DOTTO MAGARI ASIMULIA ALIVYOTAKA KUCHOMWA MOTO KISA WIZI / MACHOZI YATAKUTOKA / INASIKITISHA SANA
Ойын-сауық
SIKIA MWANZO MWISHO DOTTO MAGARI ALIVYOSIMULIA KISA CHA KUATAKA KUCHOMWA MOTO KARIAKOO BAADA YA KUIBA SIMU KARIAKOO INASIKITISHA SANA TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #hajimanara #diamondplatnumz #wasafimedia #millardayo
Пікірлер: 48
Bland ya kaka Dotto magari haiwezi kushuka hata siku moja hivi ni vitu vya kawaida alipo kaka yetu Dotto na sisi tupo iwe furaha au huzuni Tunduma border post moja❤❤❤
Usipofunzwa na Ulimwengu Utafunzwa na Mamae....@duh! Mamae Dotto😂😂😂
Doto magali nakukubali sana bloo
Ila kumhoji dotto ni kazi sana
Yes mm ninaekujua shemela wangu ndqni yq kino blazili nakuombea kwa mungu uishi sana huna baya wkt upo modo tolu 😅
Big up
Kweli kabisa uaminifu ni muhimu sana
Kufanya interview na dotto hunahaja ya kutafuta content utaipata katika maongezi yake tuu
Angalia doto hiyo bongo....watakuchua police wa bongo noma
Njoo Kenya
Bado maisha yanaendelea. Kwani ukinyamaza itakuwa jee?
Ivi kwanini madem wakiomba hela afu usimpe wanachukia?
@charleskaozya9924
4 ай бұрын
😂😂😂😂sasa akikosa maokoto atafurahia kweli shida wao wanamini wanaume ela tunaokota vjui😊😊
@barakabusima
4 ай бұрын
😂 hata Mimi sijuwi
Jump jump no position
Tisha sana
😂❤🙌🔥
Yaan huyu aitwe tyu na joti walai watapiga pesa idea watengeneze kitu na huyu jmaa
catalism ndio nini doto nenda shule na ulimbukeni wako ....ifolesa ndo nini
#Hajimanara weka challenge ya waongeaji
@allahisone6386
4 ай бұрын
KUTA NOGA SANA KBS
Na hapa ipo😂 xafi xana tunakuombea kaka mkubwa
Watching from china😂😂mwijaku makes my day wallahi
@mwitaagness455
4 ай бұрын
Ifulensa.. Influencer duhhh
@twiseghekisilu8845
4 ай бұрын
Huyu Dotto magari influencer
@mwitaagness455
4 ай бұрын
@@twiseghekisilu8845 anavyoitamka sasa ndio mtihani, siatamke tuu kwa kiswahili chetu
Do too magali binzali
Haaaah
Mikwara hiii
Ukihitajika utaitwa....😀😀😀😀😂😂😂😂
Dotto unanitoa stress Mimi jamani 😂😂
Mbona unasema haujasoma ,sasa mbona unasema mlipokuwa mnatoka shule mnapanga kuiba,tukuamini kipi sasa
Vitu vya kawaida kwenye jamii😂😂
Chumvi nyanya binzari mbona upati jeraha
😂😂😂 ety panki kama mcheza X
Wew dotomsenge kumbe mgaigai
Pank kama mcheza X😂
@godwinmwakibibi274
3 ай бұрын
Msenge huyuu
Maana maswali utayoenda nayo utayasahau tokana na maongezi yake jinsi anavokutoa kwene reli
@allahisone6386
4 ай бұрын
😅😅
Sasa mbona hajaacha uo wizi😢
@rizikiabdalla2501
4 ай бұрын
Kumbe kakuibiwa Jana au
Mshamba mwenyewe doto wewe😂😂
Kama Nikweli Walitaka Kukuchoma Moto. Bora Wangekuchoma Moto Tukapumzika Kuliko Hivi Sasa Unavyotuchosha.
@PuzzleMc-zp2lg
3 ай бұрын
pu😢
@sleyumngolo
3 ай бұрын
Anakukosesha nini km usingemfoloo
@nurdinmfamau3493
3 ай бұрын
@@sleyumngolo Niutani Tu
Nywele zako finally chawa