Historia itatuhukumu,hakika umeme mpaka leo bado ni kero kubwa na mzee sasa umelala,lala Legendary 🎉
@bwiganeafwene10399 жыл бұрын
Lowassa i will support u up my last cell! utashinda in high percent not less than eighty! kinyume na apo nakuomba ukiwa madarakan uwatafute watalamu ili wapime thinking capacity of Tanzanian!!!
@NyakiMollel5 ай бұрын
Historia itawahukumu 2024
@jtlehhema9 жыл бұрын
Lowassa anajua, Mungu ampe Nuru na Nguvu atauongoze ktk URAIS UJAO
@michaelmathew39149 жыл бұрын
My president lowasa nipo nawe bega bega
@johnmacha21949 жыл бұрын
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, huyu jamaa anafaa. He is a hard core when it comes to decision making. Much love Mh. Edward Lowassa. Mungu akutangulie upite na uwe Rais wa Tanzania. When i listen to him goose-bags all over my body. Mh. Uwe Rais tupate mashamba kama graduate tulime. You have my vote 2015.
@gethmwankina9319
4 ай бұрын
Ppl
@gethmwankina9319
4 ай бұрын
P
@danielspatrick86114 ай бұрын
The President we never had
@emmanuelnyangi68375 ай бұрын
Daah rest in peace my regend
@christinatemba92229 жыл бұрын
Namkubali sana mh Lowasa.
@williamstevenmvanda79236 жыл бұрын
ulipokuwa kijana ulikuwa unaongea vzr,
@moorlandsafaris94845 ай бұрын
Ulale Salama Rais wa Kura Yangu
@abdulsalumu68769 жыл бұрын
we'll stand 4u
@fredyelifuraha25534 ай бұрын
RiEp Eddo Rais tuliyemkosa, Nchi hii hatukutumia hata NUSU ya your Potential. Pumzika kwa Amani...
@stellahombeni94758 жыл бұрын
Good
@godsonlaizer12479 жыл бұрын
Wale wote wasiopenda maendeleo ya sasa ya uchaguzi ujao waangalie mahpjiano haya.
@othmanhussein60258 жыл бұрын
Wasaidie wamasai wenzako ukishinda kama ulivyofanya ulipokua PM lakin mm kura yangu huipati
@allan37234 ай бұрын
RIP AKILI KUBWA
@bakaringwavaya67485 жыл бұрын
lowassa tunakupenda xn uku nachingwea tenga muda ututembelee
@xajimosko77478 жыл бұрын
luwasa urashinda yale yote ni wivu na wasaidie wamasai na wafugaji wengine wameteswa sana katika kupata malisho ya mifugo
@Expedito25129 жыл бұрын
sawa
@EliasKuzenza-iu6de4 ай бұрын
Mwamba alikuwa mtenda haki
@browskymuba69234 ай бұрын
Kikwete rafiki na mtu wa karibu kwa lowaasa lkn pia hajawahi kutaka uwe rais alitengeneza mambo mengi kuhusu lowassa alikuweka waziri hlf akatengeneza kashfa ili badai usiweze kuwa rais 😅 shkamoo kikwete
Пікірлер: 27
Historia itatuhukumu,hakika umeme mpaka leo bado ni kero kubwa na mzee sasa umelala,lala Legendary 🎉
Lowassa i will support u up my last cell! utashinda in high percent not less than eighty! kinyume na apo nakuomba ukiwa madarakan uwatafute watalamu ili wapime thinking capacity of Tanzanian!!!
Historia itawahukumu 2024
Lowassa anajua, Mungu ampe Nuru na Nguvu atauongoze ktk URAIS UJAO
My president lowasa nipo nawe bega bega
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, huyu jamaa anafaa. He is a hard core when it comes to decision making. Much love Mh. Edward Lowassa. Mungu akutangulie upite na uwe Rais wa Tanzania. When i listen to him goose-bags all over my body. Mh. Uwe Rais tupate mashamba kama graduate tulime. You have my vote 2015.
@gethmwankina9319
4 ай бұрын
Ppl
@gethmwankina9319
4 ай бұрын
P
The President we never had
Daah rest in peace my regend
Namkubali sana mh Lowasa.
ulipokuwa kijana ulikuwa unaongea vzr,
Ulale Salama Rais wa Kura Yangu
we'll stand 4u
RiEp Eddo Rais tuliyemkosa, Nchi hii hatukutumia hata NUSU ya your Potential. Pumzika kwa Amani...
Good
Wale wote wasiopenda maendeleo ya sasa ya uchaguzi ujao waangalie mahpjiano haya.
Wasaidie wamasai wenzako ukishinda kama ulivyofanya ulipokua PM lakin mm kura yangu huipati
RIP AKILI KUBWA
lowassa tunakupenda xn uku nachingwea tenga muda ututembelee
luwasa urashinda yale yote ni wivu na wasaidie wamasai na wafugaji wengine wameteswa sana katika kupata malisho ya mifugo
sawa
Mwamba alikuwa mtenda haki
Kikwete rafiki na mtu wa karibu kwa lowaasa lkn pia hajawahi kutaka uwe rais alitengeneza mambo mengi kuhusu lowassa alikuweka waziri hlf akatengeneza kashfa ili badai usiweze kuwa rais 😅 shkamoo kikwete
Lowasa we kachunge ngo'mbe tu hufai kuwa Rais
Tanzania ili kosewa sana, kukukosa wewe Kama rais