Hakika na hii ndio injili ya kweli,injili ya ukombozi,injili ya usafi wa mwili,nafsi na roho.
@NURU-YA-BWANA-TV6 ай бұрын
Huyu mtumishi wa Mungu alikuwa na sauti ya ajabu sana yenye mamlaka ya juu sana,alihubiri injili ya nyakati za mwisho huyu mtumishi wa Mungu,alikuwa anatuandaa toka zamani Ila hatukujua majira na nyakati za Kumorowski kwetu,kila kitu kimefichwa machoni petu,ndo maana Yesu alipouona Yerusalemu Alilia,kasema laiti ungejua yakupasayo Amani yamefichwa machoni pako.
Пікірлер: 13
Hii injili ni kweli iliyo kweli hakikaa hata mimi mdogo nmeipokea, Jina la Bwana libarikiwe sanaaa
Amina
Amina baba.. sauti yako inagusa moyo. Mungu atusamehe makosa yetu. 😢
Amen🙏🙏🙏🙏🏼🙏🙏🙏🙏🙏🖐️🖐️🖐️
Amina baba mchungaji
AMEN AMEN 🙏🙏
Aminaaa 🎉🎉🎉🎉❤
Amen
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
I wish I see jesus
Ameen naipenda injili inayokemea dhambi...😢
@sengolubasha3961
6 ай бұрын
Hakika na hii ndio injili ya kweli,injili ya ukombozi,injili ya usafi wa mwili,nafsi na roho.
Huyu mtumishi wa Mungu alikuwa na sauti ya ajabu sana yenye mamlaka ya juu sana,alihubiri injili ya nyakati za mwisho huyu mtumishi wa Mungu,alikuwa anatuandaa toka zamani Ila hatukujua majira na nyakati za Kumorowski kwetu,kila kitu kimefichwa machoni petu,ndo maana Yesu alipouona Yerusalemu Alilia,kasema laiti ungejua yakupasayo Amani yamefichwa machoni pako.