Dua Ya Matatizo Yote_-_Sheikh Izzudin Ahmed
Assalaam Aalaykum,
Usisahau KuSubscribe, Share, Like, & Comment katika chaneli yetu kwa maendeleo ya dini yetu.
Inshaallah Tv Online | Fahari Ya Waislamu
Powered by Al-Islam Foundation & Islamic Group.
Assalaam Aalaykum,
Usisahau KuSubscribe, Share, Like, & Comment katika chaneli yetu kwa maendeleo ya dini yetu.
Inshaallah Tv Online | Fahari Ya Waislamu
Powered by Al-Islam Foundation & Islamic Group.
Пікірлер: 35
Alhamdulillahi.... Swadakta
@inshaallahtvonline
6 ай бұрын
MashaAllah
Alhamdulillah Nina ushuhuda wa hili kiukweli mujarrab kabsa
@jamilarajab4610
11 ай бұрын
ni kweli kabisa namimi imenisaidia sn
@KuluthumuFundi
8 ай бұрын
Mimi pia imeisaidia sana alhamdulillah
@worlworld9404
8 ай бұрын
Ulsoma kivipi
@worlworld9404
8 ай бұрын
Nisaidieni jameni sielewi chochote
@ishajivraj560
7 ай бұрын
asalam aleykum dada naomba na mimi unifundishe
Shukran shekhe
Jazaka LLahu Khaira,Allah akulipe,,Kwa mafunzo mazr ,
@inshaallahtvonline
8 ай бұрын
Allahumma Aamiyn
@ishajivraj560
8 ай бұрын
@@inshaallahtvonline asalam aleykum sheikh unasoma mara ngapi siku ngapi
Shukran
Nami ntasoma bi idhnillahi
Km ukitaka msomea mtu kwa kumlinda wafanya vip?
Shakher unasoma tu au had manuio
@inshaallahtvonline
6 ай бұрын
Nia ni muhimu ndugu yangu
Samahan shekh Yaas ina Aya 83 so 87
@inshaallahtvonline
11 ай бұрын
Sahihi kabisa hapo Sheikh Izzudin alighafirika. Allah amuongoe Inshaallah
Shukran Allah akulipe kheri sheikh
@inshaallahtvonline
6 ай бұрын
Allahumma Aamiyn
Unasoma mara moja tu au kuna haja ya kirudirudia kwa siku kadhaa?;
@inshaallahtvonline
6 ай бұрын
Ni ww tu ila ni bora uwe na tabia ya kurudia rudia hata kwa mwezi mara moja maana kwa dunia ya leo matatizo ni mengi sana
shehe hebu tujuze hayo mafundisho umeyatoa wapi?
@shamisahmed4806
11 ай бұрын
Hata kama yametoka kwake tu,ikiwa yana faida basi yanatufaa tu haina tatizo!
@AliShee-mb2gh
11 ай бұрын
kama ni ivo,basi ni kupotea huezi jitungia ibada zako ambazo mtume صلى الله عليه وسلم hakuzifunza na ibada yoyote ina mambo mawili ufanye na ikhlas na ifate mafunzo ya mtume bila ivo unapoteza wakati wako ukiona wafanya kheri
@shamisahmed4806
11 ай бұрын
@@AliShee-mb2gh...Kheri yoyote inayofanywa basi imevuuliwa kwenye mafunzo ya Mtume....Bw.Mtume katufundisha kuwa suuratul Faatiha ni ponyo la maradhi yote,basi hili linatosha kuwa Quran kw namna yyte ni ponyo na haikuwa lazima aseme suuratu Yaasin unganisha na aya ktk suuratu L-ahzabu utatue tatizo flani!!!
@AliShee-mb2gh
11 ай бұрын
lete dalili ya iyo kheri kutoka kwa mtume صلى الله عليه وسلم ibada za kutunga hazina msingi au labda mtume alifanya khiyana hakubainisha
@shamisahmed4806
11 ай бұрын
@@AliShee-mb2gh Hoja yangu ya msingi iko ktk aya ya 82 ya sura ya 17 Allah anasema Wanunazzilu minal Quran maa huwa shifaaun..... Hoja yangu iko hv,kwa namna yyte utakavoitumia Quran na ukapata matokeo uliyoyakusudia bas msingi wa hilo ni hiyo aya ya 82 ktk sura ya 17...!!! Mambo mengine ktk dini yako huru utumie akili,Muislam hawi kama vile TV na Remote control akawa anatuniwa tu,Muislam anatakiwa aisumbue akili... hata ktk ile kauli ya Mtume ya La Tuswalliyanna illa fii bani Kuraydha lengo lake lilikuwa ni kuwafanya Waislam watumie akili kwenye baadhi ya mambo na wasisubiri tu kila kitu waambiwe!!! Nakushkuru sana Sheikh Allah akutangulie kwa kheri ktk kila hatua yako!!!