini mwandishi anasema ni kifo cha utata? au alikua shetani😀
@heritier5119
Жыл бұрын
Allkuwa ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu,Ajulikani alipofia
Magu alikuwa mdogo wake ila mungu kamuwahisha ujue
@zuleyvendor6577
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hassanovajunior6972
2 жыл бұрын
K ya mbwa wewe
@ramaccr7525
11 ай бұрын
asha kumkosea magu ashima uyo hitl alikuwa fisi aliuwa mpaka mende
Hittler yupo kuzimu anakula moto. Hadi SAsa hakuna raisi, mfalme, au mtawala yeyeto aliyekufa yupo peponi wote wapo kuzimu wanakula Sana moto sababu awakutenda haki
@ramaccr7525
11 ай бұрын
Waliuwa moaka mende 😂😂😂
Hittler hakuwa binadamu bali alikuwa ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu. Kama alivyokuwa Iddi Amini.
@user-dc4hw4hy8z
8 ай бұрын
Kasome kwanza ukweli upo huutaki .....uliza kwa watu wenye maarifa....
@abdallahmasanja621
8 ай бұрын
Acha ujinga idd amini kafanya nini
Hizo ni propaganda za mataifa ya magharibi huyo hitla mwenyew alikuw myahudi aliwauwa kwa sa7bu ya ujinga wao
@faumahona5769
2 жыл бұрын
Ww ni muisilamu huwezi kuwapenda wayahudi na inaonekana ww ni mbishi Kama mavi
@heritier5119
Жыл бұрын
Waislamu wanachuki na Wayahudi
@nakalikyumile3234
Жыл бұрын
@@faumahona5769 sasa, wewe wayahudi ni nduguzo? Wote wazungu hawawapendi nyie ila mnajipendekeza kwasababu waliwadanganya kuwa wao walichaguliwa na mungu
@nakalikyumile3234
Жыл бұрын
@@heritier5119 wayahudi wao wanawapenda waislamu?
@nakalikyumile3234
Жыл бұрын
Wazungu wote hawana maana, wao ndio chanzo cha nyie weusi kutaabika mpaka Leo, waliwatumikisha miaka nenda rudi utumwani, bibi na babu zetu wakauliwa kinyama, wakateswa, Leo ati mtu mweusi unamuonea huruma mzungu aitwaye "myahudi" huo "Unyanism"
IKO POA MUMEKUJA TOFAUTI
Hyo nnayo had sasa mzee naiangalia kila cku
@RynoFiree
10 ай бұрын
Mkuu inaitwaje hiyo movie niitafute
@AFRICA_D669
3 ай бұрын
Mzee wako nae kboko 😂
Sikumooja uje na story ya Burundi
niko nayo hiyo movies aseee
@AFRICA_D669
3 ай бұрын
Naweza kuipata kaka
@abedinegoraphael4774
3 ай бұрын
@@AFRICA_D669 sawa
Hapa bongo hawakuwepo watu kama hitla?
@heritier5119
Жыл бұрын
Wengi tu
Wayahudi ni wasaliti, sio watu wakuaamini lamwe
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Baasi na hizi hadithi za holocoust
Hittler alikuwa shoga
@AFRICA_D669
3 ай бұрын
😂
NAHISI SNS ndio chanzo boraaa Cha habari TZ