Dua Ya Matatizo Yote_-_Sheikh Izzudin Ahmed

Assalaam Aalaykum,
Usisahau KuSubscribe, Share, Like, & Comment katika chaneli yetu kwa maendeleo ya dini yetu.
Inshaallah Tv Online | Fahari Ya Waislamu
Powered by Al-Islam Foundation & Islamic Group.

Пікірлер: 35

  • @nyihajjialiy2287
    @nyihajjialiy22876 ай бұрын

    Alhamdulillahi.... Swadakta

  • @inshaallahtvonline

    @inshaallahtvonline

    6 ай бұрын

    MashaAllah

  • @salhamahfoudh3184
    @salhamahfoudh318411 ай бұрын

    Alhamdulillah Nina ushuhuda wa hili kiukweli mujarrab kabsa

  • @jamilarajab4610

    @jamilarajab4610

    11 ай бұрын

    ni kweli kabisa namimi imenisaidia sn

  • @KuluthumuFundi

    @KuluthumuFundi

    8 ай бұрын

    Mimi pia imeisaidia sana alhamdulillah

  • @worlworld9404

    @worlworld9404

    8 ай бұрын

    Ulsoma kivipi

  • @worlworld9404

    @worlworld9404

    8 ай бұрын

    Nisaidieni jameni sielewi chochote

  • @ishajivraj560

    @ishajivraj560

    7 ай бұрын

    asalam aleykum dada naomba na mimi unifundishe

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k6 ай бұрын

    Shukran shekhe

  • @nuriatrwiza7587
    @nuriatrwiza75878 ай бұрын

    Jazaka LLahu Khaira,Allah akulipe,,Kwa mafunzo mazr ,

  • @inshaallahtvonline

    @inshaallahtvonline

    8 ай бұрын

    Allahumma Aamiyn

  • @ishajivraj560

    @ishajivraj560

    8 ай бұрын

    ​@@inshaallahtvonline asalam aleykum sheikh unasoma mara ngapi siku ngapi

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k6 ай бұрын

    Shukran

  • @user-gs5ut5ss4t
    @user-gs5ut5ss4t8 ай бұрын

    Nami ntasoma bi idhnillahi

  • @wazirikipanga325
    @wazirikipanga32511 ай бұрын

    Km ukitaka msomea mtu kwa kumlinda wafanya vip?

  • @SULEYMANMAGINA
    @SULEYMANMAGINA6 ай бұрын

    Shakher unasoma tu au had manuio

  • @inshaallahtvonline

    @inshaallahtvonline

    6 ай бұрын

    Nia ni muhimu ndugu yangu

  • @JafariIbrahim-yk5rk
    @JafariIbrahim-yk5rk11 ай бұрын

    Samahan shekh Yaas ina Aya 83 so 87

  • @inshaallahtvonline

    @inshaallahtvonline

    11 ай бұрын

    Sahihi kabisa hapo Sheikh Izzudin alighafirika. Allah amuongoe Inshaallah

  • @zainamohammed7109
    @zainamohammed71096 ай бұрын

    Shukran Allah akulipe kheri sheikh

  • @inshaallahtvonline

    @inshaallahtvonline

    6 ай бұрын

    Allahumma Aamiyn

  • @Rehema-yr6md
    @Rehema-yr6md6 ай бұрын

    Unasoma mara moja tu au kuna haja ya kirudirudia kwa siku kadhaa?;

  • @inshaallahtvonline

    @inshaallahtvonline

    6 ай бұрын

    Ni ww tu ila ni bora uwe na tabia ya kurudia rudia hata kwa mwezi mara moja maana kwa dunia ya leo matatizo ni mengi sana

  • @AliShee-mb2gh
    @AliShee-mb2gh11 ай бұрын

    shehe hebu tujuze hayo mafundisho umeyatoa wapi?

  • @shamisahmed4806

    @shamisahmed4806

    11 ай бұрын

    Hata kama yametoka kwake tu,ikiwa yana faida basi yanatufaa tu haina tatizo!

  • @AliShee-mb2gh

    @AliShee-mb2gh

    11 ай бұрын

    kama ni ivo,basi ni kupotea huezi jitungia ibada zako ambazo mtume صلى الله عليه وسلم hakuzifunza na ibada yoyote ina mambo mawili ufanye na ikhlas na ifate mafunzo ya mtume bila ivo unapoteza wakati wako ukiona wafanya kheri

  • @shamisahmed4806

    @shamisahmed4806

    11 ай бұрын

    @@AliShee-mb2gh...Kheri yoyote inayofanywa basi imevuuliwa kwenye mafunzo ya Mtume....Bw.Mtume katufundisha kuwa suuratul Faatiha ni ponyo la maradhi yote,basi hili linatosha kuwa Quran kw namna yyte ni ponyo na haikuwa lazima aseme suuratu Yaasin unganisha na aya ktk suuratu L-ahzabu utatue tatizo flani!!!

  • @AliShee-mb2gh

    @AliShee-mb2gh

    11 ай бұрын

    lete dalili ya iyo kheri kutoka kwa mtume صلى الله عليه وسلم ibada za kutunga hazina msingi au labda mtume alifanya khiyana hakubainisha

  • @shamisahmed4806

    @shamisahmed4806

    11 ай бұрын

    @@AliShee-mb2gh Hoja yangu ya msingi iko ktk aya ya 82 ya sura ya 17 Allah anasema Wanunazzilu minal Quran maa huwa shifaaun..... Hoja yangu iko hv,kwa namna yyte utakavoitumia Quran na ukapata matokeo uliyoyakusudia bas msingi wa hilo ni hiyo aya ya 82 ktk sura ya 17...!!! Mambo mengine ktk dini yako huru utumie akili,Muislam hawi kama vile TV na Remote control akawa anatuniwa tu,Muislam anatakiwa aisumbue akili... hata ktk ile kauli ya Mtume ya La Tuswalliyanna illa fii bani Kuraydha lengo lake lilikuwa ni kuwafanya Waislam watumie akili kwenye baadhi ya mambo na wasisubiri tu kila kitu waambiwe!!! Nakushkuru sana Sheikh Allah akutangulie kwa kheri ktk kila hatua yako!!!